Notifications
  • MWALIMU MKUU (3)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA TATUILIPOISHIA...chausiku alishangaa kuziona zile sale “JAMANI NANI KAKUPA MWANANGUU??!!”aliuliza chausiku kwa mshangao“Kaka juma”alijibu ramekiIKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“Oooh juma jamani mungu akubariki ooooh asante mungu”alitamka mama rameck uku akinua mikono juuRameck alizijalibu zile nguo hakika alipendeza sana adi mama ake alimfagilia kwa vigeregere “jamani juma mungu akuwekee…
  • MWALIMU MKUU (2)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA MBILIILIPOISHIA...“MUNGU WANGU YULE SI MZEE ALINANI???!!!”aliuliza chausiku kwa mshangao chausiku alimuangaria mzee alinani ambae amepoteza furaha yake ya kusomaMzee alinani alikuwa anakuja kuangaria bishala zake pale sokoni kwa kina chausiku.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Mzee alinani alistuka kumuona chausiku alikwepesha macho yake kwa aibu alitoka kwenye soko lile, chausiku alimpitia…
  • MWALIMU MKUU (1)
    Jina: MWALIMU MKUUMtunzi: __SEHEMU YA KWANZA“MAMA USIFE MAMA NITAISHI VP NA HII MIMBA MAMA”ilikuwa ni sauti ya mdada aitwae chausiku akimwambia mama ake asifee bado anamtegemea mama ake na mimba yakee“CHAUSIKU MWANANGU NAJUA MIMI NDIYO TEGEMEZI LAKOO NILIPAMBANA NA KILIMO ILI USOMEE LAKINI UMECHEZEA SHIRINGI CHOONI MWANANGU UMESHIKA MIMBA BADO MWAKA MMOJA TUU UMALIZE LAKINI NDO IVYO MWANANGU MIMBA NDO ISHAINGIA SINA BUDI KUKUFUKUZA INGALI UKO MOYONI MWANGU NAKUPENDA MWANANGU CHAUSIKUU ILA…
  • THE NIGHTMARE (9)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TISAILIPOISHIA...“mmenifananisha, mimi ndio kwanza naigia ofisini mida hii.” Aliongea yule afande na kuigia kituoni.“sasa aliyekuwa anatuhoji ni nani kama sio huyo?”Alijikuta anajiuliza mwenyewe swali lililompa utata mkubwa kichwani mwake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wakati wakiwa hawajui hili wala lile, walishangaa kuona maaskari wakijazana pale na ambulance ikafika…
  • THE NIGHTMARE (8)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NANEILIPOISHIA...Walipofika feri, walipewa nahodha mwingine tofauti na yule aliyemuota na boti ilikuwa ndogo tu ya kawaida tofauti na ile aliyoiota.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Sharji alijikuta anapiga makelele baada ya kumuona Balqis akiwa amejaa damu mdomoni huku ametoa makucha yake akimfata kwa nia ya kumdhuru.“AAAAAAAAAAAGH”Sharji alipiga kelele na kukurupuka.…
  • THE NIGHTMARE (7)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SABAILIPOISHIA...“kha!!!!”Ulikua mshangao mkubwa kwa watu karibu wote baada ya kumuona Sharji akiwa na taulo akitoka chumbani kwa Balqis.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wengine walicheka na kaka yake alionekana kutoifurahia hali ile.“sasa wewe unatutia wasi wasi bure, si ungesema tu kama unaenda kulala kwa huyu dada?” aliongea kaka yake na kukirudia kile chumba alichompangia…
  • THE NIGHTMARE (6)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SITAILIPOISHIA...“toa loud speaker bwana.”Aliongea Balqis baada ya Sharji kubonyeza kitufe cha kupaza sauti.“kwanini hutaki nisikie maongezi yenu?” aliongea Karimu kwa sauti ya ukali kidogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“kwani kuna ubaya mimi nikiongea private na mdogo wako?” alijibu Balqis baada ya kuisikia sauti ya Karimu.“hakuna ubaya.” Alijibu Karim kwa sauti ya…
  • THE NIGHTMARE (5)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TANOILIPOISHIA...Alijikuta outomatic akijisemea kwa mshangao baada ya kumuona dada mmoja mrembo mwenye asili ya kiarabu akiingia mule ndani. Hakuvaa ushungi kama alivyowazoea kuwaona waarabu wengi ambao alikutana nao. Huyu alivaa suruali ya jeanz nyeusi na juu akiwa na kikoti chake cheusi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Kati kati kulikua na nguo Fulani nyeupe iliyonakshiwa…
  • THE NIGHTMARE (4)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NNEILIPOISHIA...Aliongea Khalidi na kuufungua mkanda wa suruali yake na kuanza kumtandika Karim.“unanipiga mimi?...utaona!”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Aliongea Karim na kuondoka huku analia.*****************************Zilipita wiki mbili bila ya Karim kuonekana nyumbani kwao. Sabra alisikitika kidogo kutokana na kuwapenda sana watoto wake japokuwa huyo mtoto mkubwa hakuwa…
  • Fumanizi la Mchepuko Mwizi😂 | Comedy
    Mume amefuma viatu vya mchepuko wa mke wake mlangoni lakini akakosea kuingia ndani kabla aweke umakini kwenye hivyo viatu mwisho wa siku akaibiwa na vyake😂Hili tukio lazima lichukuchekeshe sana hata kama ulikuwa haujataka kuchekaItazame kisha nipe like na ukinipa maoni kwenye comment nitashukuru sanaUsisahau kubonyeza Subscribe kama haujajiunga na fungua #ChekanaZephiline kupata video zangu zote ambazo zipo mtandaoniNashukuru sana kwa wewe ambaye unanipa nguvu ya kuendelea kuwaletea kazi nzuri…

MY EVA (21)

JINA: MY EVA
SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA
ILIPOISHIA...
Ghafla maaskari police walikuja pale kambin...wakamkamata victor na kwenda nae...

SASA ENDELEA..
Rachel akiwa chumban anamuuguza mwanae...alikuja mtu na kuwapa habar za kukamatwa kwa victor.

Ameyataka mwenyewe victor... Yaan dunia hii unaweza ukaish  na mashetan ndan ukazan ni watu...alisema rachel... Maskin eva wa watu nlikua namfanyia unyama bure tu...yaan najuta kwakwel...alisema rachel.
Sasa si unaona mama..eva wa watu mmempakazia mabaya hadi watu wanamuuona muuaji...alisema Danny.
Nisamehe mwanangu...naona hata aib kumwangalia eva...baba yako alinidanganya kwao eva ni wachawi wakubwa na ndo waliwaua wazaz wa eva..na mm bila kufkir nikaziunga mkono njama zake...najiona mjinga sasa...alisema rachel

Habar zilimfikia kazmoto...alishtuka sana.
Zam yangu inakaribia sasa...alisema kazmoto.
Kwahyo unachukua hatua gani?...aliulza maria.
Sitafanya lolote,sitaenda popote...nitasubiri tu ..nastahil hukum kwa niliyoyafanya.
Kwa mbali maria alimuonea huruma mtu aliekua akimchukia sana

Maria,najua itakua ngum kwako kuyasahau nliyokutendea lakin naomba kama ikiwezekana unisamehe.
Lakin ulikua na sababu gani ya kumuua kaka yangu?...
Ni hiv maria...
Ile kazmoto anataka kueleza waliingia maaskaria na yeye akakamatwa pia...

Wakiwa sero, victor na kazmoto walikua wanajadili..
Sasa kwahyo tunafanyaje kazmoto?.
Mimi sifanyi kitu.. lolote litakalonikuta sawa tu..
Hiv wewe kazmoto una akili kweli....yaan ufungwe hivihivi??....utafungwa mwenyewe mimi simo..

Danny utanisamehe kukuacha hapa mgonjwa....naenda police nimeitwa...si unajua tukio lilitokea kwangu...alisema eva
Haya eva alisema Danny wakaagana na eva akaondoka....

Eva alienda kituo cha police kama alivyoitwa na kesi ilishughulikiwa....kwa kua victor alikua na pesa alihonga kesi ikaishia juujuu...

Skendo nyingne iliibuliwa na wanaomchukia eva wakishirikiana na victor na wapambe wa victor kwamba eti eva alimsingizia victor ili apate kulipwa maana ameshaishiwa siku hizi.....
Eva aliumia sana.. Lakini hakukata tamaa...alikusudia kufungua kesi mahakamani...

Usiogope eva... We fungua kesi ipo siku yataisha...alisema miriam
Danny alipoina skendo ile aliumia sana...aliamua kufuata eva kumfarij..
Eva...usiwaze...kila gum lina mwisho...mungu atakusaidia eva...

Asante danny.....nashukuru sana danny wangu.

Alifungua kessi chini ya usimamizi wa jaj massawe baba yake miriam ambae alimtaftia mwanasheria mzoefu

Victor alikua nyumban kwake anaangalia tv....mara alikuja mtu  akamletea barua ya wito mahakaman...

Victor alicheka sana..
Huyu eva anajisumbua bure tu....hawezi kushinda kessi maana kwanza sio mzoefu...sijui nani huyo anaemdanganya kua atanishinda...hahaaa.
Alicheka sana..
Mda wote danny na mama yake walikua wanavunga kama hawamsikii....

Usiku victor alienda kwa hakim ili ampe hongo...lakin aligonga mwamba maana hakim alikua ashaambiwa kilakitu na jaji massawe...
Utanisamehe tu victor... Siwez kuifanya kaz yako..alisema hakimu

Victor alikasirika sana.... Tumaini lake lilibaki kwa mwanasheria wake...
********

Siku ya kesi ilifika....wote walienda mahakamani...
Victor alisomewa mashtaka yake na aliyakana yote..hakukubali hata moja...

Eva alileta ushahidi wake ule wa barua iliyokua na stamp na tarehe ya siku baada ya mauaji ...mwanasheria wake alipinga vikali akidai ni ushahid wa kutunga...
Waliambiwa warud siku nyingne ya kurud ili kuendelea na kes..

Eva alitoka amenyong'onyea....akakutana na miriam nje aliekua anamsubiria..
Kesi imeendaje...aliuliza miriam.
Eva alieleza kila kitu kwa miriam....
Mmh pole eva ila tutashinda tu.....

Mimi nawaza tutatoa wapi ushahid mwingne...alisema eva.
Mmh sijui tutaoa wapi...akidakia miriam
Mmh nikishindwa hii kesi nitakua nimeisha...watu watanisakama kama kipind amekufa jamira
Mara ghafla sim ya eva iliita..alikua ni kazmoto
Usijali eva mimi ninaushahid wote...usijali siku hiyo ntakua shahidi wako....alisema kazmoto..
Mmh kweli?....ni ushahid gani? Aliulza eva
Utajua yote siku hiyo ila wewe jua umeshashinda kesi...
Sawa ntashukuru sana...eva alifurahi...wote walifurahi...

Kazmoto aliamua kujitolea kumuokoa eva hata kama atagungwa maana alishajutia kwa aliyoyafanya nyuma.....

Alienda akamwambia maria ambae alimhuzunikia sana lakin hakukua na jins.hiyo ndo ilikua njia pekee ya kumuokoa evanmaaba eva akishindwa kesai mambo yatakua magum kwake

Siku ya kesi iliwadia tena...wote walihuzuria...eva alikua na wasiwasi maana kazmoto alichelewa...lakin victor alikua akichekelea maana alijua hakuna ushahid eva anao tena...

mara ghafla kazmoto aliingia na kukaa kama shahidi wa eva.victor alishtuka kumuona kazmoto...

Kazmoto!!!... Alillopoka victor  kwa nguvu bila kujali yupo mahakamani

USIKOSE SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI

TAZAMA VIDEO HII KISHA BONYEZA SUBSCRIBE CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO
1 My Eva Simulizi Z1
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni