Notifications
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…

RANIA (3)

JINA: RANIA
SEHEMU YA TATU
ILIPOISHIA...
Rania akiwa anaendelea na kazi yake ya kunusanusa maua,mara alivutwa na mtu  uchochoroni..

SASA ENDELEA..
Rania alishtuka sana na kugeuka ili kuangalia  nani kamvuta.
Alipogeuka tu alishangaa kuona ni Mwanamfalme Fasha.

Rania alitumbua macho kwa mshangao..

Wewe ume...alijaribu Rania kusema lakini mwanamfalme alimziba mdomo.

Shiiii....kaa kimya,ukisikika hapa umekufa...alisema Fasha.

Kufa?..nani aniue?..Aliuliza Rania baada ya kutoa mkono ww Rania mdomoni

Fasha alimziba tena Rania mdomo kwa kiganja chake maana aliona kwa maneno tu haelewi..

Muda mfupi baadae Mfalme na watu wake walifika mahali pale.

Mbona hakuna mtu Mfalme?..aliuliza omandi.

Atakua ameenda wapi?..aliuliza mfalme.

Labda itakua alitoroka baada ya kutuona...alisema omandi.

Basi tumfuatilie...alisema mfalme na wote wakaondoka kweda mbele huku wakimwachwa nyuma Rania.nyuma .baada ya mfalme na watu wake kuondoka,Rania na Fasha walitoka kwenye korongo lile waliokua wamejificha.... Aliita Rania.

Mwanamfalme.. Aliita Rania.

Naam...aliitika Fasha.

U..u..mefikaje hapa?..kwanini.. Aliuliza Rania.

Nimefika kwa miguu...alijibu Fasha.

Kwahyo unazani mimi sijui kama unamiguu...mwone huyu nae...alisema Rania baada ya kujibiwa utumbo.

Lakini mwanamfalme, umejuaje kama kuna watu wananifuata?...aliuliza Rania.

Niliwasikia....alisema Fasha.

Ni akina nani?..aliuliza Rania.

Ni watu wabaya kutoka ikulu...alisema Fasha.

Mmmh...sasa mimi wananitafuta kuniua kwa sababu gani?..aliuliza Rania.

Fasha alimgeukia Rania na kumwangalia jicho baya..

Nini?.kwahyo nimuulize nani haya maswali?...alisema Rania baada ua kukatwa jicho la mke mwenza😕

Mimi sijui nia yao...halafu unaongea sana wewe... Alisema Fasha.

Rania alimwangalia Fasha kama anataka kumtapika vile,halafu wakaendelea na mazungumzo.

Sijui nikuweke kundi gani wewe.. Sijui la watu wabaya..sijui la wema...alisema Rania huku anazungusha kichwa huku na kule.

Nani,mimi?..aliuliza Fasha.

Hapana...naongea na nyani yule pale mbele...alisema Rania.

Fasha alitikisa kichwa tu na kukaa kimya.

Fasha, siijui njia ya kutoka hapa.?nisaidie basi....alisema Rania huku amemshika Fasha mkono kwa nguvu.

We nani amekuruhusu kunigusa?...aliuliza Fasha.

We nae unajiona bora wakat....(hsakhshshdgdhsh)...alisema Rania maneno yasioeleweka.

Unanitukana wewe?..alisema Fasha.
Kwani umesikia tusi gani hani hapo?....alisema Rania.

Wakiwa wanabisha mara alikuja Dom.

Raniaaaaaa...aliita Dom akitabasam.

Doooooom...alijibu Rania.

Rania, mimi naondoka...atakupeleka huyu kwenu,bila shaka anapafahamu maana inaonekana mnafahamiana...alisema Fasha na kuondoka.

We nenda tu hata hivyo amekuja Dom...atanipeleka kwetu..alisema Rania.

Hata halina shukurani...alisema Fasha kisha akaondoka....

Rania alikua anamwangalia tu Fasha wakati akiondoka..alipofika mbali akasema:

Mwanamfalmeeeeee....asante sana..ufike kwenye kasri salamaaaa.

Fasha aligeuka akampungia mkono Rania na kutokomea.

Aaah...Dom,umewinda wanyama wote hawa...alisema Rania.

Eee..si ndo maana mimi na kwambia kua mimi ni noma...yaan mimi mjanja sana...mtaani kwetu waschana wote wanataka nikikua niwaoe...alisema Dom kama kawaida yake.

Dom alipomaliza kuongea akatua macho yake kwenye uso wa Rania na kukuta Rania anamwangalia  kama anaangalia kinyesi.

Nini wewe?...unaniangaliaje hivyo?.. Aliulza Dom.

Nimeshakupata...enhee...nimeshakujua wewe....alisema Rania.

Umejua nini?..aliuliza Dom macho yamemtoka.

Kwaheri Dom, alisema Rania huku akitembea kwa kudunda kama yuko kwenye mashindano ya miondoko.

Nyambaafu...hivi haka kadada mbona hakapendi kunikubali kua mimi mjanja?..hadi nijisifieje?...alijiuliza Dom.

We Raniaaa...unaenda wapi?..unaijua njia wewe?..aliuliza Dom..

Rania aligeuka akimwangalia Dom kisha akageuka na kuendelea tu kudunda.

Haya kwenda..alisema Dom na kugeuza njia ya kwenda kwao.

Kabla hajaenda mbali alisikia sauti ya Rania ikiomba msaada kama ametekwa vile.

Dom alirudi kwa kasi ili kuja kumsaidia Rania.

Alipofiaka sehem aliposikia kelele hakumwona Rania..Dom alichanganyikiwa zaidi.

Akiwa anawaza mara Rania alitokea kichakani akiwa anacheka... Hihhihihi..Dom jamani

Tse...tse...tse...yaaani wewe nitaku....alisema Dom huku akitishia kumpigia Rania kofi..

Rania alicheka kwa kuona amemkomesha Dom.

Dom nipeleke kwetu..alisema Rania hukua amemkazia Dom macho ya kutaka msaada.

Dom alimwangalia  tu,akajishaua shaua ila akakubali

Baada ya muda walikua wamefika kwao Rania.

Kaasha alikua amevimba macho kwa ajili ya kulia..

Akiwa analia mara mlango uligongwa...bibi hakuamini kumwona Rania akiwa mzima...alimkumbatia kwa furaha kwa muda mrefu.

Ulikua wapi mwanangu?... Mbona hukuaga?..aliuliza bibi.

Rania alikaa chini na kumsimulia bibi kila kitu..

Heee..mwanangu jamani.. Ila tumshukuru Mungu umepona jamani..

Kijana, Asante kwa msaada wako mwanangu... Alisema bibi akimtazama Dom.

Unaitwa nani kwani?.. aliuliza bibi.

Naitwa Dom...

Jina zuri sana kama ulivyo..alisema kaasha.

Dom alitabasam tu..

Baada ya chakula Dom aliaga na kwenda kwao..kaasha na Rania walimsindikiza hadi mbele kidogo.

Kwaherini..tutaonana siku nyingine.. Alisema Dom na kuondoka..

Rania alikua akimwangalia Dom alipokua anaondoka hadi alipotokomea

Wewe..unaangalia nini?.. Alisema bibi.

Aaah...mimi... Hamna kitu.. Alisema Rania na wakaondoka na kaasha kurudi nyumbani.

Wakati huo Mfalme na watu wake baada ya kumkosa Rania waliamua kurudi kwenye kasri.

Mfalme... Nakuomba utulie..atapatikana tu huyo mtoto.  Alisema omandi.

Omandi.... Aliita Mfalme.

Naam.... Aliitika omandi.

Unajua sijawahi kukwambia vizuri kuhusu NADISH.. We unachojua tu ni kitu hatari kwa ufalme wetu..lakini ukweli wenyewe uko hivi:

Miaka mingi iliyopita,Mfalme wa himaya hii alipinduliwa kwenye nafasi yake baada ya kudhoofu sana kimadaraka na kijeshi pia.

Waliompindua,mmoja wapo ni babu yangu marehem Mfalme aliepita.baada ya kumpindua babu yangu alitawala na alipokufa alirithishwa baba yangu.

Wakati wa utawala wa baba yangu mganga wa ikulu alitabiri kutatokea "NADISH "  Maana yake atakuja kuzaliwa mtoto ambae atasababisha ufalme huu utoke mikononi mwetu kwa na kurudi kwenye ukoo wa Mfalme aliepinduliwa enzi zile kwa kua sisi si watawala halali.

Baada ya utabiri huo baba alikasirika sana na kuamuru mganga huyo auawe maana anautukana ufalme na kuutabiria mabaya..

Mganga aliepo sasa analitambua hilo ila kwa hofu ya kufa hakumweka wazi baba yangu..alikuja kuniambia hilo pale nilipokua Mfalme na kusema natakiwa kumkamata huyo mtoto alietabiliwa nimuue...alisema Mfalme

Omandi alishangaa sana kusikia hayo.

Mfalme,sasa mbona mtoto mwenyewe ni wa kike?..aliuliza omandi.

Kwakweli hata mimi nashangaa....nashindwa kuelewa kwakeli..alisema Mfalme.
*******

Mganga, umeniita...alisema malikia suya wa Tharia.

Ndio nimekuita mtukufu malikia...Nimekuitia jambo moja tu hapa:

NADISH imerejea..alisema mganga.

Nini?.. Alishtuka malikia.

NADISH imerejea..cha ajabu ni mtoto wa kike... Alisema mganga.

Sasa mtoto wa kike atawezaje kufanya mapinduzi na kututawala?...alisema malikia.

Sijajua kwakweli.. Alisema mganga.

Lakin si uliweka dawa kua mtu yeyote wa damu ya mfalme yule aliepinduliwa (kelkun) akikanyaga ikulu kwamba atakufa?..aliuliza malikia.

Ndio niliweka..alisema mganga.

Sasa amewezaje kutoka salama huyo binti?.. Aliuliza malikia.

Huyo binti sio damu ya kelkun,wala sio ndugu wa kelkun..alijibu mganga.

Sasa iweje atupindue??yeye kama nani?....aliuliza malikia.

Hapo sijui hata mimi..alisema mganga.

Hujui nini wakati wewe mganga?... Aliuliza malikia kwa ukali.

Mganga sio Mungu mtukufu malikia... Alisema mganga.

Hakikisha unashughulikia hili swala hadi nijue kama sivyo nitakutoa hapa mara moja.. Alifoka malikia.

Ndio malikia.. Alijibu mganga.
******
Kuna aliekuja hapa kuniulizia?..aliuliza Fasha baada ya kurudi kutoka mstuni..

Hapana... Alijibu jao.

Wakiwa wamekaa,jao alimuuliza mwanamfalme.

Mwanamfalme, kwanini umehatarisha maisha yako kiasi hichi kwa mtu aliekukosea?..

Mimi sio katili jao..bali nafanya hivi, nataka watu waninyenyekee kwa sababu fulani.. Alisema Fasha.

Kwanini mwanamfalme?.. Aliuliza jao.

Jao..mda wangu wa kukaa ikulu utaisha wakati wowote... Mimi si wa hapa siku zote.. Kwahyo nikiwa hapa nitaitumia nafasi hii kuogopwa vilivyo na kuheshimiwa.....alisema Fasha.

Una maana gani kusema wewe si wa hapa?..aliuliza jao...

Jao...bila shaka hukujua hili jambo...naomba leo nikwambie ukweli.. Lakini uwe msiri...ukilopoka tu kichwa huna.  Tunaelewana lakin?... Alisema Fasha.

Ndio mwanamfalme.. Alijibu jao...

Ukweli kuhusu mimi ni huu....alisema mwanamfalme na jao akatega sikio..Fasha alimsogelea sikioni na kumnong'oneza kitu..

Jao hakuamini alichokisikia...alihisi ni ndoto.NI NINI HICHO?..

USIKOSE SEHEMU YA NNE

TAZAMA VIDEO HII KISHA BONYEZA SUBSCRIBE CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO
1 Rania Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni