Notifications
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…
  • MY DIARY (7)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SABATULIPOISHIA...Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yeye alishindwa kushuka akiofika kile kitu kukaliwa na watu…
  • MY DIARY (6)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SITATULIPOISHIA...Akanambia kuwa wamemwambia wapo East Africa Pub na tayari wamaeshaagiza mkuu wa mbuzi. Mmmmhhhh kusikia mguu wa mbuzi mate yalinijaa mdomoni. Basi kwa harakaharaka nikamwambia naomba niende niende nyumbani nikachukue viwalo vya club kisha nitawakuta hapo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinambia mbona hizo nguo ulizofaa zipo poa tu wewe twende hivyo bhana si upo na…
  • MY DIARY (5)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TANOTULIPOISHIA...Akanisimamisha na kuanza kuiuliza maswali mengi yasiyo na maana huko akionekana kutojiamini. “samahani dada, sijui unaelekea wapi”? Nikamjibu dukani. Akavuta pumzi ndefu na kuniambia ok, nisaidie namba zako za simu. Nikamwangalia juu na chini nikwambaia nimezisahau na simu nimeiacha ndani nikirudi ndani nitakuletea..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Akaishiwa pozi akanambia,…
  • MY DIARY (4)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NNETULIPOISHIA...Uchambuzi huu ulinigusa sana kwani hata mimi nilijihisi kuwa sikuwa na utando huo yaani bikira japo nilikuwa sijawahi kujamiana na mwanaume wa aina yeyote zaidi ya ile michezo ya utotoni ya kula mbakishie baba au ile ya kibabababa na kimamamama. Alianza kunishika mapajani na kunifanya nianze kusisimuka ajabu kwani japo alikuwa ni mwanaume mikono yake likuwa ni milani sana kama ya mtoto wa kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media…
  • MY DIARY (3)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TATUTULIPOISHIA...Nazani sasa unanielewa ninaposema nilikuwa sina ndugu kwani baba yangu hakuwa na ndugu yeyeote zaidi ya marafiki ambao na wao kwa sasa ndio hao wameshagawana mali zote. Nimebaki mimi na dunia yangu hivyo basi nilimwomba rafiki yangu wa kufa na kuzikana kwa jina Joyce anisaidie kunisitiri nyumbani kwao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Likizo ilipoisha tulirusi shuleni na…
  • MY DIARY (2)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA PILITULIPOISHIA...Kwa ufupi japo sitaki kueleza historia yake ila kwa sasa ni shoga na teja. Baba yetu alitupenda sana na alihakikisha tunapata elimu nzuri na bora. Mimi na kaka yangu wote tulisoma International school ya hapo Moshi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baadaye kaka yangu alianza kuvuta bangi kitu ambacho kilimtia hofu baba yangu na kuamua kumpeleka kusoma nje ya nchi.Alikosea sana…
  • MY DIARY (1)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KWANZANilikuwa juu ya jukwaaa nikifanya vitu vyangu ili hali nikijua kabisa watu wote waliokuwa wakinitizama walikuwa wanaumia roho kutokana na mvuto wa umbo langu niliokuwa nao. Nilisikia mijibaba miwili ikiulizana hivi lile wowoo ni la kwake au ni la mchina? Mmoja wao akaropoka “wee kitu original hicho,kwani umemsaahau huyu binti tulishakutana nae kule Arusha mpaka tukambatiza jina la soda kubwa tena ya fanta yaani BAMBUCHA.?” Yeah nimekumbuka alidakia…
  • HAMUNAPTRA - MJI ULIOPOTEA (18)
    Jina: HAMUNAPTRAMtunzi: Richard MwambeSEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...“Mamaaaaaaaa!” Anna akapiga kelele na kutereza vibaya, miguu yake ikaliacha daraja, Seidon akawahi kukaza mikono na kumzuia, lakini miguu yake tayari ilikuwa imeacha daraja na sasa ikining’inia chini ya daraja. Anna akalia kwa uchungu sana, akijua kuwa mwisho wake sasa umefika.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...“Jipe moyo Anna, tumefika mwisho sasa,” Seidon…

RANIA (31)

JINA: RANIA
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA
ILIPOISHIA...
Kweli kaka Dom.. Angekufa huyu mapepe...alisema Fasha.

Mmmh...kaka Dom?....alisema Rania kiumbea zaidi asijue kinachoendelea...

SASA ENDELEA..
Nini kwani..umbea tu...alisema Fasha.

Kama wewe... alisema Rania.

Dom alicheka tu kusikia hivyo.

Walikaa pale kwa muda mrefu.

Huku Mfalme alikua ameshapata wasiwasi juu ya Fasha kwakua alikua hajarudu hadi muda huo...

Baada ya muda mrefu waliondoka na kwenda ikulu.

Mfalme alisubiri sana lakini Fasha hakua akija...ila baada ya kusubiri sana Mara Fasha alikuja.

Mfalme akiwa anamawazo mengi mara alikuja Fasha na kubisha hodi.

Aah..Fasha.. Umechelewa sana...haya niambie ulichokipata..alisema Mfalme baada ya Fasha kuingia.

Fasha alikaa na kusema... Baba ni mengi niliyokutana nayo huko...alisema Fasha.

Yapi hayo?...aliuliza Mfalme.

Fasha alihofia kumweleza yaliyotokea kipindi Rania anamfuatilia Mars maana Mfalme hakua akijua habari ya Rania na uhusiano wake na ufalme.. Ilibidi tu amweleze upande wa pili pekee.

Baba...yule mama niliyekua nimeenda anipe maelezo kuhusu wazazi wangu... Ndie mama yangu mzazi... Alisema Fasha.

Haaaa...mama yako mzazi?...aliuliza Mfalme kwa mshangao.

Ndio Mfalme...na yule mtoto wake ni kaka yangu.. Alizaliwa yeye kabla yangu... alisema Fasha.

Mmh... Hili nalo kubwa kuliko...yuko wapi kwa sasa huyo mama?..aliuliza Mfalme.

Yuko hapa ikulu nimekuja nae...alisema Fasha.

Unasubiri nini?...mlete hapa nimwone...alisema Mfalme.

Fasha alitoka na kwenda alipokua Dom, Rania na Rai.

Mfalme anahitaji kuwaona..wewe Rania kaa hapo ubaki unacheka na ndege....alisema Fasha

Ila siku nikikupiga utaniheshimu...alisema Rania hadi wote wakacheka.

Rai na watoto wake waliondoka na kwenda alipokua Mfalme.

Waliingia ndani na kukaa...

Mfalme alipomwona Rai alimkumbuka maana aliwahi kuishi ikulu.

Aaah...kumbe ni wewe...sasa nakukumbuka vizuri... Alisema mfalme huku akimwangalia Rai.

Ndio ni mimi mheshimiwa Mfalme... Alisema Rai.

Pole sana kwa kupoteza mtoto wako kwa muda mrefu sana..alisema mfalme.

Asante sana mtukufu Mfalme....alisema Mfalme.

Nimesikia unajua mengi hapa ikulu... Naweza kukuliza baadhi ya mambo?.. Aliuliza mfalme.

Ndio bila shaka mtukufu Mfalme... Alisema Rai.

Basi Fasha na mwenzio mwaweza kunipisha hapa kwanza... Alisema Mfalme.

Fasha na Dom waliondoka na kumwacha Rai na Mfalme.

Kwanza unaitwa nani?...aliuliza Mfalme.

Naitwa Rai....

Ni kweli wewe ulikua msaidizi wa Mganga aliekufa?..aliuliza Mfalme.

Ndio Mfalme.. Alisema Rai.

Swali langu muhimu ni hili...wewe ndie ulieachiwa kiini cha nguvu na Mganga aliepita?...au kuna mwingine.. Aliuliza Mfalme.

Rai alisita kidogo ila akakubali kua ni yeye.

Vizuri sana...nakuomba jambo moja... Alisema Mfalme.

Lipi hilo mfalme.. Aliuliza Rai.

Kua Mganga wa ikulu hii...Mganga wa hapa aliasi nikamwondoa..kwa sasa hakuna Mganga hapa...nahofia himaya hii kupata madhara... Alisema Mfalme.

Mtukufu Mfalme... Kabla ya kuendelea na lolote inabidi nikujulishe jambo moja... Alisema Rai.

Lipi hilo?.. Aliuliza Mfalme.

Mimi ni mtu wa ukoo wa kelkuni..mme wangu pia... Kwahiyo sizani kama kwangu itakua halali kuulinda ufalme huu..alisema Rai.

Mfalme alishituka sana kusikia hivyo... Ina maana hata Fasha ni mtoto wa ukoo wa kelkuni??!!!!!...alijiuliza Mfalme.

Daah..Mfalme alihisi kuchanganyikiwa... Hasa baada ya kujua kua Fasha ni ukoo wa kelkuni.

Nimeisha...sina mtoto yeyote..hata Fasha nae wa kelkuni!!???...hata nikisema arithi mdogo wangu bakanga nae ndio nitakua nimemuuzia nchi suya na ndugu yake.. Alijiuliza mfalme..

Haya kwa leo unaweza kwenda... Alisema Mfalme.

Rai aliondoka kiroho safi..

Huku Mfalme alibaki njia panda.. Alitafakari wosia ambao baba yake mzazi alimwachia kabla mauti haijamkuta..

Aliambiwa kwamba ahakikishe ufalme unakua wenye nguvu na asitokee wa kuupora..wala usitudi mikononi mqa wazawa wa kelkuni.

Kiukweli Mfalme alishindwa aseme nini.

Rai alipotoka tu ndani alikutana na vijakazi hapo nje wakimsubiri..walimwongoza hadi alipokua Fasha.

Mama...kwa sasa si salama kwako kurudi nyumbani wala kukaa ikulu..kuna sehemu salama nitakupeleka..alisema Fasha.

Sawa mwanangu... Nitakaa huko..alisema Rai.

Baada ya kumpeleka mama yake sehemu Salama alirudi hadi kwenye makazi ya mkewe Mars kuangalia kama amesharudi.

Huku Dom alikua akiongea na Rania.

Rania... Aliita Dom.

Abee..

Fasha ni mdogo wangu... Alisema Dom.

Unamaana gani kusema hivyo?.. Aliuliza Fasha.

Namaanisha hivi... Mimi na Fasha tumezaliwa na mama na baba mmoja...alisema Dom.

Rania alishangaa sana... Alibakia mdomo wazi...

Na Fasha analijua hili?...aliuliza Rania

Dom ilibidi amweleze yote mwanzo mwisho kilichotokea hadi wakafahamiana..

Haaaa....alishangaa Rania.. Alikaa katika mshangao kwa muda mrefu sana maana taarifa hazikua rahisi kuzikubali..

Baada ya muda Dom aliondoka na kumwacha Rania anashangaa..

Akiwa kwenye mshangao mara alikuja Namadi..

Namadi... Kulikoni?. Aliuliza Rania baad ya kumwona Namadi kama hayuko kawaida.

Namadi alisema kilichotomleta..

Rania alizidi kuchanganyikiwa... Aliashitushwa sana na taarifa zile.

Fasha alipofika kwenye makazi ya mars hakukumkuta Mars..alijiuliza sana.

Inamaana Mars hata sasa hajarudi?..atakua ameenda wapi?.. Alijiuliza Fasha.

Mahali pale akiwa na mawazo ya kutosha.. Akiwa anatembea mara alikuja Rania.

Mwanamfalme.. Aliita Rania.

Kuna shida gani mbona unahema kiasi hiki?.. Aliuliza Fasha.

Mwanamfalme... Namadi amekuja hapa...anadai amemwona mkeo sehemu... alisema Rania.

Fasha alishtuka sana..aliongozana na Rania hadi alipokua Namadi.

Namadi umesema umwemwona Mars wapi?.. Aliuliza Fasha.

Nilikua katika safari zangu mimi,hanna na yule mtoto Lau katika ziara yeye ya kutembelea misitu mbalimbali

Tukiwa bado tumepumzika majira ya asubuhi sana Mara tulimwona Mars na vijana wawili walinzi wakiwa pamoja nae.

Sina hakika ila walikua wameshika njia iliyokua ilkielekea Lazi..Mars alikua amejifunika kichwa asijulikane lakini kwakua tunamfahamu vyema tulimfahamu...alisema Namadi.

Lazi?..ameenda kufanya nini?..aliuliza Fasha..

Haya Namadi.. Nashukuru kwa taarifa.. Alisema Fasha.

Mwanamfalme.. Nitaondoka mimi na Namadi kwenda Lazi... Hakika tutarudi na suluhisho..alisema Rania.

Wewe na Namadi tu??...hapana... Unatakiwa kuweka ulinzi..alisema Fasha.

Hapana... Hili jambo si la kila mmoja..na kumbuka kua si kila mmoja anatakiwa kujua mimi ni nani na nilitoka wapi.. Alisema Rania.

Mmmh...sawa... Alisema Fasha.

Niagie kwa Dom.. Sitaki kukutana nae mwenyewe maana hatakubali m twende mimi na Namadi tu..alisema Rania.

Sawa... Nawatakieni safari njema... Alisema Fasha.

Mfalme bado alikua na mawazo sana..hakujua lipi liko sawa.

Baada ya mawazo ya muda mrefu alikata shauri..ingaqa hakutaka iwe hivyo ila hakua na jinsi

Kesho yake alimwomba Fasha amlete tena Rai waongee..Fasha alifanya kama Mfalme alivyotaka.

Mfalme.. Niko hapa..alisema Rai baada ya kufika.

Rai, naomba nikuulize maswali Machache.

Uliza mtukufu Mfalme.. Alisema Rai.

Hivi ni kweli kuna NADISH?.. Aliuliza mfalme.

Ni kweli Mfalme... Alisema Rai.

Yuko wapi kwa sasa?..aliulza Mfalme.

Ni wa kike au wa kiume?.. Aliuliza Mfalme.

Ni wa kike.. Alisema Mfalme.

Kwanini awe wa kike?....aliulza mfalme.

Kuna sababu kadhaa za kwanini awe wa kike..

Moja: aliletwa wa kike ili kuwapumbaza maadui..maadui wanaomshambulia hawawezi kuweka juhudi kubwa kumtafuta maana inasadikika wanawake ni watu ambao hawawezi mambo makubwa kamwe...alisema Rai.

Pili ndio mtu pekee alieonekana na hiyo nyota katika nchi nzima ya Lazi.. Alisema Rai.

Basi inatosha...mimi nitakubali kuuacha ufalme uende kwa wazawa wa kelkuni..najua nafanya makosa kwakua nilikula kiapo cha kutouachia ufalme huu kwa wazawa wa kelkuni.

Nafanya hivi kwa sababu sina mrithi mwingine tofauti na Fasha ambae pia ni wa kelkuni... Hata nikisema nimrithishe mdogo wangu ndo basi kabisa... Alisema mfalme kwa unyonge.

Sawa nimekuelewa Mfalme..haina jinsi maana kwa namna yoyote ile ufalme ulishatabiriwa kurudi kwa kelkuni... Haina haja ya kumwaga damu.. Alisema Rai.

Yuko wapi huyo mtoto?.. Aliuliza Mfalme.

Yuko hapahapa ikulu... Alisema Rai.

Mfalme alishtuka sana.. Hapa ikulu?!!!?....aliulza mfalme kww mshangao.

Ndio hapa ikulu... Alisema Rai.

Mfalme alibaki macho kodo.

Wakati huo Rania na Namadi walikua wako safarini wakielelea Lazi.

Mars alikua ameshafika Lazi na alikua ameshafika ikulu.

Walinzi wa ikulu walimpisha bila ubishi akaingia.

Mfalme alipopata taarifa za ujio wake alishangaa sana..

Mars?..amekuja hapa kwanini?..alijiuliza Mfalme.

Aliwahi na kwenda kukutana na Mars.

Walikaa na kuanza kuongea.

Mwanangu.. Mbona uko hapa bila taarifa?.. Bila walinzi?..aliuliza Mfalme.

Baba mwanao yamenikuta makubwa...nimenusurika kifo baba..Tharia ni watu wabaya sana..alisema Mars.

Wamekutenda nini?..aliuliza Mfalme kwa hamaki....NINI KINAFUATA?

MARS ATASEMA NINI?..

USIKOSE SEHEMU YA THELATHINI NA MBILI

TAZAMA VIDEO HII KISHA BONYEZA SUBSCRIBE CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO
3 Rania Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni