Notifications
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…

WEKA YOTE (9)


JINA: WEKA YOTE
Mwandishi: Gaooh Musah

SEHEMU YA TISA
ILIPOISHIA...
"Ndio amekushika mpaka shavu sio,!"
"hapana sir nilimwambia najisikia vibaya kichwa
kinasumbua ndio akaniangalia joto."niliongea kwa
wasiwasi.

TUPATE BURUDANI KIDOGO KISHA TUENDELEE

SASA ENDELEA...
"Umeona ulivyo muongo sana,umeniambia
hukuongea nae kitu zaidi ya kukuuliza umepewa
adhabu nanani,mbona asaivi unageuza kuwa
ulimwambia unaumwa alafu kichwa kinaangaliwa
joto kwenye mashavu,"alisema,maneno
mfurulizo,hapo sikupata ujasiri wa kuongea
ikanibidi ninyamaze tu kama sio mimi.

"Wewe,njia ya muongo fupi sana na nitajua tu huo
mchezo unaojaribu kuufanya na nikiugundua
utanitajia jina langu la utoto,"alizidi kunitisha sir.
"haya maliza kazi yangu naenda nikirudi nisikukute
umekaa hapo"alisema, na kuondoka. na mimi
sikuendelea kukaa pale, niliamka kuendelea na kazi
iliyonichosha tayari.

Nikiwa na vest tu nyeupe na suruali niliyoikunja
usawa wa magoti.Kazi ilikuwa ngumu kwangu
pengine sijawahi ifanya kabla, hata jasho tayari
lilianza kunitiririka kutokana na jua kuanza kuwa
kali huku masaa yakikimbia hima hima.

Mpaka imafika saa saba juu ya alama, jua
likikimbizana na masaa hadi kupelekea kwa kali
zaidi, tangia hapo nilibakisha nusu ya mkokoteni yani ndoo kubwa nane kwa makadilio yasio rasmi, kutokana na mkokoteni kuwa na ujazo wa ndoo kubwa zipatazo kumi na tano mpaka kumi nasita kulingana na ukubwa wa mkokoteni,nilivaa sura ya kazi kuuhakikisha uanaume wangu na kuifanya kazi kwa juhudi huku vipindi vikinipita niliishis kusikia kengere za pale vinapo anza na kuisha.
Watu baadhi hawakuacha kupita eneo lile hukuwakinitazama tu.

Nilifanikiwa kufanya kazi kubwa na kubakisha ndogo nilioivalia njuga kuimaliza.
Hatimae nilifanikiwa kujaza kifusi chote na kumaliza, hapo kutokana na udongo kunikaa miguuni hivyo sikuwa na sababu ya kutokwenda bombani kunawa,nilibeba na vifaa nilivyotumia na kwenda kusafisha,nilijisafisha ipasavyo hadi kuhakikisha nimetakata ndio nikaanza kusafisha vifaa ambavyo muda mchache tu vikawa safi.

Nikavibeba na kuelekea navyo store kuvikadhibisha nilipanda hadi juu chumba maalum cha vifaa na
kumpa store keeper, tayari na kuelekea ilipo ofisi
ya sir lusinde kumkabidhi kazi yake, nilifikahadi
pale na kuanza kugonga.

"hodii. hodii sir, sir,."iliita ila wapi hakuna alieitika
hali ya kwamba hakuna mtu hivyo sikuwana budi
ya kuendelea kukaa pale na kuita niliamua
kuondoka kuelekea darasani, nilitembea mpaka
kufika nje mlango wa darasa ninalo somea nako
nikakuta kuna mwalimu sikupenda nisimame zaidi
hivyo nikaomba kuingia.

"Please sir may I get in."niliomba kwa lugha ya
kimombo ambayo ndio lugha maalum kwa shule
za sekondari kutokana na kuwa lugha ya
kufundindia masomo yote isipokuwa kiswahili tu
ndio hakifundishwi kwa kingereza.
Baada ya kuomba kuingia sir nae kwa jina ka sir
john hakuwa na sababu ya kuni gomea hivyo
akaniruhusu niingie na mimi sikufanya makosa
nikaingia angali kwamba kipindi kiliisha somo la
history.

"Ulikuwa wapi gao,mpaka kipindi
kimeisha."aliuliza.
"sir nilikuwa kwenye adhabu."
"pole sana kwa adhabu,ila utaomba daftali kwa
wenzio usipo elewa nitafute sawa
nikuelekeze"aliniambia mwalimu sanjari na kubeba
vitu vyake kuondoka aliwaaga wanafunzi nao wakaitika hapo na mimi
nilifata ilipo sehemu yangu bila kuongea na mtu,
nilikuta pamekaliwa tayari na mtu kuziba nafasi
zilizokuwa wazi mbele hivyo mimi nikatafuta
sehemu nyuma isiyo na mtu nikakaa.

Na kuangalia mbele kana kwamba natizama unao
kumbe laahasha sipo huko nilikuwa katika dimbwi
la mawazo yote ni juu ya Grace kusema ukweli
nilimpenda pasipo kifani yani nilikuwa tayari kumpa
kila kitu atakacho kutoka kwangu hata angetaka
uhai wangu ningempatia ili mradi afurahi na
kunibakisha moyoni mwake, ila tayari nilichelewa
kumpenda alisha wahiwa hilo ndio liliniumiza moyo
wangu na kuupiga piga katika kichaka cha miba
hivyo kutoboka toboka kama chujio la nazi,
niliumia hata nikimuona.

Mawazo yalinipeleka mbali sana juu ya Grace.
Meza ya tano kutokea pale upande mwingine ndio
grace alikuwa amekaa tena vile nikitizama mbele
aliniangalia kwa jicho la wizi wizi akionekana kama
anataka kunifata,kitendo kile sikukipenda hata
kidogo hivyo nikaamka pale nilipokaa na kuhama
upande mwengine kabisa yote kukimbia grace
asinione sikupenda nimuone kabisa tayari moyo
wangu ulijenga chuki juu yake mana alikuwa
mwanamke wa ndoto zangu.

Nikiwa nimehama upande mwengine huku mawazo
yakiendelea kama picha ndio linaanza, mara ghafla
asha akaja pale na mwendo wake wa kujishaua.
"mambo gao."alinisalimia,ila sikupenda kumjibu
hivyo nilichuna tu.
"gao mambo jamani nakusalimia, kwanza
samahani juzi umeniita sikuja nisamehe kwa hilo
nilitingwa na kazi za nyumbani."alisema mimi
kimya, aliendeleakuongea kitendo kilicho
nikasirisha zaidi.

"Bhaaaaanaaaaa sitakiiiii ondokaaaaa
aaaah."niliongea kwa sauti kubwa ya kupaza hadi
darasa zima wakasikia na kuangalia kule.
"heee heeeee halooooooooo, si uondoke
hatakii."walisema wambea huku wakicheka vicheko
vya kimbea mbea hapo asha kwa aibu na haya
akaondoka akiwa kanyongonyea na mimi nikajilaza juu ya meza, mpaka kengere ikagongwa ndipo
nikaamka kufatana na wenzangu kwenda paredi
muda wa nyumbani umefika, nikiwa nimefika
mlangoni tayari kwa kuelekea paredi.

"Gao njoo hapa."ni sauti ya sir lusinde alieniita kwa
sauti ya juu,mpaka nikastuka na kumfata.
"naaam sir"
"kazi yangu umemkabidhi nani mpaka ukaingia
darasani.?"alinitandika swali.
"aaa nilikuja kukuita ofisini kwako sijakupata ndio
nikaenda darasani kuendelea na vipindi."niliongea
kwa wasi wasi.

"kwanini usinitafute, umejiamulia wewe mwenyewe
sio?"
"hapana sir sijakuona"
"hujaniona na hapa nipo wapi"
"sir nilikuangalia ofisini haupo"nikaleta ubishi
ikawa kama nimejiroga mwenyewe bila ya kwenda
kwa mganga.
"yani unabishana, sasa kwa kosa hilo nakupiga
wiki"alisema huku akinielekezea mkono chini
inamana nilale anitandike.

"sir nisamehe"
"sinaga msamaha nikitoa maamuzi"aling'aka,na
kuniforce nilale chini.
"dah sir, sir,"nililalamika ila hakuna alichonisikiliza tena ndio alizidi kunitishiaa.
"ngoja nikupe vya jioni njema ukawa hadithie
wazazi wako sawa."aliniambia, kisha nikiwa chini
viboko vilirindima mwilini mwangu hata sikupata
nafasi ya kuvihesabu, baada ya kulidhika na
kuniachia maumivu katika makalio yangu kwa
fimbo nilishindwa kwenda paredi hivyo nilijizonga
zonga mpaka wakaruhusiwa nikasubiri waondoke
ndipo na mimi nikawafatia nyuma sikupenda
kuongozana nao mana watoto wa kidato
chakwanza wanashida njiani wakianza michezo yao
ya kukimbizana njiana mara wasimame
marawashikane mikono ndio mana nasubiri wapite
mana bado hawajakua kiakili bado wana akili za
shule ya msingi kucheza mdako na komborela.

Nilitembea mdogo mdogo huku nikiugulia fimbo
zilizokuwa zikiuma sana, yani kwa hali ile ya
maumivu sidhani kama ningefika nyumba
ningethubutu kukaa kwenye mbao au mezani au
kitu kigumu nisingeweza.
Kwa mwendo wangu wa pole pole ndio
ulosababisha njia nzima nibaki mwenyewe watu
wote walitembea upesi kukimbizana na wingu
lililotanda juu, mimi sikulijali nilitembea mwendo
mdogo mdogo nikiwa njiani nakaribia nyumba
moja iliyoko mbele iliyojitenga na nyengine.

Hapo mvua ikashuka kwa sifa ilishuka mvua kubwa
kanakwamba tone lake moja unaloa sehemu kubwa
nilikimbia na kuingia katika ile nyumba bila hata ya
hodi,kitendo cha kuingia nakutana na loveness
mdada niliekutana nae kipindi kile machakani
akiwa anajisaidia na mimi nikafanya kweli kisha
kujuta baada ya kumaliza.
Nilijishangaa nimekutana nae vipi.

"Oooh gao karibu pole na mvua hapa ndio kwetu
wazazi wangu wametoka karibu ndani."aliniambia
hapo sikutarajia kukutana nae alivyo waajabu eti
akafunga mlango kabisa na funguo.
"wataka kufanya nini.?" niliuliza hakuwa na muda
wa kunijibu aliongea mengine kabisa.
"jamani gao nimekutafuta muda mrefu kila siku
nikingoja njia ya shule nikuone sikuoni jana
nimekaa kwanzia saa nane nakusubiri wewe
hujatokea tu leo kama bahati umekuja mwenyewe
mungu kasikia kilio changu."Alisema hapo
sikufikiria hata hicho anachotaka kufanya.

"Mimi sitaki niache niondoke tafadhali bora
nikanyeshewe na mvua kuliko kufanya sitaki."
nilisema, japo ni uamuzi mgumu ila sina
jinsi, sidhani kama chui anaweza kumsusa swala
hata kama kashiba,nilijipa ujasiri kukataa ila tamaa
ya mwili ilinishinda pale alipovua nguo na kubaki
kama alivyokuja katika uso huu wa dunia yani
(uchi).........

Niliona ni kitendo cha ajabu kwa Loveness kunivulia nguo zake zote na kuruhusu macho yangu kuuona kila kitu kilichomo ndani yake, japo kuwa nilipenda sana kufanya michezo hiyo ila siku hiyo, malaika wa wema walinijia na kumfukuza shetani mpenda watu kufanya maovu, nilikataa kabisa japokuwa alikuwa wazi ila sikushawishika.
"Loveness naomba niondoke zangu nipe funguo bora nikalowe na mvua ila sio kufanya mapenzi leo."nilipata ujasiri wa kuongea. Loveness alianza kukalamika huku akinijia karibu zaidi.
"Gao kidogo tu jamani nimemis shughuli yako isiyichosha please."
"Mimi siwezi kufanya,"
"Please jamani nimezidiwa kidogo tu nitalizika"alizidi kusema huku akinisogelea , na mimi nilizidi kumkwepa.

Chumba nilichoingia kilikuwa ni cha kulalia moja kwa moja mtindo wa nyumba ilikuwa kila chumba kivyake sasa nilichoingia ndio kilikuwa cha Loveness.
Niliendelea kukataa ila nilikuwa na shindana na nafsi mbili moja ikinitaka nikubali na nyengine nikatae, hivyo nafsi moja ilipata ushindi tena nafsi ya kunikubalia niende ila kwa masharti, nilipanga niende ila nikiwa na lengo la kukubali ili niichukue funguo na kuondoka zangu.
"sawa nimekubali tufanye."nilimwambia hapo akanirukia japo nimebeba begi langu la shule sikutaka niliweke chini.

"Umekubali gao,"aliniuliza huku kanikumbatia na nje mvua bado inarindima.
"yah, nimekubali."hapo alianza kunivuta kuelekea kitandani huku akiwa mbele na mimi akiniweka nyuma huku mikono yangu akiipitisha katika kiuno chake kilaini,tulitembea huku tamaa zikinikinijia ila moyo haukutaka kufanya hapo nafsi zilishindana kila moja ikiwa na maamuzi yake yakitaka kuuyafikisha kwa kiongozi ubongo anaeratibu matendo yote.

Loveness alilala kitandani akinisubiri na mimi nimlalie kwa juu hapo mimi macho yangu yalikuwa yakidadisi funguo ilipo, nilifanikiwa kuiona alipoiweka juu ya meza hivyo nilijifanya sijaona ndipo nikapeleka mkono wangu katika dodo zake nikimpagawisha ili nikimbie, nilianza kuyachezea nae akapagawa ndipo nikatoa mkono wangu na kuichukua funguo juu ya meza, kisha bila kutazama nyuma nikafungua mlango kwa fujo, kisha nikakimbia japo mvua ilikuwa inamwagika sikujali nilichojali ni kushindana na shetani la ngono lililokuwa katika orodha ya cv yangu tendo hilo nilikimbia huku nikijishaa mwenyewe..

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

ENJOY WAKATI UKISUBIRI MUENDELEZO, SUBSCRIBE KAMA HAUJAJIUNGA NA CHANNEL YETU

Subscribe channel hizi ili usipitwe na video za Vichekesho


28 Simulizi Weka Yote
Jiunge kwenye mazungumzo (2)
Maoni 2
  1. Unknown
    Unknown
    15 Desemba 2021, 08:58
    Profile
    Unknown
    Unknown
    Said: Nimefurahi
    Nimefurahi