Notifications
  • MY DIARY (29)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TISATULIPOISHIA...Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (28)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NANETULIPOISHIA...Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole. Hapo na mimi nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama wanalijua hili.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa…
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…
  • MY DIARY (25)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TANOTULIPOISHIA...Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…

AISEE KUMBE RAHA (5)

Mwandishi: Pablo

SEHEMU YA TANO
"Jamani shosti wangu catherini vipi??"suzan akajitutumua kumsalimia catherini ambaye hakuitikia ila taratibu akaanza kutosegelea kwa shauku kubwa ya kutaka kujua kilichomnyoa kanga manyoya..............

SASA ENDELEA...
‘’Enhe shosti vipi jamani mbona uongei mbona kimya??’’ suzan akamuuliza swali lingine catherin swali ambayo lilimfanya atoe tabasamu pana lilizidi kunichanganya mimi ambaye sikuwa na la zaidi la kuongezea wala kuongea kutokana na kuanza kuona msalaa mwingine unaanza kutokea bila ya kutegemea ‘’sio siongeii na shangaa kwanza mlivyokuwa mnashikana viuno tena etiiiiiii ndio mtu na shemeji yake’’catherin akajibu swali lilinifanya sasa nianze kutetemeka kwa mbali.nilianza kujilaumu sasa kufanya vile mimi na suzan ambaye baada ya Catherine kujibu swali lile naye akaatulia kimya nakuinamisha kichwa chini na kutokuwa na lakujitetea. ‘’Yaani wee Pablo na wewe una hata haya mwanaume mzima ovyooo kazi kufanya umalaya haya juzi mama mtu leeeo tena suzan tena mashosti kabiiisa na wewe suzan naye huna haya kutembea na Pablo siii juzi ulikuwa unampondaa weee ooo mwanaume wa ajabu khaaaaaaa mapenzii haya ptuuuuuu!!!!’’ Hakika wote tulikuwa wanyonge kama maji ya mtungi hamna hata mmoja aliongezea neno lolote wote tulibaki kimya tukiwa tumeinamisha vichwa vyetu tukiwa hatuna la kusema .Catherin akaatuangalia kwa muda kisha akaachia sonyo kali kisha bila ya kuongea tena akageuza njia nakuondoka. ‘’catheriiiiiiiiiiiiiiiiiin!!!!!,weeeeeeeee cathe!!!!,catheeeeeeeee….pabloo weee nenda tu kwaheri tutaongea vizuri kwenye simu.’’ Suzan haraka haraka akaanza kuondoka huku akikimbia akimfuata catherin ambaye baada ya kuitwa na suzan akaanza kuongeza mwendo.mwanaume nikabaki nikiwa nimeweka mikono kichwani kwa masikitiko makubwaa daaa mkosi ganii niliendeleaa kujilaumu huku nikiondoka mdogo mdogo kuelekea nyumbani huku nikiwa na mawazo tele ambayo kwa siku za karibuni yalikuwa yameniandama kupita kiasi kutokana na matatizo ambayo yalikuwa yanajitokeza kila hatua inayoendeleaa.mwanaume taratibu kama kawaida yangu nikakwea gari kurudi nyumbani ambapo wala sikuchelewa kufika nilifika na kumkuta mama yupo barazani na aliponiona akaashia kusikitika huku akiniangalia kwa jicho la huruma.Nikaingia ndani na kujibwaga kitandani huku nikiendeleea kuwaza kisha nikazama mfukoni na kutoa simu yangu ambayo ile nataka kubonyeza namba tu simu yenyewe ikaitaa na nilipoangalia alikuwa ni chiku.Roho yangu ikaanza kudunda nikiwa siamini kilichotokea kuiona simu ya chiku ikiita ilikuwa ni jambo ambalo wala sikulitarajia kutokana na hali ambayo imetokea ya mimi kutembea na mama yake mzazi.kwa hali ya uoga nikaipokea na kuipeleka sikioni kisha nikanyamaza tuli nikimsubiria aliyenipigia ambaye ni chiku aanze kuongea .. ‘’HALLOOOOW’’ ‘’halooow chiku’’ ‘’naomba tukutane pale gesti nilipowakuta wewe na mama nakuomba uje sasa hivi wala usiipuuzie maaana ndio utajiongezea matatizo makubwa sanaa’’chiku akaniambia vile kisha akakata simu jambo ambalo liliniogopesha mno na hata nilipojaribu tena kumpigia simu iliita tu bila ya kupokelewa sikuwa na budi la kuendelea kukaa nikanyanyuka na kuvaa tena viatu vyangu kisha nikachukua na begi langu na kutoka nje haraka na kumuaga mama ambaye wala hakuitikia zaidi ya kuniangalia tu jambo ambalo lilizidi kuniongezea masikitiko makubwa.haraka haraka nikachukua pikipiki[bodaboda] ambayo kwa haraka sana ikaniwezeshaa mimi kufika katika gesti ambayo tulifanya mapenzi mimi na mama chiku siku mbili zilizopita.Nilifika na kukumta chiku akiwa amesimama kashika mkoba wake pembezoni kabisa mwa gesti ile.nikamsogelea taratibu kisha nikasimama nakubaki nikimuangalia huku nikiwa sina hata la kuongea aibu nzito ilikuwa imenishika na kushindwa hata kuanza kuongea nikabaki tu nikimuangalia chiku aliyeonekana kuwa na haira kutokana na sura alivyokuwa ameikunja. ‘’pablo nina mazungumzo na wewe na nataka tuongelee ndani ya gesti hiyo yaani tuchukue chumba.’’chiku akaniambia na kushababisha nipate mshangao kidogo yani tuongelee ndani ya chumba cha gesti.niliishia tu kujiuliza maswali yasiyokuwa na majibu na sikuwa na sababu ya kubisha taratibu nikamshika mkono chiku nakuanza kuongozana naye na kuingia ndani ya gesti kisha chiku akatoa hela na kulipia chumba kisha tukaanza kuongoza mpaka katika chumba tulichoambiwa.tukaingia kisha moja kwa moja chiku akaenda na kukaa kitandani ambapo bila ya mimi kutegemea nikaanza kumuona chiku anaanza kulia.nikamsogelea taratibu kisha na mimi nikakaa karibu yake na kumshika chiku beganii. ‘’chiku unaliaa nini tenaa hili jambo sio la kulia inabidi utulie na samahaniii sanaa’’ ‘’yaani mpaka dakika hii siamini kwamba wewe Pablo wa kutembea na mama yangu mzazii kweli kabisa jamani yaniii wewe wakunifanyia mimi hivi??’’ chiku alilalamika na kutoa mkono wangu niliouweka katika bega lake la kulia. ‘’jamani sii hivyo halafu wala mimi sijatembea na mama yako wala nini ni mama yako ambaye alikuwa ananilazimisha na kwanza uliniacha mimi pale siku ile stendi mama yako alikuwa kwenye taxi aliponiona akaniita na mimi sikuwa na budi la kukataa nilipoenda akaniambia niingie kwenye gari na kuniambia kuwa atanipeleka nyumbani ila kwanza nimsindikize sehemu na mimi nikakubali ndipo akinileta hapa na akaanza kuniambia mimi nimpe penzi lakini nikakataa akanilazimisha lakini nikatumia nguvu zangu na kufanikiwa kutoka nje ambapo mama yako akanikimbilia na aliponikamta pale nje akanikombatiaa chiku na nyie ndio mlipotokea wangu niamini kweli tena mimi sijafanya naye chochote baby niamini’’ nikamwambia chiku ambaye alikuwa akaniangalia huku machozi yakichuruzika katika mashavu yake nikamsogelea tena taratibu na kisha nikaanza kumfuta machozi chiku yaliyokuwa yakitiririka katika mashavu yake. ‘’pablo acha kunifanya mimi motto mdogo unaponidanganya eti haujatembea na mama pabloo niambie ukweli unajua nitamwambia baba yani baba yupo jeshini anategemea ameacha mke kumbe mama mwenyewe yaaanii daah’’ ‘’jamani usimwambie baba yako dear chiku rudisha moyo wako nyuma na ukiangalia utakapomuambia inshu itakuwa kubwa kumbuka baba yako wewe na baba yangu ni maswahiba na ukitegemea ni marafiki wa muda mrefuu hivi chiku unanioenda kweli wewe??’’ Nilimwambia chiku huku safari hii nikipeleka mkono wangu katika ziwa la kulia la chuki na kulishika jambo ambalo lilisababisha chiku atoe mguno wa mahaba kisha akaniangalia kwa macho ya mahaba kisha akanisukumiza. ‘’pablo kumbuka sijakuita hapa tufanye mapenzi bali nimekuita ili tuongee na uiniambie ilikuaje mpaka ukafanya mapenzi na ma.......’’ kabla hata chiku hajamalizia mwanaume nikamsogelea chiku haraka kisha nikagusa mbavuni chiku kwa mfumo wa kumtekenya na kusababisha chiku aruke mmmh huyu ana hamu huyu nikajisemea kimoyomoyo kisha nikapeleka mdomo wangu na kuanza kumnyonya shurubati yam domo ambayo nae chiku hakuwa na sababu la kukataa akanipokea vyema na wote tukajikuta tukianza kudendeka taratibu na mkono wangu ukaanza kutalii katika katika paja nene jeupe lisilokuwa na mchubuko la chiku ambaye naye taratibu akaanza kunifungua taratibu vifungo vya shati langu.Hakika nguvu zikarudi tena na hakika nikajikuta nikisahau kabisa ya kuwa siku hiyohiyo nilifanya mapenzi na suzan ambaye sikujua hatima yake yeye na catherin ambaye alifanikiwa kutufuma tukiwa tumeshikana viuno mimi na chiku.Baada ya chiku kufanikiwa kunivua shati taratibu mkono wangu nikaupeleka mpaka katika ikulu ya chiku ambaye tena akatoa miguno ya raha kuonyesha laikuwa nafurahia hali ile inayoendelea. ‘’baby naombaaa usimwambie baba pleaaase????’’ ‘’Oooh mhh asssssss uiiiiiiiiiiii ma……..maaaaaaaa simw………aaaambieeeeee uiiiiiiiii aaaaaaaa endeleaaa sika hapo hapo pa…blo’’……………………………

Chiku akaendelea kupagawa na ufundi wangu niliokuwa nikimfanyia na kusababisha azidishe kelele za mahaba ambazo zilizidisha kunipa mzuka nakusababisha nizidishe madoido.bila ya kupoteza muda nikamlaza chali kitandani kisha nikampanua miguu yake huku nikiwa nimeishika kwa nguvu ya kawaida.taratibu nikapeleka mdomo wangu katika ikulu yake ambayo ilikuwa ipo ndani ya nguo ya ndani nyeupe aliyovaa chiku kisha kwa kutumia mdomo wangu nikaanza kumvua nguo yake ya ndani kwa kuing’ata nguo hiyo na kuishusha na baada ya kumaliza taratibu nikaanza kunyonya ikulu yake kwa ufundi wa hali ya juu na kusababisha chiku azidishe kupiga kelele ya mahaba huku akiwa anathema juujuu na mkono wake mwingine ukiwa umetua katika kichwa change huku mwingine ukiwa umeshikilia shuka kwa nguvu kama mtu anayetaka kukimbia.taratibu nguvu zikaanza kumuisha chiku alikuwa ajiwezi kabisa na mimi nilimnyonya kwa muda kidogo na nilipoona chiku kashaanza kulegea haraka haraka nikashusha suruali yangu niliyovaa na kumaliza na boxer na haraka nikamuinua chiku aliyekuwa amelala na kumpelekea koki yangu katika mdomo wake ambapo haraka haraka akaupokea na moja kwa moja akauingiza katika kinywa chake na kuanza kunyonya kama ananyonya pipi ya kijiti.hakika utamu ulizidi kuingia nakusababisha mwanaume na mimi taratibu kuanza kutoa miguno ya mahaba kutokana na ufundi aliokuwa akiutumia chiku ambaye alikuwa anafanya kama mchezo kutokana na alivyokuwa akinifanyia akiwa ananinyonya haraka kisha anapunguza taratibu na kuongeza kasi tena.macho yake maregevu yalitosho kabisa kunimaliza nikabaki namuangalia huku nikitoa miguno huku mikono yangu yote miwili nikimshika yeye kichwani.alininyonya kwa muda kidogo mpaka nilipoona koki yangu imeshakaa vizuri nikamwambia anyanyuke kisha nikambeba juujuu na kumbwaga kitandani kisha yeye mwenyewe akapanua miguu yake na kuniruhusu mwanaume niingine na mimi sikuwa na budi nikafanya kama alivyokuwa anahitaji kisha taratibu nikaingiza koki yangu katika ikulu yake na hapo hapo kwa spidi ya hali ya juu nikaanza kuliendesha gurudumu ambalo lilipewa ushirikiano mzuri na chiku ambaye alizidisha manjonjo na kukatika na kuzidisha kunipagawisha na kusababisha kasi niizidishe na kuendelea kumpa raha chiku aliyeonekana ni kitambo sana alikuwa hajafanya vile kwa muda.tulibadisha mikao mingi mitamu na mbalimbali ambayo mengine alikuwa akitoa chiku na mengine nilikuwa nikitoa mimi na kuzidi kupeana raha hali iliyosababisha tumalize ingwe ya kwanza iliyopelekea wote kuchukuliwa na usingizi mzito.

‘’priiii!!!,priiiii!!!!priiiiiiii!!!’’ tukiwa katika usingizi mzito ghafla mlio wa simu ya chiku ukasikika na kusababisha niamke na ndio uliosababisha niamke.nikamuangalia chiku ambaye alikuwa amelala kisha taratibu nikatembea mpaka katika mkoba wake uliokuwa na simu iliyokuwa ikiita na kuufungua kisha nikatoa simuyake chiku nakukaribishwa na namba ya simu iliyoseviwa kwa jina la Catherine kuonekana katika sehemu ya kioo hiyo.moyo wangu ukaanza kwenda mbio baada ya kuiona hali ile ambayo taa ya hatari ikawaka katika kichwa changu kwamba catherin alikuwa akimpigia chiku kwa lengo la kumuambia tukio aliloliona baada ya kutufuma mimi na suzan tukiwa tumeshikana viuno kwa mahaba baada ya kutoka gesti.bila ya kuchelewa mwanaume nikakata simu kisha haraka haraka nikaweka mfumo wa silence katika simu ya chiku nakuweka vibration yani simu ikipigwa isiite bali itoe mtetemesho tu.baada ya kuweka mfumo ule nikairudisha simu ya chiku katika mkoba wake kisha haraka nikaenda mpaka chini ya sakafu na kuchukua simu yangu iliyokuwa ndani ya mfuko wa suruali na kurudi tena katika mkoba wake chiku kisha nikaufungua tena na kutoa simu ya chiku kisha nikabonyeza na kuchukua namba ya Catherine na kuisave katika simu yangu.ile nataka kuirudisha simu ya chiku katika mkoba wake ghafla mlio wa vibrate katika simu ya chiku ukaitetemesha mkono wangu ambapo haraka haraka nikaingalia na kukutana na meseji moja ya Catherine ambayo haraka haraka nikaifungua na kuanza kuisoma

‘’shooga yani Yule pabloo sio mwanaume kabisaa khaaa yani ptuuu leo si nimemuona na suzan wameshikanaaa viunoo heheheeheh yaniiii uwiiiiii kweli wanaume wengine ni Malaya kupitiliza yaniii sikutegemeea shoga hebu nipigie shosti nikupe michapo ilivyokuwa naona upo kimyaaa’’ moyo ukaanza kunidunda kwa haraka haraka na kwa nguvu baada ya kuiona meseji ya Catherine ambayo ilikuwa ikitumbua jipu lililokuwa limejificha.mikono yangu ikaanza kutetemeka ghafla kwa hofu iliyoniingia na kujikuta nikianza kutafuta sehemu ya kufuta meseji hiyo bila ya mafanikio wakati ulikuwepo maeneo yaleyale.

‘’baby pabloo vipi baby na tatizo ganii na simu yangu!!??’’Nikiwa bado naendelea kutafuta sehemu ya kufuta messeji ile ghafla sauti ya chiku ikapenya kabisa katika tundu za masikio yangu mawili na kuzidisha hofu kali ichukue mahala pake hali iliyosababisha majasho membamba kuanza kunitoka na huku macho nikayatumbua kwa kumuangalia chiku kama nimebanwa na mlango

‘’haa….aa…….ba…by banaa na…naniiii’’

‘’mmmmh mbona sikuelewi simu yangu unaifanyia vipii??’’chiku akanitandika swali lingine lililosababisha mwanaume nianze kujichekesha huku majasho bado yakiendelea kunitiririka

‘’H..amna baby narushaa nyimboo’’

‘’mmmh Pablo unarusha nyimboo kwenye simu ya torchii’’……………………

KABLA YA KUSONGA MBELE TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE CHINI YA VIDEO YETU KWA VITUKO MPYA KILA VIWAPO TAYARI

3 Aisee Kumbe Raha Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni