Notifications
  • MWALIMU MKUU (9)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA TISAILIPOISHIA...Upande wa rameki alifika bwenini, alimlaum Irene kwa kumuamsha moli wake bila kumpa msada aliingi bafuni alijimwagia maji kisha akatoka, alivaa nguo zake kisha akachukua kitabu na kuwelekea darasani kujisomea.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Mwalimu mkuu aliruhusiwa kisha akafika nyumbani kwake alijiraum kumfukuza rameki“”Mmh hii mimba naisi itakuwa ya rameki maana yule mtoto…
  • MWALIMU MKUU (8)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA NANEILIPOISHIA...Kwa upande wa rameki alikwenda shuleni kuangalia matokeo yake alifaulu yule ya ruhowiko jwtz sekondari iko songea mjini INA mchanganyiko wa wafulana na sichana.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Hatimae rameki alimuaga bi sani kwamba anaelekea shuleni bi sani aliuzunika sana kukaa mbari na rameki aliahidi atakuja kumtembelea ili amtibu kiu yake.Hatimae rameki aliondoka kuaza…
  • MWALIMU MKUU (7)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA SABAILIPOISHIA...“” sawa mpenzai,”alijibu rameki kwa kishingo upande“”Oooh jina nzuri asante sana”alijibu mwalimu uku akimkumbatia rameki kisha akamwagia mvua ya mabusu uku tens akipapasa kifua cha rameki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Rameki alihisi raha ya ajabu alimvakamiamwalimu wake kisha akamvakamia maziwa yake kwa pupa kama ana wait basi LA mkoani UBONGO.“” rameki ashhhiiiii chomeka…
  • MWALIMU MKUU (6)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA SITAILIPOISHIA...Hatimae rameki alipata nafuu alizinduka Mama ake alifurahi kumuona mwanae akiwa amepata fahamu“””Eeeee mungu kweli umesikia kilio changu asante sana(uku alifurahi)pole mwanangu””IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“”Asante mama”alijibu ramekiMama rameki na mama loly walirudi nyumbani kumchukulia rameki chakula kwani tangu asubui akupata mlo.*********Upande wa bi sani alifurahi…
  • MWALIMU MKUU (5)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA TANOILIPOISHIA...Mama roly alivyosikia rameki anataka kumwaga alimtema yule nyoka na kumficha pangoni mwake, rameki alimpambu mama roli kwa kasi ya ajabu kama ndege ya vita ikimbiavyo angani“Ramekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!! tombaaaa”rameki na mama roli walipiga madafu kama manne “heeee rameki siamini???!!”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“kwannn??”rameki aliuliza“DUDU LOTE HILI…
  • MWALIMU MKUU (4)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA NNEILIPOISHIA...Mwalimu mkuu alistuka kuguswa na kitu kwenye makalio yake alijua rameki atakuwa kaweka mzigo nyuma yake rameki alivyoona ajakaa vizuri alisogea ili akae vizuri mwalimu mkuu alistuka kitu kama tango kikimgusa tena alipitisha mkono ili aone nn alistuka “MUNGU WANGUU”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Rameki alistuka mwalimu mkuu alivyoshika tango lake akapaza sauti“AAAAAA MWALIMU…
  • MWALIMU MKUU (3)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA TATUILIPOISHIA...chausiku alishangaa kuziona zile sale “JAMANI NANI KAKUPA MWANANGUU??!!”aliuliza chausiku kwa mshangao“Kaka juma”alijibu ramekiIKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“Oooh juma jamani mungu akubariki ooooh asante mungu”alitamka mama rameck uku akinua mikono juuRameck alizijalibu zile nguo hakika alipendeza sana adi mama ake alimfagilia kwa vigeregere “jamani juma mungu akuwekee…
  • MWALIMU MKUU (2)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA MBILIILIPOISHIA...“MUNGU WANGU YULE SI MZEE ALINANI???!!!”aliuliza chausiku kwa mshangao chausiku alimuangaria mzee alinani ambae amepoteza furaha yake ya kusomaMzee alinani alikuwa anakuja kuangaria bishala zake pale sokoni kwa kina chausiku.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Mzee alinani alistuka kumuona chausiku alikwepesha macho yake kwa aibu alitoka kwenye soko lile, chausiku alimpitia…
  • MWALIMU MKUU (1)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA KWANZA“MAMA USIFE MAMA NITAISHI VP NA HII MIMBA MAMA”ilikuwa ni sauti ya mdada aitwae chausiku akimwambia mama ake asifee bado anamtegemea mama ake na mimba yakee“CHAUSIKU MWANANGU NAJUA MIMI NDIYO TEGEMEZI LAKOO NILIPAMBANA NA KILIMO ILI USOMEE LAKINI UMECHEZEA SHIRINGI CHOONI MWANANGU UMESHIKA MIMBA BADO MWAKA MMOJA TUU UMALIZE LAKINI NDO IVYO MWANANGU MIMBA NDO ISHAINGIA SINA BUDI KUKUFUKUZA INGALI UKO MOYONI MWANGU NAKUPENDA MWANANGU CHAUSIKUU ILA…
  • THE NIGHTMARE (9)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TISAILIPOISHIA...“mmenifananisha, mimi ndio kwanza naigia ofisini mida hii.” Aliongea yule afande na kuigia kituoni.“sasa aliyekuwa anatuhoji ni nani kama sio huyo?”Alijikuta anajiuliza mwenyewe swali lililompa utata mkubwa kichwani mwake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wakati wakiwa hawajui hili wala lile, walishangaa kuona maaskari wakijazana pale na ambulance ikafika…

MUUZA CHIPS (41)

Sehemu ya Arobaini na Moja, mtoto wake, kijana chidi, mama yake, mke wake, chidi huku akiendelea, na wakati huo, akiendelea kumuangalia kama, yule
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA AROBAINI NA MOJA
ILIPOISHIA...
Humo ndani walikuwa wakikumbatiana na kunyonyana madenda bila kujali kuwa wapo safarini,.. Kiukweli salma na Jackson walipendana sana, kwasababu mpaka mwanamke umuache mumeo uende mjini na mwanaume mwingine kweli?? Hii noma,…

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Sasa mungu sio asumani, gari waliopanda akina Jackson ilipasuka tairi ya nyuma, lakini haikuleta madhara kwasababu nyuma kuna tairi mbili mbili hivyo iliseidia sana,…

Sasa safari ya akina salma ikawa imekwama, lakini sasa tayari walishatembea kama kilometa tano hivi, hivyo tayari walishakiacha kijiji chao kwa umbali mrefu sana,…

Ila uzuri ni kwamba basi linalotoka mjini alilopanda kijana chidi, ni kampuni moja na hilo linalokwenda mjini,… Na haikupita muda basi alilopanda chidi ndio hilooo linatokea,… Dereva wa basi bovu alisimama barabarani na kupungia mkono ili wapewe zana na wenzie,… Muda huo abiria walikuwa wametoka nje ili gari iwe nyepesi kwasababu ya kupigwa jeki,… Kweli gari ya akina chidi ilisimama vizuri mana walioharibika ni wenzao hao hao.. Hivyo basi lilisimama na kuwapa wenzao zana za kufungulia tairi mana wao walivisahau gereji,… Sasa wakati huo kijana Jackson na salma wakiwa wamesimama katika mti wakisubiri gari itengenezwe…. Sasa chidi wakati anakunywa maji yake makubwa huku akiwa na furaha ya kufika kijijini kwao,… Chidi aliona nguo ambayo alishawahi kumnunulia mkewe siku ile alipokuwa anaondoka kuja mjini,..

"aahhh hizi nguo zinafanana kweli yani,.. Nilijua ni mama king kumbe sie bwana"

Aliongea chidi huku akiendelea kuchati na simu yake kubwaaa aliopewa jana na mama sarah,…

Sasa akina salma walikuwa wakinyonyana tu hadi pale kwenye mti

"watu wachafu wale, sasa watu woote hao wananyonyana hadharani namna hii"

Chidi aliongea bila kujua kuwa yule anaenyonywa ndio mke wake huyo mama king,… Lakini sasa chidi kila akitaka kuacha kuwafatilia watu hao akili yake ilikuwa haitaki kabisa,… Yaani anatamani kuwaangalia mana gari si imesimama….

"yani yule mwanamke kafanana na mke wangu kila kitu,.. Yule atakuwa msambaa yule mana kopiraiti yani"

Aliongea kijana chidi huku akiendelea kumuangalia kama akili yake inavyomtuma….

Binafsi yangu tu mimi nasema mwanamke ni mwanamke tu hata iweje, akili ya mwanamke itabaki kuwa hivyo ivyo tu, usije ukalinganisha mawazo ya kike na ya kiume hata siku moja,.. Mwanamke hanaga wazo B, yeye huwaza A tu basi,.. Lakini mwanaume ana mawazo zaidi ya A, B, C na kuendelea hua hakurupuki,.. Lakini mwanamke siku zote anawaza, A, tu… Yaani ni sawa na mtu anaeangalia anapokanyaga lakini haangalii mbele, afu mwisho wa siku yupo ndani ya shimo…

Sasa tukija kwa salma aliokuwa akinyonywa denda na mpenzi wake au mumewe mtarajiwa, chidi yeye alikuwa ndani ya basi hilo huku akinywa maji yake taratibu na kuangalia mazingira ya miji ya tanga, na hapo walipo wana kilometa 5 wafike nyumbani, wazo lake lote yeye ni kuwahi kwa mke wake,..

"yani yule mwanamke kafanana na mke wangu kila kitu,.. Yule atakuwa msambaa yule mana kopiraiti yani"

Aliongea kijana chidi huku akiendelea kumuangalia kama akili yake inavyomtuma….

Lakini chidi yeye anamfanisha tu kwasababu kampa mgongo lakini kama angeligeuka, basi chidi ni lazima angelimuona,… Chidi alimuangalia sana yule mwanamke huku akimpa sifa za kama mke wake,

"oyaa toa gari vitu mtavikuta mbele uko"

Hao ni abiria waliokuwa wakipiga kelele kwa kusimama kwa gari eti wanasubiria vifaa vyao walivyowapa wenzao,…

"toa gari bwana tuwahi familia zetu"

Huyo ni kijana chidi nae alivunja ukimya kwa hasira, ili aiwahi familia yake,.. Kweli gari iliondoka huku chidi akiendelea kumuangalia mdada yule, yaani kama vile alikuwa anahisi kitu lakini kwa vile anavyomwamini mkewe hawezi kuwa katika mazingira kama haya japokuwa ana zaidi ya miezi 8 mjini,.. Gari iliondoka na kuendelea na safari yake,..

Chidi alikuwa akiwaza mke wake na wazazi wake, bila kumsahau mfalme wake king (kingazi).. Haikupita hata lisaa chidi akawa anashushwa nyumbani kwao, pale pale chidi akachukua guta na kupakia viti vyake kisha huyoo anaingia katika uchochoro wa kueleke kati mji wao

Tukija huku mjini kwa kaka wa chidi ambaye ni Ibrahim akiwa yupo nyumbani na mke wake, wanakula maisha ya raha na pesa zao,

"baby, kuna kitu nataka nikusapraizi"

Aliongea mke wa Ibrahim huku wakishikana shikana kimapenzi, na wakati huo wapo chumbni mida hio ya saa 12 kasoro jioni,

"kitu gani hicho mke wangu"

"chidi wako kakubali"

Ibrahim alishangaa huku akitoa macho kwa mshtuko

"unasema kweli mke wangu"

"aahh sasa nikudanganyie nini"

"Eeeh mungu wangu weee, ngoja nimtumie nauli"

"wala usijali nilishamtumia laki mbili"

"hapata haimtoshi hio, mi namjua mdogo wangu ni mtu wa matanuzi yule, tena na vile kakaa kijijini sana, hivyo akija apa masharobaro wote watatia adabu"

"heeee inamaana ulishawahi kukaa nae huku mjini, mana kama vile unamjua tabia yake"

"ndio, nilishakaa nae zaidi ya miezi miwili nyumbani kwangu"

"kwahio ni sharobaro haswa"

"aahhh we subiri tu si utamuona akija"

Wakati huo Ibrahim anaendelea na mpangilio wa kutuma pesa kwa mdogo wake,… Kweli ile pesa alifanikiwa kuituma

"kwahio mdogo wako ni mzee wa swaga"

"aahhh yule anatumia pesa vibaya mno, mi namjua yule, mpaka alinifilizi ile kqzi yangu"

"ahahahahahaha kweli uyo noma kweli"

Tukija huku kwa chidi tunamkuta anapanda pikipiki na kuelekea kule basi lilikoharibika, na wakati huo alikuwa akikumbuka maneno alioambiwa na mama yake

"mkeo kawa kichaa, toka jana hapa haonekani"

Kwa maana hio chidi alishafika nyumbani na kupewa taarifa ya mkewe hivyo kwakuwa hajui kaeleke wapi, lakini mawazo yake yakamtuma moja kwa moja kuwa huenda yule aliemfananisha kule ndio yeye, hivyo mara moja alipanda pikipiki na kiwahi, na wakati huo saa 12 kama na dakika 15 hivi,….

Pikipiki ilikiwa spidi sana kiasi kwamba hata chidi alikuwa haoini mbele, na dereva kama sio kuwa na helmet.. Walifanikiwa kufika eneo hilo lakini hapakuwa na mtu wala gari kana kwamba tayari gari ilishafaa muda mrefu sana,.. Alipoangalia pembeni aliona kibanda cha kuuza matunda,

"niaje kaka… Eti kuna basi lilikuwa limeharibika pale, limeondoka muda sana"

Chidi aliuliza huku akinyoosha kidole eneo husika,.

"limeondoka kama robo saa hivi iliopita"

Kabla hata huyo mtu hajamaliza pikipiki ilishawashwa kitambo sana na kuelekea huko gari ilipoelekea,

Tukija huku mjini katika nyumba ya Grace au mama sarah, akiwa yupo ndani na mtoto wake, tena walikuwa wapo chumbani wakipiga stori za hapa na pale,

"afu mama ile simu ipo wapi"

Sarah alimuuliza mama yake kuhusiana na ile simu ipo wapi, mana simu hio ndio imetoka juzi tu haina hata wiki, hivyo hata watu wengi hawana hio simu na ukimkuta mtu mwenye simu hio ya gharama kubwa, basi ujue huyo ni tajiri zaidi, au mtoto wa tajiri ndio utamkuta na simu hio,

"mwanangu, si mchana nilikuwa nachati kwenye gari, ghafla likaingia kono hilo, yaani ilibaki tu kidogo anivunje mkono, nilimwachia"

Aliongea mama huyo huku akijifanya kuhudhunika sana,..

"jamani mama pole"

"asante mwanangu"

Basi walibembelezana pale mama na mtoto huku mama akitabasamu kuwa mwizi sio mwizi bali mwizi ni mpenzi, na alitoa kwa hiari yake mwenyewe,

"ila sarah, unajua umri unakwenda mwanangu, ina maana hata mchumba huna wewe"

Aliongea mama huyo na kuona labda mtoto wake ana wanaume wengi,

"mama, mimi bado sijampata mwanaume mwenye kukidhi sifa nilizotaka mimi"

"sarah mwanangu, mi spendi uwe na wanaume wengi mwanangu, na ndio mana napenda uolewe ili utulie"

Aliongea mama yake sarah, huku sarah akiwa anamuwaza chidi katika akili yake,

"mama, kiukweli sijui kama kuna mwanaume nitakaempenda kama huyo niliewahi kuwa nae"

Aliongea sarah huku akiwa anahudhunika sana,

"kwani we wataka mwanaume wa aina gani mwanangu? Mbona una masharti hivyo? Na ukumbuke kuwa wanaume ni wachache duniani"

Mama sarah alimuuliza mtoto wake kwani alikuwa akitaka mwanaume wa aina gani, mana hajawahi hata kutambulishwa wala kuskia kama mtoto wake ana mchumba au hata mpenzi

"mama, kiukweli mimi ni mschana mzuri hivyo sihitaji kukurupuka kimaisha, na wahenga walisema, ni bora ukosee kujenga kuliko ukosee kuolewa, nitalia sana endapo nitakosea kuolewa"

"ni mwanangu, upo sahihi kabisa… Ila we watakaje kwani"

"kwanza kabisa,… Nataka mwanaume mwenye muonekano wa nje"

Aliongea sarah huku mama yake akimuuliza kuwa

"unamaanisha Hensam ee?"

"haswaaaaa,… Afu pili, nataka mwanaume anaeweza kunimudu kimabavu"

"khaaaa sasa akumudu kimabavu, we wataka akupige au"

Mama alishangaa kuskia mwanae anataka baunsa

"no nataka mwanaume ambae nikiwa nae ndani, yaani akinishika awe kanishika kweli, yaani nisifurukute,… Afu tatu ya maana sana, nataka mwanaume atakaeweza kunipa raha pale kati"

"mmmhhh we mtoto una masharti wewe, aahh hebu nenda kalale huko mi staki story zako tena"

Mama alikasirika kwa kuskia masharti aliokuwa anayataka mtoto wake,.. Sasa kwanini akasirike na wakati ni mtoto wake.. Hebu tumsikie mama anachokiwaza baada ya mtoto wake kuondoka kwenda chumbani kwake

"huyu mtoto ni mjinga nini?… Mbona kama anaharibu mipango yangu"

Mama alijisemea hivyo huku akiwa kaegemea mto katika kitanda chake,…

"mbona kama sifa zote hizo chidi anazo,.. Sasa mbona nikimleta pale kazini sarah anaweza kumpenda"

Mama machale yalimcheza, mana sifa anazozitaka sarah,.. Kwa chidi zipo zote na mama ndio analijua hilo, na mama ana mpango wa kumleta chidi hotelini kwake ili akaange chipsi pale na waweze kuwa karibu,.. Sasa sarah yeye analeta swaga za kuelezea sifa za mpenzi wa mama yake, japo sarah na chidi walishawahi kukutana lakini ni kitambo sana, ila hawakuwahi kufanya mapenzi hata mara moja na wala chidi hajui kama sarah anampendaga kimapenzi….

PATAMU APO, SIJUI CHIDI ATAPELEKWA WAPI SASA

Tukija huku kijijini ikiwa tayati ni mida ya saa moja na dakika kadhaa chidi wanafanikiwa kuliona gari kwa mbaali huku spidi ya pikipiki ikizidi kukolea ili kulifikia basi hilo,.. Chidi alikuwa tayari kurudi na mke wake hata kama alimuona akinyonywa denda japo hana uhakika sana kama ni yeye, na alijihakikishia kwasababu ameambiwa mkewe hayupo ni siku ya pili sasa toka atoke akiwa kichaa,.. Kweli mungu si asumani gari walilikuta lakini sasa kazi ipo kwenye kulisimamisha basi hilo,… Ikabidi walipite mpaka kwenye kituo cha mbele, mana kuna wengine walipanda lakini wanashukia njiani kama vile walisogezwa tu,..

Sasa pale pale chidi akapanda kwenye basi huku akipumua kwa nguvu zote, kana kwamba kafanikiwa alichokifuata japo abiria ni wengi sana, lakini hakukata tamaa

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
49 Muuza Chips Simulizi Z49
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni