Notifications
  • THE NIGHTMARE (7)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SABAILIPOISHIA...“kha!!!!”Ulikua mshangao mkubwa kwa watu karibu wote baada ya kumuona Sharji akiwa na taulo akitoka chumbani kwa Balqis.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wengine walicheka na kaka yake alionekana kutoifurahia hali ile.“sasa wewe unatutia wasi wasi bure, si ungesema tu kama unaenda kulala kwa huyu dada?” aliongea kaka yake na kukirudia kile chumba alichompangia…
  • THE NIGHTMARE (6)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SITAILIPOISHIA...“toa loud speaker bwana.”Aliongea Balqis baada ya Sharji kubonyeza kitufe cha kupaza sauti.“kwanini hutaki nisikie maongezi yenu?” aliongea Karimu kwa sauti ya ukali kidogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“kwani kuna ubaya mimi nikiongea private na mdogo wako?” alijibu Balqis baada ya kuisikia sauti ya Karimu.“hakuna ubaya.” Alijibu Karim kwa sauti ya…
  • THE NIGHTMARE (5)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TANOILIPOISHIA...Alijikuta outomatic akijisemea kwa mshangao baada ya kumuona dada mmoja mrembo mwenye asili ya kiarabu akiingia mule ndani. Hakuvaa ushungi kama alivyowazoea kuwaona waarabu wengi ambao alikutana nao. Huyu alivaa suruali ya jeanz nyeusi na juu akiwa na kikoti chake cheusi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Kati kati kulikua na nguo Fulani nyeupe iliyonakshiwa…
  • THE NIGHTMARE (4)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NNEILIPOISHIA...Aliongea Khalidi na kuufungua mkanda wa suruali yake na kuanza kumtandika Karim.“unanipiga mimi?...utaona!”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Aliongea Karim na kuondoka huku analia.*****************************Zilipita wiki mbili bila ya Karim kuonekana nyumbani kwao. Sabra alisikitika kidogo kutokana na kuwapenda sana watoto wake japokuwa huyo mtoto mkubwa hakuwa…
  • THE NIGHTMARE (3)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TATUILIPOISHIA...Akiwa hewani akikata mawingu kurudi Tanzania, kichwa chake kilikua na mawazo mengi sana juu ya mume wake. Aliikumbuka siku waliyofunga ndoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Pia alijua kwanini mume wake alipendelea kufanya kazi uingereza na yeye kumfungulia ofisi huku huku Tanzania. Hakujua kuwa kazi anayoifanya mumewe ni ile ya kutembea na tajiri mkubwa…
  • THE NIGHTMARE (2)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA PILIILIPOISHIA...Khalidi alishangaa kuitwa na mtu asiyemfahamu. Alitoka na kwenda kumuangalia huyo mtu maana kiukweli hakua na ndugu aishie hapa Dar hata mmoja anayemfahamu..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Alipigwa na butwaa baada ya kumuona Sabra pale.“ahsante mungu.” Aliongea Khalidi baada ya kumuona tu yule binti pale.“pole sasa kaka yangu, nisamahe mie.” Aliongea Sabra kwa…
  • THE NIGHTMARE (1)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA KWANZANi kipindi cha mvua za masika. Upepo mkali, na mvua kubwa iliendelea kunyesha kwa kasi kila kona ya nchi ya Tanzania.Ipo mikoa iliyofurahia mvua hizo kwa kuwa walikua wanaisubiria kwa hamu kwa ajili ya kilimo. Lakini ipo mikoa iliyokua inapata shida kwa uharabifu wa mazingira na mengineyo mengi.Moja ya miko hiyo ni Dar-es-salaam. Watu wanaoishi katika mkoa huo walichukia mvua mfululizo kutokana na sababu mbalimbali. Biashara nyingi…
  • MY DIARY (50)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA HAMSINITULIPOISHIA...Nilimnongo’oneza kuwa atumie kinga ili nisimwambukize ukimwi akanijibu kwa sauti ya mahaba nisiwe na hofu yeye yupo tayari kufa kwa ajili ya penzi langu hivyo hawezi kutumia kinga kwa mke wake aliyemoa tena siku muhimu kama hiyo.Sikutaka kumbishia yeye ndo muaamuzi wa mwisho kuhusu afya yake hivyo nilimuacha aendelee kufanya yake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kumbe na…
  • MY DIARY (49)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya maneno ya kusilimu ambayo waliambiwa wayatamke kiongozi huyo alisema neno ya mwisho kabla hajashuka.” Kila alie na akili timamu, mwenye busara naa anaetaka haki, na kusimama pamoja na haki, basi akiangalia dunia ilivyo na jinsi inavyokwenda basi lazima kutakuwa na nguvu kuuu nayo ni mwenyezi mungu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuna vitu vingi sana…
  • MY DIARY (48)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA NANETULIPOISHIA...Familia yangu haikukubali kabisa mimi kuolewa na rangi nyeusi hivyo walinitenga na kusema hawanitambui kuwa mimi ni ndugu yao.Lakini kutokana na mapenzi mazito niliyokuwa nayo kwa baba yake na Leah nilijikuta nipo tayari kwa lolote hivyo nikahama na kwenda kuishi Tanzania.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Katika miaka hiyo tuliyokaa nilibahatika kupata mtoto huyu…

MUWASHO (13)

Ukeni, wa Ngozi, Sehemu za Siri, Sehemu ya Kumi na Tatu

Jina: MUWASHO
Mwandishi: Seif Jabu

SEHEMU YA KUMI NA TATU
ILIPOISHIA...
Baada ya kutawanyika binti huyo aliwatishia vijana wawili kwa bastora na kuwambia wamuingize kwenye gari yake,

Baada ya patashika za hapa na pale yule binti aliondoka eneo hilo akiwa na Seif ndani ya gari,

Scola, Monica na Dokta walifika eneo la tukio ila hawakumkuta Seif eneo hilo,

WAKATI UNAFUNGUA KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE WALAU KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
KAMA UPO NJE YA APP INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
"Atakuwa wapi?"

"Tuulize,"

"Si unaona watu wako makundi makundi tusogeye tusikilize wanayo zungumza,"

Waliwasogelea na kuanza kusikiliza watu wanachozungumza, walianza kufuatiria maongezi ili kuona kama watapata muongozo wa kumpata Seif,

"Kwa kipigo kile haponi mtu kabisa,"

"Lakini kaperekwa hospital anaweza kupona,"

"Aaaa.. Wapi si wakupona yule,"

"Yule hata akipona atakuwa na kirema cha maisha,"

"Hiyo ni kweli kile kipigo siyo cha mchezo,"

"Amshukuru yule Demu wa kihindi kumchukua na kumpeleka hospital,"

"Jamaa ana nyota huyo yule Demu sijui katokea wapi,"

Monica na wenzie walienda pembeni wakaanza kujadili Yale waliyoyasikia,

"Inaonesha kuna mtu amemchukua tena binti wa kihindi? wanajuana vipi?"

"Hatuwezi kujua wanajuana vipi? Ila cha mhimu ni sisi kujiunga na kuwa kitu kimoja tukamtafta,"

"Sawa,"

Upande wa pili Seif alifikishwa katika hospital ya Aghakan akapokelewa na manesi waliomkimbiza Chumba cha wagonjwa mahututi ila walipomfikisha mlangoni ilikuwa tabu kupokelewa,

"Kuna mgonjwa wa jinsia tofauti humu,"

Yule binti akahoji,

"Inamaana mnachumba kimoja tu cha wagojwa mahututi?"

"Hapana, kuna tatizo la kiufundi limetokea ndio maana tunatumia chumba hiki kimoja,"

"Kwa hiyo nifanyeje? Mtu wangu afie hapa?"

"Hapana ngoja tutoe gari ya wagonjwa wamuwahishe Regency Hospital,"

Wakiwa katika mabishano ya hapa na pale Dokta Sharihiya kutokea nchini India aliamuru Seif naye aingizwe humo ndani apatiwe matibabu,

"Muachane aingizwe humo, chukueni kitanda kingine mumuwe mgonjwa,"

"Sawa,"

"Arafu mwite Dk. Hamiyah aje amshugurukiye,"

"Sawa,"

Madaktari zaid ya kumi walijifungia humo ndani na kuanza kutoa huduma kwa wagojwa wote wawili,

Binti wa kihindi alikaa nje kusubiri kujua hatima ya Seif itakuwa nini kupona au kufa,

Akipoteza maisha nitafanya nini? Mwili nitaupeleka wapi simjui ndugu yake hata mmoja?

ila akiwa Muislam itakuwa rahisi nitatoa taarifa msikiti wowote ule watamzika,

ila kwa baadae ndugu zake wakijua si nitakuwa kwenye wakati mgumu?

Akiwa katika mawazo mengi Dokta Hamiya alitoka nje akauliza,

"Ndugu wa mgonjwa wa Mernah yuko wapi?"

"Nipo,"

"Na ndugu wa Seif?

" nipo,"

"Sawa tuwe hapo hapo Dokta Sharihiya anakuja kuwajuza hali za wagojwa wenu,"

"Sawa,". Wote waliitika.

Baada ya Dakika tano Dokta Sharihiya alitoka akiwa na madokta wote waliokuwemo humo ndani, ila sura zao ziriashilia habari mbaya,

"Ndugu zangu nasikitika kuwapa taarifa mbaya za wagojwa wenu siyo kosa letu kwani tumejitahidi kwa uwezo wetu ila tumeshindwa,"

"Tupe majibu acha kuzunguuka,"

MWISHO

Umeyaona Matangazo?
Yabonyeze Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
46 Muwasho Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni