Notifications
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…
  • MY DIARY (7)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SABATULIPOISHIA...Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yeye alishindwa kushuka akiofika kile kitu kukaliwa na watu…

RANIA (7)

JINA: RANIA
SEHEMU YA SABA
ILIPOISHIA...
Rania, ninakitu naomba unisaidie...alisema Mfalme.

Aaah...kumbe na wafalme hua wanaomba...alisema Rania huku anacheka kwa chini chini.

Mfalme ilibidi atabasamu tu maana hakua na cha kufanya.

Mfalme alimweleza ombi lake Rania...

Nini?...mimi?... Eti niwe....aah..hapana haiwezekani...alisema Rania baada ya kusikia ombi la Mfalme.

SASA ENDELEA..
Rania,hujajua Kwanini nimekuchagua wewe nikiwa najua kabisa huna hiyo taaluma...alisema Mfalme kisha akweka kituo.

Hapana Mfalme, kwa vyovyote vile hii kazi siiwezi..nitawezaje kua mganga mimi?...nitaifanyaje kazi hii nisioijua?.. Alisema Rania.

Rania, hujajua kitu kimoja, naomba nikuelezee kwa mapana zaidi labda utanilewa...alisema Mfalme.

Mimi ni mfalme hapa..lakini naendeshwa sana na baadhi ya watu katika ikulu hii akiwemo mwanangu wa kumzaa mwenyewe.

Jukumu la kuchagua mganga ni langu kwakua watu wanaamini mfalme pekee ndio anaweza kupata maono ya kuchagua Mganga wa nchi kitoka kwa mizimu jambo ambalo kimsingi sio kweli.

Mimi tangu niwe Mfalme sijawahi kupata hayo maono.

Ingawa jukumu hilo ni langu, lakini kila mganga ninaemchagua anaishia kua kibaraka anaefuata anayoambiwa na mwanangu Azza pamoja na viongozi wanoshirikiana nae kwenye njama zao.

Maskini mwanangu hajui nia halisi ya watu anaoshirikiana nao...alisema mfalme kisha akanyamaza kwa muda mfupi kidogo.

Kila mganga hua anafuata mashariti yao maana hua wanampatia vitisho na wanamuonya kua akithubutu kusema kwa Mfalme atakufa yeye na familia yake kabla hajaonana na mfalme... Alisema mfalme.

Rania, naamini wewe ni jasiri sana,kama hukuniogopa mimi sizani kama utawaogopa wao.kwahyo nahisi hawataweza kukutumia kama walivyo watumia wengine maana wewe hutishiki..nakuomba kubali ombi langu..nchi hii itaingia pabaya sana kama wale nyang'au watafanikisha kuiteka...alisema Mfalme.

Mfalme, kwani mganga akiendeshwa na wao kuna tatizo gani kubwa sana?..aliuliza Rania

Tatizo lipo..katika nchi hii mganga ananguvu sana maana kila alisemalo watu huona limetoka kwa mungu..katika nchi hii mganga anakazi kubwa mbili ambazo Mfalme haruhusiwi kuzipinga..moja ni kuchagua mrithi wa kiti cha Mfalme endapo kuna wana wa mfalme wawili wanaolingana..hapo lazima mganga aiulize miungu.

Pili ni uchaguzi wa malikia mpya kama ikitokea malikia akafa..mengine yote nina uwezo wa kuyapinga hata kama mganga akijidai kutabiri...alisema Mfalme.

Azza anashirikiana na  waziri mkuu wa hii nchi na wanatumia mganga ili kwamba aseme kua Azza ndo mrithi sahihi maana kuna mwanangu mwingine aliezaliwa siku moja na Azza

Azza anahofia kua ataikosa hiyo nafasi maana yeye no mtoto wangu lakini sio wa malikia na malikia ndo mweyr huyo mtoto anaelingana na Azza...alisema mfalme

Lakini mfalme, kwani mganga aliepo utamtoaje?..aliuliza Rania

Hayupo alipata ugonjwa mbaya akafariki...alisema Mfalme

Rania anomba unisaidie katika hili maana ninavyomjua Azza akiwa mfalme hii nchi haitadumu.. Alisema mfalme.

Sasa kwenye mambo mengine unazani itakuaje wakati sina ujuzi?..alisema Rania.

Kiukweli mganga aliekuwepo hakua akijua kitu chochote kuhusu uganga..  Nilidanganywa enzi hizo sijajua nia yao nikamchagua kua mganga..

Sasa Kumbe walikua wamemwandaa halafu mganga aliekuwepo kabla ya huyu aliekufa juzi juzi,walimkamata wakamfungia kwa siri ikasemeakana amekufa halafu wakawa ikitokea shida kwenye nchi wanamfuata na wanamuuliza na akisema wanatishia kumuua mke na watoto wake.  Kwahyo ikajulikana kua huyu aliekufa juzi juzi ni Mganga mzuri kumbe muongo..

Sasa  hao waganga wote wawili pamoja na huyo wa zamani wamekufa halafu mimi nina mganga wangu wa siri ndo atakua anakupa ufumbuzi wa matatizo . anaishi himu kwenye chumba cha siri.... Alisema mfalme.

Mmmh....humu ikulu kuna mambo jamani...alisema Rania

Rania alifikiria kwa muda kidogo kisha akakubali ombi la Mfalme wa Lazi.

Mfalme, nimekaa sana nikafikiri nikajua kwanini umefanya maamuzi ya kumfanya Rania mganga, nakukubali sana Mfalme, una maamuzi ya haraka na akili yako inafikiria mbali kwa muda mfupi... Alisema mlinzi wa mfalme wa Lazi akwa anaongea na mfalme

Mara ya kwanza nilimtaka Rania ili aje awe mke wangu sababu ua urembo wake,lakini baada ya kuiona tabia yake nikaona ni bora zaidi awe mganga kwa ajili ya mema ya nchi yetu.

Kesho yake Mfalme aliitisha kikao na viongozi wa nchi yake ili awatambulishe mganga mpya Rania.

Muda huo Rania  alikua akivaa mavazi ya kiganga.

Mmnh.. Jamani hivi ntaweza kweli!!!  Ngoja nijaribu..

Tdgi..tsjhhjs..shsusms .   alisema Rania maneno ambayo hayapo eti hapo ni Mganga anapiga ramli

Mmmh jamani . mimi mrembo hivi niwe Mganga jamani.. Hata mzimu watanitongoza😂😂....mmh..Rania mie...alijisemea Rania  kimoyomoyo.

Baada ya muda Rania alitambuliswa mbele ya baraza na viongozi wakatawanyika baada ya utambulisho..

Hivi Mfalme ameamua kuchagua mganga bila kutushirikisha!!!...alisema mama yake Azza.

Et anadai ameoteshwa....ameamua tu kutuzunguka...sijajua kwanini kamchagua binti ndogo vile.. Pole yake..hata huyo tutammiliki... Alisema Azza.

Azza fanya mpango haraka utafute wazazi wa huyo Rania wanaishi wapi..akikataa ushirikiano wetu tutawafanyia kitu kibaya....alisema waziri mkuu.

Hilo wazo liko vizuri sana nitahakikisha najua...alisema Azza huku anatikisa kichwa..NINI KINAFUATA?.

USIKOSE SEHEMU YA NANE

TAZAMA VIDEO HII KISHA BONYEZA SUBSCRIBE CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO
2 Rania Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni