Notifications
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…

MY DIARY (8)

Jina: MY DIARY
Mtunzi: __

SEHEMU YA NANE
TULIPOISHIA...
Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.

IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI

TUENDELEE...
Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa kweli hata yale mawazo ya kumwambia avae kondom yalishatoweka.

Asikwambie mtu mwanaume alijua kucheza na hisia zangu maana kuna mda aliongeza spidi kama vile anachochoe pedo za baiskeli, utamu si utamu , uchungu si uchungu jamani nyie haya mambo yana raha. Alifanya yake mpaka pale alipoamaliza na nilijitahidi tumalize wote.Nikasikia akisema asante asante babee.

Nilimwacha apumzike lakini wapi alijifuta na kabla injini yake haijapoa na kulaa alinibenua tena, hii sasa inaitwa mbuzi kagoma kwenda, mmmh ni raha lakini nilikuwa naumia kimtindo siunajua tena mtoto wa kishua nilikuwa sijui kuchuma tembele.Nikaona isiwe tabu nikamchomoa na kumtupia kitandani. Yaani nilivyokuwa nafanya natamani ungekuwa unaniona na jinsi nilivyokuwa mlaini mwili mzima wewe acha tu

Nikapanda mimi juu yake na kuanza kumpa yale mambo yangu ya kule club.Nilizungusha kiuno na nyonga mpaka nikasema naweza kukinyofoa kidude chake.

Hakuacha kunipa sapoti lakini jasho lilikuwa likmtoka vibaya sana, kukojoa hakojoi na mimi nilikuwa sibanduki. Mpaka akasema babee unasumaku nini mbona jogoo wangu hachoki kuwika. Alinisifia sana kwa kweli eti ikulu yangu imejengwa kwa nta hivyo ni mnato mnato isiyoisha hamu.

Basi tulisiadiana mpaka pale kila mtu alipomaliza haja zake na kufika kileleni. Alivyomwaga tu alinikumbatia kwa nguvu na hakubanduka tukapitiwa na usingizi huku viungo vyetu muhimu na vyenyewe kwa mara ya kwanza vikalala pamoja.Nilikuja kushtuka asubuhi nikamwonea huruma sana mwalimu John yaani na wembamba wake ule nililalajuu ya kifua chake mpaka asubuhi. Tulichelewa kuamka sana na mbaya zaidi walipanga na marafiki siku hiyo tuende Marangu Waterfalls nje kidogo ya mji wa Moshi.

Ilishafika saa tatu asubuhi na rafiki zake walishaanza kumsumbua kwenye simu.Basi ilinibidi aniulize eti babee tuende au la? Mimi kwa kuwa sikuwahi kufika sehemu hiyo basi niliona ndo nafasi nzuri ya kufika sehemu hiyo.Sikumjibu moja kwa moja kuwa twende, lakini nilimwambia aangalie ratiba zake kwani mimi ni kijakazi wake na siku zote nipo kutii amari ya boss wangu.

Kauli hiyo ilimfanya acheke na hivyo aliamka akanipa hishara kuwa twende tukaoge tena kwa maji ya moto ili kuondoa uchovu.Baadaye tuliletewa breakfast ya supu tukanywa na tulivyomaliza akampigia rafiki yake akaja kutuchukua na gari.Safari hii alikuwepo yule tu ambaye jana yake alikuwa na mpenzi wake. Kwa hiyo tulikuwa wanne tu.Asikwambie mtu siku zote mkiwa na usafiri wenu ni raha sana kufanya tour kama hizo.

Ndio utalii wa ndani sasa haiwezekani tupo Kilimanjaro na hatujui vitu vilivyomo. Tulipitia supermarket kubwa na maarufu mjini Moshi iliitwa NAKUMAT, tukachukua vitu muhimu kama vile bites na vinywaji. Wanaume wao walichukua spirit(pombe kali) na sisi tukachukua wine. Tukapitia sehmu moja karibu na stendi(polisi mess), tukafungiwa kuku mzima wa kuchoma.

Kumbe yule rafiki yake na mwalimu ni mtu maarufu sana na alikuwa tayari amekwisha weka oda.Basi safari ikaanza huku watu tukijiaachia kwa stori za hapa na pale. Mwanzoni mimi nilifikiri kuwa nikaribu kumbe palikuwa na pa mwendo. Tulifika huko mida ya saaa tano , tukalipa kiingilio na kuendelea kujiachia.

Hakuna mtu aliyebeba nguo rasmi ya kuogelea jambo ambalo lilituwia ugumu.Wanaume wao walivua na kubaki na vibukta na kuanza kuchezea maji na kuogelea pembani ya maporomoko ya maji hayo. Mimi uzalendo ulinishinda mara baada ya kuona wazungu wanaogelea na vichupi tu. Na mimi hakuna kitu nilichokuwa napenda maishani kama kuogelea. Ikabidi nichojoe na kubaki na taiti niliyovaa, nilitamani na yenyewe niitoe na kubaki na kufuli lakini nikafikiria umbo langu jinsi lilivyo na mvuto nikajua itakuwa ni shida.

Mimi nikajirusha na kuanza kuogelea nikaenda kabisa sehemu ambayo watu walliogopa kufika kwa madai kuwa maji yalikuwa na kina kirefu sana.Sehemu ile iliogopwa kwa sababu ndipo maporomoko ya maji yalikuwa yakipiga, mimi nilitumia uzoefu wangu wa kuogelea niliofundishwa na wazungu ambao walikuwa ni marafiki wa marehemu baba yangu.

Watu wasionijua walibaki wakinishangaa tu so wazungu sio waafrika wote macho yaliaamia kwangu.Mwalimu John yeye alibaki ameshika kichwa tu kwa uwoga kuwa nitapata madhara. Ilikuwa lazima washangae maana hakuna aliyeweza kufika ile sehemu niliyofika na kuogelea mimi. Nilivyotoka wale wazungu waliniomba tupige picha nao kitu ambacho hakikimfurahisha mwalimu John.

Kuna mzungu mmoja alienda kwenye pochi yake na kuniletea mawasilianao yake. Nilikichukua kile kikadi chenye mawasilianao ya yule mzungu wa kiume ili kisije kikazua balaa siunajua tena Mwalimu John alikuwa na wivu sana..Sijui ndo tayari amedata na mimi au ndo mambo yao ya kizungu. Basi tuliendelea kupiga picha za kumwaga ilimradi tuuze sura kwenye mitandao ya kijamii.

Baadaye tulipelekwa kwenye pango ambalo kwa kweli lilitisha sana na palikuwa panagiza nene. Niliogopa sana na sikutaka kubanduka pembeni ya mwalimu John. Alafu nishazoea kumwita mwalimu John na sijui kwa nini sipendi kumwita babee.Tulivyotoka kila mtu alikuwa amejichokea.Tukafungua vile vyakula na vinywaji vyetu na kuendelea kujitanua.

Tulivomaliza yule kuku wa kuchoma tukaaamia kwenye sambusa na bagia, kachori na sijui nini vingine. Tulivyomaliza kula tuliamaua kuamia kwenye vinywaji na leo nilikuwa nakunywa wine kama maji maana ile ya jana ilibaki sijui hata ilienda wapi.Hivyo nikasema leo mpaka nione made in…………….. siunajua tena ukipata vya mteremko tumia maisha yenyewe mafupi, leo unacho kesho huna.

Baada ya hapo tulipelekwa sehemu ambayo wanatengeneza vitu vya asili vya kichaga. Tulioneshwa aina ya mavazi na vitu ambavyo walikuwa wakitumia zamani.

Kuna vitu ambavyo nilivipenda nikavinunua.Mda ulikuwa umeenda sana hivyo tukaingia kwenye gari na kuridi zetu Moshi.

Walituacha hotelini na wao wakaenda zao. Tulifika chumbani na nilipoingia bafuni Mwalimu John alinifuata na kuanza kunisugua mgongo.. Aliniogesha kama mtoto mdogo na kutokana na kunishikashika zile sehemu nyeti nilijikuta napandwa na mizuka. Huko huko bafuni mambo yaiharibika uvumilivu ukatushinda tukajikuta tunaenda raundi moja tena kavu kavu.

Baada ya hapo ndo nikaanza kumuuliza maswali yangu ya msingi. “Hivi wewe Ticha unampango gani na mimi maana tangia jana hutujavaa kinga”? Eti na yeye anajifanya kushangaa na kuuliza hivi tangia jana hatuj vaa heee.? Nikamkazia macho kwa hasira, Akaendelea kuongea “mimi nilifikiri upo safe day na ndo maaana unajiachia tu”. Majibu hayo yalinikera sana. Nikamwambia basi jiandae kulea.

Hapa nikaona naweza kupata mimba kiutani utani ikabidi niwasiliane na kungwi wangu yaani Joyce.“Shoga mwenzio tangia jana nakula pilau kwa mkono” hiyo ndo meseji niliyomtumia. Akanijibu sikuelewei vizuri shoga yangu una maanisha mnatembea msituni kwenye miiba pekupeku? Nikamjibu ndio shoga wangu pombe zinaniponza tangia jana niambie nifanyaje shoga yangu.?

Akanambia “nenda duka la dawa waaambie wakupe vidonge vya post natal hivyo vinarekebisha mambo kama hujazidisha masaa 48 tangia ufanye mapenzi.Alafu kuna vingine watakupa hivyo unavimeza kabla hujaanza kale ka mchezo”. Nikamtumia meseji na kumwambia asante sana shoga yangu. Akanijibu kuwa makini usipende kutembea pekupeku kuna magonjwa meseji iliyonitisha kidogo.

Nilimwomba John aende duka la dawa akatafute zilee dawa za kuzuia mimba kabla masaa 24 hayajafika. Ilinibisi nimwambie kuwa ni masaa 24 badala ya 48 maana ningemwambia 48 asingeenda. Basi kwa kuwa alinijalia aliingia bafuni akajimwagia maji akavaa nguo zake na kuanza kushuka ngazi za ghorofa huku akiniacha mimi nikiwa pale kitandani mtupu kama nilivyozaliwa.

Niliamaka kwenda kuoga huku nikiwa najiangalia kwenye kioo jinsi nilivyokuwa mzuri.Yaani huwezi amini mimi mwenyewe nilikuwa najipenda na kujitamani.

Sema nikawa najiuliza kwa nini mungu hakunipa matiti maakubwa kama yalivyo makalio yangu. Nikajisemeha mweeehhh mungu hakosei ningeweza kuchukiza bure. Nikanyikonyeza kwenye kiooo na kumwambia asante Mungu kwa kuniumba jinsi nilivyooumbwa

Nilijisugua vizuri huku yale maji nikiyawekea shower jelly ambayo huwa inanifanya ninukie siku nzima. Nilijisafisha vizuri, siunajua tena na unatakiwa ujue kujisafisha vizuri.Ikulu ni sehemu nyeti sana inayohitaji usafi wa hali ya juu. Wewe unafikiri mtu kuingiza ulimi ni jambo dogo. Nilivyomaliza kuoga nilijikausha vizuri na kuondoa unyevunyevu hasa vile sehemu nyeti.

Sikuona haja ya kuvaa kufuli maana nilijua Ticha akirudi mda wowote atataka tena.Nilijifunga khanga na kujilaza kitandani. Nililiaa kifudifudi makusudi tu ili

Ticha John akija akutane na mlima kitonga, si unajua ndo ugonjwa wake.Ticha John alirudi na safari hii alipoanza kuchezea wowowooo nilimzuia kwani mambo ya kuoga oga kila saa yalinichosha. Lakini wapi aliendelea kunipapasapapasa, nikamwambia ina maaana wewe mwanaume bado hujatosheka tu? Akanijibu kwa jinsi ulivyo ata ukinipa kila saaa sikinai.

Nilimwambia tupumzike bhana kwani ndo kwanza nilikuwa nimetoka kuoga lakini wapi mtoto wa kiume haelewi utazani jogooo mda wowote akitaka anakimbiza tu mtetea na kupanda.Alivyoona nimebana sana eti akatoa lap top yake na kuweka nyimbo na kuniomba nicheze. Yaani nilizidi kumshangaa na kumwona kuwa amechanganyikiwa kwa vitu anavyovitaka.

Basi kwa kuwa mapenzi ni upofu na wakati mwingine ni uchizi nilianza kuyarudi magoma pale pale kitandani. Akaona haitoshi akaninyanyua na nikasimama juu ya kitanda huku nikimkatikia mauno na yeye alikuwa akipiga makofi. Dj huyu wa kufoji akaona kama vile haitoshi akaniwekea ule wimbo wa kinaijeria baby pull over…..show me your particular……….reserse………back…….basi na mimi sikufanya hajizi nilikuwa navua kiukweli na kumwonesha vitu vyangu vya mbele, nyuma, kati na juu.

Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.

Naomba Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi
USIKOSE SEHEMU IJAYO
67 My Diary Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni