Notifications
  • MY DIARY (45)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TANOTULIPOISHIA...Ndio niliona hipo haja ya kuokoka na kuishi maisha ya utakatifu kwa maana nishaishi maisha yote ya kuwa mbali na mungu. Nakumbuka nilipokuwa mdogo kipindi hicho naujua mlango wa kanisani tuisahawahi kufundishwa kuwa mtetezi wa kweli wa maisha ya mwanadamu ni Mungu.Na siku zote alaaniwe mtu yule amtegemeaye mwanadamu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Sio kazi ya…
  • MY DIARY (44)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA NNETULIPOISHIA...Yani alianza kutaka uhusiano na mimi tena uhusinao wa mapenzi.Mda wote alikuwa akiniganda kama luba.Na mimi nilikuwa mjanja sana maana nilijifanya sinywi pombe wala kuvuta sigara.Pia baada ya kugundua kuwa wahusika wengine walikuwa wanajiachia niliamua kujifanya mshauri wa mapenzi na mahusiano.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilikuwa nawasshauri sana mshiriki wa…
  • MY DIARY (43)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TATUTULIPOISHIA...Wakati nabadilisha staili kwa kukichua kile kifaa na kukiweka vizuri huku nikibinya ile switch hili iongeze spidi Mark aliingia. Ni kweli nilimuona ila sasa sikuwa na jinsi ilibidi nimalizie furaha hiyo ya uwongo uwongo. Yaani wazungu jamani sijui walifikiria nini maana kile kifaa ukikiminya kwa juu kinakuwa kinajizungusha chenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (42)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA MBILITULIPOISHIA...Uzalendo ulinishinda ikabidi nimuulize ni kwanini bado wanatumia njia hiyo ya kizamani kutunza kumbukumbu wakati siku hizi kuna kitu kinachoitwa Human Resource Informaion system ambapo kumbukumbu zote za wafanyakazi kama waliochishwa kazi, wagonjwa, walioenda likizo ,waliopandishwa vyeo na taarifa nyingine muhimu uhifadhiwa kwa kutumia komputa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (41)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA MOJATULIPOISHIA...Mark anashangaazwa sana na mwanamke huyo lakini kwa kuwa shida yake ilikuwa ni hela anaamua kuachana nae na kuanza maisha mapya hapo jijiini Dar es salaamMaisha yanaendela lakini Mark amekuwa tajiri na mtu mwenye mafanikio sana kiuchumi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Pamoja na mafanikio hayo ni mtu ambaye mapenzi bado yalikuwa yakimuumiza siku hadi siku.Filamu…
  • MY DIARY (40)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINITULIPOISHIA...Alikuwa akinyata kwa kweli. Kweli hata mimi nilimkubali tu siku ya kwanza ingawa bado nilikuwa sijajua ufanisi wake wa kazi.Nilikaa nae hapo kwangu kwa mda wa siki tatu huku asubuhi tukiamka na kuendelea na kazi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ndani ya mda huo nikagundua kuwa alikuwa na uzorfu mkubwasana hivyo kazi hiyo alikuwa akiimudu kabisa.Hapo sasa nilimkubali sana…
  • MY DIARY (39)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TISATULIPOISHIA...Nilikuwa na furaha sana huku nikiamini kuwa ndoto zangu za kuja kuwa mtu maarufu zinaweza kufanikiwa hata kabla ya kuyapata yale madini. Sikutaka mbwembwe niliamua kuikopi na kuipesti hiyo stori kama ilivyo na kuifowadi kwa Mark.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kama lisaa hivi Mark alipiga na kuniuliza kama kweli ilikuwa nai mimi nimetunga hiyo…
  • MY DIARY (38)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Usiku nilishituka usingizini baada ya mbu kuning’aata na kunisumbua sana. Niliwachukia sana hao mbu kwa sababu walinikatisha ndoto yangu ambayo nilikuwa nikiota.Ndoto ilikuwa ikielezea jinsi harusi yangu na Mark itakavyokuwa. Ndoto ilikuwa tamu sana maana ilinipa taswira ya picha halisi ya maisha yangu ya mbeleni.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilishusha neti…
  • MY DIARY (37)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA SABATULIPOISHIA...Hapo alitulia tulii kama mtu aliyeaamia dunia ingine. Kimoyo moyo nikawa najisemeha kama amehamia dunia ingine na kuanza kuwaza ujinga sahuri yake mimi nipo kazini bwana acha nitafute hela. Ndio ni lazima nifanye kazi kwa utaalamu na utundu wa hali ya juu ili waendelee kusimuliana huko mjini ili niendelee kupata hela.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Wewe…
  • MY DIARY (36)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA SITATULIPOISHIA...Sasa wewe fikiria mimi niliyeletewa zawadi sikujua ni zawadi gani lakini yeye tayari alishafungua na kuchungulia na kujua nini kilifungwa huko ndani.Basi nikaendelea kumuhudumia yule mama huku na yeye akiniambia kuwa itabidi nikimmaliza hizo zawadi tusifungue hapo hapo na waniimbie wimbo wa happybirthday.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Tuliendelea na stori mbili…

MY EVA (22)

JINA: MY EVA
SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI
ILIPOISHIA...
Mara kazmoto aliingia na kukaa upande wa eva kama shahidi wa eva...
Kazmoto!!!!...aliropoka victor bila kujali kua yuko mahakamani...

SASA ENDELEA..
Kesi iliendeshwa kwa masaa kazaa..ilipofika zamu ya kazmoto kusimama kama shahid alisimama na kusema kua victor ndie mhusika wa yote...

Unaushahidi wowote?...aliuliza hakimu
Ndio...ninao.
Mda huo victor alikua ana anamwangalia kazmoto...alikua na waswas kazmoto atasema nini..

Haya ulete huo ushahidi....alisema hakim
Kwanza kabisa...mimi mwenyewe ndie niliekua nikishirikiana nae hadi hatua ya mwisho ya kuwaua adrian na mkewe..

Watu wote mahakamani walishangaa sana kusikia hivyo..
Umesema mlishirikiana!!??...aliulza hakimu
Ndio...
Kwahyo na wewe ni mtuhumiwa?..
Ndio....

Eva alimgeukia kazmoto na kuangalia kwa macho yaliyojaa maswali mengi....
Kazmoto alitikisa kichwa aliashiria kukubali aliyoyasema...eva alichoka kabisa...
Kazmoto aliwataja hata wale ndugu wa marehem waliohusika
Kesi iliendelea na eva alishinda...watuhumiwa wote walihukumiwa miaka 30 jeka kila mmoja.

Hongera eva... Alisema miriam baada ya eva kushinda kesi..
Nashukuru sana miriam maanankama sio wewe na familia yako nisingefika popote....waliongea mengi sana..
Halaf kumbe kazmoto nae alihusika kweny mauaji...alisema eva
Mmh nan kasema..victor??
Yeye mwenyewe...
Mmmh makubwa..
Yaan hadi nimeishiwa pozi huko mahakamani..alisema eva.
=========*

Victor akiwa amekaa anasubir kupelekwa jela...alikua akijiona mtu wa ajab na kujutia sana aliyoyafanya Kwa eva..akiwa na mawazo mara jaji massawe alikuja...alikua kaja kuangalia kesi ilivyoenda...alikutana na eva na eva akamweleza yote..
Hongera eva...mungu amekusaidia...

Baada ya victor kumuona jaj....alimwita.
Unashida gan victor?
Kuna kitu naomba unisaidie...
Kitu gani hicho?....
Kuna mambo nataka niieleze jamii kabla sijafungwa jela.
Yapi?
Victor alimweleza jaji massawe na jaji  alikubali kumsaidia...alimwandalia waandish wa habari.

Eva akiwa njian mara sim yake iliita...alikua ni Danny.
Eva...mama anaomba uje huku nyumbani..alisema danny
Mmmh...haya..alikubali eva huku akiwa na waswasi mkubwa.

Aliahirisha kwenda kwake na akaenda kwao danny.

Alipofika alipokelewa vizur na mama danny.
Walikaa pamoja pale sebuleni na kuongea mengi huku rachel akisisitiza kua eva amsamehe... Wakiwa wamekaa walishangaa kumuona victor kwenye tv...

Mmh...anataka kusema nini victor...alisema rachel.

Victor alianza kusema:

Mimi naitwa victor kama wengi wanavyonifahamu.
Mwaka 1994 nilikua nafanya kazi za kusafirisha madini kwenda nje ya nchi...eneo nililokua nafanya kazi alikuepo bwana mmoja anaitwa adrian...

Siku moja alimshuhudia bossi wangu akimpiga risasi mfanya kazi mwenzetu...bossi alipojua kua adrian amemuona aliniagiza nikamuue ili kupoteza ushaidi..aliniagiza nishirikiane na mfanyakazi mwenzangu ambae ni kazmoto.

Nilipomueleza kuhusu kazi tuliyopewa alikataa, maana adrian alikua shemeji yake...
Nilienda kumweleza bossi kua kazmoto amekataa...boss alimuita na kumtishia kumuua mke na wazaz wake kama akiendelea kukataa....kazmoto hakua na jinsi ilibidi akubali.

Tulipanga kuwauwa kwa kuchoma nyumba yao na kutoroka ili ionekane ni ajali.mimi ndie nilietekeleza huo mpango kwa kushirikiana na ndugu wa marehem waliotaka kurithi mali za ndugu yao...baada ya kuchoma nyumba nikatoweka....adrian na mkewe wote walikufa ila mtoto wao alipona.

Baada ya kumaliza kaz nilimtumia barua kazmin kumtaarifu lakin bahat mbaya ilimfikia mkewe ambae ni dada wa marehem
Baada ya kugundua siri..mke wa kazmoto aliachana na mmewe...

Maria,mke wa kazmoto alimchukua mtoto wa marehem kaka yake baada ya ndugu wa marehem kuchukua mali zote za wazaz wake...alimchukua akamlea...
Na mtoto huyo ni huyu muigizaj maaruf mnaemjua sasa kwa jina la eva( Evalinda Adrian)

Baada ya miaka mingi kupita...mtoto yule alikua akasoma  na akaingia kidato cha tano shule moja na mwanangu Danny...
Siku moja tulienda shjule kumtembelea danny (victor alieleza yote tangu mara ya kwanza kumuona eva mpaka leo hii)..

Kwahiyo naomba watu wote mumtue eva laana na na tuhuma zote mlizomtwisha..hata ile tuhuma ya kumuua jamila ni Mimi nilimzushia...
Asilimia tisini ya skendo chafu za nilikua nahusika Mimi.
Eva nakuomba ulipo unisamehe...mke na mwanangu naombeni pia mnisamehe..shabiki wote wa eva pia kama mkiweza naomben mnisamehe....asanteni kwa kuusikiliza upuuzi wangu hadi mwisho...alisema victor na kuondoka kuelekea jela...

Mama!! kumbe ndo nyiniy mlimzushia eva ile skendo?....mnajua kias gani mliyaharibu maisha yake?..
Rachel alibaki kimya.....
Danny hayo yameshapita na mm nimeshasamehe yote...alisema eva

Siku hyo mitandao ya kijamii ilijaa watu wakifuatilia habari za victor..
""Sasa mmeona nyie mliokua mnarefusha midomo et eva muuaji?""
"Hahaaaa haters wote kimewashuka..mmuache eva wetu"
Zilikua ni kauli za mashabik wa eva ambao walikua wakijigamba sana siku hiyo...

eva akiwa amekaa na danny na miriam...mara alikuja mtu akamuita eva..
Eva alishtuka sana baada ya kumuona shangaz yake.
Shangaz!!!!!!
Mwanangu...mimi nipo hai mwanangu...sijafa.
Shangaz... Eva alienda kumkumbatia shangaz yake kwa machoz ya furaha yakimtoka...
Walikaa wakaongea mengi sana.
Shangaz,, vp..umemsamehe mme wako?
Nishamsamehe maana ameshajutia makosa yake na ametusaidia..halaf hata nisiposamehe sitabadili kitu..
Eva alifrah kuona kazmoto amesamehewa na shangaz yake.

**********MIAKA MITANO BAADAE*******

Adrian,jennifer,  msalimieni babu...alisema eva akiwaambia watoto wake mapacha aliowaita majina ya wazaz wake.maana walipatikana baada ya tabu ya kesi ya mauaji yao kuisha.

Shkamoo babu..
Marahabaa...aliitikia victor aliekua akitumikia kifungo chake mda huo na familia yake ilikua imeenda kumtembelea..

Eva mwanangu ish vizur na danny... Muwalee wajukuu zangu vizur..
Sawa baba aliitikia eva...familia ilimuaga victor na kuondoka.

Baada ya kutoka pale gerezan...danny miriam na eva walienda kutembelea makaburi ya wazaz wa eva..
Miriam...wewe ni rafik mzuri..alisema eva..hata cha kukulipa sina nashkuru sana shost..

Usijali eva..maisha ni kusaidiana..

Baada ya misukosuko yote eva alirudi kwenye chat na kua maaruf kuzid mwanzo....alikua kama jamira..
Aliikumbuka ndoto yake iliyokua ikimsumbua siku zile na kuona kua imetimia maana ni kama alirith nafas ya jamira....
Akiwa anafikiria mambo yaliyopita..alikuja danny huku akinyata na kumkumbatia eva kwa nyuma.

*********MWISHO*********
ASANTENI MLIOKUA NAMI HADI MWISHO

KAMA HAUTOJALI NAOMBA UNIAMBIE UMEJIFUNZA NINI KWENYE SIMLIZI HII YA MY EVA💖💓💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖
👇👇👇👇
BONYEZA HAPA KUCHANGIA

TAZAMA VIDEO HII KISHA BONYEZA SUBSCRIBE CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO
1 My Eva Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni