Notifications
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…
  • MY DIARY (25)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TANOTULIPOISHIA...Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…

MTAA WA TATU (46)

Mwandishi: Hafidhi J Ikram

SEHEMU YA AROBAINI NA SITA
Vilio vya majini vikaweza kusikika ndani ya chumba hicho kisha Mwanaume akatoka akiwa katapakaa damu Minjino imetokeza utasema vile zombie
Au Vampire

NIOMBE SAPOTI, BONYEZA TANGAZO LINALOKUJA NA KUJAA KWENYE SIMU YAKO WAKATI UKIFUNGUA SIMULIZI AU LILE LINALOKUWA KATIKATI YA SIMULIZI ZETUKABLA HAUJAIFUNGUA NDANI, PIA KUNA LILE LINAKUJA NA KUNG'ANG'ANIA HAPO CHINI, BONYEZA WALAU MARA 3-4 HIVI HIYO NDIO SAPOTI YAKO KWANGU, TAFADHALI NIPE NGUVU NAKUTEGEMEA SANA MSOMAJI WANGU
SASA ENDELEA...
Ibnuwasi akamsogelea na kumshika kichwani akasema
“sina budi kukupa na nguvu zangu wewe ni damu yangu",,,,kitu kama tetemeko la
Aridhi likatokea yote ilikuwa nguvu akipewa
Hafidhi na baba yake
Ilichukuwa dakika kama kumi kila kitu kutulia
Kauli moja tu akaitowa
Hafidhi
“namtaka Makata"
Kisha akapotea".......

Zote zilikuwa ni hasira kutoka kwa bwana mkubwa Hafidhi kwa kusema anamtaka huyo Makata,
“sasa huko duniani kutakuwa hakutoshi,
maana ameshaweza kujitambuwa kwa upande wapili yeye ni nani,
itakuwa balaa juu ya balaa,"
Bibi yake akatamka hivyo huku akitabasamu
“lakini mama si ulisema mwanangu hatuko nae tena duniani imekuwaje kawa mzima?"
Ibnuwasi akauliza swali,
“kusema kweli hata mimi mwenyewe sijui nini kimetokea juu yake mpaka mapigo ya moyo yakarudi tena hewani
Maana yalikuwa kimyaa kabisa, kuonyesha amekufa"...
“basi utakuwa ni muujiza kwa upande wetu!"
Hafidhi baada kutoka upande wa
Majini akashika njia kuelekea kwa bibiye
Mariam hakika safari ilikuwa ndefu kidogo kwa upande wake akahitaji kuangalia
kuhusu watu wake wa karibu kwa muda huu wanafanya nini,
Basi akainama na kuchora kitu kama TV kisha akatemea mate na kutamka maneno fulani
TV ikawaka na kuleta picha kwanza kabisa akaweza kumuona
Mariam akiwa jikoni akipika wakati
Sebuleni kuna wageni kama watatu hivi
akawatasmini kwa haraka na kugunduwa ni ndugu zake Mariam
Akaigusa ile TV picha ikamuonyesha
Vivian akiwa kitandani amekaa huku akiongea na simu,
Akajiuliza anaongea na nani maana hakuweza kuyasikia yale mazungumzo, akaigusa aweze kumtazama sijui nani
Akashtuka baada kumuona
Jackson akiwa kashikwa na yeye huku akipuliziwa sijui nini,

“what? Huyu nani tena mbona kafanana na mimi katokea wapi huyu kiumbe kudadeki wacha nimuwai Jackson"...
Hafidhi akajiuliza maswali huku akikimbia kwa speed ya ajabu, ni kweli Jackson alikuwa katika hali mbaya baada kumuuliza
vipi mbona kama nikikugusa mwili wako una kama short.
Basi kiumbe kile kimuonekano kama Hafidhi mwenyewe kwa ghafla akamshika Jackson kichwani na kufanya kama anamsuka kumbe alikuwa akifanya vitu tofauti.
“mmh kumbe wee kaka unajuwa kusuka ehee?"
Kuna binti mmoja aliuliza hivyo baada kuona Jackson akisukwa kumbe sivyo,
“ndio Dada yangu vipi kwani unataka kuja kusuka?"

“ndio maana yake si unaweza kusuka kila aina ya mitindo?"
“ndio yani hapa ni mwisho wa matatizo ukitaka
Yeboyebo sijui kimasai vitunguu nywele tano
Kijogoo misuko yote nasuka"
Hafidhi alianza kujinadi hivyo.
“ohoo basi vizuri sana nahisi Mke mwenzangu hapati shida ya kwenda saloon, maana mume yupo na mitindo yote.
Anajiwekea kichwa tu"
Hafidhi akabaki kutabasamu huku Jackson akijichekesha kama vile zoba.
“sasa wacha mi niende nikajiandae nahisi mpaka ummalize huyo
Rasta Jackson nitakuwa nishafika,
”sawa mrembo wewe tu na roho yako,
Baada binti kuondoka Jackson akaingizwa chumbani kilichomtokea ni mateso juu ya mateso kwanza akalawitiwa na kiumbe hicho Jackson alilia kwa uchungu
Mpaka kufikia kupoteza fahamu kiumbe ana zinga la andunje utasema mguu wa tembo, fikilia umepita kwenye kitundu cha
Jackson kwanza alimchana damu zikamtoka,
Baada kukizi haja zake akambeba na kwenda kumbwaga katikati ya uwanja tena mchana kweupee,
Kiumbe kikacheka na kupotea eneo hilo,
Wapita njia waliweza kuona katikati ya uwanja mwili wa mtu umelala ikabidi wasogee kutaka kujuwa kunani.
Kila mmoja akashtuka baada kushuhudia mwili wa Jackson ukiwa unavuja damu kwa wingi ikabidi achukuliwe na kuwahishwa hospitali,
Vivian akiwa chumbani kwake akasikia mlango ukibishwa hodi
Akaenda kufunguwa kwanza hakuweza kuamini baada kumuona kipenzi chake .
Hafidhi amekuja akamkumbatia kwa furaha na kuanza kunyonyana denda,
,,,,aaaah,,aaaah,,,,mmmmh,,,,a
aaaaiishhhiiiiiii,,,aaaaaaiiiiiiiiiiiii,,,,,,
Vivian akaanza kutowa miguno baada Hafidhi kuipekenyuwa chupi ghafla Vivian akashtuka na kumsukumiza mpenzi wake pembeni
“vipi mpenzi mbona unanisukumiza?"
Hafidhi akauliza hivyo huku akimsogelea.
“please ishia hapo hapo wewe sio
Hafidhi ninaemjuwa mimi sio wewe tokaa
Kitendo bila kuchelewa
Hafidhi akajikuta anapigwa teke kwa nyuma akayumba kwa kupepesuka kugeuka
Hafidhi mwingine yupo mlangoni hakika Vivian hakuweza kuamini na kujikuta akipoteza fahamu,

Baada bibiye kuanguka chini na kupoteza fahamu kila mmoja akamtazama mwenzie na kuulizana wewe
nani. Hakika walikuwa wamefanana kila kitu, kuanzia sura umbo rangi na mavazi yao. Ilikuwa vigumu
kuweza kufahamu ni yupi Hafidhi original. Yule ambaye ndio alikuwa wakwanza kufika na kukumbatiwa
na bibiye Vivian kisha akasukumizwa akatoka mbio kwa kupitia dirishani, Hafidhi aliyebaki hakutaka
kufanya hivyo akamtizama bibiye pale chini, na kwenda kumbeba kisha akatoka nae nnje ilikuwa ni
kitendo cha haraka kumuwaisha hospitali.kwa bahati nzuri aliweza kupokelewa baada hapo akampigia
simu bibiye Mariam na kumuomba afike haraka sana katika hospitali ya Magomeni, Mwanaume akabaki
kukuna kichwa hakuweza kutulia kabisa yani alitembea huku na kule kwenye korido hiyo ya hospitali,
dakika si nyingi Mariam nae akafika kwanza wakakumbatiana “vipi tena baby kitu gani kimetokea?’’
Mariam akauliza kwa shahuku ya kutaka kujuwa, “sijui hata nisemeje maana dahaa nilimkuta kalala chini
hajitambui kabisa sijui nini kimemtokea aisee!
“kwani Daktari amesemaje?’’
“bado sijaweza kupata majibu yeyote yale kwakifupi hapa nilipo nimechanganyikiwa si kidogo, “basi pole
my dear cha umuhimu tuombe duwa Vivian aweze kupona’’ baada Mariam kusema vile maneno yenye
kutia faraja basi wakakaa kwenye benchi wakiongea hili na lile ndipo mlango wa wodi aliyofikishwa
bibiye ukafunguliwa kila mmoja akasimama na kwenda mbio waweze kufahamu kuhusu hali ya mgonjwa
wao, Daktari akatoka ndani ya chumba hicho huku akiweka miwani yake sawa, “vipi Daktari hali ya
mgonjwa wetu inaendeleaje?’’ Mariam alikuwa wa kwanza kuuliza swali, Daktari akatabasamu na
kusema “nifateni ofisini’’ basi wakaongozana mpaka ndani ya ofisi moja hivi wakaingia humo na
kukaribishwa kwenye vit.
Daktari kwa uso wenye kujawa na bashasha akawatizama kwa zamu na kuwauliza “nyinyi mna uhusiano
gani gani na mgonjwa?’’ Hafidhi akajibu kwa kusema “mimi ni mumewe huyu ni dada yake’’ “ok! Vizuri
sana sasa naweza kuwaambia kitu kimoja kuwa mgonjwa wenu yuko salama sema kuna tatizo moja
limeweza kujitokeza ndani ya mwili wake’’,,,

“Daktari tatizo gani tena,
Hafidhi akashikwa na kitete kijasho kikamtoka,
“kijana kwanza punguza jaziba tulia kwenye kiti niweze kukwambia nini tatizo"
Basi Hafidhi akarudi kukaa kwenye kiti maana alikuwa kasimama,
“naweza kukwambia yakwamba mkeo kipenzi amepoteza kumbukumbu zake zote,
“what? Unataka kusema hawezi kukumbuka chochote kuhusu maisha yake ya nyuma,
Mariam nae akauliza akiwa kama vile hajaweza kusikia chochote,
“ndio maana yake cha kushukuru
Yeye ni mzima mwanae kiumbe kilichopo tumboni kinaendelea salama,
Ninachowaomba mjitahidi kuwa karibu nae kwa kumkumbusha hiki na kile
Huwenda akarudisha kumbukumbu zake kidogo kidogo"

“Sawa Daktari tumeweza kukuelewa kila kitu vipi kuhusu malipo na je tunaweza kuondoka na mgonjwa wetu kwa wakati huu?"
“kuhusu malipo inaitajika shilling elfu ishillini tu mgonjwa hali yake bado haijatengemaa kivile itabidi abaki hapa kama wiki moja hivi akipatiwa huduma za hapa na pale,
Hafidhi akapiga mahesabu kichwani kwake na kuona kama akifanya uzembe kile kiumbe kitakuja tena,
Akajisemea moyoni mwake
wacha iwe habari akamshika mkono bibiye Mariam na kumnong'oneza kitu,
Kisha akaondoka kwa kasi baada kutoka nnje ya hospitali hiyo, akaingia ndani ya daladala inayokwenda Mbagala
hakika alikuwa na mawazo mengi sana kichwa kilimuuma,
“oyaa wee boya acha kuniegemea,
ilikuwa kauli ya jamaa fulani akimwambia
Hafidhi ambaye alikuwa anasinzia.
Hafidhi hakuweza kushituka jamaa akachukuwa hatua ya kumpiga kibao cha kichwa
“wee Malaya husikii nimekwambia usiniegemee kitu pahaa
Mpaka akayumba na kujigonga kwenye chuma cha gari
Akili ilikuwa haijakaa sawa kabisa
hakutaka kujiuliza sana nae akamfumua zinga kofi yule jamaa akayumba na kwenda kujigonga kwenye kioo cha gari
Kioo kikavunjika,

Dereva akasimamisha gari
yeye na konda wake walishikwa na ghadhabu baada kioo kuvunjwa, konda akamkunja
Hafidhi na kumvuta kwa nnje,
Hafidhi hakutaka kutoka ndani ya gari
Baada kuona konda anazidi kumvuta kama haitoshi akapigwa makofi
ya haraka haraka
Wakati yule aliyebamizwa mpaka akavunja kioo akiwa kashikwa na Dereva kule nnje.
Abilia wakaanza kushangilia
“ndio mchomoe nnje huyoo bwege tu,
Ghafla wakashtuka na kutulia kimya baada konda kufumuliwa ngumi sijui teke
Akaonekana akitupwa kupitia dirishani akatuwa nnje utasema mzigo wa kuni
Uso hautamaniki baada kuchanwa
Chanwa na vioo, dereva nae hakutaka kujiuliza akaitaji kuingia ndani ya gari.
Ile kufika tu mlangoni
Mwanaume akaruka kutoka kwenye gari utasema anaingia kwenye swimming pool
Mateke mawili double yakatuwa kifuani kwa
Dereva akatupwa kule,
Kisha Mwanaume akaibuka kwa nnje
si kuna baadhi ya abilia wakataka kujifanya kujuwa, kila aliyejalibu kumshika au kumsogelea
Wakaishia kupigwa teknik za maana
kuna jamaa mmoja alishikwa kisha kichwa chake kubamizwa kwenye
Bati sehemu ya mlango,
hakika ilikuwa balaa mpaka polisi wanafika maeneo hayo yeye kapotea kitambo
sijui kaelekea wapi na kuacha majeruhi.

Hafidhi kusema kweli hakuwa sawa kabisa,
“Tausi"...
“abee" “unamuona yule kaka anaekuja"
“yupi?"
“si yule mkaka mwenye T-shirt nyekundu,
“ahaa kumbe yule nimemuona"
“basi mara ya mwisho nilimuona akimsuka
Marehemu Jackson"...
“sasa kumsuka tu ndio unataka kumuhusisha na mauwaji au?"
“sio kama nataka kumuhusisha na mauwaji nimekwambia tu yule mkaka anajuwa kusuka balaa"..
Nyumbani kwa kina Jackson kulikuwa na msiba kijana wawatu kipenzi cha watu, Jackson alikuwa kapoteza maisha
Watu walilia wengine wakabaki kusikitika na kujiuliza hao wauwaji wametokea wapi.
Maana vijana wote wakitaa kile ni masela wake.
Hafidhi nae akajumuika kwenye msiba huo akaweza kutowa rambirambi zake na kujisemea moyoni mwake.
“nenda ndugu yangu nenda hakika kwahili
Nitakulipia, basi mziki ukaekwa kama ujuavyo misiba ya Kikristo
Watu walikunywa pombe na kusikiliza nyimbo za maombolezo, Yani kwaya, ndani ya
Usiku huo mwanaume akatoka na kwenda sehemu moja hivi
Ndani ya clab
Kulikuwa na zinga la part watu wakipari na kuchizika yote ni kupoteza stress

NAOMBA SAPOTI, KUNA MATANGAZO(ADS) YANAJITOKEZA KWENYE APP YETU, LIMOJA LINAJAA KWENYE KIOO CHAKO JINGINE LINANG'ANG'ANIA HAPO CHINI KABISA, BONYEZA JAPO MARA 2 AU 3 KILA UKIFUNGUA SIMULIZI HIYO ITANIPA NGUVU YA KUENDELEA ZAIDI NA SIMULIZI ZETU🙏🙏

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO



USIKOSE SEHEMU YA AROBAINI NA SABA

Maoni, Ushauri na Chochote Share Namimi Katika Mawasiliano Haya:
+255 718 274 413 Ipo WhatsApp
+255 764 339 438
ZephilineEzekiel@Gmail.Com
9 Mtaa wa Tatu Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni