MAHABA NIUE (41)
Zephiline F Ezekiel
6 min read
SEHEMU YA AROBAINI NA MOJA
ILIPOISHIA...
Kway bila kuuliza tena chochote ili bidi atoke nje mbio mbio, hakutaka tena kuendelea kubaki mule ndani, kweli alionekana kuogopa sana kupita kiasi ,
KABLA HATUJAENDELEA NIOMBE BURUDIKA NA VIDEO HII
SASA ENDELEA...
"Vipi ime kuaje, Kway ime kuaje?"
'"tuondoke"!
"tuondoke kivipi tena"?
"RAm hayupo humu"
ALimvuta Loydah na kuanza kuondoka.
nea huku picha ya maiti ile iki mjia kichwani
******
"Doreen"
aliita RAmsey huku akimuangalia Doreen na kuanza kumka gua kila mahali kama ana majeraha
"vipi RAmsey, mbona una kua ivyo baby wangu"?
alideka Doreen huku akisogeza mdomo wake na kutaka kumpa denda
Ramsey
"Noo subiri kwanza, mbona sikuelewi elewi"?
"uni elewi kivipi"?
"wewe si ume kufa"?
"acha kuni chekesha,!"
RAmsey akiwa mwenye furaha sana alianza kumnyonya denda Doreen huku akishusha mkono wake chini ya ikulu ya Doren na kufanya miguno, alisogeza ulimi wake juu ya maziwa ya Doreen na kuanza kuya nyonya taratibu sana kwa zamu, huku mkono wake mmoja ukiya shika masikio ya Doreen,
na kuingiza vidole vyake ndani ya shimo la sikio moja na kumfanya Doreen abinue binue shingo akihisi kutekenywa
"aaassh Raamm..."
"Doreeen"
"abeee"
"naomba usiniache tena"
"siwezi mume wangu"
wakiwa juu ya kitanda kikubwa sana, Doreen kama kawaida yake hakutaka kuwa mzembe alifungua zipu ya RAmsey na kutoa AK 47 yake na kuiweka mdomoni huku akiinyonya kama koni au pipi kijiti, Ramsey akiwa amelala chali alihisi kweli yupo Dunia nyingine huku akiwaza ame fika fikaje maeneo yale , wakati muda mchache alikua akipokea kipondo kikali kutoka kwa mwasha,ila hakupata jibu,
akili yake ili mtuma kitu kimoja tu, aendelee kubaki pale pale, wakiwa kama walivyo zaliwa doreen alipanda juu ya kifua cha RAmsey na kuanza kulana denda taratibu sana kama njiwa! Ramsey alimtupa Doreen pembeni na kumpanua miguu yake na moja kwa moja kuingiza ulimi wake kati kati ya ikulu iyo akitumia ncha ya ulimi na kuanza kudeki bahari taratibu sana..
"Ramm mmmhh aaashhhass"
Doreen alihisi raha za ajabu sana huku akiya fumba macho yake na mkono wake mwingine ukiwa juuu ya ikulu yake akiji chezea mwenyewe na mkono mwingine akijishika chuchu zake,
"RAm subiri"
Doreen alisimama na kuchukua chupa iliyokua chini pale
"iyo nini"?
"asali"
"ya nini"?
"nataka nipake kwenye iyo kitu"
Doreen alimimina asali ile juu ya mashine ya Ramsey nayeyey kujimiminia juu ya maziwa na kufanya kila mtu aanze
kulamba sehemu iliyopo asali hiyo, zili kua ni raha za jabu sana, wali jihisi wapo dunia nyingine, dunia ya mahaba, dunia ya raha sana, hawa kutamani raha zile zziishe hata mara moja. pata shika liliendelea na tayari Doreen alifika kilelelni na kumfanya Ramsey aanze safari ya kuchimba mgodi huo,
alichimba mgodi kiufundi akimuweka kila aina ya staili na kumfanya Doreen azidi kuchanganyikiwa sana huku akipiga kelele nyingi za raha, Ramsey alimkunja na kupanda juu yake huku akiendelea na pata shika ile. baada ya dakika chache tayari walikuwa wame ji funika huku Doreen akiwa kifuani mwa Ramsey,
"RAmsey nikwambie kitu"?
"ndio baby"
"hivi mfano ukiambiwa urudi, duniani na ubaki na mimi huku uta chagua wapi"?
Ramsey alitoa macho yake , hakutaka kuamini kama duniani alikua amekufa, alibaki akimwangalia Doreen jinsi alivyo zidi kuwa mzuri, na damu yake kuanza kuche mka, kweli alikiri Doreen ni mzuri siku hiyo tena alizidi mara dufu, hasa alivyo kuwa akicheka huku akimwangalia, na kuamini kweli walikua dunia nyingine.
"kwani huku ni wapi"?
"huku tuko mbinguni"
"nita baki nawewe baby wangu, nakupenda sana Doreen, acha nibaki huku sitaki kurudi duniani, nime teswa sana acha nipumzike"
Ramsey alimvuta Doreen upande wake na kuanza kunyonyana ulimi tena, ila wana katishwa baada ya kumuona Josephine kaingia ndani ya chumba hiko, hakuelewa ameingia vipi, alicho jua yeye alipo ni mbinguni na duniani alikua ame kufa, josephine alifikaje, na kujua nayeye ame kufa tena aliuliwa na mwasha, baada ya yeye kufa,
baadae wana ingia watu sita walioshiba huku mikononi wakiwa na mapanga,
Josephine aliwapa Amri moja tuu wamuuwe Doreen, kweli watu wale wali mfuata Doreen , ila RAmsey alianza kupambana nao lakini baadae wana mzidi nguvu na kumtupa pembeni wakimpiga mapanga Doreen na damu nyingi kurukaa kila upande , Ramsey alilia sana
"Josephine kwa nini una fanya hivi"?
"sababu nakupenda RAmsey"
Ramsey alisimama na kwenda juu ya mwili wa Doreen huku akiita kwa sauti
*******
"Dor....eeen"
Madaktari walishangaa sana kusikia Ramsey anaongea na taratibu kuanza kutingisha vidole vya mikono yake kuashiria kua hali sio mbaya sana, japo kwa wakati huo alikua ana pumulia mashine ya hewa, matumaini yali warudia madaktari.
"ina bidi umuongeze sindano nyingine ya ANTI BIOTIC, ili sumu itoke,"
"ila doctor, si tayari iyo sindano?"
"naelewa ila mchome nyingine, alafu muongezee na dripu nyingine ya glucose"
alishauri daktari
kweli kitendo kile kili fanyika mara moja. huku Ramsey akiendelea kuli taja jina la Doreen,
*****
bado RPC Mkumbo alizidi kumiza kichwa na kuletewa simu ambayo waliiokota na kuanza kuipekua.
na kuingia uwanja wa meseji
"BOSI TAYARI TUSHA MUUA SASA INA KUAJE?"
"MTUPENI BAHARINI MARA MOJA, ALAFU MJE KUCHUKUA MALIPO, DULLY USINIANGUSHE"
ulikua ni ujumbe mfupi wa maneno ambao ulisommwa na Rpc mkumbo, na kujua wapi angeanzia, yalikua ni mazungumzo baina ya josephine na Abdul kupitia meseji, kipindi cha nyuma.
alicho fanya RPC Mkumbo aliandika namba zile pembeni na kuanza kuita futa mmilikia wa namba ilie.
"mmiliki wa namba hii ana itwa DOREEN DAVID MWASHA, ni mkazi wa oysterbay, nina uhakika ame fanya mauaji, kipindi cha nyuma, na nina aamini pia, ata kua ana jua Ramsey alipo,fanyeni iyo kazi mara moja."
haikuwapa shida maaskari sababu baadhi yao walimjua Mwasha, ivyo walianza safari ya kuelekea oysterbay.
Mr, Mwasha baada ya kuona JOsephine kagoma kutaja Ramsey alipo aanamua kumpiga vibaya sana huku akimvuta nje akiwa na bastola mkononi kwa nia moja tu amuuwe, sababu aliamini kufanya ivyo, ndipo ata poteza usha hidi ila kabla ya kufanya lolote, wana hisi geti lina gongwa na kufunguliwa kwa nguvu na askari nane kuiingia,
"weka silaha chini , kabla ya yote"
mr, mwasha aliweka silaha yake chini na kusalimu amri sababu mbele yake aliona mapolisi hao wakiwa na SMG mikononi wakiwa tayari kumfyatua endapo ataenda kinyume ,
"Ramsey yuko wapi wewe mama"?
"Ramsey, RAmsey, huyu hapa ndo alimteka,mimi najua alipo twende nika wapeleke"
MR, mwasha alipigwa pingu kwa nyuma na wote kutoka nje,
"nawewe mama upo chini ya ulinzi"
"kwa kosa gani"?
"kwa kosa la kushiriki kuuwa"
"hapana sio mimi, nime muuwa nani?"
"utaeleza kituoni"
wote waliingizwa ndani ya deffender na safari ya kuelekea kituoni kutoa maelezo kuanza,,,
ndani ya defender iyo sio Mwasha wala josephine kila mtu alikua akitetemeka kwa hofu!. ndani ya fikra zao waliona milango ya gereza ikifunguka na kutupwa ndani wakihukumiwa vifungo vya maisha. lakini katika upande wa pili ndani ya akili ya Mr.
Mwasha aliwaza juu ya mke wake ni mauaji gani ambayo aliyo shiriki na kukosa majibu.
"Ramsey yuko wapi?"
swali hilo lilitoka mdomoni mwa askari mmoja aliyeshika kirungu,
kweli aliuliza kwa hasira za waziwazi sababu hakuna kazi iliyowapa shida kama kazi hiyo. huku nyuma wakipewa vitisho mbalimbali kutoka ngazi za juu, hususani RPC Mkumbo ambaye aliwafanya polisi hao wakeshe usiku na mchana bila kulala.
"usinitumbulie mimacho, nijibu swali langu"
"mimi sijui"
"unasemaje?"
askari huyo aliyeonekana anahasira aliinuka na kumpiga Mwasha kirungu cha mguu, alivyotaka kuendelea na zoezi lile wenzake walimshika.
"shane punguza hasira, unaenda kinyume na sheria huyu ataeleza kila kitu kituoni usiwe na wasiwasi".
ilibidi afande shane atulie . deffender hizo zilizidi kuchnja mbuga na safari ya kuelekea kituoni kukaribia,
muda wote huo Josephine alikua akilia machozi ya uchungu na hakuona kingine zaidi ya kujua sheria ingefuata mkondo wake.
kiukweli hakuelewa mwisho wa maisha yake ungekuaje, hakujua pia kama Ramsey alipona au alikufa japo alitamani kujua habari hiyo lakini hakuwa na uwezo, kichwani alimlaumu sana Doreen kwa kitendo kuwa piga picha licha ya hayo alijipongeza kwa kitendo cha kumuuwa.
**********
zilipita wiki mbili sasa ilienda ya nne hatimaye kukamilisha mwezi Kway na Loyda hawakuacha kumsaka Ramsey ila majibu ya RPC Mkumbo yanazidi kuwachanganya akili, sababu
kwa wakati huo hakuwa tayari kutoa jibu kamili.
"bado tupo katika uchunguzi, kila kitu kikienda sawa tutawajulisha"
hayo ndiyo majibu ambayo walipewa wakina Loyda na Kway kutoka ka RPC Mkumbo. kila siku iendayo kwa Mungu, bila kujua tayari Mwasha na Josephine mikononi mwa polisi, kweli waliamua kufanya siri ili wakamilishe upepelezi wao!
*******
"naomba ufanye juu chini uende hospitali zote, nataka Ramsey afe maana nitafungwa"
maneno hayo yalitoka mdomoni mwa Mr. Mwasha akiwa ndani ya nondo (mahabusu) akiwa anaongea na kijana wake KIKUNDANKYALO ambae kweli anafanana na jina hilo, sababu alikua ana sura mbaya yakutisha iliyobeba makovu ya kila aina usoni na mwili mzima.
"consider it done (tegemea imekwisha)"
kweli yalikua ni maneno ya uhakika kutoka kwa KIKUNDANKYALO huku akikaza macho na kutunisha misuli kwa ujasiri
mkubwa kupita kiasi. maneno yale yalimfariji sana Mwasha, hakika alimuamini sana kijana wake huyo kuliko vijana wake wote,hakuwahi kuaribu kazi yake hata siku moja iliyoenda kwa Mungu, kweli alimuamini kupita maelezo yaliyo jitosheleza. alimuhakikishia kwamba ndani ya masaa ishirini na nne kazi yake itakua tayari.
*****
"chukua hii milioni mbili ukamilishe nilivyokuagiza"
alisikika akisema KIKUNDANKYALO huku akitoa burungutu la hela.
baada ya kutoka mahabusu na kumuacha Mr. Mwacha, KIKUNDANKYALO ALIELEKEA MOJA KWA moja kijiweni kwenye
makambi yao ambapo aliwatafuta vijana wa kazi ambao walipita kila hospitali na sehemu zote walizoamini Ramsey anaweza kuwepo. baada ya masaa ishirini kupita bila ya mafanikio na wote wakiwa wamekata tamaa, kijana mmoja alikumbuka hospitali ya misheni ambayo ilikua nje ya mji umbali wa maili mia mbili hivi. wote walifunga safari na kuelekea katika hospitali ya St. theresa wakijipanga nini cha kumwambia bosi kama wakimkosa Ramsey maana asingeshindwa kuwaua kwa ukatili bila kufikiria mara mbili, na huo ulikua ukweli halisi maana Mr. Mwasha hakua mtu wa mchezo au kuchezea hata mara moja!
kweli wali fanya kazi kwa kuhaha sana wakitumia umakini wa hali ya juu sana, japokua KIKUNDANKYALO, alikua katili ila alimuogopa sana mwasha sababu alikua katili wa chini chini.
USIIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
KWA KUTUMIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK, LIKE UKURASA HUU USIPITWE NA SIMULIZI NA MENGINE HUKO FACEBOOK
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni