Notifications
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…

MY DIARY (7)

Jina: MY DIARY
Mtunzi: __

SEHEMU YA SABA
TULIPOISHIA...
Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri.

IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI

TUENDELEE...
Yeye alishindwa kushuka akiofika kile kitu kukaliwa na watu wengine.. Basi niliamua kuondoka stegini mara baada ya kuona wanaume walikuwa wakinibambia sana. Nilijua kabisa John lazima atajisikia vibaya na kweli nilivyofika nilmkuta kanuna.

Kwa mbwembwe nilimpiga busu shavuni na kumwambia haya sasa ni zamu yako nenda na wewe ukacheze Akanamba nyimbo zinazomgusa bado. Akanipisha nikakaa kwenye kiti akaenda kaunta na kuniletea maji ya kunywa. Sijui alijuaje kuwa nilikuwa na kiu. Aliendelea kuwa pembeni yangu huku akinitekenya tekenya na kupapasa zile sehemu mbaya. Akaja yule shem ambaye alizua msala kule makumba bay. Akanambia shem twende tukacheze, nilishindwa kumkatalia japo nilikuwa nimechoka. Tulicheza vizuri sana lakini alipoanza kuvuka mipaka nilmwekea pingamizi maana nilijua ushemeji shemeji ungeweza kuleta balaa. Wakati akikazana kunibambia mara kwa pembeni nikamwona John akiwa anacheza na yule binti mwingine tuliyekuwa nae na walikuwa wamebambiana ile mbaya.

Basi yule mkaka akatumia nafasi hiyo vizuri na kuniambia shem acha uoga siu naona jinsi John anavyojiachia na shem wake. Basi akazidi kunikumbatia hukua akiwa nang’ang’ania nimpe sehemu zangu za nyuma yaani mgongo na makalio. Sikuona shida sana nikawa namakatikia ile mbaya.Masikini wee kumbe kaka wa watu alikuwa ameshazidiwa,mara akanibana kwa nguvu huku mikono kaipitisha kwenye matiti akazidi kunkumbatia kwa nguvu nikahisi alikuwa akijikojelea.

Nilivyona amevuta pumzi ndefu nikamchomoa kwa haraka na kuelekea maliwatoni. Nilivyorudi wanaume walikuwa wakinisumbua sumbua kila mmoja akitaka kucheza nami. Niliamua kupanda zangu juu na kwenda kukaa na yule shem wangu mwingine ambaye mpenzi wake ndo allikuwa akicheza na John. “Kwa kweli unayaweza mambo jinsi ulivyokuwa ukikatika John aatakuwa anafaidi sana kitandani” alisema shemu huyo. Wakati tukipiga stori mbili tatu kina John na wao wakapanda.

John akaniuliza umemwacha wapi shemeji yako maaana yule ameshalewa na achelewi kufanya fujo.Sikuwa na jibu nikamwambia mimi nilikuwa nimechoka kucheza nikaenda chooni na nilivyotoka nilipanda huku juu moja kwa moja. Wakati tukiendelea kumuulizia mara mabaunsa watatu walikuja nae na kutuuliza eti huyu kaka mpo nae? Tayari alishaharibu huko chini na ugomvi ulishatokea. Kama kawaida yake na safari hii ilisemekana alikuwa amewashika wadada makalio hivyo walimchapa vibao vya kutosha na fujo kutokea. Kumbe mabaunsa walikuwa tayari wamemshamtoa nje na walishamwagia maji kichwani.

Lakini eti baaada ya kusema kuwa yupo na demu wake yaaani mimi na marafiki zake,mabaunsa waliamua kumsikiliza na kumleta ndani. Rafiki zake walikuwa wakali na kumwambia aache ujinga kwani anaweza kupelekwa selo mda wowote. Mara ulipigwa wimbo mzuri wa kikenya nikaanza kuzungusha pale pale kwenye kiti kitu ambacho kilimtia amaasa John na kunipa mkono tukacheze. Basi John nae sijui ni pombe zilishampanda kwani alikuwa akinipapasa sehemu mbaya na kusababisha stimu za kulimenya tunda zipande.

Safari hii hatukushuka chini tulikuwa tukicheza huko huko juu sehemu yeye kigiza kidogo hivyo ilikuwa ni rahisi kufanya mambo ya ajabu. Tayari tulishapoteza staili ya mziki uliokuwa ukipigwa na sisi tulikuwa bize tukinyonyana ndimi. Mara zikaanza kupigwa taarabu na miduara, hapo sasa nikamwambia John tushuke chini nikazungushe nyonga siunajua tena wasichana kama sisi tuliojaliwa nyonga na makalio yaliyojazia kama mlima kitonga na yaliyobebwa na kiuno laini kama nyigu sasa ndo ilikuwa ni nyimbo zetu.

John yeye hakupata kazi sana zaidi ya kukaa nyuma yangu na kusikilizia milindimo yangu japo sikuzaliwa pwani lakini club nzima macho yaliamia kwangu. Dj akasema tunaomba hapo kati muache nafasi watu waoneshe vitu vyao na atakayezungusha nyonga vizuri tutampa zawadi. Hapo sikujivunga ukilinganisha na wine na savana zilizokuwa zinaanza kupanda niliingia uwanjani bila aibu yoyote. John ikabidi asarende aniache nicheze na dada mmoja hapo katikati

Kiukweli sikumweza alionesha alikuwa ni mzoefu lakini mimi kilichonibeba ni umbo langu na shape nzuri, kwani yeye alikuwa ni mwembamba sana alafu hakujaliwa sura kwani mmmmh alikuwa na sura ngumu kama ya Bi kidude. Mungu anisamehe kwa kutoa mfano huo wa marehemu.Basi ulivyopigwa ule wimbo wa kinyanyau sikufanya ajizi nilikipandisha juu kile kigauni changu nilichokivaa na kuacha paja moja wazi nikashikilia kiti cha plastiki kilichowekwa hapo mbele yangu, weeee asikwambie mtu nilijichukulia ushindi na kupata ustaaa wa ghafla.John kuona nilikuwa nakaribia kumwaga radhi alinifuata na kuniondoa.

Ilikuwa hamna jinsi ikabidi nipandishiwe zawadi zangu kule juu tulipokuwa tumakaa. Kwanza nilirudishiwa kiingilio changu, nikapewa tisheti na kuponi ya kuingia bure siku yoyote nitakayorudi tena. John akawa mkali na kuniuliza eti nimejifunzia wapi mambo yale. Nikacheka sana na kumwambia yaaani siku zote nashinda kwenye Tv nisijue kucheza jamani si itakuwa ni aibu.

Basi kwa kuwa mda ulikuwa umeenda sana tuliamaua kuondoka zetu.Nilimwomba yule kaka mwenye mafujo nimsaidie kuendesha gari kwa kuwa yeye alikuwa amelewa sana.Alikataa katu katu na mimi kuona hivyo nilimwambia John siwezi endeshwa na mlevi bado nayapenda maisha yangu, Kauli amabyo ilitaka kuleta ugomvi kwani na yeye alisema unafikiri kuendesha gari ni rahisi kama kukata mauono.

Sikutaka kubishana nae nilitoa leseni yangu ambayo ilikuwa kwenye pochi ndogo nikamwonesha na kumwambia aache zarau. Akanipa funguo, siunajua tena mtoto wa kishua enzi za marehemu baba yangu nilishajifunza tangia nikiwa shule ya msingi.Niliendesha vizuri tu mpaka pale Leorpad Hotel kisha sisi tukashuka tukaingia kwenye chumba tulichokodi na kuwaacha wao hapo nje.Sijui nini kiliendelea hapo nje au walifikaje walipokuwa wakienda.

Tulivyoingia tu Mwalimu John kwa papara alinitupia kitandani, bada sijakaa vizuri alishazamisha ulimi wake mdomoni mwangu. Yaani sijui ni akili za pombe mikono yake tayari ilikuwa kwenye matiti yangu ambayo yalikuwa yamebanwa vizuri na kile kigauni changu. Kwa jinsi alivyokuwa na papara nikaamua nikivue tu asije akakichana. Hapo ndipo nilipoharibu yaani alikuwa na uchu kama paka aliyeona panya.Alitaka nyoka wake aingie pangoni mwangu hata kaba sijavua kufuli langu.

Nikaguna mmmmhhh, kweli hajielewi nikaamua kumfanyia makusudi akinishika huku mimi naruka kule nia ni kuruhusu sehemu zangu za ikulu zilowane kwa uteute ili akiingiza mtwangio kwenye kinu nisiumie.Maana huwezi kutwanga tu bila mpangilio au maandalizi mazuri sana sana utaumiza kinu, siunajua tena hichi ni kinu cha dhahabu.Nilifanya hivi ili tupate mda wa kufanya romance siunajua tena tulikuwa hatujafanya haya mambo kwa mda mrefu.

Nilimvua nguo zake nikamlaza kitandani na wembamba wake nilimmudu kwa kweli. Nikaanza kumchezea kwa kumpapasa kifuani kwenye garden love yake.

Huwezi amini japo alikuwa ni mwanaume lakini milio aliyokuwa akitoa ni kama ya mtoto wa kike. Aligugumia sana na kuomba huruma yangu kwa kubadilisha milio mara ya smartphone mara analogia basi tu ndo mizuka ya mahaba.

Basi nikaona sio jambo baya kutumia kucha zangu kumpagawisha kwa kuzipitisha mwili mzima, masikioni mapajani,kwenye korodani na sehemu zote zenye hashki. Kwa wale mabinti wasiojua umuhimu wa kucha leo ndo siri nawapa kucha ina nafasi sana kwenye mapenzi mradi tu ziwe zimechongoka vizuri alafu unakuwa kama unachora nane nane kwenye sehemu zenye hisia za haraka. Ila kama huna kucha nzuri unaweza tumia pia ulimi wako.Nia yangu ilikuwa nataka kile kibao cha kwanza chenye kiherehere kitoke chenyewe.

Lakini pamoja na utundu wote huo wapi ndo kwanza jogooo wake alikuwa amesimama kama msumari na kulikuwa hakuna dalili ya kulaala bila kuwika.

Nikaona Mwalimu John atanisumbua nikashusha mdomo wangu pande zile na kuanza kufanya uchafu wa kizungu.Hapo sasa kidogo alie maaana nililamba koni yake kwa ustadi wa hali ya juu huku nikipuuza ile meseji na picha niliyotumiwa WhatApp kuwa kuzama chumvini(orala sex) ina madhra kwa afya ya mwanadamu ikiwa ni pamoja na kupata kansa ya mdomo na koo.

Nilinyonya na kulamba mpaka nikaona mwalimu John anafunga funga macho, mara heeeee si akapiga ukunga jamani kumbe alikuwa anaangaika asinimwagie mdomoni. Kugundua hivyo niliitoa haraka kisha nikaona wale wazungu weupe kama maziwa ya mgando yakiruka juu kwa kasi.Mmmmmhhh sikuwai kuona kwa kweli maana yaligusa neti. Nikastaajabu ya Musa baada ya kuyaona ya firauni, macho yakanitoka kama mjusi aliyebanwa na mlango na mawazo ya kijinga yakanijia eti kama bao lake lilikuwa na nguvu vile je akimwagia kwenye ikulu yangu si ndo litatokea mdomoni.

Wakati naendelea kufikiria ujinga mara akachukua taulo akajifuta maana mimi nilikuwa nashangaa tu.Mara na yeye akanivamia, sijui alikuwa anataka kufanya nini ila nilikuwa makini asije niingilia bila soksi(kondomu). Siunajua tena peku peku ni mbaya unaweza chomwa na miba ya magonjwa na mimba na mimi nilikuwa kwenye siku za hatari.Akanichojoa kufuli langu jeupe peee amabalo lilishalowana kwa ute na kubaki kama nilivyozaliwa.

Hapo sasa mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda mbio. Aliamua kulipa deni kwa kukichezea kitumbua changu, mwanzo alianza kuingza kidole kitu ambacho huwa sikipendi, nilimzuia kwa kumtoa vidole vyake kuonesha kuwa sipendi kuigizwa kidole sehemu zile ambazo ni sensitive sana.Basi hakuwa na jinsi zaidi ya kunilaza chali na kuanza kuninyonya kwa kutumia ulimi wake, kitu ambacho kilinipeleka ulimwengu mwingine kabisa.

Kwa kweli hata mimi huduma hii ilinifuraisha japo ina madhara mengi na inapigwa vita ila ina raha yake kwa kweli. Yaani nililia milio yote ya huku duniani, mara nigune kichina, mara nitoe milio ya kuku jike(mtetea) na kiboko ni pale nilipoweweseka kama smartphone iliyozidiwa na meseji za WhatsApp.

Niliweweseka sana na kuomba nipewe dawa. “Basi babee inatosha mume wangu, mwingize tuuuuuuuuuuh” hayo ni baadhi ya maneneo yaliyontoka.

Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.

Naomba Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi
USIKOSE SEHEMU IJAYO
67 My Diary Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni