Notifications
  • THE NIGHTMARE (6)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SITAILIPOISHIA...“toa loud speaker bwana.”Aliongea Balqis baada ya Sharji kubonyeza kitufe cha kupaza sauti.“kwanini hutaki nisikie maongezi yenu?” aliongea Karimu kwa sauti ya ukali kidogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“kwani kuna ubaya mimi nikiongea private na mdogo wako?” alijibu Balqis baada ya kuisikia sauti ya Karimu.“hakuna ubaya.” Alijibu Karim kwa sauti ya…
  • THE NIGHTMARE (5)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TANOILIPOISHIA...Alijikuta outomatic akijisemea kwa mshangao baada ya kumuona dada mmoja mrembo mwenye asili ya kiarabu akiingia mule ndani. Hakuvaa ushungi kama alivyowazoea kuwaona waarabu wengi ambao alikutana nao. Huyu alivaa suruali ya jeanz nyeusi na juu akiwa na kikoti chake cheusi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Kati kati kulikua na nguo Fulani nyeupe iliyonakshiwa…
  • THE NIGHTMARE (4)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NNEILIPOISHIA...Aliongea Khalidi na kuufungua mkanda wa suruali yake na kuanza kumtandika Karim.“unanipiga mimi?...utaona!”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Aliongea Karim na kuondoka huku analia.*****************************Zilipita wiki mbili bila ya Karim kuonekana nyumbani kwao. Sabra alisikitika kidogo kutokana na kuwapenda sana watoto wake japokuwa huyo mtoto mkubwa hakuwa…
  • THE NIGHTMARE (3)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TATUILIPOISHIA...Akiwa hewani akikata mawingu kurudi Tanzania, kichwa chake kilikua na mawazo mengi sana juu ya mume wake. Aliikumbuka siku waliyofunga ndoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Pia alijua kwanini mume wake alipendelea kufanya kazi uingereza na yeye kumfungulia ofisi huku huku Tanzania. Hakujua kuwa kazi anayoifanya mumewe ni ile ya kutembea na tajiri mkubwa…
  • THE NIGHTMARE (2)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA PILIILIPOISHIA...Khalidi alishangaa kuitwa na mtu asiyemfahamu. Alitoka na kwenda kumuangalia huyo mtu maana kiukweli hakua na ndugu aishie hapa Dar hata mmoja anayemfahamu..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Alipigwa na butwaa baada ya kumuona Sabra pale.“ahsante mungu.” Aliongea Khalidi baada ya kumuona tu yule binti pale.“pole sasa kaka yangu, nisamahe mie.” Aliongea Sabra kwa…
  • THE NIGHTMARE (1)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA KWANZANi kipindi cha mvua za masika. Upepo mkali, na mvua kubwa iliendelea kunyesha kwa kasi kila kona ya nchi ya Tanzania.Ipo mikoa iliyofurahia mvua hizo kwa kuwa walikua wanaisubiria kwa hamu kwa ajili ya kilimo. Lakini ipo mikoa iliyokua inapata shida kwa uharabifu wa mazingira na mengineyo mengi.Moja ya miko hiyo ni Dar-es-salaam. Watu wanaoishi katika mkoa huo walichukia mvua mfululizo kutokana na sababu mbalimbali. Biashara nyingi…
  • MY DIARY (50)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA HAMSINITULIPOISHIA...Nilimnongo’oneza kuwa atumie kinga ili nisimwambukize ukimwi akanijibu kwa sauti ya mahaba nisiwe na hofu yeye yupo tayari kufa kwa ajili ya penzi langu hivyo hawezi kutumia kinga kwa mke wake aliyemoa tena siku muhimu kama hiyo.Sikutaka kumbishia yeye ndo muaamuzi wa mwisho kuhusu afya yake hivyo nilimuacha aendelee kufanya yake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kumbe na…
  • MY DIARY (49)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya maneno ya kusilimu ambayo waliambiwa wayatamke kiongozi huyo alisema neno ya mwisho kabla hajashuka.” Kila alie na akili timamu, mwenye busara naa anaetaka haki, na kusimama pamoja na haki, basi akiangalia dunia ilivyo na jinsi inavyokwenda basi lazima kutakuwa na nguvu kuuu nayo ni mwenyezi mungu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuna vitu vingi sana…
  • MY DIARY (48)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA NANETULIPOISHIA...Familia yangu haikukubali kabisa mimi kuolewa na rangi nyeusi hivyo walinitenga na kusema hawanitambui kuwa mimi ni ndugu yao.Lakini kutokana na mapenzi mazito niliyokuwa nayo kwa baba yake na Leah nilijikuta nipo tayari kwa lolote hivyo nikahama na kwenda kuishi Tanzania.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Katika miaka hiyo tuliyokaa nilibahatika kupata mtoto huyu…
  • MY DIARY (47)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA SABATULIPOISHIA...Lakini ilifikia mahali ndoto hiyo inanijia hata mchana nikiwa nimekaa mahali tulivu.Ilikuwa inanipa taswira nzuri ya sehemu ambayo madini yalikuwepo.Basi nilianza mikakati ya kulitafuta eneo hilo na hiyo ni mara baada ya ushauri wa mpenzi wangu Candy hapo akimaaanisha yule dada aliyekuwa naye pale jukwaaani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Candy alinisihii sana…

MZOA TAKA (3)


JINA: MZOA TAKA
Mwandishi: Hafidhi J Ikram

SEHEMU YA TATU
“Vipi tena mwenzetu una tembea macho juu juu una tatizo gani?"
sikuweza kumjibu kitu zaidi ya mchozi kunidondoka pasipo
kujitambua akanishika mkono na kuniomba niingie kwenye gari
aina ya Benzi.

SASA ENDELEA...
Nikazunguka upande wa pili wa gari ili nipande nafsi yangu ikasita baada kuona kwa jinsi ile gari ilivyo kuwa safi wakati huo Joyce kashapanda akaniuliza “vipi

tena mbona hauwingii kwenye gari?"
nikamjibu “kusema kweli siwezi kupanda nitakuja kuchafua siti bule!!! akacheeka na kuniambia embu
Salumu acha ushamba bwana ingia twenzetu kama viti vikichafuka vitaoshwa tu wee usijali ingia tu,
basi nikapanda ndani ya ndika yenye kiyoyozi sijui mnaita kipupwe huku mziki laini kutoka kwa west life unao kwenda kwa jina la my love ukilindima na

kunifanya nijisikie burudani, kila mmoja akawa kimya sikuweza kufahamu
Joyce anawaza nini zaidi ya kuwa makini kuendeesha gari basi safari ikazidi kusonga nisijuwe wapi tunakwenda na kigiza nacho ndio kina jongea, tukafika

sehemu moja
sijui hotelini au vipi akabaki gari maana hiyo sehemu kulikuwa na magari mengi tu yakishua basi tukashuka na kuingia ndani ya hoteli hiyo
“whaoo
Joyce huyoo, ni sauti ya binti mmoja akija mbio kumkumbatia Joyce
hakuwa peke yake kulikuwa na kikundi wanaume kwa wanawake basi
Joyce akafanya kunitambulisha ya kwamba mimi ni rafiki yake basi kila mmoja akanipa mkono wa bashasha nikaweza kukaa na kuagiza kile ambacho kina nifaa
furaha ikaongezeaka zaidi na kunifanya niweze kusahau mawazo ya kuachwa na Mwanaidi
kuna muda Joyce akanyanyuka sijui kwenda chooni au vipi mi sijui zikapita dakika kama tatu hivi tokea Joyce ainuke pale nikajikuta naguswa begani kucheki ni

muhudumu wa hoteli ile nikamuuliza “nikusaidie nini Dada yangu?"
akanijibu ya kwamba “unaitwa kule nnje na mwenyeji wako,"
nikajuwa bila shaka Joyce anaitaji tuondoke basi nikajinyanyuwa na kuwaaga wale nilio kaa nao meza moja nikatoka nnje nikakuta hali ya ukimya flani hivi

nikaisogerea gari kitendo cha kuifikia tu gafla nikapigwa na kitu kizito kichwani kikitokea nyuma yangu nikayumba yumba huku nikiona dunia inazunguka
mwishoe nikaenda chini
nisijuwe kinacho endelea,
ni sauti ya watu wakiulizana na maji kunimwagikia ndio ikanifanya nifumbuwe macho yangu japo kwa shida sana maana maumivu ya kichwa yalikuwa bado

hayajapoa nikajaribu kujinyanyua hamadi Mungu wangu nina bokxa tu mwilini mwangu sina nguo nyingine yeyote ina maana baada kupigwa nilivuliwa nguo au

wali nitupa vibaka ndio wakanisaura sikuweza kupata jibu zaidi ya mchozi kunitoka tu nikajiinua huku nimeshikilia sehemu zangu za sili huku nikitetemeka

kuna baazi ya watu wakasema mchawi kila mmoja akasema lake mwisho wakajadiliana nipelekwe kituo cha police,
nikanyanyuliwa msobe msobe huku nikipigwa mikofi ya maana na vijana wenzangu wasio kuwa na utu hata chembe “kijana mdogo unakuwa mchawi oyaa huyu

sio wa kumpeleka police dawa yake ni moto tu nikawashwa ngumi mitama na makofi nilipigwa kwa kugombewa kama vile mpira wa kona bahati nzuri police

wali shapewa taarifa kwa kukamatwa mchawi maeneo yale wakaja kunitoa mikononi mwa wananchi wenye hasira kali nikapigwa pingu damu chapa chapa ziki

nivuja nikapelekwa kituo cha police pale manzese na kusweka ndani hata huduma ya kutibu majeraha yangu sikupewa nikabaki kuugulia maumivu tu huku

nikijiuliza maswali mengi pasipo kupata majibu,
why me?" kwa nini mimi?
eee Mwenyezi Mungu ni kipi nimekosea katika dunia hii ni dhambi gani kubwa niliyo ifanya mpaka nateseka hivyo
furaha yangu ya muda mateso yangu yasio fika kikomo why?"
nilijiuliza maswali tu,
Salumu nililia maumivu yakazidi kunizidia Joyce nimekukosea nini mimi je nilifanya makosa kukuokotea kipochi chako na kukuletea
hii ni mara ya pili sasa napigwa Joyce nijibu basi unaitaji nife?"
nilijiuliza mwishoe mchozi unanimwagika dahaa yapata saa kumi alasiri nikasikia afande akilitaja jina langu kwa kuniita nika jinyanyua kiuvivu uvivu na

kwenda karibu na nondo za sero sikuweza kuamini macho yangu baada kuwaona washikaji zangu wakiongozwa na
Madebe wamefika pale kituoni hata wao wakastuka baada kuniona nikiwa katika hali ile,
Madebe midomo ikawa inamtetemeka kwa hasira huku akitamani kupiga hata afande basi nikatolewa
nikiwa ndani ya boksa tu iliyo lowana damu alicho kifanya
Madebe ni kuivua jeanse yake akabaki na bukta aina ya jenzi akanipatia ile suruwali niivae nikaivaa kisha
Sheby akavua T-shirt yake na kubaki na vest akanipa T-shirt nivae baada maandikishiano wakaondoka na mimi ndani ya daladala nikawapa mkasa mzima huku

nikimtupia kila laana Joyce na kumuuliza
Madebe wamejuwaji kama mimi nimekamatwa na tena nipo kituo cha police manzese?"
Madebe akajibu unajuwa jana usiku tulikuwa tushajiandaa kwenda kumteka yule boya sasa tukiwa tushakusanyika pale maskani tukawa tunakungojea wewe tu

muda ukazidi kwenda pasipo wewe kutokea tukaona kama vipi tukutimbie maguu mpaka maghetoni baada kufika pale tukakukosa tukachekecha akili pasipo

kupata jibu,
na tusingeweza kufanya uvamizi pasipo kuwapo wewe tukarudi maskani yapata saa tano hiyo baazi ya washkaji wakasepa kwenda kulala huku wakisema ishu

imebuma
baada kukaa kitambo kidogo tukaona kuna gari ikija kwa kasi pale maskani tukajuwa labda maafande kila mmoja akasepa kimtindo wake ila mimi na
Shaibu tukanyuti chemba kidogo ile gari aina ya benzi macho ya paka ikafunga break kwa kasi sana tukaweza kumuona msichana mmoja hivi akishuka huku

akipiga kelele “jamani!!! salumu nisaidieni!!! salumu jamani anakufaa!!!!
baada kusikia akitaja jina lako

Salumu na akisema unakufa tukaamua kujitokeza baada kutuona akaja mbio na kutuambia “twendeni mkamsaidie
Salumu watamuuwa jamani!!! tukapanda kwenye gari yake kwa kasi akaendesha mpaka kwenye hoteli ya ubungo plaza pale baada kupaki tukashuka kucheki eneo

la tukio hakuna kitu kwa hasira zangu nikamkunja yule msichana na kumuuliza ni nani kamfanyia kitendo hicho
Salumu?"
maana kengere ya hatari ilishanigonga kichwani na kuhisi utakuwa
Salumu ni wewe tu hakuna mwingine,
kwa uwoga akanitajia
“kusema kweli mi sijui ila nahisi atakuwa Tonny tu ndio kafanya hivi,"
“Tonny ndio nani na anahishi wapi?"
“ni mpenzi wangu anaishi ilala,
“haya tupeleke kwa huyo kibwengo nikawapigia cm wana wafanye mchongo tukutane ilala hakuna aliye uliza maana kila mtu alishajuwa kimenuka
tukafika ilala boma kabla hatujashuka kuna gari akaja kupaki na kushuka jamaa flani hivi kisharo kikiwa kinaongea na simu ndio mchinjeni kama vipi huyo boya

mshamba hawezi kuja pale na demu wangu chinja kabisa sikutaka kusubili kuambiwa ndio yeye au sio nikashuka kwenye gari na kwenda kumtia roba ya mbao

akajitahidi kukuruka wapi akaishia kujamba tu nikaenda kumtia kwenye buti ya gari yake nikapanda safari ya kumpeleka chimbo ikaanza tukapishana na wana

wakiwa ndani ya tipa tukawapa ishara warudi basi baada kumpa kibano cha maana akawapigia cm vijana wake na kumtajia wapi wamekutupa basi tukamuachia

kwa makubaliano ya kwamba iwapo tukakukuta umekufa na yeye ajichimbie kaburi mapema
tukaja pande za manzese baada kuulizia ulizia tukatonywa upo kituo cha police pole sana kaka,
wakati
Madebe ananisimulia ile story ndani ya daladala kuanzia abilia konda hadi dereva mchozi ukawatoka na wengine kusema “sijawai kuona marafiki wenye

kupendana na kusaidina kama nyinyi ni moja kati ya vijana wa kuigwa sana poreni sana
Aseee!!! dahaaa kila mmoja akatupa pore baba mmoja akajitolea kutulipia nauli daladala nzima maana dahaa
sikuweza tena kurudi kwenye ile nyumba ya mama
Mwanaidi nikawa naishi kwa Madebe maana ni zaidi ya ndugu japo kuwa ni rafiki yangu tu baada kupita siku kama nne hivi nikaingia kitaa na mkokoteni wangu kusomba taka Madebe yeye

ana mishe mishe zake tu anazielewa mwenyewe nikiwa bado nazisomba taka na kuzipakiza kwenye mkokoteni nikasikia vicheko vya kimbea tu “ohoo jamanii

hahahaha mzoa takataka utazoa hadi mavi mwaka huu, japo sikutaka kuwatizama wale mabinti wanao sema vile ila sauti ya mmoja wao sio ngeni masikioni

mwangu hakuwa mwingi ni
Mwanaidi nikainua uso wangu na kumtizama tulipo tizamana tu akaibetua midomo yake na kutema mate chini huku akiachia zinga la msonyo “nyooo*** lione

sura mbayaa kaa tako la mzee," leo hii Mwanaidi ananiambia mimi hivi dahaa nikashika mkokoteni wangu na kusonga nao mbele kufika sehemu hivi nikasikia

kama kelele za ugomvi hivi nikasimamisha mkokoteni wangu nikanyata kwenda kufahamu washkaji wanagombania nini hasa nikasikia
“oyaa acha uboya ujuwe unajuwa mpaka sasa nimepoteza shi ngapi broo?"
“hiyo pesa yako ya madafu tu unitishi lolote dogo kwanza yule
Mwanaidi nishamuendea kwa babu kashafanya yake kwa kumuweka kwenye kifuu yule boya mzoa vinyesi sijui nini kabwaga kama zigo la kuni
nikastuka kusikia vile!!!,

Kitendo cha kusikia ya kwamba yule akijitapa na kujisifu kuwa
Mwanaidi kasha muweka kiganjani kwa kumuendea kwa babu sijui huko tanga ndipo nikaweza kupata picha
Mwanaidi ninae mfahamu mimi sio huyu wa sasa ime kuwaje abadilike ghafla vile na kuniona mie ni kinyaa si lolote si chochote,
nikajiuliza maswali mengi sana pasipo kupata jibu hata moja nitawezaje kurudisha penzi langu kwa
Mwanaidi liwe kama zamani nikajiambia habari hizi nimfikishie ndugu yangu Madebe huwenda ata nishauri nini cha kufanya nikaufata mkokoteni wangu niweze

kusonga na njia kitendo cha kupiga hatua kazaa tu nikakutana na yule bibi akiwa ana okota chupa za maji uhai kwa kuzitia kwenye kiroba,
nae baada kuniona akaja kwa mwendo wa kujikongoja na kuniuliza “vipi mjukuu wangu hujambo?"
nikamjibu “sijambo bibi shikamoo, “marhabaa mjukuu wangu basi nakumbuka majuzi tu uli nipa msaada kwa kuni peleka kwa mama ntilie kule yani sina cha

kukulipa baba yangu ila shukrani sana akubaliki sana mjukuu wangu, baada kusema vile akakiinua kiroba chake cha makopo na kuanza kuondoka nikabaki

kumtizama tu huku niki tingisha kichwa
kwa masikitiko moyoni nikaingiwa na imani kwa kumuita “bibi!!! aka geuka kuni tizama nikaenda mbio kumfata binafsi nikaweza kuona kwenye paji lake la uso

mchozi ukimdondoka,
“bibi mbona unalia?" nili muuliza hivyo huku nikimfuta chozi kwa kiganja cha mkono wangu, kitendo cha kumuuliza ni kama nime fungulia bomba la vua

nikajisahau kabisa kama mkokoteni nime usimamisha balabalani
“bibi niambie kinacho kuliza ni kitu gani?"
nieleze bibi hakuwa tayari kuinua mdomo wake kuniambia kile ambacho kili mfanya alie
gafla nikasikia honi ikipigwa kwa fujo nikaja kutambua ni gari ikiomba njia nikaenda mbio kuutoa mkokoteni kabla sija ufikia zikashuka njemba mbili mmoja wao mkononi kabeba chenzo

KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO



USIKOSE SEHEMU YA NNE

Maoni, Ushauri na Chochote Share Namimi Katika Mawasiliano Haya:
+255 718 274 413 Ipo WhatsApp
+255 764 339 438
ZephilineEzekiel@Gmail.Com
10 Mzoa Taka Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni