Notifications
  • THE NIGHTMARE (7)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SABAILIPOISHIA...“kha!!!!”Ulikua mshangao mkubwa kwa watu karibu wote baada ya kumuona Sharji akiwa na taulo akitoka chumbani kwa Balqis.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wengine walicheka na kaka yake alionekana kutoifurahia hali ile.“sasa wewe unatutia wasi wasi bure, si ungesema tu kama unaenda kulala kwa huyu dada?” aliongea kaka yake na kukirudia kile chumba alichompangia…
  • THE NIGHTMARE (6)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SITAILIPOISHIA...“toa loud speaker bwana.”Aliongea Balqis baada ya Sharji kubonyeza kitufe cha kupaza sauti.“kwanini hutaki nisikie maongezi yenu?” aliongea Karimu kwa sauti ya ukali kidogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“kwani kuna ubaya mimi nikiongea private na mdogo wako?” alijibu Balqis baada ya kuisikia sauti ya Karimu.“hakuna ubaya.” Alijibu Karim kwa sauti ya…
  • THE NIGHTMARE (5)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TANOILIPOISHIA...Alijikuta outomatic akijisemea kwa mshangao baada ya kumuona dada mmoja mrembo mwenye asili ya kiarabu akiingia mule ndani. Hakuvaa ushungi kama alivyowazoea kuwaona waarabu wengi ambao alikutana nao. Huyu alivaa suruali ya jeanz nyeusi na juu akiwa na kikoti chake cheusi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Kati kati kulikua na nguo Fulani nyeupe iliyonakshiwa…
  • THE NIGHTMARE (4)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NNEILIPOISHIA...Aliongea Khalidi na kuufungua mkanda wa suruali yake na kuanza kumtandika Karim.“unanipiga mimi?...utaona!”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Aliongea Karim na kuondoka huku analia.*****************************Zilipita wiki mbili bila ya Karim kuonekana nyumbani kwao. Sabra alisikitika kidogo kutokana na kuwapenda sana watoto wake japokuwa huyo mtoto mkubwa hakuwa…
  • THE NIGHTMARE (3)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TATUILIPOISHIA...Akiwa hewani akikata mawingu kurudi Tanzania, kichwa chake kilikua na mawazo mengi sana juu ya mume wake. Aliikumbuka siku waliyofunga ndoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Pia alijua kwanini mume wake alipendelea kufanya kazi uingereza na yeye kumfungulia ofisi huku huku Tanzania. Hakujua kuwa kazi anayoifanya mumewe ni ile ya kutembea na tajiri mkubwa…
  • THE NIGHTMARE (2)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA PILIILIPOISHIA...Khalidi alishangaa kuitwa na mtu asiyemfahamu. Alitoka na kwenda kumuangalia huyo mtu maana kiukweli hakua na ndugu aishie hapa Dar hata mmoja anayemfahamu..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Alipigwa na butwaa baada ya kumuona Sabra pale.“ahsante mungu.” Aliongea Khalidi baada ya kumuona tu yule binti pale.“pole sasa kaka yangu, nisamahe mie.” Aliongea Sabra kwa…
  • THE NIGHTMARE (1)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA KWANZANi kipindi cha mvua za masika. Upepo mkali, na mvua kubwa iliendelea kunyesha kwa kasi kila kona ya nchi ya Tanzania.Ipo mikoa iliyofurahia mvua hizo kwa kuwa walikua wanaisubiria kwa hamu kwa ajili ya kilimo. Lakini ipo mikoa iliyokua inapata shida kwa uharabifu wa mazingira na mengineyo mengi.Moja ya miko hiyo ni Dar-es-salaam. Watu wanaoishi katika mkoa huo walichukia mvua mfululizo kutokana na sababu mbalimbali. Biashara nyingi…
  • MY DIARY (50)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA HAMSINITULIPOISHIA...Nilimnongo’oneza kuwa atumie kinga ili nisimwambukize ukimwi akanijibu kwa sauti ya mahaba nisiwe na hofu yeye yupo tayari kufa kwa ajili ya penzi langu hivyo hawezi kutumia kinga kwa mke wake aliyemoa tena siku muhimu kama hiyo.Sikutaka kumbishia yeye ndo muaamuzi wa mwisho kuhusu afya yake hivyo nilimuacha aendelee kufanya yake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kumbe na…
  • MY DIARY (49)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya maneno ya kusilimu ambayo waliambiwa wayatamke kiongozi huyo alisema neno ya mwisho kabla hajashuka.” Kila alie na akili timamu, mwenye busara naa anaetaka haki, na kusimama pamoja na haki, basi akiangalia dunia ilivyo na jinsi inavyokwenda basi lazima kutakuwa na nguvu kuuu nayo ni mwenyezi mungu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuna vitu vingi sana…
  • MY DIARY (48)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA NANETULIPOISHIA...Familia yangu haikukubali kabisa mimi kuolewa na rangi nyeusi hivyo walinitenga na kusema hawanitambui kuwa mimi ni ndugu yao.Lakini kutokana na mapenzi mazito niliyokuwa nayo kwa baba yake na Leah nilijikuta nipo tayari kwa lolote hivyo nikahama na kwenda kuishi Tanzania.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Katika miaka hiyo tuliyokaa nilibahatika kupata mtoto huyu…

TANGA RAHA (2)

SEHEMU YA PILI
ILIPOISHIA...
Sote tulio kuwemo kwenye kibanda hicho hatukusita kumkodolea macho japo wengine wakaanza kujishaua kwa kumsalimia
Nikawekewa chipsi zangu kwenye mfuko na kulipa kisha nikaondoka zangu
SASA ENDELEA...
Nikiwa hatua chache kutoka kwenye kibanda cha chipsi nikasikia sauti ya kike ikiniita na ikanilazimu kugeuka

Nikakutana na yule dada niliye muacha kwenye kibanda cha chipsi akinifwata kwa mwendo wa haraka haraka

"Samahani mwaya kaka ulipokuwa pale umekaa umeangusha walet yako"

Kweli ni wallet yangu ambayo ndani yake inapesa nyingi pamoja na vitambulisho vyangu vya kazi na bima za afya

"Asante sana dada yangu sijui nikuchukuru vipi sema nikupe nini?"

"Hapana kaka yangu asante"

"Hapana jamani basi turudi nikakulipie sahani ya chipsi uliyo agizia"

"Nashukuru kaka yangu siku nyingine utanilipia"

Kabla sijazungumza simu ya yule dada ikaita akapokea ikanibidi nikae kimya

"Halow baby nakuja namalizia kufungia hizi chipsi..Kuna foleni kama nini"

Akamaliza kuzungumza na simu

"Kaka yangu Mungu akipenda tutaonana shemeji yako ana wivu sana"

"Sawa nisalimie shemeji yangu"

"Usijali"

"Samahani dada kama huto jali chukua namba yangu"

Nikamtajia namba zangu kisha akaondoka kwa mwendo wa haraka na kuniacha nimeduwaa nikiyatazama makalio yake makubwa jinsi yanavyo tingishika kama simu ya kichina yenye vibrate kali

"Mmm huku Tanga ni noma"

Nilijisemea kimoyo moya na kuanza kupiga hatua za taratibu za kurudi kwangu mtaa wa pili kutoka ninapo ishi.Nikastuka nikiitwa na sauti ya mtoto huku akinikimbilia

"Shikamoo Sir Eddy"

"Marahaba hujambo mtoto mzuri?"

Nikaanza kujiuliza huyu mtoto amenijuaje wakati kwa makadirio ya macho yangu hajamaliza darasa la saba

"Sijambo"

"Unaitwa nani?"

"Jumaa"

"Jina langu amekuambia nani?"

Kikajichekesha kisha kikanijibu

"Ameniambia dada yangu yule pale nje"

Nikageuka kumtazama sehemu anayo nionyesha nikaona wadada wanne wakiwa wamekaa kibarazani wanacheza karata huku macho yakitutizama kwa kuiba iba

Nikawasalimi wakaitikia kwa pamoja

"Haya rafiki yangu nenda kacheze"

"Sir Eddy naweza kuja kutazama DSTV kwako"

Nikajikuta nikiguna kimoyo moyo kwani sijui huyu mtoto amejuaje nimenunua DSTV wakati mimi minaishi mtaa wa mbele kutoka pale

"Mbona usiku labda kesho utakuja si unapajua kwangu?"

"Ndio ila leo kuna mechi za mpira ligi ya uingereza"

"Mmmm unashabikia timu gani?"

"Madrid ila uingereza nashabikia Liverpool"

Sikuwa na jinsi za kumkubalia akawaaga ndugu zake na tukaondoka.Tukafika kwangu nikamuwekea mechi ya mpira anayo itaka kupitia akaanza kuangalia huku akionekana kufurahi sana

Nikafungua kifuko changu cha chipsi nikamkaribisha Jumaa hakufanya makosa akaanza kuokota mskaki huku akiokota na chipsi nyingi

"Leo nitalala njaa"

Nikajisemea kimoyo moyo huku Jumaa akizidi kunichezea rafu kwenye kula hadi tukamaliza kwa hesabu za haraka haraka nimekula chispi kama ishirini tu kati ya nyingi zilizopo kwenye kifuko changu

Nikafungua friji na kumpa Jumaa soda akaonekana kuzidi kufurahi huku akipata midadi ya mpira unao chezwa

"Dogo saa nne huogopi kwenda kwenu?"

"Hapana si hapo nyuma tu"

Ikanibidi nikae kimya,dakika tano mbele mlango wangu ukagongwa huku sauti ya dada nisiye mjua akiita jina la Jumaa

"Huyu ma mdogo anatabu kama nini?"

Nikafungua mlango kisha nikamkaribisha mama yake mdogo akaingia ndani huku akijifunga tenge lake vizuri

"Haaa wewe tabia ya kula kwa watu nilikuambiaje?"

Dada huyo alizungumza huku akimsogelea Jumaa mwenye chupa ya soda mkononi

"Dada yangu mbona kawaida"

"Hapana kaka yangu huyu mtoto ana tabia za ajabu kama nini...Yaani ni mmero kama nini?"

Dada yule akampiga Jumaa kofi la mgongo na kumfanya Jumaa kutoka mbio na kukimbilia kwao

"Tena nikukute nyumbani mwehu wewe"

Kwa bahati mbaya mama mdogo wake Jumaa tenge alilo livaa likamdondoka kwa kurupushani za kumchapa Jumaa.Akawa mpole gafla kwani alibakiwa na chupi aina ya bikini huku kiuno chake kikiwa na shanga nyingi

Akainama na kuokota tenge lake na kujifunga vizuri kutokana yupo chumbani kwangu hakuona aibu sana kuanguka kwa tenge lake

"Kwani alikuwa anatizama nini huyu mtoto?"

Aliniuliza kwa kuzuga ili kupotezea tukio lililo tokea dakika chache zilizopita

"Alikuwa anatizama mpira ila kuna movie alikuwa akiimalizia"

Mama yake mdogo Jumaa akasimama na kuitazama movie ya kizungu ambayo kwa wakati huo ilifikia katika sehemu ya watu wazima kufanya yao live bila chenga

"Mmmm hawa wazungu hawana aibu"

Alizungumza huku akikaa juu ya mguu wa sofa na kuikodolea macho movie hiyo.Jinsi matukio ya movie hiyo yanavyo kwenda ndivyo jinsi mama mdogo Jumaa alivyozidi kukaa

Nikawa ninatamani kubadilisha chanel ila nikawa ninashindwa nifanye nini kwani ningemkatisha utamu mama mdogo Jumaa

"Kaka unaitwa nani?"

"Mimi?"

"Ndio"

"Ninaitwa Eddy"

"Ahaa wewe ndio mwalimu wao mpya Fatuma?"

"Ndio"

"Fatuma mwanangu anasoma kidato cha pili ndio ameingia mwaka huu"

"Ahaa mimi bado mgeni sijapata kuwajua wanafunzi wengi"

"Ahaa sifa zako zinatamba kama nini"

Nikastuka na kujiuliza ni sifa gani zinazo tamba kwao huku wazo la Rahma likinijia kichwani

"Sifa gani dada yangu...?"

"Fatuma anasema wewe unafundisha vizuri masomo ya Sayansi na wanafunzi wengi wanakuelewa"

Nikashusha pumzi huku nikimtazama mama mdogo Jumaa

"Ndio jukumu langu hilo"

"Jitahidi mwaya kwani ile shule wanafunzi wengi wanafeli masomo ya Sayansi"

"Musijali nitajitahidi kadri ya uwezo wangu wanafunzi waelewe"

Ukimya ukatawala huku sote tukitazama ile movie na sehemu iliyopo inamuonyesha dada wa kizungu akinyonya koki ya jamaa anayempa burudani hiyo

"Hivi una mchumba wewe?"

"Hapana sijajaliwa kumpata kwani nawaogopa sana wasichana"

"Mmm...yakweli hayo?"

"Ndio si ungemuona humu ndani"

Mama Mdogo Juma akanyanyuka na kujishika kiuno huku akionekana kufikiria kitu cha kuzungumza japo anaonekana kuto kujiamini

"Nani...Eddy"

"Naam"

"Ngoja niondoke niende kuoga kisha nikarudi kuimalizia hii movie imenibamba sana"

Akatoka huku akilitingisha kalio lake kubwa ambalo kwenye tenge alilo livaa lilijitokeza vizuri na kuufanya mwili wangu kunisisimka

Nikaufunga mlango wangu na kuingia bafuni nikanga nilipo maliza nikarudi kukaa kwenye sofa na kuanza kuandika topic(mada) nitakazo fundisha jumatatu nikiwa shuleni

Mida ya saa sita kasoro mlango wangu ukagongwa

"Nani?"

Ilinilazimu kuuliza kwani ni muda wa usiku na bado sikuwa mwenyeji katika mtaa huo

"Mimi mama Fatuma"

"Mama Fatuma yupi?"
"Mama yake mdogo Jumaa nimekuja kuimalizia ile movie"

Nikanyanyuka japo kwa tahadhari na kwena kuufungua mlango.Mama Fatuma akaingia huku akiwa amevalia suruali nyeusi iliyo mbana na kufanya hipsi zaka kupanuka vizuri na kalio lake kubwa kuchomoza zaidi ya nilivyo liona likiwa ndani ya tenge

"Karibu mwaya"

"Ile movie bado haijaisha?"

"Bado ila ndio ipo ukingoni kingoni"

Mama Fatuma akakaa kwenye sofa hapo ndipo nikapata muda wa kumtadhimini kuanzia usoni hadi chini.

Machn makubwa mazuri yaliyo legea kama mtu mwenye usingizi yanaendana na pua ndogo kiasi huku na midomo mipana ya wastani yenye meno meupe yaliyo jipanga vizuri.

Sura ya duara ya mama Fatuma ilizidi kumfanya kuwa mzuri zaidi.Macho yangu yakashuka hadi kifuani mwake ambapo kuna chuchu zilizo jalia ila zina ukubwa wa wastani zikazidi kuusisimua mwili wangu na kusabisha bastola yangu kusimama

"Labda nikupe kinywaji gani?"

"Una bia baridi?..Ila unaonekana wewe si mnywaji?"

"Nilikuwa ni mnywaji ila kama unahitaji ngoja nikakuchukulie"

"Sawa"

Nikampa rimoti ya Dstv ili hata akihitaji kubadilisha chanel abadilishe.Nikavaa vest na kutoka nje.Ila nikaufunga mlango wangu kwa nje ili hata kama atakuwa na lengo la kuniibia atashindwa

Kwa jinsi mtaa wa Chuda ulivyo na hotel na baa nyingi haikuwa ngumu mimi kutembea umbali umrefu kutoka na ninapo ishi.Nikanunua CARTON mbili za bia za kopo na mzinga mmoja wa VALUE

Kabla sijaondoka eneo la baa niliyopo nikaagizia nyama ya mbuzi ya kukaangwa kilo mbili na kurudi nyumbani.Nikamkuta Mama Fatuma akiwa amejilaza kwenye sofa huku taa akiwa ameizima

"Pole mwaya kwa kukusumbua"

"Hapana alafu sikujua kuwa unatumia bia gani?"

"Kwani umenunua bia gani?"

"Castel na Red's ila nimeongezea na mzinga wa Value"

Mama Fatuma akakaa vizuri kwenye sofa na mimi nikakaa huku mizigo nikiiweka juu ya meza.Mama Fatuma akavua nguo yake ya juu na kubakiwa na sidiria

"Nikupe glasi?"

"Hapana hivi hivi inatosha"

Tukaanza kunywa na kuzila nyama,kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo pombe zilivyo zidi kunipanda kichwani.Nikaupeleka mkono wangu kwenye maziwa ya mama Fatuma na kuanza kuyachezea chezea na kumfanya mama Fatuma kulegeza jicho zaidi

Mama Fatuma akasimama mbele yangu huku akijichekesha chekesha.Nikataka kunyanyuka akanirudisha kwenye sofa kwa kunisukuma

"Usiwe na haraka babuu weee acha nikuonyeshe mambo"

Nikabaki nimekaa kwenye sofa huku nikihema kwa nguvu kama simba aliye mkimbiza swala na kumkosa.Mama Fatuma akanigeuzia makalio yake kisha akapanda juu ya na kupiga magodi na kukaa kama mtoto anaye tambaa

Taratibu akaanza kucheza kuendana na mziki unao imba kwenye tv yangu niliyo iunganisha na spika zangu za sabufa na kuufanya mziki kusikika vizuri na kwasauti ya juu.Mama Fatuma akazidi kunipagawisha kwa kalio lake anavyo litingisha huku shanga zake za kiunoni zikitoa kijimlio fulani ambacho kinatokana na jinsi zinavyo suguana

Nikasimama tena na kumshika kiuno chake.Akanigeukia na kunisukuma tena kwenye sofa nikadondoka kama gunia la chumvi.Akasimama kwenye meza huku akiendelea kucheza,akaivua sidira yake na kunirushia usoni

Akaanza kuyashika maziwa yake na kuyabana kwa pamoja na kuanza kuyalamba kwa ulimi wake japo hakuwa anayafikia vizuri.Kwa uchu nilio nao nikajikuta mapigo ya moyo yanakwenda kasi huku kijasho kikinimwagika kana kwamba nimekimbia katika mbio ndefu

Mziki ukabadilika naye akabadilisha mapigo ya kucheza.Akafungua kifungo cha suruali aliyo ivaa na taratibu akaanza kuishusha suruali huku akikijichezesha.Akabaki na bikini aliyo ivaa na kushuka juu ya meza huku jasho likimwagika

Akanishika mkono na kuninyanyua.Tukaanza kutembea taratibu na kuingia bafuni kwangu.Akanishika kiuno nami nikamshika kiuno chake chenye shanga nyingi.Akanivua pensi niliyo ivaa nikabaki kama nilivyo zaliwa

"Hizi shanga kazi yake ni nini?"

Akacheka huku akiichezea chezea bastola yangu

"Eddy unataka kuniambia hujui kazi ya shanga?"

"Ndio maana nikakuuliza?"

"Sawa babaangu.Shanga kwanza hupendezesha kiuno cha mwanamke pia isitoshe ukiwa na shanga unaonekana ni mwanamke aliye kamilika"

KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

16 Simulizi Tanga Raha
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni