MAMA MWENYE NYUMBA (6) - CnZ Media

CnZ Media

Jisomee Simulizi Mpya Kila Siku

Jumamosi, 2 Mei 2020

MAMA MWENYE NYUMBA (6)

UMEWAHI KUONA AU KUSIKIA KUHUSU PICHA ZA AI?
Sasa naomba nikufundishe bure kabisa nawewe uzitengeneze kirahisi kabisa

Mwandishi: Mbogo Edgar

SEHEMU YA SITA
Dakika chache baadae walikuwa wameanza kula, ilikuwa ni bahati kwake, maana hakutegemea kula chakula kitamu kama kile, mchana waleo, waliongea mengi sana wakiwa wamekaa kwakutazama wakitenganishwa, na meza.

SASA ENDELEA...
Suzani muda wote alikuwa akimsifu Edgar, kwakitendo cha kumwazibu yule mwendesha pikipiki, mkosa adabu, hapo ndipo Edgar akakumbuka kuwa aliliona gari kama la mama mwenye nyumba wake, pale kwenye tukio, pia Suzan alimtoa wasiwasi juu ya mahisha yapale nyumbani, waliongea mengi sana, ata walipo maliza kula, Edgar aka shukuru, kasha akatowa fedha ili amkabidhi, “sikia Eddy hizo bakinazo, unaweza kunilipa siku za baadae, wacha zikusaidie kwasasa “Nikauli iliyo ustua moyo wa Edgar na kumfanya hashindwe kuamini masikio yake, “lakini mama …..” “husijari Eddy hakuna tatizo lolote we bakinazo, hisitoshe umenifurahisha sana ulipo mwazibu yule mshenzi” waliongea sana pale, nyumbani kwa Suzie huku kila mmoja akimvizia, nakumtazama mwenzie, sehemu aliyo ipenda kwamwenzie, saa kumi jioni, Edgar aliaga iliakajiandae aende chuoni kwa masomo ya jioni, da! Suzan alihisi unyonge na upweke vikimkabiri, “ok sawa siutawaikurudi usiku, maana umeniondoa upweke sana leo” aliongea Suzie na kuinuka ghafla, ndipo alipo ustua tena mguuwake, akakunja sura kwa maumivu, akaludi chini nakukaa tena kwenye kiti, “vipi tena mama, unatatizo mguuni?” aliuliza Edgar akijaribu kuangalia mguu wa Suzan lakini alikutana na upaja, ulionona wa mama mwenyenyumba, ukiwa wazi kabisa,”.

Akasitisha zoezi, la kutaka kutoa huduma yakwanza “ndiyo nimejiumiza, leo kazini” alijibu suzana akionyesha kujisikia maumivu makari, nikiwai kutoka chuo nita kuja nadawa yakuchua” aliongea Edgar pasipo kutegemea, maana alijikuta akiwa ameamaika kuwa nafuraha ya ghafla asa baada ya kupata msamaha wakodi, “ok! nipenamba yako ya simu, nikukumbushe” hapo wakabadirishana namba za simu, kasha Edgar akaondoka zake, akimwacha Suzan akitafakari, juu ya mpangaji wake mpya.

Sophia Mashaka baada ya kuzikamata mil kumi akaenda kwa mama yake mbezi msakaku, kwani yeye alikuwa ana kaa kwamsuguri, alimkuta mama yake, akiwa anaendelea nashughuli ndogo ndogo za nyumbani, kiukweli Sophia alikuwa mzuri, ataumbo lake liliwavutia wanaume wengi sana, taitizo lake alikuwa anapenda sana pombe na starehe, ila kwaupande wa wanaume alikuwanao wawili mmoja alikutananae bar, na mwingine, alikuwa nimfanyakazi mwenzie, baada ya kuongea na mama yake kwamuda mrefu maana hiyo ni kawaida yake, kuonana na mama yake karibu kila siku jioni, anapo toka kazini, na week end kama hivi , kabla hajatoka na kwenda kupata moja baridi, mida ya saa kumi na mbili ilimkutia mitaa ya mbezi, akawasiliana na jamaa yake, ambae miezi michache walikutana bar, moja iliyopo kibanda cha mkaa, wakafahamiana na kuanzisha mausiano, jamaa huyu anaitwa Fredi Kileo, wakaaidiana wakutane full dose pub, hapo Sophia akaelekea moja kwamoja full dose, na kutafuta sehemu nzuri na kukaa, akaagiza bia yake, huku macho akiyaelekeza kwenye mlango wakuingilia, huku akiwaona watu wote wanaoingia nakutoka, pia wanao enda counter na wanaoenda chooni, dakika kumi mbele,akiwa anaendelea kunywabia yake, Sophia akamwona Fred akiingia, akamtumia sms kuwa aende pale alipo, atimae wakakutana, wakakaa nakuendelea kugonga mtungi, wakiwa wamesha kunywa bia kadhaa, na giza likiwa limetanda, mala mambo yakabadirika, Fred akaanza kuinuka mala kwamala, akienda kupokea simu pembeni, kitu hicho kilimstua sana Sophia akajawa nawivu, akaamua afwatilie jambo lile, nikweli haikuchukuwa muda “sorry baby, ngoja kwanza” Fred aliongea huku akiinuka, hapo Sophia alimwesabia atua jamaa yake, kasha akamfwata kule alikoelea, alimwona akipenya kwenye mauwa na kutokeakwenye sehemu, tulivu upande wanyuma, ambako kulikuwa na mwanga afifu sehemu chache huku sehemu kubwa ikitawaliwa na giza.

Sophia alimfwata Fred ambae alimwona akiwa mesimama kwenye giza kalibu na mauwa marefu yaliyopndwa kwenye ndoo, nakutengeneza kamsitu, tatizo yale mauwa yalikuwa mbele Zaidi, na Fredi akayapa mgongo, hapo Sophia akapatawazo la kuzunguka nyuma yay ale mauwa ili aweze kuna sa maongezi vizuri, nikweli alifanikiwa, na mbaya Zaidi wasiwasi wake ulikuwa kweli, aliweza kumsikia Frdi akiongea na mtu, ambae walionekana wakipanga miadi ya usiku ule “ namaliza kikao, husijari baby, mida hii hii mimi nakuja” hapo Sophia alipatwa na hasira kari sana, akaangaza huku nahuku kama anaweza kupata japo chupa yabia au soda, amshikishe adabu huyu mshenzi, wakati akipepesa macho ndipo alipo ona kitu kilicho mvutia, aliona wapenzi wawili wakipeana raha, hawakuwa mbali sana nayeye, wakiwanyuma ya mauwayale kwenye viti vyao vinywaji vimejaa mezaniwakifanyia na vitendo vya kimahaba, lakini ile kumwangalia vizuri, haaaa! Alikuwa ni baba yake mzee Mshaka, hapo Sophia alitamani akampasue yule mwanamke, kwani anatambua kuwa baba yake anamsumbua sana mama yake, lakini akaamua kugeuka nakuondoka zake, akuludi tena mezani kwani hakuwa amehacha kitu, na hakuwa anakunywa kwa bili, akiwa na ikamata barabara kuu ya morogoro, aksikia simu yake ikiita, alipo itazama ni fred “baby mbona umeondoka,” lilikuwa swali lakwanza alipo pokea simu, “ilikuwa lazima unihache mimi?” Fred akionyesha kustuliwa na swali lile akazuga hajaelewa, “mbona sikuelewi baby” hapo Sophia akajibu kwamkato, “bwana ninamambo mengi sana kichwani, maliza kikao umwai baby” kisha akakata simu, “dah huyu mzee nimshenzi kabisa” aliwaza Sophia akielekea mbezi kwa msuguri.

Edgar, naye alikuwa njiani akiludi nyumbani, akitokea chuo, leo aliwai sana kwasababu moja kubwa, maana baada yakutoka pale kwa mama mwenye nyumba, alienda chuoni, akipitia kwenye duka la madawa nakununua mafuta flani, ambayo aliyafahamu akiwa seminal, usaidia sana unapo mtibu mtu sehemu aliyoumia, alipo yapata akaelekea chuo, njiani ilimjia picha ya paja la mama mwenye nyumba, dah! Khapo akazidi kupata matamanio ya kukutana na Nancy, iliafanye mechi ya kirafiki, ukichukulia ana elfu sitini mfukoni, chuoni alikuta wale vijana wenzake, wakendelea kutazama video ya ngono, na sasa walikuwa wengi kidogo ilisha timia saa, kumi na moja jioni, akajishaulisana juu ya kwenda kujiunga nawenzake atazame ile video, au atafute darasa jingine ajisomee, akaona wazo la kujisomea nizuri Zaidi, akatoka kwenye lile dala na kwenda kwenye darasa jingine, ambalo lilikuwa na wanafunzi wachache wakiwa busy kwa makundi wakijisomea, yeye akakaa mwenye nakuanza kujisomea, akiwa na moyo uliotawaliwa nafuraha, baada ya kuipata ile elfu sitini, Edgar aliendelea kujisomea, mpak alipoanza kuona giza linaingia, atimae waka washa taa, mle darasani, na watu wakianza kupungua wakienda kutafuta msosi, hapo akakususanya kilicho chake nakutoka darasani, wakati wote akijaribu kutazama huku nahuko, kama atamwona Nancy, akakumbuka jambo, akaamua kwenda kwenye lile darasa ambalo watu wanatazama video ya ngono, sasa mlendani alikutawana funzi wachache,wakiwa wame izunguka ile computer, bado wana tazama video yao, hapo akashawishika kusogea, nakushuhudia tena mchezo ukiendelea, baada ya kukaa hapo kwa muda wa nusu saa akaona, anazidi kuumia, maana dudu ilikuwa imesimama kama mlingoti wabendera, taratibu akajitoa nakuelekea nje, hukuakijaribu kutazama huku nahuku, lakini hakumwona Nancy, hapo akakata tamaa ya kula kitumbua usiku huu, alicho amua ni kwenda zake nyumbani, lakini kwanza akapitia kwenye bar moja akapate chips na mishikaki.

