TUPEANE (17)

0

JINA: TUPEANE
Mwandishi: Hafidhi J Ikram

SEHEMU YA KUMI NA SABA
Kama kiu nilikuwa nacho kweli nusura nikate tamaa ya kupambana na kiumbe hiki cha ajabu chenye nguvu za kutisha mpaka
akaweza kui tetemesha kilwa kiwawa nzima watu waka ishi kwa hofu
ya kumuogopa yeye

SASA ENDELEA...
Mbele yangu vika simama vitoto vilivyo toka juu na nikahisi bila shaka ndio walio mpasua
Nipe nikupe kuwa cheki sura zao wote wapo kama Figisu, waka sema
“baba tumekuja kuku saidia baba yetu
na unahitajika haraka sana kuzimu kwenda kumzika ndugu yetu
Figisu,'
nika baki kuduwaa tu kumbe hawa wote ni wanangu mbona sura zao zime fanana hivi maana walikuwa wengi balaa,

hatukuwa na kingine cha kufanya zaidi ya kusema R.I.P ndugu
Nipe nikupe nikaondoka na wanangu mpaka kuzimu khaa nikastuka na kutoa macho pima baada kumuona
Nipe nikupe akiwa kafungwa huku akipewa adhabu kule kuzimu nikaja kupokelewa kishu jaa baada kufanikisha kukamatwa kwa huyu zoba nikajiuliza kama
Nipe nikupe kule ame kufa cha ajabu namkuta huku kuzimu akiwa mzima sasa kwa nini
Figisu asiwe mzima huku, basi malkia akaja kuni kumbatia kumbuka ndio mke wangu mtarajiwa basi nikapelekwa mpaka ulipo lazwa mwili wa
Figisu nikaubeba kwa kuupeleka sehemu ya maombi hata sisi mizimu tuna fanya maombi ndio maana tabia zetu kama binaadamu baada kufanya maombi kwa mda kidogo tukaenda kumzika
Figisu huku mateso kwa nipe nikupe yakizidi
nikaweza kumuona pia
Ningu akiwa na furaha basi taratibu za ndio zika fanyika nikaweza kumuowa malkia kutoka kuzimu kazi iliyo baki ni kwenda kum rudisha Hafidhi mdogo tu nikatoka mimi na malkia mwenyewe kwenda kuifanya kazi hiyo

yapata saa mbili hasubuhi tukakuta wachimbaji wa kaburi wakiifanya kazi ya kuchimba kaburi la mdogo wangu basi malkia akafanya jambo kwa kuivuta pumzi kwenye kiganja chake cha mkono kisha akapulizia kwenye kaburi kitendo kilicho wastusha wale walio utoa mwili ule ukiwa ndani ya sanda kwani ukaanza kupumua huku ukipiga makelele nitoeniii!!!
hakuna aliye baki kila mmoja akatoka mbio nikamcheki malkia na kumwambia arudi nyumbani hii kazi nita ikamilisha mwenyewe kabla haja ondoka nika muuliza
“hivi mke wangu mbona bibi siku muona kwenye mazishi ya
Figisu?"
“mme wangu bibi yeye ame pewa kazi na mkuu kwenda tanga kuwanasa wachawi maana ndio mkoa wao mkuu kule, “oky basi wee nenda wacha mi nifanye kazi haraka nije kujilia kitumbua changu halali kabisa basi malkia aka nisogerea tupeana mate huku niki zitomasa chuchu zake mbichi ohoooo,,,,ahaaaa,,,,“mume wangu usikawie basi kurudi mwenzako niko hoi taabani,'
“usi jali mamy to nita wai kurudi tu

basi tuka nyegeshana pale si unajuwa tena wana ndoa hata zile saba za mwanzo bado kila mmoja akiwa na mzuka na mwenzie baada my wife kuondoka nikabaki kuutizama ule mwili
wa mdogo wangu pale chini nikajivika taswila ya kuwa bonge la shekhe na kuushika ule mwili ukiwa bado ndani ya sanda nikautoa akiwa bado uchi wa mchama huku nyama nyama za mwilini zikiwa hazipo na kubaki mifupa tu kwa kiasi kikubwa tu
nilicho kifanya ni kumwita
Ningu nazani wito wangu ulimfikia akaja faster na kuniambia “nisha fika boss niambie,'
nikampa maagizo bila kuchelewa aende haraka hospital yeyote ile na akachukuwe nyama za mwili kutoka kwa maiti yeyote ile ila awe mwanaume kijana umri kama wa huyu,
“sawa boss! hakuchelewa kufumba na kufumbua kaja na maiti kama tatu hivi za vijana nikafanya kuzivua ngozi na nyama na kumuwekea mdogo wangu,

mwisho akawa fresh kabisa nika toka nae huku akiwa kama zezeta flani hivi au msukure kazi iliyo baki ni kukisaka kivuli chake maana kule kuzimu hakipo nikapiga mahesabu kipo wapi kumbe kipo tanga na bibi,

nikamwambia ningu aende kukileta akasepa cha ajabu alipo ondoka tu wingu zito lika tanda halikuwa wingu la kawaida nikaitajika nirudi faster kuzimu ikabidi niende na ule mwili wa mdogo wangu baada kufika tu nikakuta vilio kila kona mizimu mingi ikiwa imekufa nikiwa katika hali ya sinto fahamu
nikamuona malkia akija mbiio huku akilia na kusema
“mume wangu Nipe nikupe katoroka wakati narudi kutoka kule tulipo achana nikamkuta kaingizwa kwenye tanuri la moto
anazidi kuteswa gafla sauti yako ika sikika uki muitaji Ningu kitendo cha
Ningu kuja huko tu huku zahama ikaanza
Nipe nikupe akatoka kwenye moto akiwa kashakata minyororo yote jeshi likaitaji kumkamata yakawa mapambano makali sana mwisho akakimbia humu amesababisha vifo vya ndugu jamaa na marafiki,
baada kusema vile wife aka endelea kulia hasira zika nishika
Ningu akaniambia “boss!
Nipe nikupe hayupo mbali na hapa kwa sasa anakwenda jijini Dar es salaam
nikatoka faster na kusema ndio kwaanza kazi imeanza,

Kitendo cha kuambiwa ya kwamba Nipe nikupe hayupo mbali na hapa kibaya zaidi ana kwenda katika jiji la Dar es salaam nika chumpa haraka na kuanza kumfatilia huku nikiwa kasi vibaya mno kwa speed zote nilizo kwenda nazo sikuweza kumuona
Nipe nikupe wala vumbi
lake hata nilipo fika maeneo ya posta nikazunguka jiji zima hakuna kitu,
nika geuza kurudi kuzimu kwa ajili ya msiba na kuangalia ni jinsi gani nitaweza kuikamilisha kazi hii ngumu,

baada kuingia kuzimu nika pokelewa na my wife tena kwa bashasha tele na kuniuliza kwa shahuku kubwa “vipi mume wangu umempata au?"
nika mjibu hapana sikuweza kumuona hata kivuli chake sijui kakimbilia wapi!!!
“ohoo pore sana mume wangu lakini bibi ame shakuja tayar
basi nikaenda moja kwa moja kuonana na bibi vizuri zaidi kaja na kile kimvuli basi tukafanya taratibu na mipango ya kuweza kumrudisha mdogo wangu baada kupita kama dakika kumi hivi mdogo wangu aka stuka na kuanza kujishangaa “jamani!!! nakufa mieee huku wapi nilipo jamani!!!

nikapewa kazi ya kumtuliza asi zidi kupiga kelele pale nikaenda na kumuingia ndani ya mwili wake kupitia yeye niko hai na kupitia mimi yeye yupo hai je nini kifuatacho
Hafidhi j ikram mdogo ana tujuza zaidi

katikati ya usingizi mzito nilio kuwa nime lala nikaja kustuka baada kuhisi kitu kama maji maji hivi yaki nidondokea kutokea juu na kutua moja kwa moja kwenye maungo yangu
siwezi kutambua ni usingizi gani huu wa kifo au vipi basi nikastuka na kujikuta nimeroa mwili mzima huku nikiwa katikati ya msitu mzito vua kubwa ikinyesha na radi pamoja na miale ya umeta iki mulika mulika eneo lile nikabaki kujiuliza nime fikaje fikaje eneo hilo nikajitahidi kuvuta kumbu kumbu niweze japo kukumbuka nitokako nikaja kukumbuka ya kwamba mara ya mwisho nili fanya mapenzi binti anae kwenda kwa jina la Mwajuma nilipo rudi nyumbani mama aka nichapa nikakimbilia porini “khaa! kumbe sijarudi nyumbani kwa bibi mpaka sasa, nikaji nyanyua pale chini na kuanza kurudi nyumbani kwa bibi nika shangaa pindi nilipo ona kila mtu ninaye kutana nae njiani ana nikimbia sikuweza kujuwa au kufahamu
sababu ni nini hasa,

nikazidi kusonga mbele na kufika nyumbani kwa bibi pale kibarazani hakukuwa na mtu hata mmoja zaidi ya kuwaona kuku tu wame jikunyata kujikinga na vua ile nikaugusa mlango ule wa bati na kugonga hodi,,,nikaweza kuzisikia hatua za mtu akija kufungua mlango kitendo cha kufungua tu na kuchomoza sura yake nnje aweze kujua anae gonga hodi ni nani gafla akapiga yowe zito “mamaweeeeee!!! akafunga mlango haraka sana, akazidi kupiga kelele tu mlango uka funguliwa tena akatoka baba pamoja na babu hata
wao wali patwa na shock yani mstuko huku wakiwa hawaamini kwa kile wakio nacho mbele ya upeo wa macho yao nikiwa sitambui chochote nikaenda mbio kumkumbatia baba kabla sija mfikia nae akatoka mbio na kuingia ndani, nikabaki katika hali ya mshangao zaidi huku babu nae akiwa ana tetemeka sijui kwa sababu gani nikajaribu kumsogerea nae akatoka mbio na kukimbia hakujali vua wala nini maana ali timua mbio balaa sikuwa na jinsi zaidi ya kwenda kupiga magoti chini huku vua ikizidi kunipiga na kutamka maneno haya tena kwa sauti kubwa tu,

"Sikuweza kufikilia wala kuwazia ya kwamba mnaweza kunitenga kisa tu kufanya mapenzi na Mwajuma kumbukeni mimi ni mtoto wenu bado kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa na mtoto akikunyea kwenye mkono huwezi kuukata mkono zaidi ya kuuwosha ewe mama ewe baba na bibi naomba mnipokee mimi mtoto wenu naomba mnisamehe sana
mimi sio kama ukoma wa ku
nigopa hivyo, nililia sana huku machozi yangu yaki ishia kumezwa na maji ya vua
nikiwa bado nime piga magoti huku nimeinama nikaweza kugundua ya kwamba kuna mtu kasimama mbele yangu nikainua kichwa changu na kumtizama hakuwa mwingine ni mama huku akiwa analia basi akatanua mikono yake na kuitaji kuni kumbatia basi nika inuka na kuweza kukumbatia kwa furaha ya machozi “Hafidhi mwanangu ni wewe?"
“ndio mimi mama yangu ile jana ilikuwa hasira tu ndio nikaamua kwenda kulala porini,
“pore sana mwanangu nisamehe mimi, basi baba nae akaja kukumbatiana na sisi kila mmoja akilia kimpango wake
basi nikaandaliwa chakula nikala nikaoga na kuvaa nguo mpya hostadhi akaja kuni somea duwa

Usiku sikuweza kulala kwa amani baada kuota ndoto nikiwa kisimani nateka maji gafla akaja jamaa mmoja hivi handsome boy na kuniita “Hafidhi,
“naam kaka niambie!!!
“sikia nikwambie kitu nimekuja hapa kukwambia ya kwamba vita bado haijaisha, nikamuuliza
“mbona sikuelewi una maanisha nini kusema hivyo?"
“najuwa ndio huwezi kufahamu kwa sasa ila tambua ya kwamba mimi ni kaka yako, “nikastuka baada yule mtu kusema yeye ni kaka yangu,
“wewe ni kaka yangu kivipi yani kiumri au?"
“ndio kiumri pia kingine mimi na wewe ni damu moja,
“hivi wee jamaa mbona una penda shobo tu sikia nikwambie mimi kwa wazazi wangu ni mtoto wa pekee sina kaka wala dada na kaka yangu ali shafariki kabra sija zaliwa,

“sasa huyo kaka yako ndio mimi, nikatoa macho pima baada kusema vile aka badirika na kuwa kiumbe cha kutisha mwenye mapembe na minjino mirefu na kusema nimekuja kukuchukua basi akaruka kuja kunivamia nikajikuta napiga ukelele jamaniiiiieeeee!!! nakufaa,,,,
nikastuka nipo kitandani jasho likini nivuja kwa fujo dahaa baba akaja mbio pamoja na mama kwa kihere here
wakaniuliza
“vipi tena baba kuna nini?"
ni kauli ya mama akiniuliza nikashindwa kumjibu chochote zaidi ya kutikisa kichwa tu basi usiku ukapita kesho yake hasubuhi na mapema nika damka kwenda kupiga tizi uwanja wa shule hata hivyo hakuna aliye kuja kujiunga nami siku hiyo yani kila kijana akakimbia nikakosa raha mawazo yaka nisonga hata mzuka wa kupiga tizi sikuwa nao kabisa nikarudi zangu home nikiwa ndio naingia nyumbani nikaweza kusikia mazungumzo kati ya wazazi wangu wote wawili na bibi “sasa mtawezaje kuishi na mzimu?"
“hilo lisikupe shida hata kidogo mama
awe mzimu au zombie yule bado ni mtoto wetu tu
hiki kijiji kina wachawi na ndio walio mchukuwa mwanetu kwa kumfanya msukure kwa bahati nzuri hakukatwa ulimi sie tukajuwa kafa na kwenda kuuzika mgomba dadeki"

KWA WATUMIAJI WA APP KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU


TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)