THE STRANGER (6)

0

SEHEMU YA SITA
TULIPOISHIA...
Abby alimlaza Haiba kitandani nay eye akatoka nje ya ile hotel na kuagiza chakula. Yeye hakua amekunywa sana. Alitambua kila kitu anachokitenda. Alirudi taratibu na kuanza kula huku akiutathmini mwili mchanga wa haiba.

Miaka yake ni kumi na sita. Lakini huku duniani alifanana na mabinti wa miaka ishirini na mbili.

IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI

TUENDELEE...
Alikua na umbo kubwa lakini ana ngozi changa isiyokuwa na doa wala michirizi. Alikua soft kuliko soft yenyewe.

Baada ya Abby kumaliza kula. Alienda kuoga na kurudi pale alipo Haiba. Alianza kumgusa gusa na kutalii maeneo mbalimbli ya mwili wa Haiba. Baadae alipokolea, alianza kumvua nguo taratibu.

Aliaza kuvuta zipu ya gauni alilolivaa Haiba.

Aliishusha taratibu mwisho akafanikiwa kulivua lile gauni.

Alichanganyikiwa Abby baada ya kuona kifua kilichobeba maziwa yaliyosimama na chuchu zilizochongoka mithili ya embe sindano. Mzuka ukampanda na kuanza kuyabugia mdomoni kiufundi kwa kuyang`ata na kuzungusha ulimi kwa kasi. Kwa mbaali akaanza kusikia mihemo ya Haiba akilia kimahaba. Hapo ndipo ailpopataka. Alianza kuyachezea maziwa ya Haiba na kupeleka ulimi mdomoni ili ampe mate mtotoo aliyeanza kupandisha hisia.

Alipoanza kula mate tu. Alianza kusikia utamu wa ajabu. Lakini mara alianza kusikia maumivu. Ulimi wake ulikuwa umeng`atwa na kumegwa kabisa. Alilia kwa uchungu na kutoka kitandani huku akizishangaa damu zilizomjaa mdomoni. Alipomuangalia Haiba. Alikuwa na meno marefu na makali. Pia alikua anabadilika rangi mithili ya kinyonga.

Alipotaka kukimbia, alizuiliwa na mabawa makubwa yaliyojitokeza kwenye mwili wa Haiba.

Alishambuliwa na kufyonzwa damu yote. Baada ya tukio hilo. Haiba alibadilika na kuwa ndege anayefanana na tai. Lakini yeye alikuwa kubwa na kuruka kwa kupitia dirishani.

********************************

Baada ya kufika Mang`ula, treni ilisimama na abiria wakaanza kushuka. Hapo Sam naye akashuka na kuanza safari. Alisimama kwa dakika kadhaa kusoma mandhari ya pale. Alipanga na kupangua. Hakujua aanzie wapi. Magharibi,mashariki,kusini au kaskazini.

Alitoka nje na kufuata njia iliyokuwa tupu. Njia ambayo hakukua na mtu anayepita.

Lakini kadri alivyozidi kutembea alisikia kuna hatua za mtu akimfuata. Alipotezea na kuendelea na safari.

Hata hivyo bado hatua za mtu huyo zilizidi kumsogelea kwa mwendo wa kasi kidogo kushinda mwendo anaotembea yeye.

Kwa bahati nzuri kulikuwa na kona karibu. Alikimbia ili aifikie ile kona, hata hatua za mtu aliyekuwa nyuma yake nazo zilikuwa zikikimbia. Alijua fika huyo mtu hakuwa na nia njema kwake. Alipoifikia ile kona, alijibanza ili apambane naye.

Kweli yule mtu alipokunja tu alidakwa shati na Sam.

Lakini Sam alishangaa kuona ameyagusa maziwa wakati anamkwida huyo mtu anayehisi ni adui kwake. Alipoinua macho yake kumtazama ni ninani. Alipigwa na butwaa.

Ooh my god…..JANE???

Sam alijikuta ameduwaa baada ya kukuonana Jane akiwa maeneo yale. Hakutegemea kabisa kwakua walikuwa wameshahitilafiana baada ya Jane kumgundua kuwa yeye si mtu wa kawaida.

“Jane,umechanganyikiwa??” alijikuta Sam akimuuliza Jane huku akimshangaa dhahiri kwa maamuzi aliyoyachukua.

“sijachanganyikiwa Sam, yote ni kwa ajili ya mapenzi ya dhati juu yako. Siwezi kuwa mbali na wewe na hata sijui kwa nini…nakupenda Sam.”

Aliongea Jane huku machozi yakimlenga lenga.

“Jane unanipa mtihani sana… hivi unajua kuwa chakula changu ni damu?” aliuliza Sam na kukaa chini kuonyesha ishara ya kuchoka. Hakuamini kama Jane angeamua kumuacha mama yake na kumfata yeye aliyejikatia maisha ya kuendelea kuwa binaadamu wa kawaida.

“haijalishi Sam.. nipo tayari kwa lolote.” Alijibu Jane kwa kujiamini.

“hujui ulisemalo Jane. Yule mama ambaye ulimuona pale naishi naye. Aliweza kuishi na mimi kwakua alikua ana hela. Hata hivyo zilipokuja kukata, akajikuta anahatarisha maisha yake kwa ajili yangu kitu ambacho sihitaji kitokee kwako.” Aliongeaa Sam kwa huzuni kubwa. Kila wakati alimuwaza na akimtaja tu, basi machozi humtiririka. Alimpenda sana mama yake huyo.

“unataka kuniambia kuwa yule hakuwa mama yako mzazi?” aliuliza Jane na kwa mshangao mkubwa.

“huo ndio ukweli, yeye ndiye aliyenilea mpaka kufikia hapa.” Aliongea Sam huku akimuangalia Jane aliyekuwa makini kumsikiliza.

“wazazi wako wako wapi ….au wamekufa?”

Aliuliza Jane na kumtazama Sam kwa umakini. Aliona akisimama atakua hamsikii vizuri. Aliamua kukaa karibu naye na kumgeukia ili apate mawasiliano ya macho.

“nikikwambia kitu unaweza kuamini?” hatimaye aliongea Sam huku akimuangalia Jane.

“ndio, sababu nakuamini na wewe pia” alijibu Jane na kumpa ishara ya utayari wa kusikia chochote kutoka kwake.

“ kuna utofauti mkubwa sana katika ukuaji wetu sisi na binaadamu. Sisi huzaliwa na akili zote na kuwa na kumbu kumbu kuanzia siku tu tunayozaliwa. Pia huwa tunakua tukila aina Fulani ya matunda yanayofanana na ladha ya damu hasa ya binaadamu. Hayo matunda huchomwa na moto na baadae hugaiwa shujaa wa jamii yetu hivyo hukua na kupewa cheo. Huku duniani tunaweza kuishi kwa kutumia damu kwakua ladha na harufu zinafanana. Kule kwetu mtu hukua umri na akili yake huwa pembuzi zaidi. Lakini huku nikitumia damu huwa nakua na umbo kubwa na mabadiliko yote ya wakubwa. Hivi nikikwambia toka nimezaliwa ni miaka miwili tu ndio nimeishi duniani na kwetu nimeishi miezi sita tu, utakubali?”

Aliongea Sam na kumuangalia Jane ambaye alikua katoa macho kwa mshangao.

“ unataka kusema umri wako halisi ni miaka miwili na nusu?” aliuliza Jane na kumkazia macho Sam

“huo ndio ukweli wenyewe.” Alijibu Sam

“sasa wewe umejuaje kama kwenu umekaa miezi sita wakati ulikua mtoto mchanga?” aliendelea kuuliza Jane

“sisi huzaliwa na akili, hivyo tunakuwa na kumbukumbu zote kuanzia utotoni bila hata ya kusimuliwa.” Alijibu Sam na kumuangalia Jane ambaye bado alionekana ana maswali lukuki ya kumuuliza Sam.

“uliposema kwetu na hapa duniani una maanisha nini?” aliuliza Jane huku akimuangalia Sam kwa macho makavu.

“mimi ni mgeni hapa duniani. Kwetu ninapopasemea ni sayari ya Mars. Huko ndipo nilizaliwa na kuishi kwa miezi sita tu” alijibu Sam

“sasa ilikuaje mpaka ukaja huku duniani?”

“tulikuwa na safari ya kutalii hapa duniani kwa chombo maalumu. Ikatokea hitilafu angani na chombo kikaanza kupoteza umakini na kuanza kufanya mambo kwa kujiamulia kenyewe. Kilifungua lango kwa chini na mimi nikadondoka. Kwa bahati nzuri nilidondokea pembzoni mwa baharini ambapo nilielea mpaka nchi kavu. Na huo ndio ukawa mwanzo wa kuishi humu daniani. Mpaka sasa sijui kama wazazi wangu wapo hai au wamekufa.” Aliongea Sam kwa masikitiko makubwa.

“pole sana”

Aliongea Jane na kumshauri Sam waondoke mahali pale maana giza lilishaanza kuingia. Walinyanyuka na kutafuta nyumba ya kulaa wageni iliyokuwa karibu na pale, kisha Jane akalipia na wote wakaingia ndani.

***************************

Mbio za ndege huyo wa ajabu ziliishia pale pale alipotua mwanzo. Alibadilika na Kuwa Haiba yule yule wa mwanzo

Kwa mapozi na madaha aliendelea kutalii jiji la Dar kwa kuangalia mandhari ya kuvutia usiku katika kumbi za starehe.

Palipokucha alianza kunyemelewa na usingizi. Aliingia hotel moja na kwenda reseption kwa ajili ya huduma ya chumba.

“ vyumba vipo, kwa siku ni laki tatu” alijibu yule mtu aliyekaa sehemu ya mapokezi.

“sawa..nahitaji chumba cha ghorofa ya juu” aliongea haiba na kumuangalia yule mtu kwa umakini.

Alifungua pochi lake na kutoa noti nyingi zilizozidi laki tatu na kumkabidi .

“hizo fedha zinatosha siku ngapi.”

“siku tano” alijibu baada ya kuzihesabu kwa mashine maalumu.

Haiba alienda kuwenye chumba alichopelekwa na muhudumu na kulala. Masaa sita baadae aliamka na kukuta simu inaita. Alienda kipokea na kukutana na sauti ya muhudumu ikimuuliza kuwa anahitaji kula chakula gani. Hakuagiza chochote kwakua hakua anakifahamu chakula hata kimoja. Alikaa na kuanza kutafakari aanzie wapi kazi yake.

Aliwaza na kuwazua bila ya kupata jibu. Akaamua kufungua pochi na kutoa mkufu wa almasi na katikati ukiwa na mdini mekundu yafananayo na lulu au rubi.

Alikunja miguu na kufumba macho yake na kuongea maneno yasiyoeleweka. Mara akaanza kuyaona matukio kuanzia Sam alipodondoka mpaka alipoanza kuishi na yule mama. Mara akapata mshituko mkubwa baada ya kumuona Sam akiwa amelala na Jane. Alifikiria kwa muda na kutabasamu.

“kazi yangu inaweza kukamilika kabla ya siku tano nilizolipia hapa.” Alijisemea na kucheka kwa sauti kidogo.

Alirudisha mawazo nyuma na kumuangalia Sam vizuri. Aligundua vipande vya Sam akiwa amevua shati alikua amevipita. Alikaa na kuvitathmini kwa muda kisha akalala tena.

*********************

Walipofika tu katika chumba walichokichukua, walikiendea kitanda na kukaa. Hakukua na kitu kingine zaidi ya meza na kiti kimoja. Pia kulikua na choo ndani kwa ndani.

“nimekumiss sana mpenzi wangu” aliongea Jane na kuanza kumpapasa Sam.

“naomba uniache…” alijibu Sam na kuutoa mkono wa Jane kwa nguvu.

“kwanini unanifanyia hivyo…ina maana huna hamu na mimi?” alilalamika Jane.

“Hivi Jane unajua kuwa karibu na mimi unaweza kuwa muuaji?” aliongea Sam na kufunga vifungo vya shati lake vilivyoanza kufunguliwa na Jane.

“nilishakwambia kuwa nipo tayari kufanya lolote kwa ajili yako Sam,..mbona hunielewi.?” Aliongea Jane kwa ukali kidogo.

“mi nakuelewa sana Jane, ila mimi nayajua madhara yatakayokupata ukiwa na mimi…unafikiri leo hii nikitaka damu na wewe ukawa huna..halafu hali yakubadilika ikinitokea utakuwa mzima?” aliongea na kumtazama Jane kwa hasira lakini iliyojaa huruma juu yake.

“ kama unanipenda Sam huwezi kunila hata ukiwa katika hali gani.” Aliongea Jane maneno ya kishujaa.

“Jane , ni siku ya pili sasa sijapata damu. Nikilala na wewe nitakudhuru..naomba unielewe.”aliomba Sam

“ni kitu gani kinaweza kukufanya ubadilike?” hatimaye Jane alijikuta anamuuliza Sam swali.

“nikiona damu au kuumia mwili wangu na kitu chochote” alijibu Sam bila kujua kwanini Jane aliuliza swali kama lile.

Jane alinyanyuka na kwenda kwenye mkoba wake na kutoa kitu Fulani.

“unanipenda?” alirudi na kukificha kile kitu nyuma ya mgongo wake na kumuuliza Sam

“nakupenda zaidi ya ufikiriavyo” alijibu Sam na kumuangalia Jane kwa makini.

“unaniamini??” aliuliza tena Jane na kumuangalia machoni Sam kana kwamba anahitaji majibu sahihi na kwa haraka.

“nakuamini sana.’Aliibu Sam

“nakuomba geuka nyuma…nitahesabu mpaka tatu kisha utageuka na kuniangalia” alisema Jane na Sam bila kubisha akageuka nyuma na kumruhusu afanye anachokusudia kufanya.

Naomba Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

JIUNGE KWA UPDATE NA BURUDANI ZAIDI
WhatsApp Channel=> CnZ Media(Follow)
Telegram Channel=> CnZ Media(Join)

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)