
Mtunzi: Ally Mbetu 'Dr Ambe'
SEHEMU YA KUMI NA TATU
ILIPOISHIA...
ILIPOISHIA...
Shuku moyoni alijiapia atakachokifanya lazima Lily amkumbuke miaka mia moja itakayo kuja kwa kuamini amezidiwa uwezo hivyo alitakiwa kutumia nguvu alizipewa na Mungu ili kumfanya Lily akitoka pale awe amechanganyikiwa.
IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media INSTALL ILI USIPITWE NA SIMULIZI
ENDELEA...
Alimuweka mkao wa kuku kwa mchinjaji na kujiandaa kupitisha kisu huku Lily akimpigia kelele baada ya kuona anachelewa.
“Shuku jamani shingo umeiona mbona unachelewesha kukipitisha kisu, Shuku nichinje...nichinje Shuku mpenzi wangu shingo yangu ni halali yako. Mpenzi ukichelewa naweza kufa...chinja...chinja shuku.” Lily alilalama baada ya kuona Shuku akileta mbwembwe.
Shuku akiwa na usongo siku ile alimuona Lily kama mpya baada ya danadana ya muda mrefu, alijiapiza kumpa penzi la mwisho kisha anampiga chini kwa kujua hakuwa na uwezo wa kumnunulia gari wala nyumba aliyomuahidi.
Lily akiwa amepagawa baada sumu ya mahanjamu kumpanda kama nyoka mwenye hasira alitamani bakora tu kwa muda ule.
“Jamani Shukuu mbona unanitesa kosa langu nini mpenzi wangu?” Alilalama huku akimtazama Shuku kwa jicho la ‘nihukumu mpenzi.’
Shuku hakujibu kitu alimweka mkao wa samaki feri na mpaaji na kuanza kumpaa kwa kucha kitu kilichozidi kumuweka Lily kwenye wakati mgumu ilikuwa kama mwenye kidonda kuweka chumvi, aliweweseka kama mtu anayetaka kupandisha shetani.
“Shu..Shu..uu..Jamani kucha hazipai samaki tumia kisu unanitesa mwezio.”
Shuku baada ya kuona magamba ya samaki yamelainika na maji ndipo alipoaanza kumpaa kwa kisu taratibu na kuzidi kumchanganya Lily aliyetoka na hamu zake hotelini alipoachwa na MJ baada ya kupakwa upupu na kufungwa kamba mikono ili asijikune.
Kutokana na kuujua uwezo wa Shuku aliamini muwasho wote utaisha. Shuku alifanya penzi la kisasi kwa kutumia kikosi cha kwanza kuhakikisha anapata ushindi wa kishindo. Kutokana na koo la Lily kukauka sana matone manne ya maji yalimtosha kulegeza koo na kwenda marikiti.
“Shukuuuuuu,” Lily alipiga ukelele mmoja na kumkumbatia Shuku kwa nguvu kama nyani aliyeukumbatia mnazi baada ya kuteleza kwenye kuti la mnazi. Alitulia kwa muda kisha kuliacha yai lipasuke kwa nafasi. Baada ya kutulia kidogo sumu ikapanda tena na kutaka itolewe.
Kwa vile Shuku alikuwa na lake moyoni baada ya Lily kurudi uwanjani aliendeleza mateso bila chuki kwa kushambulia mfululizo bila kumpa nafasi na kumfanya Lily amalize maneno yote mdomoni.
“Shuku nakupenda.”
“Muongo.”
“Kweli nakupenda Shuku wangu.”
“Siamini.”
“Kweli Shuku, mbona leo tufauti na siku nyingine, umetia nini mpenzi.”
“Kawaida tu.”
“Muongo, kuna mtu ulikuwa ukimpa raha hizi.”
“Hakuna wewe tu.”
“Shuku nakupenda, lakini mpenzi umezidi ubahili ninunulia gari ili nirudishe hili.”
“Nitakununulia.”
“Lini mpenzi?”
“Nitakwambia.”
“Ja..ja..jamani Shuu..Shuu..Shuu...te..te..tee..ee na..naaa.”
Lily alitulia na kushusha pumzi ndefu, alifumbua macho kwa shida kutaka kumuona vizuri Shuku aliyekuwa amejilaza pembeni chuma kikiwa kikoli moto.
“Shuku,” alimwita kwa sauti ya kilevi huku macho yakiwa kama mtu mwenye usingizi mzito.
“Bebi naomba basi uninunulie gari nitulie na wewe.”
“Lily ni wazi penzi lako la fedha si mapenzi ya dhati.”
“Hapana bebi unafikiri nianze kutumia gari kisha leo tena kutembea kwa miguu nitauweka wapi uso wangu kwa wavimba macho wa mtaani?”
“Kwa hiyo nisivyo kununulia huwezi kuwa na mimi?”
“Nitakuwa na wewe lakini itakuwa ngumu kuwa nawe muda wote.”
“Sikiliza Lily kuna kitu nataka kukueleza ili usisumbuke.”
“Kitu gani dia?”
“Mi naona penzi letu limepoteza mwelekeo unaonaje penzi la leo ndilo liwe la mwisho?”
“Sijakuelewa unasemaa?”
“Nasema hivi kwa vile penzi lako la maslahi zaidi, mimi na wewe naona inatosha.”
“Kwa nini bebi?”
“Siwezi kuwa na mpenzi anayefanya biashara ya mwili, kama nataka dada poa wapo tena kwa bei rahisi.”
“Shukuu umefika huko?” Lily alishtushwa na kauli ya Shuku.
“Sijafika huko bali ukweli ni huo.”
“Shuku nakuahidi basi kukusikiliza kwa chochote nakupenda sana mpenzi wangu. Naomba uniache nakupenda kama nimekukosea naomba unisamehe.”
“Utanipendaje wakati sijakukununulia nyumba wala gari?”
“Shuku nakuahidi kukupenda ulivyo.”
“Lily unayoyasema ukienda kinyume wala usisumbuke kunitafuta kila mtu ashike hamsini zake.”
“Shuku mbona hivyo au umempata mpenzi mwingine?”
“Sina shida ya mwanamke mwingine, nikishikika nakwenda kwa dada poa nakata hamu zangu narudi kulala.”
“Basi mpenzi nitakufurahisha.”
“Wewe tu.”
“Basi mpenzi nipe raha zangu yaani leo uniishi hamu kila nikitulia mashetani yanapanda tena.”
Shuku kama kawaida aliendeleza makamuzi yaliyomtia wazimu Lily na kumwacha njia panda afuate kipi gari na fedha za MJ au penzi tamu la Shuku. Katika maisha yake yote toka avunje ungo hakuwa kukutana na mpaa samaki kama Shuku anayejua kumpaa na kumfanya samaki afurahie kuondolewa magamba.
Shuku aliamua kumtesa Lily kiungo cha kati alikikamata yeye na kumfanya Lily muda wote autafute mpira. Shuku hakutaka kumfunga kila alipobaki na kipa alirudisha mpira nyuma na kumfanya Lily alalamike.
“Shuku mpenzi nifunge jamani mateso gani haya yenye raha, nifunge npenzi nipumzike hapa nilipo nipo hoi. Shuku aliamua kufunga bao la Shuti la mbali lililomfanya Lily kujipita kama mkizi bila mafanikio. Bila Shuku kumdaka angeanguka vibaya.
Baada ya kuvunja yai la nne kwa moja la Shuku Lily alikuwa hajitambui kwa kuangusha usingizi mzito. Shuku Naye alijilaza pembeni yake kwani naye kutaka sifa kulimfanya achoke haraka aliopojilaza usingizi ulimchukua.
***
Walishtuka wote jioni wakiwa wamechoka na njaa kali.
“Mpenzi nasikia njaa.”
“Twende tukaoge kisha tukapate chakula.”
Walikwenda kuoga walipomaliza kuoga na kubadili nguo, Lily alitangulia kutoka na kumuacha Shuku akichukua fedha. Alitoka akiwa hana hili wala lile mbele ya macho yake alishtuka kumuona MJ akiwa amekumbatiana na msichana wakilishana denda.
Alishindwa kwenda mbele na kurudi nyuma, wakati huo Shuku alikuwa akitoka.
“Vipi hujafika mbali, nilijua umeishafika nje?”
“Mm..eeh..aah,” Lily alipata kigagaziko.
“Nini mpenzi?”
“Aah..basi.”
Shuku alipotazama mbele alimuona MJ aliwa na mpenzi wake katika penzi zito.
“Sasa dia kipi cha ajabu umekiona? Hebu twende.”
Walitoka wameshikana mikono na kuwapita huku Lily akitazama pembeni moyoni akiwa na bonge la wivu. Walipotoka nje kabla hawajaingia kwenye gari Lily alimuuliza Shuku swali la kizushi.
“Yule ndiye mke wa MJ?”
“Mke! Malaya tu.”
“Ina maana si mpenzi wake wa siku zote?”
“MJ ana mpenzi mmoja? Kila kukicha anabadili wanawake kama nguo. Huyu sijui mtoto wa kigogo alikuwa nje ya nchi nasikia kaidanganya familia yake anakuja kesho ili ale raha na MJ jana na leo kisha kesho anakwenda kwao.”
“Amefika lini?”
“Jana usiku.”
“Saa ngapi?”
“Yule ndiye mke wa MJ?”
“Mke! Malaya tu.”
“Ina maana si mpenzi wake wa siku zote?”
“MJ ana mpenzi mmoja? Kila kukicha anabadili wanawake kama nguo. Huyu sijui mtoto wa kigogo alikuwa nje ya nchi nasikia kaidanganya familia yake anakuja kesho ili ale raha na MJ jana na leo kisha kesho anakwenda kwao.”
“Amefika lini?”
“Jana usiku.”
“Saa ngapi?”
Songa nayo....
“Kama saa tano au sita hivi sina kumbukumbu vizuri.”
“Wakati anakuja MJ alikuwa wapi?”
“Sijui si unajua anapenda starehe sana, alinipigia simu tu nimpokee na baadaye alikuja mwenyewe.”
“Kwenye saa ngapi?”
“Bebi maswali yote ya nini mbona unauliza kama mpenzi wako?”
“Samahani bebi nimeuliza tu.”
“Achana naye tufanye yetu, ukimfuatilia MJ atakupasua kichwa, sijui mwanamke gani jijini hajampitia.”
“Mbona mimi hajanipitia?” Lily alijishaua.
“Bahati yako uko na mimi bila hivyo sasa hivi ungekuwa umeliwa na kupigwa chini.”
“Kwa hiyo ndiyo tabia yake?”
“Lily hebu tuachane na mambo ya MJ,” Shuku alisema huku akifungua mlango wa gari na kumuingiza Lily kisha alirudi upande wake na kuingia kwenye gari na kuelekea kwenye msosi.
Lily moyo ulimuuma baada ya kujua MJ alimtelekeza hotelini kwa ajili ya yule msichana. Moyoni aliapa kumshikisha adabu tena kupitia kwa Shuku mulemule ndani.
Lily baada ya kutoka kwa Shuku alipanga kulirudisha penzi lake upya kwa mpenzi wake baada ya kuona MJ alimfanyia kitendo cha kumdhalilisha. Alipoorudi nyumbani alimueleza yote dada yake aliyofanyiwa na MJ.
“Mdogo wangu dunia ya leo hakuna bwana wa mmoja, wee kula sehemu yako isiyokuhusu waacheni wenzako.”
“Dada unauma hawezi kunitelekeza hotelini na kwenda kwa mwanamke mwingine.” Lily alisema kwa uchungu.
“Kwa hiyo ulitaka kufanyaje?”
“Nimeona heri nirudiane na Shuku.”
“Kwani mliachana?”
“Hatukuachana bali nilipenda nimtulikie bwana mmoja Shuku nilikuwa namtema kiana.”
“Una muda gani ulikuwa hujaonana na Shuku?’
“Muda kidogo nilikuwa nimpiga kalenda mpaka akashtuka, dada leo mbona nilikuwa ndo aachwa!”
“Na nani?”
“Na Shuku.”
“Kwa sababu gani?”
“Si sababu ya kumrusharusha, penzi alilonipa leo lilikuwa la mwisho,,ha..halafu sa..aa..sa!”
“Nini tena?” dada Lily alishtuka.
“Dada japokuwa Shuku mbahiri lakini ni mwanaume wa shoka, akikushika kakushika. Alichonipa leo kama angeniacha ningeingia uchizi.”
“Kakupa penzi gani tena lililokuchanganya mdogo wangu?”
“Hata siwezi kulielezea ila sijawahi kupewa penzi tamu kama lile.”
“Sasa mdogo wangu kwa vile Shuku hajui lolote juu ya uhusiano wako na MJ, wewe mpe penzi kama kawaida ila hakikisha hupitishi siku mbili lazima umpe.”
“Nitafanya hivyo, sasa hivi mpenzi yote kwa Shuku kuchuna kwa MJ.”
“Umeona eeh, mdogo wangu hayo ndiyo mambo usiwe na hasira za mkizi bure.”
“Habari ndiyo hiyo.”
Simu ya Lily iliita alipoangalia alikuta ni MJ amepiga, alitulia bila kupokea kitu kilichomshtua dada yake na kuhoji.
“Vipi nani, mbona hupokei?”
“MJ.”
“Sasa mbona hupokei?”
“Yaani kanitoka moyoni ile mbaya.”
“Hebu pokea kumbuka ndiye anayekupa jeuri mjini.”
“Dada nitazungumza naye nini?”
“Msikilize.”
Lily alipokea simu, alikuzungumza:
“Haloo.”
“Haloo Lily mpenzi samahani sana.”
“Samahani ya nini MJ?”
“Kwa yote niliyokufanyia nakuahidi kukufanyia mambo makubwa naomba unisamehe sana pia sitaki tuyakumbuke yaliyopita, ila naomba jioni ya leo tuonane samahani sana mpenzi wangu,” MJ alijitetea.
“Sawa nimekusamehe ila suala la kuonana nitakujibu baadaye.”
“Basi usichelewe kunijulisha mpenzi.”
“Poa,” Lily alijibu huku akikata simu.
”Vipi anasemaje?” dada Lily aliuliza.
“Eti anaomba msamaha.”
“Nimefurahi kusikia umemsamehe mdogo wangu ukitaka kula na kipofu usimshike mkono.”
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
Ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi Zaidi Naomba Share App kwa Wapenzi wa Simulizi Wapakue(Install) App ya CnZ Media