Notifications
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…

MUUZA CHIPS (76)

Sehemu ya Sabini na Sita, akaona hapo hapo, anaitaka hio gari, atoe hizo mbegu, chidilakini mama uliniambia, gari kwahio nalipatajesaida, hizo mbegu
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA SABINI NA SITA
ILIPOISHIA...
"aaahhh shemmmmmm"

Walimuita wote waliokuwa hapo jikoni,

Lakini miriam hakuwa na raha kabisa na sio yeye tu, hata chidi hakuwa na raha hata kidogo,

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
"omari… Nataka kwenda Uingereza kesho"

Aliongea hivyo miriam lakini cha ajabu chidi wala hakustuka wala nini,.. Hata miriam alishangaa kuona chidi mbona hata hashtushwi na maneno hayo…

"omariiiiiiii si nakuongelesha lakini"

"kwahio wataka nikakukatie paspoti au,.. Au mimi ndio rubani"

Heeeeeee hata wapishi wenzie walishangaa kwa kumsikia chidi akiongea maneno ya ajabu

"oyaa omari, huyu ni shemela Miri eti"

"hata angelikuwa mirinda, angenywewa tu"

"oya omari… Mbona leo hupo sawa toka ulivyotoka ofisini kwa boss"

Sasa miriam kuskia vile akajua badi, yote hayo yametibuliwa na mama yake.. Miriam ni msomi hivyo alijua tu hio haikuwa dhamira yake kutaamka maneno hayo…

"omari mpenzi wangu, mboba umebadilika ghafla tu"

"nani mpenzi wako wewe… Ebu jieshimu bwana,.. We unanipenda mimi nina nini.. Maskini wa kutupwa namna hii.. Nakuja kuungua na moto,.. Mimi ni msukuma mkokoteni, na ni mchunga mbuzi… Nenda kapende watu wenye pesa kama wewe"

Kila mtu hapo ndani kimyaaaa…. Sasa wakati huo mama anaona na anasikia kila kitu,.. Yaani mama anafatilia mwanzo mwisho.

"omari jamani, nani kakujaza maneno yote hayo"

"tena usinizoeee… Fata mambo yako.. Tafuta pesa kama mama yako,.. Achana na mimi nayapenda maisha yangu,.. Tena kama ni huko Uingereza kwako we nenda na wala usiniage,.. Kwendaaa"

Miriam alitiririkwa na machozi mfululizo bila kupata jibu kwanini chidi kawa hivyo..

Chidi hapo hapo hakutaka mazoea ya kukaa aliondoka zake kwenda nyumbani.. Mana haoni hata hamu ya kukaa huku ndani… Mana anampenda sana miriam tena ana nia nae hata kuishi nae lakini chidi ni maskini hawezi kuwa na mschna wa kitajiri kama huyo…

Sasa papo hapo miriam akiwa anajiuliza ghafla kapata wazo,..

"nitajua tu kama kuna sababu au kaamua mwenyewe"

Aliongea hivyo miriam kisha huyoo kaondoka zake kwenda ofisini kwake..

Baada ya siku hio kupita na leo ni siku nyingine tena ikiwa ni mida ya saa 12 asubuhi, chidi akiwa kalala na saida..

"we saida"

"abeee"

"kwanini jana hujanipa tunda mpaka sasa hivi ona kumeshakucha"

"jamani chidiiiiii… Nilikuwa nataka nikupe asubuhi"

Nia ya saida ni kutaka kumpa tunda asubuhi ili ile mbegu iwahishwe kwa mganga, kama unakumbuka wamepewa masharti kuwa mbegu hizo hazitakiwi zikae zaidi ya masaa saba kwenye kondomu mana zitayeyuka na kuwa majimaji,.. Sasa ndio maana saida alimnyima chidi usiku wa jana, mana angelimpa jana, je? Hizo mbegu zingepelekwa saa ngapi?… Hivyo ndio maana akategea asubuhi ampe mzigo ili azipate hizo mbegu za kiume.. Saida alitumia akili kweli

"saa hii nataka kuwahi kazini eti"

Aliongea chidi huku akifunua pazia kuangalia hali ya hewa ipoje,

"lakini si nilikuambia uachane na hio kazi"

"sasa hio kazi yako siioni sasa"

"ok usijali… Nipige kimoja basi"

Mbegu zinazotakiwa haijalishi ni kimoja au viwili kikubwa zifike ndani ya masaa saba…

"saidaaaaa"

"please chidi… Hata usiponivua chupi, ipenyeze tu"

"aaahhh sasa hii kondomu ni ya nini"

"vaa kondomu,.. Naskiaga mimba za saa 12 hua sio nzuri chidi"

"aaahhhh sasa mambo gani ya kutumia kondomu haya"

"tumia please… Mbona juzi uliivaa nikaivua mwenyewe"

Wakati huo zakari wa chidi kasimama ndi ndi ndi,…

Basi chidi alikubali kuvaa kondomu

"lete nikuvalishe mimi basi"

Saida aliomba amvalishe mwenyewe,.. Lakini huezi amini saida leo hakuwa na utani yaani alikuwa akizitaka mbegu hizo kwa udi na uvumba… Maskini ya mungu chidi hajui hili wala lie kama mbegu zake ni dili kwa watu wengine…

"una uume mzuri, tena uliosimama kama kisiki cha mpingo… Lakini leo ndio mwisho wako wa kusex na mimi… Hiii ni kum** ya mwisho kwako,.. Utabaki kuzila kwa macho tu,.. Wacha nikamponyshe mdogo wangu, nae ajue raha ya kum** ikoje"

Aliongea saida kimoyomoyo huku akiipanua miguu yake, na chidi hajachelewa kuingiza zakaria yake… Mkao alioka saida ni mkao wa kumfanya mwanaume afike haraka kileleni…

Baada ya masaa mawili kupita, tunamwona saida akiwa yupo na gari yake kuelekea nyumbani,… Ila wakati huo alikuwa akipiga simu kwa mama yake

"haloo mama"

"abeee mwangu upo wapi"

"mama nimeshazipata zile mbegu"

"Whaaaat…. Unasema kweli saida"

"ndio mama… Ninazo hapa kwenye mkoba wangu"

"harakisha uje nazo… Tuwahi kwa mganga, tena leo tunapanda helikopta sio gari tena"

Sasa saida kumbe ana ahadi yake aliopewa na mama yake kuwa, akimaliza chuo, atanunuliwa gari aina ya Lamborghini, gari yenye thamani kubwa kuliko zote duniani… Inaitwa Lamborghini ina thamani ya shilingi milioni mianane mpaka Bilioni moja na pointi,.. Gari yenye thamani kubwa…. Sasa saida nae akaona hapo hapo anaitaka hio gari ndio atoe hizo mbegu, mana tayari keshampenda chidi…

"lakini mama… Uliniambia utaninunulia lile gari, kwahio nalipataje"

Saida alianza mbwembwe zake za kutaka kuzikwepesha mbegu hizo,.. Saidi alitokea kumpenda chidi na wakati huyo huyo ndio dawa kwa mdogo wake… Hivyo saida kaabza kutafuta sababu ili tu zile mbegu zisifike huko zinapotakiwa,.. Na safari hii wanaenda na helikopta, kitu cha nusu saa tu wamefika eneo husika..

Saida alianza kumchemsha mama yake amnunulie gari hio nyenye thamani kubwa sana duniani…

Sasa saida akaona hapo hapo anaitaka hio gari ndio atoe hizo mbegu, mana tayari keshampenda chidi…

"lakini mama… Uliniambia utaninunulia lile gari, kwahio nalipataje"

"saida mwanangu…. Unapoteza muda mwanangu, wahi tukamponyeshe mdogo wako eti"

"kama hutaki mi naitupa hii kondomu ikanyagwe na magari"

"basi mama njoo… Chonde Chonde mwanangu,… Nitakununulia hata gari mbili, ila uje na hizo mbegu"

Saida alifurahi sana kuskia atanunuliwa, kikubwa alete hizo mbegu, basi hata spidi ya gari iliongezeka ili awahishe mbegu nyumbani….

Kweli alifanikiwa kuzifikisha mbegu hizo na kumkabidhi mama yake,..

"mama… Ulichonituma hiki hapa"

"waoooooohhhh"

Lakini mama alivyozipokea tu zile mbegu alimnasa kubao saida kisha akabeba mkoba wake mpaka kwenye gari,… Wakati huo ndani ya gari alikuwepo ridhiwani akiwa kama dereva kama siku ile,…

Mama aliziweka vizuri kwenye mkoba wake kisha safari ya Airport ikaanza

"haloo mama sarah, umeshafika hapo Airport"

"ndio, nimefika muda tu ila sikuoni"

"subiri dakika 10 tu nipo hapo… Nilikuwa nazisubiria, afu mtoto mwenyewe alikuwa ananichemsha akili yangu"

"lakini si umeziona"

"ndio.. Ninazo hapa kwenye mkoba wangu"

"ok.. Usisahau chupi sasa"

"ninayo mama usijali shost"

"ok wahi basi"

Simu ilikata lakini mama sarah roho ilikuwa ikimuuma maana ni kaserengeti kake ndio kanakwenda kuteketezwa nguvu za kiume

Mama sarah huku airport alikuwa hatulii kwenye viti pale mapokezi katika uwanja wa ndege maeneo ya Arusha Kisongo, alikuwa hatulii mana, hata siku ile walipopata ajali na ile gari kisha zile mbegu zikapotea binafsi yeye alijiskia raha sana, na hasira zilimjia baada ya kupokonywa hilo dili japo malipo yake yapo pale pale endapo watalifanikisha hilo,..

Mama sarah alianza kuzunguka hapo airport ili kujua nini cha kufanya, mana ndio kwanzaa mpenzi wake anakwenda kufa, mana kaona chidi ni wa muhimu mno kwake

Sasa tukija huku hotelini tunamwona miriam akiwa kakaa katika ofisi yake, lakini alikuwa na mawazo mengi sana juu ya safari ya yeye kwenda Uingereza,.. Lakini akiwa hapo ofisini kwake alikumbuka jana usiku alipokutana na sarah rafiki yake… Sasa ndio anatuambia ilikuwaje walipokutana na sarah

"miri.. Mbona kama huna raha mama"

Aliuliza sarah huku akimshika rafiki yake kama kumfariji hivi

"we acha tu shost, yaani sjui nifanyeje"

"kuna nini miri,.. Au omari kakukataa"

"mmmh bora hata angenikataa, mana ningelifanya juu chini mpaka anikubali"

"sasa kuna nini sasa"

"huezi amini kesho kutwa naenda Uingereza"

"heeeeeeeee kufanya nini tena jamani"

"mama, kajua nina mahusiano na omari, hivyo kaamua nikaendelee kusoma huko, ila mi staki kwenda"

Aliongea miriam huku machozi yakimtoka

"we umejuaje kama kajua"

"jana nilienda kuchukuwa ile mkanda uliorekodi jana, mana kule ofisini kwa mama kuna kamera… Tena nimeona kamnyooshea bastola kabisa"

"wewe miri muongo"

"yaani we acha sarah.. Sina hata raha mwenzio"

Miriam alikuwa hajiskii hata kufanya kazi kwa siku hizo, mana alikuwa yupo katika maandalizi…

"mmmhhhh sasa utafanyeje miri"

"nipe hata ushauri basi"

Aliongea miriam kuwa apewe hata ushauri juu ya jambo hilo, afanyeje au akamwambie nini mama yake ili safari isiwepo,..

"mmmhhhh nina ushauri lakini sidhani kama utafaa"

"ushauri gani, ebu niambie basi"

"jifanye unaumwa, mana kule huna mtu wa kuishi nae hivyo ukiwa unaumwa hawezi kukuambia uende"

"aaahhhhh kweli wazo zuri lakini si nitapo, na nikipona je"

"wewe usipate ahueni mapema sasa mpaka asahau"

"safi sana, mi naona hilo ni wazo zuri"

Sasa miriam anamaliza tu kukumbuka tunamuona kalegea legee hapo mezani kwake kana kwamba hio dili la kuumwa ndio limeanzia hapo… Mhudumu anakuja kuleta pesa, anamkuta boss wake kama kadondoka vile, ikabidi aingie ndani amuamshe,..

Lakini hakuwa ameamka,.. Mama aliitwa mara moja gari ilisogezwa hospitali wamefika,.. Hali ya mgonjwa ilikuwa ni mbaya, lakini hio ni triki ya kutoondoka kwenda Uingereza,…. Mama miriam alikuwa anahaha, hakuwa na raha kabisa, na miriam nae ndio kalegea legeeeee

Wakati huo huku hotelini chidi alikuwa kazini kama kawaida yake,.. Mara taarifa zinakuja

"oya omari… Shem anaumwa"

"shem nani tena"

"si boss miriam"

"Ati nini…. "

Lakini sasa vile alivyoshtuka ghafla SMS inaingia kwenye simu…

"omari mpenzi wangu,.. Usiwe na hofu siumwi chochote bali nimeigiza kama naumwa lakini nipo vizuri na afaya njema, hivyo ondoa hofu juu yangu…. Kikubwa ni kwamba sitaki kwenda Uingereza na kukuacha peke yako, siwezi hata ukatae siwezi kamwe"

Chidi alipomaliza kusoma hio sms alimwambia yule mhudumu kuwa

"ok poa jamaa angu aina noma. Asante sana kaka"

"Usijali ndugu"

Huyo alikuwa ni mhudumu ambae sio wa ndani bali ni wa nje,.. Ndio aliokuja kumpa taarifa kijana chidi

Tukija huku kwa shemeji ya chidi,.. Akiwa yupo ndani analishika tumno lake ambalo tayari lina mimba ya wiki mbili sasa na tayari limeshaanza kumchefua, sabra wakati huo alikuwa yupo ndani anatafuta njia ya kutoka hapo nyumbani kwao ili tu atoke akamtafute chidi,… Sabra alitoka na kuchukuwa gari yake mana wana magari hapo nyumbani kwa dada yake na hizo mali ni zakwao,.. Sabra alitoka nia yake ni kukutana na chidi ili tu afanikishe kile anachokitaka na namba yake anayo muda tu hivyo hakuna ugumu wa kumpata,… Sasa kwakuwa wakayi huo chidi alikuwa bado yupo kazini na asingeweza kumpata, sabra alipitia kwanza kwa mashost zake,…

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
51 Muuza Chips Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni