KIBAMIA (8)
Zephiline F Ezekiel
5 min read
Mwandishi: Geofrey Malwa
SEHEMU YA NANE
ILIPOISHIA...
ILIPOISHIA...
Alizungusha kiuno chake huku taratibu akirudisha nyuma yaani alihakikisha anaikuna mashine ya Nego vilivyo…ilibaki kidogo nego azidiwe kete.Ili kuokoa jahazi,alimshika makalio dada Wowo na kuanza kupampu huku akiongeza kasi taratibu, “tarattiiiiibu maaiiiiii aaaaaah uuuuuuuuh aaashiiiiiiiiiiiii…” alilalamika dada Wowo ambapo Nego alihakikisha dudu lote linazama kabisa,
KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI
SASA ENDELEA...
“aaah wewe!” alishtuka dada Wowo baada Nego kuzamisha dudu lote na lilifika mwisho
“nini tena jamani?” alihoji Nego kama hajui,hapo dada Wowo tayari alijishajichomoa na kulala kifudifudi kitandani.Kidume hakikumwacha,kilimfuata na kuyapanua makalio hayo laini kisha akamwingiza dudu lote lililoteleza mpaka kwenye kitumbua….mmmmmmmh…aaaaah…hapo haaaapoooo Negoooo….nakupenda babaaanguuu maiiiii aaaaaaaaaah mmmmmh….tamuuuuuu ingizaaaa beibiiiiii…tomb….ku….yote yakoooo…aaaaaah…” alisikika dada Wowo akiwa amebanwa hapo chini kitandani,Yaani nego alipoongeza na zoezi la kumnyonya masikio ndio alimaliza kabisa,mtoto alikojoa bao lake huku akitapatapa hasa,naye Nego hakuwa mbali alipampu kwa kasi mpaka akamwaga pia.Kidume kililala juu ya mgongo wa dada Wowo kwa sekunde kadhaa kisha kikajilaza pembeni yake,
“kwanini ulikuwa unanibania siku zote hizo?” alihoji dada Wowo akiwa anamshikashika ndevu Nego
“hamna,ni subira tu,” alijibu Nego mkono wake ukiwa unayachezea makalio ya dada Wowo
“niache bwana unanitekenya huko..” alideka dada wowo kwani jamaa alikuwa anayakuna makalio
Usiku mzima ilikuwa ni sherehe kwa Nego,wote wawili iliwabidi kupumzika nyumbani siku iliyofuata kwani walichoka sana,hawakulala usiku walisuguana hasa.Mpaka muda ambao dada Wowo anaondoka hakuamini macho yake,hakujutia kabisa suala la kuja kwa Nego maana alitendewa haki mpaka kupitiliza.Sasa akilini mwa Nego alichokuwa akiwaza ni kuwatafuta wale wanawake wote waliokuwa wamemkimbia kisa ana kibamia na kuwadhihirishia kuwa sio kibamia tena.Msichana aliyekuwa na hasira naye sana ni Alice,na alimuwinda mpaka akapata namba zake kupitia Zulfa.Alimpomtafuta hewani,Alice alijitetea ila mwisho wa siku alikubali kukutana na Nego,kwavile Nego alimwahidi kuwa wakikutana itakuwa ndio mara ya mwisho kuwasiliana,alichosisitiza nego ni kwamba anahitaji waongee tu kwa amani,wakaweka miadi wakutane kwenye ile Hotel waliyowahi kulala pamoja na muda walikubaliana saa moja jioni ila saa moja na nusu Alice ataondoka…
Ndani ya ile hoteli walikutana saa moja,ila nego aliwahi mapema kwa ajili ya kuweka mambo ya chumba sawa,alishajiandaa kumsugua kitumbua Alice kama akikaa vibaya.Hakukuwa na kuchukiana ila Alice ndio alikuwa akijishtukia,
“maisha yanaendaje?” Nego alihoji.Vinywaji viliendelea kushuka taratibu
“safi tu,sijui kwa upande wako bwana,” alijibu Alice
“lakini lengo langu hasa ni kutaka kujua kitu kimoja tu,” aliposema hivyo Nego,Alice aliiangalia chini na kutabasamu
“ulinipenda kwa dhati?”
“maswali gani hayo sasa…ndiyo nilikupenda kwa kipindi hicho,”
“nashukuru kufahamu hilo,kwanini uliniacha hewani nisijue hata umeenda wapi!” kufuatia swali hilo Alice alikaa kimya huku akizidi kuangalia chini.
“Alice?” aliita Nego baada ya kumwona Alice ameangalia chini kwa muda mrefu
“abee…” kwa sauti ya kujishtukia aliitika Alice
“nijibu swali langu ili moyo uwe na amani na ukishindwa nitakujibia,”
“sina jibu la swali lako samahani tu nego..”
“jibu lipo ila unaona aibu kusema,ulinikimbia kwasababu nilikuwa na kibamia sio?” maneno hayo yalimchekesha Alice kichinichini
“hamna jamani mbona kawaida tu,”
“sio kawaida,na sikulaumu kwa kufanya hivyo,ila nataka nikujulishe kuwa nimepona kabisa hilo tatizo.” Alice alitoa macho baada ya kusikia hivyo na hakutaka kuamini
“umepona?” alihoji kwa mshangao mkubwa,
Basi Nego alimruhusu akili yake ya uchizi itawale dakika kadhaa.Mahali walipokuwa wamekaa hakukuwa na watu wengi,yaani meza zilikuwa mbalimbali,yaani hata kama watu wangeamua kufanya mapenzi isingekuwa rahisi kushtukiwa mapema,mwanga wenyewe ulikuwa hafifu shawishi kwa mahasi.Kidume kilisimama na kufungua zipu ya suruali yake,
“we Nego unataka kufanyaje jamani?” alihoji Alice.Hakuelewa kwanini mzee mzima amefungua zipu hiyo
“nataka nikuonyeshe kuwa nimepona na sina tatizo lolote,”
“sasa mi si nimekuelewa,watu watakuona,”
“wewe ndio nataka uone.”
Alice alifumba macho kwani nego tayari alishatoa dudu lake nje akimtaka Alice alione.Kwa macho ya wiziwizi alimwona kweli jamaa amepona maana dudu limeongezeka unene na kimo…Nego alipohakikisha kuwa Alice ameona dudu lake alilirudisha ndani ya suruali yake,
“Samahani Nego,nimeshakusikiliza naomba niondoke na kama tulivyokubaliana kwamba tusitafutane tena baada ya hapa,”
“haina shida lakini mbona mapema sana jamani,”
“hapana,Shafii ananisubiri siwezi kumsubirisha,kw
ahiyo mi naondoka.”
Alice alinyanyuka kabisa na kichukua pochi yake,Nego hakutaka kuamini kama ndio mzigo ameukosa na chumba tayari ameshalipia,
“Alice!” aliita Nego.Alice alimwangalia akiwa tayari kumsikiliza.Nego hakuongea chochote zaidi alivuta hisia ambapo machozi yalianza kumtoka.Alice aliguswa na yale machozi lakini msimamo wake haukubadilika.DJ hakuwaacha salama,ni kama alijua wawili hao wapo eneo hilo.Ulipigwa mziki wa taratibu ambapo wote wawili waliukumbuka.Ni mziki ambao siku ile kabla hawajaenda kulala pamoja chumbani waliucheza kwa dakika chache kimahaba,hapo Nego akapata cha kuongea…
“tukumbushie hata mziki,”
“hapana,nawahi Nego nielewe,”
“kumbuka sitakuona wala kuwasiliana na wewe kwavile una bwana mwingine,”
“aah..”
“tafadhari Alice.”
Alice alionyesha hali ya ndiyo hapana ambapo Nego alichukulia kama ndiyo.Alinyanyuka na kumshika mkono kisha akamvuta pembeni kwenye uwazi na kuanza kucheza naye.Ubaya wa nyimbo za taratibu huwa hazitaki muwe mbali sana.Basi wakajikuta wakicheza huku wakisogeleana taratibu,mkono wa Nego ulipenya na kukishika kiuno cha Alice aliyekuwa kama anataka kuleta pingamizi fulani.Kwenye kuangaliana Alice hakuthubutu,aliona aibu,
“napenda ule wakati urudi hata kwa sekunde moja,niweze kuitumia hiyo sekunde kukushawishi usinikimbie,maana umeuacha mwili lakini moyo bado upo kwako Alice,tafadhari naomba uniangalie,” Alice alipoinua sura yake,alimshtua kidogo Nego
“Alice kwanini unalia?” swali la Nego lilikuwa kama limeongeza kilio kwa Alice,
“nisamehe sana Nego,nilikuwa sielewi nini nifanye,”
“basi Alice wangu shiiiiiii…” Nego alimkumbatia kifuani Alice huku mkono wake ukiendelea kutomasa kiunoni na kupandisha mpaka mgongoni.
“triiii triiii…triii triiiii..” simu ya Alice iliita,alipoang
alia jina tu alishtuka.Aliwaza kwa sekunde kadhaa mpaka kuchukukua maamuzi ya kuipokea
“samahani mpenzi wangu sitaweza kuja niko kwa mama…” Nego aliposikia hivyo alimvuta zaidi Alice kifuani kwake.Halafu kwa makusudi Alice alimfinya kimahaba kifuani hapo.
“okey,I love you Shafii wangu.” Alimaliza kwa kauli hiyo ambapo hakuwa na ujanja tena maana kama kuidhinisha kuliwa alishaidhinisha na ilibaki kazi ya bwana nego tu kichukua mali yake na kumpeleka chumbani.Kwanza hapo hapo alimvuta uso wake na kuanza kucheza mchezo wa njia,Alice kutoka moyoni alimpenda Nego kweli ila tatizo la kibamia hakuweza kuvumilia,sasa kidume kimekuwa vizuri na hakuna tena kibamia atasema nini unafikiri?
Labda Nichukue nafasi hii kukumbusha uzuri wa Alice,aliweza kumgeuza mwanaume yeyote lijali kwa umbo lake la kimahaba.Ilikuwa sio rahisi umsifie kwa jambo moja halafu ukae kimya,kila kitu alijaaliwa,na mpaka Nego kumpata ni kwasababu jamaa alikuwa ni Hendisamu.Ila orodha ya wanaume aliowahi kutoka nao ni wenye hadhi yao na watu maarufu.Shafii mwenyewe alikuwa vizuri ndio maana aliweza kumpata Alice.Tofauti ya Shafii na Nego ni kwamba,Alice ndiye aliyeanza kumfuata Nego,ila kwa upande wa Shafii,Alice alianza kufuatwa yeye tena alisumbuliwa na kupigiwa magoti hasa.
Ndani ya chumba cha hoteli tena kilekile walichokichukua mwanzoni,waliwasili huku kila mmoja akiwa na muwashawasha wa hatari.Nego kichwani mwake hakumweka Alice kabisa kwasababu lengo lilikuwa ni kulipiza kisasi kwa kuachwa solemba kisa kibamia,pia hata Alice naye ni hisia tu ndizo zilimpelekea kukubali kufanya hivyo lakini hakuwa na mpango wa kumwacha Shafii.Na hapo ndio uone wanawake jinsi walivyo,ni kweli tunawaheshimu kutokana na umuhimu wao hapa duniani lakini muda mwingi hawaeleweki.Alice alijiachia kama duniani hakukuwa na mtu aliyeitwa Shafii na ni mpenzi wake….
Siku hiyo Alice alivalia suruali ya jinzi na tisheti nyeusi,chini alivalia raba nzuri ya gharama. “huyu mwanamke leo kweli atalitaja jina langu la utoto,nina uhakika nitakapomfikisha leo,Shafii hata akae naye miaka mia hawezi kumfikisha pambaafuuu” alijisemea hivyo kimoyomoyo Nego huku akimwangalia Alice aliyekuwa ameegemea kwenye kingo ya kitanda akichezea simu yake,
“ninatumaini,katika maisha yako hujawahi kufanyiwa vitu ambavyo nitakufanyia leo,” alisema Nego akiwa ameketi kwenye kochi
“mmh…acha maneno yako bwana..”
Nego hakuishia kumwangalia Alice jinsi alivyo mzuri.Mara simu aliweka pembeni na kujilaza chali kitandani hapo,
“ukishaolewa,sharti ulale bila…?”
“halafu wewe!”
Nego alijisaula na kujibakiza na Boksa pekee,alimsogelea Alice aliyekuwa ameanza kuhema kwa kushusha pumzi ndefu.Taratibu alimvua viatu na ile suruali na kumbakiza na kufuri la njano.Hiyo namba nane ilivyojichora hapo kitandani,laiti kama mwanaume angekuwa na pupa angeshataka kurukia na kuanza mechi,
“una chupi nzuri,nimeipenda ilivyotuna hapa katikati..mmh..onaaa..” alisema nego huku akipagusa hapo katikati
“bwaaanaaa sitakii huukooo!” alijibu Alice huku akijigeuza na kulala kifudifudi.Hapo ndipo alipompa nafasi Nego ya kuyachezea makalio yake kwa mara nyingine,alianza kumchumu kuanzia kwenye unyayo akipandisha juu taratibu miguu yote miwili.Hakuwa akibusu na midimo pekee bali alitoa na ulimi kabisa ili lile joto limtekenye vizuri, “aaah…” mtoto alishtuka alipopigwa busu sehemu za nyuma ya magoti,alipoyafikia mapaja alipata shida kidogo kwani Alice hakutulia, “aaashiiiii Nego bwaanaa unanitekenyaaaaa…” Nego hakusikiliza hiyo,alimnyonya mapaja hasa kukaribia kwenye kitumbua,aliutumia ulimi wake vyema mpaka kwenye makalio.
Alimalizia kumvua shati na kumbakiza na chupi pekee,bado mtoto alilala kifudifudi.Nego alimgeuza Alice na kuanza kubadilishana naye ndimi,alifanya hivyo huku vidole vyake vikiwa kwenye masikio ya Alice vikimtekenya na kumsisimua hasa.Mikono ya Alice ilimshikashika Nego mgongoni mpaka mabegani ikipanda kichwani.Aliutumia muda mwingi kwenye zoezi hilo kwani Alice alionyesha kulipenda sana mpaka kuna muda alimbana na miguu yake kabisa kwenye mgongo.
USIKOSE SEHEMU IYOFUATA
Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni