Notifications
  • MY DIARY (36)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA SITATULIPOISHIA...Sasa wewe fikiria mimi niliyeletewa zawadi sikujua ni zawadi gani lakini yeye tayari alishafungua na kuchungulia na kujua nini kilifungwa huko ndani.Basi nikaendelea kumuhudumia yule mama huku na yeye akiniambia kuwa itabidi nikimmaliza hizo zawadi tusifungue hapo hapo na waniimbie wimbo wa happybirthday.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Tuliendelea na stori mbili…
  • MY DIARY (35)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TANOTULIPOISHIA...Tatu niliambiwa kuwa ndugu zake na wazazi wake walihusika kwenye mipango hiyo hivyo walibariki kabisa huyo binti kuniacha mimi mumewe wa ndoa na kuamua mtoto wao aolewe upya. Nne ni kwamba huyo mzungu amewaamishia wazazi wake mjini na amewajengea nyumba ya kifahari.Kwa hiyo mimi ninavyowapigiana simu na kuwajulia hali kumbe wenzangu huwa wananichora tu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (34)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Hapo nikakumbuka kuwa zile zana zangu za kazi nilikuwa nazo ni vile vifaaa vya kupimia ukimwi ambavyo huwa navitumia kabla ya kukutana na mwanaume yeyote nisiyemfahamu. Nikaamua kumkubalia huku nikiamini kuwa hiyo ndo kinga yangu pekee iliyobaki kama mwanaume huyo atataka kuzini na mimi usiku huo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi tuliondoka na kwenda sehemu…
  • MY DIARY (33)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TATUTULIPOISHIA...Nilikuwa nachanganya staili za kijamaika na hizi za kwetu, sikuacha pia zile za Nigeria hapo nikapata vitu vyangu vya tofauti kabisa. Basi baada ya kujihakikishia kuwa nipofiti kwa mastahili yangu hayo nilisubiri siku ya shindano ifike nikafanye yangu. Siku ya shindano ilifika na mimi nilikuwa miongoni mwa washiriki walioingia tatu bora.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (32)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MBILITULIPOISHIA...Lakini kuchepuka kwangu na kuingia mgombani haikumaanisha kuwa sheria ingeniacha hivi hivi.Ilifika mahali ikabidi nizime gari na kutulia tulii kusikilizia nini kitafuata.Tayari nilikuwa nimezungukwa na mapolisi ambao walikuwa wakinifuatilia kwa kutumia pikipiki.Kwa bahati nzuri dereva wa lile gari na yeye alishafika hapo na alishawaambia polisi kuwa mimi naugua ukichaa na nilifufuka kutoka mochwari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (31)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MOJATULIPOISHIA...“marehemu pia alinieleza kuwa ana miliki duka la vitu vya urembo wa kike ambalo pia Leah analisimamia ila hilo apewe mdogo wake Marry ambaye yupo hapa. Mama mdogo huyo mara baada ya kuyasema hayo alikaa zake chini. Baba mdogo ambaye hakurizika na maelezo hayo alisimama na kusema “kwa hiyo kama marehemu alijua kuwa atakufa hivi karibuni kwani nini hakufuata taratibu za kisheria za kuandika wosia na kurithisha mali.IKIWA UNASOMA…
  • MY DIARY (30)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINITULIPOISHIA...Baada ya hapo Nnilimwomba mama mdogo ajikaze na kuwatarifu ndugu wengine habari hizo za msiba.Tulisaidiana hivyo hivyo maana sio siri kila mmoja alikuwa na uchungu sana kutokana na mazingira ya kifo hicho. Habari zilizidi kusambaa kwa kasi na majirani walianza kukusanyika hapo kwa mama mdogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Msiba ni msiba tu na ukitaka kujua binadamu…
  • MY DIARY (29)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TISATULIPOISHIA...Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (28)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NANETULIPOISHIA...Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole. Hapo na mimi nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama wanalijua hili.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa…
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…

TUPEANE (16)


JINA: TUPEANE
Mwandishi: Hafidhi J Ikram

SEHEMU YA KUMI NA SITA
Yapata takribani masaa mawili hivi tukiwa katika vita kali na wale viumbe wa kila aina maana akifa mmoja wana tokea wawili au wanne sasa ikawa kazi sio kuwa punguza bali kuwa ongeza tu miti inawaka moto katika uwanja wa machafuko usiku ule kumbuka ilikuwa ni vita ya mizimu tu

SASA ENDELEA...
Nikaja na hii na kutupa kombora sokomeza yani kama tsunami hivi
Ningu nikamuomba asepe faster naitaji kuachia kitu basi kitendo bila kuchelewa nika liachia mtikisiko mkubwa sana ukatokea huku vile viumbe vikirushwa huku na kule
baada dhuruba ile kutulia
na hali kuwa shwar ndipo
Ningu akarudi eneo lile huku aki kodoa kodoa macho tu asiamini kwa kile nilicho kitenda,
usiku huo tukautumia kulinda kaburi tu la mdogo wangu basi
ningu akanipa story ya kwamba
“una juwa nini brother kuna vitu vingi sana vina shangaza katika hii dunia kwanza kabisa kuhusu hawa wachawi kwa kuwatoa ndugu zao au watoto wao kafara kila inapo hitajika yani mtu
hasiti wala kuingiwa na hofu
kumchinja mwanae
aliye mmbeba tumboni miezi tisa
akaenda reba tena akazaa kwa uchungu
leo hii tu ana amrishwa amtoe sadaka nae ana kubali,
nikamjibu kitu
Ningu kwa kumwambia ya kwamba kazi ya uchawi hutakiwi kuwa na huruma kwa mtu yeyote yule awe baba mama n.k ukiitajika kuchinja mmoja wao wee chinja tu maana uki pindisha amri uta chinjwa wewe,
Ningu akaendelea kusema “cheki hawa wanao jifanya watu wa Mungu sijui wachungaji mashekhe mapadri mahostadhi baazi yao ni washenzi wanzinzi matapeli mijizi tu ila wame jivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni chui,
“unajuwa nini Ningu siku zote binaadamu ata mdanganya binaadamu mwenzie tu sio Mwenyezi mungu
anae fahamu yaliyo jificha na kufi chikana ya dhahir na ya wazi kabisa ngojea nikwambie kitu ndugu yangu
Ningu japo itakuwa kama faida kwa binaadamu siku zote,
ni kwamba, hakuna dawa kubwa ya kuushinda zaidi uchawi kama kuupuuza, mfano, unaumwa sana, umekwenda hospitali madaktari wamesema hawaoni tatizo, umekwenda kwa mabingwa wa kutibu hospitali kubwa, lakini tatizo halionekani, ukapelekwa kwenye maombi makanisani, msikitini lakini wapi dawa ni kupuuza tu.
hapa nina maana gani, uchawi ukiupuuza toka akilini unakosa nguvu ya kufanya kazi na ndiyo maana wapo binadamu ambao hawana kinga yoyote lakini uchawi haufanyi kazi kwenye miili yao sasa hata kwa wale ambao watakuwa wamepanda daladala au basi la kichawi, ukihisi hivyo kutokana na jinsi nilivyoongea, unachotakiwa kufanya ni kupuuza tu, hakuna kingine.
jamii imekuwa ikiangamia kwa uchawi kwa kukosa maarifa na ujasiri wa kuupuuza. mfano, utakuta mtu anarudi nyumbani kwake, mlangoni anakuta hirizi, moyo unamshtuka na kuanza kufikiria kifo au matatizo mengine ya mwili.
Wapo ambao wanadiriki hata kuitunza hiziri hiyo isiguswe na mtu mpaka aende kwa mganga wa kienyeji akamuangalizie, hii
ni hatari kubwa.
Ukikuta hirizi mlangoni, ishike, ichome moto huku ukiwa na moyo uliojaa hasira, nawaambia hata kama iliwekwa kwa lengo la kumkomoa mtu au kumroga mtu haitafanya kazi. Kazi kubwa ya kichawi ni kuamini kwanza, baadaye damu ndiyo inapokea.
Mfano mwingine, inatokea katika kijiji au mtaa, kuna mtoto ameaga dunia, wengine wanasema kwa uchawi, wengine amri ya Mungu, ni rahisi sana kujua. Utajuaje? Ilivyo ni kwamba, kifo cha mtu aliyeaga dunia kwa mapenzi ya Mungu msiba unatawaliwa na watu kucheka, nikiwa na maana majonzi si sana, lakini msiba wa mtu aliyeuawa kwa uchawi, watu wanalia sana, tena sana.
Kingine ni kwamba, ukitaka kumjua mchawi mahali unapoishi au unapofanyia kazi, mara nyingi anakuwa na tabia isiyofanana na wengine. Mfano, asubuhi ukiamka, ukiwa unakwenda chooni, ukikutana na jirani yako ukamsalimia lakini akaitikia kwa sauti ya chini sana tena huku akiangalia ukutani, tambua huyo ni mchawi.
Au, unakwenda kazini, kufika unakutana na mfanyakazi mwenzako, unamsalimia kwa kumpa mkono yeye anaitikia salamu lakini hakupi mkono tambua huyo ni mchawi. hakuna mchawi asiyekuwa na dalili kwenye jamii, sema tu macho ya watu yamefungwa kuona yaliyo sirini kutokana na wingi wa dhambi zetu sisi wanadamu.
Mitaani tunapotembea, kuna viumbe vingi sana tunapishana navyo, vinatuona lakini sisi hatuvioni. Mbaya zaidi, viumbe hivi wakati mwingine vinaingia kulala kwenye majumba yetu baada ya kuchoka kwa shughuli zao za mchana kutwa.
Sema usiri wake ni kwamba, baadhi ya viumbe havina ubaya na binadamu, hata vikiingia ndani kwako vinataka hifadhi ya malazi tu asubuhi zinaondoka.
Umewahi kuwa peke yako usiku chumbani halafu ukajisikia hali ya kuogopa sana kiasi kwamba hutaki hata kulala na giza, unawasha taa mpaka kuna kucha? Basi tambua kwamba, kuna viumbe visivyoonekana vimeingia kulala chumbani kwako. Unaposhtuka na kuangalia dirishani vyenyewe vinakuona na kukucheka.
Kifupi kila unachofanya vinaona ila havina dhamira ya kukuzuru.
Sasa utajuaje kuwa ulilala na viumbe? Mara nyingi hivi viumbe humsababishia hali ya kwenda chooni mtu kila wakati. Unaweza kutoka chooni usiku mara nne, wakati si kawaida yako, jua ulilala na viumbe.
Kikubwa, kama unahisi hatari hiyo, ukilala usifunge mlango, yaani ukae wazi. Viumbe hawa huwa hawana ubavu wa kuingia kwenye chumba au nyumba yenye mlango wazi.
Umewahi kutembea usiku peke yako ukafika mahali kwa mbele kama kuna watu au mtu lakini ukifika hakuna? Jua maeneo hayo kuna viumbe visivyoonekana. Na mara nyingi ukikutana na hali hii lazima itaambatana na hisia za nywele kusisimka kichwa kizima.
unaweza ukahisi nywele zinanyonyoka kwa jinsi zinavyosisimka, ujue ni maeneo yenye viumbe.
Tabia ya viumbe hivi ambavyo asili yake ni kutoka Nchi ya Wachawi, ni kupenda maeneo yenye watu wengi, mfano, sokoni, stendi ya mabasi na vituo vya daladala. hakuna maeneo Dar es salaam yana viumbe wa ajabu kwa wingi kama stendi ya mabasi, pale ubungo na katikati ya mitaa ya k/koo.
Kwa ubungo, unapoona watu wengi wakiingia na kutoka huku wamebeba mizigo, nyuma yao kuna viumbe hao, ndiyo maana huwa tunasema watu wengi, lakini ukweli ni kwamba tunawachanganya na viumbe.
Sasa ubaya wao hawa viumbe ni pale wanapoamua wakati mwingine kujitokeza na kuwa watu wanaoweza kuonekana kwa macho.
hapo ndipo wanapoweza kuharibu eneo. mfano, usidhani kilio cha mara kwa mara cha foleni jijini Dar es salaam ni cha kweli, foleni nyingine tunaongezewa na hawa viumbe baada ya kujigeuza na kuwa binadamu.
wana uwezo wa kufanya magari yao, wakatoka k/koo kwenda kimara, kwenda mwenge au Kibamba na wanapokuwa pale magomeni na basi na wao wana jifanya kuwepo kwenye foleni wakati wana uwezo wa kufika wanakokwenda bila kuwepo kwenye foleni wala kuwa kwenye magari.
tatizo ni kwamba, hata ukiliona gari la kiumbe kisichoonekana huwezi kulijua, lina namba za kawaida, kila kitu cha kawaida.
Ila, mara zote abiria wa magari haya hawazidi watatu ikiwa na pamoja na dereva. Na mara zote ndani ya gari kunakuwa na utulivu, hakuna anayeongea wala kucheka, mwanzo wa safari yao hadi mwisho.
hatari iliyopo ni kwa wale wafanyabiashara wanaouza maji, juisi, sabuni au bidhaa nyingine kwa wenye magari.
na amini mpaka hapo ume nielewa Ningu, yaani ni kwamba, ukifika pale maeneo ya magomeni mapipa, si kuna foleni halafu kuna vijana wanauza vitu kwa watu waliomo ndani ya magari? basi wale vijana wako hatarini zaidi.
kwa nini? Kwa sababu baadhi ya watu wengi sana wanao wauzia ni wale viumbe wasioonekana ambao siku hiyo wanakuwa ndani ya ma gari.
wana tabia ya kuchukua damu ya vijana kama hao na kwenda kuichafua, baada ya muda utakuta kijana anakuwa mdhaifu, hana maendeleo, mwili unakuwa lege lege umechoka, vibaya sana yaani anakuwa binadamu ilimradi anaishi lakini kwa upande mwingine si binadamu kamili.
Kifupi matukio yanayowakuta binadamu ni makubwa na mengi, yanatisha kama utasimuliwa kila siku.
napenda kusema kuwa, mfano usiku. hakuna siku iendayo kwa Mwenyezi mungu bila kuwepo kwa watu waliopata matatizo usiku, hasa ya kichawi ambayo kesho yake mtu anaweza kushindwa kusimulia hadi zipite siku nyingi.
Kinachowapata wanadamu wengi usiku, chanzo ni kutojua mwongozo wa kichawi, unaweza kugombana na mtu ukadhani ni wewe, kumbe wachawi wanasimamia kwa lengo la kuwapata mbele ya safari, tukiwa kati kati ya kupiga story
gafla nika stuka
baada kumuona
Nipe nikupe akija kwa kasi ya ajabu sana katika eneo lile la makaburi
mimi na
Ningu tuka simama atesheni yani teyar teyar
kwa mapambano tu
kwa mara nyingine teeeeeeeeeena
vita vipo mbele yetu huku Nipe nikupe ana hema
na kufuka moshi kwa hasira
Ningu akatoka kwa kasi kwenda kumfata
Nipe nikupe gafla
Ningu akapigwa na kitu kizito na kurushwa mbaali na eneo lile akatua chini na kuwa kimyaaa,

Sasa tupo uso kwa uso kila mmoja akiwa na hasira na mwenzie na tumalize ubishi wa nani zaidi kila nikimcheki
Ningu yupo kimyaa hata kutikisika hati kisiki, tuka peana ishara mimi na
Nipe nikupe tuamie uwanja wa shule kama game ika chezwe kule nikachumpa kwa kupaa baada kumuona yeye anaenda huko sasa basi twende kazi tushafika
Nipe nikupe aka fanya manjonjo yoote alipo kuja kufutuka akaja kuni vamia kwa speed ya ajabu sana nikajikuta narushwa hewani kwa pigo lile la kustukizwa
nika jikuta nadondokea mti dahaaa nili jikita vibaya sana sehemu ya kiuno hayo maumivu yake haya elezeki kabla sijanyanyuka akaja kunizoa kwa kuni zungusha kama feni ikiwa katika speed ya %100 akanibwaga unajuwa mpaka hapo nikashindwa kujipanga katika kuzuuia mapigo yake
si kanistukiza na hakutaka kunipa pumzi ya hata sec moja nikiwa bado nipo chini aka nipulizia moto uka nipata vizuri mwilini nikawa nagagaa pale chini kwa maumivu ya ajabu maana na ujanja wangu wote nalia kama mtoto
nikiwa bado niko pale chini nika kumbuka kauri ya bibi akisema
kuna njia nyingi sana za mapambano na mizimu maana hata wachawi wana pambana kwa kutumia nguvu za kichawi tena wana zidiana pia sasa basi jiandae kwa angushi pindi adui yako anapo kushambulia gafla tumia lanta nyori yani kipawa cha kuzuia angushi amka sasa upambane ukifeli hapo leo mdogo wako ndio bye bye,
nika futuka kutoka pale chini na kuuzuia ule moto sasa kama ngwai na iwe ngwai nikaukusanya ule moto wake na kuwa kitu kama mpira hivi nikamtupia kitu kika enda kumpata moja kwa moja mdomoni “khooooo!!!yakhaaaaaa" akapiga ukelele kwa maumivu sasa ikawa piga nikupiga style zote tukatumia tukiwa tume choka hoi kama majogoo vile nikajiandaa kumpa zinga la kombora cha ajabu tena kwa macho yangu mawili nika shuhudia
Nipe nikupe aki pasuka vipande vipande kwa kupigwa na miale ya umeme kutoka juu ndio ikawa nafuu yangu kwa kupumua maana dahaa
shiida tupu kama kiu nilikuwa nacho kweli nusura nikate tamaa ya kupambana na kiumbe hiki cha ajabu chenye nguvu za kutisha mpaka
akaweza kui tetemesha kilwa kiwawa nzima watu waka ishi kwa hofu
ya kumuogopa yeye

KWA WATUMIAJI WA APP KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU


TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

12 Simulizi Tupeane
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni