
Mtunzi: Ally Mbetu 'Dr Ambe'
SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA
ILIPOISHIA...
ILIPOISHIA...
“Sister si unajua ndo gari la kwanza.”
“Una maana gani?’
“Yaani nikiondoka huku nyuma kazi zitanipita.”
IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media INSTALL ILI USIPITWE NA SIMULIZI
ENDELEA...
“Wala usihofu, kwani kila gari mnashushia shilingi ngapi?”
“Elfu hamsini watu watano.”
“Kwa siku mnashusha magari mangapi?”
“Kuwa tunagawana, unaweza kushusha magari matatu mpaka manne kwa siku.”
“Basi mi nitakupa elfu hamsini kunipeleka kwa Shuku tu.”
“Utani huo sister.”
“Kweli kabisa, ukifikisha na kunionesha anapokaa Shuku nakupa kisha tunaachana.”
“Hakuna tatizo ngoja nikawaage wenzangu kisha nibadili nguo kisha nikupeleke.”
“Haya fanya haraka.”
Yule kijana alikwenda kuwaaga wenzake na kurudi akiwa amebadili nguo.
“Sister tunaweza kwenda.”
“Wawoo! Jamani kumbe kijana mzuri hivi?”
“Sister yale ni mavazi ya kazi, baada ya kazi tunajichanganya kama kawa.”
“Poa basi twende, kwani anakaa wapi?”
“Keko Toroli.”
Waliongozana hadi kwenye gari, mshikaji naye alishtuka kumkuta mwanamke mrembo akiendesha benzi.
“Duh! Dada upo sawa.”
”Usikonde kaka yangu vitu vya kawaida, unaitwa nani vile?.”
“Hashimu, Dada kwako vya kawaida wakati wengine hata baiskeli ndoto.”
“Kwa vile unatafuta utapata tu kaka yangu usikate tamaa, funga mkanda basi tuondoke.”
“Mmh! Kama nimo kwenye ndege vile.”
Lily alichekea rohoni hakujibu aliwasha gari na safari ya kwenda kwa Shuku ilianza.
Walipofika Keko Hashimu alimuelekeza Lily sehemu anapoishi Shuku. Walipokaribia alimuonesha nyumba kwa mbali.
“Dada naomba unishushe hapa nyumba anayoishi Shuku ile pale yenye vioo vya tinted.”
“Anaishi na nani?”
“Mmh! Mara nyingi huwa namuona peke yake.”
“Si nasikia ameoa?”
“Ndo nasikia kwako.”
“Basi nashukuru,” Lily alisema huku akivuta mkoba wake na kuhesabu elfu hamsini kama alivyomuahidi. Alimuongezea na elfu tano ya nauli.
“Na hii elfu tano ya nauli." ”Asante dada yangu."
Hashimu aliteremka kwenye gari na kumwacha Lily aende peke yake. Baada ya kubaki peke yake aliendesha gari taratibu kuelekea kwenye nyumba aliyoelekezwa anakaa Shuku.
Alilipaki gari pembeni ya nyumba ile ambayo ilionesha anakaa mtu mmoja tena mwenye uwezo kutokana jinsi ilivyokuwa. Alijikuta akiingia wasiwasi labda yule kijana amemdanganya. Lakini alisema yote atayajua hukohuko.
Alitembea huku akiwa na mawazo mengi kama kweli Shuku anakaa pale, huenda yupo kwa ndugu yake kama alivyokuwa kwa MJ. Alipofika alibonyeza kengele iliyoita kwa muda mara alisikia sauti za miguu zikisogea mlangoni. Alitulia amuone anayefungua mlango ni nani.
Mara mlango ulifunguliwa na kujikuta akitazamana uso kwa uso na Shuku aliyekuwa kwenye vazi la bukta kifua wazi. Shuku alipomuona Lily hakushtuka alimkaribisha ndani. Lakini Lily alijikuta akishika mkono kifuani kwa mshtuko.
“Karibu,” Shuku alimkaribisha.
“Asante Shuku nimekaribia.”
Mara mlango ulifunguliwa na kujikuta akitazamana uso kwa uso na Shuku aliyekuwa kwenye vazi la bukta kifua wazi. Shuku alipomuona Lily hakushtuka alimkaribisha ndani. Lakini Lily alijikuta akishika mkono kifuani kwa mshtuko.
“Karibu,” Shuku alimkaribisha.
“Asante Shuku nimekaribia.”
Shuku alimwacha Lily aingie ndani na kufunga mlango kisha aligeuka na kumkuta tayari mgeni wake amekaa kwenye sofa. Lily baada ya kukaa alizungusha macho katika sebule iliyokuwa na kila kitu kwa matumizi ya mwanadamu.
Lily bado alikuwa na maswali mengi kichwani kuhusiana na vitu alivyoviona sebuleni pia nyumba ilikuwa ikitumia kiyoyozi. Wazo lake aliamini kabisa pale Shuku atakuwa anatunzwa na mtu na wala si kwake.
Wakati wakiwa kwenye maswali yasiyo na majibu, Shuku alimuaga na kwenda chumbani mara moja na kumfanya Lily kuwa na uhuru wa kufanya uchunguzi wa kina.
Macho yake yalipatwa na mshtuko baada ya kuona picha kubwa ya Shuku ikiwa ukutani kuonesha yeye ndiye mwenye nyumba. Lakini bado hakuamini mawazo yake huenda kaachiwa nyumba mwenye mji yupo nje ya nchi.
Baada ya muda Shuku alirudi sebuleni na kumuuliza mgeni.
“Mgeni unatumia kinywaji gani?”
“Chochote utakacho nichagulia wewe mwenyeji wangu.”
Shuku hakujibu kitu alikwenda kwenye friji na kumletea takira na kumfanya Lily ashtuke.
“Shuku hii ya nani?”
“Si umesema nikuchagulie kinywaji, unashangaa nini, au nimekosea?”
“Shuku hiki ndiyo kinywaji changu kimefikaje kwako?”
“Sasa huo ugomvi, kwani kinywaji hiki kimetengenezwa kwa ajili yako tu?”
“Hapana, lakini najua hunywi kinywaji hiki kimefikaje kwenye friji yako.”
“Ni kweli sinywi, lakini nyumba yangu inatembelewa na wageni wengi hivyo najitahidi kuweka vinywaji vingi. Ili ukija kama wewe basi upate kinywaji chako.”
“Hapana Shuku una mwanamke anayekunywa kinywaji hiki.”
“Sina.”
“Unanidanganya Shuku una mwanamke mwingine,” Lily aliangua kilio cha wivu.
“Sasa Lily hata kama ningekuwa na mwanamke wewe anakuhusu nini?”
“Sikubali Shuku wewe bado mpenzi wangu sikubali mwanamke mwingine akuchukue.”
“Kwa taarifa yako, sina mwanamke wala wewe huna nafasi tena kwangu.”
“Shukuu, sikubali. Kumbe MJ alinidanganya na kusababisha tuachane.”
“Kwani nilikufuata kukulilia?”
“Hapana najua nimekukosea Shuku wangu, nahitaji kurudi kwako, nimeisha jua mbaya wetu, hata shoga zangu walinieleza MJ si mwanaume bali muharibifu.”
“Muharibifu vipi wakati kakununulia nyumba na magari ya kifahari?”
“Lakini hana upendo ambao kwako nimeamini upo ambao nitaupigania kwa nguvu zangu zote hata kufa, lakini nikurudishe mikononi mwangu." ”Lily mbona umechelewa.”
“Nimechelewa kivipi?”
“Mimi nimeishaoa." ”Etiii nini Shukuuu! Mungu wangu nakufa," kauli ile ilimfanya Lily aanguke chini na kupoteza fahamu.
Shuku alishtuka kumuona Lily akianguka kama mzigo, alipomsogelea aligundua amepoteza fahamu. Alijalibu kumpa huduma ya kwanza ambayo ilikuwa mtihani kwani wakati wa kumhudumia Lily alikuwa ametandaza miguu na gauni lake fupi kupanda juu na kuyafanya mapaja kuwa wazi na njia ya kuelekea ikulu ilikuwa ipo wazi.
Jicho la Shuku lilipotua kwenye mapaja laini ya Lily alijikuta akimeza funda la mate ya hamu na kuendelea kumuhudumia. Baada ya muda Lily alirudiwa na fahamu.
“Vipi?” Shuku alimuuliza akiwa amemshika kichwani.
“Safi,” Lily alijibu kwa sauti ya chini huku akimuangalia kwa jicho la kuihitaji huruma.
“Tatizo nini?”
“Naomba kwanza uniingize chumbani nilale.”
“Kwani unajisikiaje?”
“Mwili umechoka sana mpenzi wangu.”
Kauli ya kuitwa mpenzi japokuwa Shuku hakuipenda lakini hakuwa na jinsi kwa vile alitaka Lily awe kwenye hali nzuri.
“Lily twende hospitali.”
“Ukinipeleka hospitali nitakufa.”
“Hapana utapata tiba nzuri.”
“Shuku kabla ya kunipeleka hospitali naomba ninale kidogo.”
“Kwa vile hapa sebuleni kuna upepo mzuri lala hapo kwenye kochi.”
“Shuku nasikia joto sana.”
“Nikusogezee feni?”
“Hapana nataka nijimwagie maji.”
“Bafu lipo huko,” Shuku alimuonesha bafu kwa kidole.
Lily baada ya kufanikiwa kumdanganya Shuku amepoteza fahamu, alijifanya kujinyanyua kwa shida. Shuku alimsogelea na kuingiza mkono chini ya kwapa na kumsaidia kumshikilia. Walitembea taratibu huku Lily amekilaza kichwa kwenye kifua cha Shuku ana kutonga kama mtu anayeumwa sana.
Shuku alimfikisha nje ya bafu na kumweleza aingie.
“Lily ingia uoge mi nipo sebuleni.”
“Hapana shuku naomba unishikilie nijimwagie maji.”
“Sasa utaogaje nami nipo?”
“Shuku kipi kigeni kwako katika mwili wangu, hebu nisaidie bwana.”
Shuku hakuwa na jinsi aliingia naye bafuni, Lily aliamini ile ndiyo sehemu ya kuhakikisha anabakia kwa Shuku baada ya kuliona penzi lake lilikuwa halina maisha. Kwa makusudi alizidondosha nguo kwenye maji.
“Mungu wangu, sasa itakuwaje?” Lily alijifanya kushtuka.
“Lily hebu jimwagie kwanza maji ili kuupa nguvu mwili.”
Lily aliamalizia kufuli na mkanda na kufanya mambo yawe wazi kama jua la mchana linavyoangaza pembe zote za dunia.
Shuku alizidi kumeza mate ya uchu huku akijikaza kuhakikisha hafanyi lolote kwa Lily. Lakini katika kambi yake ya jeshi hali ilikuwa mbaya baada ya kamanda mkuu kutaka kutoka nje ya kambi baada ya kuona anafanyiwa dhihaka.
Lily alijifanya hana hata nguvu za kufungua bomba.
“Shuku nifungulie maji.”
Shuku wakati akifungua maji Lily aliteremka chini na kuingiza mkono kwenye kichaka na kumtoa nyoka aliyekuwa na hasira. Shuku alishtuka lakini alikuwa amechelewa kwani tayari Lily alianza kuchana mistari kwa ufasaha zaidi kwa vile maiki ile alikuwa ameizoea. Alijikuta akibembea juu kwa kwa juu kama shati lililo juu ya enga.
Lily suala na kujimwagia maji aliliweka pembeni na kuhakikisha mpaka wanatoka bafuni penzi lake lizaliwe upya.
“A..a..shiiii! Lily,” Shuku alitatalika huku amekishika kichwa cha Lily kama mpiga ngoma kujikuta akimwaga uno la juujuu. Ghafla Shuku aliwasikia wazungu walisogea kwa mbali na kujikuta akichanganya miguu kama mtu anayetaka kufumua shuti kali.
Kwa haraka Lily aliitoa maiki mdomoni na kuuingia mwiko kwenye chungu. Kwa vile mchicha ulikuwa umekolea nazi, Shuku alijikuta akipiga mikono minne ya kasia na chombo kufika pwani.
Kwa vile Shuku alikuwa na nguvu pia ugwadu wa muda mrefu alijikuta akipiga two in one (mbili kwa moja) watoto wa mjini wanasema mumo kwa mumo.
Lily naye alikuwa kama samaki aliyekuwa akitatafuta maji kwa muda mrefu siku ile alikuwa ameyapata. Moyoni alijiapiza mpaka wanatoka bafuni lazima Shuku amrudishe mikononi mwake. Mtoto wa kike alijituma, kila kasia zilivyokuwa zikipigwa ndivyo wazimu ulivyompanda. Mikono alishika kichwani na kuinama kama anatafuta kitu alichokidondosha chini alijipindua nyuma kama nge aliyepandwa na hasira anamvizia mtu kumgonga na kuiacha nyonga laini ifanye kazi.
Shuku alishangazwa na kujiuliza mara mbilimbili, Lily ana mfupa au kafunga feni. Walijikuta wakienda sambamba kila mtu akiwa na hamu na mwenzake baada ya kumkosa kwa muda mrefu.
Lily aliamini mkunaji wa upele wake unamsumbia toka alipokuwa na MJ alikuwa amerudi. Shuku naye baada ya kutoa kipigo cha pweza alikumbuka mtu anayempa shuruba nzito ametoka kwenye ugonjwa.
Alijikuta akipunguza kasi kitu kilichomshtua Lily na kulalamika.
“Shukuuu unafanya niniii?”
“Lily si unaumwa?”
“Utaniudhi! Nani kakwambia mi naumwa? Hebu nipe raha zangu zimezikosa muda mrefu.”
Mwanaume hakutaka kulemba tena, siku zote mtoto hatishiwi ubwabwa ndicho chakula anachokipenda. Chombo kikarudishwa kwenye maji na kupiga kasia mtindo mmoja mpaka walipojikuta wakiangukiana baada ya kila mmoja miguu kupoteza uwezo wa kusimama kwa muda mrefu.
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
Ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi Zaidi Naomba Share App kwa Wapenzi wa Simulizi Wapakue(Install) App ya CnZ Media