Wakti huo mama mwenye nyumba bibie Suzan alikuwa ndo anastuka toka usingizini, toka alipo lala jioni, mala baada yakuondoka Edgar, aliamka na kwenda kuoga, alipo maliza akavaa kanga moja na chupi tu! kisha akaanza kijiandalia chakula cha jioni, akipiga mahesabu ya kuandaa chakula cha watu wawili, akiwa nauakika Edgar atakula sababu aliahidi kuja kwake kumletea dawa yakuchuwa, akatakaamtumie sms ya kumkumbusha, kuwa hasisahau dawa, lakini hakasita, akiwa nauakika atakumbuka mwenyewe.

Kumbe Edgar nae alikuwa amefika kwenye ile bar na kuelekea kwenye jiko la pale bar, akaagiza chips na mishikaki mine, kasha akarudi na kukaa kwenye kiti, kabla muhudu haja fika na kumwuliza atatumia kinywaji gani, Edgar akaagiza soda, wakati anasubiri soda akamwona Nancy akiwa ameongozana na kijana mmoja, wakiingia pale bar, Edgar akapatwa na mshangao, akajipa moyo kuwa atakuwa ni mwanafunzi mwenzao, ambae amekuja nae tu, kwasababu yeye mwenyewe alimwambia yupo pekeyake, hapo akainuka nakumfwata, pale walipo kuwa wameenda kukaa, “mambo vipi Nancy, nimekutafuta sana ulikuwa wapi?” aliongea Edgar akimshika bega, Nancy kutokea nyuma, chakushangaza nancy aliutoa mkono wa Edgar kwenye begaa lake na, kama ameona dudu washa, kasha akamtazama kwamacho ya mshangao “ wewe una nifahamu mimi,?” aliuliza Nancy kwa hasira, akionyesha mshangao, mkubwa, “unavamia tu! watu kwenye pozi zao”


Hapo Egar kwahaibu aligeuka na kuondoka zake, hakisahau kama ameagaiza chipsi mishikaki na soda, moja kwamoja akaelekea nyumbani, akiwa amekosa amani kabisa, akijihapiza kutomsogelea tena yule mwanamke, maana alichomfanyia kilikuwa nikitendo cha haibu kabisa, aliwazanjia nzima mpaka alipo fika nyumbani, aliingia moja kwamoja chumbani kwake, muda huo Suzan, au mama mwenye nyumba, muda huo alikuwa jikoni anamalizia kuosha vyombo alivyotumia mchana, ndipo alipo sikia mlango wa chumba cha mpangaji wake mpya, ukifunguliwa, akachungulia dilishani, akamwona Edgar akiingia chumbani kwake, hapo kamoyo kake kakastuka kidogo, kitu ambacho atayeye hakuwa akielewa maanayake, hapo hapo aliosha vyombo haraka sana, kasha akaenda sebuleni, ambako alikuwa amesha andaa chakula mezani, akajilaza kwenye kochi na kuchukuwa simu yake, kasha akatafuta namba moja ya simu.

Kumbe Edgar naye baada yakuingia chumbani akavua nguo zote, nakuingia bafuni, nakuanza kuoga, alipomaliza akajiweka sawa na kuvaa bukta yake ya kulalia aliyo kuwa ameivaa asubuhi wakati wakuamka, kasha akajitupa kitandani, alijilaza kwa mda wadakika kama kumi ndipo alipo sikia mlio wa simu , kuashilia kuwa kuna messeji ime ingia, akakumbuka kuwa ameihacha simu kwenye, suluali akainuka, na kwenda, kuichukua simu yake kwenye mguo aliyokuwa ameitundika kwenye msumali ukutani, akaitoa na kuangalia kwenye kioo, akaona kweli kuna messeji imeingia tena mbili, akafungua akaona zote zinztoka kwa mama mwenyenyumba

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO



USIKOSE SEHEMU YA SABA

Maoni, Ushauri na Chochote Share Namimi Katika Mawasiliano Haya:
+255 718 274 413 Ipo WhatsApp
+255 764 339 438
ZephilineEzekiel@Gmail.Com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni