Notifications
  • MWALIMU MKUU (3)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA TATUILIPOISHIA...chausiku alishangaa kuziona zile sale “JAMANI NANI KAKUPA MWANANGUU??!!”aliuliza chausiku kwa mshangao“Kaka juma”alijibu ramekiIKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“Oooh juma jamani mungu akubariki ooooh asante mungu”alitamka mama rameck uku akinua mikono juuRameck alizijalibu zile nguo hakika alipendeza sana adi mama ake alimfagilia kwa vigeregere “jamani juma mungu akuwekee…
  • MWALIMU MKUU (2)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA MBILIILIPOISHIA...“MUNGU WANGU YULE SI MZEE ALINANI???!!!”aliuliza chausiku kwa mshangao chausiku alimuangaria mzee alinani ambae amepoteza furaha yake ya kusomaMzee alinani alikuwa anakuja kuangaria bishala zake pale sokoni kwa kina chausiku.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Mzee alinani alistuka kumuona chausiku alikwepesha macho yake kwa aibu alitoka kwenye soko lile, chausiku alimpitia…
  • MWALIMU MKUU (1)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA KWANZA“MAMA USIFE MAMA NITAISHI VP NA HII MIMBA MAMA”ilikuwa ni sauti ya mdada aitwae chausiku akimwambia mama ake asifee bado anamtegemea mama ake na mimba yakee“CHAUSIKU MWANANGU NAJUA MIMI NDIYO TEGEMEZI LAKOO NILIPAMBANA NA KILIMO ILI USOMEE LAKINI UMECHEZEA SHIRINGI CHOONI MWANANGU UMESHIKA MIMBA BADO MWAKA MMOJA TUU UMALIZE LAKINI NDO IVYO MWANANGU MIMBA NDO ISHAINGIA SINA BUDI KUKUFUKUZA INGALI UKO MOYONI MWANGU NAKUPENDA MWANANGU CHAUSIKUU ILA…
  • THE NIGHTMARE (9)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TISAILIPOISHIA...“mmenifananisha, mimi ndio kwanza naigia ofisini mida hii.” Aliongea yule afande na kuigia kituoni.“sasa aliyekuwa anatuhoji ni nani kama sio huyo?”Alijikuta anajiuliza mwenyewe swali lililompa utata mkubwa kichwani mwake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wakati wakiwa hawajui hili wala lile, walishangaa kuona maaskari wakijazana pale na ambulance ikafika…
  • THE NIGHTMARE (8)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NANEILIPOISHIA...Walipofika feri, walipewa nahodha mwingine tofauti na yule aliyemuota na boti ilikuwa ndogo tu ya kawaida tofauti na ile aliyoiota.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Sharji alijikuta anapiga makelele baada ya kumuona Balqis akiwa amejaa damu mdomoni huku ametoa makucha yake akimfata kwa nia ya kumdhuru.“AAAAAAAAAAAGH”Sharji alipiga kelele na kukurupuka.…
  • THE NIGHTMARE (7)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SABAILIPOISHIA...“kha!!!!”Ulikua mshangao mkubwa kwa watu karibu wote baada ya kumuona Sharji akiwa na taulo akitoka chumbani kwa Balqis.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wengine walicheka na kaka yake alionekana kutoifurahia hali ile.“sasa wewe unatutia wasi wasi bure, si ungesema tu kama unaenda kulala kwa huyu dada?” aliongea kaka yake na kukirudia kile chumba alichompangia…
  • THE NIGHTMARE (6)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SITAILIPOISHIA...“toa loud speaker bwana.”Aliongea Balqis baada ya Sharji kubonyeza kitufe cha kupaza sauti.“kwanini hutaki nisikie maongezi yenu?” aliongea Karimu kwa sauti ya ukali kidogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“kwani kuna ubaya mimi nikiongea private na mdogo wako?” alijibu Balqis baada ya kuisikia sauti ya Karimu.“hakuna ubaya.” Alijibu Karim kwa sauti ya…
  • THE NIGHTMARE (5)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TANOILIPOISHIA...Alijikuta outomatic akijisemea kwa mshangao baada ya kumuona dada mmoja mrembo mwenye asili ya kiarabu akiingia mule ndani. Hakuvaa ushungi kama alivyowazoea kuwaona waarabu wengi ambao alikutana nao. Huyu alivaa suruali ya jeanz nyeusi na juu akiwa na kikoti chake cheusi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Kati kati kulikua na nguo Fulani nyeupe iliyonakshiwa…
  • THE NIGHTMARE (4)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NNEILIPOISHIA...Aliongea Khalidi na kuufungua mkanda wa suruali yake na kuanza kumtandika Karim.“unanipiga mimi?...utaona!”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Aliongea Karim na kuondoka huku analia.*****************************Zilipita wiki mbili bila ya Karim kuonekana nyumbani kwao. Sabra alisikitika kidogo kutokana na kuwapenda sana watoto wake japokuwa huyo mtoto mkubwa hakuwa…
  • Fumanizi la Mchepuko Mwizi😂 | Comedy
    Mume amefuma viatu vya mchepuko wa mke wake mlangoni lakini akakosea kuingia ndani kabla aweke umakini kwenye hivyo viatu mwisho wa siku akaibiwa na vyake😂Hili tukio lazima lichukuchekeshe sana hata kama ulikuwa haujataka kuchekaItazame kisha nipe like na ukinipa maoni kwenye comment nitashukuru sanaUsisahau kubonyeza Subscribe kama haujajiunga na fungua #ChekanaZephiline kupata video zangu zote ambazo zipo mtandaoniNashukuru sana kwa wewe ambaye unanipa nguvu ya kuendelea kuwaletea kazi nzuri…

BAMBUCHA (22)


JINA: BAMBUCHA
Mwandishi: Eliado Tarimo

SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI
ILIPOISHIA...

Yaani kuonesha kuwa nilichokifanya kilimchangayanya alidondosha glass pale mlangoni.Jambo lilonifanya nijinyanyue kizembe na kwenda kumpokea kinywaji.Alibaki amesimama kama zuzu hasiyejua cha kufanya.Nikainama kama nafanya yale mazoezi ya chura na kumuachia huu mgongo wa dhahabu.

TUPATE BURUDANI KIDOGO KISHA TUENDELEE

SASA ENDELEA...
Nilizisogeza zile glass pembeni na kunyanyua nilimpa mkono na tulisogea kitandani. Niliona kabisa suruali yake ikiwa imetuna sehemu za mbele kuashiria kuwa tayari maji yalizidi unga. Nilifungua kile kinywaji na kabla sijanywa nilimnywesha.Sasa nilikuwa nafanya vitu ambavyo ataona kama nilikuwa nampenda.

Mwanaapolo akachanganyikiwa kabisa maana alianza kunisifia huku akisema wanawake wa namna yangu anaishia kuwaona tu kwenye video. Nilimwambai asiseme hivyo maana mapenzi hayachagui.Hapo naye kuonesha hata kutongoza hajuai akasema eti kama mapenzi hayachagui basi nikubali kuwa naye usiku huo.

Nilimwangalia kwa jicho la mahaba kisha nikasimama nikapanua mikono yangu kuwa nahitaji anikuimbatie. Alinikumbatia kwa nguvu na sasa nikaanza kupapasa pasa mgongoni mwake. Ili kumchanganya nilimnong’oneza masikioni na kumwambia sijafaya mapenzi mda mrefu sana je ataweza kunikata nyege zangu.

Nilikuwa kama nimemchokoza maana alinisogeza polepole mpaka kitandani na sasa tayari mdomo wake ulikuwa kwenye kinywa changu ukitafuta juisi ya miwa. Ukisikia ndege mjanja amenaswa kwenye tundu bovu ndo leo. Nilijisemea huyu mapigo mawili tu namaliza kazi usiku huo hata kunionja hanionji.

Tulinyonyana ndimi kwa nguvu na mimi nilikuwa najifanya nimenyegeka kwelikweli. Kwa haraka haraka zake za kutaka kupata utamu akaanza kunilambalamba shingoni. “”Uuuuuuhhhh hapo hapo nilambe nilame huko humo”. “Yeees yeees Jamani jamani chini kidogo nilimpagawisha kwa madaha hayo huku miguu yangu nikiipandisha juu na kuanza kumsugua naya mgongoni.

Nilijihisi kuwa mapigo yangu ya moyo yalikuwa ya haraka haraka hivyo tayari alishanisogeza kitandani vizuri na alishaanza kuninyonyaa sehemu ambazo zilikwa na mtego.Alitoa titi langu moja na kuendelea kulinyonya huku na yeye akaonesha ufundi wake hapo nikagugumia kwa nguvu na kuomba aninyonye lile la kushoto ambao huwa ni kumbwa zaidi kuliko la kulia.

Alifanya kama nilivyotaka na hapo nikaw ana uhakika nusu saa baadaye atalaala usingizi wa kifo na mimi nitaondoka na kile kilichonileta hapo. Yeye alifikiri wanawake wazuri ndo rahisi hivyo mkutane leoleo na leoleo umkule. Aliendelea kuninyoya huku sasa akiwa anashuka chini.

Alikuwa na haraka zaid ya mabasi ya mwendo kasi. Alinichojoa zote na kubaki kama nilivyozaliwa. Sasa michezo yake ilinifana nianze na mimi kusikia raha. Lakini pamoja na hayo nilipanga kutompa penzi sana sana ataambulia kunichezea tu. Hii inaitwa “hata ukinawa kula huli na hata ukioga mjini huendi”.

Mara aliniachia na nilimuona akivua nguo zake zote ishara sasa alaitaka kufanya mambo. Jambo hili si rahisi sana hivyo niliamua kutumi akili za kuzaliwa hili kumkomesha tu.Niliushika ule matarimbo wake na kuanza kuuchezeachezea kwanza. Niishika kile kichwa cha naniliu ya kuanza kukipikicha pikicha kwa kutumia mikono yangu hii laini.

Lengo ni kupoteza mda ili ile dawa ianze kufanya kazi.Ilikuwa tayari rob saa imepita hivyo ilikuwa bado robo saa ingine mambo yawe mambo.Basi niliamua kujitoa ufahamu kwa kucheza na sehemu hizi za siri za mwili wake. Baada ya kupikichapikcha nilipabusu sehemu ya juu au niseme kiunoni kwa mbele kama naelekea chini lakini sikufika kweney uume.

Nilizishika kende zake na kuanza kuzichezea taratiiiibu huku nikiangalia jinsi alivyokuwa akijinyonga nyonga kaushiria kuwa alikuwa anapata raha kamili. Niliendelea kujitoa ufahamu kwa kutumia mdomo wangu kutumbukiza zile kende zake na kuzitoa huku nikifanya kama napuliza.

Nilichukua ile maiki huku nikiichezea nitakavyo na kuimba nyimbo zote ambazo nilijua lazima zitamfurahisha mwanaume. Nilikuwa makini sana na meno yangu kwa sababu uuume ni sehemu iliyo na steki na laini hivyo ukijichanganya uking’ata tu mwanaume husikia maumivu.

Pia nilikuwa makini sana kutojaza mate kinywani mwanagu. Nilijua mate yakiteremka kwenye uume nitashindwa kumnyonya au na pia nitashindwa kubana ulimi. Hii kozi nilishapewa na kiboko yao Sabrina.Kuwa ukiwa unanyonya koni lazima ubane mdomo hili ahisi kama naniliu yake ipo kwenye naniliu yako.

Nilimchezea na niliona kama anataka kumwaga.Hivyo nilitumia tena mikono kusugua kirungu mpaka akamwamga..Sikutaka kumuachia maana aliaonekana bado alikuwa na nguvu hivyo nilichukua shuka lilopo hapo karibu nikafuta vizuri.

Hilo lilikuwa ni pigo la kwanza sasa pigo la pili ilikuwa ni rahisi zaid kwani nilimpapsa ule uume kisha nikamramba mapaja taratibu huku nikiyaleta makende ili niyanyonye. Huduma hii ina raha sana hivyo nilijua kamwe hawezi kunyanyuka. Nikayatia tena mdomoni na niliyamung’unya taratibu hapo sasa nilipopasa pumbu nikaoana ngozi imeshikamana na kuwa ngumu.

Hiyo ndugu yangu ni ishara kuwa mwanaume anasikia raha na kufurahia huduma. Hii ni raha sana ukimfanyia mwanaume ako lakini ndo hivyo pesa ngumu jamani mimi nipo kazini natafuta pesa ya kujenga. “Iga ufe, jaribu unate”.Nikaendelea na shughuli kwa kupitisha vidole vyangu kwenye uume nikapeleka mikono juu na chini huku nikiiangalia kimahaba hiyo maiki.

Ili kufanya mkono usiwe mkavu niliushika uume wake nikautia mate kisha nikapaka na kwenye mkono ili iteleze.Kwa kuwa ilikuwa ni raundi ya pili nikajua kabisa hawezi kukojoa kwa haraka. Kwa kuwa alikuwa bado hajazima niliamua kuendelea tu na ufirauni huo.

Nilichukua tena uume na kuutoa mdomoni na safari hii sikuutia wote bali kichwa tu kisha nikabana mdomo.Hapo nilisikia kama anataka kulia.Hiyo ndo ilikuwa ni furaha yangu kumpagawisha mpaka ajihisi yupo bara lingine.

Nikabana zaidi mdomo nikatia ulimi kwenye tundu la uume kisha nikacheza kile kitundu kwa ulimi wangu uliochongoka kama wa nyoka.

Alianza kulia kama mtoto ma mimi nikawa nafanya makusudi yaani nilimpa zaidi. Nikatoa uume tunduni nikashuka chini hapo uume ukiwa bado upo mdomoni huku nikiwa nimebana midomo nikarudi juu na chini.Nikafanya zoezi hilo huku nikitoa sauti ya mahaba na kuumua kwa wingi.

Pumzi niliyokuwa naitoa ilizidi kumpa rahaa maana hile hewa ya pua ilikuwa ikimpuliza uume wako na kujihisi labda yupo baharini akipita upeo wa bahari yana hana habari kuwa mda mchache baadaye atalia na kusaga meno.Sasa nilikuwa namalizia pigo la pili kwa kipengele cha mwisho.

Basi nikaitoa mdomo nikaanza kulamba kuanzia chini mpaka kichwani mwa kirungu.Hapo kichwa changu original nilikuwa nimekiweka upande mmoja huku nikimbusu nakuangalia mwitiko wake. Alikuwa amerendemka kwa kweli maana khaa sikujua macho yake yalikuwaje.

Si hata mekundu yaani yalikuwa kama ya blue bluu.Nia kama kazi ilishaisha maana alikwua akipumua kwa mbali sana. Nilikaguwa mpaka mdomoni kwake na kujaribu kuangalia kama kuna povu lilikuwa limetoka.Niliambiwa na Sabrina dawa hiyo ni kali sana na akaiwa anatoa povu tu nimda wa kuondoka.

Tayari alishalala mda hivyo nilivaa nguo zangu haraka haraka na kuanza kusachi kwenye mifuko yake ya suruali. Nilipaa kile nilichokitaka maana ni kweli walikuwa wakitembea na madini kuogopa kuibiwa. Kwa hiyo sikuangaika na mabegi maana huko ilikuwa ni kupoteza mda.

Nilinyanyua simu na kumwandikiia sms Sabrina na kumwambia tayari nimemaliza kazi yangu.Ilikua ndo saa nane za usiku hivyo nilimwambia Sabrina kuwa nikifikia hapo nje amtoroke yule kijana mwingine tusepe zetu.Basi nilitoka na nikaenda kwa ule muhudumu na kuniambia nishamaliza kazi yangu asubiri mgawo hiyo kesho.

Katabasamu akanambia nitoke tu kwani ameshaongea na mlinzi hivyo hawezi kunizua hapo getini lakini pia tuhakishe na yeye tunamtoa hiyo kesho.

Basi nilitoka na kuchukua tax mpaka eneo lile la disco. Nilipofika nilimtumia sms Sabrina na mda mchache baadaye nilishanga nikaona kuwa akitoka kwa kujiamaini sana.Akanambia ameshamuwekea na yule bwana kwenye kinywaji kisha amemkabidhi na anajua na yeye lazima atalala tu club.

“Una roho mbaya wewe mwanamke nilimwambia huku tukimwelekeza dereva huyo atupeleke huko tunakoenda.Ila kiusalama hatukutaka hatufikishe nyumbani.Alitushusha mahali ambapo tulikuwa tukijulikana na hapo tulichukua dereva mwingine ambaye alikuwa anatujua vizuri.

Tulifika nyumbani na kitu cha kwanza ilikuwa nikufungua ule mzigo na kweli ulikuwa ni wenyewe. Sabrina alirukaruka akanikumbatia na kuniambia “safi sana Bambucha wangu umefanya kazi nzuri sijapata kuoana. Wewe ni roho mimi ni mwili tushatoka hivyo”.

Alichanganyikiwa huyu binti na alifungua friji akatoa kinywaji na kufungulia mziki tukaanza kucheza. Tulifanya sherehe usiku huo maana haaa ilikuwa ni zai ya ushindi.Basi baada ya kurukaruka hapo tuliamua kulala huku tukimshukuru Mungu kwa kutusaidia kufanikisha uwizi huo.

Tulilala usingizi mzuri sana usiku huo maaana mioyo ilikwua na amani ukilinganisha na hizo pombe ambazo tulikuwa tumekunywa.Tulikuja kuamka inakaribia mchan kwa jinsi tulivyokuwa tumechoka. Kitu cha kwanza kuulizana kuwa tunaenda kula wapi.

Yaani siku hiyo nilishndwa hata kwenda kufungua ofisi kwa jinsi nilivyokuwa nimechoka.Tulioga zetu na kwenda kutafuta supu mahali ambapo ilikuwa ni karibu kabisa na mahali ambapo tulikuwa tunakaa.Baadaya ya hapo sasa ndio tukaanza kupanga mikakati ya kujua hayo madini tunaenda kuyauzia wapi.

Sabrina tayari alikuwa ni mtu wa mishemishe akanambia sasa ngoja siku hiyo tutafute gari kabisa ya kuazima ili tufanye mambo yetu kwa uhuru. Kweli akapiga piga simu zake na tuliletewa gari hapo nyumbani.Huyu kila kitu alikua anajua hadi kuendesha gari alikuwa anajua na leseni alikuwa nayo.

Hatukutaka siku hiyo ipite hivi hivi tuliamua kwenda huko wanapouza madini. Aisee hasikwambie mtu madini yana pesa. Maana eti vimawe vile vilikuwa na thamani ya million 100. Aaaah wacha nicheke mie maana sasa utajiri ulikuwa nje nje na umasikini ndo tulikuwa tunauaga hivyo.

Pesa zikaingizwa kwenye akaunti moja kwa moja na tayari tulishagawana nusu kwa nusu lakini pia tulikumbuka kutoa pesa ya yule dada wa kwenye ile hotel ambaye alisaidia kukamilisha dili hilo. Tulipanga pia tufungue duka lingine kumbwa kwa ajili ya kutuingizia pesa zaidi.

Sasa mambo yalienda vizuri tulikuwa ni wafanyabishara wakaumbwa sana. Lakini kama unavyojua jasiri aachi asili. Tulipopata madili hatukuacha kuyafanya. Umaarufu wetu mjini uliongezeka kupita kiasi.Sasa hakuna hasiyemjua Bambcha. Pia kazi ingine ambayo ilikuwa ikinipa pesa nyingi ni ile ya kuwakomesha wanaume ambao waliwahi kuwaumiza wasichana.

Katika harakati hizi kuna siku nilipewa dili la kuvunja uhusiano wa mwanamziki mmoja maarufu hapa Tanzania ambaye alikuwa akitoka na msichana maarufu sana kwenye bongo movie. Kazi hii ndo kazi ambayo kwa kweli nakiri ilinipatia umaarufu sana. Siku hiyo nakumbuka kulikuwa na tamasha kumbwa la wasanii pale Escape one.

Sasa nilahidiwa kulipwa pesa nyingi sana na timu Fulani kama tu nitaweza kufanya watu hao maarufu kutengana.Basi kama kawaida niliingia zangu ukumbini nikipiga hesabu zangu na jinsi ya kufanikisha lengo langu. Siku hiyo nakumbuka pia kuna mwanamziki mmoja maarufu kutoka nchini Nigeria alikuwepo.

Kila nikipiga hesabu za kutia mdudu kwenye mapenz ya wawili hawa nilikuwa nakosa pakuanzia. Basi nilisubiri alipopanda masanii huyo wa Nigeria. Na hiyo ni mara baada ya wasanii wetu wa bongo na huyo msanii ambaye nilitakiwa kumwaribia kutumbuiza.

Mpaka hapo ni kwamba nilishashindwa kazi na hata Sabrina siku hiyo alikuwa mpole sana akiamini mimi ndo nimeishiwa mbinu sina tena cha kufanya. Basi nikasikia MC akisema yule dada aliyeandaliwa kwa ajali ya kucheza na 2face ajiandae. Hapo lile biti la wimbo wa your my Africna queen ulikuwa ukipigwa.

Hapo ndo ukisikia mimi ni chizi freshi ndo siku hiyo. Maana niliondoka kwa kujiamini kama vile mimi ndo dada ambaye niiandaliwa. Kwa jinsi nilivyovaa na kwa jinsi nilivyokuwa najiamini mabausa walijkuta wakiniacha mpaka nikafanikiwa kupanda jukwaani.

Kwa bahati mbaya tulipanda wawili na huyo aliyeandaliwa. Mimi nilianza kuonesha mbwembwe zangu kuwa mimi ndo malkia wa kiafrika. Hapo yule mwanamziki akatoa nafasi kuwa wote tucheze na kura zitapigwa nani mkali.Tunasemaga kosa la difenda goli, nilichukua ushindi maana kucheza na kuonesha madoido ndio kazi yangu.Alafu kwa jinsi mwili ulivyokuwa mzuri ilitosha kabisa kupigiwa kura nyingi..

KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

ENJOY WAKATI UKISUBIRI MUENDELEZO, SUBSCRIBE KAMA HAUJAJIUNGA NA CHANNEL YETU

26 Bambucha Simulizi Z26
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni