Notifications
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…

KIBAMIA (9)

Jina: KIBAMIAH
Mwandishi: Geofrey Malwa

SEHEMU YA TISA
ILIPOISHIA...
Alimalizia kumvua shati na kumbakiza na chupi pekee,bado mtoto alilala kifudifudi.Nego alimgeuza Alice na kuanza kubadilishana naye ndimi,alifanya hivyo huku vidole vyake vikiwa kwenye masikio ya Alice vikimtekenya na kumsisimua hasa.Mikono ya Alice ilimshikashika Nego mgongoni mpaka mabegani ikipanda kichwani.Aliutumia muda mwingi kwenye zoezi hilo kwani Alice alionyesha kulipenda sana mpaka kuna muda alimbana na miguu yake kabisa kwenye mgongo.

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Nego baada ya hapo alimlaza chali Alice na kumwekea mto kichwani.Aliitoa ile chupi taratibu na kuirusha pembeni.Mzee mzima alishajiandaa kuzama chumvini,mpaka muda huo bado hakumvua chupi Alice.Kikubwa Alice alijiongeza na kutaka kuivua chupi yake lakini Nego alimzuia

“iache tu,haina shida mpenzi tulia kabisa,” alisema Nego

“kwanini?” Alice alihoji hivyo ambapo Nego alimlaza taratibu na kumtaka atulie kabisa,muda ukifika wa kuvua ataivua.

Alice alikuwa amelala chali na kukunja miguu yake,yaani magoti ndiyo yalikuwa juu zaidi huku unyayo ukikanyaga kitandani.Nego aliingia katikati ya miguu ya Alice kisha akaanza kumpumulia kwa ile pumzi laini yenye joto fulani lenye msisimko.Ile pumzi ilikuwa ikipita kwenye kitambaa cha chupi na kusisimua ile sehemu ya mavu…mavumbi ya kokoto,kwanza kitendo cha mdomo wa Nego kuwasili eneo la kitumbua,ilikuwa ni hatari kwa Alice jinsi alivyolegea na kuugulia kama mtu aliyechoka kula miwa.Basi ulimi wa Nego ulianza kushambulia eneo la kitumbua kwa nje huku akishuka mpaka huku pembeni kwenye mapaja karibu na mlango wa kitumbua.

“Nego pliiiiiiiiiiziiii aaaaaaaaaah niiiivuuuueeee,” Alice alikuwa akihitaji kusuguliwa wakati kwa Nego ndio kama kumekucha.Basi Nego akawa anaingiza ncha ya ulimi wake kupitia huu upande wa pembeni wa chupi ya Alice iliyokuwa imelowa chapa,alimtekenya na ulimi na kuufikisha mpaka kwenye kitumbua.Akiwa ameuingiza ulimi huo ndani ya chupi aliupandisha juu na kumtekenya mpaka kwenye hii sehemu ya juu ya paja mikanda ya chupi inapopita.Alice alikuwa hoi maana kitumbua kililoa hasa,taratibu kwa kutumia meno ikisaidiana na mikono aliivua chupi ya Alice na kuitupa pembeni mbali ukutani.

Nego alimuamulia hasa Alice,akiwa amekaa vilevile,Nego alimbinua kidogo ambapo kitumbua kilikuwa mbele kiasi,sehemu ya mpododo ikawa inaonekana vyema.Aliujaza mate ulimi wake na kuanza kuutekenya mpododo,hakuona kinyaa hata kidogo,alipokuwa akiulazimisha ulimi kuingia ndani zaidi ya mpododo na lile joto la ulimi ndio lilimsisimua zaidi Alice aliyekuwa akipiga kelele bila kujielewa,hakuwahi kufanyiwa kitu hiko tangu azaliwe,Nego hakumwachia hata kidogo mtoto wa kike apumue,wakati zoezi hilo likiendelea la kumnyonya mpododo,aliunganisha na kuchukua vidole vyake vitatu kisha kuanza kuchezea kitumbua chake hasa pale kwenye kiss me,alikichezea kiss me mpaka mtoto akawa ananyanyua kiuno juu kwa utamu aliouhisi huku akipiga kelele,Nego alijua ndio anaanza kazi kumbe kwa upande wa Alice tayari alikuwa amezidiwa,mtekenyo wa vidole ulimsisimua ukichanganya na joto la ulimi kwenye mpododo,Nego alimwotea Alice pale alipokuwa akikaribia kukojoa,alitoa vidole na kumchomeka dudu kisha kupampu kwa haraka haraka,Alice alikojoa bao huku akimganda Nego utadhani anataka kumwua.Kweli utamu ukizidi mtu anakuwa hajielewi kabisa,Nego naye hakuchelewa kama ujuavyo bao la kwanza lilivyo na kihelele na ndio bao tamu kuliko yote.Alipomaliza,Nego alilala pembeni ya Alice,

“umenifanyaje jamani Nego,mmh…” Alice alidata,alipandisha paja lake juu ya paja la Nego huku akijilaza kifuani,alihema kiasi huku mapigo ya moyo yakimwenda mbio hasa

“umeridhika kabisa?” alihoji Nego swali la kizushi

“hii ni zaidi ya kuridhika,umenifanyia vitu ambavyo sijawahi kufanyiwa na niwe mkweli kwamba…”

“kwamba nini tena Alice wangu..”

“nilikuwa natamani sana kufanyiwa hivi lakini sikuweza kumwelekeza mwanaume anifanyie hivyo,nilikuwa naona aibu atanichukulia vibaya,”

“sio rahisi mwanaume aotee unachohitaji kufanyiwa kitandani,hivyo kama unampenda unamwambia tu,”

“inategemeana sasa,”

“inategemeana na nini?”

“kuna mkao mwanaume anaweza kukaa ukashindwa umuanzie wapi kumweleza hivyo,”

“mmh,kwahiyo hutamwambia Shafii akufanyie hivi?”

“tupo mimi na wewe Shafii kafuata nini tena hapa,” …

“Haya basi,lakini tambua hii ni mara ya mwisho kuwasiliana na wewe,hapa ni kama tunaagana,”

“ndio lengo lako unifanye hivi halafu uniache.”

Huwezi amini katika maongezi hayo Alice alichukia kweli na kumpa kazi Nego ya kuanza kumbembeleza.Kweli kuna muda wanawake hawaeleweki,ndio maana hutakiwi kumchunguza sana kama mtoto.Alice baada ya kubembelezwa alirejea katika hali ya kawaida,ni alikuwa akiagiza tu kukasirika.Nego alishangaa kitu kimoja kwamba,kabla hawajakutana,Alice ndiye aliyekuwa hana muda na Nego lakini baada ya kuliwa kitumbua,Alice alionyesha kudata na Nego.

Ndani ya usiku huo,tukirudi huku nyumbani kwa Nego mambo yalikuwa moto moto.Cheche alikuwa geto kwa Nego na alishamkumbuka Jasmin msichana jirani yake,kibaya zaidi mume wake alikuwepo.Alichokifanya Cheche kilikuwa ni zaidi ya ujasiri,aliketi nje mpaka majira ya saa sita usiku akimngojea Jasmin japo amuone.Alijiamini kufanya hivyo kwasababu mchana alishaongea naye na hakutaka kuamini kama jibu alilopewa ni la kweli.Alifurahi alipoona mlango wa chumba cha kina Jasmin umefunguliwa na mtoto wa kike akiwa ndani ya khanga kwa mwendo wa taratibu akielekea msalani,

“ksiii”

alisikika Cheche,ishara ya kumwita Jasmin .Alifanya kwa sauti ya chini kidogo

“He!”

Jasmin alishangaa,hakutegemea kama kweli angekuwepo pale.Aliogopa.Kwa hatua za haraka Cheche alimfuata Jasmin na kusogea naye kwenye giza kidogo,

“Cheche,mume wangu yupo na nilishakwambia mchana kuwa ilitokea bahati mbaya tu siku ile husikii?”

alisema Jasmin

“sio hivyo Jasmin,mi nimeshakolea na penzi lako,usiniachie hivi tafadhari,”

“Cheche…hivi unajua mimi ni mwanamke mbaya sana kama nikiamua kukufanyia kweli! Sasa nakuomba kuanzia leo hii,usije ukaniongelesha,namba yangu futa kabisa,hivi unahisi kuteleza siku ile ndio nakupenda? Au wewe unajua kufukunyua sana zaidi ya mume wangu? Laiti kama ungekuwa fundi ningenogewa ila ulinipaka shombo tu,huna mbinu mpya,mitindo ndio ileile tu,kaa mbali na mimi.”

“Jamsin..Jasmin…”

Cheche aliita hivyo baada ya Jasmin kuanza kupiga hatua ndogo ndogo kuelekea msalani.

Maneno ya Jasmin yalimuuma sana Cheche.Siku zote mwanaume huwa hapendi dharau,na inapotokea hivyo huumia sana hususani kwenye masuala ya kitandani.Na ndio maana wanawake wengi pia hawapendi kuwaambia ukweli wanaume wao kuhusu ufundi wao kitandani kwani wanaume wengine huweza kukasirika na kusitisha huduma zingine.Labda nikupe siri hii mwanamke,pale ambapo upo kwenye ndoa,na ukachepuka kwa mwanaume mwingine…jua kabisa wewe ndiye dereva wa hayo mahusiano.Ukienda kwa swaga kwamba mumeo hawezi mambo ndiyo maana umechepuka utampa kichwa mchepuko wako na kumfanya awe juu yako pia utaleta dharau kwa mumeo.Inabidi uwe na moyo wa kijasiri kulinda heshima ya mumeo kama alivyofanya Jasmin,niamini mimi kwamba Cheche mbali na kujisikia vibaya,alimhofia sana mume wa Jasmin kwa kumwona anajua sana kitandani zaidi yake.Hoja kuu anayoweza kuringa nayo mchepuko ni kwamba yeye ni bora zaidi ya mume au mke wa mtu.Sasa inapotokea kwamba humwonyeshi kuwa yeye ni bora hujisikia vibaya na kuumia.

Basi kijana wa watu Cheche aliachwa solemba hapo nje bila kuamini.Mwanzoni alihisi ni utani lakini alihakikisha Jasmin amerudi mpaka ameingia chumbani kwake ndio akajua kweli mwanamke alimaanisha alichokisema.Madhara ya kuzoea kufanya mapenzi ndiyo ya;limuwinda Cheche kwani hakuweza kuwaza usingizi,kilichoitawala akili yake kwa muda huo ni Kitumbua.Yalishafika majira ya saa tano usiku “nikanunue Malaya? Mmh hiyo hela ya kuchezea hivyo kwani wanawake wameisha mtaani? Siwezi kulala mpaka niheme juu ya kifua cha mwanamke” aliwaza hivyo Cheche ambapo aliingia ndani na kuvaa koti kicha akatoka nje.

Safari yake ilikuwa moja kwa moja kwenye kigodoro kilichokuwa kikilindima maeneo fulani mbali na anapoishi lakini atafanyaje hali ya kuwa anahitaji mwanamke wa kumsugua,aliamini huko lazima atapata tu.Alitembea kwa muda wa dakika ishirini mpaka kukifikia kigodoro,e bwana e…kweli laana zilimwagwa kwenye kigodoro hicho,wamama watu wazima wajiitao khanga moja ndembendembe laki si pesa siku hizi sio kikundi tena bali wanawake wowote wale wanaweza kuwa khanga moja ikiwa wataivaa khanga moja wakati wa kuyarudi mauno ya Singeli,

“nauliza utatoa hutoi!..Utatoa hutoa!” mziki huo wa Singeli uliendelea ambapo hapo kati ni vumbi tu,mpaka mabinti wadogo kabisa walikuwepo,sasa jiulize shuleni kesho wangeelewa kweli darasani? Maana usiku mzima anabambiwa na kushikwashikwa.

Cheche naye kwenye mambo ya Singeli hakuwa mbali nayo ila lengo lake ni kumpata mwanamke wa kumsugua.Basi akajichanganya kati kati,kitu cha kwanza wanawake wenyewe walikuwa wachache,wanaume ndio waliozidi.Kila akijitahidi kucheza na kuleta mbwembwe hakufanikiwa kumnasa mwanamke yeyote.Alitamani jinsi wanawake hao wanavyobambiwa na washikaji maana ilikuwa ni nusu kuliwa vitumbua vyao.Kusema ukweli Cheche alirudi mahali na kutulia kwanza,haja ndogo ilimbana ikabidi azunguke jengo ili ajisaidie.Pale alipoanza tu kujisadia kwasababu kulikuwa na giza akashangaa sauti ya mtu kwa mbali ikimtukana matusi ya nguoni,akagundua kuwa amemkojolea mwanamke.Alipomsogelea vizuri aligundua kuwa amelewa,yaani alilala kihasara hasa na chupa yake ya konyagi mkononi,alitukanwa Cheche matusi ambayo hayana mpangilio kwa sauti ya kilevi iliyokuwa haina nguvu kwahiyo hata mbali haikusikika mpaka akaondoka zake.

Alirejea tena kwenye kigodoro ambapo idadi ya wanawake iliendelea kupungua.Kwenye kona fulani alimwona dada wa makamo akiwa anabambiwa na kijana tu sema kijana mwenyewe hakuonekana kuwa na nguvu za kuhimili mzigo.Kwa mwendo wa kisingeli alimfuata na kuanza kucheza mbele ya huyo dada.Ila kwa usalama wake alimvuta mshikaji pembeni na kumwomba amwachie acheze naye kwa muda kidogo

“haina tatizo men we kamatia tu hilo goma” lilikuwa ni jibu alilotoa huyo mshikaji na kumfanya Cheche ajihisi safari yake imeanza kuonyesha dalili za kufanikiwa.Huyo mdada alikuwa na matako kama Dada wowo halafu ndani ya dera.E bwana kitu cha kwanza Cheche alipoanza kubambia tu ile nyama laini dudu lilisimama hatari,basi dada huyo alipokuwa akiyatingisha makalio yake shagalabagala ndio kabisa alilishtua vyema dudu la Cheche.Basi Jamaa alimshikilia kwa nguvu hayo makalio mpaka dada wa watu akawa anashindwa tena kuyatingisha ipasavyo.

Walipokuwa wamegeukiana hapo ndipo Cheche alipogundua kuwa sura ya huyo si rafiki sana na umbo lake,halafu alikuwa amependeza tayari kichwani.Basi alichokifanya Cheche alimvuta yule dada mpaka kwenye giza fulani,

USIKOSE SEHEMU IYOFUATA

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
56 Kibamia Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni