Notifications
  • MY DIARY (36)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA SITATULIPOISHIA...Sasa wewe fikiria mimi niliyeletewa zawadi sikujua ni zawadi gani lakini yeye tayari alishafungua na kuchungulia na kujua nini kilifungwa huko ndani.Basi nikaendelea kumuhudumia yule mama huku na yeye akiniambia kuwa itabidi nikimmaliza hizo zawadi tusifungue hapo hapo na waniimbie wimbo wa happybirthday.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Tuliendelea na stori mbili…
  • MY DIARY (35)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TANOTULIPOISHIA...Tatu niliambiwa kuwa ndugu zake na wazazi wake walihusika kwenye mipango hiyo hivyo walibariki kabisa huyo binti kuniacha mimi mumewe wa ndoa na kuamua mtoto wao aolewe upya. Nne ni kwamba huyo mzungu amewaamishia wazazi wake mjini na amewajengea nyumba ya kifahari.Kwa hiyo mimi ninavyowapigiana simu na kuwajulia hali kumbe wenzangu huwa wananichora tu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (34)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Hapo nikakumbuka kuwa zile zana zangu za kazi nilikuwa nazo ni vile vifaaa vya kupimia ukimwi ambavyo huwa navitumia kabla ya kukutana na mwanaume yeyote nisiyemfahamu. Nikaamua kumkubalia huku nikiamini kuwa hiyo ndo kinga yangu pekee iliyobaki kama mwanaume huyo atataka kuzini na mimi usiku huo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi tuliondoka na kwenda sehemu…
  • MY DIARY (33)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TATUTULIPOISHIA...Nilikuwa nachanganya staili za kijamaika na hizi za kwetu, sikuacha pia zile za Nigeria hapo nikapata vitu vyangu vya tofauti kabisa. Basi baada ya kujihakikishia kuwa nipofiti kwa mastahili yangu hayo nilisubiri siku ya shindano ifike nikafanye yangu. Siku ya shindano ilifika na mimi nilikuwa miongoni mwa washiriki walioingia tatu bora.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (32)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MBILITULIPOISHIA...Lakini kuchepuka kwangu na kuingia mgombani haikumaanisha kuwa sheria ingeniacha hivi hivi.Ilifika mahali ikabidi nizime gari na kutulia tulii kusikilizia nini kitafuata.Tayari nilikuwa nimezungukwa na mapolisi ambao walikuwa wakinifuatilia kwa kutumia pikipiki.Kwa bahati nzuri dereva wa lile gari na yeye alishafika hapo na alishawaambia polisi kuwa mimi naugua ukichaa na nilifufuka kutoka mochwari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (31)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MOJATULIPOISHIA...“marehemu pia alinieleza kuwa ana miliki duka la vitu vya urembo wa kike ambalo pia Leah analisimamia ila hilo apewe mdogo wake Marry ambaye yupo hapa. Mama mdogo huyo mara baada ya kuyasema hayo alikaa zake chini. Baba mdogo ambaye hakurizika na maelezo hayo alisimama na kusema “kwa hiyo kama marehemu alijua kuwa atakufa hivi karibuni kwani nini hakufuata taratibu za kisheria za kuandika wosia na kurithisha mali.IKIWA UNASOMA…
  • MY DIARY (30)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINITULIPOISHIA...Baada ya hapo Nnilimwomba mama mdogo ajikaze na kuwatarifu ndugu wengine habari hizo za msiba.Tulisaidiana hivyo hivyo maana sio siri kila mmoja alikuwa na uchungu sana kutokana na mazingira ya kifo hicho. Habari zilizidi kusambaa kwa kasi na majirani walianza kukusanyika hapo kwa mama mdogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Msiba ni msiba tu na ukitaka kujua binadamu…
  • MY DIARY (29)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TISATULIPOISHIA...Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (28)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NANETULIPOISHIA...Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole. Hapo na mimi nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama wanalijua hili.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa…
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…

TANGA RAHA (24)

SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE
ILIPOISHIA...
Tukaendelea kula na baada ya kumaliza watu waote tukakusanyika sebelini na mama mchungaji akasoma neno kutoka kwenye biblia na kuanza kututufundisha kama anahubiri kanisani kisha baaya ya kumaliza tukaimba nyimbo kadhaa na mchungaji akaongoza sala ya kulalia na baada ya kumaliza akatuaga na kwenda chumbani kwake kulala.Junio akaniomba nimsubiri aniletee vitabu na madaftari yake nimeulekeze
SASA ENDELEA...
”Jose utamuonyesha Eddy chumba cha kulala sasa atachagua alale gporofani au vyumba vya chini”
“Sawa mama”

Mama mchungajia akaondoka na kutuacha tukiendelea kutazama Tv na chaneli hito iaonyesha-mahubiri ya mchungaji maarufu kutoka Nigeria TB.Joshu
“Yaani huyu jamaa anakarama ya Mungu kwa maana kile anacho kitabiri ndicho kinacho kuwa”
“Kweli”
“Jose hembu badilisha chaneli na chomeka huo waya wa king’amuzi cha DSTV”

Yudia alizungumza huku akijirusha kwenye kochi akitokea jikoni huku mkononi kwake akiwa amaeshika tunda akilila na kulitafuna kwa fujo kiasi kwamba anakera
“Kidogo ngoja tumalizie hichi kipande cha mahubiri”
“Hutaki au?”
“Ila Yudia huko ndani kwako pia si una DSTV”
“Leo nimejisikia kuangalia hapa sebleni”

Joseph hakutaka kufanya ubishi zaidi ya kunyanyuka na kwenda kubadilisha nyaya za king’amuzi na kumuwekea Yudia kitua anacho kitaka.
“Kaka njoo nikuonyeshe chumba cha kulala”

Nikaondoka na Joseph na akaanza kunionyesha vyumba vya chini na nikaipenda kimoja amba-cho kipo mwisho wa kordo na kimekaa vizuri.
“Nitalala humu”
“Sawa....bafu na choo vyote vipo humu humu ndani?”
“Sawa wewe unalala wapi?”
“Mimi chumba changu kipo juu gorofani”

Nikakichunguza chumba vizuri na kurudi sebleni na kumkuta Junio akinisubiri akiwa na vitabu vyake.

Akanionyesha chumba cha kusome na sote tukaingia ndani na nikakuta vitabu vingi viki-wa ndani ya chumba hicho ambacho kinafanana na maktaba.

Tukakaa kwenye viti na Junio aka-weka vitubu vyake kwenye meza na nikaanza kumfundisha kitu kimoja baada ya kingine.Tangu niwahi kufundisha sikuwahi kukutana na mwanafunzi muelewa kwa haraka kama Junio kwa maana kila ninacho mfundisha anakielewa haraka na nikimpa maswali hujibu vizuri kama nilivyo mfundiha

Yudia akaingia huku na yeye akiwa na madaftari yake ila simu yake ameifungulia mziki kiasi cha kunifanya nisitishe zoezi la kumfundisha Junio na sote tukabaki tukimtazama
“Lakini dada Yudia mbona unamakusudi sana?”
“Na wewe koma”
“Sio nikome,wewe si ulikuwa sebeli ukitazama Tv sasa huku umefwata nini?”
“Kwani siku zote nikiingia humu huwa ninafwata nini?”
“Tangu lini wewe umekuja kusoa huku muda kama huu”
“Ndio leo basi na mimi nimekuja kusoma”
“Haya basi zima simu yako”
“Ili iweje?”
“Wewe si unaona jinsi unavyo tupigia makelele”
“Kusoma bila mziki mimi siwezi”
“Muangalie yale manywele yake kama vile pepo linalotoka kaburini sijui kwa nini baba wewe hakuombei”
“Alafu wewe Junio uaniingilia kwenye anga zangu ngoja nikuonyeshe”

Yudia akasimama kwa hasira huku akimfwata Junio na nikasimama katikati yao na kumshika Yudia asimfwate Junio.Junio akakusanya vitabu na madaftari yake na kuanza kupiga hatua za kwenda nje huku akimzomea 

Yudia na kumfanya apandishe hasira zaidi na akaanza kutumia nguvu kujitoa mikononi mwangu na kwabati mbaya nikajikuta mikono yangu ikikutana kifuani mwa Yudia na kuyashika maziwa yake madogo kiasi na kumfanya anaze kulegea.

Ikanibidi nimuachie na akanza kumkimbiza Junio nikabaki nimesimama na kunza kutazama ta-zama vitabu vilivyomo ndani ya chumba hichi,Yudia akaingia huku akisunya na kuja sehemu nilipo simama
“Alafu wewe ndio chanzo cha kumpa kiburi Junio”
“Ila wewe ndio mchokozi”
“Unataka kuuona uchokozi wangu si ndio?”
“Hapana”

Nikastukia Yaudia akainisukuma na kuniegemeza kweye ukuta uliochomekwa vitabu na kuanza kunifungua vifungo vya shati langu
“Wewe mtoto unataka nini?”
“Tulia la sivyo ninapiga kelele kuwa unataka kunibaka”
“Wewe piga ila sipo tayari kufanya unachotaka kufanya”
“Mamaaa”

Yudia akapiga kelele na kunifanya nimzibe mdomo huku nikiwa ninamshangaa.Akaifungua zipu ya suruali yangu na kabla hajauingiza mkono kwenye suruali yangu tukasikia sauti ya mama yake ikimuita huku akija sehemu ya chumba hichi tulichopo na kunifanya nianze kutetemeka

Wazo la haraka likanijia kichwani kwangu na nikalitekeleza kwa haraka ambalo nikaanguka chini na kunza kurusha rusha miguu kama mtu aliyepandwa na mapepo huku nikitoa makelele ya kunguruma na mikono 

Yangu mara kwa mara nikiipeleka kwenye zipu yangu na kuifunga na kumfanya Yudia kusimama mlanoni kwa woga akimsubiria mama yake kuingia ndani ya chumba cha kusomea.Mama Mchungaji akaingi na baada ya kuniona nipo kwenye hali niliyo nayo ambayo kwangu ninaigiza ili kuua soo la kufumaniwa na mtoto wa mchumaji.
“Kalete biblia yangu ipo sebleni ya juu”

Yudia akatoka ndani ya chumba huku akinisogelea na kuniwekea mkono kichwa ni na akaanza kuniombea kimya kimya wala sikujua kama anaomba,Nikajikuta nikianza kutulia taratibu huku macho yangu yakiwa yametua kifuani mwa mama 

Mchungaji kwani ukubwa wa maziwa yake yenye rangi nzuri ya kuvutia yakanifanya mawazo yangu kuanza kufikiria vitu vya ajabua ajabu.Yudia akafungua mlango na kuja hadi sehemu tuliyopo
“Hiyo biblia ipo wapi?”
“Sijaiona”
“Nimeiweka kwenye meza ya computer fanta haraka hali ya mwenzanu inakuwa mbaya”
“Sasa mama si umuamshe baba?”
“Baba yako yupo kwenye maombi binafsi hembu fanya haraka kailete biblia hembu fanya haraka”

Yudia akaondoka na kumuacha mama yake akiendelea kukemea mapepo ambayo sikuwa nayo japo nimekubwa na vituko visvyo kuwa na kichwa wala miguu ila ninajielewa mimi mwenyewe,Nikaona nisimpotezee m mama wa watu muda nikasimama na kukaa kitako na kujifanya mapepo yamenitoka
“Unajisikiaje Eddy?”
“Salama tuu”
“Ohhhh thak’s Loard”(Ohhhh asante bwana)

Mama mchungaji alizungumza huku akijifunga tenge lake vizuri na mimi nikanyanyuka na kukaa kwenye kiti
“Tukuletee kitu cha kula?”
“Haoana ninajisikia vizuri tuu”
“Mama nimeiona”

Yudia alizungumza huku akiingia ndani ya chumba tulichopo na akajikuta akiwa ameishika biblia huku akitushangaa kwa maana alihisi atanikuta nikiwa ninarusha rusha miguu kama mara ya kwanza
“Ameshapona?”
“Ndio amesha pona lete hiyo biblia nimpe mistari ya kusoma ili akajisome chumbani kweke”

Yudia akampa mama yake biblia na akaanza kunisomea mistaria ambayo nitwakenda kusoma chumbani kwangu.

Nikaikariri na nikaagana nao na kuondoka ndani ya chumba na moja kwa moja nikaingia katika chumba ambacho Joseph alinionyesha.Nikapanda kitandani huku nikijichekea kimoyo moyo kwa kitendo nilicho kifanya
“Hii ya leo kali kumbe na mimi ninaweza kuigiza inanibidi niingie bongo movie”

Nilikisemea kimoyo moyo huku nikilirudia tendo nililokuwa nimelifanya na kujikuta nikicheka kwa sauti ya chini.

Nikasimama na kuvua nguo zangu na kuingia bafuni na kufungulia maji ya bomba la mvua na kuanza kuoga huku nikipiga mluzi usio eleweka ni wa nyimbo gani.

Nikastuka baada ya kuusikia mlango wa kuingilia chumbani kwangu ukifumguliwa kutonana na mapovu niliyokuwa nayo usoni nikanawa uso wangu haraka haraka kwa kutumia maji masafi na kujifunga taulo na kuchungulia na kuukuta mlango ukiwa umefungwa kama nilivyo ufunga
“Mmm labda sijausikia vizuri itakuwa ni hii miluzi yangu ya kijinga”

Niliijifariji na kutudi tena bafuni na safari hii nikaoga haraka haraka na kutoka na kupanda kitandani na nikakumbuka mistari aliyo ambiwa na mama mchungaji na uzuri zaidi biblia ipo sehemu ya wazi ambayo nikaichukua na kuifungua na kujikuta nikistuka baada ya kuto kuikuta na anadihi hata moja.

Nikairudisha mezani huku mapigo ya moyo yakianza kuniienda mbio huku nikianza kupata na wasiwasi
“Isije kuwa Olvia amekuja huku kwa mchungaji?”

Nilijiuliza maswali ambayo hayana majibu ya uhakika,nikachukua shuka nikajifunika gubigubi kuanzia miguuni hadi kichwani kwa lengo la kutokuona kitu cha aina yoyote kitakacho endelea ndani ya chumba nilichopo.

Usingizi ulianza kunichukua taratibu na gafla chumba nilicho lala kikaanza kutwaliwa na makelele ya watu wakilia huku wengine wakicheka,nikanyanyuka huku nikiwa nimeyaziba masikio yangu nisiendelee kuyasikia makelel yanayoendelea.

Nikaanza kupiga hatua za kwenda mlangoni ila nikastukia nikamuona mdogo wangu ambeye alifariki tukiwa wadogo akisimama mlangoni huku macho yeke yakiwa yanatokwa na damu huku mikono yeke akiwa ameinyooshea kwangu
“Kaka Eddy njoo njooo huku nilipo”

Gafla kwenye kona ya kushoto akatokea Mama yangu huku akiwa ameshika panga mkononi mwake akionekana akiwa ametokea shamba akaanza kunitazama kwa macho ya huruma huku machozi yakimwagika taratibu huku kichwa cheke akikitingisha kwa ishara ya kunisikitikia
“Eddy mwanangu nakuomba uondoke ndani ya hii nyumba si pazuri tafadhali mwanangu tafadhali mwanangu”

Sauti nzito ya baba nikaisikia ikitokea nyuma yangu na kujikuta nikigeuka kwa haraka na kumkuta baba mwili wake ukiwa ni mweusi kupita maelezo huku macho yake yakiwa yametoka kwa nje huku yakiwa yamejaa uweupe mkubwa kiasi kwamba nikazidi kuogopa
“Eddy ondoka ndani ya hii nyumba tafadhali mwangu ONDOKAAA.....”

Makelele yakazidi kunichanganya na taratibu wakaanza kunisogelea huku wakiniweka katikati na kutaka kunikumbatia na gafla nikajikuta nikiwasukuma na kustuka nikiwa nimekaa kitandani huku jasho jingi likiwa linanimwaika na kumkuta 

Yudia akiwa anamalizia kuvua nuo zake na kubaki kama alivyo zaliwa na sikuja hata ndani kwangu ameingia muda gani.Akapanda kitandani kwangu na kunifunua shuka nililo jifunga
“WEE....”
“Shiiii”

Yudia akanilaza kitandani na kunikalia kiunoni huku akinitazama kwa macho malegevu huku na mikono yangu akichanua na nikawa kama ninasulubiwa
“Eddy emenifanya nishindwe kulala kwa ajilia yako”
“Ila wewe kumbuka kuwa wewe ni mwanafunzi”
“Kwani mwanafunzi ndio hapewi raha.....Nataka unipe japo kidogo kabla ya baba na mama hawajafanya yao”
“Hawajafanya yao yapi?”
“Tupotezee hilo”

Sikuwa na ujanja kwa jinsi Yudia alivyo niweka nikajikuta nikitulia na kumuacha Yudia kufanya yake taribu akaanza kuichua koki yangu hadi ikawa tayari kwa mapambano nikashangaa kuona koki yangu ikizama yote kwa 

Yudia ambaye kwa muonekano ni msichana mdogo kwa umri japo umbo lake ni kubwa kiasi kwama linamvuto wakumshawishi mwanaume wa aina yoyote kumtamani.

Yudia akaendelea kujipa raha ila kwa upande wangu sikuwa na amani kabisa na akilini mwangu nikaanza kufikiria maneno niliyotokwa kuambiwa muda mcahche uliopita katika ndoto na kwajinsi tunavyo fanya hili tukio nikawa ninahisi kama mchungaji anatushuhudia uchafu wetu.

Hadi tunamaliza kupeana raha Yudia akaonekana kuridhika na akajizala kitandani huku akihema na jasho likimwagika

KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

17 Simulizi Tanga Raha
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni