Notifications
  • MY DIARY (41)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA MOJATULIPOISHIA...Mark anashangaazwa sana na mwanamke huyo lakini kwa kuwa shida yake ilikuwa ni hela anaamua kuachana nae na kuanza maisha mapya hapo jijiini Dar es salaamMaisha yanaendela lakini Mark amekuwa tajiri na mtu mwenye mafanikio sana kiuchumi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Pamoja na mafanikio hayo ni mtu ambaye mapenzi bado yalikuwa yakimuumiza siku hadi siku.Filamu…
  • MY DIARY (40)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINITULIPOISHIA...Alikuwa akinyata kwa kweli. Kweli hata mimi nilimkubali tu siku ya kwanza ingawa bado nilikuwa sijajua ufanisi wake wa kazi.Nilikaa nae hapo kwangu kwa mda wa siki tatu huku asubuhi tukiamka na kuendelea na kazi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ndani ya mda huo nikagundua kuwa alikuwa na uzorfu mkubwasana hivyo kazi hiyo alikuwa akiimudu kabisa.Hapo sasa nilimkubali sana…
  • MY DIARY (39)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TISATULIPOISHIA...Nilikuwa na furaha sana huku nikiamini kuwa ndoto zangu za kuja kuwa mtu maarufu zinaweza kufanikiwa hata kabla ya kuyapata yale madini. Sikutaka mbwembwe niliamua kuikopi na kuipesti hiyo stori kama ilivyo na kuifowadi kwa Mark.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kama lisaa hivi Mark alipiga na kuniuliza kama kweli ilikuwa nai mimi nimetunga hiyo…
  • MY DIARY (38)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Usiku nilishituka usingizini baada ya mbu kuning’aata na kunisumbua sana. Niliwachukia sana hao mbu kwa sababu walinikatisha ndoto yangu ambayo nilikuwa nikiota.Ndoto ilikuwa ikielezea jinsi harusi yangu na Mark itakavyokuwa. Ndoto ilikuwa tamu sana maana ilinipa taswira ya picha halisi ya maisha yangu ya mbeleni.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilishusha neti…
  • MY DIARY (37)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA SABATULIPOISHIA...Hapo alitulia tulii kama mtu aliyeaamia dunia ingine. Kimoyo moyo nikawa najisemeha kama amehamia dunia ingine na kuanza kuwaza ujinga sahuri yake mimi nipo kazini bwana acha nitafute hela. Ndio ni lazima nifanye kazi kwa utaalamu na utundu wa hali ya juu ili waendelee kusimuliana huko mjini ili niendelee kupata hela.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Wewe…
  • MY DIARY (36)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA SITATULIPOISHIA...Sasa wewe fikiria mimi niliyeletewa zawadi sikujua ni zawadi gani lakini yeye tayari alishafungua na kuchungulia na kujua nini kilifungwa huko ndani.Basi nikaendelea kumuhudumia yule mama huku na yeye akiniambia kuwa itabidi nikimmaliza hizo zawadi tusifungue hapo hapo na waniimbie wimbo wa happybirthday.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Tuliendelea na stori mbili…
  • MY DIARY (35)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TANOTULIPOISHIA...Tatu niliambiwa kuwa ndugu zake na wazazi wake walihusika kwenye mipango hiyo hivyo walibariki kabisa huyo binti kuniacha mimi mumewe wa ndoa na kuamua mtoto wao aolewe upya. Nne ni kwamba huyo mzungu amewaamishia wazazi wake mjini na amewajengea nyumba ya kifahari.Kwa hiyo mimi ninavyowapigiana simu na kuwajulia hali kumbe wenzangu huwa wananichora tu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (34)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Hapo nikakumbuka kuwa zile zana zangu za kazi nilikuwa nazo ni vile vifaaa vya kupimia ukimwi ambavyo huwa navitumia kabla ya kukutana na mwanaume yeyote nisiyemfahamu. Nikaamua kumkubalia huku nikiamini kuwa hiyo ndo kinga yangu pekee iliyobaki kama mwanaume huyo atataka kuzini na mimi usiku huo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi tuliondoka na kwenda sehemu…
  • MY DIARY (33)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TATUTULIPOISHIA...Nilikuwa nachanganya staili za kijamaika na hizi za kwetu, sikuacha pia zile za Nigeria hapo nikapata vitu vyangu vya tofauti kabisa. Basi baada ya kujihakikishia kuwa nipofiti kwa mastahili yangu hayo nilisubiri siku ya shindano ifike nikafanye yangu. Siku ya shindano ilifika na mimi nilikuwa miongoni mwa washiriki walioingia tatu bora.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (32)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MBILITULIPOISHIA...Lakini kuchepuka kwangu na kuingia mgombani haikumaanisha kuwa sheria ingeniacha hivi hivi.Ilifika mahali ikabidi nizime gari na kutulia tulii kusikilizia nini kitafuata.Tayari nilikuwa nimezungukwa na mapolisi ambao walikuwa wakinifuatilia kwa kutumia pikipiki.Kwa bahati nzuri dereva wa lile gari na yeye alishafika hapo na alishawaambia polisi kuwa mimi naugua ukichaa na nilifufuka kutoka mochwari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…

TANGA RAHA (27)

SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA
ILIPOISHIA...
Karibia kufika jikoni nikazidi kuisikia miguno ya watu kulalamika ikanilazimu kunyata taratibu na kwakupitia kajiuwazi ka dirisha nikamuona mkuu wa shule akinyonya ma-ziwa ya mfanyakazi wa ndani anayeonekana kulegewa na kunogewa na penzi la mkuu wa shule.
SASA ENDELEA...
Taratibu nikaanza kuhisi mabadiliko kwenye suruali yangu kwani koki yangu taratibu imeenza kuleta fujo.

Mkuu wa shule akaimalizia khanga ya mfanyakazi wa ndani katika kuivua na kuitupa china na kumfanya mfanya kazi wa ndani kuzidi kutoa miguno kiasi kwamba nikazidi kupata shinda kwenye suruali yangu,akili yangu moja ikanituma 

Niingie na mimi nijumuike ila akili yangu moja ikasita kulifanya ninalo lifikiria na kubaki nikiendelea kuwatazama kwa jinsi wanavyo fanya yao na kujikuta nikilisogelea dirisha la jikoni vizuri ili nioene kila kitu.

Mkuu wa shule mkono wake mmoja akauiniza kwenye ikulu ya mfanyakazi wa ndani iliyo zungukwa na ukuta wa chupi nyembamba na kuanza kuichezea ikulu ya mfanya kazi huyo na kumfanya taratibu kuanza kwenda chini huku akitoa vilio vya raha hadi wote 

Wakajikuta wamelala sakafuni kisha mkuu wa shule akaipanua miguu ya mfanyakazi wa ndani kisha akamvua chupi yake na kuendelea kuichezea ikulu ya mfanyakazi wa ndani kiasi kwamba mfanyakazia akanyanyuka kama mbogo mwenye hasira na kuyashika mashavu ya mkuu wa shule na kuikutanisha midomo yao na kuanza kunyonyana kisha kwa 

Nguvu akamlaza mkuu wa shule chini na kuvifungua vifungo vya shati kisha akaanza kumnyonya kifua kizima cha mkuu wa shule na kujikuta nikibadilisha mapozi ya miguu yangu kwani koki yangu nzima imesimama kiasi kwamba nikahisi ushirikiano wake na boxer unaanza kuwa mgumu

Mfanyakazi wa ndani akaifungua zipu ya suruali ya mkuu wa shule hapo nikajikuta nikistaajabu kwani mkuu wa shule mashine yake imelala na kushindwa kuelewa wakati wote aliokuwa akifanya mautundu kumbe mtu mzima haendi mtungi.

Mfanyakazi wa ndani akaanza kuinyonya koki ya mkuu wa shule zaid ya dakika kumi ila haikusimama kabisa kiasi kwamba nikaanza kumuona mfanyakazi wa ndani akiaanza kuchoka
“Babu bwana wewe kila siku ni hivi hivi unanipandisha nye*e ila kufanya hatufanyi”
“Babu uzee mwaya”
“Ila wewe si umeniambia kuwa hadi ustuliwe na mwanaume mwenzako ndio ina simama”
“Sasa nitamwambia nani?”
“Kwani yule uliye kuja naye si unaweza kumwambia?”
“Mmm hapo napo kuna mtihani?”
“Sio mtihani kwani wewe kila ukija unanipandisha maruhani alafu kuyashusha unashindwa na leo sinto taka kupiga punyeto nataka unipe haki yangu”

Nikamshuhudia mkuu wa shule akishusha pumzi nyingi huku akionekana kuwa katika wakati mgumu kiasi kwamba hakujua afanye nini.
“Babu nenda bwana mimi leo hapa hutoke hadi unipe haki yangu”
“Sasa unadhani Eddy atakubali kuniingiza mashine yangu kwenye nanilio yangu ili yangu isi-mame?”
“Hilo utalijua mwenyewe ila mimi nataka sasa hivi umesha nipandisha majini ya kidigo sasa na-taka uyashushe”

Mkuu wa shule machozi yakaanza kumlenga lenga na kumuona akinyanyuka kiunyonge na kuivaa suruali yake na kwaharaka nikarudi sebleni na kukaa kwenye makochi na kujiweka vizuri na kujifanya sijui ni kitu gani kinacho endelea.
“Eddy”

Nikageuka baada ya kuisikia sauti ya mkuu wa shule ikiniiita na kumkuata akiwa anajifunga vi-zuri vifungo vya shati lake na kabla hajazungumza 

Chochote tukastukia mlango ukifunguliwa na akaingia Madam Zena huku mguu wake mmoja ukiwa umefungwa bandeji kwenye sehemu ya chini.

Akaonekana kushangaa kuniona nyumbani kwake,Akamsalimia mkuu wa shule na mimi akanipa salamu huku sura yake akiwa ameikunja kidoo na akakaa kwenye sofa jengine na kuiweka pochi yake kwenye meza ya kioo na kumuita mfanya kazi wake wa ndani na baada ya dakika kadhaa mfanyakazi wake akaja huku akiwa amevalia khanga yake
“Mbona wageni hujawatengea vinywaji?”
“Ndio nilikuwa ninamalizia kuitengeneza juisi”
“Sasa hiyo juisi si nilikuambia kuwa uitengeneze tangu asubuhi?”
“Nilikuwa nafanya usafi dada”
“Haya kalete hiyo juisi”

Mfanya kazi wa ndani akaondoka na kutuacha tukiwa kimya huku macho yangu nikitazama mechi ya marudio ya kombe la dunia
“Zena unaendeleaje?”
“Naendelea vizuri tu baba”
“Vipi maumivu maumivu?”
“Kidogo yamepungua ila ikifika mida ya saa kumi na mbili jioni huwa mguu unavuta sana”
“Pole nimeona leo nije na Eddy ili kuweza kuzitatua tofauti zilizopo kati yenu”

Mfanyakazi akarudi akiwa amebeba glasi tatu zilizo jaa juisi na kuziweka juu ya meza kisha akatukaribisha
“Alafu wewe Amina si nimekuambia hiyo tabia ya kushinda na khana moja mimi siihitaji?”
“Samahani dada”
“Hembu nenda kavae nguo zako....unamuonyesha nani hayo makalio yako”

Amina akaondoka kiaibu aibu na kumfanya mkuu wa shule kumtazama Amina kwa jicho la kui-ba huku akisindikiza kwa muno mzito ulio mfanya madam Zena kuachia kicheko kiliho nifanya na mimi nicheke
“Mkuu muda wako umesha kwisha”
“Ahaaa wapi bado ninadai”
“Na uzee huo ukimpata mtoto kama huyo si atakuua kabla ya siku zako”
“Wapi binti kama huyo nampiga goli za kizee lazima adate na mimi”

Madam Zena akaanza kucheka kwa kicheko kikubwa na kwajinsi wanavyo taniana unaweza kusema sio mtu na bosi wake
“Zena hata wewe ninakuweza tena sana”
“Hahaaa haa usinichekeshe mkuu mimi utaniwezea wapi wakati hata vijana kama hao kina Eddy wananishindwa”
“Eti Eddy unamshindwa Zena?”
“Sijui”
“Haaa hujui nini sasa?”
“Haujui maana yake ni jiu tosha kwamba mimi haniwezi”
“Haaa Eddy unaniaibisha”
“Nakuaibisha na nini?”
“Si Zena anasema kuwa humuwezi”
“Ila mkuu si unaona Zena ni mgonjwa”
“Mgonjwa wapi kwani wewe unaufanya mguu au nanilio yangu”

Sote tukajikuta tukicheka kwa furaha huku mimi kicheko changu kikiambatana na swala la mkuu wa shule kushindwa kumpa haki inayo stahili Amina
“Hayo ndio mambo ninayo yahitaji nataka Eddy na Zena muwe munacheka kama hivyo ila si kuwekeana vinyongo havina msaada wowote kwenye maisha yenu”
“Mimi mbona Eddy nilisha msamehe”
“Kweli”
“Ndio huwa mimi sina moyo wa kumuwekea mtu kisasi”
“Eddy je umemsamehe ZENA?”
“Mimi sina tatizo naye nipo powa kabisa”
“Haya sas nawaomba munyanyuke mupeane mikono”

Tukasimama na kupeana mikono na madam Zena kisha tukakumbatiana na kila mmoja akarudi kukaa kwenye sofa lake na tukaendelea na mazungumzo ya kawaida na tukamuaga 

Madam Zena kisha sisi tukarudi shule na sikuwa na haja ya kukaa sana shule nikaga na kuondoka zangu sikuweza kujua kama nitaweza kumkuta mchungaji na watu wake au laa kwani simu yangu tayari imesha zima chaji.

Nikakodi bodaboda hadi nyumbani kwangu na sikuona gari la mchungaji likiwa nje kwangu zaidi ya kuusikia mziki ukitoka nyumbani kwangu.

Nikashuka kwenye bodaboda na kumlipa pesa yake kufungua geti na kuingia ndani na kukuta gari ya Halda ikiwa imesimama pembeni ya mlango wa kuingilia sebleni

Nikafungua mlango namtu wa kwanza kuniona ni Rahma na kwaharaka akanikimbilia na kuni-kumbatia kwa furaha na tukaanza kunyonyana midomo yetu na kumfanya Halda kuanza kukunja sura yake kila nilipo mtazama.Tukaachiana na Rahma na akaonekana kunishangaa
“Baby mbona umekondo tofauti namwanzoni nilipo kuacha?”
“Wee acha tu kuna vimbanga kwenye hii nyumba hadi ninakonda”
“Halda alinisimulia nikamuambia kuna maji nitarudi nayo yatakayo weza kuzuia vitu vya ajabu ajabu....Alafu kuna wageni wako hapa walikuja siwaelewi elewi nikawatukana kama nini?”
“Wakoje?”
“Wamesema ni watumishi wa bwana mimi nikaona wananizingua nikawajibu mbovu”
“Ahhha wakasemehe?”
“Wakasema mkono wa bwana uwe juu yangu na nikakupigia simu ila hukuwa hewani”
“Simu yangu imekata chaji?”
“Shem mambo vipi?”
“Safi mzima”
“Mimi mzima......Jamani ngoja niondoke kuna mtu ninakwenda kumcheki?”
“Ok basi baadaye”

Halda akaondoka na kutuacha mimi na Rahma ambaye nikakuta tayari wameniandalia chakula na taratibu tukaanza kula huku kila mmoja akionekakana kuwa na hamu na mwenzake.

Rahma akanyanyuka kwenye kiti alicho kaa na kunikalia kwenye mapaja yangu na tatibu akaanza kunipapasa kila kona ya mwili wagu.

Na mimi nikaanza mautundu ya kuzichea chuchu zake huku midomo yangu ikiinyonya shingo yake hadi akaleea.

Nikamnyanyua Rahma hadi chumbani kwangu na kuanza kumvua nguo moja baada ya nyingine na yeye akafanya kama nilivyo mfanyia na sote tuajikuta tupo kama tulivyo zaliwa na kazi ikaanza ya kupeana raha kiasi kwamba kila mmoja akawa na kibarua cha kufuruahisha mwenzake

Rahma akazidi kuongeza kasi ya mashambulizi ila kutokana nimesha mzoe hakunitisha sana zaidi ya mimi kuzibana sehemu zake ambazo siku zote nikimbana huwa niamshinda kwenye mechi zake.

Galfa mwili wa Rahma ukaanza kukakamaa huku macho yake yakibadilia na kiini cheusi kikapotea na kukabaikia kweupe tu huku mapuvu yakiaanza kumtoka mdononi kitendo kilicho anza kunichanganya kwani tangu nimjue Rahma sikuwahi kumuaona akiwa katika hali kama hii

Hali ya Rahma ikazidi kuwa mbaya kitandani na kunifanya nizidi kupagawa hata sikujua nifanye kitu gani kitakachoweza kumrudisha Rahma katika hali yake ya kawaida.

Nikasimaa na kuiokota suruali yangu chini na kuivaa kisha nikuitoa simu yangu mfukoni na kukuta haina chaji ikanilazimu kuitafuta simu ya Rahma na ndani ya chumba changu haikuwepo ikanilazimu kwenda sebleni na kuikuta juu ya meza ya chakula nikaichukua na kukuta meseji moja na kwabahati mbaya nikaifungua
‘WEWE RAHMA UPO WAPI TUNAKUSUBIRIA NYUMBANI KWENYE KIKAO HUYU MUME WAKO AMESHA KUJA’

Nikajikuta nikiirudia rudia meseji yake kuisoma kiasi kwamba nikajikuta nikikaa juu ya meza vizuri na kwa haraka namba iliyo tuma meseji ninaifamu ni ya mama yake ambayo alinipa siku moja shuleni.

Nikabaki nikiwa nimetulia zaidi ya dakika tano huku nikijikuta rohoni mwangu nikijiwa na wivu mkali ulio andamana na hasira kali,Nikastuka simu yake iikita na kuona ni namba ya baba yake ikiingia na kubaki nikiwa nimeitazama kiasi kwamba nikajikuta nikianza kutetemeka kwa woga,Hadi simu inaka nikajikuta nikiwa kimya nisijue ninafanya nini

Wazo la kumpigia Halda likanijia kichwani na nikaanza kuifungua simu ya Rahma sehemu alipo hifadhi majina ya watu mbalimbali na kujikuta zaidi ya dakika kumi nikilitafuta jina la Hilda ila sikulipata kwani sikujua ameliandika vipi ndani ya simu yake.

Nikasikia honi ikipiga getini na kwaharaka nikajua atakuwa ni Hilda ambeye ameondoka nyumbani kwetu muda si mrefu na kwa haraka 

Nikanyanyuka na kutoka nje na hatua ya kwanza nikachungulia dirishani kutazama ni nani anaye piga honi na kujikuta nikistuka na kajasho kembemba kakianza kunienda mbio,hii ni baada ya kuliona gari jeusi anina ya Land cruser likiwa limesimama nje kwangu huku likiwasha taa zote mbili

KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

17 Simulizi Tanga Raha
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni