Notifications
  • MY DIARY (34)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Hapo nikakumbuka kuwa zile zana zangu za kazi nilikuwa nazo ni vile vifaaa vya kupimia ukimwi ambavyo huwa navitumia kabla ya kukutana na mwanaume yeyote nisiyemfahamu. Nikaamua kumkubalia huku nikiamini kuwa hiyo ndo kinga yangu pekee iliyobaki kama mwanaume huyo atataka kuzini na mimi usiku huo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi tuliondoka na kwenda sehemu…
  • MY DIARY (33)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TATUTULIPOISHIA...Nilikuwa nachanganya staili za kijamaika na hizi za kwetu, sikuacha pia zile za Nigeria hapo nikapata vitu vyangu vya tofauti kabisa. Basi baada ya kujihakikishia kuwa nipofiti kwa mastahili yangu hayo nilisubiri siku ya shindano ifike nikafanye yangu. Siku ya shindano ilifika na mimi nilikuwa miongoni mwa washiriki walioingia tatu bora.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (32)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MBILITULIPOISHIA...Lakini kuchepuka kwangu na kuingia mgombani haikumaanisha kuwa sheria ingeniacha hivi hivi.Ilifika mahali ikabidi nizime gari na kutulia tulii kusikilizia nini kitafuata.Tayari nilikuwa nimezungukwa na mapolisi ambao walikuwa wakinifuatilia kwa kutumia pikipiki.Kwa bahati nzuri dereva wa lile gari na yeye alishafika hapo na alishawaambia polisi kuwa mimi naugua ukichaa na nilifufuka kutoka mochwari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (31)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MOJATULIPOISHIA...“marehemu pia alinieleza kuwa ana miliki duka la vitu vya urembo wa kike ambalo pia Leah analisimamia ila hilo apewe mdogo wake Marry ambaye yupo hapa. Mama mdogo huyo mara baada ya kuyasema hayo alikaa zake chini. Baba mdogo ambaye hakurizika na maelezo hayo alisimama na kusema “kwa hiyo kama marehemu alijua kuwa atakufa hivi karibuni kwani nini hakufuata taratibu za kisheria za kuandika wosia na kurithisha mali.IKIWA UNASOMA…
  • MY DIARY (30)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINITULIPOISHIA...Baada ya hapo Nnilimwomba mama mdogo ajikaze na kuwatarifu ndugu wengine habari hizo za msiba.Tulisaidiana hivyo hivyo maana sio siri kila mmoja alikuwa na uchungu sana kutokana na mazingira ya kifo hicho. Habari zilizidi kusambaa kwa kasi na majirani walianza kukusanyika hapo kwa mama mdogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Msiba ni msiba tu na ukitaka kujua binadamu…
  • MY DIARY (29)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TISATULIPOISHIA...Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (28)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NANETULIPOISHIA...Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole. Hapo na mimi nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama wanalijua hili.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa…
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…
  • MY DIARY (25)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TANOTULIPOISHIA...Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…

MTAA WA TATU (36)

Mwandishi: Hafidhi J Ikram

SEHEMU YA THELATHINI NA SITA
Yalikuwa maneno ya Gadhabu kutoka kwa bibiye Yusra binafsi muuwaji
Anatia hasira vibaya mno yani ndani ya dojo hilo kauwa watu ishillini na nne si kitu kidogo hiki.
Ndugu jamaa na marafiki waliweza kufika eneo la tukio waweze kuitambuwa miili ya ndugu zao

NIOMBE SAPOTI, BONYEZA TANGAZO LINALOKUJA NA KUJAA KWENYE SIMU YAKO WAKATI UKIFUNGUA SIMULIZI AU LILE LINALOKUWA KATIKATI YA SIMULIZI ZETUKABLA HAUJAIFUNGUA NDANI, PIA KUNA LILE LINAKUJA NA KUNG'ANG'ANIA HAPO CHINI, BONYEZA WALAU MARA 3-4 HIVI HIYO NDIO SAPOTI YAKO KWANGU, TAFADHALI NIPE NGUVU NAKUTEGEMEA SANA MSOMAJI WANGU
SASA ENDELEA...
Vilio vilitawala kwa wale walioweza kushuhudia miili ya ndugu zao.
“nilikwambia mimi Tuwa kuwa kujifunza mapambano si kitu kizuri sasa umeona eheee
Washakufanya ulale embu amka sasa!"
zilikuwa kelele kutoka kwa mama yake Tuwa akitaka mwanae amke kutoka usingizini ni usingizi wa kifo.
kijana Tuwa hakuweza hata kujitikisa tu,
“Afande embu shika huu mkanda uweze kuona tukio zima kwa kifupi tuliweka camera kwaajili ya kushort mashindano yetu,
Kwa bahati mbaya ikatokea kitu kama hiki"
Yusra akawai kuupokea ule mkanda na kuondoka nao
Vivian na Mariam wakabaki kushangaa tu.
Mbona Yusra kafanya kitendo ajabu kama kile.
Pande za mbagala maeneo ya Zakhiem tunamuona Hafidhi akiwa beneti na binti mmoja hivi.
“kwahiyo kaka yangu ulikuwa unatafuta chumba sasa kiwe cha umeme au cha Giza?"

“chochote tu Dada yangu nina hakika kitanifaa"...
“basi sawa kule bondeni sijui Maji matitu kuna vyumba vingi tu
Tatizo kuna vibaka yani ikifika saa tatu usiku huwezi kukatiza zile, yani kama ujaporwa basi utabakwa ukijifanywa mjuwaji
Utachanwachanwa na viwembe
kwa kifupi kunatisha ndugu"...

“kuhusu hilo wala usijali Dada yangu cha umuhimu mimi naitaji chumba tu, ehee umesema kule Maji matitu chumba cha umeme naweza kupata kwa shilling ngapi yani kodi kwa mwezi?"

“sawa nimekuelewa kama hautojali
kuhusu vurugu za kule cha umuhimu sitaki lawama, sijui yule dalali kanipeleka sehemu mbaya ohoo sijui nini
Tambuwa kitu kimoja kuishi kule inaitaji moyo kuhusu bei chumba kuanzia elfu kumi na tano mpaka elfu thelathin wewe tu na uchaguzi wako kama vipi tunaweza kwenda kuvitizama.
Hakika alikuwa dalali wakike mwenye maneno mengi sana cha kwanza kumtahadhalisha mteja wake kuhusu maeneo anayoyataka, basi wakaingia kwenye mitaa hiyo
kulikuwa na pilikapilika za hapa na pale
Sijui mafundi wedding yani wachomolea mageti,
Kuna mafundi majiko sijui bajaji na bodaboda yani ilikuwa full kelele tu,
Huku watoto wakicheza mpira
Kuna madada fulani wakikubwa walikuwa wakicheza Rede sasa kwa bahati mbaya mmoja akarusha mpira na kwenda kumbabuwa Hafidhi,
“Ahaa wee Mary umembabuwa kaka wawatu embu muombe msamaha"
Mmoja kati ya wasichana akaongea hivyo.
Lakini huyo Mary wala hakujali ndio kwanza akasonya na kusema
“nyoo nimuombe msamaha kwani yeye nani kwanza alitumwa kupita njia hii aende zake huko!"
“hata kama kaka zako wababe wa maeneo haya huna budi kuomba msamaha pindi ukimkosea mtu"...
Mwingine akamsisitia Mary kuwa mstaarabu pindi anapokosea,
Wakati huo Hafidhi na yule Dalali washaondoka zao,
“nafikilia kaka yangu umeweza kujionea hali
Harisi jinsi ilivyo yule binti kakupiga na mpira baada kukuomba samahani ndio kwanza kakusonya!"

“mbona vitu vidogo sana kwa watoto wakike kama wale kuhusu hilo ondowa shaka kabisa"
Wakaingia ndani ya nyumba moja hivi na kuanza kukikaguwa chumba,
Basi walipita huku na kule kukaguwa mwishoe
Hafidhi akaridhika nacho
Akafanya malipo ya mwaka mzima, na kusema atahamia baada wiki moja,
“baby mbona kama sikuelewi?"
Ni usiku mmoja bibiye Vivian akiwa kitandani na kipenzi chake yeye anamfahamu kwa jina la Rich sisi tunamfahamu kama
Hafidhi j Ikram muuwaji wa kutisha nae akauliza
“unielewi kuhusu nini kipenzi
Changu?"
“sikia nikwambie kitu siku ile kwenye mazishi ya Dada yako kule mtaa wa tatu
Nilisikia kama watu wakimzungumzia
Hafidhi eti wakasema kama wamemuulia Dada yake ndio wameuchochea moto.
Sasa nikawa na shahuku ya kutaka kufahamu huyo
Hafidhi yuko wapi niweze kuonana nae"....
“ha!ha!ha!ha! Sasa baby unataka kuonana na Hafidhi kwa ishu gani au unataka kunimwaga nini?"

“hapana baby si unajuwa tena",,,,ahaaa,,,,opsiiiiiiii,,,,,,,assssssssmmmmm,,,,,mtoto wakike akaanza kugugumia kwa utamu baada kushika chuchu yake ya kulia huku kidole kikiwa ndani ya kitumbuwa chake,,,
“assssss,,,,,baby fanya,,,taratiiiiiiii-bu
Uwiiiiiiiii,,,,,,Nina mimba yako,,,ni kauli ambayo ilimfanya Hafidhi asitishe shukhuri nzima na kuuliza
“baby unasemaje?"
“nimesema nina mimba yako baby nilienda kupima juzi baada kujihisi sipo sawa sikutaka kukwambia mapema
kuogopa mambo fulani"
Hakika Hafidhi hakuweza kuamini Aisee yani tokea aanze mahusiano
ya kimapenzi na wasichana tofauti hakuwai kutamkiwa hata mimba ya kusingiziwa leo
Amempa mimba Mwanamke
Commando kama huyu hakika furaha iliyoje
“Vivian unasema mpenzi yani hata siamini kama ni kweli eti ni kweli au?"
Yani furaha ya Hafidhi ikapitiliza mpaka kujikuta akitaja jina harisi la
Vivian, mpaka yeye mwenyewe akabaki kushangaa amelijuwaje jina
Lake mwishoe akakumbuka ile siku ya
Happy birthday yake liliandika jina lake harisi yani Vivian Jackson
Basi wakakumbatiana kwa furaha na kupeana mate
ghafla Hafidhi alimpindua bibiye na kumlaza kifudifudi ambapo Vivian kwa makusudi, Alijibinua matako yake na kuyapanua,kwanza tayari alishakaa mtindo wa Mtaka cha uvunguni,,,ingizaaa mpenziiiiiii,,aaaaaa­aaah,,,,mmmh,,,aliongea na kuugulia kwa utamu akionyesha hamu yake kubwa ya kutaka kusuguliwa,jinsi uhemaji na ukunjaji wake wa sura ulivyokuwa Vivian alionekana kama mtu aliyelishwa pilipili nyingi
Basi taratibu alimwingiza dudu lake kubwa ambapo kwa mbwembwe alikuwa akitikisa matako yake laini huku akiguna kimahaba kulipokea dudu hilo.
Taratibu mpaka Dudu lote lilizama kwenye kitumbua,hapo Vivian akaanza kuonyesha ufundi wake kwa kuzungusha kiuno chake kulikatikia dudu
,,,mmmmmmmmh,,,ooooo­ooooooooouushiiiiiiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaa­aaaaaaaaah,,,,alisikika akilalamika kwa utamu baada ya kukunwa dudu lake ipasavyo,mtoto aliinamisha kichwa chake chini kabisa na kujibinua matako yake huku akimpa mauno ya nguvu Hafidhi aliyekuwa anapampu kwa kasi

“jamani baby taratiiii-bu usije ukamtobowa mtoto utosi,,,,,ahaaaaaa,,,,assssssss,,,
Vivian aliongea hivyo huku akinung'unika kwa utamu wa andunje ikawa kama vile kamwambia ongeza kasi, speed ikaongezeka mikalio ikasikika ikilia pwahaa pwahaa baada kujipigiza kwenye mapaja ya Hafidhi
Vivian alikuwa akinesanesa tu kama vile sitaki kwenda mi narudi ntaenda,,,,"
Yusra baada kuuchukuwa ule mkanda hakuweza kuutizama mapema akauweka kabatini sijui kwanini kafanya hivyo.
“Yusra uliona kitu gani baada kuutizama ule mkanda wa Dojo?"
“sijaona kitu chochote kwani vipi"....
“embu nenda kaulete basi niweze kuutizama na Mimi
Mariam akauhitaji huo mkanda
“kusema kweli shost huo mkanda baada kuona hamna kitu nami sikuwa na haja ya kukaa nao nikautupa tu"...
Yusra akazidi kuongea uwongo mbele ya Agent mwenzake,
“sawa haina shida binafsi kuna kitu kingine naitaji nikueleze kuhusu Kamanda mwenzetu yani bibiye Vivian kwakifupi hivi sasa yeye ni mjamzito!"
“what?.....unasema kweli Mariam au unatania tu?"
“siwezi kutania hiyo ndio hali harisi na inavyoonekana hatoweza kuendelea na hii kazi itabidi akae pembeni mpaka pale atakapojifunguwa ndipo arudi kazini"..
Ghafla bibiye akatoka mbio huku mkono kajiziba mdomoni
Mpaka kwenye sink akaanza kutapika
Yusra akamfata na kumuuliza
“vipi tena shost! Mbona hivyo unaumwa au"....kama vipi twende hospitali!"
Mariam hakujibu kitu akajisafisha na kurudi sebuleni
na kukaa kwenye sofa
Hakukaa sana akatoka tena mbio kwenda kutapika mpaka hapo hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali kwenda hospitali
“ongera sana binti".
Baada ya vipimo kufanyika huku Daktari akiwa na uso wa furaha wenye tabasamu mwanana akampa hongera bibiye Mariam.
Kwa upande wao hawakuweza kuelewa chochote mtu na shogaake ikabidi watizamane
“unamaanisha nini Daktari mpaka unipe pongezi hizo je umependa mimi niumwe?"
Mariam akauliza kwa shahuku ya kutaka kufahamu kwanini kapewa pongezi.
Daktari akaweka miwani yake sawa huku akiendelea kutabasamu akamjibu,
“hapana binti sina maana hiyo eti kupenda wewe uumwe ichi ulichonacho wewe si ugonjwa ni hali harisi kwa kila Mwanamke itamkuta haijarishi ni tasa mgumba au nani
Kusema kweli una mimba ya wiki tatu"...
“stop!!! Please ishia hapohapo Daktari unataka kusema mimi nina nini???
Kwanza Daktari akashikwa na mshangao mbona binti kawa mkali ghafla baada kuambiwa ana mimba why?"
“sikia nikwambie kitu binti nipo katika kazi hii takribani miaka tisa sasa nina uzoefu mkubwa wa kazi yangu kwa kifupi wewe ni mjamzito
Kabla Daktari ajamalizia kuongea zaidi akashtukia akipigwa kibao cha kerbu
“shatapu!
Pumbavu zako hivi inawezekana vipi kwa Agent responsible kama Mimi nishike mimba haiwezekani kamwe"....
Daktari akabaki kimya kusikia kumbe huyu binti ni Agent
Akaona asije akauliwa bure,
“inawezeka ukashika mimba tambuwa kitu kimoja Agent responsible si robot ni binaadam mwenye hisia ukizingatia wewe ni Mwanamke mbona hata Simba juu ya ukali wake wote anazaa punguza hasira tuangalie ni jinsi gani unaitowa hiyo mimba".....
Yusra akaongea hivyo huku akimpigapiga begani kumtuliza hasira zake.

“hivi wewe chizi au kichaa mwehu au nani? Yani mimi nikiwa kama Agent mwenye kupambana kuhusu
swala zima la kuzuia mauwaji alafu leo hii nishiliki kukiuwa kiumbe kisichokuwa na hatia embu nipishe
na upuuzi wako’’
Akampushi shogaake na kutoka nnje ya wodi hiyo hakika alikuwa na maswali mengi sana yenye kuumiza
kichwa, akaitowa simu yake na kumpigia sijui nani. Akasikika akiuliz “ehee upo wapi wewe tafadhali
naomba tuonane sasa hivi, njoo hapa viwanja vya Biafra ufanye haraka sana’’ kisha akakata simu na
kuingia ndani ya gari yake,
“sasa huyu mwehu naitaji nimuuwe kimya kimya, haiwezekani kumpa penzi siku moja tena kwa dakika
chache kama zile leo hii aikatishe ndoto yangu kizembe. Wacha nikutane nae kisha nitumie mbinu ya
kummaliza. ipo siku mwanangu atakuja kuniuliza Mama baba yuko wapi nitampa jibu zuri tu kuwa baba
yako amekufa akiwa vitani katika nchi ya Uganda,
Mariam hakika aliwaza mambo mengi sana huku machozi yakizidi kumtoka pia akamkumbuka na Vivian
nae ana mimba ya mwanaume huyo itakuwaje siku akigunduwa kuwa yeye ndio muhusika wa mauwaji
ya baba watoto wake si vitazuka vita sema akajiambia potelea mbali,
Tukija upande wa Vivian wakati simu inapigwa aliweza kusikia kila kitu sema akajifanya kutulia kimya
kwa kuzuga eti amelala. Hafidhi nae akiwa hana hili wala lile akatoka zake kwenda kuonana na mariam
hakuweza kutambuwa kama kaandaliwa kifo. Akiwa ndani ya gari ghafla kwenye siti ya pembeni kukaanza
kufuka moshi kwanza alishtuka tena akashtuka zaidi baada kutokezewa na kiumbe chenye sura ya baba
yake yani Mzee J Ikram

NAOMBA SAPOTI, KUNA MATANGAZO(ADS) YANAJITOKEZA KWENYE APP YETU, LIMOJA LINAJAA KWENYE KIOO CHAKO JINGINE LINANG'ANG'ANIA HAPO CHINI KABISA, BONYEZA JAPO MARA 2 AU 3 KILA UKIFUNGUA SIMULIZI HIYO ITANIPA NGUVU YA KUENDELEA ZAIDI NA SIMULIZI ZETU🙏🙏

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO



USIKOSE SEHEMU YA THELATHINI NA SABA

Maoni, Ushauri na Chochote Share Namimi Katika Mawasiliano Haya:
+255 718 274 413 Ipo WhatsApp
+255 764 339 438
ZephilineEzekiel@Gmail.Com
9 Mtaa wa Tatu Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni