Notifications
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…
  • MY DIARY (7)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SABATULIPOISHIA...Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yeye alishindwa kushuka akiofika kile kitu kukaliwa na watu…
  • MY DIARY (6)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SITATULIPOISHIA...Akanambia kuwa wamemwambia wapo East Africa Pub na tayari wamaeshaagiza mkuu wa mbuzi. Mmmmhhhh kusikia mguu wa mbuzi mate yalinijaa mdomoni. Basi kwa harakaharaka nikamwambia naomba niende niende nyumbani nikachukue viwalo vya club kisha nitawakuta hapo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinambia mbona hizo nguo ulizofaa zipo poa tu wewe twende hivyo bhana si upo na…

SHETANI ALINIITA KUZIMU (1)


SEHEMU YA KWABZA
A

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
KAMA UNASOMA SIMULIZI HII NJE YA CnZ Media APP INSTALL ILI USIPITWE NA MIENDELEZO

NAITWA Kaloli Daws nilizaliwa mwaka 1991 katika Kijiji cha Lamadi kilichopo Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, kwenye familia yetu tulizaliwa watoto saba lakini

kwa bahati mbaya tumebaki watano baada ya wenzetu wawili kutangulia mbele za haki. Wazazi wetu waliotulea kwa misingi ya dini ya Kikrito wanaishi kwa

kutegemea kilimo cha jembe la mkono na bado wapo hai. Katika uzao wetu nimefuatiwa na ndugu yangu aitwaye Madirisha ambaye tulipishana mwaka mmoja, hivyo

kuonekana kama mapacha kwani tunafanana sana. Kama ilivyo kawaida ya watoto kuanza shule wanapofikisha miaka sita na nusu au saba, mwaka 1995 mimi na

Madirisha tulianza darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Lamadi, Tuliendelea kupata elimu hiyo hadi tulipohitimu lakini bahati mbaya wote tulifanya vibaya

mtihani hivyo hatukuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari. Kutokana na hali hiyo, tulibaki tukiwasaidia wazazi wetu shughuli za kilimo cha mazao

mbalimbali pamoja na mpunga. Baada ya kukaa nyumbani kwa muda mrefu, baba yangu mdogo aliyekuwa akiishi Kijiji cha Igegu alifika kwetu. Awali hakuna aliyejua

ujio wake ulikuwa na lengo gani hadi baba aliponiita sebuleni na kunifahamisha kwamba baba mdogo alikuja kuniomba niende nikaishi naye kwake ili nikamsaidie

kazi ya kupanda mpunga. Binafsi nilifurahi kwenda nyumbani kwa baba mdogo aliyekuwa akinipenda sana, kwa kuwa tulikuwa tunaelewana na mdogo wangu Madirisha,

baba alimwita na kumfahamisha juu ya safari yangu. Madirisha hakuwa na neno zaidi ya kukubali na kuahidi kuja kunitembelea kwa baba mdogo kadiri atakavyokuwa akipata nafasi.

Baada ya baba mdogo kukaa pale nyumbani kwa muda wa siku tatu, tuliondoka kwa usafiri wa baiskeli ya kukodi kwa kule nyumbani tunaziita ‘Jirushee.’

Tulipofika nyumbani kwake, mkewe alinilaki kwa furaha na nilichinjiwa kuku kuonesha furaha waliyokuwanayo. Kama waswahili wanavyosema mgeni siku ya tatu mpe

jembe akalime, nami ilipofika siku ya tatu baba mdogo ambaye mashamba yake yalikuwa mbali kidogo aliniambia nijiandae kwenda huko. Siku iliyofuata alfajiri

na mapema tuliondoka na baba kuelekea katika moja ya shamba lake la mpunga. Tulipowasili huko tulianza kulima bustani za kupanda mbegu za mpunga ‘majaruba’

ambazo zikiisha chipua tunapanda kwenye mashamba makubwa yenye maji mengi. Kutokana na uchapakazi na tabia yangu nzuri, baba na mama walinipenda sana na

sikupungikiwa kitu kwani niliishi vizuri zaidi ya nyumbani kwa wazazi wangu. Baada ya mpunga kukomaa tulianza kazi ya kuvuna na kuuhifadhi kwenye maghala

ambayo kwa Kisukuma tunayaitaa Ikologoto. Wakati naishi huko sikuwa mchawi wala sikufikiria kama siku moja ningekuwa mshirika wa mambo hayo hadi kufikia kuwa

kiongozi. Sikuwa na mawazo hayo kabisa na habari zilizohusu wachawi nilikuwa nikizikia tu kwa watu na kubaki nikijiuliza washirika wa mambo hayo walikuwa

wakipata faida gani kama siyo kuchuma dhambi tu! Kwa kuwa tayari tulikuwa tumevuna mpunga, nilimuomba baba mkubwa ruhusa ya kwenda kuwasalimia nyumbani

akanikubalia. Hata hivyo, kwa furaha ya kupata mavuno mengi alinipatia gunia moja na kuniambia nikauze ili nipate fedha za matumizi yangu. Baada ya kuuza

mpunga na kupata fedha, nilinunua nguo zangu pamoja na za mdogo wangu Madirisha na vitu vingine nikaenda kijijini kwetu Lamadi. Nilipofika huko baba na ndugu

zangu walinipokea kwa furaha, walishangaa jinsi nilivyokuwa mnene na kupendeza. Nilikaa pale nyumbani kama miezi miwili ndipo nilirejea tena kwa baba mdogo

ambako nilitokea kukupenda utafikiri ndiko nilikozaliwa. Wiki ya pili tangu niwasili huko, mama mdogo aliomba ruhusa kwa baba ili aende kuwasalimia nyumbani

kwao Ngara. Baada ya kuwasili kwao, siku ya pili tuliletewa taarifa kwamba alifariki dunia tukapigwa butwaa

Taarifa ya msiba ilitushtua sana na hatukuamini kama kweli mama ambaye aliondoka akiwa na afya njema alifariki dunia ghafla. Kufuatia upendo wa dhati

alionifanyia nilipatwa na uchungu ambao mpaka leo nashindwa namna ya kuuelezea, siku hiyo nililia sana! Kutokana na msiba huo, baba mdogo alianza kujiandaa

na safari ya kwenda nyumbani kwa mkewe, nilipoomba niongozane naye alinizuia. Nilipomuuliza sababu ya kukataa nisiende kwenye msiba wa mama mkubwa,

aliniambia kwamba nilitakiwa kubaki na mji. Kwa jinsi nilivyokuwa naelewana na mama, kitendo cha baba kunizuia nisiondoke naye kilizidi kuniumiza nikapanga

mara atakapoondoka nami ningeelekea huko. Hata hivyo, kabla baba hajaondoka aliniagiza niishi vizuri na mdogo wangu ambaye hivi sasa ni marehemu. Siku

iliyofuata alfajiri na mapema baba aliondoka kuelekea Ngara na kuniacha na mdogo wangu, hata hivyo kitendo cha kutokwenda kwenye msiba wa mama kilinikosesha

amani. Kufuatia hali hiyo niliamua kuondoka pale kijijini na kuelekea Ngara kuhakikisha kama kweli mama mdogo alifariki dunia maana bado silikuamini.

Nilichokifanya nilichukua mpunga na kwenda kuuza, marehemu mdogo wangu aliniambia kitendo hicho kitamchukiza baba akirudi. Aliponieleza hivyo, nilimwambia

wala asijali kwani nia yangu haikuwa mbaya bali ni kutaka kwenda kushuhudia kwa macho yangu kama kweli mama mdogo alifariki au la! Marehemu mdogo wangu

aliponiuliza kama nilikuwa nakufahamu Ngara, nikamwambia nilielezwa kijiji alichozaliwa mama na kwamba ningefika bila wasiwasi. Wakati huo wala sikuwaza kama

ningekuja kuwa mchawi na kufikia hatua ya kuwatesa watu baki na ndugu zangu bila huruma lengo likiwa ni kuifurahisha nafsi yangu. Mbaya zaidi baada ya

kuingiwa na roho hiyo ya kichawi, nilimroga mpaka baba yangu mdogo aliyekuwa akinipenda na kutawala mji wake. Baada ya kuuza mpunga, nilimuachia mdogo wangu kiasi cha fedha na kumwagiza awe makini kulinda mji.

Kesho yake alfajiri yule ndugu yangu alinisindikiza kwenda kituo cha mabasi ya kuelekea Mwanza mjini ambako ningepata usafiri wa kwenda Ngara. Tukiwa njiani

tunaelekea huko ghafla nilimuona mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka kama kumi akikimbia kutufuata. Binafsi sikuwa na wasiwasi naye kwani nilihisi alikuwa

katika michezo ya kawaida, tukiwa tunaendelea na safari tulifika sehemu iliyokuwa na mti mkubwa wa mbuyu. Tukiwa eneo hilo yule mtoto alitufikia na kuja

kusimama mbele yangu, akanishika mkono na kuniomba tujongee pembeni ya ule mbuyu. Kwa kuwa sikuwa na wasiwasi, nilikubali ndipo nikaanza kuelekea kwenye ule

mti huku yule dogo akinifuata kwa nyuma. Jambo la kushangaza ni kwamba mwenzangu, hakumuona yule mtoto na alifikiri nilichepuka kwa lengo la kujisaidia.

Alipofika mbele kidogo alisimama na kuanza kunisubiri bila kujua kama nilitokewa na mambo ya nguvu za giza. Tulipofika chini ya mbuyu yule dogo alinishika

mkono tena na kuniambia katika maisha yangu lazima nitakuwa mchawi. Kufuatia kauli hiyo, nilipigwa butwaa na kumwangalia kuanzia unyayoni hadi kichwani na

kumuuliza alikuwa akitokea wapi. Kabla hajajibu nilimwuliza alikuwa mtoto wa nani na alinifahamu vipi mpaka akaamua kunileta pale chini ya mbuyu!

Baada ya kumuuliza hivyo, alicheka na kuniambia sikuwa na haja ya kujua jina lake na alikuwa mtoto wa nani ila jambo la muhimu nifahamu kwamba nitakuwa

mchawi. Maneno ya yule mtoto yalinishangaza sana nikamwambia alichokuwa akikisema kisingetimia kamwe ndipo dogo huyo alitabasamu na kuniambia nitaona.

Baada ya kutoa kauli hiyo nikaamua kukemea kwa jina la Yesu, nilipogeuka nyuma nilishangaa kumuona yule dogo katoweka katika mazingira ya kutatanisha.

Kufuatia mtoto huyo kutoweka, nilimshukuru Mungu aliyejibu maombi yangu na kujisemea moyoni kwamba kwake hakuna linaloshindika. Nilichokifanya niliondoka

kumfuata ndugu yangu aliyekuwa katungulia mbele, nilipokutana naye aliniuliza nilikwama wapi nikamdanganya kwamba nilikuwa najisaidia kichakani. Niliamua

kumweleza hivyo kwani sikutaka ajue kuhusu yule mtoto wa ajabu aliyenitokea, tuliendelea na safari hadi stendi.

Bahati nzuri nilipata gari nikamuaga ndugu yangu na kuanza safari ya kwenda Ngara, baada ya kusafiri kwa muda mrefu hatimaye tuliwasili salama. Kwa kuwa

niliambiwa jina la kijiji alichozaliwa mama mdogo, nilipofika Ngara niliwauliza wenyeji wakaniongoza kwenda nyumbani kwao.

“Wewe ni mtoto wa marehemu?”

aliniuliza mzee aliyekuwa akinipeleka nyumbani kwa mama yangu mdogo. Njiani mzee huyo alinipa pole na kunieleza jinsi msiba huo wa ghafla wa mama yangu ulivyowashtua watu wengi pale kijijini.

Maneno aliyonieleza yule mzee yalinipa uhakika kwamba ni kweli mama mdogo alifariki ndipo nilijikuta naishiwa nguvu miguuni nikaanguka chini na kuanza kulia

kwa uchungu. Kufuatia hali hiyo, walitokea vijana na watu wazima ambao walininyanyua na kuniongoza hadi nyumbani kwa wazazi wa mama mdogo. Nilipoona umati wa

watu nikaendelea kulia ndipo yule mzee na kijana mmoja walionisindikiza walinisihi ninyamaze.

Yule mzee aliwaambia watu waliokuwa wakinibembeleza kwamba waniache nimlilie mama yangu mpaka nafsi yangu itakaporidhika nitanyamaza mwenyewe. Kweli baada ya

kulia kwa muda nilinyamaza ndipo nilipewa chakula, nilipomaliza kula nilikwenda kuketi sehemu waliyoketi waombolezaji wengine. Baadhi ya ndugu wa marehemu

waliniuliza nilifikaje pale wakati sikuwahi kufika hata siku moja, nikawaeleza wakanipongeza kwa kuwa na kichwa chepesi.

Kwa kuwa tayari ilikuwa usiku, sikuweza kukutana na baba hadi kulipokucha wakati nanawa usoni ndipo aliniona. Baba ambaye hakupendezwa na kitendo cha mimi

kwenda kule msibani alinifuata na kuanza kunifokea na kuhoji nyumba nilimuachia nani. Licha ya kumfahamisha kwamba nilimuacha ndugu yangu ambaye ni marehemu

alizidi kunijia juu mpaka mzee mmoja alipomsihi aniache kwa sababu nilifika pale kumzika mama yangu

Kwa kuwa jioni ya siku hiyo ndiyo yalipangwa kufanyika mazishi, tuliendelea na maandalizi hadi saa kumi ambapo ilifanyika ibada iliyofuatiwa na kuuaga mwili

wa marehemu. Nilipofika kwenye jeneza nilishangaa kuuona mwili wa mama mdogo aliyekuwa mweusi akiwa mweupe pamoja na nywele zake. Nililia sana na kuamua kupiga magoti ili nimshike kwenye paji la uso ndipo nilibebwa na kurudishwa nyumbani nilikoingizwa kwenye chumba kisha wakafunga mlango.

Baada ya kukaa kwenye kile chumba kwa muda mrefu niliona sikutendewa haki kutomzika mama mdogo, nilivunja mlango nikatoka mbio kwenda makaburini.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
58 featured Shetani Aliniita Kuzimu Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni