Notifications
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…
  • MY DIARY (7)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SABATULIPOISHIA...Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yeye alishindwa kushuka akiofika kile kitu kukaliwa na watu…
  • MY DIARY (6)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SITATULIPOISHIA...Akanambia kuwa wamemwambia wapo East Africa Pub na tayari wamaeshaagiza mkuu wa mbuzi. Mmmmhhhh kusikia mguu wa mbuzi mate yalinijaa mdomoni. Basi kwa harakaharaka nikamwambia naomba niende niende nyumbani nikachukue viwalo vya club kisha nitawakuta hapo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinambia mbona hizo nguo ulizofaa zipo poa tu wewe twende hivyo bhana si upo na…
  • MY DIARY (5)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TANOTULIPOISHIA...Akanisimamisha na kuanza kuiuliza maswali mengi yasiyo na maana huko akionekana kutojiamini. “samahani dada, sijui unaelekea wapi”? Nikamjibu dukani. Akavuta pumzi ndefu na kuniambia ok, nisaidie namba zako za simu. Nikamwangalia juu na chini nikwambaia nimezisahau na simu nimeiacha ndani nikirudi ndani nitakuletea..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Akaishiwa pozi akanambia,…
  • MY DIARY (4)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NNETULIPOISHIA...Uchambuzi huu ulinigusa sana kwani hata mimi nilijihisi kuwa sikuwa na utando huo yaani bikira japo nilikuwa sijawahi kujamiana na mwanaume wa aina yeyote zaidi ya ile michezo ya utotoni ya kula mbakishie baba au ile ya kibabababa na kimamamama. Alianza kunishika mapajani na kunifanya nianze kusisimuka ajabu kwani japo alikuwa ni mwanaume mikono yake likuwa ni milani sana kama ya mtoto wa kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media…
  • MY DIARY (3)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TATUTULIPOISHIA...Nazani sasa unanielewa ninaposema nilikuwa sina ndugu kwani baba yangu hakuwa na ndugu yeyeote zaidi ya marafiki ambao na wao kwa sasa ndio hao wameshagawana mali zote. Nimebaki mimi na dunia yangu hivyo basi nilimwomba rafiki yangu wa kufa na kuzikana kwa jina Joyce anisaidie kunisitiri nyumbani kwao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Likizo ilipoisha tulirusi shuleni na…
  • MY DIARY (2)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA PILITULIPOISHIA...Kwa ufupi japo sitaki kueleza historia yake ila kwa sasa ni shoga na teja. Baba yetu alitupenda sana na alihakikisha tunapata elimu nzuri na bora. Mimi na kaka yangu wote tulisoma International school ya hapo Moshi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baadaye kaka yangu alianza kuvuta bangi kitu ambacho kilimtia hofu baba yangu na kuamua kumpeleka kusoma nje ya nchi.Alikosea sana…
  • MY DIARY (1)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KWANZANilikuwa juu ya jukwaaa nikifanya vitu vyangu ili hali nikijua kabisa watu wote waliokuwa wakinitizama walikuwa wanaumia roho kutokana na mvuto wa umbo langu niliokuwa nao. Nilisikia mijibaba miwili ikiulizana hivi lile wowoo ni la kwake au ni la mchina? Mmoja wao akaropoka “wee kitu original hicho,kwani umemsaahau huyu binti tulishakutana nae kule Arusha mpaka tukambatiza jina la soda kubwa tena ya fanta yaani BAMBUCHA.?” Yeah nimekumbuka alidakia…
  • HAMUNAPTRA - MJI ULIOPOTEA (18)
    Jina: HAMUNAPTRAMtunzi: Richard MwambeSEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...“Mamaaaaaaaa!” Anna akapiga kelele na kutereza vibaya, miguu yake ikaliacha daraja, Seidon akawahi kukaza mikono na kumzuia, lakini miguu yake tayari ilikuwa imeacha daraja na sasa ikining’inia chini ya daraja. Anna akalia kwa uchungu sana, akijua kuwa mwisho wake sasa umefika.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...“Jipe moyo Anna, tumefika mwisho sasa,” Seidon…

RANIA (32)

JINA: RANIA
SEHEMU YA THELATHINI NA MBILI
ILIPOISHIA...
Baba mwanao yamenikuta makubwa...nimenusurika kifo baba..Tharia ni watu wabaya sana..alisema Mars.

Wamekutenda nini?..aliuliza Mfalme kwa hamaki....

SASA ENDELEA..
Baba...nchi ya Tharia ina mambo mengi sana ya ajabu...baada ya Mfalme na mwanae Fasha kujua kua mimi nimeyafahamu wakataka kuniua...alisema Mars.

Mfalme alishituka sana.

Yapi hayo mambo?.. Aliuliza mfalme.

Ni mambo tu ya ukatili na mauaji wanayoyafanya kwa watu wasio na hatia.. Wameshawaua wengi hata watoto wa viongozi wa nchi na ndio maana wanahofia yasijulikane usije ukatokea uasi... alisema Mars.

Yaani yeyote atakaejua tofauti na mfalme na mwanae basi anauawa..hata malikia suya na Mganga kwa saaa hawapo ikulu walitoroka kwa kuogopa kufa kwakua walikua wameshajua siri...Alisema Mars.

Mfalme alishangaa sana kusikia vile na alipatwa na hasira sana.hakuwaza hata kidogo kua mwanae ni mwongo.

Baba...mimi siwezi kurudi huko tena...kwanza sasahivi Mfalme anampango wa kuishambulia nchi yetu na anapanga kunitumia mimi kama mateka ili wewe ukose nguvu.. Alisema Mars

Mfalme alikasirika kusikia hivyo... Alikasirika haswa...

Mars alipoona hivyo alifurahi maana ndio maana alikua mpango wake.

Huku suya na Mganga walikua wakiendelea na mipango.

Malikia hata sasa watu wanne katika wale tuliowatuma wamfuatilie Fasha na wenzie hawajarudi.. Fasha atakua amewaateka....alisema Mganga.

Ni kweli... Nina wasiwasi mkubwa kua watatoboa siri zetu nyingi... Alisema malikia.

Ni kweli kabisa... Sasa tunafanya nini?..aliuliza Mganga.

Kwanza tuma watu wamfuatiie Mars kama anakwenda kweli tuliko mtuma...Vilevile kama kuna wapelezi wa Fasha wanamfuata tuwadhibiti...alisema Suya.

Kingine ni kuwatafuta hao aliowateka Fasha walipo na kuwaua ili wasiendelee kutoa siri zaidi...alisema malkia

Suya na Mganga waliagiza watu kumfuatilia Mars kama ameenda kweli na Vilevile walikua wakifuatili kama kuna watu wanamfuata.

Baada ya hapo suya aliandika barua ndeefu sana kusikia ili aipeleke Lazi..hio yote iikua katika kukamilisha mpango wake.

Baada ya kuindika alwapatia vijana wawili anaowaamini sana ii waipeleke Lazi.

Huku Dom alikua akishangaa sana siku hiyo maana alikua hamwoni Rania.. Alijiuliza maswali mengi hakupata jibu.

Aliamua kwenda kumwona Fasha..alipofika alimuuliza kama anajua Rania alipo.

Kaka...sijui nianzie wapi kusema... Lakini kiufupi Rania ameenda Lazi.. Alisema Fasha.

Lazi?.. Kufanya nini?..aliuliza Dom.

Fasha alimweleza kuhusu taarifa aliyoileta Namadi kuhusu Kuondoka kwa Mars.

Rania amesema hatokuaga maana anajua huwezi kukubali aende.. Alisema Fasha.

Ni hatari sana Rania kwenda...kumbuka una mateka wa Suya.. Na ni lazima ametuma watu kumlinda Mars afike salama kwa kuhofia wewe utamfuatilia.. Alisema Dom.

Ni kweli... Tumefanya maamuzi ya kukurupuka sana..alisema Fasha.

Mimi nitaenda huko...alisema Dom.

Hata wewe kwenda haitoshi...ngoja tuongee na mfalme atupatie vikosi vyake vya siri maana jeshi ka nchi haliwezi hii kazi kwa kua liko chini ya msaliti.. Alisema Fasha.

Sawa... Basi na iwe haraka.. Alisema Dom.

Fasha haraka alikwenda kwa Mfalme na kumweleza hali halisi juu ya kupotea kwa Mars na kua alitoroka usiku na kwenda kwa suya

Mfalme alishituka na kushangaa sana.

Sasa huko Mars ameenda kufanya nini?. Aliuliza Mfalme kwa mshangao.

Sijajua ila bila shaka huu utakua mpango wa Suya kupata msaada kutoka kwa Mfalme wa Lazi.. Alisema Fasha.

Fasha.. Wewe unahisi suya na Mganga wanampango wa kupindua utawala huu?..aliuliza Mfalme.

Kwa asilimia zote nina hakika na hilo.... Inavyosemekana anamajeshi ya siri hata ikitokea kama hatapata msaada wa bakanga mkuu wa majeshi.

Sasa tunafanya nini?..aliuliza Mfalme..

Nataka vikosi vya siri...vielekee Lazi Alisema Fasha.

Huwezi kwenda Lazi kwa siri maana wewe ni mwanamfalme la sivyo utatafsiriwa kama mvamizi...alisema mfalme.

Sitakwenda mimi...ataenda mwingine... Atakwenda Dom Alisema Fasha.

Fasha hakutaka kutaja habari za Rania kwenda huko kwa huo muda maana alihofia mfalme atamchukuliaje hasa baada ya kujua uhalisia wake.aliona bora asubiri atamwambia baadae.

Mfalme alitoa ruhusa na vikosi vililetwa na omandi na Fasha alikabidhiwa ambae pia alimkabidhi Dom.

Bila kuchelewa Dom na watu wake walianza kuelekea Lazi wakijifanya kama kundi la wafanya biashara ili wasitambulike.

Fasha alibakia pale kupambana na yatakayotokea huku Tharia.

Namadi alipomwona Mars akiondoka alileta taarifa ndiyo lakini hakuzileta siku hiyohiyo..kwahiyo Mars aliwatangulia kufika muda wa siku kama moja na nusu hivi.

Wakiwa njiani kuelekea Lazi wale wapambe wa Suya Na Mganga nao walikua wanakuja...

Walipofika sehemu moja Rania alimwambia Namadi wabadili uelekeo wapite njia nyingine licha ya kua njia hiyo ilikua ndefu kuzidi ya mwanzo.

Kwanini?.. Aliuliza Rania.

Bila shaka suya atakua ametuma watu kumfuatilia Mars kwa nyuma...sina hakika ila nahisi..alisema Rania.

Njia pekee wanayoijua wao ni hii aliyopita Mars.. Huku vichochoroni bila shaka hawajui kama ni njia ya ziada.. Alisema Rania.

Walikubaliana waondoke njia ile na wapite njia nyingine.

Walipokatiza walipumzika kidogo wale na chakula na waendelee na safari.

Wakiwa wamepumzika mara wapambe wawili Suya walipita kwa kasi na kuwaacha Rania na na Namadi nyuma.

Rania na Namadi walijificha huku wakiangalia kama kua wengine wamekuja.

Mbona ni wawili tu?..aliuliza Rania.

Ona..wengine hawa huko ila wanakuja kama kwa tahadhari..alisema Namadi baada ya kuwaona baadhi ya wapambe wa Suya wengine wengi.

Sasa hawa wawili watakua wameenda kufanya nini..aliuliza Rania.

Haraka tuondoke twende Lazi.. Haya mambo sio ya kawaida.

Waliondoka kwa kasi ya ajabu ingawa walikua wamepita njia ndefu.

Wale wapambe wawili walikua wameagizwa kupeleka barua kwa Mfalme wa Lazi na barua hiyo ilitoka kwa suya.

Walifika mapema kidogo kuzidi Rania na Namadi.

Mars aliwapokea wageni wale maana alijua watakuja...walimkabidhi barua ile ili aje ampe Mfalme baadae..baada ya hapo watu wale waliondoka.

Baada ya Mfalme kukutana ba Mars, Mars alimpatia barua ile na kusema kua umetoka kwa malikia suya.

Mfalme alifungua barua ile ba kuisoma yoote....alionekana kukubaliana na yaliyoandikwa pale ingawa sina hakika sana😊.

Wale wapambe walipotoka tu tayari Rania na Namadi walikua wameshafika....NINI KINAFUATA?

USIKOSE SEHEMU YA THELATHINI NA TATU

TAZAMA VIDEO HII KISHA BONYEZA SUBSCRIBE CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO
3 Rania Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni