Notifications
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…
  • MY DIARY (7)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SABATULIPOISHIA...Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yeye alishindwa kushuka akiofika kile kitu kukaliwa na watu…
  • MY DIARY (6)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SITATULIPOISHIA...Akanambia kuwa wamemwambia wapo East Africa Pub na tayari wamaeshaagiza mkuu wa mbuzi. Mmmmhhhh kusikia mguu wa mbuzi mate yalinijaa mdomoni. Basi kwa harakaharaka nikamwambia naomba niende niende nyumbani nikachukue viwalo vya club kisha nitawakuta hapo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinambia mbona hizo nguo ulizofaa zipo poa tu wewe twende hivyo bhana si upo na…

MUWASHO (10)

Ukeni, wa Ngozi, Sehemu za Siri, Sehemu ya Kumi

Jina: MUWASHO
Mwandishi: Seif Jabu

SEHEMU YA KUMI
ILIPOISHIA...
"Ndio ilaa..ilaaa….,"

"Ila nini?"

"Sikia nikwambiee yule binti alijua mipango yetu alikuwa nyuma ya dirisha wakati tunaongea kuhusu kumuuwa Mernah,"

"Hata kama alijua hakufaa kuuliwa yule ni mtu mhimu kwangu,"

WAKATI UNAFUNGUA KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE WALAU KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
KAMA UPO NJE YA APP INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
"Ndio hivyo imeisha tokea sasa hakuna uwezo kurudisha roho yake,"

Upande wa pili Ivete alikuwa akiendelea kutoa huduma kwa Monica ili aone kama anaweza kuwa kurudi katika hali ya kawaida japo kwa asilimia 50%, baadhi ya vifaa vingine alimtuma SEIF akavilete katika hospital aliyokuwa anafanyia kazi ili kujaribu kurahisisha matibabu,

"Seif mtu aliyefanya haya nini?"

"Kufanya nini?"

"Kumchoma huyu binti chupa katika sehemu zake za siri?"

"Sifahamu chochote kwakeli,"

"Kama hufahamu umemleta vipi hapa"

"Anaye fahamu ni yule binti aliyeko sebureni,"

"Seif hebu niambie kitu kimoja hivi bado unanipenda kweli?"

"Ivete tumalize kumganga kwanza huyu mgojwa hayo tutayaongea baadaye,"

"Mgonjwa inabidi apumzike kwanza mpaka hiyo dripu imalizike,"

"aahh!!"

"Niambie kitu Seif,"

"Lakini Iteve miaka yote miwili iliyopita hatuko pamoja hujapata mwanaume mwingine,"

"Sijamkosa, ila sijapata ninayempenda kama wewe ninavyo kupenda,"

"Ivete hayo tutayazungumza siku nyinine au mda mwingine,"

"Mimi nataka sasa hivi,"

"Ivete nielewe basi,"

Ivete hakuelewa alichofa alimdaka Seif mdomo akaanza kuunyonya huku mikono yake ikiwa katika sehemu mbali mbali za mwili,"

"Ivete hebu acha basis,"

Seif alimtoa Ivete asiendelee kumnyonya nyonya,"

"Seif miaka miwili yote iliyopita sikuwahi kuwa na mwanaume tafadhali badili karenda yangu,"

Ivete alikuwa moto tena moto wenyewe wa kifuu, alikuwa kama mtu mwenye njaa ya wiki ameona siku hiyo chakula,

Ivete alirudi tena kwenye mwili wa Seif na kuanza kumnyonya ila safari hii na seif akimpokea wakaanza kudendeka huku wakipapasana kimahaba ili kuongeza chachu ya mamaneno

Hali hiyo ya kudendeka ili hali kuna mgonjwa mahututi mbele yao ilinifanya nimkumbuke Mtunzi wa mashairi wa zama za kale aliyeitwa Seif Jabu alitunga shairi hili,

*mapenzi ni upofu……mapenziii….

*Mpenzi nipe dira……mpenziii…..

*nitakosa muelekeo..Mpenzi wee…

*mbele sionii nyuma sihisiii…….

Hayo maneno ya Mtunzi yalikuwa kweli kabisa kwani mapenzi yalimfanya Ivete asione mbele kama kuna mgonjwa mahututi wala asihisi kama Mernah yuko sebureni anaweza kuingia ndani wakati wowote,

Denda ziliendelea na kushikana shikana kulizidi mala dufu mpaka ikafika hali ya kuanza kupunguziana nguo katika miili ya,

Dakika kumi ni nyingi sana kila mmoja alikuwa kama alivozaliwa na mama yake na kiwanja cha Iteve kilianza kutoa umaji maji kuashilia kuwa kiwanja kiko tayari kwa michuano, Seif naye aliona akikaguwe kwa kukishika kwa kutumia mkono wake ila katika kukikaguwa alitumia ujuzi wa vidole haswa kidole cha kati kwani alikuwa kama anaandika jina la muwekezaji katika kiwanja hicho,

Kiwanja kilizidi kutota na Seif naye akazidi kukifanyia maboresho kwa kutumia kidole chake cha kati,

Seif alitumia kidole kuchezea kila kona ya kiwanja alienda zaidi mpaka kwenye kuta za ndani na kuanza kuzichonoa kana kwamba anatafta mchanga mdogo uliokwama humo,

Ivete aliona wapi subira ilimuuwa fikira, alichofanya alianza kufanya utundu wake ili seif amalize mambo,

"Seeee….if, axciiii…..ohhhuueee….ingizaaa…,

Ivete alianza kuomba timu iingie uwanjani kwani maandalizi aliyofanya aliona yanatosha kabisa,

" Seiiifff…..awuuueee ….. Hapooo seif….seif….ashiiiii……usitoeee kidole hapooo….. Ayiweee,

Seif alikuwa amefikisha kidole katika ukuta wa tatu akakutana na tugoroli akaanza kutupiga na kidole chake kwa mfano wa kijiji cha katelero,

"Seee…..if seif……sitokuachaaa….uchukuwa vyoteee mpaka moyo wanguu…..,"

Ivete alianza kutema cheche ya maneno kwa seif mpaka kufikia kumwambia na moyo auchukuee..

"Seiiiiif… Ahuuuu….wweee…. Ayii….

Wakati yote hayo yakiendelea kumbe tayari mgonjwa alikuwa ameisha pata fahamu,

Monica aliposhituka kutoka usingizini alijionea mambo ambayo yalimshangaza cha kwanza alishangaa hapo alipo kafikaje? Pili alijiuliza kuhusu kile kitenda kinachoendelea pale kwa nini kinafanywa mbele yake?

Mbona sielewi kinachoendelea hapa? Niko wapi hapa? Nimefikaje hapa?

Monica alijiuliza maswali ila katika yote alikosa majibu take akabaki kushangaa kinachoendelea pale katika chumba hicho alimocho,

Seif alizidi kumchezea mtoto wa kike mpaka akakosa cha kufanya kwani kadiri seif alivyozidi kuchezea groli zile ndio akishi zilizidi na kumfanya mtoto wa kike kukosa mwelekeo akabaki akitoa miungurumo ya kila aina,

"Seif….seeee……iiiiiif…..axsssiiiii……hapoooo…..aaahhh…..,"

Seif aliona wazungu wasitoke bila sapoti ya mtalimbo ikabidi amtaftie pozisheni ya kumbanjua ili waende sawa sawiya,

Seif aliona hakuna sehemu nyingine ya kufanya tendo lile bali ni nikumshikisha kitanda cha mgonjwa kisha wamalize haja zao,

"Shika vizuri hapo nikuoneshe,"

"Wapi?

" kwenye kimgonjwa

Hali ilikuwa ngumu kwa mgonjwa kwani jinsi mchezo ulivyonoga ndivyo na yeye alikuwa akipata hisia,

Seif alibuni stairi aina ya Kobe katika kumkunja Dokta Ivete, Ivete aliisikia ikiwemmlangooingia alishindwa kujizuiya akapiga ka ukelele kaliko safiri mpaka kwenye masikio ya Monica na haikuishia sauti hapo kwani ilipasua mpaka kwenye kitasa cha mlango ikaenda moja kwa moja mpaka kwa Mermah aliyekuwa sebuMernah

mhhh kuna nini huko mbona hii sauti siyo Monica kusema analia kutokana na maumivu

Mernah aliwaza akawazua akaona hata ngoja akaangalie kuna nini huko,

Mernah alikimbia mpaka kwenye mlango wa chumba akapiga chabo ila alishindwa kuona lakini wakati anatoa jicho pale kwenye kitasa gafla alisikia sauti miguno akaweka sikio kusikiliza na alichosikia hakuamini,

"Seeee…..if weeeeee…….axsiiiiiii…. Naisikiaaa…..aaaa….. naiii…sii…kiaaa…,

mhhh ni masikio yangu au nasikia vibaya? Hapana lazima niingie nijue nini kinachoendelea

Mernah alishika kitasa cha mlango akakiminya kisha akasukuma mlango taratibu bila mtu kusikia, ila wakati anaufungua mlango tayari Monica aliisha ona mlango unafunguliwa akatoa macho vizuri ili ajue nani anayeingia ndani ya chumba hicho kwa kunyata,

Monica alikuwa makini kuangalia mlangoni ili ajue ni nani anayetala kuingia humo ndani kwa kunyatia kwa upande wa pili seif na mwenziye hawakuwa na habari kabisa walikuwa wakiendelea na mikandamizo kwa kwenda mbele,

Wakiwa wana endelea na makamuzi yao upande wa mlangoni mlango ulifunguliwa na Mernah akaingia ndani ila kabla hajaona vizuri nini kinachoendelea Monica alimuona Mernah na bila kuchelewa alipiga kelele,

" muuajiiiii……ananiuwaaa…….,"

Ukelelewa ule ndio ulio washitua Iveteali Seif na kuacha kuendekea na mchezo wakatoa macho ili kuona nini kinacho endelea,

Seif alishituka sana kumuona Mernah akajua hali imeharibika, ila kwa upande wa Monica aliendelea kupiga kelele ya kuomba msaada,

Monica alikuwa alikuwa akijuwa kuwa mpangaji wa mauaji Juu yake au aliyefanya akaata mateso yote yale ni Mernah hakuna mwongine,

Seif na Ivete walianza kumtuliza Monica ila haikuwa kazi rahisi kwani fikira zake zilikuwa zikimtuma kuwa Mernah ndie anaye taka kumuuwa,

Hisia hizo zilikuja namna hiyo kutokana na kusikia maneno kutoka kwa God na Skola wakimsema Mernah ila alinukuu vibaya kwani alivyosikia alisikia ya mhitasari hakusikia habari kamili,

"Seif ulikuwa unafanya nini?"

"Hakuna kitu,"

"Seif kweli kwenye matatizo unaendekeza mapenzi? Unanisariti nikiwepo? Kwanini basi hukuniambia mimi nirudi chuo ili upate mwanya wa kufanya mambo yako kwa huru?"

"Siyo hivyo?"

"Seif unata kuniambia nini? Kuwa hunipendi? Niambie kwa maneno na siyo kwa vitendo,"

"Usifikiliye mbali hivyo,"

Wakati wakiongea Monica Alizikusanya nguvu kisha akataka kujiinua pale alipo kuwa amelala na mkononi akiwa na kitu chenye ncha kali,

Monica alijitahidi ili kuona kama ataweza kufanikisha zoezi lake la kumjeruhi Mernah aliyekuwa ana amini kuwa ndiye aliyetaka kumuuwa,

"Seif naomba tuachane kwa amani wala sihitaji matatizo mengine tena kwani matatizo niliyoyapata kwa sababu nahisi yanatosha."

Dokta Ivete aliingilia kati na kuanza kuongea maneno yaliyokuwa siyo ya kumtia moyo Mernah japo aliyaongea kwa upole na mafumbo.

"Siku zote ngazi ina mwisho na siyo kama tunavyosikia kuwa Dunia haina mwisho, kingine nataka nikwambie kuwa kukata tamaa saa nyongine ni vizuri kuliko kutaka ushindi utakaokuweka katika shimo la Giza milele."

"Asante kwa maneno yako mazuri na yaliyo ujenga moyo wangu kwa zege,"

Baada ya kuongea maneno hayo Mernah aligeuka na kuangalia mlango kisha akajiweka tayari kuondoka ila kabla bata hajapiga hatua alisikia kitu chenye ncha Kali kimemchoma ile kugeuka aliona ni Monica ameshikilia bomba la sindano akajua kuwa kilichomchomo ni sindano,

"Monica siwezi kukuchukia wala kuona vibaya kwani mzigo wa mawazo ulioubeba Juu yangu huna ukweli nao,"

Baada ya kuongea hivyo Mernah aliondoka zake na maumivu yake huku akiwa na mawazo tele Juu ya ya kuvunjika penzi lake na seif.

Mambo yalikuwa mambo mkorogano ulikuwa mkubwa japo Mernah aliamuwa kujitenga Seif ila misuguano bado ilikuwa mikubwa kwani Dokta Ivete aliona bado ana kazi ngumu ya kujihakikishia kuwa Seif ni wake peke yake,

"Seif mbona kama una mawazo ya mbali sana."

"Nitaachaje kuwa na mawazo wakati siku tatu zimekatika bila kujua alipo Mernah,"

"Sasa unataka ujue alipo ili iweje?"

"Ili nijue kama yuko salama,"

"Na ukiisha jua kama Yuko salama inakuwaje?"

"Nitafurahi kama takuwa mzima kwani sipendi apate shida."

"Atazipata tu shida mwaka Juu kwani kakutana na mkono wa Upanga,"

"Hivi kakufanyaje mtoto wa watu mbona unamuombea mabaya,"

"Alichonikosea nakijuwa mwenyewe,

Maisha yaliendelea na hali ya Monica ilizidi kutengamaa na kurudi katika hali yake ya zamani, katika siku alizokaa pale kwa Dokta Ivete alikuwa akimuuliza ni nani aliyemleta hapo,

" Dokta hivi ni nani aliyenisaidia mpaka nikafika hapa ukaanza kunitibu?"

"Tulikuogota Mimi na Seif,"

"Mlipajuaje pale nilipokuwa?"

"Ni hadithi ndefu sana tuyaache tumshukuru mungu kuona unaendelea vizuri,"

Upande wa uongozi ulikuwa ukihojiwa Juu ya taarifa za kapotea kwa mabinti wawili pale chuoni,

"Sema ukweli hatujapata habari yoyote iliyo ya kweli kuhusu walipo Monica na Mernah,"

"Hata funu funu hamna?"

"Fununu zilizopo ni kuwa Monica aliuawa ila hatuna taarifa hizo kiundani zaitukn

"Aliyeongea taarifa hizo ni nani huenda tukimuona tukafanya naye maongezi tutapata muongozo wa kupata ukweli,"

USIIKOSE SIMULIZI INAYOFUATA

Umeyaona Matangazo?
Yabonyeze Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
46 Muwasho Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni