MAMA ALISHIKWA KALIO MBELE YANGU (27)

0

SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA
TULIPOISHIA...
Alipomuona nguo yake imepanda juu kidogo na sehemu ya Paja kuonekana kidogo ndio kabisa aliamini kuwa huyu dada hakuwa wa kawaida.
Alikuwa mrembo kupitiliza, kwanza alikuwa kama chotara flani hivi.
Gwakisa hakuweza kukaa kimya?

IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI

TUENDELEE...
“Dada umeniambia wewe ni mwenyeji wa Mbeya?”
“Hapana niko kikazi tu?”
“Okey unafanya kazi gani?”
“Mimi ni askari polisi”
“Ahhhh acha utani bhana, askari gani yuko hivyo”
“Kwani nikoje? Tena mimi niko kikosi cha FFU”
“Duh aloo siamini kabisa, anyway na mimi ni askari wa JWTZ”
“aaaah nilijua tu, huo mwili wa kijeshi kabisa”
“Kumbee najulisha kabisa”
“Haswaaa”
Maongezi yalikuwa yamenoga sasa kiasi kwamba ilibidi Gwakisa apunguze mwendo ilia pate muda wa kutosha kupiga story na huyu dada.
Story zilinoga mpaka wanafika Mbeya saa tano usiku Gwakisa akaamua kumpeleka huyu dada mpaka kwake kisha akaondoka na mwanae kurudi nyumbani.
Alipofika na kumwona Verity alijikuta hasira zikimuwaka ila akajitahidi kumsalimu na kumchangamkia kinafiki.
Waliongea mawili matatu huku Verity akifurahia kuonana na mwanae kisha wakalala hadi asubuhi ambapo Gwakisa aliondoka kwenda kazini huku akiwa na mipango kibao kichwani kwake.
Katika mipango yake aliyokuwa anapanga mmoja aliuona unafaa sana na akaamua kuutekeleza haraka sana.
Alichukua simu yake akatafuta namba kisha akakutana na namba ya Yule dada aliyempakia jana yake na kumpigia simu.
“Uko hpo kwako eenh, sawa nakuja dada, nakuja kukusalimu”

Gwakisa alikuwa nyumbani kwa askari huyu wakike ambaye alimpakia kutoka Morogoro mpaka Mbeya.
Alijuta kwanini alijipeleka kwani mambo aliyokuwa anafanyiwa hakuwahi kuyatazamia.

Askari huyu alikuwa anamwekea mitego milioni kasoro, alikuwa amevaa kanga tu huku akijipitisha kila wakati mbele ya Gwakisa kwa madai kuwa anamwandalia chai.

Gwakisa aliishia kukodoa macho tu, rangi ya nguo ya ndani aliyokuwa amevaa askari huyu ilikuwa inaonekana kabisa kuwa ni pinki.

Kila alipokuwa anatembea kanga ilikuwa inafunuka na kuliacha paja wazi kiasi.

Weupe wa huyu dada unaoambatana na uchotara wake ulimfanya avutie kuliko kawaida,
Makalio yake makubwa kiasi yalikuwa yanamzidishia urembo mwingine.

Kifuani alikuwa kachongoka kama kajitengeneza mwenyewe.

Kila alichotaka kuongea Gwakisa alijikuta anakikosoa mwenyewe, mwisho aliibuka na swali lisilo maana…
“Hivi wewe ni askari kweli”? Gwakisa aliuliza.

Askari huyu kabla hajajibu alimkata Gwakisa jicho la mtego kisha akamfwata na kumpiga kijikofi shavuni huku akimchombeza…
” nawewe bhana, usichoamini kipi sasa”

“Kwa urembo huo unawezaje kuwa askari?”
Gwakisa ilibidi afunguke…

“Kunywa chai kwanza wewe afande”
Gwakisa aliambiwa hayo huku ananawishwa mikono…
Askari huyu alikuja akakaa kochi linalotazamana na Gwakisa na kuwa wote wanakunywa chai.

Mapaja ya huyu dada yalikuwa nje kiasi kwamba mhogo wa Gwakisa ulikuwa ukiisukuma suruali yake ya Bakabaka kama inatobolewa vile…

Gwakisa alipomaliza kunywa chai alinawishwa mikono na kuulizwa kama ameshiba akasema nimeshiba.

“Basi ngojea nikaoge tutoke wote”
Alisema yule askari.

” ila mimi naelekea kazini”
“Usijali kuna sehemu mimi nataka unipitishe fasta”

Gwakisa hakuwa na cha kujibu kwa jinsi alivyomuona Huyu dada askari akipita mbele yake na kijitaulo kifupi mno…

“Tunaweza kwenda sasa”
Gwakisa alikuwa anapelekeshwa kama mtoto.
“Ila umejua kunitesa leo” alifunguka Gwakisa…
“Usijali twende kwanza”
Gwakisa alijibiwa akajikuta mwili wote unasisimka, alikuwa anajiuliza ninini yule dada anamaanisha akashindwa kuelewa ila yeye akawa anasonga mbele tu.

Aliyekuwa anatoa maelekezo ni yule Binti askari, kama vile lile gari amekodi.
Gwakisa alikuwa anapelekwa tu hadi alipofikishwa kwenye jumba moja la kisasa likiwa limezungushiwa ukuta mrefu sana.

“Njoo umsalimu kaka yangu”

Gwakisa aliingizwa ndani nae akaingia.
CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Pale ndani hakukuta mtu yeyote isipokuwa kulionekana kuna watu wanakaa humo…

Gwakisa alipelekwa mpaka chumbani ambapo kulikuwa na chumba kikubwa chenye vitu vya thamani mno.

Katika hali isiyo ya kawaida yule dada alianza kusaula nguo zake akabaki na chupi tu.

” Njoo umalize mateso yako”
Gwakisa alivutwa akaanza kunyonywa midomo kitendo ambacho hakukiamini.

Michezo ya mapenzi ilianza huku wakipelekeshana kwa Romance za kiitaliano, Gwakisa alikuwa hoi bin Taaban na nguo zake zote zilikuwa chini.

“Hiki kifua na umbo lako ndio vimenifanya nikupe mwili wangu, mimi sio malaya” aliambiwa Gwakisa.

Gwakisa hakuwa na uwezo wa kujibu lolote, alikamata mtarimbo wake mkubwa akawa anauchomeka kwa yule askari

“No no no nooooo, vaa hizi, sikuamini”

Gwakisa alipewa kondom, alizichukua na kuvaa kisha akachomeka mzigo, alipokelewa na joto si la kitoto na hapa makasia yakaanza kwa fujo.

Walifanya ngono ile yenyewe kisha wakaoga na kutoka sebuleni.

Katika hali ambayo ilimshangaza Gwakisa alikuta kuna wanaume zaidi ya kumi pale sebuleni wenye miili na vifua vikubwa kuliko yeye, alipigwa na butwaa lakini alikumbana na sentensi chache kutoka kwa mmoja wao aliyekuwa amevaa suti nyeupe pee….

“Karibu Meja Gwakisa, usihofu, hapa ni Pesa na amani tu! jihesabie wewe ni mshirila kuanzia leo”
Alipokelewa kwa makofi mengi kutoka kwa hawa wanaume wengine wakiongozwa na yule Dada askari
……………………..
Rafiki alikuwa kwenye tax anaenda kugegedwa na Dr Kelvin.

Alikuwa na mawazo lukuki juu ya uamuzi wake lakini uamuzi wa kusaliti ulikuwa umezidi kwenye uzani.

Wakati anaelekea huko alikuwa anaendelea kuchat na Dr Kelvin ambaye alikuwa anamchombeza kwa maneno lukuki ya kumhakikishia kuwa kila kitu kitakuwa shwari.

Kwa maelekezo dereva wa tax aliyopewa na Dr Kelvin akawa amemfikisha sehemu muafaka.

Rafiki alishuka ndani ya gari na kujiweka nguo yake sawa ili aelekee kule aliko Dr Kelvin akagegedwe.

Alipogeuka upande mwingine ghafla alikutana na sura ya mwanamke akiwa kwenye gari anamuitaa

Mrs Sam……
Rafiki alishtuka na kabla hajajibu yule dada alishuka kwenye gari na kumfwata kwa bashasha huku akimkumbatia.

“Waoooooh jamani mtusamehe toka mmefunga ndoa hatujawatembelea jamani”

Huyu alikuwa matron aliyewasimamia kwenye ndoa yao…

Rafiki alikuwa kwenye taharuki kubwa kiasi cha kumfanya ajichangamshe kwa lazima tu….

” Roho mbaya hizo sasa, kwanini mmetutupa jamani”

” mtusamehe bure kwakweli, Mr wangu alikuwa anaumwa kweli, nilikuwa nauguza nashukuru sasa kapona, Vipi Mr mzima”

“Mzima tena yuko kozi Kenya”

” haa hongera zake, haya twende ukapaone kwetu, kule tulihama,…au una safari muhimu”
Rafiki alishindwa kukataa kwa kuhofia ataulizwa unakwenda wapi, alijikuta anakubali kupanda kwenye gari ya yule dada na safari ikaendelea.

“Hivi mlishajaliwa mtoto au bado?”
“Mh bado kwakweli, tunatafuta bado’
” usijali mtapata tu, kikubwa ni muwe na subira huku mkivumiliana maana huenda mmoja ndio ana tatizo”
“Sawa dada”
“Unajua hata mimi nilikuwa na tatizo na nashukuru mme wangu alinivumilia miaka mitano ndio nikapona na sasa tuna wale watoto watatu unaowaona’

” kweli?”
” Ndio hivyo, kikubwa mvumiliane, msitangetange nje, Mungu atashusha baraka zake, yani msijeshawishika, tena wewe ndio uwe makini zaidi maana ukibeba mimba isiyo ya mume wako itakutesa maisha yote”

Rafiki alishtuka akaona kama vile yule dada anamjua mawazo yake.

Dr Kelvin alikuwa anapiga simu kila mara lakini ilikuwa inakatwa, Rafiki alikuwa keshabadilika.
Mbele ya matron wake asingeweza kupokea simu na akili yake ilishavurugwa…
…………..
Sam alikuwa kwenye graduation ambayo ilikuwa inahitimisha mafunzo yao, alivishwa nishani na hatimaye akapanda cheo na kuvaa nyota.

Kama masihara akiwa na umri mdogo tayari alikuwa ni afsa wa Polisi.

Alikuwa sasa anajiandaa kurudi kwake kimya kimya bila kumtaarifu Mkewe.
………
Watu watatu wenye gari aina ya Noah nyeusi walikuwa nyumbani kwa Gwakisa…
Hakuna walichokuwa wanataka isipokuwa kumteka mtoto Princess….
Geti liligongwa akatoka Verity aliyeshangaa kuwaona wale watu asijue wametokea wapi….

Gwakisa alikuwa anasainishwa mikataba ambayo ilikuwa ni ya lazima huku kashikiwa Bunduki.
Alipomaliza kusaini alipewa Kopi ambayo aliambiwa anatakiwa aiweke na iwe siri yake.

Wakati wote huu wa hili zoezi pembeni alikuwepo Yule dada askari aliyetoka kungonoka nae akiwa amejaa tabasamu usoni kama vile kile kinachofanywa kwa Gwakisa kilikuwa na amani.
Gwakisa alikuwa anajiuliza sana moyoni mwake ni kwanini amedakwa kirahisi namna hii aijue kuwa wenzake walikuwa wanamlia timing mda mrefu na walishajipanga kumuingiza kwenye ushirika wao kwa mikakati mingi sana ndipo wakaamua kumtumia binti huyu mrembo.

Baada ya kila kitu kukamilika wale wanachama mule ndani walikuwa wanamshika Gwakisa mkono wa Pongezi kila mmoja kwa zamu hadi wa Mwisho akawa Yule aliyevalia suti nyeupe ambayo alipomaliza kumshika mkono alimkabidhi BriefCase na kumwambia aketi afungue aone kilichomo mule ndani.

Gwakisa aliketi akaiifungua na kukutana na vitu vilivyoulipua moyo wake.
Zilikuwepo pesa nyingi tena Dollar za Kimarekani zilizopangwa kwenye vibunda vingi, alipigwa na butwaaa hadi mikono ikawa inatetemeka.

Zilikuwa mpya na zimejaa kabisa pale kwenye kile kijibegi, katika zile noti ya bei ndogo ilikuwa ni dollar mia moja ambayo ni sawa na laki mbili na zaidi za Tanzania
“Hizi ni pesa za nani” aliuliza Gwakisa
“Ni zako kwa ajili ya chai na soda” Alijibiwa Gwakisa
“Yani mmenipa tuu”

“Ndio hii ni ili uendane angalau na sisi kwenye ushirika wetu kwani kwetu hatutaki mtu wa kulia lia shida”
Kwa Gwakisa huu ulikuwa ni muujiza tosha, ghafla akili yake ilianza kuwaza magari ya gharama, nyumba za kifahari na vitega uchumi mbalimbali.

Alisita kujilaumu kuwajua hawa watu na kujikuta akiwa tayari kwa lolote.
“Unaweza ukarudi kwako ila utaenda na huyu binti mkafanye jambo moja la muhimu sana” aliambiwa gwakisa na hapohapo wakaamka kwenye makochi.
Safari ilianza na aliyekuwa anatoa maelekezo ni YULE dada askari.
Walienda mpaka Kambini ambapo Gwakisa alibadili gari na kuchukua la Jeshi kisha moja kwamoja wakashika njia ya mpakani.

Kote polisi hawakuwasimamisha kwasababu ya lile gari la Jeshi, walipofika mpakani askari baadhi waliwasimamisha lakini Gwakisa alitoa kitambulisho chake cha Jeshi huku Yule dada nae akitoa cha kwake cha uaskari Polisi FFU.
Waliendelea mpaka mpakani na Kongo wakakutana na watu wengine waliowakabidhi mzigo na kurudi nao mpaka Mbeya mjini kisha wakaagana kwa lengo kila mtu aende kwake baada ya kufikisha mzigo panapotakiwa.

Naomba Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

JIUNGE KWA UPDATE NA BURUDANI ZAIDI
WhatsApp Channel=> CnZ Media(Follow)
Telegram Channel=> CnZ Media(Join)

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)