Notifications
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…
  • MY DIARY (7)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SABATULIPOISHIA...Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yeye alishindwa kushuka akiofika kile kitu kukaliwa na watu…
  • MY DIARY (6)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SITATULIPOISHIA...Akanambia kuwa wamemwambia wapo East Africa Pub na tayari wamaeshaagiza mkuu wa mbuzi. Mmmmhhhh kusikia mguu wa mbuzi mate yalinijaa mdomoni. Basi kwa harakaharaka nikamwambia naomba niende niende nyumbani nikachukue viwalo vya club kisha nitawakuta hapo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinambia mbona hizo nguo ulizofaa zipo poa tu wewe twende hivyo bhana si upo na…
  • MY DIARY (5)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TANOTULIPOISHIA...Akanisimamisha na kuanza kuiuliza maswali mengi yasiyo na maana huko akionekana kutojiamini. “samahani dada, sijui unaelekea wapi”? Nikamjibu dukani. Akavuta pumzi ndefu na kuniambia ok, nisaidie namba zako za simu. Nikamwangalia juu na chini nikwambaia nimezisahau na simu nimeiacha ndani nikirudi ndani nitakuletea..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Akaishiwa pozi akanambia,…
  • MY DIARY (4)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NNETULIPOISHIA...Uchambuzi huu ulinigusa sana kwani hata mimi nilijihisi kuwa sikuwa na utando huo yaani bikira japo nilikuwa sijawahi kujamiana na mwanaume wa aina yeyote zaidi ya ile michezo ya utotoni ya kula mbakishie baba au ile ya kibabababa na kimamamama. Alianza kunishika mapajani na kunifanya nianze kusisimuka ajabu kwani japo alikuwa ni mwanaume mikono yake likuwa ni milani sana kama ya mtoto wa kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media…
  • MY DIARY (3)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TATUTULIPOISHIA...Nazani sasa unanielewa ninaposema nilikuwa sina ndugu kwani baba yangu hakuwa na ndugu yeyeote zaidi ya marafiki ambao na wao kwa sasa ndio hao wameshagawana mali zote. Nimebaki mimi na dunia yangu hivyo basi nilimwomba rafiki yangu wa kufa na kuzikana kwa jina Joyce anisaidie kunisitiri nyumbani kwao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Likizo ilipoisha tulirusi shuleni na…

MAHABA NIUE (12)

Mwandishi: Emmanuel F. Kway

SEHEMU YA KUMI NA MBILI
ILIPOISHIA...
Kweli baada ya sekunde chache ana muona Fetty akija akiwa ameshika mkoba wake na kuingia ndani ya Gari na Ramsey kuanza kutembeza gari akielekea Mjini dukani kwake.

KABLA HATUJAENDELEA NIOMBE BURUDIKA NA VIDEO HII

SASA ENDELEA...
"Town una ishu gani Fetty?"
"Nina biashara zangu tu nina duka la vipodozi na saloon kule mtaa wa masasi"
"Aaaah wacha we mwana mke kujiremba bwana""
"hahahahaha acha vituko Ramso. wewe je una mambo gani?"
"Mimi nina duka la nguo pale mjini"
"Lina itwaje hilo duka"?
"HAJREYMER top classic "
"Hilo duka nalijua vizuri kumbe ni lako"?
"yes"
"ndi.....uwiii uwiii "

Fetty alianza kupiga kelele ndani ya gari na kumfanya Ramsey aanze kumshangaa.
"Mdudu mdudu kaingia huku Ramsoo mtoe"

Ramsey alimuangalia Fetty ambae anasema mdudu ameingia huku akimuoneshea ndani ya maziwa yake na kuzidi kupiga kelele Ramsey amtoe mdudu anae sema kamwingia ndani ya nguo yake hususani ndani ya maziwa huku akizidi kuji tupa tupa ndani ya gari


"Ramsooo mtoe jamani yupo huku mtoe ana ning'ata"

Fetty alipiga kelele huku akitupa tupa top ile aliyovaa Ilibidi Ramsey aachie mkono mmoja alioshika usukani huku mmoja kuupeleka kwenye maziwa ya Fetty ambae alisema kuna mdudu.

"Sasa si utulie basi nimtoe"
"Mtoe Haraka Ramsooo atani ng'ata"

Ramsey kiumakini aliiingiza mkono wake ndanibya maziwa ya Fetty na kuanza kumta futa mdudu huyo huku Fetty akikazana kuna mdudu.

Mkono ule ulingia mpka ndani ya chuchu za Fetty na kumfanya atulie asipige tena kelele za mdudu.

Ramsey ana toa mkono huku akiwa ame mshika mdudu huyo aina ya siafu
.
"yaani ki mdudu hiki ndo kina kufanya uji tupe ivyo. mbona wale wadudu wakubwa huwa ogopi?"
"Wale wana raha yake babuuu. wale ni natural"
"Wacha we. wale watamu?"
alafu ina elekea wewe mtundu wewe"
"Hahahaha kwanini?"
"kwa kukuangalia tu una balaa"

Ramsey aliongea huku akimkagua Fetty kwa macho ya kuibia na kugandisha macho yake juu ya maziwa ya Fetty ambae aliya weka boobs na kufanya Ramsey ameze mate na kuanza kumtamani na ndo huo ulikua ugonjwa wa Ramsey boobs.

Alizidi kumthaminisha Fetty kiuno chake kilivyo jigawa vizuri japo alikua ame kaa ila aliweza kupima kupitia nyonga ya Fetty iliyo jigawa vizuri kabisa.

"Una kiuno matata sana"

Ramsey aliongea huku akimshika Fetty kiuno na kumfanya aruke kidogo na kumkata jicho kali sana la hasira
.
" sasa una kasirika nini mtoto Fetty"?

"Ujue nita shuka ohooo, mi sipendi michezo yako nita mwambia Dada yako Loydah"

Fetty aliongea na kugeukia upande wa pili huku Ramsey akiendelea kuendesha gari wakati huo walikua washa fika maeneo ya jangwani

Ramsey alimuomba Fetty afunge mkanda sababu mbele kulikua kuna maaskari wange wakamata.

Fetty ana jaribu kufunga mkanda ila una mshinda kufunga.
"Ngoja niku saidie Fetty"

Ramsey alijisogeza kidogo kuuvuta mkanda wa Upande wa kiti cha Fetty ambacho kili kua kushoto kwake ila anaganda na huku akibaki akimwangalia machoni na kuanza kusogeza mdomo wake mdomoni kwa Fetty na kuanza kumnyonya Lips zake kipindi hiko Fetty alikua ame tulia kimya sana na kumfanya

Ramsey azidi kucheza na lips za Fetty ambazo zili kua laini kuliko demu yoyote yule aliyewahi kumla uroda.

"pipiiii piiiiui"

Zili kua ni honi kutoka katika magari ya nyuma kuashiria kua ana takiwa asonge mbele.
Kweli alika nyaga mafuta bila

kumsemesha Fetty na breki ya kwanza ilikua dukani kwa Fetty ambalo lilikua la vipodozi k.koo.

"sasa Fetty baadae nita kuja kuku chukua"
"poa uta nipigia simu"
"Poa Fetty"

Fetty alishuka ndani ya gari huku Ramsey aki msindikiza kwa macho mpka alipo potelea dukani nayeye kugeuza gari akielekea duka lake la nguo.

Huko alipo fika alimkuta Esta ame kasirika hii ni kutokana na sura yake kuji kunja na kufanya makunyasi . japo Ramsey aliji chekesha lakini Esta aliweka sura ya ukauzu.
"Una ji chekesha na nini, labda nikuulize"?

Esta aliuliza huku mkono ukiwa juu ya kiuno chake.

"bandama ninalo kwanini nisi cheke sasa"?
"Siku izi una tatizo gani Ramsey?"

"Mi nipo sawa mpenzi wangu sema siku izi nina mambo mengi kweli yaani"
"We jisha ue alafu huku nijibu gari hilo vipi vipi sija elewa. ume lipata vipi?"
"Biashara mishe mishe town hapa ..badala unipe hongera tumepata kausafiri wewe unaanza kupiga kelele"

"Alafu mbona siku izi hupa tikani jamani"?
"Namba nili badili simu ile niliibiwa na wale majirani zangu"
"nili jua tu yule Mama wa siku ile ana tafuta kiatu atakua ndo yule na ngoja nije kwako siku nita mtukana mpka basi"

Ramsey ili bidi ampe namba zile mpya Esta na kuondoka akimuhaidi kuwa atarudi baadae.

Ramsey aliendelea na shughuli za hapa na pale jioni ilipo fika aliingia ndani ya gari

huku akimuacha Prosper akifunga duka safari yake ili kua moja tu kwenda kumfuata Fetty dukani kwake kama walivyo haidiana.

dakika tano tayari ali fika dukani kwa Fetty na kumkuta ndo ana funga duka

.Aliingia ndani ya gari sababu hakuwa na jinsi kutokana na usafiri kuwa tabu upande fulani alifurahi sana kupewa lift na Ramsey.

"Una ishi wapi kwani Fetty?"
"Sinza sinza kwa Lemmi pale"
"nakupeleka basi mpaka kwako"
"No hapana Mume wangu ana wivu hato nielewa"
"una mume kwani?"
"Sio mume ila naishi nae tu"

Ramsey aliongeza sauti ya Radio ilikua ndani ya gari ambamo nyimbo ya Davido ALL OF YOU ilikua ina pigwa na kumfanya Fetty atingishe kichwa akiendana na mdundo wa nyimbo hiyo.
"Ujue nampenda sana Davido ana jua kuimba huyu mkaka jamani."
aliongea Fetty.

"Sasa mimi ndo role mode wangu"
" Yaani ndo maana vaa vaa zako kama yeye kwa kweli."

Fetty alizidi kuongea na mwisho Ramsey kupaki gari Mwenge nje ya baa iliyo kua na mziki wa kistaarabu tena wa kikongo.

"Mbona ume paki hapa kuna nini?"
"Njoo tunywe mbili tatu bana"
"Nita chelewa Ramso"
"Kidogo tu hatu kai sana"
"Basi ngoja nimpigie jamaa"
"Umwambie nini?"
"We subiri"

Fetty alitoa simu na kubonyeza bonyeza namba na kuiweka simu masikioni.

"Halloo Partson Baby wangu leo nita chelewa kuja usa firi ni wa tabu sana mpenzi wangu. ndio yaani ndo kwanza nipo karikoo mpenzi wangu. hakuna gari hata moja aya mpenzi sawa nakupenda pia"

Ramsey alishangaa sana na kujua wana wake wengi kumbe usingizia usafiri kumbe hakuna kitu
.
"Una sound balaa"
"Kawaida mjini hapa"

Wote walishuka ndani ya gari na kuingia ndani ya baa hiyo na kuagiza vinywaji

" Mimi nipe castle light"
Fetty aliagiza.
"Leta Dompo na Chui chui"

Ramsey aliagiza na baadae vinywaji kuja ambapo walianza kunywa huku waki piga stori nyingi .

Fetty alichanganya Na Dompo na kuanza kuendelea kunywa ambapo baadae alionekana zinaanza kumshinda na kuanza kucheka cheka kila wakati Ramsey alili tambua hilo na kuanza kumuongeza nyingine kwa nia moja aende aka mbane.

"Ra....mso nasikia usiingizii saaana. Twendee tu .kalale"
"wapi? Kwenye garii..'"
"Nooo haaa . pana:"

Fetty alianza kuongea sauti ya kilevi huku akiwa ana rembua sana
"hapa hapa"?
"No chumbani Honey"

Ramsey alibakia akimwangalia Fetty ambapo hapo hapo aliukumbuka ule wimbo Wa Temba kiulaini.

Tayarri Fetty alikua hajiwezi tena.
Ramsey alimnyanyua huku akiwa ame mshika kiuno na kuanza kumburuza wakielekea ndani ya gari.


Ramsey alienda na Fetty ndani ya gari ambapo alimfungulia mlango na yeye kuingia upande wa pili na kuwasha gari kwa nia moja tu kumla Fetty .
taratibu aliendesha huku akiangalia kama kuna kibao chochote kili choandikwa gest .

"Rammsssoooo tuuuunaaaenda wapi?"
aliongea Fetty kwa sauti ya kilevi
"tunaenda chumbani nakupeleka kwako Fetty"
"stuuupid unaaaapajua wewe ?"
"ndio napajua ndo nakupeleka, "

Ramsey aliegesha gari karibu na maku,mbusho MWENGE baada ya kuona kibao kilichoandikwa GPL gest house na kuweka gari pembeni .

Ramsey alivyotaka kutoka fetty ana mzuia na kumfuata mdomoni akimuomba mdomo Ramsey bila kipingamizi alijibu kwa kumpa ulimi na kuanza kubadilishana mate.

Fetty aliuzugusha vizuri sana ulimi wake ndani ya mdomo wa Ramsey ambapo tangu aanze mahusiano na mademu hakuwahi kuona demu wala kulala na demu mwenye kujua kucheza na ulimi kama Fetty.

si hivyo tu hata lips za Fetty zili kua laini sana kupita maelezo takribani dakika mbili nzima walikua wakibadilishana mate, na Ramsey kuupitishia mkono wake mmoja chumvini na kuanza kumpima Fetty oil ili aweze kutambua kama ni bwawa au kisima, aliendelea kupima oil ya na kumfanya Fetty aanze kutoa miguno ya raha.
"FATUMA ngoja nika chukue room"
"NO Ramso hapana humuu humuu inatosha"

Fetty aliongea na kuuendea mdomo wa Ram na kuanza tena upya kubadilishana mate, ki ukweli Fetty alipenda sana romance kuliko kitu kingine chochote hilo Ramsey ana ligundua na kuanza kwenda sawa.

Fetty alifungua zipu ya Ramsey na kutoa SUB MASHINE GUN ya Ramsey na kuiweka mdomoni huku akijaza mate mengi sana mdomoni. Ramsey baada ya kuona pata shika lile anaamua kulaza kiti ili ampe nafasi Fetty

kweli nafasi hio Fetty ana itumia vizuri na kuanza kumvua suruali Ramsey ambapo tayaria Ramsey alianza kushika maziwa ya FETTY huku akizitgomasa chuchu zake na kumfanya Fetty ajikunje kunje huku akizidisha kasi ya kuinyonya sub mashine gun ya Ramsey,

ambapo Ramsey alijivuta kwake na kuanza kumnyonya chuchu Fetty huku akipima oil kwa kasi na kumfanya Fetty aanze kuhangaika mara ashike gia mara ashike usukani wakati mwingine alipiga na honi ya gari, Ramsey kuona vile alimchukua na kumuhamisha siti ya nyuma ambapo hapo alianza kumvua Fetty nguo moja baada ya nyingine,
"aaaaaaah mmmh assh Ramsooo aaaaaaaashhhh mmmmmhhhh"

miguno ya raha ambayo aliitoa Fetty ili mfanya RAMSEY azidi kuumshika kila mahali hasa kumnyonya maziwa yote mawili huku akiyapa zamu,

kwa mikono yake Fetty alichukua mashine ya Ramsey na kuuingiza ndani ya ikulu yake huku akianza kukatika,
" aaaah ssshs aaah sssshhhh"

miguno ile ya raha Fetty alitoa puani na Ramsey kumuweka vizuri huku akianza masha mbulizi ndani ya gari ile na kuifanya ianze kunesa nesa,
ramsey alimkunja vizuri fEtty ambae kidogo alikua na mwili mdogo na kufanya aenee vizuri ndani ya kiti hiko cha nyuma mechi ilianza na safari hii Fettty kuanza kukatika huku akiugulia kwa maumivu ya raha sana.

" Ramsey kuwa maaak....ni nipo kw,,nye siku za hatari"
"sawa FETTY:"
shughuli iliendelea ambapo wote walifika pamoja na ramsey kujiwahi huku alitoa risasi zake pembeni na kumfanya zimpate FEtty juu ya kitovu kutokana na pombe alizokunywa Fetty pia na mechi kali alioyo cheza ana jikuta pale pale analala.

*********

Msimamo wa JOSEPHINE juu ya kuhama kwa Ramsey bado ana ukazia na kweli kutaka aame maeneo yale ambapo alimwambia tayari kesha mtafutia nyumba MIKOCHENI.
"unajua Ramsey nakupenda sana ndo maaana nafanya ivi"

USIIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
KWA KUTUMIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK, LIKE UKURASA HUU USIPITWE NA SIMULIZI NA MENGINE HUKO FACEBOOK

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE TAZAMA VIDEO HII KAMA MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA

KWA TELEGRAM👇BONYEZA HAPA
40 Mahaba Niue Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni