Notifications
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…

MY EVA (20)

JINA: MY EVA
SEHEMU YA ISHIRINI
ILIPOISHIA...
Danny aliamua kwenda moja kwa moja baada ya kuona sim haipokelewi...
Mda huohuo victor nae alikua akianza safar pamoja na watu wake...
Kazmoto nae alikua anaanza safar na watu wake...

SASA ENDELEA..
We danny mbona unahema kama unafukuzwa?...aliulza  eva baada ya kumfungulia mlango Danny...
Eva unatakiwa utoke hapa sasahiv...alisema danny huku anahema...
Kwan una nini danny ...
We twende utajua mbele ya safar....alisema danny huku alimvuta eva mkono waondoke...

Mara ghafla taa ilizimwa kukawa giza...
Nani wewe???.... Alijihami  eva kwa uoga.
Danny alimvuta eva kweny kona....victor akajua eva anakwepa...akapiga  risas lakin ilimkosa eva..

Ile wanajarib kukimbia ilipigwa risas nyingne...
Mara ghafla danny alishindwa kutembea.....risas ilikua imempata yy badala ya eva.
Danny!!!!!!!!.... Danny.... Daniiiiiiiiiiii!!!...alilia eva kwa saut kubwa..
Victor alishtuka kusikia vile....
Danny???!!!... Danny mwanangu au...alijiuliza victor kama haamin vile.
Victor aliamua kuwasha toch lake kubwa...
Aliishiwa nguv kuona ni mwanae danny... Alibak ameduwaa yeye na majambaz wake..
Victor alilia kama mtoto mdogo...

Danny mwanangu.... Danny tafazal....alilia victor..
Baba...aliita Danny kwa shida....
Mwanangu...mbona umekuja huku...ona sasa yaliyokukuta danny jaman....ntamwambia nn mama yako.???.....danny mwanagu jaman...
Baba mbona unamfanyia hiv eva???.... Aliulza danny
Victor alikosa la kusema akabaki analia tu.

Jambaz wake mmoja kwa hasira alitaka kummaliza eva...ile anainua tu bastola yake....mkononwake ulidakwa na kazmoto... Na akampora bastola na kumuwekea jambaz kichwan..tulia hivyohivyo...alisema kazmoto..

Aliangaza kumtafta eva..
Alishangaa kuona eva analia huku Danny ameanguaka akivuja dam nyingi sana....

Victor imekuaje??....nini hiki tena..
Victor hakua na la kujibu zaid ya kulia..
Ona sasa victor ulichofanya...sasa si umpeleke hospitali?..
Ntampelekaje hospital?....na police ntasema nn??..
Sasa utafanya nn?
Nitamuita daktari wangu...
Sasa ataweza peke yake?...mwite huyo daktar wako halaf aje huku kambin asaidizane na daktar wangu...alisema kazmoto baada ya kuona  hali ya danny ni mbaya.

Nashukuru kazmoto na unisamehe sana...

Usijal..fanya haraka mtoto apone...alisisitiza kazmoto.
@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@

Eva alikua akilia tu mda wote akiwa pemben ya danny... Alijua yy ndo kamsababishia yote haya..
Alimpigia sm miriam na kumweleza...miriam nae alihuzunika sana

Mda wote huo maria alikua hajui kinachoendelea...hakua kambin maana alikua ameshapona...alipelekwa sehem nyingne nzur..
Kazmoto hakutaka kumshtua kwa habar zile...alimuacha atulie

Huku mama danny alikua akijiuliza kwann victor hapokei sim...Danny ndo hapatikani kabisaa..
Wako wapi hawa?...alijiuliza rachel


Victor alishindwa hata kupokea sim ya mke wake...alijiuliza angemwambia nn?..badala yake alituma watu wakamlete kambini ili aje amweleze ana kwa ana na amuone danny..

Mda haukupita mara rachel aliletwa akiwa haelew kinachoendelea..
Rachel alifika kambin akakutana na victor... Baada ya salam victor alimchukua rachel na kumpeleka alikokua Danny..

Rachel kuona hali ya mwanae...alishtuka..
Victor ndo nini hiki????...amekuaje mwanangu... Mwanangu kawaje tena..
Rachel heb tulia ntakwambia kila kitu
Nitatuliaje victor!!!.... Rachel aliishiwa nguv na kuanguka chin huku akilia...
Danny wangu jaman!!!

Victor alimtoa nje akimtuliza
==============
Eva akiwa pemben ya danny.... Alikua akilia huku ameushikilia mkono wa danny aliekua hajazinduka bado..

Danny tafazal amka.....danny usiniache peke yangu....ntabaki nan danny... Alisema eva hukua akiwa ameinamisha kichwa chake akilia..

Mara ghafla mkono wa danny ulicheza....
Eva alishtuka... Danny umeamka...eva alitokwa machoz ya furaha....
Eva....aliita danny
Abeee......
Usilie eva...nimeshaamka sasa..
Danny unajisikiaje...aliuliza eva kwa shauku....
Eva umekonda mara hii...Baba yuko wapi....
Anakuja mda sio mref...

Victor alifika akiwa na mkewe...
Danny umeaka mwanangu.... Aliulza rachel
Ulikuaje jaman mwanangu....ulitaka kuniacha mama yako jaman Danny.
Walifrah kuona danny amezinduka..
===========*

Nini??????!!!!....unasemaje wewe...aliuliza rachel kwa mstuko baada ya  kuambiwa yote na victor...
Kwahyo unamaanisha niamin ulichosema???..
Kila kitu nlichokuambia ni kwel...alisema victor
Na kwann hukusema mapema??
Nisamehe mke wangu
Ntakusameheje victor..... Kwann lakn ulifanya ukatili ule...had maria ulimuua!!!!...mwanang nusu afe kisa wewe!!!!
Hivi victor una roho ya mwanadam wewe au nyang'au...??

Yaan umefanya nimchukie eva kama mtoto wa zimwi...mtot wa watu hakua na kosa..
Yaan had najihisi kama jambaz fulan mbele ya eva.....kwann lakin.
Nisamehe tu rachel...alisema victor
===================

Rachel alikua peke yake analia.....anajilaum sana..mara eva akafika..
Mama..aliita eva
Eva mwanangu.....nisamehe..nisamehe eva...sikujua mwanangu..
Usilie mama...huna kosa...hukujua ukwel...
Hata kama...bado nlikua nakufanyia ubaya....nisamehe mwanangu...
Usijali mama...alisema eva..

Mara ghafla....maaskari walifika pale na kumkama victor..

USIKOSE SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA

TAZAMA VIDEO HII KISHA BONYEZA SUBSCRIBE CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO
1 My Eva Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni