SEHEMU YA TANO
ILIPOISHIA...
Esta haku ridhika aliona chupa ya bia na kuishika ambapo aliirusha kwa nguvu usawa wa Monalisa kwa bahati nzuri Mona lisa aliiona na kuinama kidogo ambapo ilipita na moja kwa moja na kutua kichwani kwa JOYLAH demu wake kway na kumpasukia kichwani.
Joylah alidondoka chini pale pale na damu kuanza kuruka.
KABLA HATUJAENDELEA NIOMBE BURUDIKA NA VIDEO HII
SASA ENDELEA...
Kitendo cha Kway kugeuka nyuma hakuamini baada ya kumuona demu wake yupo chini anavuja damu kichwani.
Esta alichukua chupa nyingine na kuirusha tena na kugonga ukutani.
"baby.. Love..we mwanamke una ona ulicho kifanya"?
Kway aliongea akiwa chini huku akimgeukia Esta na kumshika Joylah na kuzuia damu isitoke kichwani kwa Joylah.
kweli furaha yote ilianza kutoweka hakuna mtu aliye msikiliza mwenzake tena wakati huo
"nawewe usinizingue hapa msen**** nini wewe?"
Esta alimjibu kway na kumtukana huku akiendelea na timbwili lile bila kujali kilicho tokea.
"unasemaje?"
Kway aliinuka kwa hasira ili kumfuata Esta ampige. ila anazuiwa na Ramsey baada ya kushikwa mikono kwa nyuma na Ramsey
"kway kausha mpeleke Uyo demu hospitali achana na huyu Esta muwaishe hospitali"
Kway haraka haraka alimbeba Joylah na kumuingiza ndani ya Gari alilo kuja nalo na safari ya kwenda hospitali kuanza.
Ramsey alijitahidi kuwatuliza mademu wale na kumvuta kwa nguvu Esta pembeni.
alita futa bajaji na kuondoka na Esta mpaka nyumbani kwake Ubungo.
Ramsey alifungua mlango wa chumbani kwake na kuingia ndani huku Esta akifuatia nyuma.
"Ungeniacha nimuone..."
Esta alishindwa
kumalizia anacho taka kusema hii ni baada ya Ramsey kumvuta kwake na kumpa denda huku akiingiza mkono ndani ya ikulu ya Esta ambapo alijua ndipo udhaifu wake ulipo.
"mmmmh aaah"
Esta alitoa miguno na kusahau kila kitu.
Ramsey haku fanya makosa aliendelea kucheza na lips za Esta huku akiiipapasa ikulu iyo ya Esta na kumfanya mwenyewe aaanze kuvua nguo tena bila kuvuliwa maana alianza kusikia utamu kupita maelezo.
Ramsey aliingiza kidole ndani ya ikulu na kuanza kukizungusha kiustadi vizuri kana kwamba ana chokonoa dafu au koroma.
baada ya nguo za Esta kuwa pembeni moja kwa moja Ramsey alishusha kichwa chake na kuanza kudeki bahari ambapo alipo kua anadeki mkono mmoja ulikua juu ya ziwa la esta akishika shika chuchu za esta.
"Aaaaah Raa...am aaaaah mmmmh aaaah R....aam mmmmh aaaaah n....ak...uf....a aaaah hap..o h..a..po"
Ramsey haku taka kutoka chumvini aliendelea kudeki bahari akitumia ulimi wake vizuri na kwa ustadi sana.
Safari hii esta tayari alianza kuji kunja kunja huku akimshika Ramsey kichwa na kumkandamizia kwa sana kwenye ikulu yake .
baada ya sekunde chache Esta tayari aliiibana miguu yake na kumwangalia Ramsey machoni ambapo Ramsey ndo kwanza ajaanza mechi.
Alicho fanya Esta nayeye haku taka kuonekana mzembe alichukua mashine ya Ramsey na kuanza kuichua taratibu
alianza kumpasha Ramsey alivyoona tayari aliikalia kwa juu na kuanza kuzungusha kiuno chake.
Ramsey alimtupa kwa chini nayeye kuwa kwa juu ambapo aliuweka mguu wa esta wima nayeye kupiga magoti huku akiingiza mashine ndani ya ikulu ya Esta na pata shika kuanza.
ilikua kila baada ya sekunde Ramsey ana badilisha mikao mwishowe ana aamua kumuweka Esta CHUMA MCHICHA .
na iyo ndio staili ambayo esta huipenda kelele zilizidi sana ndani ya chumba hiko huku Esta akizidi kuzungusha kiuno chake .
Ramsey alimpiga kalio kwa kutumia ukofi uku mechi iki zidi kuendelea.
"baby ivyo ivyo aaaaah aaaaah aaaaaah mmmmmh"
Esta alitoa miguno ya hapa na pale huku akizidi kukata mauno yale ambapo ili fanya Ramsey aongeze kasi ya kuendelea na mchezo huo. shaba za Ramsey zili toka na kuji tupa kitandani.
"baby leo kati ya siku zote leo mchezo ume umiliki vizuri ujue nime piga tatu,"
Aliongea Esta akiwa juu ya kifua cha Ramsey
"una taka kingine. alafu mimi moja tu nime piga"
"Ndio najua., ila baby kilicho tokea pale baa sija kipenda. haki Amungu nita ua mtu.na shukuru Mungu ile chupa ile ime mkosa. yule kahaba wako, maskini ya Mungu ika mpata dada wa watu"
"Yaishe hayo Esta mi nakupenda una jua ndo maana nika muacha yule, "
"Hata kama unge niacha mimi pale nisinge kubali. mpka kingeeleweka."
"aya basi tulale au niku pige cha mwisho?"
"aaah Ram uta niua baby,"
Kutokana na Uchovu na pombe Esta aliji kuta analala muda ule ule juu ya kifua cha Ramsey na wote usingizi kuwapitia.
kilicho washtua asubuhi ilikua ni mlango uliogongwa hodi.
Ramsey alisimama na kuvaa taulo.
aliufungua Mlango na kukutana na mama Khadija mlangoni akiwa na kanga ambapo bila kuuliza aliingia ndani ya chumba cha Ramsey na macho kwa macho kuku tana na Esta ambae alikua amejifunika shuka kitandani.
"Wewe nani?"
Esta aliuliza baada ya kumuona Mama huyo kaingia mule ndani.
Mama kiukweli kilicho mpeleka mule ndani ili kua apate penzi la Ramsey alilopewa siku iliyo pita.
ila alivyo ingia mule hakutegemea aka jikuta ana tafuta kitu ambacho hakieleweki .
"Dada habari yako?"
ilibidi azuke akimsalimia esta.
"nime kuuliza wewe nani?"
"naishi hapa chumba cha pili"
"sija kuuliza una ishi wapi?"
"Naitwa Mama khadija nim..."
"Mama khadija"
ili bidi Ramsey amuite na mama yule kumgeukia .
"kiatu unacho kitafuta cha huyo Mumeo tangu jana nime kwambia hakipo hutaki kunielewa"
ilibidi Ramsey azuge vile maana alimjua Esta hana dogo na yasingeweza kuisha pale.
"sasa mimi ana nisumbua nakosa raha,naomba uni angalizie angalizie"
Mama khadija aliongea huku akiuendea mlango na kuondoka ila alijua nini maana ya Ramsey ilikua ni kuzuga
.
"baby mi sipendi"
"sasa hupendi nini Esta?"
"Hayo mazoea mpka vyumbani ana ingia ingia tu kama chooni alafu sasa na kanga moja , na una niambia ana tafuta kiatu. kiatu gani hiko. kwanini asinge subiri mpaka mchana. Huyo mama sio bure, mna takana"
"Mimi baby sijui , sasa kwanini ume shindwa kumuuliza alivyo kuwepo?"
"wewe sindo uliji fanya kudakia dakia na kihere here chako. alafu nikiongea oooh baby mkorofi oooh Esta mkorofi"
"yaishe basi wewe nenda kaoge basi jamani."
Esta alisimama na kuji funga shuka alichukua Taulo la Ramsey na kutoka nje kuelekea bafuni.
'ona jini kisirani kaingia kwenye utamu wa penzi langu,....kwani wivu ninao na roho yangu ina umia'
Alikua ni Mama Khadija akiimba nyimbo iyo ya DIAMOND ambayo ili lenga kabisa yaliyo tokea asubuhi ya siku iyo.
Ramsey ali sikia na kujua kivyovyote vile ana imbiwa yeye.
Esta alivyo rudi nayeye alichukua taulo na kuingia bafuni na kuanza kuji mwagia maji,
ilaa baada ya kuji paka sabuni ana hisi kama kuna mtu ndani ya bafu lile na kuku mbuka haja funga mlango na loki.
ivyo anaa mua kutoa sabuni machoni ili aka ufunge mlango ule.
kidogo apige kelele mule maana haku tegemea kama Mama Khadija angeweza kuingia bafuni mule akiwa na ile kanga moja.
"una taka nini humu bafuni?"
Aliuliza Ramsey huku aki toa toa na maji mapovu ya sabuni machoni.
"Ujui nacho taka. nataka hili hapa"
Mama Khadija ali ongea huku akishika dude la Ramsey.
"sasa humu sio mahala pake"
"maala pake wapi wakati ume leta kidemu chako mule ndani"
Mama Khadija ali mbana ukutani Ramsey na kuanza kuichua mashine yake huku akimpa denda. huku aki zidi mashambulizi ya kuichua Mashine ile na kuanza kunyonya chuchu za Ramsey na kumfanya Ramsey apate moto huku Mnara wake ukisimama uki tafuta netwok ili uweze kudaka mawimbi ya satelite
Safari hii Ramsey haku taka kuwa mzembe alimuinua mguu mmoja juu na kuanza kupekecha ikulu ya Mama Khadija kwa ustadi wa hali ya juu huku aki mnyonya shingo alishuka mpaka kwenye maziwa ya Mama Khadija na kuanza kuya lamba huku akiya tomasa tomasa alipaka mate kidole na kuki rudisha tena juu ya kiarage wengi ukiita kisimi .
na kumfanya Mama Khadija aanze kupiga ukelele wa raha na kuji sahau kuwa yupo bafuni.
Kwa kutumia nguvu Ramsey ali muinua Mama huyo na kuichukua miguu yake na kuizungusha kwenye kiuno chake huku akiweka sawa ukutani na pale pale kuset mitambo.
aliingiza Mashine ndani ya ikulu na mchezo kuanza ambapo alianza kumsugua mama huyo kila pande ya ikulu kana kwamba ana piga mswaki,
alipiga kila upande huku wakipeana denda Mama huyo alikua kama ana mashetani ya ki kwao sababu alikua aki katika sana ila Ramsey haku taka amruhusu amili ki uwanja siku iyo.
Yeye ndiye aliye taka awe fundi siku iyo wala sio vinginevyo.
Ali mshusha pale uku tani na kumwambia ashike ukuta kweli Mama khadija alitiii kuushika ukuta ule wa bafuni na Ramsey kuanza masha mbulizi upya.
"Ye....s ye...s ivyo. ivyoo aaaaah aaaah aaaah."
Ramsey alizidi kuendelea na mashambulizi yale na kuinua mguu mmoja wa kushoto wa Mama khadija na kumfananisha kama mbwa anae kojoa.
aliinua mguu ulee huku mchezo ule kuendelea kimnya kimnya.
Pata shika ile iliendelea mpka Mama khadija alivyoomba denda huku akimgeukia Ramsey alimpiga denda la nguvu huku akimkombatia kwa nguvu Ramsey alijua nini maana yake nayeye alizidisha kasi ya mashambulizi na kuji kuta mechi wana toka sare.
"Ramsey kumbe una shughuli?"
Mama khadija aliongea na kuokota kanga yake chini.
"Aaah mimi sijui kitu"
"wapi wewe. mchana uwahi kurudi mwaa mwaa"
'mbona kazi ninayo'
Ramsey aliongea kimoyo moyo huku akitikisa kichwa .
Mama khadija alimpiga busu la mdomo na kunyata akifungua mlango akitoka nje bafuni mule.
Ramsey aliji mwagia maji tena upya na kutoka nje ambapo alimkuta Esta amekaa juu ya kitanda.
"Kuoga gani muda wote huo?"
"Nili kua najisugua"
"muongo niambie ukweli"
"aya nili kua napiga NYETO bafuni"
"Upige nyeto vipi wakati mimi nipo?"
"nani ame kwambia mtu anapiga nyeto akiwa na demu. Nyeto starehe ya mtu namimi leo nime amua kufanya iyo starehe. raha jipe mwenyewe."
" mmmh..sasa nipe nguo zako basi niku fulie leo alafu baadae niondoke zangu. Kwani leo una toka?"
"Ndio natoka naenda kwanza hospitali kumcheki demu wa Kway alafu napitia kwenye ofisi fulani hivi. nipasie hilo shati jeupe na suruali nyeusi maana naenda kwenye ofisi ya Raisi leo"
"hahahahaha baby muongo eti ofisi ya Raisi,Una jua hata ina fanananaje?"
"Hivi una nichukulia poa eeeh?"
Ramsey aliongea huku akipaka nywele zake mafuta vizuri na kuingia kwenye sanduku aki tafuta nguo ata kayo vaa siku iyo.
alivyo ridhika alimrushia Esta na kumwambia azipige pasi
"Alfu baby uta msalimia Kway mpe pole sana"
"nita mwambia niachie mimi"
Esta taratibu alianza kupasi nguo zile na zilivyokua vizuri alimkabidhi Ramsey .
Alivaa suruali ile na kuchomekea na shati lake vizuri sana ambalo lili mbana sawa sawia.
na kuvaa moka. ki ukweli alipendeza sana siku iyo kama mkurugenzi au Hafisa wa bank kuu
"Kumbe baby ukivaa ivyo una pendeza eeeh?"
"Duuu kweli leo nime pendeza"
Alichukua moka na kuivaa mguuni. bila kusahau marashi aliji pulizia na kujiweka tena sawa.
"Funguo uta weka pale kwa siku zote"
USIIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
KWA KUTUMIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK, LIKE UKURASA HUU USIPITWE NA SIMULIZI NA MENGINE HUKO FACEBOOK