Notifications
  • MY DIARY (30)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINITULIPOISHIA...Baada ya hapo Nnilimwomba mama mdogo ajikaze na kuwatarifu ndugu wengine habari hizo za msiba.Tulisaidiana hivyo hivyo maana sio siri kila mmoja alikuwa na uchungu sana kutokana na mazingira ya kifo hicho. Habari zilizidi kusambaa kwa kasi na majirani walianza kukusanyika hapo kwa mama mdogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Msiba ni msiba tu na ukitaka kujua binadamu…
  • MY DIARY (29)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TISATULIPOISHIA...Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (28)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NANETULIPOISHIA...Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole. Hapo na mimi nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama wanalijua hili.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa…
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…
  • MY DIARY (25)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TANOTULIPOISHIA...Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…

MAMA MWENYE NYUMBA (51)

Mwandishi: Mbogo Edgar

SEHEMU YA HAMSINI NA MOJA
Ambao wame amuwa kupumzika hapa ili kesho mapema waendelee na safari, wao walielekea moja kwa moja upande wa sehemu yakupata huduma ya chakula

SASA ENDELEA...
“Ningekuwa peke yangu sijuwi inge kuwaje” alisema Rose wakati wanaingia mle ndani na kuchagua sehemu nzuri ya kukaa, na kuagiza chakula

Tumbi hospitali Sophia alikuwa anarudi toka kibamba kituo cha polisi, baada ya kuagizwa na mama yake aende akaliangalie begi la baba yake, akiamini kuwa yeye akuweza kuliona labda ni kwasababu alikuwa amechanganyikiwa, lakini Sophia nayeye hakuliona kabisa ilo begi, ambalo analifahamu vizuri sana, akiwa anaingia pale hospitali taratibu huku akitafakari kilicho mtokea baba yake huku mawazo ya kuwa mama tyake pia ametembea na Edgar yakimjia kichwani, kiukweli alizidi kuchanganyikiwa binti huyu, anakujikuta akimvaa mgonjwa mmoja aliekuwa anapishana nae

“We! dada vipi ebu tazama mbele bwana”alifoka dada mmoja ambae alikuwa na mgonjwa alie mgonga Sophia, bila kusema kitu Sophia aka mtazama yule mgonjwa alie msukuma, alikuwa ni mwanamke ambae alionekana kupatwa na hajari, au kupigwa usoni, kutokana na bandeji alizo zilibwa kwenye paji la uso, na kwenye pua “samahani dada, ilikuwa bahati mbaya” alisema Sophia kwa sauti ya upole huku bado amemtazama yule mgonjwa, ambapo yule mdada aliyekuwa nae, alimshika mkono na kuanza kuondoka zao

“Mh! kama namfahamu huyu dada,” aliwaza Sophia kisha akawasoglea, “samahani dada,” alisema Sophia akimtazama yule alie mshika mgonjwa, nao wakasimama, “eti huyu dada kama na mfahamu, lakini sikumbuki nilimwona wapi?” alisema Sophia akijaribu kmtazama yule dada mgonjwa, “mh! kwani wewe unakaa wapi?” aliuliza muuguza mgonjwa, “nakaa mbezi” alijibu Sophia, “ok na sisi tuna kaa mbezi, inawezekana ulituona hapo asa kama unapenda kutembelea full dose” alisema yule dada muuguzaji, nakumfanya sophia astuke kidogo, “ok! inawezekana, maaa hapo natembeleaga sana, poleni sana” alisema Sophia huku akiaga na kuondoka zake, akajichekea moyoni, “shenzi kabisa Malaya we!” alikuwa ni queen au ni binti wa jana, ambae alilazwa pale hospitali, baada ya kupigwa na chupa usoni, nampigaji akiwa ni Sophia mwenyewe, Sophia alienda moja kwa moja mpaka kweny chumba alicho lazwa baba yake, akamkuta mama yake akiwa na mgonjwa lakini mgonjwa bado alikuwa ame kata moto, kutokana na mituko ya mala kwa mala, walicho amua madoctor ni kumvizia atakapo zinduka wa chome sindano ya usingizi, maana ile kuzimia zimia ni hatari sana kwa mgonjwa, Sphia akatoa riporti yake kuwa hakuna kitu kwenye gari

Leo usiku bwana kazole na mke wake walikuwa wamelala kwenye chumba ambacho miaka iliyopita kilikuwa cha watotot wakike, bado walikuwa wanaongea ili na lile, huku bwana Kazole akijitahidi kumuweka sawa mke wake na kumsaaulisha kipigo na usaliti wa siku tatu zilizopita, “hivi mzee ameuza mashamba ya wapi?” aliuliza Bwana Kazole wakiwa wame jilaza kitandani na mke wake, “mashamba wapi? ni Edgar huyo nasikia amewatumia mifedha mingi, ameoa mwanamke mwenye mihela mingi sana, tena anafanya kazi benk” hapo bwana kazole akawa amepata jibu la swali lake, “umewai kuongea na Edgar siku mbili hizi,” aliliza kwa shahuku bwana Kazole, haaaa! wapi, nitaanzaje kwanza, yani atakurudi hapa nyumbani ilikuwa ni bahati mbaya tu, naonaje aibu” alisema mke wa bwana Kazole akivuta shuka safi na zuri lililopo pale kitandani, nakujifuika mpaka kifuani, “weweeee ukiendekeza aibu, utakufa masikini, changa mka, kumbuka vikoba bado unadaiwa” alisema bwana Kazole huku mke wake akijigeuza na kumwonyea mume wake mgongo, kichwani mwake akitafakari maneno ya mume wake

Huku ruhaha Edgar na Rose walikuwa wamesha maliza kupata chakula, na Edgar akalipa chakula cha wote wawili, “hivi Edgar, unaonaje tuki lala hapa, maana kusafiri usiku nivibaya” alishauri Rose, na Edgar akaunga mkono, “ni kweli alafu kesho saa kumi namoja tuna endelea na safari” baada ya makubaliano hayo, “Rose akashauri waamie kwenye bar, wakachangamke kidogo, wakiwa wana fanya utaratibu wa kupata vyumba vya kulala, walielekea upande wa bar, na kutafuta sehemu nzuri wakakaa, sehemu hiyo ilikuwa ime changamka sana, watu wengi walikuwa wakipata vinywaji, huku wakiudumiwa na waschana warembo, kama mmoja aliewafwata mala tu baada ya kukaa, “ni wahudumie tafadhari,”

Hapo wakwanza kuagiza alikuwa Rose naomba bia ya.. light., wewe Edgar utakunywa nini?” aliuliza Rose baada ya kutaja kinywaji anacho kiitaji, “mimi naomba mvinyo mwekundu,” alisema Edgar akiingiza mkno mfukoni akitaka kutoa fedha, “hapa Edgar, zamu yangu,” alisema Rose akimzuwia Edgar kutoa fedha, kisha yeye akafungua mkoba wake na kutoa pochi ndogo alafu akatoa elfu kumikumi tatu, akampa yule dada, “achana na light, lete huo mvinyo chupa mbili, alafu tuitie na mhudumu wa vyumba” alisema Rose kisha akamtazama Edgar

“Kwanini unapenda mvinyo mwekundu?” aliuliza Rose bado amemtazama Edgar huku akitabasamu, “ndiyo pombe yangu ya kwanza kuanza uinywa” nime jikuta naizowea hiyo hiyo” alijibu Edgar akikwepesha mcho yake yasi kutane na macho ya Rose, ambe alikuw amekaa upande wapili wa meza nakuufanya watazamane, “mh! unaijuwa kazi yake?” aliuliza Rose, “si kilewa? au kuana nyingine” aliuliza Edgar huku pembeni yao akisimama mwana dada, akiweka tray yenye chupa mbili za mvinyo, na grass mbili tupu mezani, “wa vumba anakuja” aliongea yule dada akifungua chupa moja ya mvinyo

“Ok! asante” alijibu Rose na yule dada ondoka zake, na kabla hajafika mbali alipishana na kijana mmoja ambae aliongoza moja kwa moja, kuifwata meza yao, alipo fika aka wasalimia na kujitambulisha kuwa yeye ndie msimamizi wa upande wa uduma za vyumba, “ok! tunaitaji vyumba viwili, mna fanyaje” aliongea Rose, huku Edgar akimimina mvinyo kwenye grass yake na kisha kwenye grass ya Rose “kwanza kabisa poleni sana, chunba kilicho baki ni kimoja tena singo, yani cha kitanda kimoja, nachumbachenywe tulimwekea mteja mbae, alikuwa anatokea arusha, sasa ameghairi amepitia dar usiku huu, na mkichelewa kinaweza kuchukuliwa” alongea yule kijana akionyesha msisitizo, Rose akatabasamu na kumtazama Edgar usoni. Edgar akakwepesha macho yake, Rose akamtazama yule kijana na kumwambia

“Eti! akuna guest nyingine ya jirani?” yule kijana mhudumu wa vyumba aliwatazama kwa zamu, “ vyumba hapa ni mpaka comfort, hukoooo kitonga, kwani nyinyi siyo wa penzi, mpaka mna tafuta vyumba tofauti?” aliongea yule kijana akiendelea kuwa tazama kwa zamu, Edgar na Rose wakacheka kidogo, “kwani unatuonaje anko, tuna endana?” aliuliza Rose huku akiinua grasi ya mvinyo, na kuiweka mdomo kupiga funda moja laini, “mh! yani nilivyo waona nika shangaa sana, lakini uwezi kujuwa labda...” alishindwa kumalizia yule kijana, Rose akacheka kidogo na kumtazama Edgar, “eti! Eddy una semaje, utaweza mzungu wa nne” aliuliza Rose na Edgar akajibu, “Usijari nita lala kwenye gari” alisema Edgar akiinua grass nay ye na kuiweka mdomoni

“Ok! anko bei gani?” aliuliza Rose akifungua pochi yake, “elfu hishilini na tano tu!” Rose alitoa fedha hiyo na umpatia yule kijana ambae aliondoka akiagiza kupitia ufunguo mapokezi na kusaini kitabu cha wageni, “unaogopa nini kulala chumba komoja na mimi?” aliuliza Rose baada ya kuakikisha yule kijana amesha ondoka, “mh! unazani ni kazi lahisi kulala na mwanamke mlembo kama wewe,”alijibu Edgar na wote wakacheka, “kwani nikiwa mrembo ndio nini, si tuna lala na nguo zetu” alisema Rose, huku wakiendelea kunywa mvinyo mwekundu, “au unaogopa nita kubaka?” aliuliza Rose wakacheka tena, “unibake au ukibake kibakio?” alisema Edgar huku wakiendelea kucheka, “ok! kama auogopi kitu basi mimi sikupi ufnguo wa gari, tuna lala wote chumbani” alisema Rose akitazama chini, akishindwa kumtazama Edgar ambae sasa alikuwa anaweza kumtazama Rose, sijuwi kwaajiri ya kinywaji

“Rose utanitafutia kesi, kwa jinsi ulivyo mzuri alafu tulale chumba kimoja, lakini poa mimi nitalala chini” aliongea Edgar huku wakiendelea kupiga kilaji chao taratibu, kwakifupi maali hapa watu uwa wanakesha wakipiga mtungi na wengine lala kwenye magari, wakiwa wame opoa wanawake ambao walikuwa weni sana pale mbuyuni, ukiachilia wahudumu wakike pia kuna wana dada ambao walikuwa wana kuja kwa kuatafuta watu wa kuondoka nao, wakiwa na nia ya pata fehda toka kwa madereva hao wengi wao wakiwa ni wa magari makubwa, “kwahiyo tume kubaliana tuta lala wote, alafu itakuwa lahisi kuamshana mapema, kesho asubuhi” aliongea Rose akijaribu kumtazama Edgar usoni, “poa aina tatizo,” alijibu Edgar akiendelea kukamua mvinyo, Rose akaachia tabasamu

Tumbi hospital Sophia na mama yake walikuwa wame kaa pembeni ya kitanda alicho lala mzee Mashaka, ilikuwa saa tano za usiku mama Sophia alikuwa anasinzia, japo Sophia alikuwa anajitahidi kumsemesha semesha, ili mama yake asilale asilale, “Sophia bola ungeenda kupumzika alafu mimi kesho, uni letee chakula asubuhi” aliongea mama sophia na Sophia akaunga mkono, japo moyoni alikuwa anajambo ambalo lilikuwa linamsumbua sana juu ya namba ya Edgar kuseviwa saloon kwenye simu ya mama yake, nambaya zaidi alipoipiga, Edgar alipokea na kumuita mke wetu, njiani sophia alikuwa akiwaza

“Kwa maana hiyo Edgar anatembea na mama, ebu ngoja” alisema Sophia huku akichukuwa simu yake kwenye dash board na kuitafuta namba ya Edgar kisha akaipiga, simu iliita kidogo ikapokelewa “hallow sophi vipi kunakitu ume sahau?” mh! sauti aikuwa ya Edgar , ilikuwa ni sauti ya mama yake, “haaaa, mama nimekosea, kunamtu nilikuwa nampigia” aliongea Sophia akakata simu, “mbona nashindwa kuelewa, inamaana atasimu yake anayo mama, au amesha fukuzwa kwa Suzan?” alijiuliza Sophia wakati akiwa anaendelea na safari yakeakataka kupitia kwa Suzan akajuwe kulikoni, lakini akaona itakuwa ngumu sana kutokana na yaliyotokea asubuhi, akaona labada ampigie simu, akaona ndiyo kabisa aitapokelewa, akaamua kuendelea na safari

Mama Sophia baada ya kupokea simu ya sophia, kwenye simu aliyozani ni simu ya mume wake, maana ata jila mwanae lilikuwa lime andikwa Sophia, aka iweka simu kwenye mkoba wake, kisha akenda kukaa kwenye kiti cha mataili maalumu kwa wagonjwa (wheel chair) kilichopo mle ndani akaa na kuanza kupitiwa na usingizi

Ilikuwa saa sita usiku, ndipo Edgar na Rose walipo shauliana wakapumzike chumbani, maana mida ilisha watupa mkono na safari yao bado ilikuwa ndefu sana

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO



USIKOSE SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI

Maoni, Ushauri na Chochote Share Namimi Katika Mawasiliano Haya:
+255 718 274 413 Ipo WhatsApp
+255 764 339 438
ZephilineEzekiel@Gmail.Com
7 Mama Mwenye Nyumba Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni