Notifications
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…
  • MY DIARY (7)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SABATULIPOISHIA...Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yeye alishindwa kushuka akiofika kile kitu kukaliwa na watu…
  • MY DIARY (6)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SITATULIPOISHIA...Akanambia kuwa wamemwambia wapo East Africa Pub na tayari wamaeshaagiza mkuu wa mbuzi. Mmmmhhhh kusikia mguu wa mbuzi mate yalinijaa mdomoni. Basi kwa harakaharaka nikamwambia naomba niende niende nyumbani nikachukue viwalo vya club kisha nitawakuta hapo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinambia mbona hizo nguo ulizofaa zipo poa tu wewe twende hivyo bhana si upo na…
  • MY DIARY (5)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TANOTULIPOISHIA...Akanisimamisha na kuanza kuiuliza maswali mengi yasiyo na maana huko akionekana kutojiamini. “samahani dada, sijui unaelekea wapi”? Nikamjibu dukani. Akavuta pumzi ndefu na kuniambia ok, nisaidie namba zako za simu. Nikamwangalia juu na chini nikwambaia nimezisahau na simu nimeiacha ndani nikirudi ndani nitakuletea..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Akaishiwa pozi akanambia,…
  • MY DIARY (4)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NNETULIPOISHIA...Uchambuzi huu ulinigusa sana kwani hata mimi nilijihisi kuwa sikuwa na utando huo yaani bikira japo nilikuwa sijawahi kujamiana na mwanaume wa aina yeyote zaidi ya ile michezo ya utotoni ya kula mbakishie baba au ile ya kibabababa na kimamamama. Alianza kunishika mapajani na kunifanya nianze kusisimuka ajabu kwani japo alikuwa ni mwanaume mikono yake likuwa ni milani sana kama ya mtoto wa kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media…

DHAMANA (20)

Jina: DHAMANA

SEHEMU YA ISHIRINI
TULIPOISHIA...
Mmoja wa walinzi aliongea kwa sauti nzito huku akiwa ameshika masikio kama ambavyo wenzake wote walivyokuwa wameshika masikio kutokana na kuumizwa na makelele ya Bi Farida, kauli ya yule mlinzi aliposema mchukueni hakuelewa anamaanisha nini na alikuja kuelewa baada ya kujikuta amezungukwa na wasichana watatu wenye urembo wa hali ya juu ambao haikujulikana walifika vipi hapo hadi muda huo.

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
KAMA UNASOMA SIMULIZI HII NJE YA CnZ Media APP INSTALL ILI USIPITWE NA MIENDELEZO

SASA TUENDELEE...
Akiwa anajiuliza swali hilo wale wasichana walimshika mkono na akajikuta akitokea katika mazingira mengine akiwa pamoja nao hao wasichana, alijikuta akiwa yupo ndani ya chumba chenye mapambo ya kila aina ambacho ukubwa wake kilizidi kumshangaza na kumfanya azubae akishangaa hadi pale alipoondolewa mshangao wake kwa kusikia sauti ya isiyokuwa ngeni masikioni mwake.

"Mama" Ndiyo sauti ya kike aliyousikia ikitokea nyuma yake ambayo ilimfanya ageuke atazame alipoitwa.

"Zayinaa!" Bi Farida alitamka akiwa anaonekana kutoamini macho yake kwa kumkuta Zayina eneo hilo akiwa amevaa mavazi ya kifahari na vito vya thamani na alikuwa akipepewa na wanawake wawili wenye uzuri ambao haukuwahi kuonekana duniani na walikuwa na nywele ndefu na nyeusi kupitiliza.

****

Yule mwanajeshi mmoja aliyetoa ukelele katika kikosi cha kilichotumwa na himaya ya Majichungu alikuwa amezungukwa na mzizi mmoja wa mti ambao ulikuwa ulikuwa unatambaa kama nyoka na kitendo cha kupiga kelele ndiyo ikawa amechokoza nyuki waliofiwa na malkia wao na sasa hasira zote za nyuki zimehamia kwake. Mizizi ya ule mti ilianza kubadilika rangi na kuwa ua rangi sawa na uji wa volkano unaotoka baada ya mlima wa volkano kulipuka, mwanajeshi huyo wa kijini alijikuta akiteketea hadi akawa majivu.

Kelele za yule mwanajeshi kabla hajafa zilifanya eneo hilo la msitu lenye giza kuonekane macho yanayong'aa kama ya macho ya simba yakimulikwa na tochi gizani, macho hayo yalionekana kuwa mengi kila sehemu kuashiria kuna viumbe wengi ndani ya pori hilo walikuwa wamewaona na macho hayo yalizidi kusogea karibu kuashiria kuwa viumbe hao wanasogea karibu.

"Zaghari bekatu mudyosiye jikiteee, zaghari bekatu mudyosiye jikitee. Halkumisate fadyozile gaitak( Washeni nuru za macho yenu muda wa mapambano huu, washeni nuru za macho yenu muda wa mapambano huu. Hakikisheni tunawamaliza tutizimize kazi)" Salmin alitumia lugha inayotumiwa na wanajeshi wa Majichungu pekee ikitokea dharura kama hiyo, lugha hiyo haikuwa inafahamika na kiumbe mwingine yoyote isipokuwa wanajeshi hao.

Wote kwa pamoja waliwasha nuru ya macho yao na kuwafanya waone pori zima kama mchana ingawa ilikuwa ni giza nene lipo porini hapo, hapo waliwashuhudia viumbe wenye maumbo kama miti wakiwa na wanawaangalia na wengine tayari wakiwa wamewazunguka wakiwa na macho yaliyojaa hasira. Viumbe hao walianza kuwashambulia kina Salmin na kupelekea utokee mpambano mkali kwani hadi muda huo tayari kikosi cha Salmin kilikuwa kimeshajianda, viumbe waliopo msituni hapo walijikuta wakipigwa vibaya na kikosi cha kina Salmin kwani nguvu zao ambazo waliamini wanazo wao peke yao walishangaa Salmin akiwa anazitumia baada ya kumgusa jini mojawapo wa himaya ya giza na kuzinyonya nguvu zake. Mpambano ulipowazidia majini wa himaya ya giza mmojawapo alianza kukimbia ili akatoe taarifa ya uvamizi, jini huyo alikuwa ameshaonekana na Salmin ambaye alisoma mawazo yake akamjua lengo lake

Salmin alijigeuza mti kama viumbe wengine kisha akatoa mzizi mmoja mtefu ulioenda kumfunga yule jini halafu akamuunguza kama alivyowaunguzwa yule mwanajeshi aliyekuwa yupo upande wao, alirudi katika hali ya kawaida akaendelea kupambana hadi walipowamaliza majini wote wa himaya ya giza ambao walilala chini kama miti iliyoangushwa katika ukataji miti.

Salmin alianza kuwapiga miale ya radi majini hao mmoja baada ya mmoja na wakabadilika wakawa na maumbo ya majini wa kawaida ambao walikuwa wamevaa sare moja, alimvua mmojawapo sare akavaa yeye mwenyewe kisha akawaamuru wenzake wafanye hivyo. Baada ya muda mfupi wote walikuwa na sare zinazofanana kisha wakasonga mbele kuuvuka msitu huo.

****

Bi Farida alienda kumkumbatia mtoto wake kwa nguvu huku machozi ya furaha yakimtoka akiwa haamini kama angemkuta hapo, alijisahau kabisa kama yupo ugenini katika eneo asilolijua na akajikuta akiwa na furaha ya kumuona aliyesadikika ametekwa.

"Nani kakuleta huku mama?" Zayina alimuuliza mama yake baada ya kuachiana tangu walipokumbatiana.

"mimi ndiyo nimemleta huku" Sauti ya Zalabain ilisikika kisha akajitokeza akiwa ameongozana na mwanamke wa makamo aliyebeba chupa na beseni lenye rangi ya fedha, Bi Farida aliposikia sauti hiyo akageuka nyuma akakutana uso kwa uso na sura ambayo alihisi aliwahi kuiona mahali.

" we ni nani?" Bi Farida aliuliza huku akimkazia macho Zalabain.

"Kaka Jamadin huyo" Zayina alidakia kujibu na kumfanya mama yake ashangae kwani anatambua mwanae huyo alishafariki.

"Fanya kazi yako" Zalabain alimuambia yule mwanamke aliyekuja naye huku akiupuuzia mshtuko wa mama yake, yule mwanamke alimsogelea Bi Farida akampatia chupa aliyokuja bila hata kujali kama itapokelewa au haitapokelewa. Bi Farida aliipokea chupa hiyo akaifungua na akanywa kimiminika kilichokuwa kipo ndani yake hadi akamaliza, alimrudishia kile kichupa yule mwanamke na yule mwanamke akampatia beseni la rangi ya fedha alilokuja nalo.

Bi Farida alipolipokea hilo beseni tu alijikuta akibanwa na kichefuchefu cha ajabu na akainamisha kichwa humo ndani ya beseni akaanza kutapika vitu ambavyo vilimshangaza sana Zayina hadi akageuza shingo pembeni huku akiwa kaziba mdomo, mwisho wa kutapika alitapika kitu cha duara chenye mizizi ambayo ilikuwa inachezacheza kuashiria kina uhai. Baada ya kutapika hicho kitu Bi Farida alizirai papo hapo halafu akazinduka baada ya sekunde kadhaa huku akihema kwa nguvu, alipoinua macho yake akamuona Zalabain na akajikuta akimuita, "Faimu".

"Hapana mama ni Jamadin mwanao" Zalabain alimuambia Bi Farida.

"Mwanangu Jamadin" Bi Farida aliongea huku akiinuka akaenda kumkumbatia Jamadin hadi Zayina akatokwa na machozi.

"Nafurahi mama umetoka katika kifungo kizito ulichokuwa umefungiwa, Zayina njoo na wewe" Zalabain alimuambia mama yake kisha akamgeukia Zayina aliyekuwa akiwatazama, Zayina alisogea akaungana nao katika kukumbatiana.

****

Baada ya kuwamaliza majini wa himaya ya giza waliowekwa kulinda katika eneo la pori hatimaye walilivuka pori hilo na wakatokea katika eneo la mbele la mapango ya Zabakut, walikuta lango la kuingilia katika mapango hayo likiwa limefungwa na pembeni kukiwa na walinzi waliovalia sare kama walizovalia wao. Walitembea hadi kwenye lango hilo ambapo Salmin alitoa salamu ambayo hutumika na himaya hii na wenzake pia wakafanya hivyo, walinzi waliitikia salamu hiyo kisha wakafungua mlango bila kujua wamewaingiza maadui zao ndani ya sehemu yao ambayo hutumika haswa kutengenezea silaha zao hatari na za maangamizi.

Salmin akiwa mbele aliwaongoza wenzake kuingia ndani ya mapango ya Zabakut, waliingia mpaka ndani na wakafuata njia iliyochongwa vizuri kama ukumbi mwembamba wa nyumba unaotengenisha ambao hujulikana korido na waswahili wazungu katika nchi ya waswahili.

Pembezoni ya ukumbi huo katika ukuta kulikuwa kuna mafuvu ya binadamu yaliyokuwa yamepangwa safu moja na yalikuwa yakitoa moto ambao ndiyo ulitumika kama muangaza wa humo ndani ya pango, walitembea hadi sehemu yenye makelele mengi wakakuta lango kubwa sana lililokuwa na mlinzi mwenye kichwa cha nyoka na mwili wa kawaida. Waliposogelea mlango huo yule mlinzi anyoosha mkono na ardhi ya mbele yao kina Salmin ikapasuka na kuacha bonde kubwa na uji wa volcano ukaonekana ndani ya bonde hilo, Salmin aliliruka bonde hilo hadi upande wa pili akamfikia yule mlinzi na kumgusa begani halafu akasogea pembeni.

"Toa utambulisho wako" Yule kiumbe alimuambia Salmin huku akijiweka tayari kupambana.

"Mikaf kama wewe" Salmin alimuambia yule.

"mikaf huwa tunauwezo wa kugeuza ardhi vyovyote, mbona nimepasua hiyo hukuiunga upite" Yule kiumbe alimuuliza Salmin swali ambalo hakulijibu na alijigeuza akawa na kichwa cha nyoka kama yule kiumbe halafu akaiunga njia ile na kupelekea kiumbe yule atabasamu, wenzake walipita wakaja hadi pale alipo.

"Wafanyakazi wapya wa hazina hii, ni wataalam wamekuja kumalizia uundwaji wa silaha zetu" Salmin alimuambia yule kiumbe ambaye alifungua mlango akamruhusu aingie na wenzake akijua ni Mikaf kama yeye mwenye kugawa majukumu.

Mikaf ni majini wa himaya ya giza wenye uwezo wa kuongoza ardhi na udongo na kuupinda au kuufanya watakavyo, majini hawa katika himaya hiyo hufanya kazi ya usimamizi na ulinzi wa sehemu muhimu za himaya ya giza na hutambuana kwa kuoneshana nguvu zao tu. Salmin alivyofika jirani na yule Mukaf anayelinda tayari alikuwa ameshaijua hulka yake kwa kutumia uwezo wa ajabu alionao, pale alipovunja njia aliruka juu na kumgusa begani ambapo alichukua nguvu zake kutokana na uwezo wake alionao na alipoambiwa ajitambulishe ndiyo akaiunga njia akiwa tayari ameuchukua uwezo wa yule Mukaf.

Baada ya kuingia ndani ya eneo hilo kikosi cha Majichungu kiliona chupa mbalimbali zikiwa zimehifadhiwa wadudu wa ajabu wenye mabawa ambao walikuwa wakipiga kelele na kurukaruka, kila chupa ilikuwa imeungamishwa na fito za shaba maalum ambazo ziliingia kwenye mtungi mkubwa wenye kimiminika cha njano.

"wapo kwenye hatua ya mwisho ya ukuaji hawa, walikuwa wakitunzwa kwenye hizi chupa tangu watengenezwe sasa inabidi tumalize kazi yetu tuiokoe himaya yetu. Fanyeni kama nitakavyofanya" Salmin aliwambia wenzake kisha akaenda hadi kwenye mtungi mkubwa akaushika na wenzake nao wakamfuata wakafanya hivyo hivyo, alitoa miale ya radi mikononi iliyoingia humo na wengine nao wakatoa miale hiyo. Mitungi yote iliyowekwa wadudu hao ilipigwa na miale ya radi hadi wadudu hao wakafa wote na makelele ya wadudu hao yakaisha papo hapo kukawa kimya, baada ya kumaliza kazi hiyo Salmin alitumia nguvu za mukaf akakanyaga ardhi ikafunguka akaingia na wenzake wakaingia na kutoroka eneo hilo baada ya kazi yao kukamilika.

Mlio wa maji kumwagika katika nyumba ya Shadii uliisha kuashiria kuwa koki ya maji ishafungwa na maji hayaingii kwenye matanki yaliyojaa, Jamali aliendelea kumsubiri shangazi yake atarudi kwa muda wa saa zima hakurejea na hapo ikamlazimu aende uani kuangalia huenda amekumbwa na tatizo kwani alikuwa hajamaliza kuzungumza naye na hakurejea ndani. Alifika hadi sehemu iliyokuwa na matanki ya maji ambapo kama maji yakijaa na kumwagika basi hujulikana wa eneo hilo kulowana hasa bustani ya maua ambayo imezunguka eneo lenye matanki ya maji, cha ajabu eneo hili lilikuwa kavu kabisa hakuna dalili ya kumwagika maji.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
58 Dhamana Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni