Notifications
  • MY DIARY (30)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINITULIPOISHIA...Baada ya hapo Nnilimwomba mama mdogo ajikaze na kuwatarifu ndugu wengine habari hizo za msiba.Tulisaidiana hivyo hivyo maana sio siri kila mmoja alikuwa na uchungu sana kutokana na mazingira ya kifo hicho. Habari zilizidi kusambaa kwa kasi na majirani walianza kukusanyika hapo kwa mama mdogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Msiba ni msiba tu na ukitaka kujua binadamu…
  • MY DIARY (29)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TISATULIPOISHIA...Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (28)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NANETULIPOISHIA...Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole. Hapo na mimi nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama wanalijua hili.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa…
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…
  • MY DIARY (25)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TANOTULIPOISHIA...Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…

MUUZA CHIPS (85)

Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA THEMANINI NA TANO
ILIPOISHIA...

"kumbe una akili wewe"

Sasa je ni nini alikiongea mama miriam mpaka baba miriam kacheka na wakati alikuwa mbogo muda si mrefu,.. Usikose ili kujua huo mnong'ono wa mama miriam uliomfurahisha baba miriam..


KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Lakini ghafla mama miriam anaanza kulia huku akisema

"lakini yote ya yote je mtoto atakuwa wapi saa hizi"

"mi sijui.. Na wewe ndio ulikuea nae kazini"

Baba miriam kageuka tena kawa vile vile mkali kama mbwa koko…

Sasa tukija huku kwa akina sabra na dada yake kama unakumbuka sabra alikuwa na hamu ya kujua siri ya mali zao

Mana katika usia sabra yeye hakuepo alikuwa shule hivyo alidokezewa tu kidogo, jasmini hakutaka kumficha mdogo wake mana akiendelea kumficha huenda akaharibu na mambo mengine,..

"dada mimi nakumbuka baba alipofariki mimi nilikuwa shule, hivyo sijui alisema nini"

Aliongea sabra huku akiwa karibu sana na dada yake, wakati huo yapata muda wa saa tatu usiku wakiwa mezani wakipata chakula

"sikiliza sabra… Nakumbuka siku ile baba anakufa, hata mimi sijui lolote kuhusu mali zetu.. Ila nakumbuka aliniambia hivi"

SASA TUUJUE UKWELI JUU YA MALI ZAO

Siku hio mzee Juma akiwa mgonjwa sana na ndio tajiri aliokuwa akijulikana katika mji huo,.. Siku zilikwenda huku akitafakari amuambie nani siri ya utajiri wake, mzee huyo ni baba wa watoto watatu lakini kwa bahati mbaya mmoja alifariki dunia,..

Siku moja mzee juma akiwa kazidiwa na hali mbaya,.. Na alikuwa anauguzwa nyumbani, wakati huo mtoto aliokuwepo hapo alikuwa ni jasmini peke yake,.. Na sabra alikuwa yupo shuleni… Shule za bweni,.

Baba aliwaomba wauguzi wote watoke nje na abaki na mtoto wake peke yako

"nakumbuka siku ile baba aliniita peke yangu,.. Madokta wote walitoka nje mana alikuwa akiuguzwa nyumbani"

Huyu ni jasmini sasa anamhadithia mdogo wake…

"mwanangu jasu… Mimi baba yako kwa sasa sina muda tena wa kuishi nanyi"

"ndio baba"

Jasmini aliitika huku machozi yakimtoka mana mzee anaongea maneno mazito sana,

"mwanangu, ninachokuambia leo naomba umshirikishe mdogo wako, ili akipata yeye basi nawe umepata au ukipata wewe basi naye kapata"

"sawa baba nitamwambia"

Aliongea jasmini na asijui baba anataka kusema nini

"jasu… Kama unavyoona mali zetu ni nyingi sana tena sana… Lakini sio za halali mwanangu"

Jasmini alishtuka kuskia mali zao hazikuwa za halali bali kuna nguzo imeegemea kwenye mali hizo,..

"baba una maana gani"

"dada yako Ashura ndio hizi mali"

Jasmini ndio kazidi kuingiza hofu juu ya maneno ya baba yake…

"babaaaaa"

"mali hizi nawaachieni ninyi, lakini zina nguzo za kuzizuia… Wahenga walisema,.. UWA MTU UPATE VITU… Mali hizi bila kuua mtoto wako hutokaa kuziona tena.. Utazisikia kwa wenzio mwanangu. Na mimi nimezitunza toka mkiwa wadogo mpaka sasa mumekuwa ina mana utashindwa kuziendeleza"

Sasa tuachane na kumbukumbu, tuje huku kwa akina chidi akiwa na miriam, wakati huo halima kesha lala kitambo sana lakini sasa miriam alikuwa anaogopa kulala kitandani na kijana chid, yaani miriam alivaa nguo za kulalia vizuri tu, lakini sasa chidi si kaona kinguo cha ndani ile stimu yake, baada ya kuona zakaria nae kaanza kusumbua, hivyo miriam anaogopa kulala

"ila omi we sijui upoje, nanii yote hio jamani"

Aliongea miriam huku akiwa kakaa kitandani,

"we panda, na licha ya yote mi sikufanyii chochote"

"mmmhhh na uvimbe huo kweli usinifanye chochote wewe"

Chidi wala hakuwa na haja ya kumlazimisha miriam

"mi naenda kulala na wifi yangu kule"

Chidi hakukataa alimwacha aende mana anajua huyo ni sawa na kuku wake hivyo hawezi kumshikia manati,..

Nusu saa mbele miriam alikuwa kalala kwenye sofa, mana alikuwa kachoka sana hivyo alivyojitupia tu kwenye sofa na usingizi ukamchukuwa,.. Chidi aliamka na kwenda kumchukuwa kisha akamlaza kitandani,.. Kiukweli miriam alikuwa kaumbika yaani chidi alikuwa anamkagua mwanzo mwisho,… Chidi hajawahi kumuona miriam kwa ukaribu lakini leo ndio anamuona akiwa hajitambui,… Alianza kumpapasa mapaja yake huku akimbusu kila kona ya shingo yake,.. Lakini kumbe miriam alikuwa hajalala wala nini, sema alikuwa anaogopa mwanzo utakuwaje hivyo kushikwa kote huko alikuwa anajisikia raha mno,.. Lakini sasa chidi hajui kama miriam alikuwa yupo macho

"kufanya mapenzi pasina hiari ya mtu sio sahihi ni sawa na kubaka"

Chidi alijisemea kimoyomoyo huku akimfunika blanketi,.. Miriam alichukia sana kwa kuona kaachwa,… Miriam kwa kusudi alilitupa lile blanketi afu akajibinua vizuri kitu kilichomtamanisha chidi aendelee kumshika shika

"mamuu, we mamuu"

Chidi alimuita miriam lakini ghafla miriam kakurupuka na kumgeukia chidi, na chidi alijua anakandamizwa kibao, lakini alishangaa miriam kuukimbilia mdomo wa chidi na kuanza kuunyonya denda, chidi aliduaa na kujiuliza kuwa

"huyu si alikuwa hataki huyu"

Chidi nae kuona hivyo alianzisha jalamba aliolitaka miriam,.. Miriam alikuwa ni mwanamke mwenye aibu mana toka azaliwe hakuna mwanaume aliefanikiwa kuivua chupi yake ispokuwa chidi tu na ndio anaanza leo hii… Kwanza ile kanga ilitolewa pembeni, kisha chupi ikawepo peke yake,… Kama kawaida vidole vya chidi vilianza kuishambulia naniii ya miriam

"babuuuuu,.. Unataka uitoe na vidole nini jamani? heeee"

Aliongea miriam baada ya kuona mashambulizi ya vidole yanazidi kuwa makali.. Chuchu za miriam zilikuwa kama za mtoto wa darasa la sita, yaani ni zaidi mwiba kwa jinsi zilivyokuwa kali… Umbo lake sijui lilikaaje kaaje yaani hakukuwa na mfano kiukweli, mana kila mwanamke anapendezeshwa na sehemu moja tu… Kuna mwingine mzuri wa sura lakini umbo hakuna, na kuna mwingine ana umbo la maana lakini sura hakuna.. Lakini kwa huyu mtoto wa kike, mmhhh sijui ni sehemu gani ilio tofauti.. Milio baina yao ilianza kusikia haswa haswa kwa miriam alikuwa na mdomo usiowezekana kufumbika,..

Tukija huku kwa wazazi wake na miriam maskini mama alikuwa anatetemeka kitu ambacho hakijawahi kutokea, yaani alikuwa ana wasiwasi juu ya mtoto wake

"wewe mwanamke si ulale lakini"

Aliongea baba miriam huku akiwa kalala

"najua nitamuona mwanangu… Lakini kama kaenda kulala na mwanaume, basi mtoto wangu hana thamani tena"

Aliingea mama kana kwamba naye anajua kuwa mtoto wake ni bikra hivyo kama kalala kwa mwanaume basi…

"una maana gani ukisema hivyo"

Aliuliza baba miriam lakini mama miriam hakutaka kumwambia kama mwanae ni bikra mana huyo ni baba, hatakiwi kujua siri ya mtoto wake wa kike…

"wala tu sina maana nyingine"

"hebu lala bwana tutajua kesho.. Yule ni mtu mzima"

SASA TUENDELEE NA KUMBUKUMBU YA AKINA JASMINI WAKATI BABA YAKE ANAMUACHIA USIA

"hapana baba, nitaweza…. Ila baba sasa mimi nitafanya nini"

Alijibu miriam baada ya kuulizwa na baba yake kuwa, mali hizo alikuwa nazo toka wakiwa wadogo, sasa yeye atashindwa kuziendeleza.. Ndio jasmini akajibu ndio ataweza ila atafanya nini ili ziendeleee

"kwanza nikuulize… Una mchumba"

Baba alimuuliza mwanae kama ana mchumba

"mmhhh ndio baba"

"vizuri sana… Sasa mlazimishe akupe mimba,.. Ukishajifungua huyo mtoto mpeleke katika lile jengo tunalosalia kama kanisa,.. Kuna karatasi zipo kwenye droo hizo ndizo zitakazokutambulisha kuwa wewe ni mtoto wangu.. Na huyo mtoto uhakikishe ametimiza umri wa miezi mitatu, yaani ile tarehe ya kuzaliwa kwa mtoto huyo, hakikisha inafika tarehe kama hio lakini iwe imetimiza mwezi wa tatu"

"sawa baba, nimekuelewa"

"lakini pia kuna masharti…. Na masharti hayo, unaweza kuyakosea wewe au akayakosea mdogo wako, hivyo unapaswa kumwambia mapema ili ajue"

"baba niambie hayo masharti, nipo tayari kuyatekeleza"

"naomba nisiki…. Nisikilii… Ni…. Ni…. Ni… Nisi…. Nisi…. Nisi

.. Kwa…. Maki… Makiiiiin… Makini mwanangu"

"ndio baba nakuskia"

"sharti la kwaa…. Kwaaa… Nza… La kwanza… Ni… Ni…. Uu… Uuu……………."

Mzee aliongea kwa tabu, lakini alieleweka, ila haikuchukuwa muda mzee alifariki dunia….

SASA HAPO NDIO MWISHO WA KUMBUKUMBU YA JASMINI KUMWAMBIA MDOGO WAKE UKWELI WA MALI ZAO

"hhhhhhhhmmmmmmmm"

Sabra aliguna baada ya kuambiwa ukweli, ila jasmini hakukaa kimya kwa ugunaji wa sabra

"unaguna nini"

"hayo masharti dada"

Masharti hayo sisi hatujayasikia lakini sabra kayasikia na kayajua na ndio mana kaguna,…

"yana nini, mbona simpo tu… Au kuna moja umeshaharibu wewe"

"dadaaaaaaa"

Jasmini alianza kuogopa mana Sabra alionekana kuna sharti moja keshalikosea

"Sabra, hebu niambie umekosea lipi kati ya hayo matatu"

Wakati huo jasmini alikuwa analia lakini sabra alikuwa akifurahi ndani ya moyo wake

Katika kutafuta pesa kwa njia isio ya halali, hua ina masharti yake, sasa tabu ni pale unapoyakosea masharti hayo, jasmini alikuwa akiyafahamu masharti aliopewa na baba yake, hivyo anajua akiyakosea basi kuna balaa litawakuta kwa kuharibu masharti hayo,.. Sabra hakuwa akicheka kama ilivyo kawaida bali alikuwa ni mtu mwenye furaha kimoyomoyo baada ya kutajiwa basdhi ya masharti yanayotakiwa kutimizwa na wote, yaani kuna sharti moja linatakiwa litekelezwe na wote,.. Sasa jasmini alipata hofu baada ya kumsikia sabra ameguna kwa kusikia moja ya masharti hayo,

"yana nini, mbona simpo tu… Au kuna moja umeshaharibu wewe"

"dadaaaaaaa"

Jasmini alianza kuogopa mana Sabra alionekana kuna sharti moja keshalikosea

"Sabra, hebu niambie umekosea lipi kati ya hayo matatu"

Wakati huo jasmini alikuwa analia lakini sabra alikuwa akifurahi ndani ya moyo wake

"dada, mimi niliguna tu, lakini hakuna nilichokosea"

Aliongea sabra baada ya kuulizwa na dada yake kuwa, alikosea sharti gani kati ya hayo matatu, lakini sabra kumbe aliguna tu kwa furaha lakini sio kuwa kuna kitu alikosea

"ok, kwahio umeshajua kinachotakiwa kufanywa, hivyo naomba tumlinde huyu mtoto ndani ya hio miezi"

"sawa dada, mana kuishi bila pesa sijazoea hivyo haina budi kufanya hivyo"

"sio haina budi, yani ni lazima iwe hivyo mana baba katuachia lasilimali nyingi hivyo hatuwezi kuzipoteza"

Aliongea jasmini huku wakiendelea kupata chakula cha usiku,..

"lakini dada, kampuni zetu ni nyingi, na jinsi baba alivyotuachia utatakiwa na wewe umuachie mwanao kama ulivyoachiwa… Sasa utamuachia nani"

"heeeee si bado tunazaa bwana.. Mbona baba kamtoa dada saumu na mpaka leo hajatoa tena ndio tunatoa sisi"

"hhhhhmmm apo sawa"

Sasa tukija huku kwa akijana chidi na miriam, ukumbuke walikuwa katika levo zingine zenye msisimko wa ajabu…

Midomo miwili kati yao ilikuwa ikipishana katika ustadi ulio tulivu,.. Miriam alikuwa ana kitovu cha kishimo kilichomfanya chidi apagawe kwa kukiona,

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
51 Muuza Chips Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni