Notifications
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…

MY DIARY (10)

Jina: MY DIARY
Mtunzi: __

SEHEMU YA KUMI
TULIPOISHIA...
Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..

IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI

TUENDELEE...
Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata simu.

Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii.Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana.. Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata simu.

Wee kukubaliwa na mtu kama mimi mchezo lizeee likapiga simu na kusema mbona umekata simu babee? Nikamwambia vocha imeisha, akanambia usijali nakutumia buku tano baadaye. Eeeh nambie tunakutana wapi na saa ngapi aliuliza kwa shauku mzee huyo mwenye uchu wa zinaa. Nikamwambia mbona una haraka sana, akaijibu lazima niwe na haraka unafikiri ntakuaminije..

Nikamwambia kwa leo haitowezekana kwa kuwa nipo kwenye period. Mzee yule akanicheka sana na kuniambia hizo ni sera za kitoto wewe njoo tukishakuwa chumbani mtupu kama uliyozaliwa nikakagua nikaauta unableed basi ntarizika na kukuacha na mimi ntakuja na risiti nikukatie kuwa umelipa kodi ya mwaka mzima. Na huo ni mkataba sitaweza kukugeuka hata iweje.

Basi kwa hasira mimi nilikata simu . Na yeye kwa dharau akatuma sms usitake kunisumbua mimi ni mtu mzima, kesho saa sita mchana nitakuja hapo kufunga chumba changu kwa hiyo anza kuhamisha vitu vyako. Meseji ambayo ilinichanganya zaidi na kuzima simu. Niliumia sana kuona kila mbinu ninayotumia inafeli nilijikuta nikikata tamaa na maisha. Niliwasha simu na kumpigia tena mwalimu John lakini bado alikuwa hapatikani.

Nikampigia tena Joyce na kumwambia mbinu yake imefeli mzee anaonekana kuwa mjanja zaidi yetu. Joyce akaniuliza kwani wewe unogopa nini kumpa anachotaka. Nikamjibu kwa ufupi magonjwa. Akacheka na kuniambia nenda dispenasry waambie wakupe vidude fulani vya kupimia ukimwi alafu mkiwa chumbani mwambi umpime akikataa basi ujue ana ngoma.

“Mmmmmmmh niliguna na kumwambia hakuna njia ingine”? Akanambia hiyo ndo nzuri kama yupo ok si unampa tu kwani ataondoka nacho? Au kama unaona hiyo ngumu chukua pedi weka tomato sosi uvae lakini ujue hiyo ni njia ya mkato na baada ya hiyo siku kupita ataendelea kukusumbua sasa sijui kila siku wewe utakuwa kwenye siku zako au. Kumbuka pia mkiingia chumbani lazima atataka kukuchezea tu na mambo haya hayana ujanga ndugu yangu lolote laweza kutokea.

Basi sikuwa na jinsi zaidi ya kufuata ushauri wa kwanza. Nikaamka saa hiyo hiyo na kwenda kwenye duka la madawa, wakanambia kifaa hicho hawana ila kinapatikana mjini kwenye pharmacy moja maarufu inayoitwa kilimani iliyopembeni mwa hospitali ya mkoa wa Kilimanjaro yaani mawenzi hospitali. Basi kwa kuwa kigiza kilikuwa tayari kimeshaingia nilipanga kwenda asubuhi kabla mzee huyo hajaja.

Nilirudi gheto na kulala sikusikia hata njaa ile chipsi kuku ya mzee ilikuwa bado ipo tumboni.Nilijaribu kumpigia simu mpenzi wangu mwalimu John lakini simu haikupatikana. Sikujua nini kilimkuta lakini nilikuwa namuhisi vibaya. Asubuhi niliwahi kuamka sana kuliko ilivyo kawaida yangu. Yaani usingizi uliisha kweli nikaamini kuishi nyumba za kupanga ni changamoto sana. Nilioga na kuvaa nguo zangu na kuelekea mjini. Siku hiyo niliamua kupanda dalala ingawa kwa kweli usafiri huu niliuchukia sana

Nilishuka kituo kinachoitwa Mawenzi karibu na stendi na kwenda moja kwa moja hapo Kilimani plaza. Nikaingia kwenye hilo duka la dawa na kuulizia hicho kifaa cha kupimia ukimwi nyumbani. Kwa bahati nzuri nilikipata na nikawauliza jinsi ya kukutumia na baada ya kurizika nacho nilikilipia na kutoka nje.

Nilikiweka vizuri kwenye pochi na kisha nikaangalia saa yangu ilikuwani saa tatu asubuhi hivyo niliamaua kumtafuta yule baba mwenye nyumba.

Alivyopokea kama kawaida yangu nilimwambia naomba nipigie. Nikasubiri kama dakika mbili nikaona kimya, nikasema isiwe tabu nikanunua vocha nikajiunga na kumpigia.Simu ikaita mpaka ikakata bila kupokelewa.

Nilichanganyikiwa kwa kuwa sikuwa na la kufanya mjini na anilishaamua kujitoa sadaka tu siku hiyo endapo tu ningempima ukimwi na kumkuta ni mzima wa afya. Yaani nilijipanga vya kutosha kwa kuwa hapo tayari nilishavaa lady pepeta nilipokuwa natoka nyumbani ili kujikinga na magonjwa na mimba. Kwa wale wasio jua lady pepeta ni kondomu ya kike japo wasichana wengi wa kitanzaina hawaijui wao wanasuburi tu mwanaume ndo avae mwisho wa siku majanga mengi mara utasikia sijui ilipasuka.

Nilipiga tena ikaita kwa mda mrefu bila kupokelewa. Hasira zikanipanda nikaamua kumtumia meseji “ Nipo mjini njoo haraka nataka nikutimizie unachotaka, nataka tufanye mapema maana baadaye naweza kuwa kwenye siku zangu maana mpaka sa hivi sijaziona.” Niliamua kumdanganya ili akija nimpe raundi moja tu kisha nimwache kwenye mataa. Yaani siku hiyo niliamaua kujitoa fahamu kwa sababu ya shida zangu, kweli shida mwanaharamu.

Kwenye pochi yangu nilikuwa nimebeba mpaka pedi na tomato sausi kama plan B.Maana nilihisi naweza kubadili mawzo mda wowote. Meseji ilikuwa delivery lakini haikjibiwa hivyo basi niliamaua kurudi zangu gheto. Nikapanda daladala na nilikuta bado haijajaja hivyo tukaendelea kusubiria abiria. Wakati dalala inataka kuondoka mara simu ikaita. “Kuangalia alikuwa ni yule mzee, upo wapi au nikukute wapi?” Nikamjibu kwa hasira mimi nishapanda daladala narudi zangu nyumbani. Ok ,ok shukia kituo chochote nitakufuata mimi nipo kwenye gari yangu.

Basi nikaamua kushuka kitu ambacho kitu ambacho kilimkera sana konda na kunishushia matusi huku na yeye akipewa ya kwake kutoka kwa abiria wengine.

“Wamezidi sana hawa wadada yaani ameona gari limejaa na linataka kuondoka ndio anashuka sasa kama sio umalaya ni nini?. Huyo ni mwanaume tu ndo amemchanganya” alisema yule konda kwa hasira. Sikutaka kujibizana nae kwa kuwa kwa namna moja au nyingine nilikuwa nimekosea na kusababisha gari lisiondoke kusubiri abiria mwingine ajazie ili siti ya mbele niliyokuwa nimekaa.

Nilipiga hatua mbili na kumwandikia meseji baba mwenye nyumba na kumwambia mahali nilipo. Cha ajabu hakuja yeye alimtuma dereva tax. Niliogopa kupanda hiyo gari lakini baada ya kunielewesha kwenye simu nilIjikaza na kupanda huku hofu ikiwa imenitawaala. Nilipelekwa sehemu moja ambayo ilikuwa ni tulivu kidogo nakumbuka palikuwa panaitwa Marangu shine. Nilimkuta huyo mzee hapo nje huku akiwa anakunywa maji kubwa na kwa harakaharaka niligundua kuwa yale hayakuwa maji tu bali ni konyaji aliweka humo.

Aliponambia niagize nilikataa na kumwambia sina amani hivyo tufanye kilichotupeleka hapo na kuondoka. Akanambia subiri kama dakika kumi ndo chumba kinaandaliwa siunajua tena bado asubuhi na hata waliolala jana wengine bado hawajaondoka.Akaanza kunieleza kwa nini alimtuma derva tax. “Ujue mimi ninafamilia na wakati mwingine huwa wananifuatilia sana hapa yenyewe nimepaki gari mbali sana huko karibu na Mbuyuni na nikitoka hapa nitachukua bodaboda kwa hiyo kama walikuwa wananifuatilia imekula kwao.

Sikutaka porojo nyingi nikamuuliza hiyo risiti ya kodi iko wapi? Akanambia eti ameisahau kwenye gari.Nikaona anataka kunichezea, nikamawambia mimi naondoka naoona unataka kusumbuana wakati nshakwambia mda wowote ntaingia kwenye period ndo maana nataka tumalizane haraka. Hapa nilikuwa nacheza na akili yake ilinimjengee uwoga ili tukiingia chumbani tu ashindwe kufanya lolote.

Mzee kuona nimebadilika na ninaweza kumfanyia kitu kama cha juzi ikabidi ampigie simu yule dereva tax na kumwambia aende nyumbani kwake amwambie mfanyakazi ampe kitabu cha risiti kisha akilete hapo. Kweli niliamini mzee alikuwa na uchu na alipania kuonja asali yangu. Baada ya dakika kumi na tano kitabu kilikuja na mimi niliutumia mda huo wa kukisubiri kuagiza breakfast. Na kwa kumkomesha niliagiza mchemsho wa kuku.

Siunajua lazima uwe na hesabu kali mjini nikajua nikila hapo vizuri ni mpaka jioni tena.Tulivyomaliza kula nikaagiza juisi nikanywa na tayari nikawa kimchezo.

Nilishiba sana na nilipanga nikifika ndani sitojishughulisha na jambo lolote zaidi ya kulala kama gogo. Basi akanikatia risiti ya miezi 3 kitu kilichonifanya nimwangalie kwa jicho la hasira sana. Akanambia usichukie hapo siwezi kukudai kodi ya miezi mitatu utanifunga ila nikikupa ya mwaka mzima utanisumbua hivyo basi kazi ni kwako ukinipa mara ya pili nakukatia ya miezi 6 na mara 4 ya mwaka mzima.

Ila kwa sasa twende chumbani basi akatangulia na mimi nikamfuata nyuma na tulivyofika sikutaka kupoteza mda niliamua kumtia presha ili asiweze kufanya kitu chochote. Yaani nilivua nguo zote na kubaki kama nilivyozaliwa na kumwambia wewe si ni kidume vua sasa unasubiri nini? Na kwa jinsi nilivyokuwa na umbo zuri mzee alichanganyikiwa asijue cha kufanya na hakuamini anachokiona.

Na leo sitaki uvae kondom wala nini maana nyie mkiona vitu vizuri mnataka tu bila kujua historia yake nilimwambia ili nimtie jambajamba. Ngoja tupunguzianae virusi leo maana nasikia hata wewe ni mgonjwa. Mzee wa watu alianza kutetemeka akajua kweli mimi ni mwathirika wa ukimwi. Hapa niliamua kutumia akili za ziada maana kama mtu ni mzima na ukamwambia habari hizo lazima jogoo wake angesinyaa. Na uhakika kidude chake kilisinzia kama sio kulala kabisa.

Nikamwambia kwa ukali mbona uvui nguo yaani wewe uone mwili wangu alafu uniache hivi hivi sikubali nikamfuata na kuanza kumvua nguo. Kweli njia yangu ilikuwa imefanikiwa maana mashine yake ilikuwa imelela. Nikakumbuka ule wimbo umelala mtarimbo , umelala doro. Nikamwonea huruma na kwa kumchanyanya zaidi nikamwambia “sasa kama ulikuwa ni hanisi ulikuwa unanisumbuasumbua nini?”

Mzee akajibu hapana mwanangu umenitisha sana na nahisi wewe una ukimwi kwa kweli najipenda sana na juzi tu nimetoka kupima kwa hiyo naomba tutumie kondomu potelea mbali nipe kimoja tu cha hamu siwezi kukuacha uondoke hivi hivi ata kama unataka kuniua. Wakati akiongea hayo maneno mara mtarimbo ukaanza kusimama.

Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.

Naomba Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi
USIKOSE SEHEMU IJAYO
67 My Diary Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni