CnZ Media

CnZ Media

Jisomee Simulizi Mpya Kila Siku

Ijumaa, 19 Aprili 2024

MUUZA CHIPS (83)

Aprili 19, 2024
MUUZA CHIPS (83)
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA THEMANINI NA TATU
ILIPOISHIA...
Simu ilikata, lakini chidi haamini maneno ya Sabra…

"ana maana gani huyu mtu"

Aliongea chidi huku akitaka kupiga simu lakini roho haitaki…

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
"we mama, nipe dakika tano narudi sasa hivi"

Aliongea chidi na kuyafuata maneno ya sabra..

"chidi jamani, unaniacha kisa nimekataa ulichokitaka kwangu"

"ebu tuyaache ayo"

"chidi jamani, basi nimekubali njoo basi"

Eeehhh chidi kuskia mama sarah kakubali kurukwa ukuta, mana anampenda sana chidi na hatamani kumpoteza… Chidi alishaanza kuondoka lakini kuskia kakubaliwa tu, alijikuta anasita kutoka, mana anaitamani sana hio sehemu….

Chidi alirudi mpaka kitandani na kuanza kumshika shika mama sarah, wakati huo mama sarah tayari keshakubali na tena kakaa mkao ule ule unaorakiwa, mana kakubali kwa hali yake, na chidi alivyo mwehu wala hakutaka kumkopesha,…

Lakini kadri anavyozidi kumshika shika mama sarah, akili yake haikuwa sawa, yaani alikuwa anawaza maneno ya sabra kuwa akamchukue mdogo wake kule alipokuwa,….

Chidi hakuwa mjinga kiasi hicho

"kama ni huyu mwanamke yupo, nitamshuhulikia nikirudi"

Chidi alijisemea kimoyo moyo kisha akamuacha mama sarah bila hata kumgusa kitu,..

"we chidi una nini lakini"

"narudi muda sio mrefu"

"lakini mbona sikuelewi"

"narudi, tena nipe gari yako mara moja niwahi"

Chidi aliomba gari kwa mama sarah na kuondoka kwenda kule kwa akina sabra,..

Tukija huku kwa akina miriam tunamuona miriam anatoka na kupanda gari yake,… Alikuwa akimfuata sarah kule hotelini kwao, mana alimpigia simu ili aje lakini sarah alisema mama yake hayupo

Hivyo miriam akachukuwa jukumu la kumfuata sarah kule hotelini kwao…

Robo saa mbele miriam alishafika kwa akina sarah

"heeeee Miri umemuacha nani huko hotelini kwenu"

Aliuliza sarah baada ya kumuona miriam kafika hotelini kwao, mana kwa sasa hoteli ilishanunuliwa na akina sarah, hivyo sio ya akina miriam tena

"mama yupo na nimemuaga"

"Enhee sema shost, uliniambia kuna kitu unataka kusema"

"ndio shost,… Mama si alinifuma naongea na omary,.. Mwenzangu ila safari ya kwenda Uingereza imeanza tena"

"heeeeeeeeee mama yako nae, sasa anataka upate mwanaume wa aina gani, au anataka mzungu"

"mi ata sijui, yaani natamani hata kujiua sarah"

"apana miri, huko mbali sasa unapofika, usiseme hivyo"

"sasa nifanyeje sarah,.. Mana nikiumwa tena ataona ni kamchezo kangu"

"mmmhhh kiukweli leo sina hata cha kukushauri miri wangu"

Miri alikuwa anatamani kulia bila kujua atafanya nini mana anampenda sana omary wake,.. Na hatamani kumuacha

"Sarah, mi nachukuwa uamuzi mgumu, liwalo na liwe, ila naomba uniseidie kitu sarah please"

"kitu gani tena miri"

Walichokiongea walituficha mana waliongea kwa siri sana lakini tutajua huko mbele,..

Baada ya kufanya maongezi yao miriam aliondoka kurudi hotelini kwao… Alipofika tu alikutana na mama yake

"haya, umeshajiandaa… Mana kama ni tiketi nimeshakata mchana hivyo keaho nakutakia safari njema"

Miriam hakuwa na la kusema lakini moyoni mwake kuna jambo kalipanga baina yake na sarah, sasa sijui itakuwaje

Sasa tukija huku kwa chidi, akiwa ndani ya nyumba ya shemeji yake anamtafuta halima ambaye ni mdogo wake,.. Lakini hakumuona nyumba nzima,.. Aliingia mpaka chumbani kwa shemeji yake ambaye ni jasmini,

Aliangalia lakini hakumuona, sasa ile anaondoka, alishangaa kuona masanamu yakiwa ndani ya kabati la vioo, afu masanamu yenyewe, yameashiria alama za kishetani mambo ya freemason,.. Chidi aliduaa na kushindwa kuelewa, lakini mara simu yake inaingia sms, kucheki alikuwa ni sabra

"we chidi, sisi tupo karibu sa kama upo ndani toka haraka, mana dada kabadirika sana yaani sio yule unaemjua"

Chidi alipomaliza kusoma sms hio alitoka lakini hajamuona halima, alipofika kwa mlinzi akamuuliza

"oya eti kale katoto kametoka nje"

Chidi alimuuliza mlinzi wa geti hilo

"ndio ameenda twisheni"

"unapajua hapo twisheni"

"hapana sipajui"

Chidi alikasirika sana,.. Lakini hakutaka kupoteza muda alitoa gari mpaka nje ya nyumba na kuondoka mbali kidogo kule alipoelekezwa na mlinzi kuwa ni njia hio ndio ya kuendea tuisheni lakini hapajui twisheni penyewe..

Haikupita hata dakika tano jasmini na mdogo wake sabra ndio wanaingi, yaani angechelewa tu kidogo angelikutwa,… Lakini jasmini aliona kuna tairi za gari jingine…

"we kapwiku, ni gari gani imeingia huku"

Aliuliza jasmini

"ni yule kijana mdogo wake boss"

Mlinzi alijibu kuwa ni yule kijana mdogo wake boss,.. Jasmini alijua tu atakuwa ni chidi… Hakutaka kuuliza tena lakini moyoni mwake alikuwa akijiuliza kuwa

"huyu chidi kafata nini huku"

Alijiuliza mwenyewe kimoyomoyo huku akiingiza gari lake kwenye paking,… Lakini kabra hajaliweka sawa aliina ngoja aulize tena

"we kapwiku… Huyo kijana alifuata nini"

"alikuwa anamuuliza mtoto boss"

"mtoto gani"

"yule mschana"

Jasmini kuskia ni yule mschana aliwasha gari haraka ili awahi kumchukuwa halima mana yeye ndio anajua hio twisheni ilipo, ila wakati huo chidi kapaki pembeni kama atamuona mdogo wake, lakini huku kwa jasmini nae anakuja kuelekea twisheni,.. Mana keshajua kuwa chidi anataka kumchukuwa mdogo wake, hivyo amuawahi kabla hajakutana nae..

Sasa na wakati huo twisheni ndio wanatoka, sasa chidi akawa katulia tu hapo barabarani ili kuona kama atapiata hapa, lakini mara akaona katoto kamoja kamebeba daftari…

"mtotooo ujambo"

"sijambo shkamoo"

"marahabaaa… Unatoka wapi"

"natoka twisheni"

"twisheni yenu ipo wapi"

"pale mbele, unaingi hivi afu utaona kibao cha twisheni yetu"

Chidi kuambiwa hivyo aliondoa gari fasta bila kuchelewa, lakini kwa ile spidi anayokuja nayo jasmini sijui kama chidi atawahi,.. Mana mpaka aangaze macho afuate kibao mpaka lini,..

Sasa kama bahati tu, Halima katokea barabarani,

"dadaaa we dadaa"

Chidi alimuita mdogo wake kwa heshima

"abeee kaka"

"njoo haraka,… Ingia kwenye gari"

Alimfungulia mlango kisha akaingia… Yaani ile anaingia tu na jasmini ndio anafika hapo na kushuka kwa haraka kuelekea huko ndani ili akamchukue, lakini halima alishaingia kwenye gari saa mingi sana, na kwakuwa jasmini hajui gari ilioingia kule kwake, alishindwa kujua kama ndio gari hii alioipita hapa,… Chidi hakuchelewa, aliondoa gari ili kurudi nyumbani,…

Sasa jasmini kutoka alishangaa kuona gari alioipita hapa sasa hivi tu haipo,.. Ndio akajua basi keshachukuliwa… Lakini akilini mwake alikuwa akijiuliza, hii taarifa kapewa na nani.. Mana alikuwa hajui,..

Sasa chidi akiwa njiani mara simu iliita, kucheki alikuwa ni miriam.

"haloo boss"

"acha zako chidi, boss niwe mie"

"ok sema"

"naomba unipitie hapa mnarani"

"kuna nini"

"we njoo tu utajua baadae"

Simu ilikata lakini chidi hakuelewa kwanini aliambiwa ampitie hapo mnarani,

Sasa huku hotelini kwa akina miriam, mama alikuwa akimtafuta miriam ampe tiketi yake akae nayo hamuoni, lakini gari ya miriam ilikuwepo maeneo ya paking hivyo ilionyesha kuwa miriam yupo na hakwenda mbali,…

Chidi alifika mnarani na kumkuta kaketi chini ya mti, yaani alivyokaa utafikiri sio matajiri yaani alikuwa tofauti sana…

Miriam aliingia ndani ya gari lakini hio gari alioingia anaijua mwanzo mwisho..

"omary, hii gari umeipata wapi"

"ni ya mama mmoja hivi"

"mama sarah si ndio eee"

Sasa chidi yeye hajui kama anaitwa mama sarah, hivyo alikataa

"hapana anaitwa grace"

"sa ndio mama sarah huyo"

Sasa chidi kuona mbona kama kinasanuka kitu ikabidi akubali huku akisema

"ni yule mama alienileta kule hotelini kwenu"

"ndio huyo huyo, ana mtoto anaitwa sarah"

"ok sasa wewe vipi… Unaenda wapi"

"kwako"

Chidi alitoa macho kuskia miriam anakwenda kwake

"mamuu, unakwenda kwangu kufanya nini"

"ina maana ni vibaya kuja kwako"

"aaahhh mamuuu"

"nini babuu we twende… Afu huyu ni mtoto wako nini"

Aliuliza miriam huku akimuangalia kwa umakini ili kumfananisha na chidi na ni kweli walikuwa wanafanana kwa mbalii sema halima alikuwa ana uweusi kidogo na chidi yeye ni maji ya kunde yaliong'aaa,

"hapana ni mdogo wangu"

"muongooo"

"kweli"

"waooooo basi ni kawifi kangu… Njoo mwaya wifi yangu"

Miriam alimchukuwa halima na kumpakata,.. Halima alikuwa na umri wa miaka kama saba au nane, ni mkubwa kidogo alikuwa ana kaumbo kazuri hivyo kila mwanamke anaemuona basi anampenda tu,..

"mamuu mi sijakuelewa unajua"

"chidiiiii, mi nataka leo nikalale kwako"

"mi nadhani unataka kuniletea kesi mamuu"

"nimeaga nimesafiri hivyo nitakuwa kwako kama siku mbili hivi"

"mamuuuuuuu… Siku mbili?… Hapana aisee utaniletea shida… Sasa huko uliposema umesafiri wakiulizwa afu wakisema haupo"

"usijali"

"mamuuuu"

"please baby… Naomba uniamini"

Chidi alichoka hata kuongea hivyo aliwasha gari na kuelekea nyumbani kwa chidi mahari alipopangisha kijana huyo,..

Lakini chidi roho inamdunda kwasababu mama sarah yupo kule, afu mbaya zaidi alimuacha yupo uchi, afu ana miriam je itakuwaje, yaani ni bonge la msala,..

Chidi alimtumia mama sarah sms kuwa

"mamy vaa nguo zako nakuja na mdogo wangu"

"ujinga gani huo chidi jamani, mbona unanikata mudi"

"kweli kuna shida imetokea hivyo nakuomba mamy"

Chidi aliweka simu pembeni wakati huo miriam na halima walikuwa wanacheka mno, yaani miriam tayari keshazoeana na halima ndani ya dakika chache tu..

Punde sii punde gari inaingia nyumbani kwa chidi,.. Miriam anashuka kwenye gari huku akiwa kampakata halima,..

Na chidi nae kashuka na kuzima gari

Lakini miriam alishtuka kwa kuona viatu vya kike, tena haviukuwa vya kitoto,… Unajua miriam yeye anajua chidi kaachiwa gari na mama sarah lakini hajui kama mama sarah yupo ndani,.. Yaani anajua kaachiwa tu gari,..

"omary.. We omary"

"nini tena si uingie"

"hebu njoo babuu"

"nini…"

Chidi alitoka nje tena mana alikuwa keshaingia

"hivi viatu ni vya nani"

Sasa mama sarah nae kasikia sauti ya kischana schana, ikamshawishi atoke ili amuangalie huyo mschana anaeongea na chidi, mana chidi alimtumia mama sms na kumwambia kuwa anakuja na mdogo wake,.. Sasa mdogo gani mkubwa hivyo, sasa mama sarah ile anapanua pazia aone huyo mdogo wake chidi,..

Alishangaa kumuona ni mtoto wa rafiki yake, tena anaheshimiana nae kupita maelezo,.. Sasa miriam nae kupiga jicho kamuona mama sarah,… Na alikuwa hajui kama atakuwepo huku ndani japo kajua kuwa gari ni yake, lakini hajui kama atamkuta humu ndani..

"we miriam umekuja kufanya nini huku"

Aliuliza mama sarah huku akitoka nje ili aulize vizuri… Wakati huo miriam kimyaa

"si nakuuliza we mtoto, umefuata nini huku"

Mama sarah alikuwa anachimba mkwara lakini hata yeye alikuwa anaona aibu kukutwa ndani tena peke yake kwenye chumba cha kijana ambae hajaoa..

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Read More

Alhamisi, 18 Aprili 2024

MUUZA CHIPS (82)

Aprili 18, 2024
MUUZA CHIPS (82)
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA THEMANINI NA MBILI
ILIPOISHIA...
"niulize basi jamani… Mbona unachelewa baby"

Saida alikuwa na hamu na swali hilo ili aolewe, yaani akiulizwa swali lolote hata kama ni siri kwa mama yake, anaweza kusema bila chenga… Kweli saida alidata na chidi sio utani…

"naomba uniambie, huyo rafiki yake mama yako ni nani na unionyeshe na picha yake"

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Saida kuskia hivyo akawa kimya na kuanza kulia,

"sasa walia nini"

Aliuliza kijana chidi huku akimshika saida wake au mama wa watoto wake mkono,

"chidi…. Kulia kwangu ni kumaanisha kwamba kama ulipanga kunioa kwa kusema hivyo basi hutonioa"

"kwanini… We niambie tu"

"chidiiii mi sijui kama utanielewa kwakweli"

Aliongea saida huku machozi yakimtoka kwa utaratibu mzuri, yaani saida hata akilia ni uzuri tu umetawala katika sura yake,..

"we niambie tu saida"

"kiukweli kabisa mimi simjui… Nakumbuka mama ndio alinipa namba yako kuwa katumiwa na huyo rafiki yake, hivyo mimi simjui huyo rafiki yake mama"

"yaani hata namba yake huna"

"yaani mimi nimepewa habari zako na mama tangu na mama yangu nae kapewa na huyo rafiki yake, hivyo mimi nilipewa namba na kuambiwa anafanya kazi za hoteli, sasa ndio nikapata kigezo cha kukuanzia lakini hata mimi nilikuwa sikujui na hata nilivyoambiwa nije nisex na wewe nilikataa kabisa, lakini nikaona mdogo wangu ni wa kiume nami nahitaji wifi ikabidi nikubali kukutafuta, ndio nikapewa namba yako na mama yangu mimi, lakini mama yangu nae alitumiwa na rafiki yake… Ni hivyo tu lakini huyo mama mimi simjui"

Chidi hakuwa na jinsi ya kuendelea kumuuliza mana ni dhahiri alioyaongea yalikuwa ni Ya kweli tupu…

"basi mamy, amka na unyamaze kulia"

"umenielewa lakini"

"yes"

"thenx my love"

Saida alimuegemea chidi kifuani huku akifutwa machozi na chidi,… Chidi alikuwa katika wakati mgumu sana kwa wakati huo…

Sasa chidi akiwa kakumbatiana na saida kwa kumnyamazisha… Mara simu yake iliita, chidi kuangalia alikuwa ni mama sarah

"haloo mamy"

"chidi jamani unachelewa baby"

"nakuja sasa hivi"

"wahi basi saa tisa hii jamani"

"ok nakuja"

"ok poa baby"

Simu ilikata kisha chidi akamuinua saida akae katika kiti chake

"sasa baby mi naondoka"

Aliongea chidi na kumfanya saida nae aamke kwa ajili ya kuondoka…

"sawa twende"

Saida alitaka waende wote huko chidi anapokwenda

"hapana, naomba uende nyumbani saida"

"lakini kwanini chidi hunipendi, kumbuka nina mtoto wako tumboni eti"

"sawa… Kwani kuwa na mtoto wangu tumboni mwako ndio tutembee wote kila mahari, mbona hata mke na mume hawafanyi hivyo"

"ok sawa, basi wacha mi niende nyumbani"

Aliongea saida huku akichukuwa kipochi chake na kwenda kwenye gari yake, chidi yeye hana hata gari lakini anamilikiwa na matajiri wakubwa jijini hapo…

Tukija huku ofisini kwa Ibrahim, akiwa ndio anarudi peke yake mana alipopigiwa simu na mke wake ile asubuhi aliambiwa asifike ofisini, sasa saa hizi saa tisa hiii ndio anakwenda hapo ofisini, lakini alipofika alishangaa wafanyakazi wote waliokuwa wakimchekea leo wamenuna wote,… Hakuna aliokuwa na furaha nae hata mmoja,.. Na yeye alijua mke wake alitania lakini haikuwa utani, Ibrahim kastopishwa kazini mana kampuni ilikuwa inayumba kwa matumizi yake kuwa mabovu,…

Ghafla secretary anamzuia asiingie ndani zaidi

"boss kasema huruusiwi kuingia ndani, yaani hata huyo mlinzi mwenyewe yupo matatani kwa kukuruhusu uingie ndani"

Aliongea secretary tena akiwa siriasi kweli

"batuli wewe si ulikuwa unaniheshim wewe"

"ni kwasababu ya pesa, ila kwa sasa pesa ipo nje ya himaya yako, hivyo kukuheshimu ita take time kidogo"

Lakini Ibrahim alipokuwa hapo, kuna kitu alikikumbuka, na huenda kikamseidia… Basi Ibrahim hakutaka kubisha alitoka hapo na kupanda pikipiki mpaka benki,.. Na kuwa kote tajiri lakini hana hata gari ya kutembelea… Alipofika benki cha kwanza ni kuingia ATM CARD yake… Lakini pale pale presha ilimuamka na kudondoka chini,… Wasamalia wema walimueka katika gari na kumuwahisha hospitalini…

Tukija huku kwa chidi aliokuwa anakaribia kufika nyumbani kwake,.. Mara simu iliita, kucheki jina alikuwa ni sarah

"mambo chidi"

"safi niambie mamy"

"saaafi, upo wapi"

"nipo nyumbani"

"weee leo hujaingia kazini"

"ndio"

"sasa… Leo Nakuja kwako nataka nilale huko"

"uje?… No leo nimechoka sarah"

"no baby, mi nakuja jioni, wacha nimsubiri mama arudi afu nami nakuja"

Chidi alikata simu, mana hawezi kumkataza kuja na pia hawezi kumwambia njoo na wakati mama sarah yupo, ila chidi hajui kama huyo sarah na mama sarah ni kitu na mwanae hio yeye hajui kabisa…

"waooooo boy wangu nimekusubiria hapa nje mpaka nimechoka yani"

Alikuwa ni mama sarah aliokuwa nje ya nyumba ya chidi alipopangisha,.. Basi chidi na jimama lake waliingia ndani huku wakishikana shikana, ila mpaka sasa mama sarah amebaki na maswali toka miezi iliopita kuwa, kama ni Ridhiwani kapona lakini mbona boy wake bado yupo vizuri na aliamniwa kuwa kazi ikiisha huyo kijana nanii yake italala doro,. Kumbe hajui kuwa saida kafanya yake hivyo chidi ana nafasi kubwa sana ya kumshukuru saida,..

Mama sarah alikuwa ana hamu ya mapenzi na kijana huyo japo juzi juzi tu walitoka kitandani ila si unajua mijimama inavyotumia pesa zao kwa vijana,.. Mama alijikuta anabakiwa na chupi tu,

"mmnhhh mama wa chupidera"

"yes zile zile unazopenda.."

Hata chidi nae alikuwa na hamu na mama sarah hivyo wote walikuwa kama wamemisiana hivi… Chidi hatujamsahau kwenye mambo yake,.. Mama sarah alikuwa akirusha tu miguu kwa kung'atwa ng'atwa love bite za shingo… Shanga alizovaa ndio zilikuwa dili kubwa kwa kijana chidi,.. Mama sarah hakutaka kuzidiwa na chidi, aliishika zakaria ya chidi na kuanza kumfanya kama Roll Pop, hii ni kwa mara ya kwanza mama huyo kufanya kitu kama hicho kana kwamba kwa sasa mama sarah kampenda chidi mpaka kufa, yaani yupo tayari kwa lolite, mana mwanzo alikuwa yupo kipesa zaida, sasa pesa kapata na mtu wake bafo yupo vizuri hivyo kazidisha upendo mara dufu zaidi, alichokuwa anakihisi chidi anakijua mwenyewe… Mama sarah alilala kwa kualalia tumbo na kumuachia chidi mgongo aufanya atakavyo, chidi akiangalia ile chupi ya mama sarah ilivyomkaa kwenye makalio basi alikuwa anavuta hisia za mambo mengine,.. Chidi alianza kumfanyia kama masaji lakini wazo lake kuu, ni hatari…

Tukija huku kwa jasmini tunamuona akiwa katika moja ya gari yake, alikuwa anashuka kwenye mjengo mmoja mkubwa sana, na jengo hilo sio jengo la kawaida yaani kama gharama basi huenda limegharimu hata Bilioni 100 kwa ujenzi tu peke yake… Alipofika mahari kwanza alistopishwa na mtu mmoja alikuwa kafunika uso wake,..

"unakwenda wapi"

"niliambiwa baada ya kujifungua nifike mahari hapa"

Aliongea jasmini na wakati huo kampakata mtoto wake,…

"amefikisha miezi mitatu"

"bado, hata siku nne hana"

"basi hafai na hata mkuu hawezi kukuruhusu… Kazaliwa tarehe ngapi"

"tarehe 7 mwezi wa nne"

"basi mlete tarehe 7 mwezi wa 7 apewe chanjo"

Pale pale jasmini aligeuza na kupanda gari,.. Lakini pia ndani ya gari sabra alikuwepo ila hakutaka kushuka,..

"vipi dada nini kinaendelea"

"kinachoendelea ni tarehe 7 mwezi wa 7"

"ok…sasa na Ibrahim sasa atakuwa wapi"

"tayari nimeshamfukuza kazini"

Lakini ile anamaliza tu kuongea simu yake inaita,…

kucheki jina alikuwa ni Ibrahim ndio aliokuwa akipiga kwa wakati huo

"anapiga simu ya nini tena huyu"

"ni nani kwani"

"si huyu shoga"

"shoga… Shoga nani tena dada"

"Ibrahim"

"ooohhh shem…. Mpokelee tu"

"shemu wako kwa nani"

"heeeeeeee ina maana hata kuja nyumbani asije"

"afuate nani, kamuacha nani kule"

"lakini kumbuka kuna mdogo wake kule"

"hata kama, tena kama vipi aje amchukuwe na kichelewa asinilaumu"

"ina maana tarehe 7 mwezi wa 7 na mdogo wake pia"

"huko mbali sana, yaani kuanzia sasa hivi… Nina uchungu na pesa zangu, kwanza kaka yake katumia pesa nyingi sana kwa matumizi yake… Hivyo lazima zirudi kupitia halima"

Sabra alishtuka, mana hii familia ni familia ya kitajiri lakini utajiri wake jamani mmmmhhh ni hatari…

"lakini dada"

"hakuna cha lakini…. Shida yangu ilikuwa ni mtoto na sii mwanaume, na hata Ibrahim sio kwamba nilikuwa nampenda, sema nilikua nataka mtoto toka kwake, na nilipojua hawezi kunipatia mtoto ndio nikamshawishi amlete huyo mdogo wake, lakini wazo la mdogo wake huyo likapotea baada ya kumuona mdogo wake wa kiume, ndio nikadhini nae ili nipate mtoto, hivyo mpaka sasa halima hana muda, simpendi mtu yeyote yule"

"mmmhhhhh"

Sabra aliguna huku akiwa haamini ukatili wa dada yake japo hata yeue ni mmoja wapo lakini hakuwa na roho hio…

"mshike huyu mtoto,.. Nikaulize kitu kule ndani"

Aliongra jasmini kisha akaingia ndani ya hilo jengo,… Ukweli ni kwamba jengo hilo ni jengo la kishetani, UA MTU UPATE PESA ndio kauli mbiu ya jengo hilo…

Tukija huku kwa akina chidi na jimama lake,… Chidi alianza kuwaza ushetani juu ya mama sarah,.. Chidi alikuwa akiyashika shika na kuyaminya makalio ya mama sarah, kana kwamba yupo tayari kwa lolote,

Chidi aliivua chupi ya mama sarah kisha akamsogelea sikioni na kumuambia kuwa

"I like it please mamy"

Aliongea hivyo huku akisha sehemu alioimaanisha

"No, chidi… Mimi ni mtu mzima siwezi kufanya hivyo"

"mamy kidogo tu"

"chidi mwanangu, wewe ni sawa na mtoto wangu, kwanini unifanyie hivyo, au kwakuwa umeshajua nakupenda"

"No, sio hivyo"

Chidi alikuwa haelewi neno lolote juu ya mama sarah,… Ukweli ni kwamba chidi alikuwa anataka kuruka ukuta sasa mama nae anakaza

"chidiiiiiiiiii… Mimi siwezi kukunyima, ila kwa hiari yako naomba uniache, fanya kote lakini huko acha chidi, nimezeeka eti itakuwa sio vizuri"

Sasa chidi akiwa analazimishia kupewa hivyo, mara simu yake iliita kucheki jina alikuwa ni Sabra,.. Akaipuuza simu hio na kuendelea kumbana mama ili ampe anachokitaka,…

Mara simu ikapiga tena… Alikuwa ni Sabra huyo huyo

Chidi kwa hasira akaipokea

"we vipi mbona msumbufu hivyo"

Aliongea chidi baada ya kupokea simu..

"sikiliza we chidi.. Niwe msumbufu nisiwe msumbufu, nenda nyumbani kule kamchukue mdogo wako sasa hivi"

"aaahhhh mtu yupo kwa kaka yake kule achana nae kwanza umenivurugia mambo yangu kata simu"

"sawa mi nakata simu, lakini ukichelewa utajuwa mwenyewe, sisi tupo mbali mpaka tufike nyumbani utakuwa umeshamchukuwa mdogo wako… Sasa jione kama anapendwa wakati ni kiingizo cha pesa"

"Ati nini… Kwenda bwana, aingize pesa gani na wakati anasoma"

"utajua mwenyewe bwana mi nimeshakua, na hio ni tisa tu kumi utajua mwenyewe… Alafu kaka yako hayupo tena na dada yangu kazi kafukuzwa na mdogo wako yupo hatatini, sasa kataa utajua mwenyewe"

Simu ilikata, lakini chidi haamini maneno ya Sabra…

"ana maana gani huyu mtu"

Aliongea chidi huku akitaka kupiga simu lakini roho haitaki…

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Read More

Jumatatu, 12 Juni 2023

MUUZA CHIPS (81)

Juni 12, 2023
MUUZA CHIPS (81)
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA THEMANINI NA MOJA
ILIPOISHIA...
Utaishia kujikwatua kila siku wewe na kioo, wakati wenzako wanawauliza waume zao kama wamependeza, sasa wewe utaulizana na kioo chako huku siku zinakwenda… Na ukumbuke kuwa kioo hakidanganyi hata siku moja, hivyo ipo siku utaona ngozi yako itaanza kuvutana,… Hapo hukosi miaka 45 kwenda juu, huna hata ndoa ya kuachika…

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Sasa saida kama mwanamke anaejielewa akiwa anafikiria ni jinsi gani atazipeleka mbegu hizo…

Lakini akiwa hapo katika gari, mara simu yake inaita, kuangalia jina alikuwa ni mama yake

"haloo mama"

"eee mwanangu umepata hizo mbegu"

"bado mama subiri kidogo"

Saida alimdanganya mama yake kuwa bado na wakati anazo hapo kwenye mkoba wake..

"sawa changamka basi"

"sawa mama"

Saida alipokata simu aliamua uwamuzi mmoja tu,.. Alilisogeza gari lake mpaka kwenye dampo la takataka kisha akaitupa ile kondom yenye mbegu za chidi,..

"wacha nimsaliti mume wangu, lakini ni kwa kumseidia"

Aliongea hivyo kisha akafungua kioo cha gari aite mwanaume afanye nae mapenzi hata hapo hapo kwenye gari ilimradi tu apate mbegu… Lakini sasa kila mwanaume aliokuwa akimuona wala hakuna aliompenda hata mmoja,.. Yaani wote hakukua na mtanashati hata mmoja,.. Yaani kama pangelikuwa na mtanashati kidogo, basi angeangukia zari la kufanya mapenzi na mtoto mzuri kama huyo mana hakuna mwanaume ambaye angeweza kukataa… Saida aliondoa gari yake mana hakukuwa na mwanaume aliomtaka…. Aliondoka hapo na kwenda kwenye hoteli flani hivi kubwa,

"yes, hapa sikosi wa kuduu nae"

Aliongea hivyo mdada saida huku akishuka na kuingia katika hoteli hio, kwa gari aliopaki hapo nje na hio hoteli, viliendana haswa,..

Lakini sasa ndani ya hoteli hio kulikuwa na kundi la wafanyakazi fulani waliokuwa wakipata breakfast kwa pamoja… Na sii wengine bali ni kikosi cha kaka yake chidi, Mana Ibrahim ana tabia ya kwenda kunywa chai na wafanyakazi wake, na hata mchana kwenye lanchi anaenda na wafanyakazi wake… Ukumbuke kwa sasa Ibrahim kastopishwa kazi… Na hapa ni stari ya miezi kadhaa huko nyuma kabla ya kustopishwa….

"yes… Wacha nijipitishe kwenye hii meza nipate mmoja tu mwenye kiherehere"

Aliongea saida… Lakini kabla hajaanza alipata wazo jipya… Saida alikaa katika meza ya karibu na wao, kisha akaagiza kinywaji kidogo tu, lakini kilikuwa na bei ghali sana, yaani ni grass yenye wiski inayouzwa bei kubwa sana… Alipewa kinywaji hicho kisha akakinywa kwa haraka… Afu akawa anaondoka,

"we dada hujalipa kinywaji tafadhali"

Aliongea mhudumu mmoja na kumzuia asitoke nje,..

"jamani mi sina hela"

Aliongea saida huku akijisogeza kwenye kile kikosi, na kikosi hicho mlipa bili ni Ibrahim peke yake,..

"sasa umekunywa wiski ya nini na wakati huna pesa"

"Nisamehe dada"

"hapana lazima ulipe, na kama huezi kulipa ongea na wanaume vizuri upate kinywaji kingine"

"jamani weita mi sina tabia hio"

"utajua mwenyewe bwana.. Nipe pesa ya kinywaji ulichokunywa"

Saida alikuwa akishikiliwa na mhudumu huyo ili aweze kulipa pesa hio, kinywaji chenyewe kilikuwa ni grass moja tu lakini ni kinywaji cha gharama sana,…

"utajua mwenyewe bwana.. Nipe pesa ya kinywaji ulichokunywa"

Aliongea mhudumu huku akiwa kamshika saida, na saida sio kuwa kashindwa kulipa, bali anataka kidume yeyote ajitokeze ili apate mbegu zake

"kwani kuna nini hapa weita"

Alikuwa ni Ibrahim ndio kajitokeza

"si huyu dada kanywa waini afu hana hela"

Ibrahim kwa siku hio hakuwa na hamu na mwanamke hata kidogo kitu kilichowashangaza wafanyakazi wake,.. Mana hajawahi kupitwa na mschana mzuri kama huyo

"kwani hicho kinywaji ni kiasi gani"

"kanywa grass moja ya Tsh elfu 50…"

Ukiskia grass ni Tsh elfu 50 basi chupa itakuwa inauzwa hata laki tatu,.. Hivyo ni vile vinywaji vya mabilionea sio wewe mwenye pesa ndogo zako..

"ok shika pesa hio, mwache aende"

Saida alishangaa kulipiwa alafu aliemlipia hakuwa na mudi ya kumtaka kimapenzi,…

"boss… mtoto mkali hivyo unamuacha aende"

"aaahhh leo sijiskiii"

Lakini saida yeye hakutaka kulipiwa na kuondoka nia yake ni mbegu za kiume, na zile za chidi keshazitupa kule dampo,..

"vipi dada una shida"

Aliuliza Ibrahim baada ya saida kurudi pale kwa akina Ibrahim,

"ndio naomba tuongeee"

Kiukweli hata wafanyakazi hawakuamini kama kweli boss wao leo hana mudi na mwanamke…

Ibrahim alitoka na mtoto huyo mpaka kwenye meza nyingine..

"kaka we mstaarabu kweli yani"

Saida aliongea hivyo kwa sauti ya kuvutia mana shida yake ni mbegu za kiume hivyo anamlegezea ili wakasex, na saida roho inamuuma sana kwa kuingiziwa uume na kila mwanaume lakini ni katika hali ya kumsaidia chidi na mdogo wake,

"aaahh unajua tumepata pesa kwa ajili ya kuseidia watu"

Saida alianza kurembua macho ya kumvutia Ibrahim, maskini Ibrahim alikuwa kama ana machale siku hio, lakini mwanamke akiamua mitego yake kwako, aaaaahhh huezi kuipangua hata kidogo, lazima uingie laini na kukubaliana nae,.. Wanaume ni wadhaifu sana mbele ya mapenzi hivyo.. Ibrahim alijikuta anamnyonya denda mdada huyo kisha wakavutana mpaka kwenye chumba namba flani hivi hapo hapo hotelini… Na saida ana kondom zake kwenye mkoba..

"nilijua tu boss hawezi kumwacha yule mtoto"

"lakini tuacheni utani kale katoto ni kazuri"

"aahhhhh we unauliza shombe shombe tena… Hao hawaulizwi"

Wakiwa wapo chumbani saida na Ibrahim, "we mtoto wa kike, mbona ghafla hivi unanipata utamu"

"jamani we mkaka, mi nimekupenda tu ghafla"

Ibrahim alianza kumvua nguo saida huku madenda yakichukuwa nafasi yake,..

Lakini Ibrahim kila akimvua nguo saida, anaona huyu sio demu wa kawaida, yaani hakuwa mtu wa kushindwa kulipa ile pesa pale, mana mwili wake tu ulionyesha dhahiri kuwa, huyu ni mtoto wa tajiri au akawa tajiri mwenyewe,.. Mana kiunoni saida alikuwa na goldi ya thamani kubwa, nguo zake za ndani tu sio hizi za madukani kama za wengine,.. Hata sehemu yake ya siri, sio kama jinsi alivyojileta,.. Mana malaya wa kike sehemu yake ya kike ina utofauti na mschana ambae hana tabia za kimalaya..

"unaitwa nani mtoto"

Aliuliza Ibrahim huku akimalizia kuvua chupi

"naitwa saidati"

"kweli sura yako na hilo jina, vinaendana haswa"

Sasa Ibrahim yeye ni mzee wa kavu kavu

"no, no mi staki tufanye kavu"

"aahhh saidaaa, mtoto mzuri kama wewe nivae kondomu kweli"

"please naomba kwa leo utumie baby"

Sauti ya mwanamke kama ataitumia vizuri, basi ni njia nzuri sana ya kumteka mwanaume, Ibrahim alikujikuta anakubali kuvaa kondomu kwa sauti nzuri alioitumia saida, tena wakati macho ya saida yani yalikuwa dhahiri kuwa ni ya wizi lakini kwakuwa Ibrahim hakujua nia ya saida,. Alivaa kondomu kisha akaanza kumshughulikia saida…

"ila kimoja tu hua kinanitosha"

Aliongea saida huku akimnyonya Ibrahim denda zito…

Nusu saa mbele,.. Tunamuona saida anaifunga ile kondo vizuri ikiwa imejaa mbegu za Ibrahim ambae ni kaka yake na chidi, ila saida yeye hajui kama huyu ni kaka yake na chidi ambae kalala nae asubuhi ya leo,..

"sasa si utupe hio kondom"

Aliongea Ibrahim mana alimuina saida kama anaipenda sana ile kondom,

"wacha nikaitupe huko nje,.. Yaani tukiitupa humu nahisi kama nimeiacha chumbani kwangu"

"ahahahahaha basi we msafi sana… Uzuri wako unaonyesha kabisa kuwa we msafi… Ok vipi una nauli"

"aahhh wala usijali ninayo"

Saida ana pesa kuliko hata Ibrahim, yaani utajiri wa akina saida, kwa Ibrahim ni kama kapuku tu,.

Baada ya masaa mawili kupita, tunamwona saida akiwa yupo kwenye gari yake akiwa anaiangalia ile kondom yenye mbegu za Ibrahim, kisha akaiweka kwenye mkoba wake…

"yes, mpenzi wangu chidi kaponea chupu chupu, nampenda sana ila anisamehe kwa kumsaliti na jidume lingine"

Saida aliongea hivyo huku akichukuwa simu yake na kumpigia mama yake,

"haloo mama"

"abeee mwangu upo wapi"

"mama nimeshazipata zile mbegu"

"Whaaaat…. Unasema kweli saida"

"ndio mama… Ninazo hapa kwenye mkoba wangu"

"harakisha uje nazo… Tuwahi kwa mganga, tena leo tunapanda helikopta sio gari tena"

Wakati huo nae saida alikuwa ana ahadi na mama yake kuwa atanunuliwa gari yenye gharama kubwa, na aliahidiwa hata akifanikiwa kuzipata mbegu za kijana huyo ambae ni chidi atanunuliwa hio gari yenye thamani ya shilingi milioni 800 (mianane)… Ndio saida akaingizia hapo hapo ishu yake ya gari, lakini mbali na hapo saida alizifikisha zile mbegu kwa mama yake… Na siku hio walikwenda airport kupanda ndege hivyo kila kitu kilifanikiwa…

MWISHO WA STORI JINSI MBEGU ZA CHIDI ZILIVYOPONEA CHUPU CHUPU YA KUPELEKWA KWA MGANGA, HIVYO CHIDI NDIO MAANA HAJADHURIKA KWASABABU SIO YEYE….

Sasa ikiwa ni pale hotelini walipokutana na saida, kisha saida akamwambia chidi kuwa ana mimba yake na chidi akaikataa, ndio hapo saida akaongea ukweli, lakini bila hivyo tusingejua ridhiwani kaponaje ponaje.. Kwahio mpaka sasa hivi inaonekana Ibrahim ana tatizo la nguvu za kiume mana ndio aliokutwa na janga hilo..

"sawa, hiii mimba siitoi, lakini mtoto ni wako na nimeipokea kwa moyo wote"

Aliingea saida huku akitaka kuondoka..

"sasa hebu ngoja kwanza…. Kwahio hizo mbegu zangu zilikuwa zina kazi gani kwenu"

"mdogo wangu, hakuzaliwa na nguvu za kiume, hivyo tulikupointi wewe ndio mwenye nguvu halisi"

"na nyie mmenijuaje mimi mpaka mkanifuata"

Chidi alihoji maswali mengi sana mana kama kajua basi wacha ajue,..

"rafiki yake mama yangu ndio anakujua, na ndio kaniunganisha na wewe, lakini mimi nikakupenda na kunogewa na penzi lako na ndio maana sijataka kuzifikisha mbegu zako chidi"

Huezi amini mpaka chidi analengwa na machozi mana kweli kama zingelipelekwa mbegu hizo, sijui angelikuwa mgeni wa nani tena,.. Chidi aliikubali kuwa ni mimba yake mana kama kasema ukweli kuwa kwangu hakuja kwa kunipenda bali alikuja kwa kutaka kitu fulani na hatimaye akakipuuza kwakuwa anampenda…

Chidi aliinama chini na kulibusu tumbo la saida kuashiria kuwa keshaikubali mimba hio…

Maskini saida mpaka analia mana haamini kama kweli chidi kakubali mimba hio..

Alipoamka alimnyookea mpaka mdomoni na kumnyonya denda la furaha

"saida… "

"abeee"

"tutailea wote… Ni mtoto wetu wote"

Saida alilia kwa furaha ya hali ya juuu

Lakini chidi bado kabakiza swali moja kwa saida

"saida… Nina swali nataka kukuuliza,.. Yaani ukinijibu nakupenda milele"

"kwahio ina maana sasa hivi hunipendi"

"haoana sina maana hio… Yaani namaanisha nitakuoa kabisa"

Saida kuskia kuolewa, ndio kachanganyikiwa kabisa,

"niulize basi jamani… Mbona unachelewa baby"

Saida alikuwa na hamu na swali hilo ili aolewe, yaani akiulizwa swali lolote hata kama ni siri kwa mama yake, anaweza kusema bila chenga… Kweli saida alidata na chidi sio utani…

"naomba uniambie, huyo rafiki yake mama yako ni nani na unionyeshe na picha yake"

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Read More

MUUZA CHIPS (80)

Juni 12, 2023
MUUZA CHIPS (80)
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA THEMANIN
ILIPOISHIA...
Aliongea mama yake Miriam huku akiondoka kwa hasira nyingi sana

Sasa tukija huku hoteli flani hivi walipokubaliana wakutane kijana chidi na saida, saida akiwa kamsubiri chidi kwa muda mrefu sana,..

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
"chidi jamani,.. Kwanini unanitesa hivi"

Aliongea saida baada ya kumuona chidi ndio anakuja,..

"samahani kuna mambo yalinitinga sana"

"lakini si ungeniambia… Mpaka naonekana mzugaji hapa"

"samahani mamy"

"ok poa.. Nishakusamehe babaa"

Saida ni mschana mzuri sana yaani kitoto kama cha kiarabu na ni kizuri mno, hata umbo lake japo sio kubwa lakini lilimtosha pamoja na sura yake,…

"leo inaonekana kuna jambo zuri la kuongea"

Aliongea chidi huku akiwa anamshika saida mkono,..

"ndio, tena jambo zuuri unaweza kulifurahia"

Saida ndio yule aliotumwa mbegu za chidi ili zikamponyeshe mdogo wake, na mdogo wake kapona na sasa anatembeza dudu mpaka kero,..

"jambo gani hilo"

"chidiiii mpenzi wangu"

"sema mamy"

"ivi unanipenda kweli babaake"

"haaaaa… Hilo swali lifanye liwe jibu"

"muongo wewe"

"haaaaa basi, ila ukweli ndio huo"

Mara saida kashika tumbo kuashiria tumbo lilikuwa likimuuma,..

"nini tena saida"

Chidi alishtuka baada ya kuona saida kashika tumbo huku kama ana maumivu makali sana

"ivi mbegu zako zina uwanja eee"

"kivipi tena"

"mbona kama anacheza mpira, mi simuelewi uyu boy huku"

Saida alionekana kuwa na uja uzito wa kijana chidi,

"una maana gani saida mbona sijakuelewa hapo"

"chidiiiiii…. Nina mimba yako"

Chidi kuskia hivyo tu, hata ule mkono alioushika aliuachia,.. Na licha ya kuachia mkono wa saida, ila hata sura imeshabadilika kwa kiasi kikubwa sana..

"unasemaje saida"

"jamani chidi mume wangu, ina maana hujasikia au"

"we toka lini kondomu ikaingiza mimba… We si ulikuwaga unataka kondomu wewe"

"sawa, lakini ni miezi ile iliopita.. Lakini mbona wiki mbili zilizopita nilikupa bila kondomu na nia yangu ni unipe mimba"

"aaahhh hapana, sikumbuki siku niliofanya bila kondomu"

"chidi jamani,.. Kumbuka tu, ila mimba ni yako"

"ah ah ah… Tafuta baba wa huyo mtoto bwana"

Saida alianza kulia yaani hakuamini kama chidi angeliikataa hio mimba,..

"chidi, nakupigia na magoti baba, mtoto ni wako"

"saida… Kuna kingine ulichoniitia"

"chidi… Sina kingine, ni hicho tu,.. Ila naomba uikubali tu, kama ni kuilea nitailea mwenyewe, lakini we kubali tu"

"hapana bwana… Mi siwezi kutia mimba juu ya kondomu"

Chidi alikataa katu katu kuwa sio mtoto wake, ila chidi aliikataa damu yake hivi hivi,..

"sawa… Nashukuru sana chidi, lakini huo urijali wako mimi ndio nilioulinda mpaka sasa unaitwa mwanaume, bila mimi hata hio mimba usingenipa,.. Ila mapenzi yangu ya kweli yamenifanya nimsaliti mama yangu, na mpenzi wangu… Ahsante sana chidi, mimba sintoitoa we baki na urijali wako"

Saida aliongea maneno mengi lakini kuna maneno chidi yalimgusa,…

"unasema bila wewe mimi ningelikuwaje"

"sikutaka kukuambia mapema lakini bora ujue tu mana ni upendo wangu"

Chidi alikuwa kasimama, hivyo alijikuta anarudi mezani na kuketi katika kiti ili aambiwe kwanini kama sio saida angelikuwa sio rijali tena

"saida…. Kuna maneno sijayaelewa hapo"

"chidi mpenzi wangu… Nilimsaliti mama yangu kwa kukulinda wewe, mana nilikuwa na tegemeo la uwe mume wangu"

"kwani umefanya nini hebu niambie"

"mbegu zako za kiume zilikuwa zikihitajika kwa udi na uvumba na mimi ndio niliotakiwa kuzichukuwa, lakini kwa mapenzi yangu,… Nikafanya kitu tofauti na nilivyoagizwa.. Unakumbuka siku ile tumemaliza kufanya mapenzi, ulipoenda tu kuoga uliporudi hujanikuta"

"Enheee ndio sijakukuta"

"siku ile ulitakiwa ukose nguvu za kiume, na nguvu hizo zihamie kwa mdogo wangu ambae alizaliwa akiwa hana nguvu za kiume…. Lakini siku ile nilipotoka kwako bila kukuaga nikiwa na mbegu zako kwenye kondomu..

Katika dunia hii hakuna kitu kinachoshindikana chini ya ardhi, akishindwa huyu basi huyu ataweza, maana yake ni kwamba kila mtu kapewa uwezo wake… Binafsi mimi naamini haya mambo ya imani yapo, tena ukileta mzaha yanaweza kukuumbua kiukweli,.. Ridhiwani ni kijana alioumbwa akiwa na nguvu za kiume, lakini mama yake alifanya makosa flani wakati wa kumzaa ridhiwani,.. Jambo hilo ambalo hakuwa akilijua lakini alihisi huenda likawa tatizo kwa mtoto wake, ukweli ni kwamba ridhiwani hakuweza kusimamisha uume wake kutokana na baadhi ya viungo alivyozaliwa navyo kugusana na uume wake, hivyo kisayansi inasemekana ni kweli ila kiimani sijajua vizuri,.. Familia ya ridhiwani kama jinsi ilivyomhangaikia mtoto wao mpaka sasa kapona na anapiga dudu kwa kwenda mbele….. Ila sasa uwezo huo ulitokana na mbegu za kijana chidi ambazo zilichukuliwa na saida katika kondom ili mdogo wake akapone,.. Nadhani waliosoma sehemu za nyuma mnaelewa nini kiliendelea mwanzo mwisho.. Lakini kitu tusichokijua ni siku saida anaondoka na mbegu hizo za chidi, lakini cha ajabu ni kwamba chidi hajazurika kwa kupoteza nguvu zake, na ilijulikana kuwa mwenye mbegu ni lazima aipokee hali aliokuwa nayo ridhiwani.. Lakini ridhiwani kapona na chidi bado yupo na nguvu zake kama kawaida.. Sasa saida anatujuza ilikuwaje siku ile……. TWENDE KAZI

"kwani umefanya nini hebu niambie"

"mbegu zako za kiume zilikuwa zikihitajika kwa udi na uvumba na mimi ndio niliotakiwa kuzichukuwa, lakini kwa mapenzi yangu,… Nikafanya kitu tofauti na nilivyoagizwa.. Unakumbuka siku ile tumemaliza kufanya mapenzi, ulipoenda tu kuoga uliporudi hujanikuta"

"Enheee ndio sijakukuta"

"siku ile ulitakiwa ukose nguvu za kiume, na nguvu hizo zihamie kwa mdogo wangu ambae alizaliwa akiwa hana nguvu za kiume…. Lakini siku ile nilipotoka kwako bila kukuaga nikiwa na mbegu zako kwenye kondomu"

"Enhe endelea"

Sasa hapo saida akaanza kutoa stori siku ile ilikuwaje

TUJUE SIKU ILE ILIKUWAJE MBONA CHIDI HAKUDHURIKA KAMA ILIVYOJULIKANA…

"una uume mzuri, tena uliosimama kama kisiki cha mpingo… Lakini leo ndio mwisho wako wa kusex na mimi… Hiii ni kum** ya mwisho kwako,.. Utabaki kuzila kwa macho tu,.. Wacha nikamponyeshe mdogo wangu, nae ajue raha ya kum** ikoje"

Aliongea saida kimoyomoyo huku akiipanua miguu yake, na chidi hajachelewa kuingiza zakaria yake… Mkao alioka saida ni mkao wa kumfanya mwanaume afike haraka kileleni…

Staili ya mbuzi kagoma na ile ya kifo cha mende afu demu abane miguu akiwa staili ya kifo cha mende, basi mwanaume hua hachelewi kuachia vitu vyake tena ukizingatia ilikuwa ni asubuhi mno,.. Chidi aliachia wazungu wake na kuwajaza katika kondom,

"chidi tosha, we wahi kazini"

Aliongea saida huku akiichomoa ile kondomu iliojaa mbegu za chidi,.

"saida nipe cha mwisho basi mamy"

Chidi aliomba mzunguko mwingine na saida alitamani sana kumpa chidi.. Ila alishindwa kumpa na kujikuta anaongea kimoyomoyo kuwa.

"kiukweli chidi penzi lako ni tamu na hakuna mwanamke atakaeweza kulichoka,.. Lakini utanisamehe nipo kikazi zaidi"

Saida alijisemea mwenyewe kimoyomoyo, huku akimaliza kuivua ile kondom katika uume wa chidi, na wakati hui chidi yeye bado kasimamisha kisiki

"chidi mpenzi wangu we nenda kaoge uje nikuwahishe kazini kwako"

Kweli chidi kuangalia saa ilikuwa inakwenda kuwa saa mbili hivi asubuhi, chidi bila hiana yeye alitoka na kwenda kuoga

"wahi ili nami nioge"

Aliongea saida huku akiifunga vizuri ile kondom ili isiingize hewa na kuzifanya mbegu hizo ziyeyuke na kuwa maji, mana mbegu za kiuke zikiwa zinapigwa na upepo basi zinapoteza ule uhalisia wake zibakuwa maji ila zikiwa sehemu ya joto zinaweza kuishi ndani ya muda fulani… Sasa chidi ile anaingia tu bafuni,.. Huku chumbani saida alivaa chupi yake na nguo zake zote kisha akaichukuwa ile kondom yenye mbegu za chidi kisha akaziweka katika mkoba wake… Dakika mbili nyingi sana kwa saida kutoka hapo,..

Maskini chidi anatoka bafuni haoni mtu

"khaaaaaa uyu mtoto wa kike kaenda wapi tena"

Chidi alijiuliza maswali mengi huku akichukuwa simu yake na kumpigia saida, lakini alipoangalia kwa pembeni aliona kitita cha pesa kama milioni 10 hivi zikiwa zimefungwa kwa rababendi tena zilikuwa mpyaaaaa

"haloo saida upo wapi mamy"

"ooooh sorry mpenzi wangu, nimepigiwa simu na mama niwahi kazini mara moja"

"ok haina shida mke wangu, kazi njema"

Sasa saida ana aleji ya kuolewa yaani pamoja na uzuri wake wote, hajawahi kutaamkiwa neno mke wangu, au nitakuoa,…

"chidi"

"sema"

"umeniitaje vile"

"saidaaaaa, kwani we hufai kuwa mke"

Saida ni mschana mzuri sana, na wana pesa nyingi sana, ila hajawahi kuitwa mke na kitu anachokipenda katka maisha yake kuwa ipo siku atakuja kuwa mke wa fulani,…

"chidi mpenzi wangu… Ina maana una nia ya kunioa"

"kwa mwanamke mzuri kama wewe, sidhani kama nitashindwa kufanya hivyo"

"chidiiiiiiii"

"naaam"

"Sorry for that"

Saida aliongea hivyo kisha akakata simu tena na kuzima kabisaa kwani hakuhitaji kubugudhiwa na simu yeyote ile,…

Sasa chidi anajiuliza kwanini saida aseme sorry for that kuna nini… Au kafanya nini… Chidi kakosa jibu, na kila akipigiwa anaambiwa mteja, (simu ya mteja unaepiga haipatikani)…. Chidi alivaa nguo zake na kuelekea kazini..

Sasa huku njiani kwa saida akiwa kaegesha gari mahari tena akiwa analia lakini hakuwa akilia kwa uchungu bali ni kwa furaha

"katika maisha yangu, sijawahi kuitwa hata mke, japo sijaolewa… Na chidi ndio mwanaume wa kwanza kuniita mke,.. Kwanini nimfanyie hivi mume wangu"

Oooohoooo saida kadata na neno mke,.. Yaani kwa mwanamke anaejielewa neno mke ni jina kubwa sana mbele za mungu kuliko hata hilo jina lako,.. Mi nawashangaa wasichana mnaojiita wazuri tena mnajisifu kwa maumbo yenu kuwa makubwa na mazuri,.. Lakini mbina hamuolewi au sisi wanaume hatuwaoni,.. Ni kwamba mnashindwa kujitambua, mnajifanya ni digitali, utaishia kupaka rangi za kucha na kujipiga picha huku ukijiangalia makalio, mana ndio zenu mnaringia makalio wakati sisi tunataka heshima ndani ya ndoa… Nani kasema ndoa ni mpaka uwe mzuri? Au uwe na umbo… Na jiulize ni wangapi wenye maumbo yao na bado wanabaki kuchezewa tu.. Unajiita mrembo… Kweli ni mrembo lakini ni Urembo wa pesa na sio heshima,.. Mwanamke una miaka 25 hajawahi kuambiwa nitakuoa, na hata dalili za kuolewa kwako hata huzioni, lakini bado wajiita mrembo… Nyoooooookoooooo…. Na ndio mana hata sisi ni chapa ilale, mana nyie wenyewe mnataka pesa na sio heshima, wanaume hatuoni hata mwanamke wa kuoa mana wote ni wafanya biashara, sasa mwanaume nani aoe mfanya biashara,.. Utaishia kujikwatua kila siku wewe na kioo, wakati wenzako wanawauliza waume zao kama wamependeza, sasa wewe utaulizana na kioo chako huku siku zinakwenda… Na ukumbuke kuwa kioo hakidanganyi hata siku moja, hivyo ipo siku utaona ngozi yako itaanza kuvutana,… Hapo hukosi miaka 45 kwenda juu, huna hata ndoa ya kuachika…

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Read More

MUUZA CHIPS (79)

Juni 12, 2023
MUUZA CHIPS (79)
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA SABINI NA TISA
ILIPOISHIA...
Ibrahim alifurahi sana kuskia kuwa kumepatikana mtoto wa kiume,.. Kana kwamba jasmini ndio kajifungua leo, lakini ndugu msomaji nadhani unakumbuka hii mimba ni yanani,.. Ila chidi hajui kuwa jasmini ana mimba yake, yeye chidi hajui kitu, lakini hio mimba au huyo mtoto ni wa chidi, lakini chidi hajui kitu..

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Pale pale wakiwa wanafurahia kupata kwa mtoto, mara sabra kaja kumvuta chidi pembeni kisha akamwambia chidi

"chidi, hongera kwa kupata mtoto, tena umefanana nae mtoto wako"

Chidi alikuwa hajaelewa mana mtoto wa kaka yako ni wako pia mana atakuita baba kama baba yake, lakini sabra yeye hakumaanisha hivyo, bali sabra anajua kuwa mtoto huyo ni wa chidi na sio mtoto wa Ibrahim kama inavyojulikana,..

"lazima nifanane nae, mana mimi ndio baba mdogo wake"

Sasa sabra akawazaa sijui amwambie ukweli kuwa huyo ni mtoto wake na sio mtoto wa kaka yake… Sabra alikuwa anataka kuharibu hali ya hewa iliotulia..

"chidi…huyo mtoto huko ndani ni mtoto wako,.. Ila ukichelewa kumchukuwa, atakuwa ni mtoto wa tarehe 7 mwezi wa 7"

Sabra aliongea hayo maneno lakini chidi hakuyaelewa…

"mbona sikuelewi sabra"

"utanielewa siku ikifika tarehe 7 mwezi wa 7"

Sabra aliondoka na kwenda wodi ya wazazi na kukaa na dada yake karibu,..

"tarehe 7 mwezi wa 7"

Aliongea sabra huku akimshika shika yule mtoto..

"sabra, hebu funga domo lako… Usiambiwe kitu basi wataka kila mtu ajue"

"dada,.. Leo ni tarehe 7 mwezi wa 4 sasa nani atajua tarehe 7 mwezi wa 7"

"hata kama ila naomba ukae kimya"

"jamani katoto kazuri kama baba yake mzazi… Ila tarehe 7 mwezi wa 7 sijui itakuaje"

Sasa huku nje chidi alikuwa ndio anaumiza kichwa kuhusiana na hio tarehe 7 mwezi wa 7, kuna nini kwenye hio tarehe,… Na leo ni tarehe 7 mwezi wa 4, hivyo kuna miezi mitatu mpaka ifike hio tarehe 7 mwezi wa 7….

Chidi alimfuata kaka yake na kutaka kumuuliza kuhusiana na hio tarehe..

"eti broo… Ivi unaijua hio tarehe 7 mwezi wa 7"

Aliuliza kijana chidi huku akisubiri majibu kutoka kwa kaka yake Ibrahim….

"hapana siijui, mana sijafika huko"

Lakini huku wodini sabra alikuwa akiusifia uzuri wa mtoto huyo…

"ivi dada, ni kweli hio tarehe utafanya hicho kitu"

"nitafanya kama nilivyo agizwa"

Katika maisha kuna njia nyingi za kuyafanikisha maisha,… Na sio kila mwenye maisha basi ana maisha, ila jua maisha yako ndio maisha, mana kuna wanaoishi kwa ajili ya maisha ya watu wengine, hivyo kuwa makini katika kutafuta maisha… Maisha yangu nayapenda sana kwasababu ndio maisha yangu ya kila siku na hayategemei maisha ya mtu,… Na ukiwa unaishi kwa tegemezi la maisha ya mtu basi jua katika maisha haya haya hutokuwa na amani hata kidogo…..

Tuje kwenye simulizi yetu…

Sabra na dada yake walionekana kuna kitu wanakijua katika maisha yao ila kwa sisi wasomaji bado hatujakijua kuwa ni kitu gani hicho,

"eti broo… Ivi unaijua hio tarehe 7 mwezi wa 7"

Aliuliza kijana chidi huku akisubiri majibu kutoka kwa kaka yake Ibrahim….

"hapana siijui, mana sijafika huko"

Lakini huku wodini sabra alikuwa akiusifia uzuri wa mtoto huyo…

"ivi dada, ni kweli hio tarehe utafanya hicho kitu"

"nitafanya kama nilivyo agizwa"

Alijibu jasmini tena kwa kujiamini sana, Sabra hakuwa na cha kumuuliza yena dada yake lakini alionekana kuchukia kwa kiasi fulani ila kwakuwa bado ni mdogo hawezi kuzuia uamuzi wa dada yake, mana katika familia yao ya kitajiri wapo wawili tu,..

Wakati huo huku nje kwa chidi alipigiwa simu na saida

"haloo"

"eee mambo chidi"

"safi hali yako"

"poa tu, sasa chidi… Mimi kuna kitu nataka tuongee"

"sawa ongea tu"

"no, no naomba tukutane mahari please"

"ok poa ngoja nifanye mpango tukutane"

Basi chidi pale pale alimuaga kaka yake kuwa anatoka kidogo wakati huo kaka mtu alikuwa na furaha sana kwa kuoata mtoto mana ndio kilio chake cha siku zote,…

Tukija huku hoteli kwa akina sarah, tunamuona mama sarah akiwa ofisini kwake na mtoto wake wakiwa wanapiga mahesabu ya siku hio, mana kwa sasa hoteli walishainunua toka mama huyo alipwe ile pesa na mama saida kwa ajili ya kumponyesha mtoto wake,… Hivyo hoteli ameshainunua tayari na sasa ipo chini yake,..

"ngoja nikamsalimie chidi wangu"

Aliongea mama sarah tena kwa bahati mbaya, na kujikuta sarah anamuuliza

"chidi wako??… Ina maana mama una mtoto mwingine, na kwanini ana jina la kiislamu"

Mama alijikuta anadondoshewa maswali ya hapa na pale kwa kuropoka kwake..

"sio mtoto wangu, ni mtoto wa rafiki yangu, ila nakapenda sana hako katoto"

Mama sarah alikuwa na njia nyingi sana za kumtoka mtu, huezi amini sarah keshaachwa kwenye mataa, haelewi kitu tena..

"kana miaka mingapi"

"mmmhhh kama kumi hivi au nane"

"mmmhhh haya mi nipo hapa"

Mama sarah aliondoka baada ya kumtoka mtoto wake kimaneno,..

Sasa tukija huku hoteli kubwa, kwa akina miriam,.. Miriam akiwa kakaa katika ofisi yake ya keshia alikuwa akiwaza mambo mengi sana katika kichwa chake,… Kama unakumbuka miezi kadhaa iliopita aliambiwa na mama yake kuwa aende Uingereza kimasomo kisa tu alikuwa na mahusiano na kijana chidi, lakini miriam alifanya ujanja wa kila aina mpaka safari ikafa,.. Na kijana chidi mpaka leo hajaacha kazi katika hoteli hio na mahusiano yao yanaendelea lakini ni kwa siri sana hata mama hajui kama chidi na miriam wanaendelea,..

"chidi mpenzi wangu, mbona leo umeondoka mapema hivyo hata sijakuona"

Aliongea mwanadada miriam huku akiwa na huzuni sana juu ya kijana chidi,.. Inaonekana chidi alikuja asubuhi kisha akaondoka na sasa keshazoeleka tabia yake ya kuja na kuondoka,..

Miriam alichukuwa simu na kumpigia chidi, lakini kumbe wakati huo anapiga simu mama yake ndio alikuwa anakuja pale kwenye ofisi ya miriam,..

"haloo chidi mambo baby"

Mama kasikia hayo maneno ikabidi atulie kimyaa ili amsikilize ataongea nini…

Tukija huku kwa saida akiwa ndio kwanza keshafika katika hoteli walioambizana wakutane, saida alikuwa tayari keshafika katika eneo la tukio,

Wakati huo huo kijana chidi akiwa njiani kuja hapo hotelini, alipokea simu ya mama sarah

"halooo boy mambo"

"safi mamy niambie"

"poa… Nimekumisi kweli yani"

"mmmhhh mamy si juzi tu kushinda jana"

"ni kweli, kwani hio juzi kuna kitu tulifanya"

"kweli, hatujafanya chochote"

"basi leo nipo kwako nakusubiria"

"ooohhh shit tayari umeshafika"

"ndio nipo nje hapa kwenye gari"

"duuuuuu nipo mbali kweli mamy"

"nakusubiria tu hivyo hivyo"

"ok poa"

Basi chidi alikata simu kisha akawa anaelekea hotelini…

Tukija huku hospitalini walipokuwa akina sabra na dada yake,.. Waliokiwa wamesharuhusiwa, Ibrahim akiwa ndio dereva tena alikuwa ni mtu mwenye furaha ya hali ya juu kwa kupata mtoto wa kiume,..

Walipofika nyumbani Ibrahim aliwaaga kuwa anakwenda kazini,… Hivyo Ibrahim aliondoka zake kwenda kazini mana ilikuwa bado mapema sana,

"dada… Si umwambie chidi tu ukweli kuwa ni mtoto wake"

"sabra, naomba tueshimiane sawa"

"lakini sura ya huyu mtoto na chidi, yaani vinaashiria kabisa"

"hata kama,.. Shida yangu sio mtoto kwa taarifa yako, we mshenzi nini"

"dadaaaaa.. Yani mi ni mshenzi"

"tena ukiendelea kunitibua nitakuziba vibao sasa hivi"

Jasmini alibadirika ghafla tena hakuwa mtu wa kawaida, pamoja na uzuri wake na umbo lake lote lenye kuvutia lakini kumbe ana roho mbaya kiasi kikubwa yaani sijui alikuwa na maana gani,..

Sabra hakutaka kuendelea kukaa karibu na dada yake mana wangelitibuana vilivyo,..

Tukija huku ofisini kwa akina Ibrahim, aliokuwa akiwachukuwa wafanyakazi wote ili wakafurahie siku ya kuzaliwa kwa mtoto wake,… Walichukua kosta nzima na kwenda katika hoteli ya Miras hoteli ili kufurahia maisha ya mtoto wake,.. Ofisi ilibaki na mlinzi peke yake, kana kwamba hata kama kuna mteja atakuja basi hatokuta mtu na hivyo ndivyo wanavyofanyaga akina Ibrahim,.. Kisa kampuni sio yakwake,… Lakini walipoondoka tu, Mlinzi kapiga simu kwa tajiri mwenye kampuni ambae ni jasmini

"boss, uliniambia wakiondoka nikuambie"

"enheee vipi wamekwenda wapi"

"sijui ila wameondoka wote kufurahia basdei ya mtoto wake"

"aanhaaaa sawa haina shida… Kuwa makini hapo sawa"

"sawa boss"

Sasa ndio tunaanza kuyaona makucha ya jasmini kumbe jasmini alikuwa ni upole wa bure, lakini ni mtu wa tofauti sana, na hii ni baada ya kujifungua mtoto huyo na ndio maana kaanza kubadilika,…

Wakati huo huo huku nyumba kwa jasmini alikuwa akimpigia simu mume wake ambae ni Ibrahim,.. Mana hawezi kutoka kutokana na uzazi aliokuwa nao hawezi kutoka…

"haloo mke wangu hali yako"

Aliongea Ibrahim lakini ilikuwa ni sauti ya pombe

"sikiliza ibra… Kuanzia hapo ulipo schana na kampuni yangu, fanya mambo yako binafsi"

Ibrahim pombe ilimuisha ghafla bila kutarajia,..

"unasemaje mke wangu"

"kampuni yangu sio ya kuchezea kiasi hicho"

"nimeichezea na nini tena… Ila mke wangu kwa utani wewe tu hujambo"

"sina utani.. Yaani hapo ulipo tu fanya mpango ujue pakwenda sina pesa za mchezo mimi"

Aliongea hivyo kisha akakata simu,.. Jasmini mwenyewe ndio huyo sasa, na sijui ni kwanini alikuwa mpole, yote tutayajua mbeleni….

Sasa tukija huku hotelini kwa akina miriam,.. Akiwa anaongea na kijana chidi

"halooo chidi mpenzi wangu mambo"

Aliongea miriam huku mama yake akimsikiliza kwa umakini

"poa niambie mamuu wangu"

"safi tu babuu…. Sasa mbona umeondoka mapema hivyo hata sijakuona babuu"

"no, nilikuwa hospitali"

"hospitali??… Kuna nini"

"aahhh ni shemeji yangu amejifungua sasa tulimpeleka hospitalini"

"ooohhh sasa si utakuja babuu"

"hapana… Kwa leo kuna ubize nipo nao mamuu"

"nimekumisi babuu"

"ngoja nitakupigia baadae"

"poa"

Ile anakata simu tu mama yake katokea, akiwa kasikia kila kitu kuhusu chidi na mtoto wake,..

"hivi Miriam mwanangu, kumbe bado unaendelea na huyo mjinga wako"

Aliongea mama yake Miriam huku akiwa anatetemeka haswa

"mama…. Kama ni huu utajiri wetu mimi basi lakini huezi kunichagulia sehemu ya kupenda.. Basi wacha niwe maskini kama yeye ili tuendane"

Miriam alichoka kuwa na mahusiano ya kujificha kwa muda wote huo na wakati anampenda sana mpenzi hivyo yupo tayari hata kuwa masikini ili tu aendane na chidi,…

"unasemaje we pumbavu… Yaani wewe ndio wa kuniambia maneno hayo mimi"

"mama, sina maana ya kukuvunjia heshima yako… Ila nimechoka kuishi kama mkimbizi katika mapenzi.. Kiukweli chidi ndio chaguo langu, na tena nataka anioe kabisa"

"funga domo lako mbwa wewe… Tena jiandae uende kusoma… Safari inaanza upya taka usitake utaenda tu"

Miriam alianza kulia kwa kitendo cha kuambiwa ajiandae safari ianze upyaa

"mama… Niachee"

"tena na huyo mwehu mwenzio staki kumuona hapa kazini kwangu"

Aliongea mama yake Miriam huku akiondoka kwa hasira nyingi sana

Sasa tukija huku hoteli flani hivi walipokubaliana wakutane kijana chidi na saida, saida akiwa kamsubiri chidi kwa muda mrefu sana,..

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Read More

Jumapili, 11 Juni 2023

MUUZA CHIPS (78)

Juni 11, 2023
MUUZA CHIPS (78)
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA SABINI NA NANE
ILIPOISHIA...
Mana mama sarah nguo aliovaa ilikuwa ndefu lakini ni nyepesi mno, hivyo kijana alikuwa kila muda hamu zinamjia…. Kama unavyojua usafiri wa ndege ni tofauti na safari zingine,… Kutoka moshi mpaka Dar es Salaam ni kuhesabu madakika tu..

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Na kama unavyojua helikopta hua inatua sehemu yeyote ile kasoro sehemu ya mchanga mchanga,… Lakini kwakuwa kitu chenyewe ni cha kutupa katikati ya baharini, hivyo hakukuwa na haja ya kutua mahali badala yake walishuka mpaka jirani na bahari katikati kabisa huko,… Kisha mama saida akaitupa ile nguo kana kwamba ndio katupa matatizo ya kijana wake ridhiwani, yaani hayatojirudia tena,… Helikopta inapaa juu ili kuendelea na safari yake ya kwenda Arusha,…… Sasa wakiwa njiani tena mbali na Dar es Salaam afu wapo kilometa nyingi sana,… Saa ngapi ridhiwani hajaanza kuumwa, uume ulisimama na kukaza bila sababu kana kwamba kwa wakati huo alikuwa akitaka mwanamke, lakini haikusimama kwa hiari yake bali ulisimama wenyewe, tena ridhiwani alikuwa akigalagala chini huku akiwa kajikunja kwa maumivu makali..

"ridhiwani mwanangu una nini baba"

Alikuwa ni mama saida ndio alimuuliza mtoto wake

"mama imesimama na Inauma sana"

"mungu wangu… Mama sarah za sa tufanyeje"

Mama sarah kapiga kimya, na hapo wanawake ni wawili tu mama yake mzazi na rafiki wa mama yake… Na ridhiwani kazidiwa na maumivu makali

"mama sarah jamani, au kisa sio mtoto wako"

"sasa mama saida, mimi nifanyeje"

"nipe ushauri basi jamani"

"skia mama saida… Maana ya hio kitu kusimama ni kwamba inatakiwa apewe"

Aliongea mama sarah bila kumficha rafiki yake

"mungu wangu mama sarah…. Sasa atapewa na nani jamani… Mimi ni mama yake mzazi na wewe ni sawa na mwanao… Nipe ushauri basi mama sarah, mwanangu anakuwa mwekundu eti jamani"

Ridhiwani alishkika mno, nguvu za kiume zilimjia kwa ghafla na kujikuta anahitaji mwanamke,

Akina mama saida walikuwa wakihaha humo ndani, mana hakukuwa na mwanamke mwingine zaidi yao wao wawili tu, na ni ngumu wao kujitoa mana ni wazazi wa kijana huyo,..

Ridhiwani akiwa katika floo anagalagala ghafla alitulia kimya.. Mama saida alikumbuka sharti la mganga kuwa,

"itakuwa inamsumbua lakini sio mara kwa mara, yaweza kuwa kwa mwezi mara moja au mara mbili, mana hio sio asili yake… Hivyo itamsimama kwa maumivu makali sana, na mwisho wake atazimia,.. Akishazimia nayo itatulia"

Mama saida alipumua kwanguvu mana kwanza haamini kama mtoto wake kapona,..

Kweli baada ya dakika mbili, suruali ya ridhiwani ilionekana kutulia na unaambiwa itamjia kwa mwezi mara moja au mara mbili tu, itategemea na jinsi anavyofanya mapenzi,.. Akiwa kicheche sana basi hata maumivu yatampungua katika zakaria yake…

Ridhiwani alilazwa mahari pazuri huku ndege ikiwa bado katika safari yake ya kurudi mjini,..

Nusu saa mbele wakawa wapo uwanja wa ndege jijini Arusha,.. Na kila mmoja alikuja na gari yake, mama sarah alikuja peke yake, ila mama saida yeye alikuja na mtoto wake,.. Ridhiwani alihamishiwa kwenye gari akiwa bado kazimia,..

"waaooo mama langu umerudi"

Aliongea jamaa mmoja ambae ni mhudumu wa hapo airport..

"we vipi, nani mama yako"

Aliongea mama sarah, na ndio haswa aliopointiwa kwa kuitwa mama na jamaa huyo,..

"heeeeee mara hiii ushanisahau tena"

"watu wengine sjui ni machizi, hebu nitokee mimi"

Aliongea mama sarah huku akikwea gari yake

"kwani mama sarah huyu kijana ni nani, na mbona anaonekana kukufahamu sana"

"wala hata simjui, tuondoke zetu bwana"

Mama sarah na mama saida waliwasha gari zao na kuanza kuondoka

"sawa mama lakini najua utanikumbuka tu,.. Mimi ndio Richard bwana, na unajua vitu vyangu"

Aliongea kijana huyo kwa kujigamba sana kana kwamba kuna zuluma imefanyika hapo, sasa sijui ni mambo ya paking hawajalipana mi sijui..

Mama saida na mama sarah waliingia katika hoteli moja ya maana hapo jijini, mama saida alitoa kitabu cha kuandikia cheki, kisha akaandika kiasi cha pesa kinachotakiwa na mama sarah mana walikuwa katika dili na dili limekwisha,.. Mama saida aliandika cheki yenye thamani ya shilingi Bilioni moja na nusu akazitoe mama sarah kama jinsi alivyomwambia kuwa angelimpa bilioni moja kisha atamuongeza kidogo,..

Mama sarah alifurahi sana kuona cheki hio,..

"hapa sasa sina usemi"

Aliongea mama sarah huku akiiweka cheki hio katika mkoba wake, kisha kila mmoja aliondoka kivyake,… Mama saida alipofika nyumbani alimwingiza ridhiwani katka chumba chake huku akiseidiana na saida pamoja na wafanyakazi wengine,..

Baada ya hapo mama saida alimvuta mwanae saida na kumueka chini.. Alitoa cheki ya kiasi cha milioni mianane na kumpa saida ambaye ni mtoto wake wa kwanza,.. Na alimuahidi akifanikisha atamnunulia gari ya gharama kubwa kuliko gari zote duniani… Saida alifurahi lakini moyoni mwake kuna kitu alikuwa akikiwaza na ndicho kilichozidi kumpa furaha katika moyo wake… Kwahio mtoto wa mama saida ambae ni Ridhiwani keshapona kabisa yaani kwa sasa anasimamisha kama wanaume wengine..

HIO NI KUMBUKUMBU JINSI ILIVYOKUWA KWA MGANGA MPAKA KUPONA KWA RIDHIWANI…….. SASA TUENDELEE NA SIMULIZI MBELE KWA MBELE..

Tuliishia chidi akiwa kitandani na mdogo wake jasmini ambae ni sabra, kama unakumbuka vizuri,…

Chidi baada ya kushindwa kusimamisha uume wake ili kumpa sabra haki alioifuata, lakini mtarimbo ulikuwa doro, maskini sabra alikata tamaa ya kufanya mapenzi na mtu huyo mana kamseidia vyakutosha, sabra aliinyonya sana aliingiza kila tundu liliopo katika mwili wake, lakini bado haisimami… Basi waliamua walale usiku huo mana hata sabra asingeliweza kuondoka na usiku huo japokuwa ana gari yake….

Lakini chidi akiwa bado kalala, ghafla simu yake inaita, kucheki jina alikuwa ni mama sarah

"haloo mamy"

"yes chidi wangu mambo"

"safi tu"

Chidi alionekana kuwa mnyonge sana kwa siku hio,

"chidi upo na nani hapo"

"nipo peke yangu tu"

Mama sarah aliuliza kana kwamba labda alikuwa akiibiwa kazakaria kake,..

"chidi mpenzi wangu… Mwenzio nina hamu"

Aliongea mama sarah huku kama akideka ili lujua kama kweli kamekufa au

Mana yeye anajua fika kameshakufa,..

"mi mbona sijiskii kabisa"

"jamani chidi wangu… Afu mwenzio nimevaa ile chupi unayoipenda"

Chidi alikuwa akiskia mambo ya nguo za ndani za kike, yaani anasisimkwa na mwili wake, lakini leo doroooo

"ok sawa we vaa tu"

"kwani vipi chidi mbona kama huna raha"

"sina raha ndio… Mana nina masaa zaidi ya matano sasa lakini haisimami"

"Whaaaaaat"

Mama sarah alishangaa sana tena mpaka simu ikamdondoka,.. Lakini swali linakuja, ni kwanini mama sarah kashangaa tena na mshtuko juu na wakati anajua ishu nzima ya kijana chidi… Baada ya simu ya mama sarah kudondoka chini, na chidi nae alizima simu yake, kisha akaendelea kulala….

Ilipofika mida ya saa 11 alfajiri chidi akiwa kalala, alishangaa kuhisi uume umesimama tena,… Chidi haamini kama kasimamisha tena, na ilikuwa ni kweli… Chidi alimuamsha sabra kwa mbwembwe nyingi sana,.. Sabra kuamka anakutana na zakaria ya chidi imesimama barabara kabisa na ipo vile vile katika ubora wake… Sema sasa chidi yeye hajui kama kuna ishu alikuwa akichezewa na mama sarah,…

Chidi alinza kumchezea mtoto wa watu mpaka ikafikia wakati sabra anaililia zakaria hio,… Chidi alimvua sabra chupi yake taaratibu kisha ndude ikaingia kwenye kidude,. Sabra aliutamani uume wa chidi toka kitambo sana sasa leo anakutana nao live bila chenga,.. Chidi alimsulubu mtoto wa watu, yaani hatokaa amsahau kamwe kwa kitu anachomfanyia sabra wa watu ni miguno tu ya kimahaba ndio iliokuwa ikisikika..

Ivi unajua ni kwanini uume wa chidi ulilala?

Ni kwasababu alikuwa na msongo wa mawazo, hata wewe ukiwa na mawazo mengi sana unauathiri mfumo mzima wa nguvu za kiume,.. Mawazo yana kiwango chake, lakini ukipitiliza inakuwa ni shida.. Sasa ili uamini kuwa mawazo ni kitu kibaya sana katika mfumo huo,.. Hebu kuwa na mwanamke kitandani.. Afu akuambie jambo la kukudhi wewe, yaani jambo hilo likufanye ukasirike, na ukikasirika tu Hapo hapo hata kama ilikuwa ndani ya K, lazima itasinyaa mana ubongo umepokea taarifa mbaya,.. Hivyo mpaka damu zije zitulie, utatakiwa kupumzika kwanza, ili kila kitu kikae sawa,.. Yaani hata kama mwanamke kakukosoa kutokana na ufanyaji wako,.. Yaani ukikasirika tu ile kutoka moyoni, lazima ngoma ilale, yaani sio hiari bali ni lazima… Mana uume unasimamishwa na damu,

Chidi alimaliza shughuli yake ya kumkamua sabra,.. Wote waliingia bafuni na kuanza kusuguana sehemu zao,…

Baada ya yote hayo chidi ni muda wake wa kwenda kazini, na sabra yeye aende nyumbani kisha aende zake chuo, mana tayari keshatafutiwa chuo ili asome na weze kujua mengi zaidi japo wana utajiri mkubwa sana…

Chidi na sabra wanatoka wote, lakini sabra alikuwa akitamani kulala na chidi kila siku,..

"chidiiii"

"sema"

"kesho naja tena"

"ushaniona mie mashine si ndio"

"no sio hivyo,.. Unajua chidi wewe unayajua mapenzi, yasni unayajua haswa, mwanamke nani atembee na wewe afu asitake tena, we mtamu chidi"

"ok poa but usije kesho"

"nije lini sasa"

"njoo siku yeyote ile ila sio kesho"

Aliongea kijana chidi huku akiwaza kazi yake

Lakini akiwa yupo njiani kuelekea kazini ghafla simu yake inaita, kuangalia jina alikuwa ni baba yake mzazi..

"haloo mzee shkamoo"

"marahaba ujambo"

"nipo poa tu"

"sasa mwanangu… Ile kazi ulionipa nimeshaifanikisha, sasa ni wewe"

"wanaweza kazi vizuri hao… Mana nataka kijiji chetu kiheshimike"

"nimeenda kuwachukuwa mjini kabisa na hivi ninavyoongea nipo nao"

"ok… Sasa kesho we njoo uchukuwe mzigo kamili mzee ila hakikisha kila kitu kinakuwa sawa"

"Usijali, hawa watu wanafahamiana na rafiki yangu mmoja hivi na wana kazi nyingi sana walizofanya"

"sawa basi we kesho njoo nikupe mzigo"

Chidi alimuita baba yake aje mjini kuna kitu ampe, sasa hatujui chidi na baba yake waneanza kuuza nini, kitu ambacho hatukifahamu,.. Mana inaonekana kuna biashara haramu imeshaanza hapa baina ya baba na mtoto….

Chidi alikata simu na kuendelea na safari yake ya kwenda kazini…

SAA… SIKU….. WIKI…. MIEZI… ILIKATIKA

Baada ya miezi kadhaa mbele,.. Leo chidi akiwa hospitali yeye na kaka yake Ibrahim, wakiwa wapo nje ila hatujui mgonjwa alikuwa ni nani,..

Lakini ghafla nesi anatokea na kutoa taarifa juu ya mgonjwa waliokuja nae akina chidi…

"hongereni, tumepata mtoto wa kiume"

Ibrahim alifurahi sana kuskia kuwa kumepatikana mtoto wa kiume,.. Kana kwamba jasmini ndio kajifungua leo, lakini ndugu msomaji nadhani unakumbuka hii mimba ni yanani,.. Ila chidi hajui kuwa jasmini ana mimba yake, yeye chidi hajui kitu, lakini hio mimba au huyo mtoto ni wa chidi, lakini chidi hajui kitu..

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Read More

MUUZA CHIPS (77)

Juni 11, 2023
MUUZA CHIPS (77)
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA SABINI NA SABA
ILIPOISHIA...
Sabra alitoka na kuchukuwa gari yake mana wana magari hapo nyumbani kwa dada yake na hizo mali ni zakwao,.. Sabra alitoka nia yake ni kukutana na chidi ili tu afanikishe kile anachokitaka na namba yake anayo muda tu hivyo hakuna ugumu wa kumpata,… Sasa kwakuwa wakayi huo chidi alikuwa bado yupo kazini na asingeweza kumpata, sabra alipitia kwanza kwa mashost zake,…

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Tukija huku airport tunamuona mama saida akiwa keshafika airport lakini mama sarah hakuwepo hapo airport, haijulikani kaenda wapi,… Mama saida alienda mapokezi na kulipia helikopta binafsi ili waondoke,.. Alioomaliza kulipia alimpigia mama sarah,

"wewe mwanamke upo wapi"

"nilikuwa toilet shost"

"wahi sasa twende"

Mama sarah kweli alikuwa chooni, mana alivyokuja alikuwa akijitengenezea nguo zake vizuri,.. Mama sarah na mama saida pamoja na ridhiwani walipanda ndege ya private kwenda moshi kwa huyo mganga,.. Sasa chidi hana lolote tena, mana hio ndege hapo ni robo saa tu wamefika kwa mganga,…

Tukija huku hotelini tunamuona mama miriam anakwenda jikoni kwa wapishi wa chipsi

"we kijana njoo ofisini kwangu"

Mama miriam alimwita kijana chidi mpaka ofisini kwake,.. Chidi alikuwa mwoga kiasi fulani mana jana tu alifokewa na mama huyo,.

"wewe ndio unamsababishia mwanangu kuuguwa wewe"

"boss, mbona mimi sina lolote na mtoto wako,… Ni marafiki tu lakini sina shughuli yeyote na boss miri"

"sikiliza we kijana… Nitakupoteza kama hutoyajali maisha ya mtoto wangu"

"niyajali kivipi boss"

"kuyajali kwako ni kuwa mbali nae"

"basi naomba kuacha kazi boss"

"sijakwambia uache kazi… Bali sitaki mazoea na mtoto wangu… Masikini mkubwa wewe"

Chidi alikasirika sana kwa kuitwa masikini mkubwa,.. Lakini hakuwa na la kufanya mana hana pesa za kushindana nae,… Chidi aliondoka wala hakutaka kubishana na mama miriam,.. Chidi hata kukaa tena hapo kazini hakuona umuhimu tena kwa siku hio, aliamua kuondoka lakini alikuwa na mawzo sana juu ya miriam kuambiwa aende, mana anampenda sana miriam wake lakini ndio hivyo safari inawiva kwani hata huko kujifanya kuumwa sio kitu kwasababu ni lazima atapona,.. Akikumbuka na vile alivyoambiwa masikini mkubwa ndio kwanza hana hata raha….

Lakini akiwa hapo nje ya hoteli simu yake iliita kuangalia jina, alikuwa ni sabra, na wakati huo ni mida ya saa 10 jioni…

"haloo"

"eeee chidi mambo"

"safi niambie"

"poa… Upo wapi"

"nipo nyumbani kwani vipi"

"naomba tukutane basi"

"kuna nini kwani"

"chidi bwanaaaaaaaaa"

"mmmhhhh ok nipo hapa miras hoteli"

"nisubiri hapo hapo"

Chidi alikata simu kisha akatulia hapo nje, mana anaekuja ni kama shemeji yake hivyo hana budi ya kumsubiri, lakini hakuwa na raha, mawazo mengi yalimtawala kijana huyo,… Ghafla sabra katokea akiwa na gari kalii

Chidi akaona huyu huyu ndio ampeleke nyumbani mana hana hali nzuri, alikuwa na mawazo mengi sana

"tena bora umekuja na gari, nipeleke nyumbani asee nimechoka sana"

Sabra binafsi alijiskia raha sana kwasababu ndio nafasi aliokuwa anaitaka

Nusu saa mbele walikuwa wameshafika nyumbani

"heeeee hapa ndio kwako"

"ndio"

"hhhhmmmm pazuri"

Chidi alikuwa mchovu sana hivyo alienda bafuni ili kuoga, lakini sabra ukumbuke nia yake ni kumpata chidi,… Saa ngapi sabra hajafungua mlango wa bafuni na kuingia

"we sabra mbona huna adabu lakini"

"we mbona juzi uliniona uchi wangu sijasema"

"lakini sabra"

"hakuna cha lakini…. Heeeeeeeee chidi umejaaliwa we mtoto, na hapa bado tu haijasimama je ikisimama itakuwaje"

Chidi kushikwa tu alishtuka sana… Haikupita muda sabra alibakiwa na chupi tu,…. Lakini huezi amini chidi hakusimamisha hata kidogo,.. Sabra alikuwa mzuri na mwenye umbo la kunoga, lakini chidi hakuvuta hisia za kusimamisha,…

"chidiiiiiiiii…. Mbona unanifanyia kusudi lakini… Mbona juzi ilisimama haraka afu leo unajifanya hutaki"

Hata chidi nae aliingiza hofu juu ya hilo,..

"ebu achia"

Aliongea chidi wakati Sabra alikuwa kaishika zakaria ya chidi… Maskini ya mungu sijui imekuwaje, au ndio kule moshi wameshafanya yao nini… Lakini chidi kwakuwa hajui lolote alihisi labda imechoka…. Sabra alikaa mikao yote ya kumtamanisha chidi lakini waaapi,… Sabra aliiweka kinywani mwake lakini waapi… Huezi amini chidi alianza kulia kama mtoto mdogo…

"hivi kwanini unanifanyia hivi chidi, niambie kama hunipendi basi nijue"

Sasa chidi anakuwa kama ridhiwani mtoto wa mama saida,

Chidi hakuwa na hamu na sabra lakini baada ya kuona sabra tayari keshavua nguo na kubakiwa na chupi, chidi hakutaka kumuacha mtoto wa watu mana kaja kwa ajili yake hivyo akimuacha itakuwa ni dharau kubwa sana juu yake,… Chidi alitoka bafuni na kwenda kitandani huku sabra akifuata nyuma kwa kumshika kiuno, sabra hawezi kushtukia kitu chochote kwamba huenda chidi ni mwanaume suruali, mana alishawahi kumuona akimla dada yake, afu siku ile alipokuwa nae mpaka wakafumwa chidi alisimamisha kama kawaida na sabra anajua, sasa leo sabra anajua fika chidi alikuwa akifanya kusudi, lakini chidi hakusoma sana lakini alizingatia sana somo la sayansi, hivyo alimuomba sabra atulie na alale angalau masaa kadhaa,…

Hata sabra pia hakuwa na haraka ya kuindoka tena yupo radhi hata kulala alale

Sasa turudi nyuma kwa kule moshi jinsi ilivyokuwa,…

Kwa sasa ni mida ya saa 10 jioni, na kule wamefika saa 6 mchana, hivyo saa 10 akina mama saida wapo nyumbani na walisharudi kitambo sana,..

Sasa turudi masaa matatu nyuma kabla ya saa 10… Wakiwa juu ya helikopta mama saida alikuwa na furaha sana mana tatizo la mtoto wake ridhiwani linakwenda kupona,.. Walikuwa wakicheka kama safari ile ya mwanzo vicheko vya umbea vilitawala katika ndege hio… Na humo ndani wapo watu watano tu… Rubani na mtu wake wa pembeni,.. Mama sarah na mama saida pamoja na ridhiwani,..

Haikupita hata nusu saa wameshafika kwa mganga, mama saida haamini kama kweli kafika salama, hivyo hata kuchelewa kuingia kwa mganga hakutaka kupoteza muda,…

"karibuni karibuni taireeeee"

Yalikuwa ni makaribisho ya mganga kwa wateja wake,

Mama saida ndio wakwanza kuingia ndani mana alihisi anaweza kupata ajali hata hapo nje ya mlango wa mganga,.

"babu fanya haraka basi mana isije ikaharibika"

"subiri mamaaa…. Tukifanya haraka tutaharibu,.. Hebu lete hio kondomu"

Mama saida alitoa ile kondom pale kwenye mkoba wake na kumpa mganga, wakati huo mama sarah alikuwa anaumwa na roho na wasiwasi juu ya kijana anaekwenda kufanyiwa kitu kibaya, lakini mama sarah alinyanyua mdomo na kuongea na mganga

"eti babu, kama itafanikiwa huyo kijana atakuwa hana nguvu tena"

"taireeeeeee…… Huyo kijana mwenye hizi mbegu, itabidi tu avae kanga na magauni mana hana hadhi ya kuwa mwanaume tena"

Mama sarah aliona hata bilioni moja haina thamani tena kwa yule kijana wa watu,.. Lakini mama sarah hawezi kufanya lolote tena, mana mbegu alishapokea mganga na mbegu hizo ni nzima kabisa tena bado zamoto utafikiri zimetoka muda huo… Lakini mama saida yeye alikuwa akifurahi sana,..

"nipatie nguo yako ya ndani"

Mganga aliongea hivyo ila wakati huo ridhiwani aliachwa nje kwanza ili asijue kuwa nguo ilimponyesha ni nguo ya ndani ya mama yake,..

Mama saida bila kumuogopa mganga, alivua chupi yake pale pale mbele ya mganga,…

"hiii hapa babu"

"weka hapo kwenye chungu"

Mama saida aliiweka ile nguo katika chungu, kisha mganga akachukuwa ile kondomu yenye mbegu za kijana chidi, kisha akazimimina kwenye kikarai flani hivi anakijua mwenyewe, kikarai hicho kilikuwa na dawa ya maji, hivyo ile dawa ndio ilichanganywa na mbegu hizo kisha ikamiminiwa kwenye kile kiungio cha chupi pale katikati,..

"muite kijana mgonjwa"

Mganga alimaanisha aitwa huyo mgonjwa,.. Mganga aliichukuwa ile nguo ambacho kaimiminia dawa iliochanganywa na mbegu za chidi,.. Maskini chidi wa watu hakuna haja ya kuitwa chidi tena,..

Basi mganga aliingia katika chumba kingine kisha na ridhiwani nae akamfuata mganga,….

"kijana…. Si unajua kilichokuleta hapa"

"ndio babu"

"sasa vua nguo zako zote"

Kijana bila uoga alivua nguo na kuwa mtupu kama alivyozaliwa,.. Mganga alimkabidhi kijana nguo ya mama yake mzazi ambayo imepakwa mbegu za chidi ambazo zimechanganywa na dawa za mganga huyo,…

"sasa hio dawa pakalia kwenye uume wako kwa kutumia hio nguo"

Waliitumia nguo ya kike tena ya mama yake ili kumvutia hisia za kimapenzi

"hakikisha unapakalia uume mzima mpaka isimame afu uhakikishe hapo unatoa na zakwako bila kutoa zako utasimamisha lakini hutotoa mbegu"

Maana kijana alitakiwa awe kama vile anajichua (punyeto) kwa kupitia nguo ya ndani ya mama yake na sii ya mtu mwingine,… Kijana alianza kazi hio mana anajua alichokifata kwa mganga huyo,…

Dakika 10 mbele mama saida alikuwa akitega skio huko chumba cha pili ambacho yupo ridhiwani anajichua, na kilainisho ni mbegu za chidi na dawa za mganga,…. Sasa ndani ya dakika hizo ridhiwani alionekana kufika mshindo

"jamani tayari mganga twende tukaone"

"hapana, huruhusiwi kumuangalia mtoto wako"

Ridhiwani alipiga mshindo wa kwanza tena kwa kelele ya hali ya juuu, mana ndio mara yake ya kwanza kufanya hivyo yaani toka azaliwe hajawahi kutoa mbegu zake, yaani hata utamu wa mapenzi haujui ila anausikia tu..

Basi mganga aliingia chumba cha pili na kumkuta ridhiwani kaganda na chupi ya mama yake, mana raha alizosikia hajawahi kupata…

"haya lete sasa… Zunguka pale ukaoge"

Ridhiwani hakuamini kama kweli kapona na anaweza kuwa na mwanamke kama wanaume wengine, lakini kupona kwake kumegharimu mtu mwingine kupoteza nguvu za kiume na sii mwingine bali ni kijana chidi.. Mganga alitoka na ile nguo kisha akaifunga kwenye kitamba chenye rangi tatu, kisha akakiweka katika mfuko mweusi na kumkabidhi mama saida..

"hiii hapa, fanya juu chidi ukaitupe baharini,… Ikishindikana baharini, basi utatakiwa kuitupa mahari ambapo mtu yeyote hawezi kufika, hata ni msituni sawa lakini sio msitu mdogo… Ukifanya hivyo ni sawa na kuyatupa matatizo yote ya mtoto wako.. Na ukiilimbikiza nyumbani basi jua unazidi kulimbikiza matatizo ya mtoto wako… Fanya juu chini ukitupe baharini ndio kunapotakiwa"

Aliongea mganga tena kwa msistizo mkali mno, kwasababu hio nguo ndio imejaa matatizo ya mtoto wake huyo..

Pale pale mama saida alishukuru na kumuachia mganga kitita cha shilingi milioni 3 kwa kazi alioifanya mganga huyo… Sasa mama saida walipotaka kuondoka, mama saida akaamua kuondoka moja kwa moja mpaka Dar es Salaam ili kwenda kuitupa nguo hio, mana wapo katika ndege ya private…. Na nia ya kwenda Dar es Salaam ni kwamba, Arusha hakuna bahari, hivyo aliamua kwenda Dar es Salaam kuitupa hio nguo,

Safari ilianza ya kuelekea Dar es Salaam

Wakati wakiwa juu ya ndege ridhiwani alikuwa ni kama kabeberu fulani hivi mana muda wote nanii yake ilikuwa ikisimama,.. Mana mama sarah nguo aliovaa ilikuwa ndefu lakini ni nyepesi mno, hivyo kijana alikuwa kila muda hamu zinamjia…. Kama unavyojua usafiri wa ndege ni tofauti na safari zingine,… Kutoka moshi mpaka Dar es Salaam ni kuhesabu madakika tu..

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Read More