Notifications
  • MY DIARY (35)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TANOTULIPOISHIA...Tatu niliambiwa kuwa ndugu zake na wazazi wake walihusika kwenye mipango hiyo hivyo walibariki kabisa huyo binti kuniacha mimi mumewe wa ndoa na kuamua mtoto wao aolewe upya. Nne ni kwamba huyo mzungu amewaamishia wazazi wake mjini na amewajengea nyumba ya kifahari.Kwa hiyo mimi ninavyowapigiana simu na kuwajulia hali kumbe wenzangu huwa wananichora tu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (34)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Hapo nikakumbuka kuwa zile zana zangu za kazi nilikuwa nazo ni vile vifaaa vya kupimia ukimwi ambavyo huwa navitumia kabla ya kukutana na mwanaume yeyote nisiyemfahamu. Nikaamua kumkubalia huku nikiamini kuwa hiyo ndo kinga yangu pekee iliyobaki kama mwanaume huyo atataka kuzini na mimi usiku huo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi tuliondoka na kwenda sehemu…
  • MY DIARY (33)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TATUTULIPOISHIA...Nilikuwa nachanganya staili za kijamaika na hizi za kwetu, sikuacha pia zile za Nigeria hapo nikapata vitu vyangu vya tofauti kabisa. Basi baada ya kujihakikishia kuwa nipofiti kwa mastahili yangu hayo nilisubiri siku ya shindano ifike nikafanye yangu. Siku ya shindano ilifika na mimi nilikuwa miongoni mwa washiriki walioingia tatu bora.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (32)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MBILITULIPOISHIA...Lakini kuchepuka kwangu na kuingia mgombani haikumaanisha kuwa sheria ingeniacha hivi hivi.Ilifika mahali ikabidi nizime gari na kutulia tulii kusikilizia nini kitafuata.Tayari nilikuwa nimezungukwa na mapolisi ambao walikuwa wakinifuatilia kwa kutumia pikipiki.Kwa bahati nzuri dereva wa lile gari na yeye alishafika hapo na alishawaambia polisi kuwa mimi naugua ukichaa na nilifufuka kutoka mochwari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (31)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MOJATULIPOISHIA...“marehemu pia alinieleza kuwa ana miliki duka la vitu vya urembo wa kike ambalo pia Leah analisimamia ila hilo apewe mdogo wake Marry ambaye yupo hapa. Mama mdogo huyo mara baada ya kuyasema hayo alikaa zake chini. Baba mdogo ambaye hakurizika na maelezo hayo alisimama na kusema “kwa hiyo kama marehemu alijua kuwa atakufa hivi karibuni kwani nini hakufuata taratibu za kisheria za kuandika wosia na kurithisha mali.IKIWA UNASOMA…
  • MY DIARY (30)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINITULIPOISHIA...Baada ya hapo Nnilimwomba mama mdogo ajikaze na kuwatarifu ndugu wengine habari hizo za msiba.Tulisaidiana hivyo hivyo maana sio siri kila mmoja alikuwa na uchungu sana kutokana na mazingira ya kifo hicho. Habari zilizidi kusambaa kwa kasi na majirani walianza kukusanyika hapo kwa mama mdogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Msiba ni msiba tu na ukitaka kujua binadamu…
  • MY DIARY (29)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TISATULIPOISHIA...Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (28)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NANETULIPOISHIA...Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole. Hapo na mimi nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama wanalijua hili.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa…
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…

MAPENZI NA NGONO (17)

Mwandishi: Pablo

SEHEMU YA KUMI NA SABA
ILIPOISHIA...
Nikajikuta nikishusha pumzi za furaha na kumkombatia kwa nguvu sana
"Oooooo vipi broo vipi samson upo fresh kaka??"
"Mmmh vipi pablo nipo wapi aaaa kumbe shule nilizimia eee aaaa ulinisukumiza ukutani"

TUPATE BURUDANI KIDOGO KISHA TUENDELEE

SASA ENDELEA...
Samson akawa anauliza maswali huku akiwa anajijibu mwenyewe huku akiwa ananiangalia mimi ambaye nilikuwa bado nikimpepea huku nikimuangalia yeye.
"Samahani sana samson halikuwa kusudi langu samahani sana"
"Daaah kichwa kinauma balaa hivi pablo kwanini umemchukua halimaa"
"Daa mwanangu nyanyuka tuondoke kaka Tutayaongea vizuri"

Hakika samson alikuwa anampenda sana halima alikuwa ni chizi kwake jina la halima lilijaa katika daftari lake kutokana na kumpenda bila ya kupoteza muda nikamsaidia samson kunyanyuka kisha haraka haraka nikaenda darasani tena na kumchukulia samson begi lake kisha nikamshika bega huku nikimsaidia na begi lake na kuanza kushuka ngazi za lile jengo.Nikamsindikiza mpaka kituoni na kuhakikisha Mpaka anapanda gari kisha na mimi nikapanda gari la kuelekea nyumbani.

Hakika mawazo ndio yaliendelea kuniandama sana nikiwa katika gari na nilipokumbuka vuguvugu lilotokea nyuma nilibaki kumshukuru Mungu huku nikiwa siamini kabisa kuwa samson ni mzima kutokana na Kipigo kile nilichompa. Nilifika nyumbani Na breki yangu ya kwanza ilifikia kwenye simu yangu ya mkononi ambayo nilikuwa nimeizima Nikaiwasha kisha nikaiandika namba ya samson iliyokuwa kichwani na kuipiga haikuita sanaa ikapokelewa.

"Nambie Man pablo" nikajikuta nikishusha pumzi ndefu huku nikitabasamu kwa furaha baada ya kusikia sauti ya Samson ambaye mchana wake nilipigana naye kisa Halima.
"poa sam vipi unaendeleaje kaka??"
"Fresh Mwanangu kichwa kilikuwa kinanisumbua mida flani lakini sasa fresh kaka"
"Aaaaaa daa safi sana vipi sam unapiga msulu nini"
"Kama kawaida pablo lakini nini kaka naomba unisamehe kwa yale yote ya mchana yaliyotokea unajua hasira tu za hapa na pale"
"Aaaa nishakusamehe kaka tena kitambo tu halafu vitu vile vya kawaida chakumshuruku mungu tu tumebaki wazima Maana mwanangu Nilijua umekufa kaka"
"Aaaa mimi jembe siwezi kufa kizembe sasa unajua nini pablo nakuomba uendelee kumueleza Halima jinsi gani ninavyompenda nampenda sana nipo radhi kumpa kila kitu atakachokihitaji katika Maisha" samson aliongea kwa hisia na kuniambia na kunifanya nitulie kimya kidogo na kutathimini kwa kuchekecha ubongo wangu.

"Usijali mwanangu nishaweka vocha sasa hivi namsaundisha"
"Poaa kaka" Nikajikuta nikitikisa kichwa baada ya kusikia maneno ya samson aliyeniambia Kuwa bado niendelee kumshauri halima awe naye.Nilimuonea huruma samson kutokana na jinsi anavyompenda halima ambaye eti alikuwa akinitaka mimi.Nikachukua tena simu yangu nakumpigia halima na kumuambia mkasa mzima uliotokea na kumshauri kuwa awe na samson ndiye mwanaume anayemfaa jambo ambalo halikupita kabisa katika masikio mwa halima na alikataa kata kata.

"Jamani tena ndio nimezidi kumchukia yani anadiriki kukupiga wewe mpenzi wangu yani mwambie simtaki simpendi na sitompenda tena na aondoe kuwa na Mimi katika maisha yake Pablo sikia Mimi nakupenda wewe nitakupa chochote utakachotaka Baby hata ukitaka kusikostahili baby i love you nakupenda sana" Maneno yakamtoka halima na kuzidi kuniudhi na Kunikera na kunivunja Nguvu bila ya kumjibu nikakata simu yake kwa hasira kisha nikajibwaga kitandani na kuanza kufikiria Mchezo unavyokwenda ghafla mlio wa messeji ukalia katika simu yangu na nilipochukua kuangalia na nani tena alikuwa si Mwingine bali ni Samson kwa hofu nikaifungua.

"Nambie kaka vipi ushamwambia mwambie Bana Nampenda sana yani hapa nasoma lakini hata haviingii namuanza yeye tu" Messeji ya samson ikazidi kunichanganya na wala sikumjibu nikakata simu nakutuliaa kitandani.
"Mmmh yani rebecca,dada tuse,rukaiya,zureiya na huyu halimaa kweli kazi ninayo....."...

. Asubuhi na mapema bila ya kuchelewa siku ya jumatatu nikahamka na kujitayarisha kwenda shule ilikuwa ni siku muhimu mno kwa sababu ilikuwa ni siku ambayo kila mwanafunzi wa kidato cha nne alikuwa akiisubiri kwa hamu na hofu kubwa kwa sababu ilikuwa ni siku ya kupanda mazao tuliyoyanunua na kusubiri kuyapanda kwa kipindi cha miaka minne.Mwanaume nilikuwa nishajiandaa vya kutosha tena bila ya kuogopa nikiwa nimeshika compass langu mkononi lilikuwa na dhana zote kama pen,penseli na mambo kibao.

Nikaingia shuleni na moja kwa moja nikaanza kumtafuta Samson rafiki yangu ambaye siku mbili za nyuma tulikwaruzana kisa mwanamke ambaye alikuwa ananitaka mimi lakini mimi nilikuwa simuhitaji lakini mdomo wangu ulikuwa mzito sana kumwambia kutokana na kuogopa kumuumiza.Nilikutana na Samson ambaye alifurahia sana kuniona akiwa na washikaji wengine ambao nao baada ya kuniona wakaishia kunipa hai tu

‘’Inakuaje Samson mambo vipi umejiaandaaje na mtihani mshikaji’’ ‘’daa fresh tu Pablo kazi kazi oya vipi mwanangu uliiongea na Halima roho yangu maana nampenda sana’’samson akinichomekea ya Halima jambo ambalo lilianza kunikera lakini sikutaka kumuonyesha zaidi ya kutabasamu tu na kumpa moyo Samson ambaye alifurahi baada ya kumuambia Halima anamfikiria kwa mara ya pili. Baada ya kuonana na Samson mwanaume nikaanza kuzunguka zunguka tu shuleni nikisubiri muda muafaka ufike ghafla nikiwa katika mizunguko yangu pale pale shuleni nikaasikia naitwa na nilipoangalia nani ananiita alikuwa si mwingine bali ni Halima alikuwa ndani ya tabasamu pana baada ya kuniona mimi sikutaka wala kumfuata mwanaume nikajifanya kama simuoni na kuondoka na kumuacha huku akiwa na mshangao wa hali ya juu.

Kengele ikagongwa kuashiria mtihani ulikuwa tayari kufanya na sikuwa na budi kuelekea katika mistarini tuliyoelekezwa kwa lengo la kwenda kupewa maelekezo ya hapa na pale na kukumbushiwa sharia za mtihani ambayo tayari tulikuwa tunazijua sema mwalimu mkuu msamamizi wa mitihani alikuwa akitukumbushia.Ilipotimia saa mbili kamili tukaingia katika vyumba vyetu vya kufanyia mitihani hali iliyosababisha presha kupanda na kushuka kwa muda huo kila mtu alikuwa kimya kuwaza na kuwazua je mitihani itakuwa migumu kama walimu walivyokuwa wakituhusia kuwa mitihani ya mwisho ya kidato cha nne si lele mama kama wanafunzi wengi wanavyotegemea.

Siku zikasogea kwa kasi sana mitihani ilikuwa migumu hatari na hatimaye tukamaliza yote na kufanya hadi practical kwa sisi tuliokuwa tunachukua sayansi.kila mtu alikuwa na furaha na huzuni katika siku hiyo ilikuwa ni siku ya kuagana kwa sisi wanafunzi na hata walimu ilikuwa ni siku ya graduation ambayo shuleni hapo tuliamua kufanya baada ya kumaliza mitihani ili tuagane vizuri kila mtu alikuwa na furaha yebye majonzi ya hapa na pale kwa sababu tulikuwa tumezoeana sana sema ilikuwa graduation ambayo ilikuwa ni wanafunzi tu wazazi hawakualikwa kutokana na mambo flani ya kifedha ambayo ilikumba shuleni wakiwa na lengo la kuboresha Maabara yetu ya shule.

Wanafunzi tulikusanyika na kuanza kupewa husia na maelekezo ya kukabiliana na maisha ya mtaani huku kila mwalimu alikuwa akiisisitizia kutokana na vijana wengi wakati huu walikuwa weni wavuta bangi na wakabaji hali iliyosababisha wengi wao kuuliwa na wananchi wenye hasira kali na wengine hata kukamatwa na mapolisi ulikuwa ni wosia uliomgusa kila mwanafunzi aliyekuwa akiisikiliza. Baada ya kuhitimisha graduation hiyo iliyokuwa fupi wanafunzi wote tukaruhusiwa kuondoka huku tukipewa na wosia wengine kwamba tusisahau kwenda kusalimia shule.Siku hiyo Samson alikuwa hajaja shuleni na sikujua sababu ya kutokuja kwake shuleni mwanaume nilikuwa mpweke na kuagana na wengine na kubadilishana namba za simu kama wengine wanavyofanyaga

‘’PABLOOOOOOOOOOOOOOOO’’Ghafla nikasikia jina langu likiitwa na kusababisha nisimame na kugeuka nyuma kuangalia nani aliyekuwa akiniita Macho yangu yakakutana na halima aliyekuwa amependeza sana kwa nguo zake alizokuwa amevaa na kuonyesha umbo lake maridhawa lenye shepu nzuri na nene yenye kumvutia kila mwanaume aliyekuwa akimpitia karibu hakika alionekana mrembo hasa na si kama mwanafunzi alionekana mdada mwenye kazi zake aliponifikia karibu bila ya haya akanikombatia mbele ya wanafunzi wengine waliokuwa nao wanaondoka na kusababisha minong’ono flani kuanza kutokea na kusababisha mimi nimtoe haraka

‘’vipi sasa mbona ulikuwa unataka kuondoka bila hata ya kunishtua jamani au umesahau’’ ‘’hamna nimekutafuta sana sijakuona leo sasa unasemaje’’ ‘’Jamani baby ilo ya kuuliza tena twende gesti tu ukanipe kitu roho inataka roho inapenda baby’’ ‘’oooooooo basi twende me sina maneno’’bila ya uoga nikamshika kiuno Halima na moja kwa moja tukatoka shuleni na kuanza kushaka gesti ya kwenda kubanjuka mimi na halima ambaye alikuwa anamchukia sana rafiki yangu Samson bila ya sababu za msingi.safari yetu ikagota barabarani ambapo tulikuwa tukisubiri gari la kuelekea mitaa ya maeneo ya kwetu ambayo ndio nilimwambia kulikuwa na gesti nyingi zenye utulivu mkubwa na tunaweza kuenjoi kwa raha.

Nikiwa pale barabarani Halima akaona baiskeli ya mtu anayeuza koni na kutokana na kupenda akaniaga anakwenda kununua na mimi nikamruhusu akaenda huku nikiwa na msindikiza kwa macho kisha akanunua na kugeuka nyuma na kuanza kurudi huku akiniangalia kwa furaha iliyojaa kifani.ghafla bila ya hata ya kutegemea nikakumbatiwa na mtu nisiyemfahamu kwanza alinikombatia ghafla bini vuu na kusababisha hofu unitande nilipojaribu kutaka kumtoa akanizidi nguvu na kupeleka mdomo wake kwangu na kuanza kuninyonya denda mbele ya watu pale kituoni barabarani.nikatumia uanaume wangu kumsukumiza kwa nguvu ambapo alisukumizika lakini macho yangu yakatua moja kwa moja kwa rukaiya dada yake zureiya na kusababisha roho ianze kudunda ghafla kwa sababu rukaiya anafahimika vizuri sana na Halima ambaye shoga yake ni zureiya

‘’Vipi wewe unaogopa nini baby??’’ Maneno yakamtoka rukaiya na kuniambia mimi niliyekuwa natetemeka kwa uoga wa halii ya juu ‘’Heeeeee makubwa rukaiya hadi weewee unamzunguka mdogo wako??’’ kwa nguvu Halima akayatamka maneno yaliyomshtua sana rukaiya ambaye alipogeuka naye akashtuka na kupigwa na butwaa baada ya kumuona Halima aliyekuwa ameshika koni ambazo akazidondosha kutokana na kitu alichokiona machozi yakaanza kumtiririka na bila ya kuangalia Halima akaingia barabarani akiwa na hasira na majonzi ya hali ya juu

‘’PAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!????’’……
‘’Maaaaamaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!’’ ukulele wa nguvu ukasikika pale barabarani yakiambatana na mlio mkubwa wa gari ambayo iliyokuwa imefunga breki.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

ENJOY WAKATI UKISUBIRI MUENDELEZO, SUBSCRIBE KAMA HAUJAJIUNGA NA CHANNEL YETU

Subscribe channel hizi ili usipitwe na video za Vichekesho


27 Mapenzi na Ngono Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni