Notifications
  • MY DIARY (36)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA SITATULIPOISHIA...Sasa wewe fikiria mimi niliyeletewa zawadi sikujua ni zawadi gani lakini yeye tayari alishafungua na kuchungulia na kujua nini kilifungwa huko ndani.Basi nikaendelea kumuhudumia yule mama huku na yeye akiniambia kuwa itabidi nikimmaliza hizo zawadi tusifungue hapo hapo na waniimbie wimbo wa happybirthday.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Tuliendelea na stori mbili…
  • MY DIARY (35)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TANOTULIPOISHIA...Tatu niliambiwa kuwa ndugu zake na wazazi wake walihusika kwenye mipango hiyo hivyo walibariki kabisa huyo binti kuniacha mimi mumewe wa ndoa na kuamua mtoto wao aolewe upya. Nne ni kwamba huyo mzungu amewaamishia wazazi wake mjini na amewajengea nyumba ya kifahari.Kwa hiyo mimi ninavyowapigiana simu na kuwajulia hali kumbe wenzangu huwa wananichora tu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (34)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Hapo nikakumbuka kuwa zile zana zangu za kazi nilikuwa nazo ni vile vifaaa vya kupimia ukimwi ambavyo huwa navitumia kabla ya kukutana na mwanaume yeyote nisiyemfahamu. Nikaamua kumkubalia huku nikiamini kuwa hiyo ndo kinga yangu pekee iliyobaki kama mwanaume huyo atataka kuzini na mimi usiku huo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi tuliondoka na kwenda sehemu…
  • MY DIARY (33)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TATUTULIPOISHIA...Nilikuwa nachanganya staili za kijamaika na hizi za kwetu, sikuacha pia zile za Nigeria hapo nikapata vitu vyangu vya tofauti kabisa. Basi baada ya kujihakikishia kuwa nipofiti kwa mastahili yangu hayo nilisubiri siku ya shindano ifike nikafanye yangu. Siku ya shindano ilifika na mimi nilikuwa miongoni mwa washiriki walioingia tatu bora.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (32)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MBILITULIPOISHIA...Lakini kuchepuka kwangu na kuingia mgombani haikumaanisha kuwa sheria ingeniacha hivi hivi.Ilifika mahali ikabidi nizime gari na kutulia tulii kusikilizia nini kitafuata.Tayari nilikuwa nimezungukwa na mapolisi ambao walikuwa wakinifuatilia kwa kutumia pikipiki.Kwa bahati nzuri dereva wa lile gari na yeye alishafika hapo na alishawaambia polisi kuwa mimi naugua ukichaa na nilifufuka kutoka mochwari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (31)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MOJATULIPOISHIA...“marehemu pia alinieleza kuwa ana miliki duka la vitu vya urembo wa kike ambalo pia Leah analisimamia ila hilo apewe mdogo wake Marry ambaye yupo hapa. Mama mdogo huyo mara baada ya kuyasema hayo alikaa zake chini. Baba mdogo ambaye hakurizika na maelezo hayo alisimama na kusema “kwa hiyo kama marehemu alijua kuwa atakufa hivi karibuni kwani nini hakufuata taratibu za kisheria za kuandika wosia na kurithisha mali.IKIWA UNASOMA…
  • MY DIARY (30)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINITULIPOISHIA...Baada ya hapo Nnilimwomba mama mdogo ajikaze na kuwatarifu ndugu wengine habari hizo za msiba.Tulisaidiana hivyo hivyo maana sio siri kila mmoja alikuwa na uchungu sana kutokana na mazingira ya kifo hicho. Habari zilizidi kusambaa kwa kasi na majirani walianza kukusanyika hapo kwa mama mdogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Msiba ni msiba tu na ukitaka kujua binadamu…
  • MY DIARY (29)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TISATULIPOISHIA...Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (28)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NANETULIPOISHIA...Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole. Hapo na mimi nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama wanalijua hili.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa…
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…

SUZAN WANGU (1)

Mwandishi: Michael Michael

SEHEMU YA KWANZA
Ilikua siku ya ijumaa ambapo yalikua majira ya saa kumi na mbili jioni ambapo wingu jepesi lilikua likijikusanya taratibu katika anga la jiji la Dar es salaam huku kukiwa na mvua za rasharasha zikiendelea katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo, wananchi wengi waliifurahia hali hiyo kwani mvua hizo za rasharasha zilikua zimeambatana na hali ya ubaridi, hali hiyo ilipunguza kadhia ya joto ambayo ilikua imewapata wananchi wa jiji hilo muda mfupi kabla ya hali hiyo ya mvua za rasharasha kutokea. Wakati hali hiyo ikiendelea, hali ilkua tofauti kidogo katika jumba moja lililopo maeneo ya mbezi, katika jumba hilo kijana ambae alikua na makadirio kati ya miaka 25 hadi 27 alikua katika bwawa la kuogelea(swimming pool) akiogelea pamoja na kurushiana maji na mwanadada ambae nae kwa makadirio alikua na umri kati ya miaka 23 hadi 25, kwa kuwaangalia tuu kwa haraka walionekana ni mtu na mpenzi wake, naam hawakua wengine bali ni Michael na mpenzi wake Suzan, walikua wapo katika jumba la Michael ambalo alizawadiwa na uongozi wa bank ya CRDB hasa kutokana na utendaji wake na uhodari wake katika utendaji wa kazi katika benki hiyo, Michael aliajiriwa katika benki hiyo kipindi akiwa na miaka 21 ambapo alikua amehitimu shahada yake ya kwanza ya uhasibu katika chuo cha CBE kilichopo katika jiji hilo la Dar es salaam, kutokana na kuibuka kinara katika masomo yake katika chuo hicho ndipo manager wa bank hiyo ya CRDB bwana Alex alipoamua kumuajiri katika benki hiyo, baada ya kufanya kazi kwa takribani miaka miwili, ndipo uongozi wa benki hiyo ulipomzawadia jumba hilo lililopo mbezi pamoja na gari mbili, moja likiwa ni mercedez benz nyeusi wakati lingine lilikua ni prado yenye rangi ya gold, na alizawadiwa vyote hivyo kutokana na utendaji wake pamoja na uaminifu wake kazini, Suzan ambae alikua ndio mpenzi wake Michael, yeye alikua ni secretary katika kampuni moja ya usambazaji wa samani za ndani(furniture), suzan na Michael walikutana mbezi beach ambapo kila mtu alikua amekwenda maeneo hayo sababu ya kurefresh pamoja na kuogelea, hapo kila mtu alivutiwa na mwenzake na hapo ndio ikawa mwanzo wa mahusiano yao, Michael yeye hakua na ndugu yeyote yule kwasababu alilelewa katika vituo vya kulelea watoto mayatima, hali ilikua hivyo hivyo pia kwa mwanadada Suzan, baada ya kujuana kiundani hapo ndipo Michael alipoamua kumchukua Suzan na kwenda kuishi nae katika jumba lake hilo lililopo maeneo ya mbezi, waliishi kama mume na mke ingawa walikua bado hawajafunga ndoa,hakika walipendana sana, suzan alikua ni binti aliyejaaliwa kila idara katika mwili wake, hakika Mungu alimpendelea sana binti huyo ambae Michael alipenda kumuita miss bantu, Suzan alikua na uso wa mviringo ulobeba pua iliyochongoka vizuri, pia alikua na midomo mipana iliyovutia kila unapoitazama, alikua na macho ya wastani ambayo yalikua yamelegea utadhani amekula kungu, alizidi kuvutia zaidi pale anapotabasamu au kucheka, kwani vilitokea vishimo viwili katika mashavu yake ambavyo vinajulikana kwa jina la dimpoz, alikua na kifua kidogo kilichobeba chuchu zilizosimama vyema utadhani alikua na miaka kumi na nane, alikua anakiuno chembamba ambapo kilikua kimebeba hipsi pana huku nyuma alikua amejazia kiasi na wakati akitembea nyama hizo za nyuma zilikua zikitikisika utadhani alikua nafanya makusudi, alikua anamiguu iliyojazia kama watoto wamjini wanyoita sijui guu la bia, uzuri wake uliongezeka kutokana na rangi yake nyeupe, hakika Suzan alijaaliwa, kila sehemu aliyokatiza suzan watu walimtolea macho kwa uchu kutokana na uzri wake, hakika Michael alipata.
Waliendelea kuoga huku wakirushiana maji, Michael alizama katika bwawa hilo na kuibuka karibu kabisa na Suzan, hapo alimshika Suzan kiunoni na kuanza kunyonyana ndimi zao, walinyonyana ndimi zao huku Michael akiendelea kutalii katika maungo mbalimbali ya binti huyo, walitoka katika bwawa hilo huku wakiwa wamekumbatiana na kunyonyana ndimi zao na wakaanza kutembea taratibu kuelekea ndani, safari yao ilikomea katika chumba kimoja kipana ambacho kilikua na kitanda cha sita kwa sita, baada ya kufika hapo kitandani Michael alimtupa suzan kitandani, alitoa sidiria iliyokua imefunika chuchu za suzan na kuitupa chini akamvua pia nguo ya ndani na kumuacha suzan kama alivyozaliwa, alipatwa na uchu baada ya kuona umbo halisi la suzan, hakika suzan kila siku alikua ni mpya kwake,alisogea karibu na midomo ya suzan na kuanza kubadilishana mate huku mikono yake ikiwa inazitomasa chuchu za suzan, alishuka taratibu mpaka katika chuchu za suzan, hapo alianza kuzilamba kwa ncha ya ulimi wake kwa staili ya kuzunguka, wakati huo mkono wake wa kulia ulikua unasugua taratibu kitumbua cha suzan, oooooohhhh sssssssss aiiiiiiiiii ooooopsssss, ni miguno aliyoitoa suzan baada ya utamu kuanza kumkolea, Michael alishuka taratibu mpaka katika kitovu cha suzan, hapo alikilamba kwa muda na baadae alishuka mpaka katika kitumbua cha suzan na hapo alianza kukilamba taratibu huku mkono wake mmoja ukisugua kitu kama harage katika kitumbua cha suzan, suzan alikua amechanganyikiwa kwa raha alizokua akizisikia, alishika mashuka na kuyavuruga vuruga kwa raha alizokua akizisikia, alikikandamiza kichwa cha Michael katika kitumbua chake akitaka Michael aendelee kukilamba zaidi, Michael aliendelea kulamba kitumbua cha suzan huku akiendelea kupekecha kitu kama kiharage kilichopo katika kitumbua cha suzan, suzan alianza kubana miguu huku akikandamiza kichwa cha Michael kuonesha kwamba alikaribia kufika mshindo, Michael alijitoa katikati ya mapaja ya Suzan kwa haraka na papo hapo aliingiza tango lake katika kitumbua cha suzan, Michael alikua amejaaliwa tango nene kiasi na refu, hivyo alivyoliingiza katika kitumbua cha suzan, suzan alitoa mguno war aha, hapo Michael alianza kupump kwa kasi na kila upande katika kitumbua cha suzan, alimpump kwa muda wa dakika tano na hapo kila mmoja alimng’ang’ania mwenzake kuonesha kua walikua wanafika mshindo pamoja…

Saa mbili kamili michael alikua akipaki gari lake katika maegesho ambayo wafanya kazi wa benki ya CRDB iliyopo maeneo ya posta hupaki, alishuka katika gari na kuingia katika benki hiyo ambapo alikuta tayari kuna wafanyakazi wachache walishafika, aliwasalimu na baada ya hapo alielekea katika ofisi yake ambapo huwa anakaa peke yake kutokana na unyeti wa kazi hiyo, alianza kwa kumalizia viporo alivyoacha jana, na baada ya hapo alianza kupitia fomu mbalimbali za wateja ambao walikua wameomba mikopo, baada ya nusu saa mlango wa ofisi yake uligongwa na alipomruhusu mgongaji aingie, aliingi mtu mzima mwenye wastani wa umri wa miaka 50, alikua mrefu kiasi mwenye mwili uliojazia kutokana na mazoezi ambayo huwa anafanya kila siku, hakua mwingine bali mr Alex, manager wa tawi hilo la CRDB lililopo maeneo ya posta, siku zote mr Alex alifurahishwa sana na utendaji kazi wa michael na alitokea kumpenda sana, alimchukulia kama mwanae ukizingatia Alisha hadithiwa historia ya michael na michael mwenyewe, vivyohivyo kwa upande wa michael, alimpenda na kumuheshimu mr Alex kama baba yake mzazi ukizingatia mzee huyo hakubahatika kupata mtoto katika kipindi chote cha maisha yake,hivyo michael na mr Alex walikua ni kama baba na mtoto…
“Aaa karibu mzee, shikamoo”
“Marhaba mwanangu, vipi hali yako”
“Salama tu sijui wewe na mama huko nyumbani”
“Tunamshukuru Mungu tu wazima wote, vipi unafanya nini kwa sasa?”
“Nipo napitia form za mikopo za wateja wetu”
“Okay uzipitie kwa umakini na hakikisha unazisaini kabisa kabla ya kuzileta ofisini kwangu”
“Sawa boss” alijibu michael
“Hahahaha michael mwanangu mimi sipendi uniite boss, napenda ukiniita baba”
“Okay sawa baba nimekuelewa”
“Haya mwanangu kazi njema” alisema mr Alex na kuelelekea katika chumba cha ofisi yake.
**** **** *****
Wakati Suzan alipo kuwa akijiandaa kwaajili ya kwenda kazini, alisikia mlio wa message katika simu yake, aliichukua simu yake na kuangalia ujumbe ulikua umetoka kwa nani, “Boss” ndio jina lililotokea katika screen ya simu yake aina ya Samsung galax S6+, alipofungua sms hiyo alijihisi kutaka kuzimia kutokana na message hiyo ilivyoandikwa, message ilisomeka hivi;
“Kuanzia leo sitaki kukuona katika ofisi yangu, nimekufukuza kazi kwasababu zangu binafsi, na wala usijisumbue kuja katika ofisi yangu kama unajipenda maana unaweza ukaozea mahabusu, ila kama utakua tayari kunivulia nguo yako ya ndani na kunipanulia mapaja yako unaweza ukapata kazi, kwa kifupi nalihitaji penzi lako ili uokoe kazi yako”
Suzan aliipitia hiyo message mara mbilimbili na hakuamini kama boss wake anaweza kumuandikia message kama hiyo ukizingatia jinsi walivyokua wanaheshimiana, alilia sana lakini baadae alijifuta machozi, alichukua simu yake na kutafuta jina lililoseviwa boss na kuruhusu simu itoke(calling)…, simu upande wa pili iliita na hazikupita sekunde kadhaa simu ilipokelewa…
“Haloo suzan natumai umepata message yangu, na……..” kabla hajamaliza kuongea suzan alimkatisha….
“Sikiliza wewe mpuuzi usiekuwa na haya wala adabu, mimi siyo mwanamke wa dizaini hiyo, kama umeshindwa kuvuliwa na chupi na mke wako na akakupanulia mapaja nenda kwa Malaya wanaojiuza huko mtaani na siyo kwangu mimi mwanahizaya wewe, sikutegemea mtu mzima kama wewe unaweza kuniambia maneno machafu kama hayo ms***e wewe, nenda ukam****e mama yako mbwa wewe, tena unikome, sina dhiki kiasi cha kukuvulia wewe chupi kwaajili ya kazi, mpuuzi mkubwa wewe, tena unikome… na ufute namba yangu pindi nitakapo kata simu hii….”
“Suzan una…”
“Msyuuuuuu” suzan alimsonya na kukata simu.
Siku zote suzan alikua ni mwanamke mwenye msimamo kweli katika mambo yake, na alishaapa hatokuja kumsaliti michael katika maisha yake, ndio ilikua ni haki yake kuapia kutokuja kumsaliti michael, michael alimtimizia kila analolihitaji kwa wakati, alimtimizia hata mahitaji yake ya kimwili, kwa kifupi michael kwake yeye alikua ndiyo kila kitu….

Baaada ya kumaliza kuongea na boss wake alirudi kitandani na kulala huku akiwa na mawazo sana, baadae alikata shauri na kuendelea na kazi ndogondogo za nyumbani huku akimsubiri Michael aje ili amueleze kilichomkuta….
**** **** ******
Siku zote katika maisha sio kila mtu atafurahi kuona mafanikio yako

KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU


TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

11 featured Simulizi Suzan Wangu
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni