UTAMU WA FUNDI (4)

0
Mwandishi: Yona Fundi

SEHEMU YA NNE
ILIPOISHIA...
Wakati na rudi huku nipo na kitaulo changu ambacho kilikuwa kimetunisha sehemu ya kati ya mwili wangu kwa mbele

Mara nilionana na Mwaju uso kwa uso, Mwaju alizubaa kidogo akinishaanga sikuelewa anashangaa nini sikutaka kulemba nilichojua nikuulizia mzigo wangu.

TUPATE BURUDANI KIDOGO KISHA TUENDELEE

SASA ENDELEA...
“Mwaju vipi mzigo wangu?”
“Ahaa!.. kaka Fundi mbona upo tu subiri nikakuletee”.
“Ok nakusubiri fanya haraka”

Ilikuwa ndio kipindi ambacho nikihisi tu atakuwa anarudi kutoka kwenye mishe zake kwasababu tu alivyovalia ni kielelezo tosha kuwa alikuwa matembezini. Sekunde kadhaa baada ya kufungua mlango wake Mwaju alitoka na bahasha kunikabizi.

“Ok Mwaju thank” nilimjibu, kabla ya kumuliza kitu “ila hakuna ujumbe mwingine?”
“Hakuna kaka Fundi”
“Sawa Mwaju usiku mwema” nilimwambia huku nikiingia ndani kwangu.

Nilimwacha Mwaju akiwa kama amepigwa butwa hivi mimi hata sikujali nilichujua tu kuwa muda wa mechi karibia inaanza nahitajika niwahi tu isije gemu ikaharishwa bure.

Muda mchache tu nilingia ndani kwangu nikamwangalia Mama mwenye nyumba kwa jicho la wizi wizi tu mtoto wa kiume. Nilitundika langu taulo nyuma ya mlango wangu nikazima tv yangu alafu nikawasha redio ilinikiwa na kula langu tunda majirani wasinisikie.
Nilipanda kitandani huku Mama mwenye nyumba akionekana akiwa na hamu kweli ya mtanange sikutaka kupoteza muda. Nilichojua nikuanza kupanga yangu mashambulizi ilinimalize mchezo mapema.

Nilianza kukaa gua mahadhi ya kiwanja chenyewe huku nikisaidiwa na wasaidizi wangu kutokana na uzoefu niliokuwa nao nilishajua nianzie wapi niishie wapi niliamua nianzie chini kabisa. Nilianza kutalii kwenye yake miguu kuelekea maeneo yale ya ikulu yake ndogo kwa namna na madoido ya hali ya juu iliyomfanya Mama mwenye nyumba kutoa milio tofauti tofauti. Kama vile mbwa kabanwa na mlango,vile nilizidi kuongeza mautundu ndani ya miguu kuelekea upande ule kadrii nilivyokuwa nikimgusa gusa niliona Mama anazidi kubadilika kama vile kinyonga kama ameona hatari fulani hivi mbele yake.

Nilizidi kuwasha moto kwa namna ile nilizidi kumpagawisha Mama wa watu sasa nikaona Mama nae anajibu mapigo taratibu akaanza kuchezea ukuni wangu ambao ulikuwa tiyari ushawaka. Kwa kadiri Mama alivyokuwa anauchezea ndio hivyo na mimi nilizidi kumgusa gusa mpaka nikafika maeneo ya ikulu yake ndogo Mama tiyari alishakuwa amelowa lowa.

Nilizidi kutalii kiufundi sana kwasababu nilichokuwa nataka ni kufanya na maliza mchezo mapema sana iwezekanavyo. Kwa namna nilivyokuwa nikimsugua Mama alikuwa akipiga kelele mbaya mpaka nilihisi wapangaji wa mule ndani wanaweza kusikia kwa namna mayoe ya Mama yalivyokuwa yakizidi kutokana na moto ule.

Nilishajua kuwa Mama tiyari kwa shakwisha sasa ndio muda wakupigilia misumali ya ushindi ila kabla sijajua ni tumie njia gani nimalize mchezo nilihisi kama kuna mtu. Anachungulia dirishani hivi, japo kuwa ni usiku ila taa ya nje ilikuwa ikimulika vizuri ndani kwangu.

Kiasi kwamba niliweza kubaini vizuri kama kuna mtu anachungulia namna nilivyokuwa na cheza mechi yangu nilijiuliza kwanini angalie wakati kingilio ajatoa, au kwasababu sikufunga pazia la dirisha langu vizuri. ndio apate upenyo ule wa kutazama michezo namna nilivyokuwa na mpeleka puta puta Mama mwenye nyumba.
Nilishajua atakuwa Mwanju nikaona isiwe tabu muache tu angalie akiumia hatajua mimi sina shida wacha nimshindilie misumali Mama mpaka ajue kuwa yupo dunia nyingine. Dunia ya maradha ya Fundi.

Sasa nikaona kutokana na hali ya Mama inabidi atibiwe nisije nikapoteza nilimweka vizuri huku nikimwekea mto katika ya kiuno chake ili pampuchi yake iwe kwa juu ilinifaidi mautamu ya Mama mwenye nyumba. Mautamu ya Baba mwenye nyumba wetu, huku nikijiuliza mara mbili mbili utamu huu wote ananipa Mimi Baba akirudi tu si utaka ila wacha nijilie mimi.

Mama pampunchi yake ilituna kama vile kitumbua chamoto hapo sasa nikaanza ukaguzi wangu. Kwa ufundi wa hali ya juu,ukaguzi ambao ulimfanya Mama ashindwe kuvumilia Mama mwenye nyumba kuanza kutoa sauti mfululizo kama mtu ambaye anatapatapa. Mwanaume nilizidi kusugua kama vile nasugua sufuria yenye masinzi kuhakisha inatakata safi kabisa namna ya usuguaji wangu ule ulikuwa auna mfano. Ulizidi kumfanya Mama wa watu anze kutoa maneno hata nisiyo yaelewa sijui kilugha gani ,hata sikuelewa mimi nilizidi kumpasha moto.

Mpaka tukamaliza mzunguko wa kwanza Mama alikuwa hoi maana alishaenda mlama karibia mara tatu wakati mwanaume ndio kwanza nimefyatua yangu lisasi moja kwenye yangu pisto .
Wakati wa mapumziko Mama mwenye nyumba alizidi kunipa maneno kibao kuwa raha anazopata tangu azaliwe ajawahi kupata na hakika atakubali utamu ule haukosi yupo radhi achane na wake mume.

Nilichoka maneno ya Mama yule maana mtu kaolewa tena na mzee mwenye heshima zake chochote anachotaka anapata hapa ndio nikamkumbuka Sophi naye huwa king'ang'anizi japo kuwa mke wa mtu ila fujo zake nilibidi tu kumzoea .Mama naye ndio alizidi kunipagawisha na maneno yake sasa hapa nikaona muda wowote naweza nikahamishwa mji cha kufanya hapa kutokana na kodi yangu inakaribia kwisha nihame mtaa huu isije ikawa hatari na hawa watu maana mpaka sasa Mwaju anaweza kujua kuwa na tembea na Mama mwenye nyumba akimweleza Baba mwenye nyumba sindio kupewa sumu kama waswahili wasemavyo mke wa mtu sumu. Nilijuliza ila nikaona suluhisho ni kuhama tu kodi ikiisha tu nikuondoka hakuna kingine.

“Vipi Fundi baby? Mama aliniuliza”
“Safi tu ..baby wangu”
“Nakupenda Fundi kwa raha zako sikuachi”
“Usijali.. baby nipo kwajili yako”
“Sawa Fundi ila ni naombi moja tu”
“Ombi gani baby?”
“Niambie kwanza kama utakubali ndio nikwambie na kama utakubali nitakupa kila kitu na kwangu utakaa bure mpaka utapoamua kuondoka mwenyewe”
“Hamna shida Mama ninaweza… kukubali kama jambo ilo zuri kwangu”
“Zuri tu usijali”
“Haya niambie.. Mama”
“Naomba usiwe unatembea na hivi visichana vya hapa mtaani kwetu ni vimalaya sana usije wakusabishia matatizo Fundi wangu”

Nilitulia kidogo huku nikifikiria jinsi gani ya kumjibu Mama mwenye nyumba wakati huo Mama alizidi kuniletea uchokozi kwenye maeneo yangu ya ikulu, kusababisha kuanza kusababisha usumbufu kwa mkuu wa idara ya ulinzi . Kwa namna alivyo Mama niliamua kumjibu sawa tu Mama nimekuelewa ombi lako nitalifanyia kazi huku Mama akiwa bado analeta usumbufu sana maeneo yangu ya kunako nilishindwa kuvumilia. Na mimi nikaanza kuzinyonya zake chuchu huku nikiwa na mtomasa tomasa kwenye makalio yake taratibu kuelekea kwenye ikulu yake kwa jinsi nilivyokuwa na tomasa tomasa Mama ndio hali ya kurudi mchezoni iliongezeka

Nilimyonya Mama wakati huo Mama alikuwa yeye kazi yake nikuleta kausumbufu maeneo ya ikulu yangu nilimbinya binya kwa utaratibu na udambwi mwingi maeneo yale . Hapo niliamua kuahamia sehemu nyingine ila kabla sijahama niliona kama Mama anataka kufanya kitu ilibidi nimpe nafasi nayeye aoneshe ujuzi wake Mama naye hakuwa nyuma japo alikuwa na. Mwili hivi lakini alikuwa mwepesi, sana haraka alidakia mpini wangu nakuanza kusaficha kupitia chake kinywa kwa ujuzi mkubwa kwa namna alivyokuwa anausafisha mpaka. Nilikuwa nikisikia raha zisiokuwa na mfano hakika hata mwenye mali angekuja kwanza ningemuomba Mama aendelee tu kunisafisha baadae tungemalizana tu kama sumu angenipatia ila si kwa muda ule.

Mama naye alikuwa ana balaha mpaka wazungu walishaanza kuja ila Mama ndio alizidi kusafisha. Nilijikuta na mpakia zangu lisasi mdomoni mwa Mama mwenye nyumba ila. Hata akushutuka ndio alizidi kuzipokea kwa madaha tena ya hali ya juu.
Kwa namna alivyokuwa akifanya nilijikuta na bandika na bandua mpini hakutaka kupumzika na safari huku mimi nikicheza cheza na ikulu yake .

Mama alitulia kidogo akaniachia nafasi sikutaka kupoteza muda, nilimkunja Mama kama samaki vile alafu nikawa na mpampu tu kwa nguvu.
“Uwi.. uwi yellow ..ahaa..”
“Ishii.. uwii.. utamu baby”
“Huo.. huo ..uwi acha tu”
“Nipe… nipe fuuu…”
“Ahaaa …nipe.. Fundi wangu….”
“Usiache nipe utamu”

Mama sauti zilizidi kumtoka hatari Mama wa watu hatari mwanaume moto tu nilimwashia nikajikuta na mshindilia magoli matatu bila ya mapumziko.
Hatari namna mziki ulivyokuwa mkubwa mama alikubali sana kazi yangu na asante mia kidogo nilizipokea usiku ule na kuniahidi kesho ataniletea. Elfu hamsini nikanunue chochote ninachopenda.
Kutokana na muda kwenda na si kutaka yatokee yalitokea jana nilimuomba Mama arudi ndani kwake.
Mama hakuwa na hiyana kwa namna nilivyomyoosha mama hakuwa na pingamizi ilikubali.
Nilimfungulia mlango wachumba changu mama iliaweze kutoka taratibu sikutaka watu wasikie kama nafungua mlango. Maana mlango wenyewe unapigaga makele kama ugomvi ndio milango yetu ya uswahilini ulivyo.

Taratibu nikafungua mlango wangu kwa tahadhari sana isije kuwa kuna mpangaji anaweza kusoma mchezo ule au uwenda yupo chooni kwasababu vyoo vyetu vipo nje na ukiwa maeneo yale unaweza kujua kila mtu anayeingia na kutoka chumbani kwake.
Mmh ..ile na mtoa Mama tu nilishangaa sura yangu iligongana uso kwa uso.

Na sura ya Mwaju ni Mwaju kabisa, niliona aibu sana. Nikaona sasa
dhahama ya kuhama nyumba ndio ilikuwa inakaribia. Maana kujua habari zangu Mwaju habari zangu sindio zitasambaa ndani mule. Na tatizo si kusamba ingekuwa mwanzo wa Baba. Mwenye nyumba kujua mwizi wake wa mali yake.

Sura ya Mwaju licha ya mimi kugongana nae uso kwa uso hata kwa Mama mwenye nyumba ilikuwa vile Mwaju alifahamu vyema kuwa yule ni Mama mwenye nyumba mtazamo wake ulijenga maswali mia kidogo. Na ilikuwa inampa uwakika kwa kile alichokuwa anakiona wakati nampa mambo Mama mwenye nyumba ni kweli kabisa. Miguno ile na namna nilivyokuwa nampa shughuli Mama huyo ilimfanya Mwaju amwangalie kwa jicho kali. Mama alitoa mfunzo mkali huku akishia kwenye chake chumba akimwacha Mwaju asijue cha kufanya kwa wakati ule. Lilikuwa likimshuka kweli hakuamini kama Mama anaweza kufanya yale heshima aliyojiengea ndani mule uaminifu wake kwa mumewe ama kweli hakuna kitu kisicholiwa hata kiwe haramu watu watakula tu, nadhani hilo alitambua.

Sikutaka kushangashanga japo ilikuwa naona aibu na nisijue cha kufanya niliamua kufunga mlango wangu huku nikiwa sijui cha kufanya endapo Mwaju atasambaza habari zile. Na kama wapangaji wengine wakijua si balaha kwangu ama kweli nyumba nitayona chungu siku sijingi nilijisemea wakati narudi kwenye kitanda changu.

Japo kuwa nilikuwa nimechoka kutokana na ule mtanange baina yangu na Mama mwenye nyumba ila nilishindwa kabisa kupata usingizi ilinijipumzishe akili yangu yote lilikuwa likifikiria lile tukio lilitokea muda mfupi.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

ENJOY WAKATI UKISUBIRI MUENDELEZO, SUBSCRIBE KAMA HAUJAJIUNGA NA CHANNEL YETU

Subscribe channel hizi ili usipitwe na video za Vichekesho


Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)