Notifications
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…

SHETANI ALINIITA KUZIMU (4)


SEHEMU YA NNE
TULIPOISHIA...
Kwa kuwa usiku huo nilikuwa na hamu sana ya kula nyama, sikuweza kupata usingizi kabisa, nikaamua kuiita ndege ya kichawi (ungo). Baada ya kufanya hivyo, hazikupita dakika nyingi nikasikia kitu kimetua sakafuni tii, nilipoangalia niliuona ungo.

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
KAMA UNASOMA SIMULIZI HII NJE YA CnZ Media APP INSTALL ILI USIPITWE NA MIENDELEZO

SASA TUENDELEE...
Usafiri huo ulikuwa na zana zote za kichawi yaani hirizi ya kinga, mafuta, tunguri na vitu vingine ambavyo wachawi huvitumia kufanya ulosi.

Nikiwa mtupu nilipanda kwenye ndege yangu na kunuiza inipeleke mochwari ya Hospitali ya Rufaa ya Bugando ya jijini Mwanza. Niliuambia ungo huo kwamba

nilihitaji sana kitoweo hivyo uondoke haraka kuelekea Bugando, ndipo ulitokea upepo mkali sana. Ingawa mle ndani tulikuwa watu wengi hakuna aliyesikia upepo

huo ukivuma isipokuwa mimi tu, upepo huo ulifunua paa kwenye kona ungo ukapaa. Kwa kuwa ndege ya kichawi inakwenda kwa kasi ya ajabu, kufumba na kufumbua ilitua nje ya mochwari ya Bugando.

Baada ya kuteremka niliingia ndani ambapo niliwakuta wachawi wenzangu waliofika pale kwa lengo kama langu, yaani kutafuta kitoweo. Kwa kuwa hatukufahamiana,

tulisalimiana kwa kugonganisha makalio yetu kisha niliwauliza walitokea wapi, mmoja wao akanijibu kwamba katika Kisiwa cha Ukerewe. Mchawi huyo

aliponifahamisha hivyo, nilishukuru ndipo kila mmoja wetu akaanza kuchagua ni maiti gani ilifaa kwa kitoweo.

Katika chumba hicho cha kuhifadhia maiti, kulikuwa na maiti za watu wazima, watoto na vikongwe, lakini binafsi nilihitaji maiti ya mwanamke mwenye mimba ambao nyama yao huwa tamu sana.

Tukiwa bize kutafuta maiti, wahudumu wa chumba hicho walifungua mlango wakaileta maiti ya mwanaume mmoja na kuilaza sakafuni. Wakati wakiilaza maiti hiyo,

hawakuweza kutuona na walipomaliza waliondoka bila kujua kama mle mochwari mlikuwa na wachawi. Baada ya kuondoka, wachawi wawili waliichukua ile maiti na

kuisogeza pembeni kabisa, wakaanza kucheka. Kufuatia kukosa maiti ya mwanamke mwenye mimba, niliamua kupiga darubini yangu wodini kujua kama kulikuwa na wagonjwa wenye ujauzito waliokuwa maututi.

Baada ya kuangalia wodi ya wazazi nikamuona dada mmoja aliyekuwa hoi, nikamfuata na kusimama mbele yake ambapo nilimtia roho ya mauti, hazikupita dakika tatu

akaaga dunia. Nilichokifanya niliichukua ile maiti kichawi na kuipeleka mochwari kwa wenzangu ambako nilikuta wameondoka na ile maiti ya yule jamaa mnene aliyekuwa ameletwa punde.

Kwa kuwa nilikuwa nimewasiliana na yule dogo kiongozi wetu ambaye wakati huo alikuwa kwenye kikao na wachawi wengine, alifurahi sana nilipomwambia nimepata

kitoweo akaniambia nikipeleke haraka sana. Baada ya kuniambia hivyo nilizipakiza maiti mbili kwenye ungo yaani ya yule mama mjamzito na ya kijana mmoja kisha

nilinuiza kwamba ungo upae, ukatii. Wachawi wenzangu waliponiona natua walifurahi sana, baada ya kutua niliibeba ile maiti ya mama mwenye mimba na kwenda kuiweka pembeni kidogo.

Wakati wachawi wenzangu wakiendelea kushangilia kwa kuwapelekea nyama, niliibeba maiti ya yule kijana na kuiweka kando. Kwa kuwa nilikuwa na roho ya kichawi

isiyo na huruma, nilichukua panga na kujongea ilipokuwa maiti ya mama mjauzito nikaichinja shingo yake kama kuku na kuilaza kwenye sufuria. Wachawi wenzangu

walipoona jinsi damu ilivyokuwa ikitiririka kama bomba walishangilia, ilipojaa nilibeba ile sufuria na kumpelekea yule dogo kiongozi wetu.

Kwa kuwa ilikuwa lazima aanze kunywa yeye, alipokea ile sufuria na kuipeleka mdomoni ambapo alikunywa kiasi na kunirudishia. Baada ya kunirudishia, nami

nilikunywa kisha nikawapatia wenzangu ambao nao walikunywa kwa zamu mpaka mchawi wa mwisho. Tulipomaliza kunywa ile damu ambayo ilikuwa tamu sana, tulianza kushirikiana kukata nyama za zile maiti huku wengine wakiongeza kuni kwenye moto tukaziinjika.

Wakati nyama zikiendelea kuiva, yule dogo kiongozi wetu wa uchawi akatuambia kwamba alihisi ile nyama isingetosha kulinganisha na uwingi wa wachawi

tuliokuwepo. “Jamani hii nyama itakuwa haitutoshi kwani leo tupo wengi sana,” yule dogo alituambia. Baada ya kusema hivyo aliagiza ikatafutwe nyingine haraka

sana, alipotoa kauli hiyo kutaka sifa nilimwambia nitaenda mimi. Wachawi wengine wakiwa wananishangilia, nilipanda kwenye ungo wangu nikanuiza unipeleke mochwari ya Bugando, kufumba na kufumbua ukapaa.

Sikuchukua muda mrefu nikatua nje ya mochwari hiyo ambapo niliingia ndani kichawi, nikabeba maiti mbili na kuzitoa nje. Baada ya kuzipakiza kwenye ndege

yangu, nikaondoka kurudi kwa wenzangu, kama ilivyokuwa awali, walipoona ungo unatua walishangilia sana. Baada ya kuzishusha zile maiti, dogo kiongozi wetu aliagiza zichomwe kama mishikaki kwa sababu zile za awali zilipikwa.

Alipotoa kauli hiyo alipaza sauti na kusema wote tumsikilize kwani kulikuwa na jambo muhimu alitaka kuongea nasi. Tukiwa tumetulia kimya aliniita na

kuniambia nisogee karibu yake, nikafanya hivyo. “Naomba mnisikilize kwa makini, mnamuona huyu kijana hapa!” Yule dogo mchawi aliwaonesha mimi akiwa kainua

mkono wangu wa kushoto juu. Kufuatia kuulizwa hivyo, wachawi wote walisema walijibu waliniona ndipo alisema kuanzia siku ile amenipandisha cheo nitakuwa msaidizi wake.

Aliendelea kusema ameamua kufanya hivyo kwa sababu nilikuwa najituma na nilikuwa nina busara ambazo zinatakiwa sehemu yoyote. Aliposema hivyo, wachawi

wenzangu walishangilia mno, mimi nikabaki ninatabasamu kwani sikutegemea kupewa madaraka makubwa kiasi kile. Baada ya kunitambulisha, kazi ya kuchoma nyama

na kupika iliendelea na zilipoiva mtu wa kwanza kupelekewa kitoweo hicho alikuwa yule kiongozi wetu.

Alipoonja alituruhusu tuendelee kupata kitoweo na kunywa damu iliyobakia na waliopenda kucheza ngoma wafanye hivyo. Tulipomaliza kula nyama, yule dogo

alituamuru tukusanyike pamoja kwani kuna mwenzetu mmoja alihitaji kuongea nasi. Tukiwa tumefanya hivyo, alimwita yule mwenzetu na kumwambia aeleze shida yake

ndipo alianza kwa kusema; “Ndugu zangu, mimi naishi na mjomba wangu ambaye ni mlokole, kwa kweli amekuwa akiharibu sana mambo yangu hasa usiku.

“Kutokana na ulokole wake, kila siku usiku anaamka na kuanza kuomba kitendo hicho kinaharibu nguvu zangu za kichawi hivyo naomba mnisaidie kupambana naye.”

Baada ya mwenzetu kutueleza hivyo, mkuu wetu alicheka sana na kutuambia kwamba ilikuwa kazi ndogo sana kupambana na huyo mjomba wake. “Mtu mmoja hawezi kukukosesha raha, usiku huu atakiona cha moto,”

yule dogo mkuu wetu alituambia na kuangua kicheko. Alipomaliza kucheka alimwambia yule mwenzetu aliyeomba asaidiwe kwamba awachague wachawi watano aliopenda

waongozane naye kwenda kumkabili huyo mjomba wake. Nataka mkifika mkamtie roho ya uchizi aanze kuongea maneno yasiyoeleweka na kufanya mambo ya ajabu ili

atambue kwamba sisi ndiyo wakuu wa ulimwengu wa giza.

Baada ya mwenzetu kuambiwa hivyo, mtu wa kwanza kumchagua nilikuwa mimi kisha aliwachagua wengine watatu pamoja na yeye tukawa watano. Yule dogo kiongozi

wetu alituambia niite ungo utakaotupeleka kwa yule mlokole, nikafanya hivyo ambapo hazikupita sekunde kumi ungo ukatua. Baada ya ungo kutua, tuliingia wote

kisha niliuamuru upae ndipo tukaanza safari ya kwenda nyumbani kwa mlokole.

Jambo la kushangaza tulipofika eneo ambalo nyumba ya yule mlokole ilikuwepo, nilipojaribu kuelekeza ungo utue haukutua badala yake ulielekea upande wa

kushoto. Kukufafanulia hapo ni kwamba, inapotokea wachawi wanakwenda sehemu kwa kutumia ndege ya kichawi (ungo) halafu kila wakitaka utue unagoma elewa hapo

si mahali salama. Kwa kuwa tulipania sana kumkomesha yule mlokole, licha ya ungo kugoma kutua tuliulazimisha na kuurejesha hadi juu ya anga ilipokuwepo nyumba ya mlokole.

Tukiwa hapo, tuliulazimisha utue ndipo uligeuka juu chini na kutumwaga kando ya nyumba hiyo na chombo hicho kuangukia upande mwingine. Kilichosababisha ndege

yetu ianguke ni maombi yaliyokuwa yakifanywa na mlokole huyo usiku ule kwani yalikuwa makali sana. Tukiwa tumeanguka, yule mlokole alifungua mlango na

kutoka, akatuona wachawi wanne kasoro yule ndugu yake aliyekuwa kaangukia upande mwingine.

Kama ilivyo kawaida ya walokole wanapoona hali ya hatari huamua kuomba, alianza kukemea huku akilitaja jina la Bwana Yesu. Kabla hajaanza maombi mimi na

wenzangu tulikuwa tumegandiana lakini kadiri alivyokuwa akiomba tulijinasua na kuwa huru na kuweza kusimama. Tukiwa tumesimama, yule mlokole aliendelea

kukemea kwa jina la Yesu ndipo tulipata nguvu tukafanikiwa kutoweka kila mmoja kwa njia yake. Mimi nilikwenda nyumbani na kufikia kitandani, nikajilaza na

kuanza kutafakari lile tukio, sikuchukua muda mrefu nilipitiwa na usingizi hadi nilipozinduka asubuhi.

Kutokana na uchovu wa safari ya kichawi na mkasa uliotukuta usiku, siku hiyo niliamua kukaa nyumbani bila kwenda kokote. Baada ya kunawa uso nilitoa kiti na

kwenda kukaa chini ya mti wenye kivuli uliokuwa kando ya nyumba yangu. Nikiwa hapo nilisikia kelele za watu wakilia kutoka nyumba jirani, nikawa najiuliza

kulikuwa na nini bila kupata majibu. Wakati kelele hizo zinaendelea, nilimuona yule dada mpangaji wangu ambaye hakuwa na mke akirejea kutoka zilikokuwa zikisikika kelele hizo.

Alipofika tulisalimiana na kumwuliza kwa nini hakwenda kazini, akaniambia aliamua kumpumzika kwani alichoka sana. Kwa kuwa dada huyo alitokea upande ambao

vilio vilisikika nilimwuliza vilikuwa vya nini akaniambia hakuelewa chochote kisha akaingia ndani. Nikiwa najiuliza kilichokuwa kikiwaliza watu hao, mara

nilimuona jamaa mmoja ambaye alikuwa mwanajeshi akija huku mkononi kashika fimbo nne kubwa.

Sikuwa na shaka naye kwani nilijua alikuwa akipita kuelekea mtaa wa nyuma lakini jambo la kushangaza aliponifikia alianza kunitandika mwilini. Nilipomwuliza

sababu za kunilamba bakora, akaniambia mimi na vijana wengine tulimwibia antena yake hivyo tutamtambua.

Licha ya kumwambia ilitakiwa afanye uchunguzi ambao ungemwezesha kumpata mwizi wa antena yake kisha kumpeleka polisi, hakunielewa. Mwanajeshi huyo aliyekuwa

na cheo kazini kwake alinijibu kwamba yeye mwenyewe alikuwa polisi, hivyo lazima tungerudisha antena yake. Kwa kweli kitendo hicho kilinikera sana ndipo nilimwambia atanitambua kwa sababu aliingia sehemu isiyoingilika lakini mwanajeshi huyo alinibeza na kuendelea kunitandika. “Eti nimeingia sehemu isiyoingilika, yaani kidudu mtu kama wewe unaweza kuniambia maneno hayo, lazima utasema antena yangu mmeiuza wapi!” yule mwanajeshi aliniambia huku akiendelea kunicharaza bakora.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
58 Shetani Aliniita Kuzimu Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni