MAMA ALISHIKWA KALIO MBELE YANGU (30)

0

SEHEMU YA THERATHINI
TULIPOISHIA...
Lakini pia Jeshi la polisi lilikuwa limeikomalia kweli kweli kwani Yule mtoto alikuwa ni mjukuu wa RPC hivyo walihusianisha kupotea kwake na mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na visasi labda dhidi ya majeshi ya ulinzi na usalama.

IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI

TUENDELEE...
Ingekuwa watu waliomteka huyu mtoto wangekuwa ni wa kawaida tu basi angekuwa ameshapatikana lakini mpaka wakati huu kila walichokihisi na kukifwatilia waliishia kwenye hakuna.
Pamoja na kutangaza dau nono kwa atakayesaidia kupatikana kwa mtoto, kutangaza magazetini kwenye TV na media zingine lakini bado hakuna kilichowezekana. Mtoto alikuwa hajapatikana bado.
Verity ndani ya siku tatu za kupotelewa na mwanae alikuwa hali wala hanywi, alikonda ndani ya muda mfupi kwani stress zilimzidi.
Ndoa yake nayo ilikuwa kwenye hali sio nzuri japo mume wake alikuwa mpole tu lakini alijua amani hakuna kutokana na kile ambacho Sam amefanya.
Alijutia mengi sana lakini maumivu ya mtoto yakawa yamemeza maumivu mengine yote.
Mmara kwa mara alikuwa anazimia kiasi kwamba ilibidi nyumbani kwao wamchukue tu ili wamuangalie kwa karibu.
Ilikuwa ni pigo kwenye nyumba ya RPC kwani mambo yalikuwa yamepandana, huku verity kupotelewa na mtoto na huku Rafiki kupigwa na mumewe huku ndoa za watoto zikiwa kwenye sintofaham.
…………………………………….
Katika kitu kilikua kinawashtua maaskari ni kuiona gari ya Jeshi kila wakati ikipita kuelekea mpakani ikiwa iko na Gwakisa na askari mwingine wa Kike.
Walianza kuhisi kuwa huenda kuna dili chafu linachezwa kupitia kwa magari ya Jeshi la wananchi hivyo wakaanza kuwachunguza kwa karibu.
Wakiwa wamebeba mzigo mkubwa wa vitu haram kwenye gari yao ilisimamishwa na askari wanane wenye silaha nzito…

Sam alikuwa mahabusu siku ya pili sasa, alikuwa akiteseka kwa makosa ya kumpiga na kumuumiza mke wake.
Alikuwa amefichwa kwenye kachumba kakwake peke yake tena kenye giza nene ambapo alikuwa haonani na mtu yeyote isipokuwa wakati wa chakula kidirisha kidogo kilikuwa kinafunguliwa na kisha chakula kinaingizwa bila kusemeshana na kisha dirisha linafungwa na kubaki giza hivyohivyo.
Hizi zilikuwa ni adhabu za kipolisi ambazo walikuwa wanapeana polisi wenyewe ikiwa hakuna haja ya mambo ambayo yamekosewa kwenda mahakamani.
Adhabu hizi zilikuwa zinaambatana na kushushwa cheo endapo anaehusika ana cheo katika jeshi la polisi.
Kwa hasira alizokuwa nazo RPC juu ya Sam alikuwa anahakikisha ikiwezekana Sam anafukuzwa kazi kabisa.
Kitu alichokuwa anakifanya alikuwa anaandaa mashitaka mpaka ya uongo ili mradi tu Sam afukuzwe kazi kabisa tena afungwe jela.
Katika watoto wa RPC Rafiki alikuwa anapendwa kuliko wote, kitendo cha Sam kumuumiza kwa vipigo RPC likuwa anaona kama ameguswa kwa kitu chenye ncha kali ndani ya moyo wake.
Hakuweza kabisa kuvumilia ile hali, alichoamua ni kitu kimoja tu ndani ya kichwa chake, Sam afukuzwe kazi na ama afungwe na jela kabisa.
*************
Asubuhi na mapema RPC akiwa ofisini kwake alimuita sekretari wake ambaye nae alikuwa ni askari mrembo na mtiifu.
“Niitie PC kiwanuka”
“Sawa afande!” aliitikia Yule sekretari na kwenda kumuita huyo PC KIWANUKA ambaye kwa cheo alikuwa ni mwanasheria wa Jeshi la POLISI kwa mkoa wa MBEYA.
Lengo la RPC lilikuwa ni moja tu… kujua ni namna gani na ni sheria zipi ambazo zinamfukuzisha askari Polisi kazi na ikiwezekana afungwe jela kabisa.
Alipoulizwa sawali hilo PC kiwanuka alishtuka kidogo lakini mbele ya Bosi wake alianza kuelezea kila kitu na sharia amazo zinakidhi takwa la bosi wake.
Mwisho kabisa RPC alifunguka mbele ya PC huyu kwa kumwambia kuwa kuna mtu yuko mahabusu na anataka atengenezewe hayo makosa na yasainiwe kisha yaletwe kwake.
PC Kiwanuka alikuwa ana wakati mgumu lakini alitanguliziwa hela na kisha kuahidiwa cheo akajikuta amekubali kufanya huo ushenzi.

Sam alitafutiwa makosa yaliyoshiba na kisha akapelekewa RPC ambaye aliyasoma kisha akajikuta akichekelea maaana makosa yale yalikuwa yamekidhi kile alichokitaka.
Kwa mara nyingine tena RPC kwa furaha aliyokuwa nayo aliamua kumuita tena Sekretari wake akiagiza aletewe kahawa ili wanywe na mwanasheria wake.
Kahawa ililetwa kisha wakanywa huku wakipiga story mbalimbali, story zilipokwisha KIWANUKA alinyanyuka kwa lengo la kuondoka lakini RPC akamwambia atulie kwanza.
“Hebu pitia kwa Muhasibu mwambie akuandikie cheki ya milioni tano kwa ajili ya likizo ya wiki mbili ukasalimie kwenu”
“asante Afande”
“Nawewe asante ila badae tukutane kwenye viti virefu nikupe kiasi kingine idogo kwa ajili ya kutunza hii siri iwe ya kwetu tu”
……………………………………….
Japo Kiwanuka Roho ilikuwa inamsuta lakini hakujali sana kwani alikuwa amefaidika kwa kiwango flani, aliondoka huku moyoni akitabasamu na kuhuzunika kwa nyakati tofauti.
Sam nae akiwa hajui lolote kule mahabusu kuwa anaundiwa kesi ya kufukuzwa kazi na kufungwa Jela alikuwa anajiuliza tum bona hatolewi, alianza kujutia kile alichokifanya na kujikuta akitamani maisha ya uraiani na kuwa huru.
Katika vitu Sam alikuwa hajui ni Moyo wa RPC yaani baba yake mkwe, Mzee huyu alikuwa na roho nzuri nay a upole lakini endapo ukigusa maeneo muhimu kwake anakuwa na roho mbaya tena ya kuua kabisa na hapa alikuwa amempangia Sam mambo mabaya sana na tayari alikuwa ameyaweka kwenye utekelezaji.
……………………………..
Fomu ya makosa aliyokuwa nayo RPC ili ipelekwe makao makuu kwa ajili ya mapendekezo ya hukumu ya Sam kupitishwa aligundua kuwa ilikuwa imekosa sahihi ya mkuu wa kitengo cha Nidhamu Katika Jeshi la Polisi.
Hapa kichwa kilianza kumgonga maana Afisa wa polisi ambaye alikuwa anahusika na kitengo cha nidhamu walikuwa hawaivi na ingewezekana jambo hili likakwama kwenye mikono yake.
Aliwaza sana lakini mwishoni akajipa moyo kuwa yeye ndie bosi na hivyo alitakalo lazima lifanyike.
RPC hakutaka kumtuma mtu, aliondoka yeye mwenyewe mpaka kwenye ofisi ya huyu Afisa wa kitengo cha Nidhamu.
Alipofika alipigiwa saluti kadhaa za heshima kisha akamkabidhi bahasha yenye zile fomu ambapo aliambiwa zinatakiwa zisainiwe haraka.

Yule afisa wa polisi kitengo cha Nidhamu alifungua zile fomu na kuanza kuzisoma mpaka akamaliza akajikuta anachanganyikiwa.
Makosa yaliyokuwa yameandikwa pale alikuwa hajawahi kuyasikia pale mkoani, moja kwa moja kwenye akili yake alijua kuwa kuna namna inahitajika kufanywa juu ya Sam.
Katika watu waliokuwa wanamfahamu Sam toka anafika pale Mbeya na kuishi kwa RPC ni huyu afisa wa kitengo cha Nidhamu
Alikuwa anamkumbuka toka alipokuwa golikipa na kufanikiwa kuwapa Kombe wakati alipokuwa hata hajawa askari.
Haraka sana aliita watu wake anaowajua na kuanza kuulizia alipo Sam na kuambiwa kuwa amefungiwa mahabusu.

Hakutaka kukaa tena alinyanyuka mpaka kwenye chumba alichokuwa amefungiwa sam kisha akaingia ndani na kuanza kuongea na Sam akimhoji mambo mbalimbali.
Sam alifunguka ukweli wake wote kisha Yule AFISA wa Polisi akaamua kumpa ukweli wa mambo jinsi yanavyoenda.
Sam alijikuta anamwaga chozi huku akitamani kupiga hata mayowe baada ya kuonyeshwa yale mashitaka. Hakuamini kabisa kuwa jambo alilofanya lingeweza kuwa na matokeo yale.
“Sa.s..a.. nifa..nyeje” sam aliongea kwa kigugumizi huku akilia.
“Nakutoa bila kumtaarifu na ukimbie haraka sana kule hospitali ukamuombe msamaha Yule binti kisha mhamishie huo msamaha kwa baba yake la sivyo unafungwa kijana”
Walikubaliana kuwa aende usiku ili RPC asije akajua kuwa ametoka pale mahabusu.
……………………………………..
Rafiki alikuwa analia machozi kila alipokuwa anamsimulia Dr kelvin kile ambacho mume wake amemfanyia.
Dr Kelvin nae hakujali kuwa anachofanya ni kuvunja ndoa iliyofungwa kanisani bali alikuwa akimkandamiza Sam kuzidisha chuki kwa Rafiki kwani alikuwa na lake moyoni.
“Huyo sio mume Rafiki, huyo ni Shetani”
Rafiki alikuwa akilia tu kila alipokuwa anamsikiliza Dr Kelvin
“Kweli Yule ni Shetani, yani mtu anadiriki kunipiga,alafu hajali mimi nimezimia, hajali nimelala wapi na wala haniulizii”

Dr Kelvin kwa mbwembwe za uongo na kweli alimkalisha Rafiki kisha akamlaza kifuani kwake na kuanza kumbembeleza kwa kumpigapiga mgongoni.
Rafiki alikuwa akijisikia amani sana kwa kile alichokuwa anafanyiwa na Dr kelvin kwani kwakweli hakuna kitu ambacho alikuwa anakihitaji kwa wakati huo kama faraja.
Dr Kelvin alikuwa anamfuta Rafiki machozi kwa viganja vyake huku akiendelea kumpapasa mgongoni kwa mtindo wa kumbembeleza.
Kwakuwa rafiki alikuwa amelazwa VIP alikuwa kwenye chumba chake peke yake bila kuchangamana na wagojwa wengine japo chumba kile kilikuwa na vioo vikubwa ambavyo endapo mtu amekaa anakuwa anaonekana kwa nje.
Dr Kelvin kwa kuwa alikuwa amedhamiria makubwa alimwambia Rafiki alale ili apumzike na kweli Rafiki akalala.
Alipolala tu Dr KELVIN nae akajiegesha kwa ubavu mmoja pale kitandani huku miguu yake kainingi’iniza chini.

Aliendelea kumpapasa Rafuki mgongoni lakini safari hii akawa anahamia kwenye kiuno cha Binti huyu mrembo na kuwa kama anamtekenya kitendo kilichoamsha hisia za Rafiki.
Dr Kelvin kwakuwa alikuwa amezoea haya mambo alikuwa anafanya kwa ustadi mkubwa mno.
Alikuwa anampapasa Rafiki maeneo ambayo yalikuwa mabaya sana kwa hisia za mwanamke yeyote hususani ambaye hajagegedwa mda mrefu.
Alifikia hatua sasa akawa anacheza na chuchu za rafiki ambaye sasa alikuwaa anajisikia utamu hadi maumivu ya kipigo akawa hayahisi tena.
Dr Kevin sasa alikuwa amemgeuza rafiki kwa kuangalia juu kisha akawa ametumbukiza mkono tumboni kwa Rafiki na kuanza kupapasa maeneo ya kitovuni
Rafiki alikuwa anajinyonga kwa hisia kali huku Dr Kelvin nae mhogo ukiwa uko wima unataka kutoboa koti lake jeupe.

Dr Kelvin aliendelea kuushusha mkono wake kuelekea chini ya kitovu lakini rafiki akawa kama anauzuia kitendo kilichomfanya Dr aongeze manjonjo.
Mwisho Rafiki alijikuta akiwa ameruhusu mikono ya Dr kelvin kushuka mpaka sehemu miguu inapoachania na kuingiza mkono ndani ya chupi ya Rafiki akitaka kuligusa eneo linalosababisha watu wauane bila huruma.
Alilikuta likiwa na unyevu unyevu wa kutosha lakini Dr Kelvin hakuamini kuwa ule unyevu unatosha kupanda mbegu.

Aliamua kuingiza kidole ndani taratibu hadi kikazama chote na kumfanya Rafiki agune Ashhhhhhhh haaaaaa….
Dr kelvin alikitoa taratibu na kukihamishia eneo la juu kidogo lenye umbo la harage na kuanza kusugua kwa mpango maalum.
Kitendo hiki kilimfanya Rafiki aanze kujinyonga na kutanua miguu yake huku akiwa anatamani kama vile avuliwe nguo.
Dr kelvin alilielewa hili akaamua kuitoa chupi ya Rafiki na kupandisha nguo yake juu kisha mapaja mazuri meupe ya Rafiki yakawa wazi.

Naomba Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

JIUNGE KWA UPDATE NA BURUDANI ZAIDI
WhatsApp Channel=> CnZ Media(Follow)
Telegram Channel=> CnZ Media(Join)

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)