BAMBUCHA (12)
Jpt
8 min read
SEHEMU YA KUMI NA MBILI
ILIPOISHIA...
TUPATE BURUDANI KIDOGO KISHA TUENDELEE
SASA ENDELEA...
Ni bora nilee na nikishazaa nitatafuta utaratibu wa kurudi shule.Mama huyu alikuwa na busara kwa kweli tofauti na mmewe.Akaendelea kusisitiza kuwa mpango wa baba ni kuitoa hiyo mimba na wamejadili hawajafikia muafaka hivyo ananiomba mimi niendelee na msimamo huo.
Na mimi nilimuhadi kuwa nitaendelea na msimamo huo.Mama akanisihi pia nisikubali kunywa vidonge vyovyote nitakavyopewa kwa sababu hivyo madhara yake ni makumbwa sana.Yaani mama huyu alikuwa na maono sana utazani ni mtumishi wa Mungu.
Siku hiyo ikaisha na mimi kuonesha kuwa nimeyatii niliyoambiwa na yule mama nilivichukue vile vidonege na kwenda kuvitupa chooni.Niliamua niwe mama maana hakuna jinsi.Siku zikazidi kwenda na Athuman hakuonekana.Mama alikwua na hofu sana ikabidi nitoe siri kuwa mimi aliniaga na kusema anaenda kutafuta maisha ingawa hakunambai ni wapi.
Taarifa hii ilikuwa ni faraja kwa mama lakini bado roho yake haikuridhika kabisa juu ya mpango huo wa mwanaye. Tena mimi kwa uwongo wangu nilimwambia mama huyo kuwa Athumani amesema ameenda kutafuta maisha ili mtoto wetu hasije kupata tabu.
Mama hakuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na uwongo huo. Siku zilizidi kwenda huku baba akiamni kuwa mimba ile yangu ilitoka.Maana aliniletea dawa zingine mara baada ya kumdanaanya kuwa zile za mwanzo nilizinywa.Baba aliniletea dawa akinisistiza kuwa hizi ni za kusaficha kizazi na kuondoa uchafu wote wa mabaki ya mtoto.
Hizo nazo nilizitupia chooni.
Baba akawa na amani lakini alishangaa kuwa siku hadi siku nilizidi kunenepa na kitumbo kilianza kuonekana.Kulikuwa na mawasiliano ya siri ambayo yaliendelea baina yangu na baba huyo.Siku moja usiku sms ya mzee huyo iliinga kwenye simu yangu.
Sms ilikuwa ikieleza kuwa eti alikuwa amemiss sana ule mchezo hivyo anataka kuja nimpe hata kimoja cha hamu. Mimi sikumjibu vibaya nilichomwambia kuwa nipo tu kwenye siku zangu.Basi tukachati chati mambo ya romance huku akiniuliza kuwa ile mimba kweli ilikuwa ya Athumani au ni yake.
Mimi nilimwamba ukweli tu kuwa kama nilivyomwambia mimba ni yake na siyo ya Athumani. Basi hiyo siku ilipita salama lakini kumbe siku hiyo sikuchati na baba bali na mama.Kumbe mama alikuwa akimfuatilia sana mzee huyo nakugundua mawasiliano ya siri baina yetu.
Hivyo hakutaka kukurupka alikuwa anaendelea kukusanya tu ushaihidi. Mama alianza kunichunguza bila sababu na kuna siku moja aliamua kuaga na kudai kuwa alikuwa akienda kwao. Basi mmewe bila kujua alimruhusu akiamini kuwa ndo itakuwa fursa nzuri ya yeye kunifaidi mimi.Hapa sasa ndo ukisikia utamu njoo utamu kolea na siku za mwizi si lazima zifike arobaini ndo siku hiyo.
Hivyo wote tukiwa tunajiamini kuwa siku hiyo ni siku ya kukumbushia enzi zilizoleta mjanga kumbe siku hiyo ndo ilikuwa siku ya kukamatwa na ukweli kujulikana. Basi kama kawaida mzee alienda kilingeni kwake kunywa kidogo ili kupata stimu za gemu. Kama kawaida alinambia kuwa nisipike atakuja na nyama choma.
Kwa kuwa na mimi nilikuwa nimezimisi nilifurahi tu.Siku hiyo nilipanga pia kumwambia ukweli baba huyo kuwa ile mimba sikuitoa kwa sababu nilizoshauriwa na mama yangu na pia mkewe. Basi baadaye alirudi kama kawaida yake na nyama na juisi na bia.
Sasa siku hiyo sikutaka kufanya ujinga kuwa eti nikubali anitume alafu anifungulie juisi.Kwenye nyama kwanza niliamuangalia nione kama yeye alikuwa akizila.Kwa kuwa yeye alikuwa akila nikajua kuwa zitakuwa hazina madhara.Ile juisi nilisema kamwe siwezi kunywa maana siku ile nilikunywa na akanibaka na kunisababishia hayo majanga.
Na leo najua alikuwa na mpango wa kutoa hiyo mimba maama kila siku alikuwa akishangaa ukuaji wa tumbo langu.
Baada ya kula kama kawaida bila hata kufunga milango tukaanza michezo ya kimahabati pale pale sebuleni.Mimi nilikuwa nikimkataza mzee huyo na kujaribu kumweleza kuwa nilikuwa na mimba hivyo kufanya tendo hilo ilikuwa si sahaii.
Yaani mzee huyo alikuwa ni kiboko maana siku hiyo alikuja na sera ingine kabisa.Si sera ya kuitoa hiyo mimba sera ya kutaka kunioa mimi na na niwe mke wake wa pili. Hili ndo lilinishangaza sana na kumuona huyu mzee kweli alichanganyikiwa na mabambucha yangu.
Hivi kwa umri huo kweli eti alikuwa bado anataka kuoa.Nilichomwambia ni kwamba hiyo ni dhambi sana na mkewe akisikia basi anaweza kufa kwa presha na sio kuzimia tena.Basi nilidaganywa danganywa pale pamoja na mimba yangu tukajikuta tumeinga chumbani na masikini ya Mungu badala ya kuingia chumbani kwangu mzee huyo alinibeba juu na kwenda kunibwaga chumbani kwake.
Hakutaka usubiri wala kunipa nafasi akaanza ule ufundi wake wa kunichezea chezea hasa haya mabambucha yangu ambayo sasa yalikwa ni makumbwa kuliko.
Dunia tuhurumie Mungu tusamehe maana huu ulikuwa ni zaidi ya ufirauni.Sikuweza kukataa moja kwa moja maana mzee huyu angeweza kunifukuza kama ningemkatalia mambo hayo.
Sasa na hiyo mimba yangu hilo likitokea sijui ingekuwaje. Mzee akajifanya shadadi na kuonesh maujuzi yake bila kujua kuwa…
Mzee akajifanya shadadi wa kuonesha maujuzi yake bila kujua kuwa za mwizi ni arobaini. Basi mzee akaniweka mkao wa kuliwa ambao kwake ulikuwa ni rahisi sana kuyachezea matiti yangu.Akayashika haya mabambucha yangu na kuanza kuyapapsapapasa kwa mbali na kuyabinya binya kama vile kama vile anabinya embe dodo kusikia kama limeiva.
Akaanza kulichezea kulilamba moja huku hili lingine akiendelea kutumia mkono wake. Alinyonya chuchu yangu huku akinisifia kuwa nilikuwa na matiti mazuri.Aliingiza mdomo wote huku akiwa anamung’unga mung’unya kisha akaweka lips zake juu ya titi hilo huku sasa zoezi hilo akiamishia mchezo huo kwa upande wa lile titi lingine.
Akafanya kama alivyofanya mwanzo kabla ya kupanda juu kidogo maeneo ya shingoni na kufanya kama ananing’ata.Hapa aliniweka love bite iliyonifanya nigugumie kwa raha.Niseme tu ukweli mzee alikuwa fundi sana wa haya mambo.Maana lile titi la kwanza ambalo ndo mkono ulikuwa umeweka pozi alianza kwa kulipa mate.
Alililambalamba bila mpangilio na kuahakisha amegusa sehemu zote kwa haraka. Hapo nilishindwa kujizuia nilianza kujinyonga nyonga kwa raha.Akalishika lile ziwa akalinyonyonya sehemu ya chini ya uvungu ambayo sasa huku ndipo raha zangu zilijificha. Hapo sasa bustani yangu ya siri ilianza kutoa ute ute ishara kuwa ilikuwa ikihitaji kukaushwa kwa jembe la babu huyo.
Alipogundua hilo alipaka mate kidole chake na kuanza kusugua chuchu sehemu ya juu huku mdomo ukiendelea kulalamba lamba uvungu wa titi hilo kumbwa kama Bambucha.Akafanya mageuzo na sasa alikuwa akitumia ulimi wake kumung’unya incha ya chuchu huku akinifanya kama ananing’ata ng’ata kwa mbali.
Nilipata raha sana na nilihisi kunikojoza hata kabla ya shughuli yenyewe. Nilitamani anipe kile kitu roho inapenda lakini ndo kwanza mzee alikuwa bize kuonesha ufundi wake.Akaendelea kunipapasaa na kunitekenye tekenya chini ya kitovu.Akawa ananibinyabinya mbavu zangu.
Akaendelea kunipa raha na ssasa akawa anaanza kuchezea mpira kwenye maeneo hatari ya goli langu.Nilianza kutapatapa ili kumzuia hasinifunge goli la mapema na kumpa ushindi wa haraka.Juhudi zangu hizo hazikuzaa matunda maana sasa mzee alianza kupiga mashuti kwenye lango la kuingia.
Si mashuti ya mguu bali ni mashuti ya mkono iliyongoza na kidoe chake cha matusi.Alipoona hakitoshi akaongeza spidi kwa kukipa sapoti na kidole cha pete. Mchez ukaendelea kabla ya sasa kuingiza kiungo chake kilichoumbwa maalumu kwa ajili ya kazi hiyo.Ahpo sasa ndo raha ilizidi huku mimi nikijitahidi hivyo hivyo na akitumbo changu kukata mauno ya ngono.
Raha ikakolea lakini ilihisi pia kuna harufu tofauti nadani ya chumba hicho.Kuna kama mashashi mazuri yaliingia mchezo huo ghafla. Ilibidi ninyanyue shingo ili kuangali ni nani aliyeingili mchezo huo.Mungu wangu sikuamini nilichkna.Alikuwa ni maam mwenye nyumba mke wa huy mzee akiwa amesimama huku mkononi ameshika panga kali kabisa.
Nyege zote ziliniisha maana harufu ya marashi iligeuka harufu ya damu. Kifo kilinukia eneo hilo na hapo nilimsukuma yule mzee kwa nguvu.Hapo akadondoka na kubiringita na kwenda kwenye miguu ya mke wake.Aliponyanyua sura ndo sasa akakutana laivu laivu sura ya mkewe.Mzeee alianza kutetemeka kabla ya kushusha shingo na kujidondosha puu kama gunia la mahaindi.
Mzee alizimia na kupoteza fahamu.Mama naye kwa mchecheto ilimlazimu kutupa lile panga na kuanza kumtingisha tingisha mzee.Mimi nilishavuta khanga yangu na kujifunga zaidi.Akili za haraka haraka zikanituma kuwa hakuna haja ya kufanya makosa nilitoka na kuwaacha hapo.
Ingawa ilikuwa ni usiku lakini kwangu niliona kama ilikuwa ni mchana.Niliondoka na kufuata barabara ya kwenda stend.Pana umbali na eneo hilo huwa hatari lakini mimi sikujali nilizidi kusonga mbele.Yaani jamani kweli kufuniwa ni noma maana siku hiyo sikuwa hata nimevaa kitu cha maana zaidi ya khanga moja tu na kitop nilichokibeba mara baada ya kukimbia.
Sikuwa hata na kufuli yaani na haya mabambucha we acha tu.Sikujua hata naenda wapi lakini kwa sababu nilitaka kuokoa maisha yangu sikuona haja ya kukaa hapo.Nikiwa barabarani nimekaribia kabisa kufika kuna gari ilikuwa inakuja upande wa mbele.Ilinibid nikae kwa pembeni ili kujificha.
Ghafla ile gari haikupitiliza moja kwa moja bali ilinipita kidogo na kusimama.Sikuwa na wasiwasi sana maana lile gari nilikuwa nalifahamu.Lilikuwa ni lile la yule daktari rafiki yake na baba yule ambaye alikuwa akitaka kunitoa mimba siku ile ndo marehemu mama yangu akamtokea.
Dokta huyo na yeye alinitambua ndo maana alisimamisha gari ili kutaka kujua kulikoni usiku huo.Nilihisi kuwa huo ndo msaada mkubwa hivyo nilindelea kusimama hapo hapo huku nikiwa na aibu zangu kutokana na vazi hilo la khanga moja ndani hakuna kitu.
Vikanga vyenyewe ni hivi vya mchina mwee kina onesha yaliyomo kama yamo. Swali la kwanza aliloniuliza ni nini tatizo.Sikumficha na nilimwambia kuwa tumefumaniwa.Akaniuliza “wewe na nani?”.Nikamwambia mama ametufumaa nikwa na mme wake rafiki yako.
“Poleni sasa huku unaenda wapi”. “Siju hata ninapoenda ila namkimbia yule mama amenishikia panga anataka kuniua”. Dokta huyo ambaye na yeye alikuwa ni mtu wa makamo kidogo alitafakari na kuniambia kwa kuwa ni usiku sana yupo tayari kunipa hifadhi alafu pakikucha ndo tutajua nini cha kufanya. Nilijifikiri lakini sikuwa na la kujibu zaidi ya kukaa kimya.Baadaye alinishika mkono na tukaingia kwenye gari.
Kweli tulienda mpaka kwake na mkewe na alitufungulia mlango. Mkewe alishangaa sana kuona mme anakuja na binti usiku huo.Mke wake nilichompendea si mtu wa kukurupuka kwa sababu alitumia busara kuuliza nini kimetokea.Daktari huyo akamuelezea na hakuficha kitu hata kimoja jambo ambalo lilimuhuzunisha sana mama huyo na kuniangalia kwa jicho baya kama vile alikuwa akiangalia nyanya mbichi.
Kweli mabinti wa sasa hivi ni kiboko kwani si nilisikia pia wewe ulifumaniwa na mtoto wake na ndio mwenye ujauzito. “Mimi baba nanii sitaweza kwa kweli kumuhifadhi huyu binti.Huyu binti ni zaidi ya shetani kwa haya ayafanyayo.Yule mama pamoja na busara zake alizozionesha mwanzo aliamua kunihukumu.
Mzee yule alisema jambo moja tu muacha alale asubuhi ataendelea na safari yake. Akamwita mfanyakazi wao wandani na kumuambia anaioneshe sehemu ya kulala. Hapo mama alikuwa kimya mzee ndio msemaji wa mwisho. Niliingia huko chumbani nikaoneshwa chumba na kulala.
Sikuwa na amani ya nafsi roho iliniuma na nilijuta kabisa kumfahamu yule mzee ambaye ndo ananisababishia yote haya katika maisha yangu.Asubuhi hatimaye ikafika na sasa sikujua nini nifanye. Nilichezesha akili sana nikana kwa kuwa tayari mama huyo mke wa dokta ameshaonesha kuniakataa hapo hakuna namna zaidi ya kuondoka tena bila hata kuaga.
Maana nikisubiri papambazuke vizuri hiyo ina maana kuwa naweza hata kurudishwa kule nyumbani. Yule dada wa kazi alikuwa huko nje akifaya usafi hivyo na mimi nilitoka huko nje na nilimfuata na kumuambia yeye ni mwanamke mwenzangu hayo yanayonikuta mimi yanaweza kumkuta hata yeye hivyo mimi natoroka ila anaisaidie nguo tu ya kujisitiri.
Yule dada alinangalia kisha akatingisha kichwa ishara kuwa alinionea huruma sana.Akanipa ishara kuwa nimfuate huko ndani. Akaniuliza tatizo sio nguo tatizo ni kwamba nitaeleka wapi hili hali sina ndugu wala nini. Nilimwambia popote tu mimi nitaenda kuishi hata kama ni huko Ifakara.
Dada yule ambaye kiumri alioekana kuwa ni mkumbwa alizidi kunisihi kuwa nisikurupuke na ni vizuri niende nikaombe tu msamaha. Nilimwambia hapana sitakai tena kukaa karibu na hao watu hasa huyo mzee mana yeye ameharibu maisha yangu, maisha ya mwanaye na hata ya mkewe.
Cha msingi nilimwambia anisaidie nguo tu mimi nitajua huko mbele.Alikuwa akisita sita na mimi niliona kuwa alikuwa akinipotezea mda hivyo nilianza kupiga hatau na kuondoka zangu.Dada ilimbidi anifuate na kunishika mkono na kunirudisha ndani.
Hakutaka kuongea tena bali alifungua begi lake na kumwaga nguo kitandani.Akanambia nichague nguo ambayo nahisi mimi itanitosha.Nilishangaa maana kwa msichana eti akuambie uchague nguo je ukichukua ile ambayo yeye anaipenda kuliko zote. Ilibidi nimwambie anichagulie yeye ili nisije nikamkwaza.Akachukua nguo nzuri tu akanipa nivae.
KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni