Notifications
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…

SHETANI ALINIITA KUZIMU (2)


SEHEMU YA PILI
TULIPOISHIA...
Baada ya kukaa kwenye kile chumba kwa muda mrefu niliona sikutendewa haki kutomzika mama mdogo, nilivunja mlango nikatoka mbio kwenda makaburini.

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
KAMA UNASOMA SIMULIZI HII NJE YA CnZ Media APP INSTALL ILI USIPITWE NA MIENDELEZO

SASA TUENDELEE...
Nilipofika nilikuta ndiyo wanaingiza jeneza kaburini tayari kuzika, nililia sana hadi nikazimia. Siku ya pili baada ya mazishi, baba aliondoka Ngara kurudi nyumbani na

kuniacha nikiendelea kuombeleza msiba wa mama. Alasiri ya siku aliyoondoka baba nilihisi kuchoka niliingia kwenye chumba nilichokuwa nalala nikajipumzisha.

Kutokana na uchovu wa nilipitiwa na usingizi na kuota ndoto ya kutisha ndipo nilishtuka na kuanza kuangaza macho huku na huko huku nikihema. Jambo la

kushangaza mbele yangu nilimuona yule mtoto aliyenitokea wakati nakwenda kupanda gari kuelekea Ngara, aliyeniambia nitakuwa mchawi. Dogo huyo akiwa kanyoa

kipara na uchi wa mnyama aliniangalia kwa dakika kadhaa na kuniambia angenifuata usiku. Alipomaliza kuniambia hivyo alifungua mlango na kutoka mle ndani,

kutokana na kustaajabishwa na jambo hilo niliamua kumfuatilia ili nijue alielekea wapi,

Nilipotoka niliwaona watoto wakicheza ndipo niliwaulioza motto aliyetoka mle ndani alielekea wapi, wakanijibu kwamba hawakumuona. Kwa kuwa nilikuwa na imani

kwamba walimuona niliwauliza tena waniambie yule mtoto alikwenda wapi, wakasisitiza kwamba hawakumuona isipokuwa walimuona paka mweusi. Kufuatia kauli za

wale watoto, nilibaini yule mtoto alikuwa mchawi ndipo niliachana naye na kuendelea na mambo mengine.

Jioni ya siku hiyo niliwaaga wenyeji wangu kwamba asubuhi ningerudi nyumbani Lamadi, walinishukuru kwenda kuhudhuria msiba wa mama mdogo na kunitakia safari

njema. Kulipokucha walinisindikiza stendi ambapo nilipata usafiri na kuanza safari ya kurudi nyumbani, baada ya kusafiri kwa muda mrefu niliwasili salama

salimini. Nilipofika nilimkuta baba ambaye alinilaki kwa furaha na kuniuliza habari za Ngara, nikamfahamisha zilikuwa nzuri.

Kwa kuwa nilifika usiku, baada ya kula nilikwenda kulala ili niamke alfajiri tayari kwa kwenda shambani. Nikiwa nimelala saa nane usiku nilihisi kama kuna

kitu kimetua chumbani kwangu, nikaamka ndipo nilipigwa butwaa kumuona yule mtoto mchawi akiwa amekuja na wenzake watatu wakiwa uchi.

Yule mtoto na wenzake aliniuliza kwa vitisho "Wewe utakuwa mchawi mwenzetu"

Nikikataa kuwa mchawi nitauawa na nikikubali nitapewa nguvu na hakuna mtu atakayenisumbua duniani.

"Mimi sitaki kuwa mchawi"

Baada ya kutoa kauli hiyo, yule mtoto alikunja sura kuonesha alichukia kisha alimwita mzee mmoja na kumwambia amletee jambia lake ili anichinje kama kuku.

Alipoletewa jisu hilo kubwa lililokuwa na makali kila upande na kumeremeta, alinikamata na kuniuliza tena; “Utakubali kuwa mchawi au hutaki? Kama ukileta

ujuaji wako nakuchinja sasa hivi na kula nyama yako,” yule mtoto aliniambia.

Kwa hofu ya kuchinjwa, nilimwambia nilikubali kuwa mchawi ndipo wachawi waliokuwepo pale walishangilia na kuanza kupiga ngoma na vigelegele. Hawakuishia

hapo, walirukaruka huku na huko na wengine walinibeba juu kwa furaha hadi walipotulia baada ya yule mtoto kuwaonesha ishara ya kuacha kuimba. Baada ya wale

wachawi kutulia, yule dogo aliwauliza; “Hivi ninyi mnacheza tu, leo mtakula nini?” Kabla ya kujibiwa aliendelea kuwaambia kuwa; “Nawashangaa sana kwani

mnaelewa hatuna mboga na kawaida sherehe huwa ni kula na kunywa lakini mnaendelea kucheza tu.

Mtoto huyo ambaye niliamini alikuwa kiongozi wa wachawi aliyeheshimiwa aliongeza kuwaambia kuwa, kitendo cha mimi kukubali kuwa mchawi kilimfurahisha sana

hivyo lazima wanifanyie sherehe kubwa. Baada ya kutoa kauli hiyo, aliwaamuru baadhi ya wachawi waende wakatafute mboga na kurejea haraka na wengine waendelee

kucheza ngoma na kuimba. Alipotoa amri hiyo, wachawi wapatao kumi waliondoka na hazikupita dakika kumi walirejea wakiwa wamewabeba akina mama watatu, mmoja

waao na mimba kama ya miezi sita. Wakiwa na watu hao walioonekana walikuwa wafu, waliwalaza katikati ya wachawi ndipo yule dogo akawa anatikisa kichwa kwa

furaha. Akiwa anatazama miili ya wale akina mama, aliwaambia wachawi walioileta pale kwamba walifanya kazi nzuri sana hivyo atawapandisha vyeo na kuwaongezea nguvu.

“Kitendo cha kuleta mboga iliyonona kimenifurahisha sana, kila mmoja wenu nitampandisha cheo na kumuongezea nguvu za kichawi,’ yule mtoto aliwaambia wachawi wenzake.

Alipotoa kauli hiyo aliwaambia wachukue ile miili na kwenda kuandaa mboga kisha naye akawafuata ambapo hakukaa sana nikamuona akirejea huku mkononi kashika

kibuyu. Mtoto huyo alitembea na kuja kusimama mbele yangu na kunipa ishara nichungulie ndani ya kile kibuyu, nilipofanya hivyo niliona kimejaa damu. Tukio

hilo lilinisisimua sana na kugundua kwamba ile damu ilikuwa ya wale akina mama walioletwa wakiwa wameuawa tayari.

Baada ya kugundua hali niliyokuwanayo aliniambia nikibebe kwa mikono yote kile kibuyu kisha nimfuate, nikafanya hivyo. Aliniongoza hadi katikati ya lile

kundi la wachawi, nilishangaa kuona kuna majungu mawili ‘sufuria’ zilizoinjikwa kwenye moto. Moja kwa moja niligundua kilichokuwa kikipikwa zilikuwa nyama za

wale akina mama ndipo yule dogo aliwaamuru wote watulie. Alipotoa kauli hiyo alimuona mchawi mmoja akitafuna kitu ndipo alimwita na kumuuliza alikuwa akitafuna nini, akamwambia nyama.

Mtoto huyo alimuuliza nani alimpa kibali cha kula nyama kabla ya wakati muafaka, akamwambia alikuwa akionja ili kujua kama iliiva ili aipue isije ikalainika

sana. Mzee huyo aliendelea kujijitetea kwamba, nyama ya binadamu ilikuwa laini hivyo haikupendeza kuiva sana. Baada ya yule mzee kutoa maelezo hayo, yule

mtoto alifurahi na kumsifia kwamba alikuwa mpishi mahiri aliyeijua kazi yake.

Yule mzee ambaye awali alifikiria alifanya kosa, alimsujudia dogo kuonesha heshima kwake na kurejea sehemu aliyokuwa amesimama. Mtoto mchawi akiwa amesimama,

aliwaambia wale wachawi wenzake kwamba siku hiyo ilikuwa ya furaha sana kufuatia mimi kujiunga na wao ndipo aliniambia nimpatie kile kibuyu, nikafanya hivyo.

Baada ya kumpatia kile kibuyu alikiweka kinywani kwake na kuanza kunywa ile damu kama vile maji, nikabaki nimeduwaa namuangalia. Alipotosheka alitoa kile

kibuyu kinywani na kuanza kulamba midogo kama afanyavyo mtu aliyekunywa kitu kitamu. Baada ya kujilamba alinipatia kile kibuyu na kuniambia nami ninywe ile

damu, kwa kuwa tangu nilipozaliwa sikuwahi kunywa damu, nikabaki nikimwangalia. “Kijana inabidi unywe hiyo damu kwa sababu wewe tayari umekuwa mwenzetu hivyo unalazimika kushirikiana nasi kwa kila jambo,”

Yule mtoto aliniambia kwamba nikinywa damu hiyo nitakuwa na nguvu nyingi za kichawi na kwamba hakuna mtu atakayenisumbua. Sijui ilikuwaje nikajikuta

nakipeleka kile kibuyu chenye damu mdomoni na kuanza kunywa, wakati nafanya hivyo yule dogo na wachawi wengine walikuwa wakiniangalia. Baada ya kunywa kiasi,

nilisitisha zoezi hilo ndipo yule mtoto mchawi akaniambia nimalize yote, nilitaka kugoma lakini nilipokumbuka kauli ya kwamba kama ningeleta ubishi wangeniua nikanywa yote.

Nilipomaliza nilishangaa kuwaona wale wachawi pamoja na yule mtoto wakicheka na baadhi walishangilia kwa furaha, nikajikuta nami nacheka kama wao. “Kijana

mbona ulipomaliza kunywa damu umekuwa na furaha tofauti na awali ambapo ulikuwa na huzuni?” mmoja wa wale wachawi aliniuliza.

Kufuatia swali hilo, nilimwambia kwamba nilikuwa na furaha kwa sababu nilikuwa nimepata nguvu za ajabu na watu wangenikoma. Nikiwa katika hali hiyo nilihisi

njaa, nikasogea kwenye sufuria moja ambalo wale wachawi walikuwa wakipika nyama za akina mama waliowaua, nikataka kuchukua mnofu mmoja lakini nikakumbuka ningekuwa nimefanya kosa.

Nilimfuata yule mtoto na kumsujudia na kumfahamisha kwamba nilisikia njaa kali sana hivyo aniruhusu nikachukue nyama, akatabasamu. Baada ya kumweleza hivyo,

alikwenda sehemu iliyokuwa na vyombo vya kulia chakula chao akachukua bakuli la dhahabu na kujongea kwenye sufuria ilimokuwa ikipikwa nyama. Alipofika

alichukua upawa na kuchota nyama na kujaza katika lile bakuli na kukaa pembeni kisha alituruhusu na sisi tuanze kuchota nyama, tukafanya hivyo.

Kama ilivyo kawaida ya Wakristo kuombea chakula, kabla hatujaanza kula zile nyama yule mtoto alituambia tuombe, nakumbuka tuliomba kwa kusema: “Tunakushukuru

ewe malkia kwa kutupatia nguvu na kuweza kutafuta chakula hiki, uwezo wako uendelee kudumu na kumalizia sala hiyo kwa kusema; “Asante malkia.” Baada ya

kuombea chakula hicho, tulianza kula nyama hiyo ambayo haikuwa na ladha nzuri kama nyama za kawaida.

Tulipomaliza kula, tulikusanya vyombo kisha mzee mmoja alipiga mbiu, wote tukakusanyika kama wafanyavyo wanajeshi wanaposikia tarumbeta la kuwaita. Tukiwa

tumetulia kimya, nilimuona yule mtoto akipita na kwenda kusimama mbele huku kashika mkoba mweusi. Aliponiona aliniita kwa kulitaja jina langu mara mbili,

moja kwa moja nilijua alikuwa akitaka kunikabidhi mkoba waliopewa na bibi yangu, moyo ukanipiga paa!

Nikiwa nimeduwaa, yule mtoto aliniita tena; ‘Kaloli, Kaloli, Kaloli! Nikaitika kwa kusema labeka mkuu. Baada ya kuitika alisema; “Nafurahi kukuambia kwamba

sasa umekuwa miongoni mwa jamii yetu, huu mkoba alikuwa akiutumia bibi yako upokee kwa mikono miwili.” Nilipoupokea aliendelea kusema; “Mkoba huu una nguvu

nyingi sana na utakuwezesha kufanya kila kitu utakachohitaji.”

Alipomaliza kutoa kauli hiyo, nilimuona akibadilika na kuanza kuongea lugha ambayo sikuifahamu lakini nilisikia akilitaja jina la malkia na kutamka herufi

zifuatavyo; “C.a,f,e,j,a,a,a,m, w,f,s,s,s,s,s,s,g,z,z,z,z,,f,f,f,f, naomba ujitokeze sasa.”

MANENO ya yule dogo yalinishangaza nikabaki nimeduwaa nikisubiri kitakachotokea ndipo ghafla kilitokea kimbunga, wachawi wote walitulia. Nikiwa nashangazwa

na mambo ya pale nilisikia kitu kikitua chini tii, nilipoangalia mbele yangu nilimuona mwanamke mmoja mrembo ambaye nashindwa namna ya kumuelezea akiwa

ameketi kwenye kiti. Kiti alichokalia kilikuwa cha kimalkia kwani kilitengenezwa kwa madini ya kung’aa ambayo nahisi ilikuwa dhahabu.

Mwanamke huyo ambaye nilijua ndiye malkia aliyeitwa na yule dogo, aliyekuwa na mkia mrefu alikuwa kazungukwa na nyoka kila upande.

Akiwa ametulia alisema; “Nimefika hapa baada ya kuitwa na nyinyi, naomba mniambie kinachowasibu ili niwasaidie kisha nirudi kwenye makazi yangu.”

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
58 Shetani Aliniita Kuzimu Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni