Notifications
  • MWALIMU MKUU (6)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA SITAILIPOISHIA...Hatimae rameki alipata nafuu alizinduka Mama ake alifurahi kumuona mwanae akiwa amepata fahamu“””Eeeee mungu kweli umesikia kilio changu asante sana(uku alifurahi)pole mwanangu””IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“”Asante mama”alijibu ramekiMama rameki na mama loly walirudi nyumbani kumchukulia rameki chakula kwani tangu asubui akupata mlo.*********Upande wa bi sani alifurahi…
  • MWALIMU MKUU (5)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA TANOILIPOISHIA...Mama roly alivyosikia rameki anataka kumwaga alimtema yule nyoka na kumficha pangoni mwake, rameki alimpambu mama roli kwa kasi ya ajabu kama ndege ya vita ikimbiavyo angani“Ramekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!! tombaaaa”rameki na mama roli walipiga madafu kama manne “heeee rameki siamini???!!”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“kwannn??”rameki aliuliza“DUDU LOTE HILI…
  • MWALIMU MKUU (4)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA NNEILIPOISHIA...Mwalimu mkuu alistuka kuguswa na kitu kwenye makalio yake alijua rameki atakuwa kaweka mzigo nyuma yake rameki alivyoona ajakaa vizuri alisogea ili akae vizuri mwalimu mkuu alistuka kitu kama tango kikimgusa tena alipitisha mkono ili aone nn alistuka “MUNGU WANGUU”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Rameki alistuka mwalimu mkuu alivyoshika tango lake akapaza sauti“AAAAAA MWALIMU…
  • MWALIMU MKUU (3)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA TATUILIPOISHIA...chausiku alishangaa kuziona zile sale “JAMANI NANI KAKUPA MWANANGUU??!!”aliuliza chausiku kwa mshangao“Kaka juma”alijibu ramekiIKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“Oooh juma jamani mungu akubariki ooooh asante mungu”alitamka mama rameck uku akinua mikono juuRameck alizijalibu zile nguo hakika alipendeza sana adi mama ake alimfagilia kwa vigeregere “jamani juma mungu akuwekee…
  • MWALIMU MKUU (2)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA MBILIILIPOISHIA...“MUNGU WANGU YULE SI MZEE ALINANI???!!!”aliuliza chausiku kwa mshangao chausiku alimuangaria mzee alinani ambae amepoteza furaha yake ya kusomaMzee alinani alikuwa anakuja kuangaria bishala zake pale sokoni kwa kina chausiku.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Mzee alinani alistuka kumuona chausiku alikwepesha macho yake kwa aibu alitoka kwenye soko lile, chausiku alimpitia…
  • MWALIMU MKUU (1)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA KWANZA“MAMA USIFE MAMA NITAISHI VP NA HII MIMBA MAMA”ilikuwa ni sauti ya mdada aitwae chausiku akimwambia mama ake asifee bado anamtegemea mama ake na mimba yakee“CHAUSIKU MWANANGU NAJUA MIMI NDIYO TEGEMEZI LAKOO NILIPAMBANA NA KILIMO ILI USOMEE LAKINI UMECHEZEA SHIRINGI CHOONI MWANANGU UMESHIKA MIMBA BADO MWAKA MMOJA TUU UMALIZE LAKINI NDO IVYO MWANANGU MIMBA NDO ISHAINGIA SINA BUDI KUKUFUKUZA INGALI UKO MOYONI MWANGU NAKUPENDA MWANANGU CHAUSIKUU ILA…
  • THE NIGHTMARE (9)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TISAILIPOISHIA...“mmenifananisha, mimi ndio kwanza naigia ofisini mida hii.” Aliongea yule afande na kuigia kituoni.“sasa aliyekuwa anatuhoji ni nani kama sio huyo?”Alijikuta anajiuliza mwenyewe swali lililompa utata mkubwa kichwani mwake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wakati wakiwa hawajui hili wala lile, walishangaa kuona maaskari wakijazana pale na ambulance ikafika…
  • THE NIGHTMARE (8)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NANEILIPOISHIA...Walipofika feri, walipewa nahodha mwingine tofauti na yule aliyemuota na boti ilikuwa ndogo tu ya kawaida tofauti na ile aliyoiota.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Sharji alijikuta anapiga makelele baada ya kumuona Balqis akiwa amejaa damu mdomoni huku ametoa makucha yake akimfata kwa nia ya kumdhuru.“AAAAAAAAAAAGH”Sharji alipiga kelele na kukurupuka.…
  • THE NIGHTMARE (7)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SABAILIPOISHIA...“kha!!!!”Ulikua mshangao mkubwa kwa watu karibu wote baada ya kumuona Sharji akiwa na taulo akitoka chumbani kwa Balqis.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wengine walicheka na kaka yake alionekana kutoifurahia hali ile.“sasa wewe unatutia wasi wasi bure, si ungesema tu kama unaenda kulala kwa huyu dada?” aliongea kaka yake na kukirudia kile chumba alichompangia…
  • THE NIGHTMARE (6)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SITAILIPOISHIA...“toa loud speaker bwana.”Aliongea Balqis baada ya Sharji kubonyeza kitufe cha kupaza sauti.“kwanini hutaki nisikie maongezi yenu?” aliongea Karimu kwa sauti ya ukali kidogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“kwani kuna ubaya mimi nikiongea private na mdogo wako?” alijibu Balqis baada ya kuisikia sauti ya Karimu.“hakuna ubaya.” Alijibu Karim kwa sauti ya…

MUUZA CHIPS (49)

Sehemu ya Arobaini na Tisa, mbegu za kijana, za kijana huyo, afu njoo nazo, hakikisha mbegu za, hapa afu njoo, hapa zikiwa bado, mama sarah, mama huyo
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA AROBAINI NA TISA
ILIPOISHIA...
"sasa nitajuaje kama kweli kaenda kijijini kwao,… Mana huyu mtoto akipata tu mwenzangu tu basi mie sina changu… Ooohhh yes nimekumbuka kitu"

Aliongea mama huyo na kujikuta anapata wazo kichwani kwake,…

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
KUMBUKA HII NI KUMBU KUMBU ILI UJUE SABABU YA MAMA KWENDA KWA MGANGA NI NINI

Kesho yake asubuhi, ikiwa ni mida ya saa nne hivi, mama alivaa nguo zake safi kisha akawasha VX yake kisha huyoo akaondoka zake, mama alikuwa akielekea moshi vijijini huko,.. Tena prini haswa na hata sijui alielekezwa na nani,

Dakika kumi mbele tunayasikia manjonjo ya mganga yakimkaribisha mama sarah mana mizimu ilishamuona kabla

"taireeee, taireeee, karibuuuuu, karibuuuu,,, nimejua umekuja kwa ajili ganiii… Karibuuuu karibuuuuu, nimekuona toka ulivyotoka nyumbani kwakoooooo"

Mama akashtuka kuskia kuwa alionekana toka alipotoka nyumbani kwake,… Mama bila woga na hofu yeyote alikaa katika mkeka wa mganga huyo, tena akiwa kabeba pesa nyingi sana kwa ajili ya kumfanyia kitu mtoto wa mwanamke mwenzie

SASA TUACHANE NA KUMBUKUMBU TUJE KWENYE LAIVU SHOO…

Tukija huku Jijini Dar es Salaam kwa akina salma,.. Jackson akiwa yupo ndani na mpenzi wake ambae ni salma, wakiwa wapo nyumbani kwao,.. Kweli akina Jackson walikuwa ni matajiri haswa mana hio nyumba ya mtoto tu yenyewe ni shida,.. Lakini cha ajabu maandalizi ya harusi yalikuwa yakiendelea kana kwamba wanataka kufunga ndoa,.. Mawifi walikuwa wengi sana na hapo harusi ni wiki mbili zijazo lakini maandalizi utafikiri harusi ni kesho,…

"Jackson mume wangu"

Salma alimwita mpenzi wake ambae ni mume mtarajiwa wa mwanadada salma,

"sema mke wangu nipo nakuskiliza"

"nimemkumbuka sana king wangu"

"nani??… King?.. King ndio nani"

Jackson aliuliza huku akiwa kakucha sura mana king ni kwa Kingereza ila kwa Kiswahili ni mfalme na mfalme siku zote ni wakiume, sasa Jackson akajua huyo mfalme huenda akawa ni mpenzi wake wa zamani

"mtoto wangu"

"mtoto wako ndio anaitwa king,.. Au unataka kucheza na akili yangu"

"jamani Jack mbona hunielewi mpenzi wangu"

"sasa mtoto atakuwaje awe king wako wewe"

"mtoto wangu anaitwa KINGAZI hivyo kwa kifupi namuita KING"

"aahhhhhhhh oooke nimekuelewa…. Ila sasa sikia, kama ni mtoto wako kiukweli we sahau, mana mimi sihitaji kulea minye** ya mtu, mimi nataka wakwangu"

Jackson alimwelewa salma ambae ni mke wake ajae,… Lakini alimuonya kutokumbuka mtoto huyo mana yeye anahitaji mtoto wake yeye kama yeye ila sio mtoto wa mtu mwingine,… Salma alijiskia vibaya sana kwa kukatazwa kumkumbuka king wake, kiukweli harusi inaonekana kuwa ya kitajiri sana mana maandalizi yake ni makubwa mno, yaani inaenda kitajiri tajiri zaidi, spati picha hio harusi itakuwaje

SASA TURUDI HUKU KWENYE KUMBUKUMBU YA MAMA SARAH KULE KWA MGANGA

Tukija huku kwa mama sarah ikiwa ni kumbukumbu wakati chidi akiwa kijijini kwao

"nimeijua shida yako, ila yahitaji kazi kubwa sana"

"babu, mi nataka nimuone kijana wangu huko alipo yupo na nani"

"hio isikupe shida,… Nitajie majina take kamili"

"mmmhhh kiukweli mi namjua kwa jina la chidi tu"

"ok, hapo ulipo unayo hata nguo yake yeyote"

Aliulizwa mama sarah, ili kijana chidi afanyiwe kitu

"ndio, nina khanjifu yake tena aliisahau kwenye gari yangu"

"kailete harakaaaaaa"

Basi mama sarah alitoka mbio na kwenda katika gari yake na kuchukuwa khanjifu ya chidi ambayo aliisahau siku ile alipokuwa anafanya shoping kwa ajili ya zawadi za familia yake..,

Mganga alipoipata ile khanjifu, aliiloweka katika maji yake maalumu na kuongea maneno yake yasiojulikana,.. Kisha akakikung'uta katika kioo chake ambacho ni cha kuangalia mauza uza mabinzuluza,…

"huyo hapo kijana wako,.. Au sie huyo"

Mama sarah alifurahi kumuona chidi akiwa yupo kijijini kwao tena alikuwa akiteka maji,… Kama unakumbuka siku ile kijana chidi anamseidia mdogo wake kuchota maji korongoni, ilikuwa ni mida ya saa tano hivi,…. Sasa kumbe wakati huo ndio mama sarah anamwona kijana wake akiwa anachota maji korongoni,..

"waoooo basi babu nimefurahi, ahsante"

"wewe una wivu na kijana wako"

"ndio, na pia sitaki awe na mwanamke mwingine… Enheee Tena nimekumbuka,.. Nataka tumfanye anione mimi tu"

"mmhhhh mama, mtoto wa mwenzio huyo lakini"

"sawa babu, lakini nampenda sana yule kijana"

"ukumbuke ukifanya hivyo kwake, siku ukifa, atakuja kuishi kaburini kwako, na pia ukumbuke yule kijana ni mdogo anahitaji kuwa na mke, na wewe huwezi kuwa mume wako"

"ni kweli,… Lakini babu, mfano tukimfunga, si uwezekano wa kumfungua upo"

"taireeeee, uwezekano upo kabisaa"

"tufanye basi,… Mimi nakapenda sana kale katoto eti"

Basi mganga akaanza mambo yake yote ambayo yanawezekana kufanyika, ili kijana chidi amuone mama sarah tu, yaani mama sarah hataki chidi awe na mwanamke mwingine, tena akikumbuka mwanae sarah anatamani mwanaume mwenye sifa kama za chidi, basi ndio kabisaa anatamani kumfunga kijana huyo ili ampende yeye tu,..

"kuna jambo utatakiwa ulifanikishe, laa sivyo hutoweza kumfunga kijana huyo"

"kitu gani hicho babu"

"mizimu inataka mbegu za kijana huyo, ili waweze kumfunga akili yake"

"eeehhh mungu wangu… Sasa nitazipataje mimi"

"siku utakayolala nae, ndio siku utakayoipata mbegu hio"

"sasa nitazipataje na wakati anamwagia ndani,.. Au akimwagia ndani afu nijiminye zitoke"

"hapana, hizo hazitakiwi… Mizimu inataka zile zilizotoka moja kwa moja kutoka kwenye uume wake mpaka kwenye kikopo, yaani hata ile iliodondoka haitakiwi"

Mganga alizidi kumpa masharti mama sarah na mama huyo aliona ni kazi kubwa sana, lakini kwakuwa kazi hio ni kwa faida yake hivyo alikubali kufanya kazi hio…

"sawa babu,.. Nitajitahidi kadri niwezavyo"

"hakikisha asijue kitu kuhusu swala hilo"

"sawa babu, hatojua kitu"

"Sasa… Chukuwa hiki kikopo, hakikisha mbegu za kijana huyo unazijaza hapa, afu njoo nazo hapa zikiwa bado zamoto moto"

"sawa babu… Nitaweza"

"ila endapo utashindwa, na akajua dhumuni lako… Usinifuate tena kwa kile kitakachokutokea maishani mwako"

"babuuuuuuuu,…. Nitatokewa na nini tena??? Niambie ili kama ni kuacha niache mana mi staki matatizo babu"

Kiukweli mama Grace alikuwa haoni wala hasikii kwa kijana huyo, yaani alikuwa yupo tayari hata kumpotezea malengo yake, ilimradi tu awe nae kimapenzi, uchakarikaji wa kijana huyo sasa wamyokea puani japo sio kwa ubaya bali ni upendo uliopitiliza, kama mama alishawahi kutoishi nae ndani ya miezi 6 na alipomwona, utafikiri kaona dhahabu yenye utajiri wa kutisha, lakini walaa kumbe ni kijamaa kidogo dogo tu, sema ni kitundu pale sita kwa sita,…. Mawazo ya mama aliowaza mpaka kufikia kwenda kwa sangoma aliwaza sana kuhusiana na mtoto wake sarah ambae sarah anapenda mwanaume mwenye mvuto, afu awe mtundu na mwenye kuweza kummiliki haswa,… Mama kuskia hivyo ndipo mwelekeo ukabadirika ma;a sina anazozihitaji sarah, Kipenzi cha mama sarah anazo zote,… Sasa mama huyo akaamua kwenda kwa sangoma ili kumfunga chidi awe anamuona yeye tu,..

"sawa babu,.. Nitajitahidi kadri niwezavyo"

"hakikisha asijue kitu kuhusu swala hilo"

"sawa babu, hatojua kitu"

"Sasa… Chukuwa hiki kikopo, hakikisha mbegu za kijana huyo unazijaza hapa, afu njoo nazo hapa zikiwa bado zamoto moto"

"sawa babu… Nitaweza"

"ila endapo utashindwa, na akajua dhumuni lako… Usinifuate tena kwa kile kitakachokutokea maishani mwako"

"babuuuuuuuu,…. Nitatokewa na nini tena??? Niambie ili kama ni kuacha niache mana mi staki matatizo babu"

Aliongea mama sarah huku akiwa kashika kile kikopo alichopewa kwa ajili ya kuwekea mbegu za kijana huyo,.. Mama alidhamiria kabisa kumfanyia chidi kitu hicho yaani mama sarah alikuwa yupo tayari hata chidi asioe lakini awe na mama huyo, na mama huyo yupo tayari kumpa chidi chochote ilimradi tu awe nae katika maisha yote,…

"endapo utashindwa…. Basi usichokitaka lazima kitimie"

"ooohhhfyuuu… Kumbe ni hivyo tu"

Mama alijua labda atafanywa kitu mbaya na mizimu pale atakaposhindwa,…

"ni hivyo tu, mana hapo hakuna mauwaji, ila kama pangelikuwa na mauwaji basi ungelipatwa na janga lolote la kupoteza mtu katika familia yako"

"sawa…ila hata hilo sintopenda litokeee"

"basi jitahidi ulete mbegu zake"

"sawa babu nitazileta zikiwa bado zamoto"

Mama sarah aliondoka na kwenda nyumbani kwake na kuwaza kuwa chidi akirudi yeye ndio atakuwa wakwama kumpokea na siku hio hio lazima akalale nae

"yaani pale stendi lazima nikampokee mwenyewe, afu siku hio hio anitolee nye** zake, nika kafunge kale katoto"

Alijisemea mama huyo akiwa chumbani kwake,…

Lakini siku ile chidi anakuja nadhani unajua kilichotokea, mama alitamani sana kumpokea chidi lakini haikuwezekana, hivyo chidi akakutana na sarah, afu akapokelewa na shemeji yake, hivyo mama akawa hajaipata hio nafasi, kutokana na siku ile mama miriam alipotaka wasainishe mikataba ya kukabidhiana hoteli hio, ambayo mmiliki wake wa sasa ni mama miriam,… Hivyo mama miriam anataka kumuuzia shostito wake hoteli hio,…. Hoteli zote zinalingana kwa ukibwa ila zimetofautiana vyeo,… Hoteli anayotaka kumiliki mama sarah, ina nyota tatu (3) na hoteli anayomiliki mama miriam ina nyota tano (5) na zote ni hoteli zake ila anamuuzia shostito wake hoteli moja..

"aahhhh mama miriam kanikosesha dili langu, but sio mbaya kesho lazima aingie kwenye 18 zangu… Nampenda sana chidi ila sina jinsi, ni lazima awe wangu peke yangu"

Aliongea mama sarah huku akikiangalia kile kikopo cha kuekea mbegu za chidi…

MAMA SARAH ANAMALIZA KUMBUKUMBU YAKE YA KWENDA KWA MGANGA,…. NA HAPA NDIO MWISHO WA KUMBUKUMBU YA KABLA YA KWENDA KWA MGANGA,… SASA UKUMBUKE PALE TULIPOISHIA SEHEMU YA 51, MAMA SARAH AKIWA NA CHIDI KITANDANI..

"sitaki… Leo nataka nione nyeg** zako laivu laivu, mana kila siku kazi ni kunimwagia ndani tu, sasa leo nataka uniogeshe"

Aliongea mama sarah, Lakini sasa cha ajabu kumbe mama sarah ana maana yake juu ya mbegu za chidi anazotaka zitoke akiwa hajaingiza popote,… Sasa hapa alikuwa anakumbuka sauti ya mganga jinsi alivyokuwa anampa masharti mama huyo…..

"chukuwa hiki kikopo, hakikisha mbegu za kijana huyo unazijaza hapa, afu njoo nazo hapa zikiwa bado zamoto moto"

Mama alimaliza kukumbuka masharti ya mganga wake huko moshi,… Wakati huo kaishikilia zakaria ya chidi, tena na vile mama sarah alikuwa na mikono lainiii kama kitoto kichanga, yaani vile alivyoishika naniiiiiiiiii hio, chidi alikuwa anajikaza wazungu wasitoke, mana ni aibu kwa mwanaume kupizi kabla ya kumuingilia mwanamke,… Na kama ingelikuwa sio kazi iliomleta basi hata mama sarah asingeendelea na asingependa chidi apizi kabla mzigo haujaingia ndani,… Mama pia roho ilokuwa inamuuma, mana hio minye** aliitamani iingie mwilini mwake,… Mama sarah alikuwa akizitamani nyeg** hizo zilizokuwa karibu kutoka, mana chidi alijibana lakini kutokana na ulaini wa mama huyo chidi alikuwa tayari kuziachia,… Mama sarah taaratibu alikivuta kikopo hicho na kukiweka karibu karibu,

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
49 Muuza Chips Simulizi Z49
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni