MTAA WA TATU (34)
Zephiline F Ezekiel
6 min read
SEHEMU YA THELATHINI NA NNE
“Mkamateni huyo Dada ndio kauwa" ikawa kila anaemshika anapokea ngumi vifuti mateke viwiko yani bibiye alitembeza kichapo mpaka wananchi wakajuta kumshikaNIOMBE SAPOTI, BONYEZA TANGAZO LINALOKUJA NA KUJAA KWENYE SIMU YAKO WAKATI UKIFUNGUA SIMULIZI AU LILE LINALOKUWA KATIKATI YA SIMULIZI ZETUKABLA HAUJAIFUNGUA NDANI, PIA KUNA LILE LINAKUJA NA KUNG'ANG'ANIA HAPO CHINI, BONYEZA WALAU MARA 3-4 HIVI HIYO NDIO SAPOTI YAKO KWANGU, TAFADHALI NIPE NGUVU NAKUTEGEMEA SANA MSOMAJI WANGU
SASA ENDELEA...
“vipi kaka mbona unatoka mbio huko utokako kuna nini?
Mariam akamdaka kijana mmoja aliyekuwa anakimbia huku damu zikimtoka kichwani.
“msiende huko kuna muuwaji wakike anapiga kila atakayetaka kumshika ni hatari huyo.
Kijana akachomoka kutoka mikononi kwa Mariam na kuendelea kutimua mbio,
Benjamin akawaambia “achaneni nae twendeni hiyo sehemu kwa mwendo wa haraka wakaongozana,
Wakati huo bibiye Yusra umati umezidi kumuandama Hakika alikuwa ni mwanamke wa shoka kwa kupambana na watu hao.
Mwenye nondo mwenye Panga na kisu yani kila aina ya siraha za jadi alikuja nayo kwa nia ya
Kumuuwa bibiye.
Miongoni mwa kikundi cha watu Hafidhi nae alikuwepo katulia pembeni akimsoma bibiye,
Dakika si kina Mariam wakaingia na kumkuta mwenzao yupo katika timbwili la Asha ngedere.
Nao wakaingia kati
Vivian akatowa kitambulisho na kupaza sauti kwa kusema wao ni
Ma agent responsible kutoka kitengo maarumu kwakifupi ni kitengo cha wale wazee wa Suti yani kuanzia POLICE, JWTZ, FBI, Wote wapo chini yao kwa kifupi wanatisha, kila mwananchi akaogopa na kutimua mbio wakiwa na dhana zao,
“Asante sana kaka shika hii ukapate soda"
Mariam akampatia Benjamin kuasi cha pesa kama shilling elfu hamsini hivi eti ya soda.
Benjamin hakuweza kuamini aisee yani anapewa elfu hamsini ni sawa na mshahara wake wa miezi miwili pale anapofanya kazi.
Team nzima ya 3Sisterz wakaondoka pasipo kupoteza muda huku
Hafidhi akipiga hatua za haraka kuwai sijui,
Taarifa zikaweza kutangazwa kuhusu mauwaji yaliyoweza kufanyika maeneo ya kinondoni baada muuwaji kuchinja watu wawili mmoja tu ndio kaondoka na kichwa chake
Wakati tukio la mauwaji likitokea
Mmoja kati ya Ma agent akaweza kufika eneo la tukio ajabu
Wananchi wakajuwa yeye ndio muuwaji na kuanza kumzonga kilichowatokea Mungu mwenyewe anajuwa
Kwani walifinywa na kufinyangwa, embu oneni tukio zima la kitimutimu cha wakazi wa Kinondoni.
“duhuu kumbe bongo kuna watu wanapiga kiasi hiki tena mtu mwenyewe Mwanamke mbona hatari"...
“wee unashangaa kuona hivyo usikute muuwaji kakimbia baada kuona mambo sio"
Yalikuwa mabishano baina ya vijana fulani wakiwa hotelini
Kupata msosi,
“hawa ndio watu wanaoitajika ndani ya nchi hii
Maana wakipatikana kama watatu tu shuhuri kwisha kazi"..
Polisi walizidi kusambazwa kila kona wakafanya kazi usiku na mchana.
Lakini haikusaidia kitu ndio kwanza mauwaji yakazidi kuongezeka,
Kijana hakuweza kukumatwa kabisa yani akawafanya polisi kama vitoi fulani
kwa kuwachezea vile alivyotaka yeye.
Ilikuwa ni siku ya j.pili ndani ya ukumbi mmoja hivi kulikuwa na
Happy birthday ya bibiye Vivian
watu wengi waliweza kualikwa ndani ya ukumbi huo kwanza kila mtu aliweza kupendeza wanaume kila mmoja alitinga suti,
Wanawake nao walipendeza kwa namna zao huyo bibiye Yusra utasema malaika
Kwa jinsi anavyong'aa
Mariam nae usimpimie wanaume wakwale wakabaki kuwakodolea macho ya matamanio tu.
Tatizo mabinti hao si rahisi kuingilika.
Ndani ya mtaa wa tatu kulivamiwa na wababe sijui kutoka wapi,
Tena mchana kweupe
Kikundi cha watu wapatao kama sita hivi
wakaingia ndani ya nyumba kwa kina
Salma wakapiga kila mtu
Kisha wakaondoka na bibiye Habiba.
Salma huku akilia damu zikimchuruzika kwenye paji lake la Uso akampigia simu
Hafidhi,
Ndani ya ukumbi mziki ulikuwa mzito kitendo kilichopelekea Mwanaume asiweze kuisikia simu yake kama inaita basi
Vivian akakata keki wakwanza kumrisha ni kipenzi chake,
“mmh! Mariam hivi huyu
Vivian atakuwa kachanganyikiwa au?"
Yusra akauliza swali.
“unamaanisha nini kuuliza hivyo?
“nauliza hivyo kwasababu yeye ni Agent responsible haifai kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi"...
“mmh! Yusra embu acha kunichekesha kwani Agent responsible ni robot au binaadamu tambuwa kitu kimoja hata yeye anahisia ikiwa ni binaadamu.
Hapa nilipo mi mwenyewe natafuta wangu nikimpata tu mbona raha,
Mariam akaondoka zake kwenda chooni
wakati anatoka
Ghafla akajikuta anashika mkono
Na kuvutwa mtoto wakike akapepesuka na kujikuta anatuwa kifuani kwa kidume
Akabambanishwa ukutani.
“shemeji nini bwana embu niache!!!
Akatekenywa kwenye chuchu basi akaruka
Ahaaaa,,,,mi staki hivyoo
Akapewa mdomo yeye mwenyewe akafumba macho na kuachia kinywa chake wazi
Assess,,,,ohoooo
Denda lilikazana huku wakigombaniana ndimi zao Hafidhi aliona kama vile hafaidi kushika matako ya bibiye maana alishaanza kuyashikashika na kuyaminya.
Wakati huo
yalikuwa ndani ya gauni jepesi.
Alilivuta kwa juu na kumbakiza na chupi aina ya bikini
Mariam
aliyekuwa ameshapanua mguu mmoja kwa utamu aliouhisi,wakati denda linaendelea ikabidi Mwanaume amsaidie ile kazi aliyokuwa anajifanyia yeye mwenyewe ya kijiingiza vidole kwenye kitumbua chake. Mariam mzuka ulimpanda si kidogo.
Dole la Hafidhi lilishuka chini na kuingiza kwenye kitumbua cha bibiye kilichojaa nyama na kutuna mashavu yake,aaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaah,,,,,,sssssssss,,,,,aaaaaaaah,,,,alilalamika Mariam huku mdomo wake ukishindwa kushiriki vizuri tendo la denda kwa utamu wa kuingizwa dole basi Dole la Hafidhi lilimsugua bibiye kiarage chake kilichosimama kwa nyege,,,mmmmh,,aaaah,,masikini wa watu Mariam alikamatika hasa,alipiga kelele za utamu huku akijitahidi kukikatikia kidole cha Hafidhi basi alichokifanya Mwanaume alilitoa dudu lake kupitia hapo kwenye tundu la zipu kisha akaliingiza haraka kwenye kitumbua cha Mariam kilichokuwa kimelowa hasa,akamshika vyema huku wakiwa wamesimama hivyo na kuanza kumsugua,,,,aaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaaaiiiiiiiissssssss,,,aaaaaaaaah,,,mmmmh,,,,alilalamika kwa utamu wa dudu lilipoingia ndani ya kitumbua chake
Dudu lilianza kumsugua ambapo lilizama lote na kutoka kwenye kitumbua hicho kilichokuwa na joto wastani lililomsisimua zaidi mikono ya Hafidhi ilikuwa ikiyashika matako ya bibiye yaliyokuwa laini na makubwa kwa kuyaminyaminya kama anakanda unga wa ngano,pia mikono ya Mariam ilikuwa shingoni akimshika hasa na kumpapasa kichwa chake mguu mmoja wa Mariam ulinyanyuliwa kwa pembeni na Hafidhi ili apate nafasi nzuri ya kumsugua hasa bibiye mwenye nyege za kutosha.
Mtoto wawatu alilalamika kwa utamu wa dudu lililokuwa linaingia na kutoka kwenye kitumbua chake ilikuwa mwendo wa wimawima hiyo akuna kuchutama wala kuchuchumaa. Hafidhi alishindwa kujizuia bao lilipokuwa linakaribia naye alianza kuweweseka kwa utamu,,,aaaaaaah,,,oossssssss,,,aaaaaaah,,,hapo Mariam hakuwa mjinga,naye aliyakata mauno na kumkumbatia huku dudu lote likizama kwenye kitumbua chake kinono chenye mashavu laini.
Alianza bibiye kutoa uji wake huku akifuatiwa na Hafidhu aliyejikaza hasa miguu yote ilikaza ambapo kufumba na kufumbua alijikuta anakojowa, aaah,,,aaaaaaah,,alimalizia utamu wake kwa kugugumia hivyo ambapo dudu lake lilikuwa limeshachomoka nje ya kitumbua,kweli nyege mwanaharamu,walipomaliza kusuguana ndipo, wakabaki kutizamana tu Mariam akabaki kuona aibu akavaa faster bikini yake pasipo kuaga akaondoka zake tukirudi ukumbini Vivian kuna Mwanaume alikuwa akicheza nae.
Sema akili haikumpa kabisa mawazo yake yalikuwa kwa kipenzi chake Rich
“sijui huyu Mwanaume atakuwa wapi muda huu ahaa mi nimeboreka tu, kwa mbaali akaweza kumuona Mariam akitokea chooni
Dakika si nyingi na Rich nae huyo
Akabaki kujiuliza mbona kama wameongozana vipi kunani tena, sema akaweka wivu pembeni kuwa hakuna chochote kilichotokea baina yao.
Hafidhi baada kutoka chooni akatoka nnje ya ukumbi na kuitowa simu yake,
Kutizama kuna miss call kama hamsini sms
Sijui ngapi akaifunguwa moja kuisoma na kusema shit!
Akarudi ndani mbiombio na kumfikia Vivian akiwa anacheza akamshika mkono na kumvuta kwenda nae nnje
Yule jamaa aliyekuwa akicheza na Vivian alichukia si mchezo maana alikuwa kakamatia Toto la nguvu akibambia,
“baby nini kwani mbona tunavutana hivyo?"
Vivian akauliza swali huku akijitowa mikononi mwa Hafidhi.
“sikiliza nikwambie kitu baby kuna ndugu yangu amepatwa na tatizo so naomba ufunguo wa gari niwai kumcheki hospital"...
“Atakuwa kapata ajali au kama vipi twende wote"
“hapana baby hatuwezi kwenda wote usikute baba na mama watakuwepo huko
Haitopendeza kukuona katika mavazi haya.
Wacha mi niende kisha nitakujulisha uje
Please nielewe my dear"....
Vivian japo kwashingo upande
akampatia funguo japokuwa nae
alitamani kwenda kuwaona
Wakwe zake mawifi zake
au Shemeji zake sema hakuwa na jinsi kumuacha kipenzi chake aende kwanza,
Mwanaume baada kuingia ndani ya gari akaondoka kwa speed ya hatari
na kuacha maswali kwenye vichwa vya watu kama ataweza kufika
Salama,
Hafidhi ndani ya gari alikuwa akiupigapiga usukani kwa hasira yani speeds yote
akaona kama gari haitembei
Kwenye mataa akasimama kisha kuendelea na safari.
Hatimae akaingia Mtaa wa tatu
Yani aliposhuka tu kila aliyeweza kumuona moyo wake ukashituka
Hafidhi j Ikram amerudi
vijana wazee kwa watoto wakakusanyika kutaka kumuona japokuwa wanatambuwa anatafutwa na jeshi la polisi kwa kosa la mauwaji.
Mbele ya shujaa wao hawakutaka kusikia chochote,
“vipi Ankor mbona hivyo kitu gani kimewatokea?
Nani katenda yote haya? Habiba yupo wapi?"
Hafidhi akauliza maswali mfurulizo baada kuingia ndani ya nyumba hiyo
Hakuna aliyeweza kuamini kumuona tena
Hafidhi karudi ndani ya nyumba hiyo
Ankor wake mchozi ukamtoka na kuuliza
“Hafidhi ni wewe mwanangu"....ndio wewe kijana wangu"
Akamkumbatia na kumwambia
“laiti kama ungekuwepo haya yote yasingetokea,
Kuna kikundi cha vijana sijui wametokea wapi wamevamia ndani ya nyumba hii na kuanza kupiga kila mtu.
Tulijitahidi kupambana nao wakatuzidi nguvu na kujikuta tukipigwa kama vile watoto wadogo baada kututembezea kichapo mmoja kati yao akaitowa picha ya yule binti aliyekuja nae Joyce.
Na kutuuliza yuko wapi huyu binti?
Hakuna aliyekuwa tayali kutaja
kumbe Habiba nae alikuwa ndio anarudi kutoka kwenye biashara zake,
Pasipo kufahamu akafunguwa mlango aingie ndani.
Ndipo wale majangili yakaweza kumuona
Kwanza walimpiga na kuondoka nae, yani walikuja na gari aina ya Noah.
Yenye number za usajiri
99TZ00 ndio kilichotutokea
My Ankor!"
Baada Hafidhi kusimuliwa vile akasema
“Ankor na wale wote mliopigwa nina hakika nitawalipia hiki ni kidogo
nitakata mikono yao wacha niende"
Akatoka mbiombio na kuingia ndani ya gari
Kabla hajaiwasha kuna
bajaji ikaja kupaki pembeni yake na kushuka
Kessy akabaki kumtizama tu mkononi kafungwa Hogo,
Hafidhi akashuka na kumfata
“Kassim"
Kessy akashtuka kuitwa jina lake ikabidi ageuke kumtizama huyo anaemwita
Ni nani.
NAOMBA SAPOTI, KUNA MATANGAZO(ADS) YANAJITOKEZA KWENYE APP YETU, LIMOJA LINAJAA KWENYE KIOO CHAKO JINGINE LINANG'ANG'ANIA HAPO CHINI KABISA, BONYEZA JAPO MARA 2 AU 3 KILA UKIFUNGUA SIMULIZI HIYO ITANIPA NGUVU YA KUENDELEA ZAIDI NA SIMULIZI ZETU🙏🙏
TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

USIKOSE SEHEMU YA THELATHINI NA TANO
Maoni, Ushauri na Chochote Share Namimi Katika Mawasiliano Haya:
+255 718 274 413 Ipo WhatsApp
+255 764 339 438
ZephilineEzekiel@Gmail.Com
Maoni, Ushauri na Chochote Share Namimi Katika Mawasiliano Haya:
+255 718 274 413 Ipo WhatsApp
+255 764 339 438
ZephilineEzekiel@Gmail.Com
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni