HAA! KUMBE TAMU (2)

Zephiline F Ezekiel
0
Mtunzi: Frank Masai

SEHEMU YA PILI
ILIPOISHIA...
Huyu anajua nimevitoa wapi hivi? Anajua nimetoa shilingi ngapi ya kununulia hivi vitu? Anajua nimeacha kununua vingapi kwa ajili ya familia yangu?.

IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media INSTALL ILI USIPITWE NA SIMULIZI

ENDELEA...
Anajua kweli huyu?

Naonesha kiasi gani namuhitaji na kumjali lakini malipo yake kwangu ni kunifadhahisha. Subira kanipa fadhaha ya moyo, Subira kaufadhahisha moyo wangu kwa sababu nampenda.

Mdogo wangu kaitoa fadhaha hii. Huyu Subira anauzuri gani kuliko familia yangu? How beautiful she is than my family?."

"Kaka mbona umepoa hivyo? Au hutaki asante yangu?" Sauti ya Jesca, mdogo wake kipenzi ndio ilimtoa katika mawazo yake ambayo alikuwa ànamfikiria kwa kina Subira. Mwanadada ambaye alimfanyia mbovu muda mchache uliopita kabla ya mdogo wake kumfanyia mazuri kwa kile ambacho kilioneka siyo kwa Subira.

"Hamna dada, ujue umenishangaza kuipenda hiyo cheni." Longino alimjibu mdogo wake huku akijaribu kuchongesha tabasamu dogo la kufariji.

"Hii nzuri kaka. Inang'aa kama dhahabu." Jesca naye alimjibu huku akiweka uso wa furaha kuonesha kakubali zawadi ya kaka yake.

"Haya chukua na hivi. Hizo bangiri utavaa ukiwa mkubwa. Walikataa kunibadilishia wanipe ndogo kwa àjili yako." Longino alimpa na vile vito vingine huku akijitetea kuhusu bangiri ambazo zilikuwa kubwa wa Jesca.

"Asante kaka,"Jesca alishukuru tena na kuzidi kumkumbatia kaka yake.

"Haya twende kitandani sasa ukalale."Longino alimnyanyua mdogo wake kutoka pale kwenye kiti cha walemavu wa miguu na kumpeleka chumbani anapolala na wakati huo mdogo mtu alikuwa kakamatia kitabu chenye hadithi ya kusisimua.

Hadithi iliyowatoa machozi wengi. Hadithi ya kweli kabisa iliyomuhusu Generose na Frank Masai.

Ndiyo hiyo My Rose ambayo Longino alimkuta dada yake anaisoma usiku ùle.

"Kaka nisomee kitabu ndio uondoke humu."Jesca alitoa ombi baada ya kaka yake kumfunika blanketi.

"Sawa. Ehee,uliishia wapi?."Longino alimuuliza Jesca baada ya kushika kitabu kile. Jesca àlimuonesha na kaka yake alianza kumsomea hadi pale alipomuona kalala kabisa.

Alimbusu shavuni na kumfunika vizuri kisha àkatoka chumba kile cha mdogo wake na kuelekea chumbani kwake ambapo kilikuwa ni chumba cha nje na kilichojitenga na cha mdogo wake na mama yake.

Alijitupa kitandani kisha mawazo juu ya Subira yakaupamba ubongo wake. Mawazo yalikuwa mengi sana, lakini hakuna hata jibu sahihi juu ya fikra àmbazo ndizo zilikuwa chanzo cha mawazo yale.

"Mercy."Jina hilo lilikuja na kuufanya uso wa Longino upambike kwa tabasamu na faraja nzito kurudi moyoni mwake.

"Hivi kwa nini sikuona uzuri wa Mercy mchana hadi sasa hivi usiku ndio nauona?."Longino alijikuta akijiuliza peke yake na kuzidi kutabasamu.

"Hivi Suby kamzidi nini Mercy? Au yale macho ya duara ndio yamenidatisha mimi nini?. Lakini mbona Mercy mkali sana tu. Embu angalia yale meno yake yalivyopangana kinywani. Sura na umbo lake, mbona vipo poa sana tu. Anajua kumuhendo mwanaume na anajali muda. Huyu mwingine mbona hayupo kama mwenzake?

Kuna haja gani ya kuwa Subira na wakati Mercy yupo?. Ila "Mawazo yalikuwa mengi kichwani mwa Longino, lakini mwisho wake aliamua jambo moja tu! Ambalo ndilo aliliona sahihi kwake. Aliamua kumtafuta Mercy kesho yake kabla hajarudi kambini.

“Kesho nitamtafuta huyu Mercy na kumpa ukweli juu yake. Japo nampenda sana Subira,ila haiwezekani kuwa naye, ataniumiza huko niendako hata kama atanikubali niwe naye. Mwache aende zake.”Longino alikubali kushindwa mbio za moyo wake na kuamua kugeuza upande mwingine wa shilingi ambapo kulikuwa na sura ya Mercy.

Haileweki ni mawazo gani yalikuwa ya mwisho kwake, lakini alijikuta ameshapitiwa na usingizi baada ya fikra nyingi za matukio ya siku nzima kupita kichwani kwake.

******

Asubuhi ya Jumatatu,Longino aliwahi kuamka na kuweka vizuri mazingira yanayoizunguka nyumba yao na za majirani. Pia aliteka maji kwa ajili ya matumizi ya pale kwao na kazi nyingine za nyumbani. Hadi mida ya saa nne alishamaliza kazi nyingi ikiwemo kumpeleka mdogo wake shule.

Pale nyumbani alibaki peke yake kwa kuwa mama yake alienda kwenye shughuli zake zinazoendesha familia ile.

Longino aliona huo ndio muda muafaka wa kumuiita Mercy ili waongee kiutu uzima. Waongee kuhusu yale aliyoyafikiria jana.

Alikamata simu yake na kutafuta namba ya Mercy. Alipoipata akabofya kitufe cha kupigia simu na bila kinyongo nayo simu ikaita kwa sekunde kadhaa na baadae ilipokelewa na sauti tamu ya kimwana yule ilianza kupenyeza kwenye sikio la Longino. Kwa kuwa siku hiyo Mercy hakwenda shule, basi alikubali ombi la Longino haraka baada ya kuombwa aende anapoishi mwanaume yule.

Bila kujiuliza mara mbili, binti yule alijivuta hadi anapoishi Longino.

Longino alimkaribisha chumbani kwake kimwana yule ambaye naye mashalah hakuwa skrepa, japo yeye uzuri wake haukumfikia Subira.

"Ehe,nipe stori player." Mercy alianzisha maongezi baada ya kukaa katika kitanda cha Longino.

Mercy alishapazoea mule ndani hivyo hakuwa na wasiwasi hata kidogo kwa maamuzi yake ya kuingia na kuwa huru na chumba kile.

"Dah! Rafiki yako kanizingua tena jana." Longino aliyasema hayo huku ùso wake ukiwa unatabasamu kana kwamba haikumuuma.

"Lazima ingekuwa hivyo. Ila endelea kufight." Mercy alimpa moyo Longino.

"Aah,yaani niendelee kufight pasipo na wazo juu yangu? Kwa nini nisifight kwa àmbaye anaelewa umuhimu wangu." Maneno yalimtoka Longino.

Wakati huo alikuwa àmesimama karibu na mlango wa chumba chake.

"Kama umeamua hivyo,hamna tatizo pia, sababu ni moyo ndiyo umekutuma, basi sidhani kama kuna tatizo." Mercy aliongea huku akiachia midomo yake kutanuka kwa tabasamu.

"Nimeishaamua na ndio maana upo hapa." Longino hakuwa nyuma kuyapamba maongezi yale.

"Kwa hiyo wataka niwe kuwadi tena?" Mercy aliuliza huku akionesha wazi kutokuwa tayari na suala la kutumwa kwa mwanamke mwingine.

"Nataka uwe kuwadi wa kichwa chako pmoja na moyo wako." Longino alifunguka lakini alitoa pambo la tabasamu na kuweka sura ya umaanishaji katika maongezi yale.

"Unamaana gani?" Swali lilimfata Longino.

"Hapa namaana kwamba." Longino akasogea karibu na kitanda chake na kukaa sambamba na kimwana yule japo hawakugusana.

"Namaana kwamba,ipe nafasi akili yako ili inifikirie na kunipa nafasi ya kuwa na wewe. Ufungue moyo wako na uweze kuingiza upendo wangu kwako." Longino alitoa maneno machache ambayo yaliingia vyema katika masikio ya Mercy.

Kimya kikatanda kidogo huku Mercy akiwa kichwa chini kama anatafakari maneno yale ya Longino.

Nimesema "Kama ànatafakari", kwa kuwa alikuwa hayatafakari maneno yale bali alijawa na furaha moyoni baada ya kutamkiwa maneno yale na kijana ambaye alikuwa anamuota kila ndoto kuwa mpenzi wake.

Mercy alitamani kunyanyua kichwa chake na kumgeukia Longino kisha kumkumbatia kwa nguvu, lakini alishindwa kutokana na aibu iliyochukua nafasi katika kila kichwa cha mwanamke wa Kitanzania aliyelelewa katika maadili halisi ya wazazi wake.

"Mercy." Sauti nzito kiasi ilimtoka Longino kumuita Mercy.

"Abee." Naye kwa sauti ya chini aliitika lakini akishindwa kumwangalia Longino usoni. Uso ambao ulikuwa si dhambi kama ukiuita ni mzuri au wa kitanashati.

"Nifikirie mwenzako. Usinifanyie vibaya. Najua nilikuwa namtaka rafiki yako na ninampenda kweli, lakini naomba upendo huo uhamie kwako. Nakuahidi nitakupenda sana kama ukinipa nafasi ya kuwa na wewe." Longino alisisitizia ombi lake huku akijaribu kuweka sauti yake iwe katika mbembelezo.

Mercy alizidi kukaa kimya huku uso wake akiudondosha chini tena kwa sababu ya àibu.

"Mercy."Safari hîi jina liliitwa huku Longino akiunyanyua uso wa binti yule kwa kushika kidevu chake na kumgeuzia upande alipo yeye.

Mercy alipomuangalia Longino machoni,yalikuwa mekundu kama mtu anayetaka kulia au analia kabisa. Moyo wake ukashindwa kuhimili macho yale ya Longino japo uso ulijikaza na kuendelea kuangalia. Mercy alimuonea huruma sana Longino, huruma ambao ndio unawaponza wanawake wengi katika dunia hii.

"Nakupenda." Neno moja lililomtoka Longino na kuufanya moyo wa Mercy kulia PAA.

Haukulia kwa kuwa ni mara ya kwanza kutamkiwa neno hilo na mtu baki. La! Hasha, alishasikia neno hilo kwenye vinywa vingi sana vya wanaume wa pale mtaani kwao na anaposoma. Ila ulishtuka kwa kuwa aliambiwa na mwanaume ambaye hakuwahi kufikiria kama ipo siku atayasema hayo.

Neno hilo la Longino,lilisindikizwa na busu dogo kwenda kwenye midomo ya Mercy.

Binti hakuwa na upinzani juu ya hilo. Na Longino alikuwa kamà mwenye kujaribu bahati yake aone kama atapata ukinzani.

Kitendo hicho cha Mercy kutulia,kilimpa nafasi Longino ya kujivuta hadi karibu na ubavu wa Mercy ambapo alizungusha mikono yake kwenye shingo ya binti yule, kisha taratibu akapeleka midomo yake katika midomo ya Mercy. Kufika hapo midomo yao ikafunguka na ndimi zao zikatoka na kuanza kusabahiana huku mikono yao ikiwa inaoneana aibu kushikana hapa na pale.

Ni Longino ndiye alianza kumpeleka taratibu Mercy kwenye utamu wa raha, utamu ambao kama hujawahi kuuonja, basi utataka kila siku uuonje.

Longino alitoa mikono yake kwenye shingo ndefu kiasi kama ya twiga,aliyokuwa kabeba Mercy. Mikono hiyo ikahamia kwenye kifua cha mwanadada yule na kukutana na matiti madogo kiaina kama embe sindano lakini magumu kama rimao. Matiti yaliyotia mshawasha hata kwa kuyaangalia yakiwa yamevishwa nguo.

Longino alianza kupapasa mikono yake taratibu juu ya matiti yale na kuna muda àlikuwa àkiyaminya kwa upole na kumfanya Mercy ashtuke kama miguu ya kuku anayemalizikia kukata roho baada ya kuchinjwa.

Utamu ulimzidi Mercy hadi alijikuta hana blazia bali kalala kwenye kitanda cha Longino huku midomo ya kijana yule ikiwa imebugia titi la kulia na titi la kushoto likiwa linapewa kashikashi na mkono mwingine uliobakia.

Pumzi za Mercy zikawa zinapishana kwa kasi ya àjabu lakini Longino hakutaka kuacha kufanya yake hadi pale aliporidhika na kifua na kuanza taratibu kubusu tumbo alilobeba binti yule. Tumbo lililochukua kitovu kilichozama kwa ndani pamoja ngozi mororo ambayo kwa Longino wakati anaipapasa, alihisi kama anapapasa tumbo la nyoka au mjusi.

Mabusu hayo yaliendelea kumwagika kutoka katika kinywa cha Longino.na sasa yakawa yanaenda sambamba na mikono ya Longino kuingia ndani ya sketi ya Mercy. Sketi ambayo haikuwa imembana kama kimini bali ilikuwa imejiachia kama sketi za shule ya msingi.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

  Ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi Zaidi Naomba Share App kwa Wapenzi wa Simulizi Wapakue(Install) App ya CnZ Media

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)